ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 49
Tumekuelewa mchungaji,tumekuelewa❤❤❤❤❤❤
Mpina hata iweje yupo juu
@KaburuKimath-eu5nf
13 күн бұрын
Mimi sihauri kumchukua mpina Kwa sababu tumejifunza Kwa Mzee WA monduli tutafute watu ambao sii mamluki
Ukitaka kuwa mkweli ondoka ccm maana hao ni majambazi wameshikwa mikono na police pamoja natume ila 2025 afe beki afe kipa
Tunakusikiliza,Tunakuamini sana Lz
Kumchukua mpina ni ujinga,chadema izalishe watu wake,iache kuchukuachukua mamluki,ili kuepuka ya kina lowassa
Ccm yasasa imerudi kule ktk zama za upigaji magufur alisema ccm aina watu waadilifu ispokua inamajiz TU ngoja niatumbue amkeni watanzania wanyonge
Kesi ya Mpina imewashangaza wengi. Wamemugeuzia Mpina yeye ndiye akawa mshitakiwa. Bashe yumo kweye chama cha mafisadi kilichoteka Bunge. Hata Rais Magufuli aliposhika uongozi walifikiri atakukuwa kama wawo. Alipigana na ufisadi peke yake. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza watu woga na wajinga. Wanatuongoza wanavyotaka wawo, na sio wananchi.
Namimi.msukuma.arinikera.sana.aririniumiza.sana.kumshaburia.mpina.mtetezi.wetu.wawanyonge.tuko.pamoja.nae.usku.namchana
Big up, mwanamapinduzi
Tafadhalini sana chadema msije muingiza mpina ktk chama chenu.ccm wanajua hawatakiwi ktk nchi hii kutokana na ufisadi waliofanyia watz kwa muda wote.hivyo ukikaribia uchaguzi lzm watengeneza mamluki waje kuvuruga upinzani,na huu ni mkakati tu kumtoa mpina lao ni moja.
@user-jj7qv7kh2s
12 күн бұрын
Acha chuki wewe mpina hata yeye ni adui wa ccm.
Ni kwel kbx msukuma anausalit ukweli alikuwa akihubir
@edsonkahesi8603
12 күн бұрын
Msukuma kwasasa hamna kitu na hamna kitu kabisa yule, nilianza kumdharau ktk sakata la bandari afu anadhani sisi hatujui kinachoendelea, tutampuuza na tutaendelea kumdharau.
Mpina kama msigwa tu alivyotolewa uwaziri ndokabadilika chadema tutashinda bila kuchukua mamuluki
Mpina endelea kukaza msuli na Mungu akutangulie
Mpina yupo sawa hata alipokuwepo hayati magufuli msimamo wake kutetea masilahi ya watanganyika maskini kila hoja zake zipo makini
Askofu Yuko SAWA kabisa, hiyo adhabu kwa mpina hakustahili kabisa
Mwana mapinduzi uko sawa kabisa hupepesagi macho kwenye ukweli
Inamaana ndugumwandishi kumwita kwenye chama inamana kure kunauraji watasema sisi wezi Sasa mpina urikura Nini? Mpaka umelopoka msihangaike maombi yawananchi nimakubwa ameamua walopoke nabaado hirotela
Hivi tulia anakili kichwani mpina mwacha unachafuka mimi ni mwana mbeya unitia aibu mbona nakwani sana mamaangu mimi niko uyole
Yani Tanganyika tuna viongozi wezi, wezi, wezi kupindukia na hadi wanamob waandishi wa habari mfano yule mwenyekiti wao ili atetee kilichofanywa na bashe na yule spika wake.
Musukuma ni mafiki tu anatea tumbo yake tuu
Duh
Mchungaji uko sawa tulia ubunge aspire tena
Msukuma na kibajaji nilikuwa nawaheshimu sana na kuwapenda km wabunge watetezi wa haki za wananchi lkn kwa swala la Mpina nimeona ni wachumia tumbo hawana lolote.
Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600
Vibaraka wa ccm walitumika kumpinga Mpina! Msukuma na wote waliyompinga Mpina ni Machawa wa ccm!
Pamoja mchungaji
Pina karibu mpina cdm
Bunge la mchongo spka wa mchongo
Tanzania 😢
Mch.hao mafisadi usingetoa ushauri wa kuwasaidia ccm majizi!
Umesema kweli kiongozi
Sukari siyo kisesa ni ya tanzania makuma hawa na spika wao
@judicalosika7642
7 күн бұрын
Hivi, unawezaje kuandika neno gumu hivyo!!!😳😳
Msukuma anajiras nampina pia rusinde nichawa kiufp ccm imerud kuli k
HUYO MCHUKUWENI HARAKA SANA MBUMBU WALA HATUMUHITAJI
Hakuna mbunge wa ccm niliyo namuhamin rasaba mwezangu msukuma rakini
Tupeni mpina
Ktk wabunge wapumbavu ni yule msukumu Yuko Kama matako yaliyongangania mkundu
Umechanganyikiwa mchungaji chizi mchukue huyo kitatange wako
HUYO TAPERI HANA JIPYA KAVAA BAZEE AÒNEKANE
@JosephMagige-lf9ns
12 күн бұрын
Wew ndiye tp
@usembiphonedar5632
8 күн бұрын
Acha matusi,kwani huyo mchungaji amekutaperi nini wewe taperi?!
Musiwape wajinga elimu
Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600