ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE

ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 49

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w12 күн бұрын

    Tumekuelewa mchungaji,tumekuelewa❤❤❤❤❤❤

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz519213 күн бұрын

    Mpina hata iweje yupo juu

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    13 күн бұрын

    Mimi sihauri kumchukua mpina Kwa sababu tumejifunza Kwa Mzee WA monduli tutafute watu ambao sii mamluki

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq12 күн бұрын

    Ukitaka kuwa mkweli ondoka ccm maana hao ni majambazi wameshikwa mikono na police pamoja natume ila 2025 afe beki afe kipa

  • @eliassumila8173
    @eliassumila817312 күн бұрын

    Tunakusikiliza,Tunakuamini sana Lz

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile323413 күн бұрын

    Kumchukua mpina ni ujinga,chadema izalishe watu wake,iache kuchukuachukua mamluki,ili kuepuka ya kina lowassa

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda12 күн бұрын

    Ccm yasasa imerudi kule ktk zama za upigaji magufur alisema ccm aina watu waadilifu ispokua inamajiz TU ngoja niatumbue amkeni watanzania wanyonge

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im12 күн бұрын

    Kesi ya Mpina imewashangaza wengi. Wamemugeuzia Mpina yeye ndiye akawa mshitakiwa. Bashe yumo kweye chama cha mafisadi kilichoteka Bunge. Hata Rais Magufuli aliposhika uongozi walifikiri atakukuwa kama wawo. Alipigana na ufisadi peke yake. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza watu woga na wajinga. Wanatuongoza wanavyotaka wawo, na sio wananchi.

  • @user-bj9ej7tt1k
    @user-bj9ej7tt1k12 күн бұрын

    Namimi.msukuma.arinikera.sana.aririniumiza.sana.kumshaburia.mpina.mtetezi.wetu.wawanyonge.tuko.pamoja.nae.usku.namchana

  • @chezariboy
    @chezariboy12 күн бұрын

    Big up, mwanamapinduzi

  • @Wiittole
    @Wiittole13 күн бұрын

    Tafadhalini sana chadema msije muingiza mpina ktk chama chenu.ccm wanajua hawatakiwi ktk nchi hii kutokana na ufisadi waliofanyia watz kwa muda wote.hivyo ukikaribia uchaguzi lzm watengeneza mamluki waje kuvuruga upinzani,na huu ni mkakati tu kumtoa mpina lao ni moja.

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    12 күн бұрын

    Acha chuki wewe mpina hata yeye ni adui wa ccm.

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga13 күн бұрын

    Ni kwel kbx msukuma anausalit ukweli alikuwa akihubir

  • @edsonkahesi8603

    @edsonkahesi8603

    12 күн бұрын

    Msukuma kwasasa hamna kitu na hamna kitu kabisa yule, nilianza kumdharau ktk sakata la bandari afu anadhani sisi hatujui kinachoendelea, tutampuuza na tutaendelea kumdharau.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo285213 күн бұрын

    Mpina kama msigwa tu alivyotolewa uwaziri ndokabadilika chadema tutashinda bila kuchukua mamuluki

  • @kijadogan6711
    @kijadogan67118 күн бұрын

    Mpina endelea kukaza msuli na Mungu akutangulie

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi31968 күн бұрын

    Mpina yupo sawa hata alipokuwepo hayati magufuli msimamo wake kutetea masilahi ya watanganyika maskini kila hoja zake zipo makini

  • @MukameMachel
    @MukameMachel11 күн бұрын

    Askofu Yuko SAWA kabisa, hiyo adhabu kwa mpina hakustahili kabisa

  • @user-jb3tr9id6z
    @user-jb3tr9id6z11 күн бұрын

    Mwana mapinduzi uko sawa kabisa hupepesagi macho kwenye ukweli

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303813 күн бұрын

    Inamaana ndugumwandishi kumwita kwenye chama inamana kure kunauraji watasema sisi wezi Sasa mpina urikura Nini? Mpaka umelopoka msihangaike maombi yawananchi nimakubwa ameamua walopoke nabaado hirotela

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana13 күн бұрын

    Hivi tulia anakili kichwani mpina mwacha unachafuka mimi ni mwana mbeya unitia aibu mbona nakwani sana mamaangu mimi niko uyole

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi860312 күн бұрын

    Yani Tanganyika tuna viongozi wezi, wezi, wezi kupindukia na hadi wanamob waandishi wa habari mfano yule mwenyekiti wao ili atetee kilichofanywa na bashe na yule spika wake.

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni12 күн бұрын

    Musukuma ni mafiki tu anatea tumbo yake tuu

  • @user-di9yb2pb7w
    @user-di9yb2pb7w13 күн бұрын

    Duh

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani12 күн бұрын

    Mchungaji uko sawa tulia ubunge aspire tena

  • @raykas9976
    @raykas997611 күн бұрын

    Msukuma na kibajaji nilikuwa nawaheshimu sana na kuwapenda km wabunge watetezi wa haki za wananchi lkn kwa swala la Mpina nimeona ni wachumia tumbo hawana lolote.

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard12 күн бұрын

    Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar56328 күн бұрын

    Vibaraka wa ccm walitumika kumpinga Mpina! Msukuma na wote waliyompinga Mpina ni Machawa wa ccm!

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns12 күн бұрын

    Pamoja mchungaji

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh12 күн бұрын

    Pina karibu mpina cdm

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k11 күн бұрын

    Bunge la mchongo spka wa mchongo

  • @islamsultan8563
    @islamsultan85639 күн бұрын

    Tanzania 😢

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar56328 күн бұрын

    Mch.hao mafisadi usingetoa ushauri wa kuwasaidia ccm majizi!

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali194612 күн бұрын

    Umesema kweli kiongozi

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter12 күн бұрын

    Sukari siyo kisesa ni ya tanzania makuma hawa na spika wao

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    7 күн бұрын

    Hivi, unawezaje kuandika neno gumu hivyo!!!😳😳

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda12 күн бұрын

    Msukuma anajiras nampina pia rusinde nichawa kiufp ccm imerud kuli k

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri13 күн бұрын

    HUYO MCHUKUWENI HARAKA SANA MBUMBU WALA HATUMUHITAJI

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r11 күн бұрын

    Hakuna mbunge wa ccm niliyo namuhamin rasaba mwezangu msukuma rakini

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter12 күн бұрын

    Tupeni mpina

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu12 күн бұрын

    Ktk wabunge wapumbavu ni yule msukumu Yuko Kama matako yaliyongangania mkundu

  • @nyembobea7285
    @nyembobea728513 күн бұрын

    Umechanganyikiwa mchungaji chizi mchukue huyo kitatange wako

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma156913 күн бұрын

    HUYO TAPERI HANA JIPYA KAVAA BAZEE AÒNEKANE

  • @JosephMagige-lf9ns

    @JosephMagige-lf9ns

    12 күн бұрын

    Wew ndiye tp

  • @usembiphonedar5632

    @usembiphonedar5632

    8 күн бұрын

    Acha matusi,kwani huyo mchungaji amekutaperi nini wewe taperi?!

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni12 күн бұрын

    Musiwape wajinga elimu

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard12 күн бұрын

    Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600

Келесі