MAAJABU MAZITO MAKABURI KATIKATI YA BAHARI/MASHARIFU WOTE WAWILI/MAOMBI YANAFANYIKA HAPO
#THINKERSTV #RIPOTIZAKITAA
Жүктеу.....
Пікірлер: 132
@alhabibsudi79973 ай бұрын
Subhana Allah M Mungu atuepushe na mitihani hii ya shirki huyo mzee kwa milo nae karibu hebu mpeni dawa Kabla umauti haujamkuta
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Kasome dini kwanza
@alhabibsudi7997
26 күн бұрын
Mnafiki wewe
@AbdullahOmar-be4wy
26 күн бұрын
@@alhabibsudi7997 mnafiki baba ako na mama ako wasiokufundisha adabu
@maninisamwel8657 Жыл бұрын
😢😢😢 waomba wafu wakuomba ni Allah pekee
@rukiafaraj14002 жыл бұрын
Hao waliomo makaburini wanahitaji dua ya waliohai! SubhanaAllah waliohai wanawaomba wafu!
@aishahashim.50792 жыл бұрын
Hao huenda walikuwa kweli ni watu wema isipokuwa waliofuata baada yao ndio waliozama katika shirki kinyume na Mapenzi yao
@mwawekomiuda9779
6 ай бұрын
Hapana aliezamishwa ila ndipo ulipokua mji Bahari inatabia ya kujisogeza. Kinachiniudhi ni watu kwenda kufanya ushirikina.
@mamyh57384 жыл бұрын
Subhanallah hii ni shirki ya hali ya juu Allah atustiri na shurki
@muhaajiryhassan4325
3 жыл бұрын
allah awasamehe woote wanaokwenda kuomba na awaongoze hawajui watendalo
@Mashkuramuhidini24 күн бұрын
Assalaamu A'laykum warahmatullaahi wabarakatuh wa kuombwa na kuabudiwa ni Allaah Subhaanahu wataa'la na si vingine kwani tofauti na hapo kumshirikisha ALLAAH SUBHAANAHU WATAA'LA. Tunamuomba ALLAAH atujaalie uongofu na mwisho mwema
@hamzakimaro3764Ай бұрын
kuomba maiti ni haifai ni kumshirikisha ALLAH
@sihamjamal2234 Жыл бұрын
SubhanaAllah Astagafirullah watu wamepoteya yarabby tuongoze umaa wako
@issaomari72443 жыл бұрын
Subhanallah allah awaongoze huo niushirikina allah awaongoze
@amanafi1288
Жыл бұрын
Nawe Sheh Issa yako ni siri yako
@msarama540626 күн бұрын
Ndumi yetu tuliyoondolewa na mkapa kwa ajili ya ujenzi wa bandari mpaka leo hakuna kinachoendelea inatuuma sana maeneo walikozikwa mababu zetu😢
@saidhamad6065 Жыл бұрын
Dunia mataau,kwa Allah atupe husni njema
@ShamimWanjiru-bm6veАй бұрын
Hao Masharifu walienda zao kwa kuwa walikwisha kumridhishaAllah but hilo la kuwenda makaburini kuwaomba ni shirki kubwa,Iblis alikwisha kuwapambia wamsahau Allah,Subhana Allah
@nureenshamba82432 жыл бұрын
Subhana Allah! Hio ni shirki kubwa mno! "Allahumma Inn wa Min dhuuriat Audhubika minal Mushirikina"
Hii ni shirki iliopindukia, kikubwa wanahitaji daawa kubwa.... Maana kma umesikiliza vzr anasema, wanakuja kuwaomba masharifu kama wanavyomuomba m/mungu... Innalillah wainna ilyhi rajuun....
@hajjisanga78910 ай бұрын
Mnaomba dua njema kwao ili allah awape maghfira ila kutawasl sio mbaya lakini watu kutawasl Hawa jui wanachanganja kuomba na kutawasl
@rahurselektor9850 Жыл бұрын
Shirki akbar mzee Allah akuongoze
@samwaoo9952 ай бұрын
Sasa unashida alafu unaweka ng'ombe kwa nn tusimuombe asie itaji ujira uo ni ushirikina hakuna sharifu anae ombwa kama allah huo mi uzushi
@Kimochatv6 ай бұрын
Allah waongoze wasiombe makaburi
@AbassJYahya
2 ай бұрын
Sadakta aamin aamin yaa rabbal a'lamin
@muhammadiabassi65610 ай бұрын
Subuhana Allah WA kuombwa ni Allah pekeake ndio anaetoa kumuomba kiumbe mwezio HAIFAI NA NI USHIRIKIA HUO MUOMBENI ALLAH PEKEE NDIO ANAETOA
@ashuramhandoashuramhando679810 ай бұрын
ALLAHU AKBAR Allah anamlipa Mema Kila mtenda Mema ❤🔥🙏🙏🙏🙏
@valenakomba768618 күн бұрын
INAWEZEKANA HAYO YALIINULUWA YAKAWA JUU ZAIDI YA MENGINE. HAKUNA CHA AJABU HAPO.
@muhiddinrashid5049Ай бұрын
Kuomba asiyekuwa Allah ni shirki Allah awaongoze na awafahamishe kabla ya umauti
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Sio ushirikina kasome dini kuomba dua kupitia utukufu wa mtu au kitu sio ushirikina yani unaomba Mungu naomba unikubalie duwa hii kwa utukufu wa swahaba au fulani hapa hakuna ushirikina
@annamussa1855 ай бұрын
Mungu awahurumie,ila waislamu mnavitu vya ajabu hv mifupa mikavu ndani ya kaburi inaweza kukusaidia nini jamani badilikeni huo ni ujinga mashetani yamewavaa nyinyi
@user-xr5wg3hm6p
5 ай бұрын
Ww amn unachkijuwa nyamaza wewe kafili
@annamussa185
5 ай бұрын
@@user-xr5wg3hm6p wewe na Muhammad wote ni 🐕
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
@@annamussa185 mbona unatukana
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Inalillah wainailahi rajuun Babu kamabodo hupo Hai rudi kwa Allah Acha shilki nawe jitahidi ufanye mema iliupate mwishomwema
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Hakuna ushirikina someni dini hapo haombwi sharifu anaombwa Mungu
@user-qv8uo3bc6o2 ай бұрын
KAMA KUKOSEA BASI ILO NIKOSA KUBWA KUMSHIRIKIAHA ALLAH NA MASHARIFU HAKIKA ALLAH HUAKBAR NDIO WAKUOMBWA KWANI ALLAH NDIO ALIE WAUMBA HAO MASHARIFU NA MITUME MA WALII NA VIUMBE WOTE DUNIANI NA AKHERA NDIE PEKEE APASAE KUABUDIWA.
@swalahuomar96542 жыл бұрын
MMI ni twalabul ilm niko kenya inaruhusiwa kutwasal ndo mana mtu akienda makka unamwambia akuombee na wwe dua akifika sababu ile n sehemu bora ssa dua inaeza kubaliwa sababu ya mji wa makka na kwa masharifu n hvo hvo sababu n watu wema
@Wastara001
2 жыл бұрын
Kama uko Kenya ndio tuamini hizo shirk.
@SleepyBeach-qs9mf
4 ай бұрын
Hapo nimekuelewa na ninakushukuru sana.
@allyabdallah4679
17 күн бұрын
Wewe Acha kupotosha watu
@user-tf3vs4bl8c6 ай бұрын
Sio watu wamepotea ila wafrika ndo wamepotea kwa kufata Imani na asili tamatulin desturi za kiafrika izo ni asli ya wafrika sema wafrika wengi ni jinga Afrikaans maana asili yao wanaona niushezi kama walivyo potoshwa Kwa ile Iman ya kuaminishia waache chao wafuate visivyo vyao mungu ibariki Afrika
@SalmanRazaKhanTz5 ай бұрын
Subhaan'Allah! ❤❤❤
@cornelytv28397 ай бұрын
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉
@paulwambua49562 жыл бұрын
Waliokufa hawana sehemu katika walio hai... Yesu Kristo Ndiye njia kweli na uzima wa milele
@emmanuelmichael8019
2 жыл бұрын
We nae hujui chochote kaa huko
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
@@emmanuelmichael8019 hahaaaa
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Subuhanallah mtihani
@aliseif26912 жыл бұрын
Kutembelea makaburi na kuwaombea dua marehem wako ni sawa.lakin kwenda kuomba shida zako haifai ni shirki kubwa.
@ibn_maleeqqeibraheem_188 Жыл бұрын
Omba alafu mungu nae akupa uzidi kumshirikisha,acheni ushenzi wenu huo ,shirki tupu hizo zenu sharifu ndo nn wacheni kupotosha umma hpa
@adorchmassimba44136 ай бұрын
Shetani anambinu nyingi sana yakuwapoteza watu nakuwaanisha vitu watu nakuanza kuvifanyia ibada kanakwamba ni mungu watu wanaamini makabuli ya masharifu nakuanza kufanya ibada na maombi makabulini duu hii ni hatali
@HabibuUrasa2 ай бұрын
Pelekeni ujinga huko badala ya Mungu unaomba maiti km walikuwa Wacha Mungu ni wao na ww tafuta ucha Mungu wako acheni shirki
@AmerdaKavishe-pu3cf5 ай бұрын
Mungu kwaza kwani dua zote utoka kwa mungu
@halmahashim2864 Жыл бұрын
Subhanallah Allah peke ndio wakuombwa hiyo ni shirki
@zulekha3028 Жыл бұрын
Astaghfirullah...mnaacha kumuomba mungu..mnawaomba binadamu mwenzio yeye mwenyewe kaumbwa kama wewe..Allaah awahid..inshllh mumuombe yeyetu asiye na mshirika.
@hasaniabdalah6148
7 ай бұрын
Tena anaomba maiti
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Sio ushirikina kasome dini kwanza
@mohamedabdiyussuf3874 Жыл бұрын
Shirki kubwa sana hio allah awaongoze njia ya haki
@muhammadiabassi65610 ай бұрын
SHARIFU SIO WA KUMUOMBA HUYO NI MFU TU WA KUMUOMBA NI ALLAH PEKEYAKE
@SAMA-jw4fr4 күн бұрын
Washirikinaaa haooo
@AsiaKassim-vb5ylАй бұрын
Kweli Hao masharifi
@nyenyeonlinemedia95432 жыл бұрын
Mzee alikosea kidogo.c kuwaomba hao masharibu.bali ni kutawassal kupitia hao masharifu.YAANI UNAMUOMBA MUNGU KUPITIA HAO MASHARIFU KWA MAANA WAO WALIKUA WATU WEMA,WALIPOKUA HAI WAKIOMBA MUNGU HUKUBALIWA HARAKA DUA ZAO.INABIDI NASI PIA TUKIWA NA HAJA ZETU TTUMUOMBE MUNGU KUPITIA WAO. HATA UKIKUTA MTOTO WAKO AKIOMBA MUNGU,DUA ZAKE HUKUBALIWA HARAKA.BASI FANYA KUTAWASAL KUPITIA YEYE
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
Unachanganya haki na batili
@mariamshaban4518
Ай бұрын
Hata ww umekosea pia unamuombaje allah kupitia maiti?
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
@@mariamshaban4518 sio ushirikina
@sofiahassani5185 Жыл бұрын
Tunawaomba mashehe na masharifu watupe elimu ktk ya kutosha kuhusu Jambo hili limetuweka njia panda je lafaa au halifai kuabudu makaburi hayo kWa namna yoyote
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Ndio linafaa hakuna ushirikina yani haombwi maiti anayeombwa ni Mungu yani mfano ww unaweza kuomba km wazee wako wamefariki ukaomba Mungu nina shida hii niondolee kwa baraka za wazee wangu au sharifu au swahaba au shekhe fulani hakuna ushirikina ni halali inaitwa taswaufu
@jamuhurialiwazir468511 ай бұрын
INNALiLAhi WA INNA ILAhi RAAjiuna. SS ndiyo tuwaombeee dua siyo ss Tuwaombe waoo apana, Kwani wao na manabii Nani nani zaidi kipenzi chá alha?
@ramadhaniomary9241
6 ай бұрын
Kweli kiyama kipo karibu nyote wachangiaji mmeshindwa kuelewa kwa Nini Hawa watu wameacha makaburi yote wakaelekea hayo makaburi mawili .halafu mmewaingiza moyoni hao wanaokwenda kutawasal nyinyi mnaita kuabudu haya hivi ni kweli hao watu wameshindwa kutofautisha baina ya mungu na masharifu waliokufa.kwa Nini mnatoa fatawa Hali ya kuwa nyinyi si wajuzi.Na pia kwa Nini hamuendi kuwanusuru badala yake mnawatia moyoni ndiyo Nini Sasa hiyo
@chayogasperi97833 жыл бұрын
Cameraman mbona huoneshi hayo makaburi ??
@OmanOman-hf1hzАй бұрын
Hapana bana maji kipindi hicho maji hakukuepo😂
@mamanabdoul4397 Жыл бұрын
Inna lillah wa inna ilayhi rajiun.uwo ni ushirikina.awo ni watu.siyo Allah
@SilaMinanda5 ай бұрын
Mtangazaji hujielew fungua kipingi kwa kueleza upo wapi, kuanzia mkoa, wilaya, kata mpka kitongoji, tujuwe ni wap
@assaasharif9633 ай бұрын
Jamani anaesitahiki kuombwa ni Mungu tu pekee
@Khanmkulu2 күн бұрын
Tupeni elim
@tvdawuurobarawe78462 жыл бұрын
Please hiyi message kama huyo mze Yuko hayi basi umambie Rudi Kwa Allah akusamehe madambi yako Kwa Sababu umemshirikisha allah na niyeye mwenye anae stahiki kuabudiwa na kuombwa na hawo wenginewe kama Bado wako wanao muomba mayiti bas Kwa hisani yako wafikishie hii message shukran
@salumahmadasalum155611 ай бұрын
FANYENI YOTE TUMUOGOPENI ALLAAH KWENYE NAFASI YA KUMSHIRIKISHA ALLAAH
@alifakimati9614 Жыл бұрын
Hiyo ni shirki kubwa sana haifai kabisa kumuomba binadamu.
@marypartson8409 Жыл бұрын
Yako wapi
@simbaomar34055 ай бұрын
huo ni ushirikina sharifu anapaswa kukuombea kwa mungu amiwa hai akishafariki yake yanaishia hapo
Sasa mpitaka yafunikwe na maji wakati hayo makaburi yapo juu na maji yapo chini kulingana na kina cha maji ?? Pumbaavu zenu
@mpwani35232 жыл бұрын
Shirki ya wazi kuomba hivyo wala sio tawasul
@nimbetebwangabwa852110 ай бұрын
Wajukuu wa mtume .ni Hassan and Hussein,, hizo zingine shirki,,
@abdisalan7515Ай бұрын
Nyiye mawahaabi hawa elewi diini kila kiitu shirki ndio mna hawaja sooma diini hiyo mzee an seema maitwa tawasul nyinyi mawahaabi nim jiinaga saana
@yusufsadic2930 Жыл бұрын
Lakin hamon kuw kuomba kuwaomb waliokuf ni Shirk uslm Haukubal hay mnayatoa wapi jaman
@lisaamosi72972 жыл бұрын
Mimi Bado sijaelewa walichimbaje hayo makaburi ndani ya Maji?
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Kutawasal kwa masharifu siyo ushirikina
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
Ushirikina ni upi ss
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
Huo ni ushirikina
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Najiuliz kabur walichimbj ila km iliwezekn bas ni watu Wema
@mdungimdungikhamis77792 жыл бұрын
Acheni kutupotosha
@ibn_maleeqqeibraheem_188 Жыл бұрын
Wacheni kudanganya watu na shirki zenu izo
@HaruniHaruni-jy7hw Жыл бұрын
Ndumi hiyo
@AmerdaKavishe-pu3cf5 ай бұрын
Yakawaida
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Mh mizimutuu na mashetani
@jailaniramadhan17882 жыл бұрын
Mzee amekosea kuongea siyo wanaombwa Bali tunatawasali kwao
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Haram
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Kuto kujua kwako ww isiwe sababu ya kuharamisha mambo
@assfzainab9122 жыл бұрын
UKOSEFU WA AKILI UTAMUOMBEJE BINADUMU MWENZAKO AKILI POTOVU NA UJINGA TU SASA MWAJUWA MWENYEZIMUNGU ALIWAPA MAUT MBONA MWAOMBA MAKABUR YAO TUACHENI UJINGA
@muhamedjaffar5653 Жыл бұрын
Wakuombwa ni Allah .tuache shirki
@moshimartin78602 жыл бұрын
Iyo ni bida. Wakuombwa ni allah
@salummohd4971 Жыл бұрын
Hao msimbe wanadam
@ashourahsaleh89583 жыл бұрын
Napajua hapo jaman mbon wanasema hayo makabur n mke na mume sio masharif ila nshafika had hapo yapo kwel
@salhamadabida6786
Жыл бұрын
Khaa kama kitu ukijua jitulize mi ulikurupuka ukadanganywa ni mtu na ndugu yake mji wetu wa Wana Zahara huo home sweet home Kuna mengi ya kukwambia ukiwa tayari
@msarama5406
26 күн бұрын
ndumi yetu
@umnadyaful2 жыл бұрын
Inna lilahi wa inna ileihi rajiun, jamani mambo ya kusikitisha.Mashekhe wenye kufanya da'wa nawaomba mwende kutoa hawa watu masikio taka muwarudishe kwa Allah sio kukaa kutukanana wenyewe kwa wenyewe.Hawa watu hali zao mahututi kidini...Allah mustaan
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Hawana kosa ushirikina upi hapo
@fahmisaid73642 жыл бұрын
Hii ni shirki
@hamadsaburi3569 Жыл бұрын
Astaghfiru llwahul adhiiim
@saidhamad6065 Жыл бұрын
Acheni shirki
@RashidJuma-t7j26 күн бұрын
H
@hamidomar7474 Жыл бұрын
MGOJA NIPATE MDA NIKAPACHIMBE NIUONDOWE UTATA
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
We ndio huna akili hutaki kusoma unahukumu watu
@abdisalan7515Ай бұрын
Mzee ako sahiihi anelewa dini nyinyi ni ma wahaabi khawariji
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
😂 hawataki kusoma kazi kuwasemea watu washirikina
@salummohd4971 Жыл бұрын
Makepeace shirki
@amirymapemape27003 жыл бұрын
Inalilahi wainnailahi rajuul hiyo ni shirk kubwa na huyu mzee ni mshirikina mkubwa na kofia lake
@chichimloli5926
3 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaaa
@hawamvao8691
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kabisa Huyu babu ni mshirikina hakuna anaye faa kuobwa isipokuwa Allaah.pekeee.
@kareemesmael2265
2 жыл бұрын
Tatizo ni elimu
@rngsplif9484
2 жыл бұрын
Huo ni ushirikina wa hali ya juu.hawa watu natakufundishwa Tauhidi
@user-tf3vs4bl8c6 ай бұрын
Sio watu wamepotea ila wafrika ndo wamepotea kwa kufata Imani na asili tamatulin desturi za kiafrika izo ni asli ya wafrika sema wafrika wengi ni jinga Afrikaans maana asili yao wanaona niushezi kama walivyo potoshwa Kwa ile Iman ya kuaminishia waache chao wafuate visivyo vyao mungu ibariki Afrika
Пікірлер: 132
Subhana Allah M Mungu atuepushe na mitihani hii ya shirki huyo mzee kwa milo nae karibu hebu mpeni dawa Kabla umauti haujamkuta
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Kasome dini kwanza
@alhabibsudi7997
26 күн бұрын
Mnafiki wewe
@AbdullahOmar-be4wy
26 күн бұрын
@@alhabibsudi7997 mnafiki baba ako na mama ako wasiokufundisha adabu
😢😢😢 waomba wafu wakuomba ni Allah pekee
Hao waliomo makaburini wanahitaji dua ya waliohai! SubhanaAllah waliohai wanawaomba wafu!
Hao huenda walikuwa kweli ni watu wema isipokuwa waliofuata baada yao ndio waliozama katika shirki kinyume na Mapenzi yao
@mwawekomiuda9779
6 ай бұрын
Hapana aliezamishwa ila ndipo ulipokua mji Bahari inatabia ya kujisogeza. Kinachiniudhi ni watu kwenda kufanya ushirikina.
Subhanallah hii ni shirki ya hali ya juu Allah atustiri na shurki
@muhaajiryhassan4325
3 жыл бұрын
allah awasamehe woote wanaokwenda kuomba na awaongoze hawajui watendalo
Assalaamu A'laykum warahmatullaahi wabarakatuh wa kuombwa na kuabudiwa ni Allaah Subhaanahu wataa'la na si vingine kwani tofauti na hapo kumshirikisha ALLAAH SUBHAANAHU WATAA'LA. Tunamuomba ALLAAH atujaalie uongofu na mwisho mwema
kuomba maiti ni haifai ni kumshirikisha ALLAH
SubhanaAllah Astagafirullah watu wamepoteya yarabby tuongoze umaa wako
Subhanallah allah awaongoze huo niushirikina allah awaongoze
@amanafi1288
Жыл бұрын
Nawe Sheh Issa yako ni siri yako
Ndumi yetu tuliyoondolewa na mkapa kwa ajili ya ujenzi wa bandari mpaka leo hakuna kinachoendelea inatuuma sana maeneo walikozikwa mababu zetu😢
Dunia mataau,kwa Allah atupe husni njema
Hao Masharifu walienda zao kwa kuwa walikwisha kumridhishaAllah but hilo la kuwenda makaburini kuwaomba ni shirki kubwa,Iblis alikwisha kuwapambia wamsahau Allah,Subhana Allah
Subhana Allah! Hio ni shirki kubwa mno! "Allahumma Inn wa Min dhuuriat Audhubika minal Mushirikina"
@babyrukia3643
2 жыл бұрын
Jamani babu yangu almarhum mzee jangwa Mwenyezi Mungu akupe kauli thabiti
@mishigwan6598
10 ай бұрын
Ameshafariki Huyu Mzee Jamani M'Mungu Amjaalie Pepo Jannat Firdaus Ameen
Hii ni shirki iliopindukia, kikubwa wanahitaji daawa kubwa.... Maana kma umesikiliza vzr anasema, wanakuja kuwaomba masharifu kama wanavyomuomba m/mungu... Innalillah wainna ilyhi rajuun....
Mnaomba dua njema kwao ili allah awape maghfira ila kutawasl sio mbaya lakini watu kutawasl Hawa jui wanachanganja kuomba na kutawasl
Shirki akbar mzee Allah akuongoze
Sasa unashida alafu unaweka ng'ombe kwa nn tusimuombe asie itaji ujira uo ni ushirikina hakuna sharifu anae ombwa kama allah huo mi uzushi
Allah waongoze wasiombe makaburi
@AbassJYahya
2 ай бұрын
Sadakta aamin aamin yaa rabbal a'lamin
Subuhana Allah WA kuombwa ni Allah pekeake ndio anaetoa kumuomba kiumbe mwezio HAIFAI NA NI USHIRIKIA HUO MUOMBENI ALLAH PEKEE NDIO ANAETOA
ALLAHU AKBAR Allah anamlipa Mema Kila mtenda Mema ❤🔥🙏🙏🙏🙏
INAWEZEKANA HAYO YALIINULUWA YAKAWA JUU ZAIDI YA MENGINE. HAKUNA CHA AJABU HAPO.
Kuomba asiyekuwa Allah ni shirki Allah awaongoze na awafahamishe kabla ya umauti
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Sio ushirikina kasome dini kuomba dua kupitia utukufu wa mtu au kitu sio ushirikina yani unaomba Mungu naomba unikubalie duwa hii kwa utukufu wa swahaba au fulani hapa hakuna ushirikina
Mungu awahurumie,ila waislamu mnavitu vya ajabu hv mifupa mikavu ndani ya kaburi inaweza kukusaidia nini jamani badilikeni huo ni ujinga mashetani yamewavaa nyinyi
@user-xr5wg3hm6p
5 ай бұрын
Ww amn unachkijuwa nyamaza wewe kafili
@annamussa185
5 ай бұрын
@@user-xr5wg3hm6p wewe na Muhammad wote ni 🐕
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
@@annamussa185 mbona unatukana
Inalillah wainailahi rajuun Babu kamabodo hupo Hai rudi kwa Allah Acha shilki nawe jitahidi ufanye mema iliupate mwishomwema
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Hakuna ushirikina someni dini hapo haombwi sharifu anaombwa Mungu
KAMA KUKOSEA BASI ILO NIKOSA KUBWA KUMSHIRIKIAHA ALLAH NA MASHARIFU HAKIKA ALLAH HUAKBAR NDIO WAKUOMBWA KWANI ALLAH NDIO ALIE WAUMBA HAO MASHARIFU NA MITUME MA WALII NA VIUMBE WOTE DUNIANI NA AKHERA NDIE PEKEE APASAE KUABUDIWA.
MMI ni twalabul ilm niko kenya inaruhusiwa kutwasal ndo mana mtu akienda makka unamwambia akuombee na wwe dua akifika sababu ile n sehemu bora ssa dua inaeza kubaliwa sababu ya mji wa makka na kwa masharifu n hvo hvo sababu n watu wema
@Wastara001
2 жыл бұрын
Kama uko Kenya ndio tuamini hizo shirk.
@SleepyBeach-qs9mf
4 ай бұрын
Hapo nimekuelewa na ninakushukuru sana.
@allyabdallah4679
17 күн бұрын
Wewe Acha kupotosha watu
Sio watu wamepotea ila wafrika ndo wamepotea kwa kufata Imani na asili tamatulin desturi za kiafrika izo ni asli ya wafrika sema wafrika wengi ni jinga Afrikaans maana asili yao wanaona niushezi kama walivyo potoshwa Kwa ile Iman ya kuaminishia waache chao wafuate visivyo vyao mungu ibariki Afrika
Subhaan'Allah! ❤❤❤
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉
Waliokufa hawana sehemu katika walio hai... Yesu Kristo Ndiye njia kweli na uzima wa milele
@emmanuelmichael8019
2 жыл бұрын
We nae hujui chochote kaa huko
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
@@emmanuelmichael8019 hahaaaa
Subuhanallah mtihani
Kutembelea makaburi na kuwaombea dua marehem wako ni sawa.lakin kwenda kuomba shida zako haifai ni shirki kubwa.
Omba alafu mungu nae akupa uzidi kumshirikisha,acheni ushenzi wenu huo ,shirki tupu hizo zenu sharifu ndo nn wacheni kupotosha umma hpa
Shetani anambinu nyingi sana yakuwapoteza watu nakuwaanisha vitu watu nakuanza kuvifanyia ibada kanakwamba ni mungu watu wanaamini makabuli ya masharifu nakuanza kufanya ibada na maombi makabulini duu hii ni hatali
Pelekeni ujinga huko badala ya Mungu unaomba maiti km walikuwa Wacha Mungu ni wao na ww tafuta ucha Mungu wako acheni shirki
Mungu kwaza kwani dua zote utoka kwa mungu
Subhanallah Allah peke ndio wakuombwa hiyo ni shirki
Astaghfirullah...mnaacha kumuomba mungu..mnawaomba binadamu mwenzio yeye mwenyewe kaumbwa kama wewe..Allaah awahid..inshllh mumuombe yeyetu asiye na mshirika.
@hasaniabdalah6148
7 ай бұрын
Tena anaomba maiti
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Sio ushirikina kasome dini kwanza
Shirki kubwa sana hio allah awaongoze njia ya haki
SHARIFU SIO WA KUMUOMBA HUYO NI MFU TU WA KUMUOMBA NI ALLAH PEKEYAKE
Washirikinaaa haooo
Kweli Hao masharifi
Mzee alikosea kidogo.c kuwaomba hao masharibu.bali ni kutawassal kupitia hao masharifu.YAANI UNAMUOMBA MUNGU KUPITIA HAO MASHARIFU KWA MAANA WAO WALIKUA WATU WEMA,WALIPOKUA HAI WAKIOMBA MUNGU HUKUBALIWA HARAKA DUA ZAO.INABIDI NASI PIA TUKIWA NA HAJA ZETU TTUMUOMBE MUNGU KUPITIA WAO. HATA UKIKUTA MTOTO WAKO AKIOMBA MUNGU,DUA ZAKE HUKUBALIWA HARAKA.BASI FANYA KUTAWASAL KUPITIA YEYE
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
Unachanganya haki na batili
@mariamshaban4518
Ай бұрын
Hata ww umekosea pia unamuombaje allah kupitia maiti?
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
@@mariamshaban4518 sio ushirikina
Tunawaomba mashehe na masharifu watupe elimu ktk ya kutosha kuhusu Jambo hili limetuweka njia panda je lafaa au halifai kuabudu makaburi hayo kWa namna yoyote
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Ndio linafaa hakuna ushirikina yani haombwi maiti anayeombwa ni Mungu yani mfano ww unaweza kuomba km wazee wako wamefariki ukaomba Mungu nina shida hii niondolee kwa baraka za wazee wangu au sharifu au swahaba au shekhe fulani hakuna ushirikina ni halali inaitwa taswaufu
INNALiLAhi WA INNA ILAhi RAAjiuna. SS ndiyo tuwaombeee dua siyo ss Tuwaombe waoo apana, Kwani wao na manabii Nani nani zaidi kipenzi chá alha?
@ramadhaniomary9241
6 ай бұрын
Kweli kiyama kipo karibu nyote wachangiaji mmeshindwa kuelewa kwa Nini Hawa watu wameacha makaburi yote wakaelekea hayo makaburi mawili .halafu mmewaingiza moyoni hao wanaokwenda kutawasal nyinyi mnaita kuabudu haya hivi ni kweli hao watu wameshindwa kutofautisha baina ya mungu na masharifu waliokufa.kwa Nini mnatoa fatawa Hali ya kuwa nyinyi si wajuzi.Na pia kwa Nini hamuendi kuwanusuru badala yake mnawatia moyoni ndiyo Nini Sasa hiyo
Cameraman mbona huoneshi hayo makaburi ??
Hapana bana maji kipindi hicho maji hakukuepo😂
Inna lillah wa inna ilayhi rajiun.uwo ni ushirikina.awo ni watu.siyo Allah
Mtangazaji hujielew fungua kipingi kwa kueleza upo wapi, kuanzia mkoa, wilaya, kata mpka kitongoji, tujuwe ni wap
Jamani anaesitahiki kuombwa ni Mungu tu pekee
Tupeni elim
Please hiyi message kama huyo mze Yuko hayi basi umambie Rudi Kwa Allah akusamehe madambi yako Kwa Sababu umemshirikisha allah na niyeye mwenye anae stahiki kuabudiwa na kuombwa na hawo wenginewe kama Bado wako wanao muomba mayiti bas Kwa hisani yako wafikishie hii message shukran
FANYENI YOTE TUMUOGOPENI ALLAAH KWENYE NAFASI YA KUMSHIRIKISHA ALLAAH
Hiyo ni shirki kubwa sana haifai kabisa kumuomba binadamu.
Yako wapi
huo ni ushirikina sharifu anapaswa kukuombea kwa mungu amiwa hai akishafariki yake yanaishia hapo
Walio kufa hawana makosa wenye kuomba wanakosea
Inna Lillahi Wainna IlaYhi Rajioon... Allahumma Gh'FirLahum War'hamhum...
Tujikingeni na Jambo la shirki
Mapepo hayo jamani
Nimakosa kuomba sharifu bid3ah
Ushirikina tu
Sasa mpitaka yafunikwe na maji wakati hayo makaburi yapo juu na maji yapo chini kulingana na kina cha maji ?? Pumbaavu zenu
Shirki ya wazi kuomba hivyo wala sio tawasul
Wajukuu wa mtume .ni Hassan and Hussein,, hizo zingine shirki,,
Nyiye mawahaabi hawa elewi diini kila kiitu shirki ndio mna hawaja sooma diini hiyo mzee an seema maitwa tawasul nyinyi mawahaabi nim jiinaga saana
Lakin hamon kuw kuomba kuwaomb waliokuf ni Shirk uslm Haukubal hay mnayatoa wapi jaman
Mimi Bado sijaelewa walichimbaje hayo makaburi ndani ya Maji?
Kutawasal kwa masharifu siyo ushirikina
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
Ushirikina ni upi ss
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
Huo ni ushirikina
Najiuliz kabur walichimbj ila km iliwezekn bas ni watu Wema
Acheni kutupotosha
Wacheni kudanganya watu na shirki zenu izo
Ndumi hiyo
Yakawaida
Mh mizimutuu na mashetani
Mzee amekosea kuongea siyo wanaombwa Bali tunatawasali kwao
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Haram
Kuto kujua kwako ww isiwe sababu ya kuharamisha mambo
UKOSEFU WA AKILI UTAMUOMBEJE BINADUMU MWENZAKO AKILI POTOVU NA UJINGA TU SASA MWAJUWA MWENYEZIMUNGU ALIWAPA MAUT MBONA MWAOMBA MAKABUR YAO TUACHENI UJINGA
Wakuombwa ni Allah .tuache shirki
Iyo ni bida. Wakuombwa ni allah
Hao msimbe wanadam
Napajua hapo jaman mbon wanasema hayo makabur n mke na mume sio masharif ila nshafika had hapo yapo kwel
@salhamadabida6786
Жыл бұрын
Khaa kama kitu ukijua jitulize mi ulikurupuka ukadanganywa ni mtu na ndugu yake mji wetu wa Wana Zahara huo home sweet home Kuna mengi ya kukwambia ukiwa tayari
@msarama5406
26 күн бұрын
ndumi yetu
Inna lilahi wa inna ileihi rajiun, jamani mambo ya kusikitisha.Mashekhe wenye kufanya da'wa nawaomba mwende kutoa hawa watu masikio taka muwarudishe kwa Allah sio kukaa kutukanana wenyewe kwa wenyewe.Hawa watu hali zao mahututi kidini...Allah mustaan
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
Hawana kosa ushirikina upi hapo
Hii ni shirki
Astaghfiru llwahul adhiiim
Acheni shirki
H
MGOJA NIPATE MDA NIKAPACHIMBE NIUONDOWE UTATA
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
We ndio huna akili hutaki kusoma unahukumu watu
Mzee ako sahiihi anelewa dini nyinyi ni ma wahaabi khawariji
@AbdullahOmar-be4wy
27 күн бұрын
😂 hawataki kusoma kazi kuwasemea watu washirikina
Makepeace shirki
Inalilahi wainnailahi rajuul hiyo ni shirk kubwa na huyu mzee ni mshirikina mkubwa na kofia lake
@chichimloli5926
3 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaaa
@hawamvao8691
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kabisa Huyu babu ni mshirikina hakuna anaye faa kuobwa isipokuwa Allaah.pekeee.
@kareemesmael2265
2 жыл бұрын
Tatizo ni elimu
@rngsplif9484
2 жыл бұрын
Huo ni ushirikina wa hali ya juu.hawa watu natakufundishwa Tauhidi
Sio watu wamepotea ila wafrika ndo wamepotea kwa kufata Imani na asili tamatulin desturi za kiafrika izo ni asli ya wafrika sema wafrika wengi ni jinga Afrikaans maana asili yao wanaona niushezi kama walivyo potoshwa Kwa ile Iman ya kuaminishia waache chao wafuate visivyo vyao mungu ibariki Afrika