❤ mwabukusi ni hadhina yenye thamani kubwa Sana katika nchi hii,..👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@hamisijuma8124
4 ай бұрын
Huyu kichaa tu anatafuta ugali wake
@migerajacob5814 ай бұрын
Tungepata watu 100, kama Mwapukusi nchi ingenyoka,, big up bro,, tupo nyuma yko,
@FrankMwakatundu-cu6bd
4 ай бұрын
KUWA WA PILI BAADA YA MWABUKUSI, TATIZO LA WATANZANIA WEEENGI WANAFIKIRI HAWEZI KUWA YEYE ILA WENGINE 99 NA MH. MWABUKUSI WATAKUWA 100. NI KOSA KUFIKIRI HIVYO!!!
@JaneJennifer-zk7bk
3 ай бұрын
Bila katiba mpya tutakuwa tunapiga kelele tu ndugu yangu ,na ndiyo maana hawajali
@hanscmakerdm99434 ай бұрын
Muandishi hana anachokijua😅
@jamesmassamakeri24184 ай бұрын
Mwanahabari soma kwanza ndo upate content za kuwahoji watu wenye uwezo Kama hao , hongera advocate
@veronicanabina33804 ай бұрын
Mwabukusi, ukigombea uraisi kupitia Chama chochote kura yangu nakupatia asubuhi na mapema
@user-zr1jf1gb4m4 ай бұрын
Mh Mwambukusi kweli ni mwalimu mvumilivu. Anavumilia kuwafundisha mazuzu
Ubarikiwe Sana sana mungu akulinde kwa kukosoa nakuelimisha ccm yenye uelewa wa f darasan
@EbenezerMagari4 ай бұрын
Asante Mungu kwakutupa vichwa kama hawa
@sixberthcostantini92904 ай бұрын
Kweli kiongoz ongea ukweli Mungu akulinde
@chedijohn22704 ай бұрын
Mwabukusi safiii Mungu akuongezee hekima na,busara Amen.
@user-gu1fu2ud9j4 ай бұрын
Honger sana mwambukusi kutaja ngorongor
@reginas18324 ай бұрын
Bandari haiuzwiiii Asante sana Mh. Mwabukusi
@evansdecaprio81964 ай бұрын
Tanganyika inawatu wa maana sana
@fabianmnyenyelwa87524 ай бұрын
Mwabukusi umesheheni madini, uko vizuri hakuna mwana-ccm anayeweza kupinga nondo zako. bigup bro nakukubali sana
@user-jj7qv7kh2s4 ай бұрын
Mimi nakukubali Sana mzalendo wa kweli
@KhaleedHamad-vl7lz4 ай бұрын
Bro uko poa sana chadema mnawatoa wapi hawa watu wasomi hivi sio vilaza akili zao hazijalala
@yohanaisayasimoni4 ай бұрын
Waziri ajae mwambukusi huyu ni azina ya nchi
@AizackKalenge-ro5rc4 ай бұрын
Mwabukusi Hongera kuitetea Tanganyika,
@CollinceFrances4 ай бұрын
Tunakuombea kaka Mwambukusi Mungu hakubari Ila Kua makini na hawa watu sio wazuri
@RutinikiGosbert4 ай бұрын
Mr. Mwambukusi huyo naye achana naye hana jipya kama hajui ata tamko la maaskofu ni wapi uyo
@user-zk9ox3di4b4 ай бұрын
Amkeni watanganyika msidanganywe na wajanja CCM iwe mwisho wake kutawala Tanganyika asante sana mdogo wa mwabukusi
@tegoswadakta89964 ай бұрын
Asante kwa shule Mwabukusi, asante baba
@christinangondi42124 ай бұрын
HAKUNA kipande cha Ardhi na Rasilimali za Watanganyika zitakazouzwa kwa watu weupe, milele Amina
@salummohamed26894 ай бұрын
Mwabukusi nakuheshimu kwa kut upatia elimu
@ezronhussen54014 ай бұрын
Ccm mbona wana jinufaisha wao tyu
@mwambietv76143 ай бұрын
Nchi hii ni inataka watu kama hawa Vivaaa Mwabukusi
@MageAwe-hl5zbАй бұрын
Mhesimiwa mungu akubariki yeyote atakayeinuka kinyume yako awe adui wa mungu na hao wanaonguka Raisi wetu na kumfanya chukizo kwa wanamchi mu ngu awaaibishe watahayarishwe. Wafedheheshwe
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
NDIO MAANA TUNAJIUNGA KTK MAANDAMANO KUIKOMBOA TANGANYIKA
@DonMooSTUDIO_Express4 ай бұрын
JAMBO TV hapa mmeingia sehemu siyo 😂😂 huyu siyo Tundu Lissu ambaye mnajitahidi kumtoa kwenye point zake kwa makelele yenu. Huyu mwamba akishimika kashimika kweli😂
@Zanijasy-hy7vm3 ай бұрын
Mwabukusi Nyerere II WA Tanganyika
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
YAANI HATA SIS TUTAKUFA KAMA WIMBO USEMAO TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI NA MWISHO UNASEMA TANZANIA UNILINDE HATA KUFA😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
@1961nungwi4 ай бұрын
Hawa waandishi wa habari wa siku hizi kaazi kweli kweli!!
@rahabufilangali-cp6br4 ай бұрын
Shetani hawezi kufukuza pepo
@jesaminzo4 ай бұрын
Kweli kabisa. Yeyote anayeamini kuwa statement ya Bashite ni ndogo, lazima tuwe na wasiwasi na IQ yake
@ukululegeorge93093 ай бұрын
mwabukus yuko sahihi,na Mungu amzidishie uhai kwa faida ya watanzaia.
@JumaMbaga-sd5yi21 күн бұрын
Huyu jamaa anaakili nyingi sanaaaasas na anakuja kwelikweli sio mxaha
@peacemwesiga4 ай бұрын
Mwabukusi❤❤❤
@Sehewa_Edward_Mohamed4 ай бұрын
Kuelewa ni ngumu Sana. Watu wanataka kanga na chakula tu. Ila huyu mtu ni mwamba
@AmosNabiiAmos3 ай бұрын
Asante
@mariamusaulo44294 ай бұрын
Mwandishi hatoshi kumhoji huyoo Baba
@success-only4 ай бұрын
😂😂😂 IQ ya makonda ni ndogo Uko sawa wakili mwabukusi
@user-fz3bk6vw2b4 ай бұрын
Nakukunal asant
@williamgeorge-hd2tn4 ай бұрын
Shida ni kwamba nchi hii inamazuzu
@OmmyJames-xn7ji
4 ай бұрын
Wa kwanza wewe 🥳🥳🥳🥳
@sasha-ri7tf4 ай бұрын
UKITAFUTA UMARUFU MTAJE KIONGOZI MKUBWA, NDIO ANALOLIFANYA (MWAMBUKUSI)
@AmaniLukumay-wk6zm7 күн бұрын
Jitahidi baba juu ya bandari zetu na vawanja vya ndege
@VailettyShigerla-fw2sg4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@PatrickKalinga-yw6kl3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@elibarikimollel71494 ай бұрын
Wakili msomi Mwabukusi umetisha,kina Lisu mnazaliwa kila siku,safari hii lazima waaibike kwa kukataa kuchutama badala yake wanaamua kukaa kimya nchi ccm ifie mikononi mwao!
@JeremiahMwalukosya-eh5nf4 ай бұрын
Kaka mwambukusi ila makonda ndo umechemka sana tena pakubwa Kuna mahakama ya haki Tanzania hio nisiasa sasa mahakama ya Tanzania niyakihuni sana
@lenniefei67104 ай бұрын
Tanzania kumbe imejaa mapumba kweli ! Hamna nchi yeyote ulimwenguni eti mkuu wa mkoa ndie hakimu na wakili kwa masuala ya kisheria ! Upuzi mtupu.
@issacklyandala70234 ай бұрын
Bungeni yupo msukuma na lusinde msiba mkubwa
@beatricefilbert11714 ай бұрын
Mungu akuweke
@mbungemilanzi81494 ай бұрын
Wambieni ukweli hao makafili waache wizi watende haki dunia niya munngu hii wala siyao
@bmdele58164 ай бұрын
Mwandishi huyo kiazi kabisa, Ajibu kwanza kwa sauti Dubai ni nchi!😊
@JaneJennifer-zk7bk3 ай бұрын
Wakati mnapambana bandar zetu zirudi, msisahau kupambana pia ili kupata katiba mpya ambayo italinda raslimali za taifa letu,tusikubaliane kabisa na huu usanii wa hawa wanasiasa wanasema watanzania wanataka katiba mpya mdomoni huku wakijua hawawezi kukubali kwa vitendo maana wanajua uhalifu wanaofanya kinachowalinda ni katiba
@Ally-ts5gk3 ай бұрын
Hamna lolote hapo hajapewa mkwanja tu huyo mpeni chase huyo anyamaze wabongo kwa pesa ni noma mikwara tu hiyo jamani tutaona mwisho wake tuombe uhai na uzima tu kwa muumba wetu
@barakamanga55024 ай бұрын
Duh safari bado kumbe mbichi hii
@user-rc1dp6ux3k4 ай бұрын
Watanzania tufunguke vichwa ccm majambazi mafisadi😅mwaandishi wa ovyo
@Rich_lodrickLodrick_mollel4 ай бұрын
U
@AsteriaMasika-st5pk3 ай бұрын
Jamaa naakili za ajabu, duuh
@RwegoshoraPatt-os2ik4 ай бұрын
Mwamba nakukubali kujitoa muhanga......lazima tu wakunyamazize...hatujui njia ipi itatumika ...😢
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
TUAITETETEA NCHI YETU KWA GHARAMA YOYOTE HATA KUFA KATIBA INATUTAKA
@alexmbeyanje40224 ай бұрын
Baba edeleya nakupiga
@ramadhanimtetu36564 ай бұрын
Mitandaoni Kuna raha Kweli
@CaftyLema3 ай бұрын
Hàpo umesema kamanda
@christinangondi42124 ай бұрын
Wenye Hekima na Busara kama hawa wanaishi mtaani, ILA wenye kichwa cha mwendawazimu ndo wamekalia VITI, very SAD
@wilisonmikate16524 ай бұрын
Mwambukus apewe maua yake
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
UNILINDE NAMI NIKULINDE HATA KUFA
@profs.a54124 ай бұрын
Mwandishi weeeeeee😂😂😂
@imanimakiyu51463 ай бұрын
Mwandishi hana data ana maswali alosoma chuoni kwao haelewi yanayoendelea
Ndugu mtangazaji huwe inajiaandaa kabla hujaenda kumuoji mtu kwanza fanya utafiti soma vitabu fukunua ndo saaa ujue kuuliza maswali, saaa wewe unaendatu kila swali ukiuliza huna utafiti,
@ellyburton68624 ай бұрын
Mwandishi na wew kiwango chako ni kidogo mno hujui nn hapo
@HamisiNgukuАй бұрын
Rahidhani ulishasepa mashujaa fm
@user-lw3tg3yg5b4 ай бұрын
Huyo mwandishi wa Habari naye hajui kitu na siyo mzalendo
@mussamuna9004 ай бұрын
huyu mwandishi hajui amekutana na mtu wa namna gani
@josephandrea3 ай бұрын
Mwambukusi usiache kugombea ngazi ya Rais mambo yanyooke unaitetea sana rasilimali za Tanzania
@user-yk2ey6xu9g3 ай бұрын
Mwambukusi anahekima saana anaongea hata nawatu wasio na akiri levo zake dr slaa lisu sami mbowe lema labda
@user-zk9ox3di4b4 ай бұрын
Watanganyika tumekwisha serekali imebewa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache
@user-nn6zq1ok7i3 ай бұрын
UFISADI NI MATOKEO YA UTAWALA WA CCM
@christinangondi42124 ай бұрын
Weweee, kwani hujui kwamba vyombo vya dola vyooote viko mikononi mwa mkulima wa mboga mboga?
@Mwinjilisti9664 ай бұрын
Huyu jamaa Ana njaa ya madaraka Wala siyo uzalendo
Meabukusi usipotoshe. Weee unajua nchi mbali mbali duniani zilizo ktk Famme kama Uingereza, Dubai, Kuwa a sovereign State siyo jambo pekee linalongatiwa ktk kuingia mikataba kati ya sehemu ya Dola na nchi ya nje. Does Ireland, as part of United Kingdom, forbidden to enter into agreements with other nations? Je katiba ya UAE haona vifungu, Exclusivity Clauses, zinazoruhusu Emirates kuingia mikataba na nchi za nje? ACHA KUDANGANYA WATU
@lazaromshamu3521
4 ай бұрын
ndugu ulifuatilia hukumu ta mahakamani lakini..? kasikilize majaji walitamka nn kuhusu hao dubai
@ZenaMwakalambile4 ай бұрын
Makonda atawanyoosha nyie.mnajaribu kumsema vibaya lakin wanyonge wanamuamin kupitia maelekezo ya samia.
@peacemwesiga4 ай бұрын
Muhandisi hajui chochote masking aibu😂
@juliusmsangi6849
4 ай бұрын
Huyo sio Mhandisi(Engineer) ni Mwandishi asiyejua uandishi!
@AizackKalenge-ro5rc4 ай бұрын
Huyu mwandishi ana akili sawa,Au anatafuta kiki ya kuteuliwa?
@veronicanabina33804 ай бұрын
Jamani mwandishi ulijua unakuja kumhoji nani, au umepewa taarifa ya kushtukiza?
@NorbertusNyamuga4 ай бұрын
mh mwabukusi huyo unaefanya nae mahojiano sio mwandishi ni mtu wa chukua chako. ...
@user-wg6px3nv1u4 ай бұрын
Makonda ni ziro katika kratasi je kichwani itakuwa 100 au 50 kichwani?
@richardmakweta88754 ай бұрын
Hivi huyu mwandishi kasoma????
@JOHNKKULULINDA-pc6gy4 ай бұрын
HIVI, LIPI JEMA, KUKIRI KUWA KUNA MAKOSA YA BAADHI YA WATENDAJI . NA KUAHIDI KUANZA UPYA KUWASHUGHULIKIA ASIO WAAMINIFU.
@reginas18324 ай бұрын
Mwandishi kilaza
@mwasoprince34593 ай бұрын
USHAURI WANGU MWABUKUSI GOMBEA UBUNGE ILI UKASEMEE WANANCHI
@maryamabdallah31404 ай бұрын
Wacheni urongo wenu, huo ni mtazamo wako...alisema kutokana na hali ya mwananchi wa kawaida hawezi kupambana mahakamani ukiwa huna pesa kwhy ni bora tatizo litatuliwe live 😊
@@salummohamed2689 wao kipi wanafanyia wananchi...wananchi wako ktk madhila makubwa ya matatizo... Unadhani huyo mwanasheria yuko tayari kasimamia kesi za walalahoi??? Use yr brain sio mnafanya ushabiki usio na maana.
@maryamabdallah3140
4 ай бұрын
@@bravofundikila965 bravo, hujafikwa na shida... Ngoja upatikane na shida utajua hakunaga mwabukus wa Bure kuja kukutetea Bora ya huyo mtatuzi wa shida za watu live, japo mnahisi ni maigizo
@hamisijuma81244 ай бұрын
We huna lolote mbona huendi mahakama ya kimataifa muongo wewe
@clarencehilary55884 ай бұрын
Rais ajae ni mwambukusi uwe raisi wetu wa tanganyika
@clemencemkondya85614 ай бұрын
Acha porojo wewe ndiye huna akili kabisa .Huo ni uzushi .Achakupotosha watu ..Makonda ndiyo dawa yenu
Пікірлер: 123
❤ mwabukusi ni hadhina yenye thamani kubwa Sana katika nchi hii,..👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@hamisijuma8124
4 ай бұрын
Huyu kichaa tu anatafuta ugali wake
Tungepata watu 100, kama Mwapukusi nchi ingenyoka,, big up bro,, tupo nyuma yko,
@FrankMwakatundu-cu6bd
4 ай бұрын
KUWA WA PILI BAADA YA MWABUKUSI, TATIZO LA WATANZANIA WEEENGI WANAFIKIRI HAWEZI KUWA YEYE ILA WENGINE 99 NA MH. MWABUKUSI WATAKUWA 100. NI KOSA KUFIKIRI HIVYO!!!
@JaneJennifer-zk7bk
3 ай бұрын
Bila katiba mpya tutakuwa tunapiga kelele tu ndugu yangu ,na ndiyo maana hawajali
Muandishi hana anachokijua😅
Mwanahabari soma kwanza ndo upate content za kuwahoji watu wenye uwezo Kama hao , hongera advocate
Mwabukusi, ukigombea uraisi kupitia Chama chochote kura yangu nakupatia asubuhi na mapema
Mh Mwambukusi kweli ni mwalimu mvumilivu. Anavumilia kuwafundisha mazuzu
@hamisijuma8124
4 ай бұрын
Anatafuta Kiki
@DicksonIgnas-pq1rj
3 ай бұрын
@@hamisijuma8124ndivyo Machawa ndivyo mnavyo sema
Ubarikiwe Sana sana mungu akulinde kwa kukosoa nakuelimisha ccm yenye uelewa wa f darasan
Asante Mungu kwakutupa vichwa kama hawa
Kweli kiongoz ongea ukweli Mungu akulinde
Mwabukusi safiii Mungu akuongezee hekima na,busara Amen.
Honger sana mwambukusi kutaja ngorongor
Bandari haiuzwiiii Asante sana Mh. Mwabukusi
Tanganyika inawatu wa maana sana
Mwabukusi umesheheni madini, uko vizuri hakuna mwana-ccm anayeweza kupinga nondo zako. bigup bro nakukubali sana
Mimi nakukubali Sana mzalendo wa kweli
Bro uko poa sana chadema mnawatoa wapi hawa watu wasomi hivi sio vilaza akili zao hazijalala
Waziri ajae mwambukusi huyu ni azina ya nchi
Mwabukusi Hongera kuitetea Tanganyika,
Tunakuombea kaka Mwambukusi Mungu hakubari Ila Kua makini na hawa watu sio wazuri
Mr. Mwambukusi huyo naye achana naye hana jipya kama hajui ata tamko la maaskofu ni wapi uyo
Amkeni watanganyika msidanganywe na wajanja CCM iwe mwisho wake kutawala Tanganyika asante sana mdogo wa mwabukusi
Asante kwa shule Mwabukusi, asante baba
HAKUNA kipande cha Ardhi na Rasilimali za Watanganyika zitakazouzwa kwa watu weupe, milele Amina
Mwabukusi nakuheshimu kwa kut upatia elimu
Ccm mbona wana jinufaisha wao tyu
Nchi hii ni inataka watu kama hawa Vivaaa Mwabukusi
Mhesimiwa mungu akubariki yeyote atakayeinuka kinyume yako awe adui wa mungu na hao wanaonguka Raisi wetu na kumfanya chukizo kwa wanamchi mu ngu awaaibishe watahayarishwe. Wafedheheshwe
NDIO MAANA TUNAJIUNGA KTK MAANDAMANO KUIKOMBOA TANGANYIKA
JAMBO TV hapa mmeingia sehemu siyo 😂😂 huyu siyo Tundu Lissu ambaye mnajitahidi kumtoa kwenye point zake kwa makelele yenu. Huyu mwamba akishimika kashimika kweli😂
Mwabukusi Nyerere II WA Tanganyika
YAANI HATA SIS TUTAKUFA KAMA WIMBO USEMAO TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI NA MWISHO UNASEMA TANZANIA UNILINDE HATA KUFA😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
Hawa waandishi wa habari wa siku hizi kaazi kweli kweli!!
Shetani hawezi kufukuza pepo
Kweli kabisa. Yeyote anayeamini kuwa statement ya Bashite ni ndogo, lazima tuwe na wasiwasi na IQ yake
mwabukus yuko sahihi,na Mungu amzidishie uhai kwa faida ya watanzaia.
Huyu jamaa anaakili nyingi sanaaaasas na anakuja kwelikweli sio mxaha
Mwabukusi❤❤❤
Kuelewa ni ngumu Sana. Watu wanataka kanga na chakula tu. Ila huyu mtu ni mwamba
Asante
Mwandishi hatoshi kumhoji huyoo Baba
😂😂😂 IQ ya makonda ni ndogo Uko sawa wakili mwabukusi
Nakukunal asant
Shida ni kwamba nchi hii inamazuzu
@OmmyJames-xn7ji
4 ай бұрын
Wa kwanza wewe 🥳🥳🥳🥳
UKITAFUTA UMARUFU MTAJE KIONGOZI MKUBWA, NDIO ANALOLIFANYA (MWAMBUKUSI)
Jitahidi baba juu ya bandari zetu na vawanja vya ndege
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏
Wakili msomi Mwabukusi umetisha,kina Lisu mnazaliwa kila siku,safari hii lazima waaibike kwa kukataa kuchutama badala yake wanaamua kukaa kimya nchi ccm ifie mikononi mwao!
Kaka mwambukusi ila makonda ndo umechemka sana tena pakubwa Kuna mahakama ya haki Tanzania hio nisiasa sasa mahakama ya Tanzania niyakihuni sana
Tanzania kumbe imejaa mapumba kweli ! Hamna nchi yeyote ulimwenguni eti mkuu wa mkoa ndie hakimu na wakili kwa masuala ya kisheria ! Upuzi mtupu.
Bungeni yupo msukuma na lusinde msiba mkubwa
Mungu akuweke
Wambieni ukweli hao makafili waache wizi watende haki dunia niya munngu hii wala siyao
Mwandishi huyo kiazi kabisa, Ajibu kwanza kwa sauti Dubai ni nchi!😊
Wakati mnapambana bandar zetu zirudi, msisahau kupambana pia ili kupata katiba mpya ambayo italinda raslimali za taifa letu,tusikubaliane kabisa na huu usanii wa hawa wanasiasa wanasema watanzania wanataka katiba mpya mdomoni huku wakijua hawawezi kukubali kwa vitendo maana wanajua uhalifu wanaofanya kinachowalinda ni katiba
Hamna lolote hapo hajapewa mkwanja tu huyo mpeni chase huyo anyamaze wabongo kwa pesa ni noma mikwara tu hiyo jamani tutaona mwisho wake tuombe uhai na uzima tu kwa muumba wetu
Duh safari bado kumbe mbichi hii
Watanzania tufunguke vichwa ccm majambazi mafisadi😅mwaandishi wa ovyo
U
Jamaa naakili za ajabu, duuh
Mwamba nakukubali kujitoa muhanga......lazima tu wakunyamazize...hatujui njia ipi itatumika ...😢
TUAITETETEA NCHI YETU KWA GHARAMA YOYOTE HATA KUFA KATIBA INATUTAKA
Baba edeleya nakupiga
Mitandaoni Kuna raha Kweli
Hàpo umesema kamanda
Wenye Hekima na Busara kama hawa wanaishi mtaani, ILA wenye kichwa cha mwendawazimu ndo wamekalia VITI, very SAD
Mwambukus apewe maua yake
UNILINDE NAMI NIKULINDE HATA KUFA
Mwandishi weeeeeee😂😂😂
Mwandishi hana data ana maswali alosoma chuoni kwao haelewi yanayoendelea
Ww rofa mjinga bwege unamsema makonda unakili kweli ww
Tanganyika upi.
Usimshutumu makonda yupo saw nikichwa
Ndugu mtangazaji huwe inajiaandaa kabla hujaenda kumuoji mtu kwanza fanya utafiti soma vitabu fukunua ndo saaa ujue kuuliza maswali, saaa wewe unaendatu kila swali ukiuliza huna utafiti,
Mwandishi na wew kiwango chako ni kidogo mno hujui nn hapo
Rahidhani ulishasepa mashujaa fm
Huyo mwandishi wa Habari naye hajui kitu na siyo mzalendo
huyu mwandishi hajui amekutana na mtu wa namna gani
Mwambukusi usiache kugombea ngazi ya Rais mambo yanyooke unaitetea sana rasilimali za Tanzania
Mwambukusi anahekima saana anaongea hata nawatu wasio na akiri levo zake dr slaa lisu sami mbowe lema labda
Watanganyika tumekwisha serekali imebewa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache
UFISADI NI MATOKEO YA UTAWALA WA CCM
Weweee, kwani hujui kwamba vyombo vya dola vyooote viko mikononi mwa mkulima wa mboga mboga?
Huyu jamaa Ana njaa ya madaraka Wala siyo uzalendo
Mwandishi anahoji ujinga! Ukizoea kulala kwenye kitanda chenye kunguni utapata usingizi ingawaje kunguni anaendelea kukutafuna!
Meabukusi usipotoshe. Weee unajua nchi mbali mbali duniani zilizo ktk Famme kama Uingereza, Dubai, Kuwa a sovereign State siyo jambo pekee linalongatiwa ktk kuingia mikataba kati ya sehemu ya Dola na nchi ya nje. Does Ireland, as part of United Kingdom, forbidden to enter into agreements with other nations? Je katiba ya UAE haona vifungu, Exclusivity Clauses, zinazoruhusu Emirates kuingia mikataba na nchi za nje? ACHA KUDANGANYA WATU
@lazaromshamu3521
4 ай бұрын
ndugu ulifuatilia hukumu ta mahakamani lakini..? kasikilize majaji walitamka nn kuhusu hao dubai
Makonda atawanyoosha nyie.mnajaribu kumsema vibaya lakin wanyonge wanamuamin kupitia maelekezo ya samia.
Muhandisi hajui chochote masking aibu😂
@juliusmsangi6849
4 ай бұрын
Huyo sio Mhandisi(Engineer) ni Mwandishi asiyejua uandishi!
Huyu mwandishi ana akili sawa,Au anatafuta kiki ya kuteuliwa?
Jamani mwandishi ulijua unakuja kumhoji nani, au umepewa taarifa ya kushtukiza?
mh mwabukusi huyo unaefanya nae mahojiano sio mwandishi ni mtu wa chukua chako. ...
Makonda ni ziro katika kratasi je kichwani itakuwa 100 au 50 kichwani?
Hivi huyu mwandishi kasoma????
HIVI, LIPI JEMA, KUKIRI KUWA KUNA MAKOSA YA BAADHI YA WATENDAJI . NA KUAHIDI KUANZA UPYA KUWASHUGHULIKIA ASIO WAAMINIFU.
Mwandishi kilaza
USHAURI WANGU MWABUKUSI GOMBEA UBUNGE ILI UKASEMEE WANANCHI
Wacheni urongo wenu, huo ni mtazamo wako...alisema kutokana na hali ya mwananchi wa kawaida hawezi kupambana mahakamani ukiwa huna pesa kwhy ni bora tatizo litatuliwe live 😊
@salummohamed2689
4 ай бұрын
Mjinga hujui na Wala husikilizi ukaelewa!
@bravofundikila965
4 ай бұрын
Rafiki yangu huna uelewa mbona mwambukusi yuko wazi sana.
@mbwanahasan2971
4 ай бұрын
Zwaxwa mmoja hujielewi Bora ukae kimya
@maryamabdallah3140
4 ай бұрын
@@salummohamed2689 wao kipi wanafanyia wananchi...wananchi wako ktk madhila makubwa ya matatizo... Unadhani huyo mwanasheria yuko tayari kasimamia kesi za walalahoi??? Use yr brain sio mnafanya ushabiki usio na maana.
@maryamabdallah3140
4 ай бұрын
@@bravofundikila965 bravo, hujafikwa na shida... Ngoja upatikane na shida utajua hakunaga mwabukus wa Bure kuja kukutetea Bora ya huyo mtatuzi wa shida za watu live, japo mnahisi ni maigizo
We huna lolote mbona huendi mahakama ya kimataifa muongo wewe
Rais ajae ni mwambukusi uwe raisi wetu wa tanganyika
Acha porojo wewe ndiye huna akili kabisa .Huo ni uzushi .Achakupotosha watu ..Makonda ndiyo dawa yenu