TUTAZUNGUMZA LUGHA NGUMU HAIJAWAHI KUTOKEA''MWABUKUSI AENDELEA KUSHIKIA BANGO BANDARI NA DP WORLD..
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 241
hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …
Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja
@robbymzee3423
2 ай бұрын
Mungu ibaliki Tanzania iendelee kutuletea wasema kweli
Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc
Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako
Asate mkuu Nakuelewa sana pamoja sana
Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate
@kaaakwakutuliaa5179
4 ай бұрын
ivi unajua znz hauwezi kununua kiwanja
@SilivanusMahinja
2 ай бұрын
😅 no.😂😢😮😅😊@@kaaakwakutuliaa5179?
Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.
Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.
Safi sana ongea ukweli
Uyo ndo mwambukusi msomi makini
Asante Sana mwabukusi mungu akubariki
Napenda hoja zako mungu akulinde wakili Mwambukusi
MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI
Amen and this is true. We need seriously Reform
Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI
Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤
Mungu akupe maisha marefu
Amina sifa kwa Mungu alie waimba watu kama hawa majasiri wa kukemea maccm haya. Mungu ongeza wengine zaidi the name of Jessus
Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao
Aisee Tanzania ina watu hadimu sana😊😢😢😢
Asante MUNGU akubariki mwabukusi
Nakukubali. Akili yako na uzalendo siyo vya kutiliwa shaka
Akili kubwa sana
Unatosha kuwa mwalimu wangu.... Napenda kujifunza kwako
Kaka Mungu kakuweka hapo kwa kusudi lake hakika sisi tunakuelewa sana Mungu akulinde
Kweli limebemendwaa aiseee😂😂😂😂
Ila mwabukusi akigombea uraisi chadema inapita vizuri tu
Heshima nyingi kwako kamanda mwabukusi, tupo pamoja mkitangaza lugha ngumu kiongozi tutaizungumza wote mpk hawa manyang'au wajue kwmb hatutanii
Asante Kaka ❤❤
Tanganyika ❤Mungu azidi kutubariki tuna vichwa Sanaa
uko sawa bro yaani sawaa kabisa
UPO SAHIHI KABISA MWAMBUKUSI.
Nakukubali sana kamanda uko vizuri san ccm na wabunge wao hawana maana yoyote
Uko sasa kabisa kiongozi ✊🏽
MUNGU wa Mbinguni akulinde Mwabukusi🎉🎉
Mungu Akutunze kwajili Ya Tanzania
Respect kiongozi Mungu akulinde ipo siku wakati itafika tu
CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa Ukweli Wananchi tusipo amsha hakili zetu, basi Raslimali na vitegauchumi muhimu, CCM watauza vyote
Mwabukusi aungwe mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu
Mungu akulinde bila mungu huwezi
Kichwa kimeshiba maarifa ndani ya kichwa nakubali sana
Ccm wasipotuelewa, tutawelewesha kwa njia ambayo wataijua. Jamani tupambane machawa wamechachamaa wanapinga mazurI wamepewa kitu na ccm
Uko sawa kaka
Iam from kenya i like on how u express ur self
Alafu yanaibuka majitu hata A.E.I.O.U hayajui inaandikwaje alafu yanakwambia mitano tena yani hata broo makonda akifufua mautumbo yanayoliza watu waliopo na wasiohusika ila wanalia kwa kuona wenzao wanapita kwenye upuzi gani ndani ya nchi yenye watalam kila anayekuja anakuja nalake mtu anakaa mahali miaka 60+ kanakuja kajinga kamoja eti ondoka hapa umevamia yani uzaliwe usomeshwe alafu uwarudie watu mlivamia hivi mpo serious makonda anachofanya nikizuri maana anafufua kaburi ambazo zimezikwa mpaka watu saba ndani sasa subirini mda wa fidia tuone mtalipa ngapi maana uhuni huu sijui
@user-cl5yq6ne3q
4 ай бұрын
Hiyo ndio mipumbavu wa taifa hili
Nakufaham sana kwa lugha hi yaleo..ccm ni mizimu majambazi
Mwambusi umekaribia kuwa mtumishi wa Mungu.
Chai moto kikombe moto salam ziwafikie ccm
unatupgania baba lakn wengin wanakuona kama mpuuz tu mungu akulinde baba
Wame mdhohofisha tundulisu Mungu katuletea msemaji mwingine na Mungu ataibua wakina mwabukusi wengine. Chadema Ni chama makini
Sisi watanzania tumezidi uoga, uwanja wa mpira wanaujaza lkn kwenye masilai ya taifa watu tupo mbali kama hayatuhusu MUNGU awabaliki kemeeni hawa uwauwa nchi niyawote.
Yupo thabiti ni hatar,let say ndio Rais patanoga sana
Uko sahihi kbs Ila ukisoma comments za watu wengi wetu ni wajinga wa kutupwa hawaelewi kitu na hata ukimuuliza akupe hoja hata moja Hana na hajui Ama kweli tulinyimwa elimu maksudi ili ujinga uendelee
@user-dp1ch6vv6z
4 ай бұрын
Kweli kabisa na isitoshe mabwege wengi wasio helewa ni wale wanao ishi kwa shemeji zao na kulala sebleni kama baiskeli wakijuwa maisha wameyamaliza.
@joycejoel1633
4 ай бұрын
Sospeter hao wanao comment ujinga sio kwamba ni wajinga ila ndo wale ambao Genge la wahuni wa chache ni ndugu zao .
Yaani mpaka nimejikuta nadondosha michozi, kwann watu wenye usubutu kama hawa wasipewe nchi!!
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wa CHADEMA
Mwamba nakukubali sana
Uko sawa mkuu.❤
Mungu akuongezeee nguvu imeongea point kwenye swala wafugaji
Kweli kaka yangu
Kweli kaka sisi wakulima wa kahawa miseny tunapangiwa bei na watu ndo maana kahawa zote zinakwenda 10:40 uganda zote zinatoka tz
Sema hii nchi inaliwa na watu wachache
👊✌️✊
Mboe ungekuwa kama huyu mean bukusi tungekuelewa ondoa upole
Rais ajae ni mwambukusi sio samia na hatukutaki kabisa samia achia tanganyika yetu hatukutaki
@denismnubi7001
4 ай бұрын
Tumuchagie ela za kuchukua fomu ya urais huyu mwamba anatufaa kabisa
Huyu mwamba ni pafect kinoma mpaka raha kumsikiliza
Mmemkuta Rais mwenye ustahamilivu 2020 mngejarabu kutanua hiyo midomo kwa yule mwamba mngejua serikali ipo kazini acha ubaguzi wa nchi kipindi cha magu ulikuwa wapi nenda kasimamie familia yako kwanza umalize migogoro kule kwenye familia yako.
@MussaSelemani-wz5np
4 ай бұрын
ndio maana tulimuua nahuyu akileta ukuma wake naye anakufa
Wakili wetu mungu tu ndio atake kukuilipa,kweli naomba tukipata dola kuongoza nchi wewe upewe uraisi au umakamu kabisa unnafaa
President
Unaendelea vizuri kutetea nchi
Si kweli bwaaaaana sema kweeeeeliii> weweeeeee
Pamoja mkuu unaipenda nchi yako
😮asate kaka erim nzali sana
Safar ya matumain inaonekana.
Natamani achukue fomu nchi itakaa sawa
Machozi yananitoka meneno mazito!!
Natamani niwanunulie simu wananchi niwawekee bando pia wakusikilize jamani akili kubwa kama hiii inateketea kwenye kizaungu tusaidie
Kakanakukubari sana
😢Duuh basi kwa sauti hii unayo itumia ni ya kikoloni kabisa, Zungumza kiswahili ili nguo yake iliyochaka akuelewe vizuri, Aa
@FridayMwassa
Ай бұрын
Kwaani wewe umesoma kwa lugha gani mpaka unamhukumu mwabukisi
❤❤❤❤❤❤
Huyu jamaa mbabe haogopi dah maneno yako mazima lakini kelele hazifiki pahala wamezuia mpini ww umezuia shoka itakuchinja tu
Chadema mpeni mwabukusi agombee urais Atabeba mpaka ya vipofu bila ushabiki mwabukusi anatosha
Kweli wamasai wanaonewa
Na mfumo wa chadema umebemendwa na mwenyekiti wa kudumu
@evansdecaprio8196
4 ай бұрын
Sio kweli
Speek speek 💪
Kweli mwambukusi musomi unaitendea haki elimu Yako wakati wasomi wengi wamegeuka machawa wewe umekataa Kwa kupigania kizazi kijacho
Kwa hivyo Dubai sio Nchi ila Tanzania ni nchi? Sometime nyinyi wasomi mnatufanya mazuzu, watu waliotuacha mbali sio nchi ila Tanzania ndio nchi😂, sectors karibu zote hakuna nchi haina wageni
Wewe ni mwamba mtu na nusu nakuunga mkono brother
WEWE MWANA SIASA WA MAENDEREO WA UKWELI ASIEKUJUA AKUJUI
Kama sio maigizo kwani bandari ziko studio,kafanye fujo kwenye hiyobandari.
@allonjoseph5467
4 ай бұрын
hivi ww unamaanisha ww upo salam?? au unapepo lina kusumbua ccm imekuwa jini linalo nyonya wana nchi wake ipo siku utajua hujui mungu yupo acha azungumze ss tunamuelewa
Nimerudi kusikiliza tena leo kujitia hasira...😊
Hiyo dio faidabya kusoma mauwa ya pongezi kwa Bob nyanga makani wakiri msomi kwa kuwaigisha vijana matunda yako bob tunayaonabmungu akupunguzienadhabu ya kaburi hayati bob nyanga makani vijana wako wapo wanapambana
Ni wenye akili tu watakuelewa ila watanganyika wamepofushwa na ccm wasione mbele Kuna nini
Wewe mwambukusi mbona ni tupu kabisa, unahitaji kiki kupitia ujinga wa watu wachache wasio jitambua.
Mbona unafoka ndugu yangu na wewe bado sana kwenye siasa naona kama unalala Mika sema sera zako wewe
@JoshuaStanley-qu3im
4 ай бұрын
Watu tuna hasira tumechoka
@user-yj9un6iz9c
4 ай бұрын
Sawaaa Fanya kazi
@MACHOYATAI-jk6fu
4 ай бұрын
Mako anajuwa akili zako ndogo?
Kazi ya maskio ni kuskia
Tumekuelewa baba
mwambukusi anatakiwa sana CDM
Aisee tumuchagie ela ya fomu ya urais huyu mwamba anatufaa ksbisa
Wewe jasiri endelea kuwa jasiri SIMBA
Wachungaji tunakuombea