TUTAZUNGUMZA LUGHA NGUMU HAIJAWAHI KUTOKEA''MWABUKUSI AENDELEA KUSHIKIA BANGO BANDARI NA DP WORLD..

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 241

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili4 ай бұрын

    hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t4 ай бұрын

    Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja

  • @robbymzee3423

    @robbymzee3423

    2 ай бұрын

    Mungu ibaliki Tanzania iendelee kutuletea wasema kweli

  • @seifmohd5357
    @seifmohd53574 ай бұрын

    Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l4 ай бұрын

    Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge78504 ай бұрын

    Asate mkuu Nakuelewa sana pamoja sana

  • @justice607
    @justice6074 ай бұрын

    Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate

  • @kaaakwakutuliaa5179

    @kaaakwakutuliaa5179

    4 ай бұрын

    ivi unajua znz hauwezi kununua kiwanja

  • @SilivanusMahinja

    @SilivanusMahinja

    2 ай бұрын

    😅 no.😂😢😮😅😊​@@kaaakwakutuliaa5179?

  • @dominiclyamchai9561
    @dominiclyamchai95614 ай бұрын

    Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.

  • @danielmpanguko759
    @danielmpanguko7594 ай бұрын

    Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.

  • @user-rr1ds9jm1q
    @user-rr1ds9jm1q4 ай бұрын

    Safi sana ongea ukweli

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi34124 ай бұрын

    Uyo ndo mwambukusi msomi makini

  • @davidtuya9586
    @davidtuya95864 ай бұрын

    Asante Sana mwabukusi mungu akubariki

  • @anosiata8242
    @anosiata82424 ай бұрын

    Napenda hoja zako mungu akulinde wakili Mwambukusi

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui4 ай бұрын

    MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi8824 ай бұрын

    Amen and this is true. We need seriously Reform

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu4 ай бұрын

    Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI

  • @jesaminzo
    @jesaminzo4 ай бұрын

    Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl4 ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3q4 ай бұрын

    Amina sifa kwa Mungu alie waimba watu kama hawa majasiri wa kukemea maccm haya. Mungu ongeza wengine zaidi the name of Jessus

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel61534 ай бұрын

    Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao

  • @giztony2009
    @giztony20094 ай бұрын

    Aisee Tanzania ina watu hadimu sana😊😢😢😢

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu4 ай бұрын

    Asante MUNGU akubariki mwabukusi

  • @StephenLetta
    @StephenLetta4 ай бұрын

    Nakukubali. Akili yako na uzalendo siyo vya kutiliwa shaka

  • @amosjoseph7241
    @amosjoseph72414 ай бұрын

    Akili kubwa sana

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64644 ай бұрын

    Unatosha kuwa mwalimu wangu.... Napenda kujifunza kwako

  • @user-ky3eu3zt8o
    @user-ky3eu3zt8o4 ай бұрын

    Kaka Mungu kakuweka hapo kwa kusudi lake hakika sisi tunakuelewa sana Mungu akulinde

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8094 ай бұрын

    Kweli limebemendwaa aiseee😂😂😂😂

  • @athuman7480
    @athuman74804 ай бұрын

    Ila mwabukusi akigombea uraisi chadema inapita vizuri tu

  • @amanicarloschissanga4811
    @amanicarloschissanga48114 ай бұрын

    Heshima nyingi kwako kamanda mwabukusi, tupo pamoja mkitangaza lugha ngumu kiongozi tutaizungumza wote mpk hawa manyang'au wajue kwmb hatutanii

  • @samhadas788
    @samhadas7884 ай бұрын

    Asante Kaka ❤❤

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194Ай бұрын

    Tanganyika ❤Mungu azidi kutubariki tuna vichwa Sanaa

  • @danielaudax6755
    @danielaudax67554 ай бұрын

    uko sawa bro yaani sawaa kabisa

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa73654 ай бұрын

    UPO SAHIHI KABISA MWAMBUKUSI.

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e4 ай бұрын

    Nakukubali sana kamanda uko vizuri san ccm na wabunge wao hawana maana yoyote

  • @kingmichael1234
    @kingmichael12344 ай бұрын

    Uko sasa kabisa kiongozi ✊🏽

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha10804 ай бұрын

    MUNGU wa Mbinguni akulinde Mwabukusi🎉🎉

  • @siamollel6051
    @siamollel60514 ай бұрын

    Mungu Akutunze kwajili Ya Tanzania

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael13204 ай бұрын

    Respect kiongozi Mungu akulinde ipo siku wakati itafika tu

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330Ай бұрын

    CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa Ukweli Wananchi tusipo amsha hakili zetu, basi Raslimali na vitegauchumi muhimu, CCM watauza vyote

  • @festokastory5282
    @festokastory52824 ай бұрын

    Mwabukusi aungwe mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b4 ай бұрын

    Mungu akulinde bila mungu huwezi

  • @user-fh1wg4jv9i
    @user-fh1wg4jv9i4 ай бұрын

    Kichwa kimeshiba maarifa ndani ya kichwa nakubali sana

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi4 ай бұрын

    Ccm wasipotuelewa, tutawelewesha kwa njia ambayo wataijua. Jamani tupambane machawa wamechachamaa wanapinga mazurI wamepewa kitu na ccm

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara33984 ай бұрын

    Uko sawa kaka

  • @nicholasakeya6790
    @nicholasakeya67904 ай бұрын

    Iam from kenya i like on how u express ur self

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga71724 ай бұрын

    Alafu yanaibuka majitu hata A.E.I.O.U hayajui inaandikwaje alafu yanakwambia mitano tena yani hata broo makonda akifufua mautumbo yanayoliza watu waliopo na wasiohusika ila wanalia kwa kuona wenzao wanapita kwenye upuzi gani ndani ya nchi yenye watalam kila anayekuja anakuja nalake mtu anakaa mahali miaka 60+ kanakuja kajinga kamoja eti ondoka hapa umevamia yani uzaliwe usomeshwe alafu uwarudie watu mlivamia hivi mpo serious makonda anachofanya nikizuri maana anafufua kaburi ambazo zimezikwa mpaka watu saba ndani sasa subirini mda wa fidia tuone mtalipa ngapi maana uhuni huu sijui

  • @user-cl5yq6ne3q

    @user-cl5yq6ne3q

    4 ай бұрын

    Hiyo ndio mipumbavu wa taifa hili

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan67224 ай бұрын

    Nakufaham sana kwa lugha hi yaleo..ccm ni mizimu majambazi

  • @faustinemangula8424
    @faustinemangula84244 ай бұрын

    Mwambusi umekaribia kuwa mtumishi wa Mungu.

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g4 ай бұрын

    Chai moto kikombe moto salam ziwafikie ccm

  • @user-ow3km3xy8k
    @user-ow3km3xy8k4 ай бұрын

    unatupgania baba lakn wengin wanakuona kama mpuuz tu mungu akulinde baba

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael13204 ай бұрын

    Wame mdhohofisha tundulisu Mungu katuletea msemaji mwingine na Mungu ataibua wakina mwabukusi wengine. Chadema Ni chama makini

  • @peterkasanga-fw7th
    @peterkasanga-fw7th4 ай бұрын

    Sisi watanzania tumezidi uoga, uwanja wa mpira wanaujaza lkn kwenye masilai ya taifa watu tupo mbali kama hayatuhusu MUNGU awabaliki kemeeni hawa uwauwa nchi niyawote.

  • @richardsalim1042
    @richardsalim10424 ай бұрын

    Yupo thabiti ni hatar,let say ndio Rais patanoga sana

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo68694 ай бұрын

    Uko sahihi kbs Ila ukisoma comments za watu wengi wetu ni wajinga wa kutupwa hawaelewi kitu na hata ukimuuliza akupe hoja hata moja Hana na hajui Ama kweli tulinyimwa elimu maksudi ili ujinga uendelee

  • @user-dp1ch6vv6z

    @user-dp1ch6vv6z

    4 ай бұрын

    Kweli kabisa na isitoshe mabwege wengi wasio helewa ni wale wanao ishi kwa shemeji zao na kulala sebleni kama baiskeli wakijuwa maisha wameyamaliza.

  • @joycejoel1633

    @joycejoel1633

    4 ай бұрын

    Sospeter hao wanao comment ujinga sio kwamba ni wajinga ila ndo wale ambao Genge la wahuni wa chache ni ndugu zao .

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q2 ай бұрын

    Yaani mpaka nimejikuta nadondosha michozi, kwann watu wenye usubutu kama hawa wasipewe nchi!!

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael13204 ай бұрын

    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wa CHADEMA

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph78774 ай бұрын

    Mwamba nakukubali sana

  • @asanterabikimaro9081
    @asanterabikimaro90814 ай бұрын

    Uko sawa mkuu.❤

  • @user-kp4zp1lr4u
    @user-kp4zp1lr4u4 ай бұрын

    Mungu akuongezeee nguvu imeongea point kwenye swala wafugaji

  • @herielimushi
    @herielimushi4 ай бұрын

    Kweli kaka yangu

  • @user-ux8ms6ky9i
    @user-ux8ms6ky9i4 ай бұрын

    Kweli kaka sisi wakulima wa kahawa miseny tunapangiwa bei na watu ndo maana kahawa zote zinakwenda 10:40 uganda zote zinatoka tz

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya58604 ай бұрын

    Sema hii nchi inaliwa na watu wachache

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything4 ай бұрын

    👊✌️✊

  • @PaullKapagala
    @PaullKapagala4 ай бұрын

    Mboe ungekuwa kama huyu mean bukusi tungekuelewa ondoa upole

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary55884 ай бұрын

    Rais ajae ni mwambukusi sio samia na hatukutaki kabisa samia achia tanganyika yetu hatukutaki

  • @denismnubi7001

    @denismnubi7001

    4 ай бұрын

    Tumuchagie ela za kuchukua fomu ya urais huyu mwamba anatufaa kabisa

  • @richardsalim1042
    @richardsalim10424 ай бұрын

    Huyu mwamba ni pafect kinoma mpaka raha kumsikiliza

  • @fikirially7875
    @fikirially78754 ай бұрын

    Mmemkuta Rais mwenye ustahamilivu 2020 mngejarabu kutanua hiyo midomo kwa yule mwamba mngejua serikali ipo kazini acha ubaguzi wa nchi kipindi cha magu ulikuwa wapi nenda kasimamie familia yako kwanza umalize migogoro kule kwenye familia yako.

  • @MussaSelemani-wz5np

    @MussaSelemani-wz5np

    4 ай бұрын

    ndio maana tulimuua nahuyu akileta ukuma wake naye anakufa

  • @SimonLimuruti
    @SimonLimuruti4 ай бұрын

    Wakili wetu mungu tu ndio atake kukuilipa,kweli naomba tukipata dola kuongoza nchi wewe upewe uraisi au umakamu kabisa unnafaa

  • @victorgerryson2695
    @victorgerryson26955 күн бұрын

    President

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn4 ай бұрын

    Unaendelea vizuri kutetea nchi

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei2744 ай бұрын

    Si kweli bwaaaaana sema kweeeeeliii> weweeeeee

  • @user-jk6we5qu2x
    @user-jk6we5qu2x4 ай бұрын

    Pamoja mkuu unaipenda nchi yako

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara33984 ай бұрын

    😮asate kaka erim nzali sana

  • @user-jf7rg1ux9l
    @user-jf7rg1ux9l4 ай бұрын

    Safar ya matumain inaonekana.

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola4 ай бұрын

    Natamani achukue fomu nchi itakaa sawa

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga4 ай бұрын

    Machozi yananitoka meneno mazito!!

  • @user-no6sg5vc5z
    @user-no6sg5vc5z3 ай бұрын

    Natamani niwanunulie simu wananchi niwawekee bando pia wakusikilize jamani akili kubwa kama hiii inateketea kwenye kizaungu tusaidie

  • @user-ye3xp1lf7i
    @user-ye3xp1lf7i4 ай бұрын

    Kakanakukubari sana

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4nАй бұрын

    😢Duuh basi kwa sauti hii unayo itumia ni ya kikoloni kabisa, Zungumza kiswahili ili nguo yake iliyochaka akuelewe vizuri, Aa

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    Kwaani wewe umesoma kwa lugha gani mpaka unamhukumu mwabukisi

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga4 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi4 ай бұрын

    Huyu jamaa mbabe haogopi dah maneno yako mazima lakini kelele hazifiki pahala wamezuia mpini ww umezuia shoka itakuchinja tu

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael13204 ай бұрын

    Chadema mpeni mwabukusi agombee urais Atabeba mpaka ya vipofu bila ushabiki mwabukusi anatosha

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k4 ай бұрын

    Kweli wamasai wanaonewa

  • @willymdeka6034
    @willymdeka60344 ай бұрын

    Na mfumo wa chadema umebemendwa na mwenyekiti wa kudumu

  • @evansdecaprio8196

    @evansdecaprio8196

    4 ай бұрын

    Sio kweli

  • @skylevelmedia7581
    @skylevelmedia75814 ай бұрын

    Speek speek 💪

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd2 ай бұрын

    Kweli mwambukusi musomi unaitendea haki elimu Yako wakati wasomi wengi wamegeuka machawa wewe umekataa Kwa kupigania kizazi kijacho

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4nАй бұрын

    Kwa hivyo Dubai sio Nchi ila Tanzania ni nchi? Sometime nyinyi wasomi mnatufanya mazuzu, watu waliotuacha mbali sio nchi ila Tanzania ndio nchi😂, sectors karibu zote hakuna nchi haina wageni

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t4 ай бұрын

    Wewe ni mwamba mtu na nusu nakuunga mkono brother

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui4 ай бұрын

    WEWE MWANA SIASA WA MAENDEREO WA UKWELI ASIEKUJUA AKUJUI

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile4 ай бұрын

    Kama sio maigizo kwani bandari ziko studio,kafanye fujo kwenye hiyobandari.

  • @allonjoseph5467

    @allonjoseph5467

    4 ай бұрын

    hivi ww unamaanisha ww upo salam?? au unapepo lina kusumbua ccm imekuwa jini linalo nyonya wana nchi wake ipo siku utajua hujui mungu yupo acha azungumze ss tunamuelewa

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi69484 ай бұрын

    Nimerudi kusikiliza tena leo kujitia hasira...😊

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g4 ай бұрын

    Hiyo dio faidabya kusoma mauwa ya pongezi kwa Bob nyanga makani wakiri msomi kwa kuwaigisha vijana matunda yako bob tunayaonabmungu akupunguzienadhabu ya kaburi hayati bob nyanga makani vijana wako wapo wanapambana

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka89914 ай бұрын

    Ni wenye akili tu watakuelewa ila watanganyika wamepofushwa na ccm wasione mbele Kuna nini

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha82542 ай бұрын

    Wewe mwambukusi mbona ni tupu kabisa, unahitaji kiki kupitia ujinga wa watu wachache wasio jitambua.

  • @user-yj9un6iz9c
    @user-yj9un6iz9c4 ай бұрын

    Mbona unafoka ndugu yangu na wewe bado sana kwenye siasa naona kama unalala Mika sema sera zako wewe

  • @JoshuaStanley-qu3im

    @JoshuaStanley-qu3im

    4 ай бұрын

    Watu tuna hasira tumechoka

  • @user-yj9un6iz9c

    @user-yj9un6iz9c

    4 ай бұрын

    Sawaaa Fanya kazi

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    4 ай бұрын

    Mako anajuwa akili zako ndogo?

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h4 ай бұрын

    Kazi ya maskio ni kuskia

  • @user-ub6nh5zq4f
    @user-ub6nh5zq4f4 ай бұрын

    Tumekuelewa baba

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge4183 ай бұрын

    mwambukusi anatakiwa sana CDM

  • @denismnubi7001
    @denismnubi70014 ай бұрын

    Aisee tumuchagie ela ya fomu ya urais huyu mwamba anatufaa ksbisa

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn4 ай бұрын

    Wewe jasiri endelea kuwa jasiri SIMBA

  • @MathiasNzungu
    @MathiasNzungu4 ай бұрын

    Wachungaji tunakuombea

Келесі