Mwabukusi: Kuna Spika Amefukuzwa Kama Muuza Bamia, 'Spika Sio Mali ya Chama'

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 106

  • @user-jb3zp9uo7o
    @user-jb3zp9uo7o6 ай бұрын

    Haya ni Maneno adiimu sana kuyasikia. Mwabukusi piga kazi, una watu wengi sana nyuma yako.

  • @mesharothuman2443
    @mesharothuman24436 ай бұрын

    Brother unachoongea ndio uhalisia,mungu akubariki sana you are truly and honestly.Watanzania tunaumizana wenyewe kwa ubinafsi wetu hatuna umoja.

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo19776 ай бұрын

    Ooh my God. I love this speech. It's exactly what we experience with these elections. Imefika wakati mgombea akihujumiwa apige kelele sana. Syo ku kaa kimya kama mazezeta. Enzi za uzombi na uzezeta zimeisha.

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga33166 ай бұрын

    Hongera ndugu Mwabukusi kwa ufafanuzi mzuri hakika bunge la sasa hakuna lolote kila kitu ni ndiyooo

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda60796 ай бұрын

    MUNGU WANGU KWANINI USITULETEE WATU WAWILI WATATU KAMA HAWA? WASIOJALI VYAMA?❤❤❤❤❤ I LOVE THIS MAN OF GOD.❤❤❤❤

  • @illomowerner7690

    @illomowerner7690

    3 ай бұрын

    Great speech hon.Mwabukusi, Viva kaka Thomas

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile39666 ай бұрын

    Mimi nakuelewa Sana mzalendo namba moja Tanzania nakuelewa mnooooo.

  • @pueblo148
    @pueblo1486 ай бұрын

    Brain,smart,highness intelligent💕

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha10806 ай бұрын

    Brain Smart, our Speaker🎉🎉🎉

  • @jesaminzo
    @jesaminzo6 ай бұрын

    Ni kweli hata majambazi yamekimbilia bungeni kwa sababu yamegundua bungeni kunalipa!

  • @renomori4255
    @renomori42556 ай бұрын

    Asante sana kamanda

  • @aphonceedward6784
    @aphonceedward67846 ай бұрын

    Nakuelewa sana kaka uko sawa kabisa

  • @hilujuma4869
    @hilujuma48696 ай бұрын

    Mwabukusi akiungana na LISSU unaweza kuilata Tanzania ya amani ya kweli na siyo hii ya mchongo.

  • @omarali797

    @omarali797

    6 ай бұрын

    Hata hujui unacho andika. Yeye hapo anapingana na akina Lissu na wanasiasa wote kisa wanashiriki chaguzi

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s6 ай бұрын

    Watu wenye akili timamu kama awa uwa awacheki wala kuimbiwa nyimbo wala kusifiwa wakute wajinga mapambio sifa za kijinga mpaka wanakuwa na frash cd mfukoni za mchiliku anawajua wasanii wate wa singeri watashinda mungu yuko nanyi nasisi wachache tutaamasisha wezetu tulikomboe taifa

  • @adenmayala9298
    @adenmayala92986 ай бұрын

    That's true

  • @sampaconnector2845
    @sampaconnector28456 ай бұрын

    Nchi ipo gizani sana na sababu ni hawa CCM.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg6 ай бұрын

    Yaani Ndugai alifukuzwa kama kibaka kisa kakosoa matendo ya serikali na rais wake

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    George sasa limebumbuluka alichosema kuwa nchi imeuzwa jubu ni kweli Bandari zote Mbuga za wanyama zote loliondo nk sasa ni aibu tupu

  • @illomowerner7690

    @illomowerner7690

    3 ай бұрын

    Pia naye alilipwa mshahara wa dhambi yake kushirikiana kwa hila kuumiza upinzani contrally kabisa na taratibu za kibunge. Mara ku-approve wabunge fake

  • @mesharothuman2443
    @mesharothuman24436 ай бұрын

    A truly and honestly.Wow whaya speach

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b6 ай бұрын

    Mwanadamu atakuchelewesha lakini mungu kwake akuna kuwai wala kuchelewa, wewe ni mbunge jimbo atakalokupa mungu mtetezi

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv6 ай бұрын

    mwambukusi big brain

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga63906 ай бұрын

    Jimbo la kawe kwa gwajima police walikamatwa na kura kibara za ubunge na urais zimepiwa tiki za ccm walikamatwa lakini hawakufanywa chochote

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl6 ай бұрын

    Tunahitaji watu kama hawa katika taifa letu

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi86036 ай бұрын

    Siku zote ninaamini amani ya taifa hili imeshikiliwa na wapinzani, maana wanafanyiwa vitendo vya kikatili ambavyo laiti kama wasingekuwa wazalendo watu wangekuwa wanauana hovyo kwa kulipiza kisasi..na mambo hayo wangekuwa wanafanyiwa sisiemu kusingekuwa na amani.

  • @FrankMwakatundu-cu6bd

    @FrankMwakatundu-cu6bd

    6 ай бұрын

    Uko sahihi ndugu CCM NI HATARI SANA!!!! Kiss TU MADARAKA NA MALI!!! WAMESAHAU KABISA KUWA YAKO MAISHA BAADA YA HAYA TENA NI YA MIKELE.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u6 ай бұрын

    COMRADE MWABUKUSI.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.....WATANZANIA KWA MAMILIONI TUNAKUELEWA SANA.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74386 ай бұрын

    Mwabukusi wakili msomi kuishinda Ccm ni kazi sanaaaa hyo mpaka Katiba mpya tu

  • @bicorugina1452
    @bicorugina14526 ай бұрын

    Big up

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64646 ай бұрын

    Unafaa kuwa speaker wa bunge tz

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy57786 ай бұрын

    Well don bro a very slow lanner can also know the concerpt

  • @jamesmfinanga1717
    @jamesmfinanga17176 ай бұрын

    Jipange tena bra ela utapata kwa wananchi ... katukamatie hawa ... na hapo katiba itapatikana ...

  • @JustineYohanes
    @JustineYohanes6 ай бұрын

    Huyu jamaa yupo vnzr lakini na shindwa kuelewa ni chama gani kwaa wakati huu Ccm chadema

  • @user-jc8el6je5e

    @user-jc8el6je5e

    6 ай бұрын

    Sauti ya watanzania..

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    6 ай бұрын

    @@user-jc8el6je5eSAUTI YA TEC 😢😢😢😢😢

  • @daudisalum9574
    @daudisalum95746 ай бұрын

    Uyu jamaa kwanini asiunganishe nguvu na lisau

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f6 ай бұрын

    Unaongea vema, kundi kubwa la wasomi wa Tanzania ndio wanaouymiza nchi hii.

  • @OlemegiroriPalasalau
    @OlemegiroriPalasalau6 ай бұрын

    Sawaaa

  • @smarty1064
    @smarty10646 ай бұрын

    Duh! hakuna haki kbs

  • @user-up5lb4lp4v
    @user-up5lb4lp4v6 ай бұрын

    Vibaraka WA ccm utawaona tu kwenye comment zao kama huyu mayallays wewe ni malaya

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q2 ай бұрын

    Upo sahihi KAMANDA pigs kazi

  • @Samwelianaseti
    @SamwelianasetiАй бұрын

    Mwabukus ongea machache wasije wakakigeuka😂😂

  • @wallacemngoma794
    @wallacemngoma7946 ай бұрын

    Mhe. Mwabukuzi aungane na Mhe. Lissu waongeze nguvu kupapambania haki ipatikane Tanzania na kuiondoa CCM madarakani.

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u6 ай бұрын

    Jiamini kwanza unaweza kupambana na CCM.Akina fulani hatunao sababu ya red carpet Mang'ula mungu bado anaye.

  • @mfwimiekayuki8692

    @mfwimiekayuki8692

    6 ай бұрын

    Hadhi ya haipo.Imekwisha kabisa

  • @user-zl3le1wz2u

    @user-zl3le1wz2u

    6 ай бұрын

    Spika ulishika muhimili wa kumtetea wanyonge toka uondoke au kuachia ngazi umeshuhudia jinsi nchi inavyoliwa na wajanja ,KwaSasaMaoni yako ni yapi.

  • @StephenLetta
    @StephenLetta6 ай бұрын

    Wewe ni mtu uliyejaliwa akili na ambaye unaonea fahari kufikiri kwa kutumia ubongo.

  • @mustaphabussinescenter4127
    @mustaphabussinescenter41276 ай бұрын

    😂😂😂 spika kafukuzwa kama muuza bamia nani uyo

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson49084 ай бұрын

    Yaani safari hii watu wa tume wajiangalie watakufa wakileta ujinga na shangwe la kutosha.. kifo chake..

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55596 ай бұрын

    mahakama aipo huru hata kwa mvuta bangi au kibaka tume hii ni majizi wote

  • @simonmwasile4377
    @simonmwasile43774 ай бұрын

    Ningependa kila atakapogombea tulikuwa na wewe ugombeee papoose hapo ili tumnyoshee nyang'au huyu

  • @cyprianpetetmbonde6374
    @cyprianpetetmbonde63746 ай бұрын

    Kwa kweli wizi wa kura ni ushenzi sana. Watu tunaachashuguli zetu , tunapanga foleni halafu ni juani na njaa,, halafu MIPUMBAVU inatudhihaki.

  • @jumaally2469
    @jumaally24696 ай бұрын

    Mm nawashangaa sana hawa CCM wao wanajinadi kua ni chama pendwa kwann wanaogopa katiba mpya

  • @fidelishasia4799
    @fidelishasia47996 ай бұрын

    Nimekuelewa

  • @matiredms917
    @matiredms9176 ай бұрын

    CCM inafanya uharamia ktk uchaguzi. Ni kazi bure kukubali Sheria na Katiba mbovu ambazo zinamweka juu ya Vyombo ambavyo vinapaswa kufanya kazi kwa uhuru na haki.

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa9615 ай бұрын

    Sijui tufanye nini binadamu hawa waingie bungeni target ni ngumu Sana

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa95826 ай бұрын

    Mwabukus lisu mudude wakili musomi mbatia muugeni mukono lisu mulete ukombozi

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus88936 ай бұрын

    mwambukusu Ni mzarendo

  • @user-le2zm1yj9o
    @user-le2zm1yj9o6 ай бұрын

    Nimekuelewa na nimekubali ndio ukweli na uhalisia

  • @Werema3760
    @Werema37606 ай бұрын

    2025 Mungu saidia. Maama sipati picha.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    6 ай бұрын

    Haki huinua taifa. Tuiombee nchi yetu sana

  • @V24hrs
    @V24hrs6 ай бұрын

    Huyu jamaa akiungana na ZITTO KABWE watakuwa wamefanya Bonge la Kolabo.

  • @mesharothuman2443

    @mesharothuman2443

    6 ай бұрын

    Zito Kabwe yupi huyo mwenye price tag no please.

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    6 ай бұрын

    @@mesharothuman2443SABABU SIO MGALATIA 🥳🥳🥳🥳🥳💯💯💯💯💯

  • @renatusmatungwa2508

    @renatusmatungwa2508

    6 ай бұрын

    Zitto kabwe hamna kitu acha kumkosea heshima Mwabukusi

  • @simbahmsini

    @simbahmsini

    6 ай бұрын

    Zitto ni tunu ya Siasa za Tz,hakurupuki,anafanya tafiti na hata anayefikiria kupinga hoja zake anajiuliza mara mbili mbili ni mtu smart sana Kinachoponza na kumponza Zitto ni kuwa na akili nyingi kuliko wanaomchukia

  • @renatusmatungwa2508

    @renatusmatungwa2508

    6 ай бұрын

    @@simbahmsini Zitto kabwe siyo mtu wa msimamo ndo haaminiki siyo kwamba anachukiwa

  • @knight6757
    @knight67576 ай бұрын

    👀😩

  • @isaliisu3408
    @isaliisu34086 ай бұрын

    Kufukuzwa hajaaza spika zanzibar tulichaguwa Rais jumbe bara mkamfuka mkamuweka kigamboni mpk kafa tukaenda kuzika zanziba

  • @lazaromshamu3521
    @lazaromshamu35216 ай бұрын

    watanzania tumesha anza kuamka ss,ushindi wala hauko mbali

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w3 ай бұрын

    Hakika mwabukusi ni madin

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson49084 ай бұрын

    Katuni wa serikali et Tulia jamani ..kwa sura ile roho itakuwaje sasa..hamna kitu pale

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    2 ай бұрын

    Sura ndiyo inafanya kazi,mbona magufuli hakuwa handsome kama jakaya lakini kazi yake hakuna mtanzania hakumuelewa

  • @JosephChacha-kk1it
    @JosephChacha-kk1it6 ай бұрын

    Tupiganie kaka

  • @JustineYohanes
    @JustineYohanes6 ай бұрын

    😮😮😮😮😮😮u

  • @isaacmwaseba9972
    @isaacmwaseba99726 ай бұрын

    SISI WATU WA MBEYA UKWELI TUNAUJUA USHINDE UBUNGE KWA CHAMA CHA NCCR MAGEUZI BUSEKELO 😂😂 LABDA LAKINI TUSIZARAU HUENDA UKAPATA. YAANI HUKO BUSEKELO NA RUNGWE YOTE HUPATI NG'OOO LABDA KAGOMBEE KWA CHAMA KINGINE SIO NCCR MAGEUZI.

  • @christopherpaulo9490
    @christopherpaulo94906 ай бұрын

    Omba msamaha kwa wauza bamia

  • @mayaally2512
    @mayaally25126 ай бұрын

    KUMBE NIA YAKO NI UBUNGE KUROPOKA HIVYO KILA SIKU.UBUNGE BWANA HUUPATI😂😂😂

  • @mosesmacha1080

    @mosesmacha1080

    6 ай бұрын

    Nimecheki jina lako, hapa hapakuhusu🎉🎉🎉

  • @mesharothuman2443

    @mesharothuman2443

    6 ай бұрын

    Ni moja kati ya Manyumbu majaza Tumbo ndio uhalisia wako mbulula wewe

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    6 ай бұрын

    @@mosesmacha1080kweli yako🎉TUNAJUA Ni WAGALATIA SIKU NYINGI 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

  • @Dd-mu4fj

    @Dd-mu4fj

    6 ай бұрын

    Kwani hastahili ? We vipi

  • @yassinrajabu6511
    @yassinrajabu65116 ай бұрын

    kaka mwabukusi kwani comenti zangu uwa auzisomi kilasiku nakushauli kama elimu unayo kaanao ccm muyajenge wakupe kitengo ule keki ya taifa kwa sababu dalasa unalo fundisha wanafunzi wako hawakuelewi wote wapo kwenye kombe la mapinduzi zanziba pigania masilai yako watanzania vigeugeu wanao kusifu leo ndio watao kutukana kesho

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura42846 ай бұрын

    ttumekuchoka kalale

  • @user-ti8fn1wn1w

    @user-ti8fn1wn1w

    3 ай бұрын

    Mwambie akalale mama ako anae uza Uchi punguan wew

  • @hassannyalile2256
    @hassannyalile22566 ай бұрын

    Umeanza kuimba taarabu?

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon10646 ай бұрын

    HIL JAMA LINAPOINT SEMA LINANIKELE LINAVYOONGEA KWA KUFOKA FOKA HALIJUI KUONGEA KISTARAB HAPO NDIPO LINAPO FEL EM JIFUNZE KUONGEA NA WATU VIZUR USITIFOKEE

  • @Ambwene

    @Ambwene

    6 ай бұрын

    Unataka aongeaje broo

  • @Haruna-dd5iq

    @Haruna-dd5iq

    6 ай бұрын

    Haongei na ww anongea na wakora

  • @neemajames7814

    @neemajames7814

    6 ай бұрын

    Yan ww nikikuona nakutaftia pozi nakubenjua mayai viza

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w6 ай бұрын

    Wewe acha uongo

  • @user-ti8fn1wn1w

    @user-ti8fn1wn1w

    3 ай бұрын

    Iv unaakiri timam

  • @user-sp7qc1kl1f
    @user-sp7qc1kl1f6 ай бұрын

    Kwaiyo. Sisi wauza bamia umetuzarau Sana Sana sio? Wacha kauli chafu

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    6 ай бұрын

    😂😂

  • @SmilingCityMap-xb9md

    @SmilingCityMap-xb9md

    6 ай бұрын

    Aliewazalau sio mwabukusi Bali ni huyo anaewapelekea migambo na kuwafulumsha mtaa Kwa mtaa Kwa vilungu

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma15696 ай бұрын

    Unapoteza muda Rudi Mahakamani CCM ni chama Pendwa kwa Watanzania 12:48

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w6 ай бұрын

    Huna sera mzee,ww hata chadema tu wanakushangaa

  • @maspro6294
    @maspro62946 ай бұрын

    Mtabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa nchi hii vibaraka wa mabeberu ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako lina nuka

  • @saidmabanga388

    @saidmabanga388

    6 ай бұрын

    Kuma ww

  • @oscarkasalile3966

    @oscarkasalile3966

    6 ай бұрын

    Katika watu wasiokuwa na akili wewe yani kiongozi anaongelea ili inchi ibaki kuwa salama wewe unasema anaropoka nyie ndo majizi wauza Bandari nyie hovyo kabisa

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    6 ай бұрын

    WATANZANIA HAWAWEZI KUWACHAGUA HAWA NI WAHUNI NJAA INAWASUMBUA

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55596 ай бұрын

    tundu lissu wa pili huyu mwambukuzi sio mbowe muuza democracia ya tz

Келесі