Mwabukusi: Kuna Spika Amefukuzwa Kama Muuza Bamia, 'Spika Sio Mali ya Chama'
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 106
Haya ni Maneno adiimu sana kuyasikia. Mwabukusi piga kazi, una watu wengi sana nyuma yako.
Brother unachoongea ndio uhalisia,mungu akubariki sana you are truly and honestly.Watanzania tunaumizana wenyewe kwa ubinafsi wetu hatuna umoja.
Ooh my God. I love this speech. It's exactly what we experience with these elections. Imefika wakati mgombea akihujumiwa apige kelele sana. Syo ku kaa kimya kama mazezeta. Enzi za uzombi na uzezeta zimeisha.
Hongera ndugu Mwabukusi kwa ufafanuzi mzuri hakika bunge la sasa hakuna lolote kila kitu ni ndiyooo
MUNGU WANGU KWANINI USITULETEE WATU WAWILI WATATU KAMA HAWA? WASIOJALI VYAMA?❤❤❤❤❤ I LOVE THIS MAN OF GOD.❤❤❤❤
@illomowerner7690
3 ай бұрын
Great speech hon.Mwabukusi, Viva kaka Thomas
Mimi nakuelewa Sana mzalendo namba moja Tanzania nakuelewa mnooooo.
Brain,smart,highness intelligent💕
Brain Smart, our Speaker🎉🎉🎉
Ni kweli hata majambazi yamekimbilia bungeni kwa sababu yamegundua bungeni kunalipa!
Asante sana kamanda
Nakuelewa sana kaka uko sawa kabisa
Mwabukusi akiungana na LISSU unaweza kuilata Tanzania ya amani ya kweli na siyo hii ya mchongo.
@omarali797
6 ай бұрын
Hata hujui unacho andika. Yeye hapo anapingana na akina Lissu na wanasiasa wote kisa wanashiriki chaguzi
Watu wenye akili timamu kama awa uwa awacheki wala kuimbiwa nyimbo wala kusifiwa wakute wajinga mapambio sifa za kijinga mpaka wanakuwa na frash cd mfukoni za mchiliku anawajua wasanii wate wa singeri watashinda mungu yuko nanyi nasisi wachache tutaamasisha wezetu tulikomboe taifa
That's true
Nchi ipo gizani sana na sababu ni hawa CCM.
Yaani Ndugai alifukuzwa kama kibaka kisa kakosoa matendo ya serikali na rais wake
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
George sasa limebumbuluka alichosema kuwa nchi imeuzwa jubu ni kweli Bandari zote Mbuga za wanyama zote loliondo nk sasa ni aibu tupu
@illomowerner7690
3 ай бұрын
Pia naye alilipwa mshahara wa dhambi yake kushirikiana kwa hila kuumiza upinzani contrally kabisa na taratibu za kibunge. Mara ku-approve wabunge fake
A truly and honestly.Wow whaya speach
Mwanadamu atakuchelewesha lakini mungu kwake akuna kuwai wala kuchelewa, wewe ni mbunge jimbo atakalokupa mungu mtetezi
mwambukusi big brain
Jimbo la kawe kwa gwajima police walikamatwa na kura kibara za ubunge na urais zimepiwa tiki za ccm walikamatwa lakini hawakufanywa chochote
Tunahitaji watu kama hawa katika taifa letu
Siku zote ninaamini amani ya taifa hili imeshikiliwa na wapinzani, maana wanafanyiwa vitendo vya kikatili ambavyo laiti kama wasingekuwa wazalendo watu wangekuwa wanauana hovyo kwa kulipiza kisasi..na mambo hayo wangekuwa wanafanyiwa sisiemu kusingekuwa na amani.
@FrankMwakatundu-cu6bd
6 ай бұрын
Uko sahihi ndugu CCM NI HATARI SANA!!!! Kiss TU MADARAKA NA MALI!!! WAMESAHAU KABISA KUWA YAKO MAISHA BAADA YA HAYA TENA NI YA MIKELE.
COMRADE MWABUKUSI.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.....WATANZANIA KWA MAMILIONI TUNAKUELEWA SANA.
Mwabukusi wakili msomi kuishinda Ccm ni kazi sanaaaa hyo mpaka Katiba mpya tu
Big up
Unafaa kuwa speaker wa bunge tz
Well don bro a very slow lanner can also know the concerpt
Jipange tena bra ela utapata kwa wananchi ... katukamatie hawa ... na hapo katiba itapatikana ...
Huyu jamaa yupo vnzr lakini na shindwa kuelewa ni chama gani kwaa wakati huu Ccm chadema
@user-jc8el6je5e
6 ай бұрын
Sauti ya watanzania..
@OmmyJames-xn7ji
6 ай бұрын
@@user-jc8el6je5eSAUTI YA TEC 😢😢😢😢😢
Uyu jamaa kwanini asiunganishe nguvu na lisau
Unaongea vema, kundi kubwa la wasomi wa Tanzania ndio wanaouymiza nchi hii.
Sawaaa
Duh! hakuna haki kbs
Vibaraka WA ccm utawaona tu kwenye comment zao kama huyu mayallays wewe ni malaya
Upo sahihi KAMANDA pigs kazi
Mwabukus ongea machache wasije wakakigeuka😂😂
Mhe. Mwabukuzi aungane na Mhe. Lissu waongeze nguvu kupapambania haki ipatikane Tanzania na kuiondoa CCM madarakani.
Jiamini kwanza unaweza kupambana na CCM.Akina fulani hatunao sababu ya red carpet Mang'ula mungu bado anaye.
@mfwimiekayuki8692
6 ай бұрын
Hadhi ya haipo.Imekwisha kabisa
@user-zl3le1wz2u
6 ай бұрын
Spika ulishika muhimili wa kumtetea wanyonge toka uondoke au kuachia ngazi umeshuhudia jinsi nchi inavyoliwa na wajanja ,KwaSasaMaoni yako ni yapi.
Wewe ni mtu uliyejaliwa akili na ambaye unaonea fahari kufikiri kwa kutumia ubongo.
😂😂😂 spika kafukuzwa kama muuza bamia nani uyo
Yaani safari hii watu wa tume wajiangalie watakufa wakileta ujinga na shangwe la kutosha.. kifo chake..
mahakama aipo huru hata kwa mvuta bangi au kibaka tume hii ni majizi wote
Ningependa kila atakapogombea tulikuwa na wewe ugombeee papoose hapo ili tumnyoshee nyang'au huyu
Kwa kweli wizi wa kura ni ushenzi sana. Watu tunaachashuguli zetu , tunapanga foleni halafu ni juani na njaa,, halafu MIPUMBAVU inatudhihaki.
Mm nawashangaa sana hawa CCM wao wanajinadi kua ni chama pendwa kwann wanaogopa katiba mpya
Nimekuelewa
CCM inafanya uharamia ktk uchaguzi. Ni kazi bure kukubali Sheria na Katiba mbovu ambazo zinamweka juu ya Vyombo ambavyo vinapaswa kufanya kazi kwa uhuru na haki.
Sijui tufanye nini binadamu hawa waingie bungeni target ni ngumu Sana
Mwabukus lisu mudude wakili musomi mbatia muugeni mukono lisu mulete ukombozi
mwambukusu Ni mzarendo
Nimekuelewa na nimekubali ndio ukweli na uhalisia
2025 Mungu saidia. Maama sipati picha.
@adelinelyaruu3036
6 ай бұрын
Haki huinua taifa. Tuiombee nchi yetu sana
Huyu jamaa akiungana na ZITTO KABWE watakuwa wamefanya Bonge la Kolabo.
@mesharothuman2443
6 ай бұрын
Zito Kabwe yupi huyo mwenye price tag no please.
@OmmyJames-xn7ji
6 ай бұрын
@@mesharothuman2443SABABU SIO MGALATIA 🥳🥳🥳🥳🥳💯💯💯💯💯
@renatusmatungwa2508
6 ай бұрын
Zitto kabwe hamna kitu acha kumkosea heshima Mwabukusi
@simbahmsini
6 ай бұрын
Zitto ni tunu ya Siasa za Tz,hakurupuki,anafanya tafiti na hata anayefikiria kupinga hoja zake anajiuliza mara mbili mbili ni mtu smart sana Kinachoponza na kumponza Zitto ni kuwa na akili nyingi kuliko wanaomchukia
@renatusmatungwa2508
6 ай бұрын
@@simbahmsini Zitto kabwe siyo mtu wa msimamo ndo haaminiki siyo kwamba anachukiwa
👀😩
Kufukuzwa hajaaza spika zanzibar tulichaguwa Rais jumbe bara mkamfuka mkamuweka kigamboni mpk kafa tukaenda kuzika zanziba
watanzania tumesha anza kuamka ss,ushindi wala hauko mbali
Hakika mwabukusi ni madin
Katuni wa serikali et Tulia jamani ..kwa sura ile roho itakuwaje sasa..hamna kitu pale
@FridayMwassa
2 ай бұрын
Sura ndiyo inafanya kazi,mbona magufuli hakuwa handsome kama jakaya lakini kazi yake hakuna mtanzania hakumuelewa
Tupiganie kaka
😮😮😮😮😮😮u
SISI WATU WA MBEYA UKWELI TUNAUJUA USHINDE UBUNGE KWA CHAMA CHA NCCR MAGEUZI BUSEKELO 😂😂 LABDA LAKINI TUSIZARAU HUENDA UKAPATA. YAANI HUKO BUSEKELO NA RUNGWE YOTE HUPATI NG'OOO LABDA KAGOMBEE KWA CHAMA KINGINE SIO NCCR MAGEUZI.
Omba msamaha kwa wauza bamia
KUMBE NIA YAKO NI UBUNGE KUROPOKA HIVYO KILA SIKU.UBUNGE BWANA HUUPATI😂😂😂
@mosesmacha1080
6 ай бұрын
Nimecheki jina lako, hapa hapakuhusu🎉🎉🎉
@mesharothuman2443
6 ай бұрын
Ni moja kati ya Manyumbu majaza Tumbo ndio uhalisia wako mbulula wewe
@OmmyJames-xn7ji
6 ай бұрын
@@mosesmacha1080kweli yako🎉TUNAJUA Ni WAGALATIA SIKU NYINGI 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@Dd-mu4fj
6 ай бұрын
Kwani hastahili ? We vipi
kaka mwabukusi kwani comenti zangu uwa auzisomi kilasiku nakushauli kama elimu unayo kaanao ccm muyajenge wakupe kitengo ule keki ya taifa kwa sababu dalasa unalo fundisha wanafunzi wako hawakuelewi wote wapo kwenye kombe la mapinduzi zanziba pigania masilai yako watanzania vigeugeu wanao kusifu leo ndio watao kutukana kesho
ttumekuchoka kalale
@user-ti8fn1wn1w
3 ай бұрын
Mwambie akalale mama ako anae uza Uchi punguan wew
Umeanza kuimba taarabu?
HIL JAMA LINAPOINT SEMA LINANIKELE LINAVYOONGEA KWA KUFOKA FOKA HALIJUI KUONGEA KISTARAB HAPO NDIPO LINAPO FEL EM JIFUNZE KUONGEA NA WATU VIZUR USITIFOKEE
@Ambwene
6 ай бұрын
Unataka aongeaje broo
@Haruna-dd5iq
6 ай бұрын
Haongei na ww anongea na wakora
@neemajames7814
6 ай бұрын
Yan ww nikikuona nakutaftia pozi nakubenjua mayai viza
Wewe acha uongo
@user-ti8fn1wn1w
3 ай бұрын
Iv unaakiri timam
Kwaiyo. Sisi wauza bamia umetuzarau Sana Sana sio? Wacha kauli chafu
@adkajisi4536
6 ай бұрын
😂😂
@SmilingCityMap-xb9md
6 ай бұрын
Aliewazalau sio mwabukusi Bali ni huyo anaewapelekea migambo na kuwafulumsha mtaa Kwa mtaa Kwa vilungu
Unapoteza muda Rudi Mahakamani CCM ni chama Pendwa kwa Watanzania 12:48
Huna sera mzee,ww hata chadema tu wanakushangaa
Mtabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa nchi hii vibaraka wa mabeberu ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako lina nuka
@saidmabanga388
6 ай бұрын
Kuma ww
@oscarkasalile3966
6 ай бұрын
Katika watu wasiokuwa na akili wewe yani kiongozi anaongelea ili inchi ibaki kuwa salama wewe unasema anaropoka nyie ndo majizi wauza Bandari nyie hovyo kabisa
@OmmyJames-xn7ji
6 ай бұрын
WATANZANIA HAWAWEZI KUWACHAGUA HAWA NI WAHUNI NJAA INAWASUMBUA
tundu lissu wa pili huyu mwambukuzi sio mbowe muuza democracia ya tz