Manyang'au Sio Binadamu,Iweje Ukakubali Nnchi yako kuwa Kiwanja cha Vita Ukitumai Manyang'au Watakusahidia ?Nnchi yako Inabomolewa watu Wako Wanakufa,Vita kwao Ni BIASHARA FAIDA WANAKULA WAO😂
@ramadhanchenga4606Сағат бұрын
Mm ni chadema damu lkn watu kama mpina wanaotetea nchi nawakubali sana kama magufuli alivyokua hataki kuwapa wazungu ama waraabu kupewa mali zetu na wakati cc tupo hoi
@fabiomemba9563Сағат бұрын
Vivaa rusiaa❤
@michaelmtale-fi9zeСағат бұрын
Nakukubali sana mpina unaupiga mwingi km maguguli unaitetea nchi
@mlulomugema3025Сағат бұрын
Mpina ni mbunge wa Jimbo langu la kisesa kwa kweli wananchi wa Jimbo la kisesa tumeonewa sana kwa kutuondolea mwakilishi wetu bungeni kwa kipondi hicho mungu ni mwema atakulinda utarudi bungeni kutuwakilisha wanakisesa kisesa oyeeeeeeees,mpina safiiiii
@jedidahbintidaudi8241Сағат бұрын
Madame President,,let Tanzania Excel. Tax collection is strenous we understand...but at the same time citizens are choked by these so Tax collectors mercilessly...tunaomba liangalie hilo..kusanya lakini wakusanyaji waiswanyanyase w/nchi mpaka kuwafungia maduka yao...Mama kunatatizo hapaaa..kodi kubwa kuliko faida tunayoingiza huku vitisho vimejaaa...SHIDA TUUPUUUU!!!!!
Ukreni anahaki ya kupigana na kulinda Ardhi Yao..Lakini Muungwana hukubali yaishe... Russia inajeshi imara na lenye nguvu mno...
@saleemsuleiman22204 сағат бұрын
Hatumii Akili angekubali yaishe tu
@user-ze6lx9ng6s4 сағат бұрын
Mpina hii awamu ya sita ni ufisadi tu,hata useme nini, mafisadi ndiyo wanalindwa, RIP JPM
@DanielMao-t3g7 сағат бұрын
Baba chonde chonde endelea kutetea maslahi ya watanzania
@DouglasChuwa-ec7mv10 сағат бұрын
Hats msukuma mwambie yy .mnafiki tuu mwambie yy in mssliti
@DouglasChuwa-ec7mv10 сағат бұрын
Nimnafiki wameona utawaumbua wapigaji mpina mungu anakulinda
@DouglasChuwa-ec7mv10 сағат бұрын
Mpina kumbuka kwenye msafala wa mamba hata kenge wp
@Ufalme_10 сағат бұрын
Una hoja za Msingi za kuliokoa Taifa,,,, ila tunasikitika Bunge letu limekuwa la ndio mzee.
@festokemibala583211 сағат бұрын
Acha unafiki, ulilelewa huko na ulikuwa unalalamika wakati huo kama wanavyolalamika uliowaacha!
@maasaishop11 сағат бұрын
😢😢😢ok
@jaquelinevictorv969012 сағат бұрын
Mahojiano mazuri sana
@MichaelPeter-gh9yv14 сағат бұрын
Nenda chadema
@user-hc8fi9lc6t15 сағат бұрын
Islaeli hatomboi hapo amekutana
@mwajabuYusuph16 сағат бұрын
Aiseeee ni aibu 😢😢😢😢😢
@esronyuba257516 сағат бұрын
Mungu akulinde kiongozi ukweli utabaki kuwa kweli
@sebastiansalamba31317 сағат бұрын
Wahuni wanavaa tai yenye rangi za benders ya Taifa eti wazalendo!!!!! Kumbe wapigaji tu,Gen z
@claudshuya3243Күн бұрын
Pole sana tuko pamoja
@johnmayeka8957Күн бұрын
Wabuluze hao wote mahakani kama ni pesa za kuendesha kesi tutakuchangia.
@eliaskitundu7377Күн бұрын
Pole Mzee tutakuwa pamoja
@dennisezakiel3380Күн бұрын
Hao Hezbollah wanawachokoza chuki ngoja wapigwe. Kwanza hilo kundi halina uwezo huo wakupambana na israel
@karimmveyange2558Күн бұрын
NURU NA GIZA HAVIWEZI KAA PAMOJA.KAMA KUNDI KUU NI LA GIZA NILAZIMA MAMBO YAWE DUNI NA AIBU KAMA YALIVYO SHUHUDIWA.KUNDI NZIMA CORRUPT,NA DAMAGES NDIO HIZI.MAPESA YAMEPORWA NA YANAENDELEA KUPORWA,NA GAPE LINATWISHWA KWA WANANCHI KWA NJIA YA KODI JUU NA TOZO ZA KIFARA . BORA YA UKOLONI WA SULTANI KULIKO UHURU WA AJABU KAMA HIVI
@edsonkahesi8603Күн бұрын
Tulia atatulia vizuri 2025 maana kazidisha uchawa kwa serikali kuanzia IGA mpaka hili la bajeti...
@MatronaThomas-wz5siКүн бұрын
Mpina Bima ya Afya kama alivyoshauri Mh Shabby Moro shaurini
@ramadhanhassan5285Күн бұрын
Pigozin alimsaliti putin anaona mbal
@user-cw8zn2dn6mКүн бұрын
Safi mh Putin.
@kilogreekachananawatuwasio4054Күн бұрын
TANZANIA TUNATAKA RAIS KAMA MAKONDA SIO IVYO KITANUKA MBELENI 😂😂😂
@SelemanMhana-ol7tkКүн бұрын
Jamani nisaidieni mimi sina cha kufanya juu ya Mh.Mpina lakini nisaidieni ni namna gani 2025 nikampigie kura halafu nirudi jimboni kwangu
@user-sw7tf1ob1bКүн бұрын
Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe
@josepheriah5977Күн бұрын
Putin afe
@user-cw8zn2dn6mКүн бұрын
Hafi kwa sasa
@user-sw7tf1ob1bКүн бұрын
Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi
@user-sw7tf1ob1bКүн бұрын
Peter acha bunge liko mochwari siyo SS wanaichi COVID 19 hawajaitafisili hiyo ndio itaweza spika wa kimataifa amen mungu wee tuonyeshe nguvu yako juu ya wa polaji wa nchi yetu
@user-sw7tf1ob1bКүн бұрын
Je mwanasheliya mkuu jaji mkuu mbona hawatutafisiliyi mkutaba? Wapo hawapo tunaomba mutoke inje itawagalimu na vizazi vyenu
@KassimAlly-xp4dzКүн бұрын
Narejea tana maneno ya wa2 wazima kuwepo kwa wabunge wa cmm pekee bungeni bc watalana wenyewe kwa wenyewe
@ShekhMufyd-mn9znКүн бұрын
Mpo vizuri
@josephjulio6112Күн бұрын
Au itisha maandamano
@josephjulio6112Күн бұрын
Toa namba tukutumie Hera walizokuta wanainchi tunakuelewa
@festohaule9716Күн бұрын
Pigozini alishapewa zawadi yake!!!
@Mussa-id9jbКүн бұрын
Wambie hao k😅😅maswaswwa
@Mapenzi2635Күн бұрын
Mimi ndo naona hii leo. Je! The Chanzo, tumefanikiwa kiasi gani Kwenye hoja ya huyu Mama Sinare?
Пікірлер
Manyang'au Sio Binadamu,Iweje Ukakubali Nnchi yako kuwa Kiwanja cha Vita Ukitumai Manyang'au Watakusahidia ?Nnchi yako Inabomolewa watu Wako Wanakufa,Vita kwao Ni BIASHARA FAIDA WANAKULA WAO😂
Mm ni chadema damu lkn watu kama mpina wanaotetea nchi nawakubali sana kama magufuli alivyokua hataki kuwapa wazungu ama waraabu kupewa mali zetu na wakati cc tupo hoi
Vivaa rusiaa❤
Nakukubali sana mpina unaupiga mwingi km maguguli unaitetea nchi
Mpina ni mbunge wa Jimbo langu la kisesa kwa kweli wananchi wa Jimbo la kisesa tumeonewa sana kwa kutuondolea mwakilishi wetu bungeni kwa kipondi hicho mungu ni mwema atakulinda utarudi bungeni kutuwakilisha wanakisesa kisesa oyeeeeeeees,mpina safiiiii
Madame President,,let Tanzania Excel. Tax collection is strenous we understand...but at the same time citizens are choked by these so Tax collectors mercilessly...tunaomba liangalie hilo..kusanya lakini wakusanyaji waiswanyanyase w/nchi mpaka kuwafungia maduka yao...Mama kunatatizo hapaaa..kodi kubwa kuliko faida tunayoingiza huku vitisho vimejaaa...SHIDA TUUPUUUU!!!!!
Kweli Bongo ikaitwa Bongo😅😅
Putini piga hasa,
Napenda mtangazaji
Asante sana kwa talifa zelu ukn atajuta
Bro unalalamikia posho TU huna lolote ulipewa uwazir uliwaumiza wavuvi mno hawajakusahau
Ukreni anahaki ya kupigana na kulinda Ardhi Yao..Lakini Muungwana hukubali yaishe... Russia inajeshi imara na lenye nguvu mno...
Hatumii Akili angekubali yaishe tu
Mpina hii awamu ya sita ni ufisadi tu,hata useme nini, mafisadi ndiyo wanalindwa, RIP JPM
Baba chonde chonde endelea kutetea maslahi ya watanzania
Hats msukuma mwambie yy .mnafiki tuu mwambie yy in mssliti
Nimnafiki wameona utawaumbua wapigaji mpina mungu anakulinda
Mpina kumbuka kwenye msafala wa mamba hata kenge wp
Una hoja za Msingi za kuliokoa Taifa,,,, ila tunasikitika Bunge letu limekuwa la ndio mzee.
Acha unafiki, ulilelewa huko na ulikuwa unalalamika wakati huo kama wanavyolalamika uliowaacha!
😢😢😢ok
Mahojiano mazuri sana
Nenda chadema
Islaeli hatomboi hapo amekutana
Aiseeee ni aibu 😢😢😢😢😢
Mungu akulinde kiongozi ukweli utabaki kuwa kweli
Wahuni wanavaa tai yenye rangi za benders ya Taifa eti wazalendo!!!!! Kumbe wapigaji tu,Gen z
Pole sana tuko pamoja
Wabuluze hao wote mahakani kama ni pesa za kuendesha kesi tutakuchangia.
Pole Mzee tutakuwa pamoja
Hao Hezbollah wanawachokoza chuki ngoja wapigwe. Kwanza hilo kundi halina uwezo huo wakupambana na israel
NURU NA GIZA HAVIWEZI KAA PAMOJA.KAMA KUNDI KUU NI LA GIZA NILAZIMA MAMBO YAWE DUNI NA AIBU KAMA YALIVYO SHUHUDIWA.KUNDI NZIMA CORRUPT,NA DAMAGES NDIO HIZI.MAPESA YAMEPORWA NA YANAENDELEA KUPORWA,NA GAPE LINATWISHWA KWA WANANCHI KWA NJIA YA KODI JUU NA TOZO ZA KIFARA . BORA YA UKOLONI WA SULTANI KULIKO UHURU WA AJABU KAMA HIVI
Tulia atatulia vizuri 2025 maana kazidisha uchawa kwa serikali kuanzia IGA mpaka hili la bajeti...
Mpina Bima ya Afya kama alivyoshauri Mh Shabby Moro shaurini
Pigozin alimsaliti putin anaona mbal
Safi mh Putin.
TANZANIA TUNATAKA RAIS KAMA MAKONDA SIO IVYO KITANUKA MBELENI 😂😂😂
Jamani nisaidieni mimi sina cha kufanya juu ya Mh.Mpina lakini nisaidieni ni namna gani 2025 nikampigie kura halafu nirudi jimboni kwangu
Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe
Putin afe
Hafi kwa sasa
Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi
Peter acha bunge liko mochwari siyo SS wanaichi COVID 19 hawajaitafisili hiyo ndio itaweza spika wa kimataifa amen mungu wee tuonyeshe nguvu yako juu ya wa polaji wa nchi yetu
Je mwanasheliya mkuu jaji mkuu mbona hawatutafisiliyi mkutaba? Wapo hawapo tunaomba mutoke inje itawagalimu na vizazi vyenu
Narejea tana maneno ya wa2 wazima kuwepo kwa wabunge wa cmm pekee bungeni bc watalana wenyewe kwa wenyewe
Mpo vizuri
Au itisha maandamano
Toa namba tukutumie Hera walizokuta wanainchi tunakuelewa
Pigozini alishapewa zawadi yake!!!
Wambie hao k😅😅maswaswwa
Mimi ndo naona hii leo. Je! The Chanzo, tumefanikiwa kiasi gani Kwenye hoja ya huyu Mama Sinare?
Mtangazaji umekosa taharifa?