The Chanzo

The Chanzo

Uchambuzi, Habari, Maoni, Ripoti|Uchunguzi

Mbowe Akiingia Kwa Chopa Tanga

Mbowe Akiingia Kwa Chopa Tanga

Mwanzo Mwisho Hotuba ya Mbowe Babati

Mwanzo Mwisho Hotuba ya Mbowe Babati

Пікірлер

  • @ibba8082
    @ibba808230 минут бұрын

    Manyang'au Sio Binadamu,Iweje Ukakubali Nnchi yako kuwa Kiwanja cha Vita Ukitumai Manyang'au Watakusahidia ?Nnchi yako Inabomolewa watu Wako Wanakufa,Vita kwao Ni BIASHARA FAIDA WANAKULA WAO😂

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606Сағат бұрын

    Mm ni chadema damu lkn watu kama mpina wanaotetea nchi nawakubali sana kama magufuli alivyokua hataki kuwapa wazungu ama waraabu kupewa mali zetu na wakati cc tupo hoi

  • @fabiomemba9563
    @fabiomemba9563Сағат бұрын

    Vivaa rusiaa❤

  • @michaelmtale-fi9ze
    @michaelmtale-fi9zeСағат бұрын

    Nakukubali sana mpina unaupiga mwingi km maguguli unaitetea nchi

  • @mlulomugema3025
    @mlulomugema3025Сағат бұрын

    Mpina ni mbunge wa Jimbo langu la kisesa kwa kweli wananchi wa Jimbo la kisesa tumeonewa sana kwa kutuondolea mwakilishi wetu bungeni kwa kipondi hicho mungu ni mwema atakulinda utarudi bungeni kutuwakilisha wanakisesa kisesa oyeeeeeeees,mpina safiiiii

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241Сағат бұрын

    Madame President,,let Tanzania Excel. Tax collection is strenous we understand...but at the same time citizens are choked by these so Tax collectors mercilessly...tunaomba liangalie hilo..kusanya lakini wakusanyaji waiswanyanyase w/nchi mpaka kuwafungia maduka yao...Mama kunatatizo hapaaa..kodi kubwa kuliko faida tunayoingiza huku vitisho vimejaaa...SHIDA TUUPUUUU!!!!!

  • @user-oj3fq4pi2u
    @user-oj3fq4pi2u2 сағат бұрын

    Kweli Bongo ikaitwa Bongo😅😅

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel48933 сағат бұрын

    Putini piga hasa,

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi85113 сағат бұрын

    Napenda mtangazaji

  • @danielsilungwe3596
    @danielsilungwe35964 сағат бұрын

    Asante sana kwa talifa zelu ukn atajuta

  • @bakaribakari167
    @bakaribakari1674 сағат бұрын

    Bro unalalamikia posho TU huna lolote ulipewa uwazir uliwaumiza wavuvi mno hawajakusahau

  • @festohaule9716
    @festohaule97164 сағат бұрын

    Ukreni anahaki ya kupigana na kulinda Ardhi Yao..Lakini Muungwana hukubali yaishe... Russia inajeshi imara na lenye nguvu mno...

  • @saleemsuleiman2220
    @saleemsuleiman22204 сағат бұрын

    Hatumii Akili angekubali yaishe tu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s4 сағат бұрын

    Mpina hii awamu ya sita ni ufisadi tu,hata useme nini, mafisadi ndiyo wanalindwa, RIP JPM

  • @DanielMao-t3g
    @DanielMao-t3g7 сағат бұрын

    Baba chonde chonde endelea kutetea maslahi ya watanzania

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv10 сағат бұрын

    Hats msukuma mwambie yy .mnafiki tuu mwambie yy in mssliti

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv10 сағат бұрын

    Nimnafiki wameona utawaumbua wapigaji mpina mungu anakulinda

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv10 сағат бұрын

    Mpina kumbuka kwenye msafala wa mamba hata kenge wp

  • @Ufalme_
    @Ufalme_10 сағат бұрын

    Una hoja za Msingi za kuliokoa Taifa,,,, ila tunasikitika Bunge letu limekuwa la ndio mzee.

  • @festokemibala5832
    @festokemibala583211 сағат бұрын

    Acha unafiki, ulilelewa huko na ulikuwa unalalamika wakati huo kama wanavyolalamika uliowaacha!

  • @maasaishop
    @maasaishop11 сағат бұрын

    😢😢😢ok

  • @jaquelinevictorv9690
    @jaquelinevictorv969012 сағат бұрын

    Mahojiano mazuri sana

  • @MichaelPeter-gh9yv
    @MichaelPeter-gh9yv14 сағат бұрын

    Nenda chadema

  • @user-hc8fi9lc6t
    @user-hc8fi9lc6t15 сағат бұрын

    Islaeli hatomboi hapo amekutana

  • @mwajabuYusuph
    @mwajabuYusuph16 сағат бұрын

    Aiseeee ni aibu 😢😢😢😢😢

  • @esronyuba2575
    @esronyuba257516 сағат бұрын

    Mungu akulinde kiongozi ukweli utabaki kuwa kweli

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31317 сағат бұрын

    Wahuni wanavaa tai yenye rangi za benders ya Taifa eti wazalendo!!!!! Kumbe wapigaji tu,Gen z

  • @claudshuya3243
    @claudshuya3243Күн бұрын

    Pole sana tuko pamoja

  • @johnmayeka8957
    @johnmayeka8957Күн бұрын

    Wabuluze hao wote mahakani kama ni pesa za kuendesha kesi tutakuchangia.

  • @eliaskitundu7377
    @eliaskitundu7377Күн бұрын

    Pole Mzee tutakuwa pamoja

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380Күн бұрын

    Hao Hezbollah wanawachokoza chuki ngoja wapigwe. Kwanza hilo kundi halina uwezo huo wakupambana na israel

  • @karimmveyange2558
    @karimmveyange2558Күн бұрын

    NURU NA GIZA HAVIWEZI KAA PAMOJA.KAMA KUNDI KUU NI LA GIZA NILAZIMA MAMBO YAWE DUNI NA AIBU KAMA YALIVYO SHUHUDIWA.KUNDI NZIMA CORRUPT,NA DAMAGES NDIO HIZI.MAPESA YAMEPORWA NA YANAENDELEA KUPORWA,NA GAPE LINATWISHWA KWA WANANCHI KWA NJIA YA KODI JUU NA TOZO ZA KIFARA . BORA YA UKOLONI WA SULTANI KULIKO UHURU WA AJABU KAMA HIVI

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603Күн бұрын

    Tulia atatulia vizuri 2025 maana kazidisha uchawa kwa serikali kuanzia IGA mpaka hili la bajeti...

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5siКүн бұрын

    Mpina Bima ya Afya kama alivyoshauri Mh Shabby Moro shaurini

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285Күн бұрын

    Pigozin alimsaliti putin anaona mbal

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6mКүн бұрын

    Safi mh Putin.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Күн бұрын

    TANZANIA TUNATAKA RAIS KAMA MAKONDA SIO IVYO KITANUKA MBELENI 😂😂😂

  • @SelemanMhana-ol7tk
    @SelemanMhana-ol7tkКүн бұрын

    Jamani nisaidieni mimi sina cha kufanya juu ya Mh.Mpina lakini nisaidieni ni namna gani 2025 nikampigie kura halafu nirudi jimboni kwangu

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bКүн бұрын

    Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977Күн бұрын

    Putin afe

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6mКүн бұрын

    Hafi kwa sasa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bКүн бұрын

    Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bКүн бұрын

    Peter acha bunge liko mochwari siyo SS wanaichi COVID 19 hawajaitafisili hiyo ndio itaweza spika wa kimataifa amen mungu wee tuonyeshe nguvu yako juu ya wa polaji wa nchi yetu

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bКүн бұрын

    Je mwanasheliya mkuu jaji mkuu mbona hawatutafisiliyi mkutaba? Wapo hawapo tunaomba mutoke inje itawagalimu na vizazi vyenu

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dzКүн бұрын

    Narejea tana maneno ya wa2 wazima kuwepo kwa wabunge wa cmm pekee bungeni bc watalana wenyewe kwa wenyewe

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9znКүн бұрын

    Mpo vizuri

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112Күн бұрын

    Au itisha maandamano

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112Күн бұрын

    Toa namba tukutumie Hera walizokuta wanainchi tunakuelewa

  • @festohaule9716
    @festohaule9716Күн бұрын

    Pigozini alishapewa zawadi yake!!!

  • @Mussa-id9jb
    @Mussa-id9jbКүн бұрын

    Wambie hao k😅😅maswaswwa

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635Күн бұрын

    Mimi ndo naona hii leo. Je! The Chanzo, tumefanikiwa kiasi gani Kwenye hoja ya huyu Mama Sinare?

  • @KolamuWabene
    @KolamuWabeneКүн бұрын

    Mtangazaji umekosa taharifa?