Mwigulu Nchemba: Tunakopa Sababu Sisi Ni Matajiri

Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema kwamba Serikali ya Tanzania inakopa si kwa sababu ni maskini bali ni tajiri, inakopesheka na inao uwezo wa kulipa.
Akitoa mrejesho wa mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 Mwigulu amesema kuwa Serikali inakopa kwa ajili ya kufanya shughuli za maendeleo na sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

Пікірлер: 32

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir924912 күн бұрын

    Wazir wa hovyo kuwah kutokea tz

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd12 күн бұрын

    sasa ayo makofi ya nni sasa pumba tupu

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur12 күн бұрын

    Lingine Mwiguru fedha nyingi zinaibwa na watumishi hizi zote ni kujenga uchumi

  • @HellenMacha
    @HellenMacha12 күн бұрын

    Report ya CAG ingekuwa inapewa kipaumbele watu wasingingepigwa makod ya namna hiii...issue sio mapato tu...na matumiz pia!

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi794012 күн бұрын

    Tukiliamsha tunanza na huyu Bumunda. Nchi zinakopa lkn pesa zinaonekana zinafanya kazi gani. Ninyi mnakopa then mnaongeza kodi si ujuha huo? Reli imejengwa kwa mkopo kias gani mbona hadi leo mnakopa kwq mrad huo huo na haukamiliki.? Anatoq sababu za kijua na za mzaha. Anajua anaongea na waTanzania majuju.

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha12 күн бұрын

    Huyu ana akili timamu kweli? Kweli kuna changamoto ya akili nchini hasa kwa hawa machawa. Nonsense.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo12 күн бұрын

    Chawaaaa

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises320910 күн бұрын

    Tajiri hakopi hata siku moja. Utakopa ulichonacho😢

  • @niazonbukoke1964
    @niazonbukoke196412 күн бұрын

    Hayo yanayopiga makofi ni majinga kias gan??

  • @Rumishael
    @Rumishael12 күн бұрын

    Tujifunze kutoka Kenya

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl6 күн бұрын

    Acha bana, kwahiyo kama nitajiri unakopea nini ??,na kama mwenye uchumi wajuu duniani mkopaji mkuu,,jee anakopa kwa nani ,au anakòpa kwamasikini wachini zaidi ,sijaelewa vizuri

  • @febby8308
    @febby83086 күн бұрын

    Tupigwa 2

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv5 күн бұрын

    Mulisha tufanya kama chozi la samaki ambalo huenda na maji ila MUNGU wetu yupo atatupigania tuna amini na itakua ivo yani inchi inakopa kwakua ni tajili wkat madeni ni utumwa daaaaa! Sawa mwigulu

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies967010 күн бұрын

    Huyu waziri hamnazo, kwani nani analipa TRA si mwananchi, na mkikopa nani analipa si mlipa kodi

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune546411 күн бұрын

    Hamna siku mtanzania atadaiwa nuymbani kwake. Kwa sababu madeni ni ya serikali. Hiyo serikali inapata wapi fedha za kulipa hayo madeni, kama si wananchi????

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo12 күн бұрын

    Hahaaaaa tz tumatajiri huku tunalala njaa

  • @robertnkyalu3241
    @robertnkyalu324110 күн бұрын

    Upumbavu wa hali ya juu

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani78016 күн бұрын

    Huyu anaongea nn deni limeongezeka sasa Tanzania inapoteza pesa nying kwenye ufisadi lakn hatuna hatua chura kiziwi yupo tu

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl6 күн бұрын

    Pato lataifa linakuwa ,na kama linakuwa ,je pato la wananchi na lenyewe linakuwa??

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi732910 күн бұрын

    Ukila wewe ukashiba unaona ni tajiri sijaona mtu mbaya kama wewe pumbavu kabisa watu hata mlo mmoja ni shida wewe umeiba hela zote za Kodi unajiona tajiri na unafikiri wote

  • @josephfrancis9943
    @josephfrancis994312 күн бұрын

    Mnakopa mnagawana wenyewe nchi inadaiwa mpaka kku mnatuachia shida ndo mana unapendekeza fain milion kumi na tano msenge ww huna akili

  • @andrewchihwalo8937

    @andrewchihwalo8937

    12 күн бұрын

    Ubongo wa makamasi eti waziri aibu sana wallah 😡😡😡😡

  • @SurprisedAutoRace-ib8nf
    @SurprisedAutoRace-ib8nf12 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 hata haujishangai na mnakopa kwa shida zenu hatupo karne ya70s na kila mtu anaelewa

  • @user-mw7xl2zc8f
    @user-mw7xl2zc8f12 күн бұрын

    😢😢😢Mungu wangu!Nini hii

  • @MakunyanziPeter
    @MakunyanziPeter6 күн бұрын

    Ndiye mtu msomi huyo

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku12 күн бұрын

    Ahhh mm ngoja nicheke tu

  • @clethbarnaba923
    @clethbarnaba92312 күн бұрын

    Kangara kweli

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi732910 күн бұрын

    Kafie kuzimu bumunda

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur12 күн бұрын

    Hapo sijakuelewa unawezaje kuenda kuomba msaada kwa mtu alafu umbiye kuwa Mimi tajili

  • @OnetimeShowtime-jj1ek
    @OnetimeShowtime-jj1ek12 күн бұрын

    Matajili hatukatai Shida yako Viongoz mumekua wanyanyasaji masikini limekua godro lenu tax Tozo nibom kwawa Tz

  • @patrickbenard7542
    @patrickbenard754212 күн бұрын

    Sawa wanakopa wanakupa mkopo Kwa riba gani na Kwa mashart gani? Na Je wanakupangia project gani za kufanya?

  • @Andy-ez9jo
    @Andy-ez9jo12 күн бұрын

    Asimilia 20 ya bajeti ya Tanzania ni mikopo. Kama mkikosa mkopo hamwezi endesha nchi. Kuna hela gani iliyokopwa nchi hii imezalisha hela hela ya kulipa hayo madeni yanatoka wapi zaidi ya kuongeza kodi. Ma company yenyewe ya serikali yote yanaingiza hasara Si TTCL Si tanesco Si dawasa Si viwanda vya serikali kila kitu hasara hadi vyuo. Hadi mwendo kasi hamwezi ku endesha hiyo hela ya kulipa inatoka wapi Huyu Jamaa ana tu fanya sisi wajinga. Na anavojilinganisha na marekani marekani asilimia 80 ya madeni yake ni internal kwa maana serikali inajikopesha yenyewe kupitia states na government pensions anatuona sisi wajinga. Wabongo mpaka tuamke Haya mambo hayatokaa yaishe.

Келесі