‘Samia Anahofia Mageuzi Yataiondoa CCM Madarakani’
Catherine Ruge, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), amesema kwamba sababu kubwa ya kufeli kwa mchakato wa kuleta mageuzi ya kisiasa nchini, kama vile upatikanaji wa Katiba Mpya, ni hofu aliyonayo Rais Samia Suluhu Hassan kwamba endapo mageuzi hayo yatatokea, chama chake, Chama cha Mapinduzi (CCM), kinaweza kuondoka madarakani.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 15
100% uko sahihi sana. Uoga. Not strong enough, not independent enough. Pleasing CCM intead of serving the people instead of her party and the very few.Tulitegemea na tulitumainia angeleta mageuzi mazuri kwa manufaa ya watanzania wote. Tulitegemea awe shujaa, hodari na busara za kufanya hivi. Katuangusha.
Umeanza vizuri. Ila baadae umejichanganya.
Nakubaliana nawe kwa asilimia 80 wa hoja zako nadhani utakuwa viongozi mwema wa kusukuma maendeleo ndani ya CDM
Watu wengi sana sana ambao wanaipenda chadema wasiokuwa na kadi
Usawa wa kijinsia ndio mwanzo wa ushenzi mwing unaoonekana katika taifa
Kweri mimi Sina chama rakini nipo nyuma yenu
We huna jipya unatafuta ummarufu tu
CHADEMA Bakhti mbaya hamuyaishi munayoyaamini. Mmepoteza misingi kamili ya chama chenu. Lazima mjitafakari wapi mlipoteleza.
Ww kama hujui wale wanzilishi vyama vya upinzani walipo ruhusiw kuanzisha vyama walikimbilia kwa msajili wa vyama kuanzisha vyama vyao kwa ajili ya maslahi yao binafsi waakacha kulizamisha serekali kubadilisha na katiba ilikuwe na tume huru ya uchaguzi
Mimi siamini kama ccm wanahofia mageuzi,wanachohofia zaidi ni maovu waliyoyafanya ndani ya nchi na ufisadi waloufanya ndani ya nchi hii hofu yao wakiingia wapinzani watawafirisi na kuwafunga walofanya maovu ndo hofu yao kubwa ndo maana wanaogopa KATIBA MPYA
Anahofia mageuzi angewaruhusu kufanya mikutano na maandamano .Chadema haina uwezo wakuishinda CCM labda viongozi na wanachama wa CCM wavurugane bila hivio Chadema hainauwezo kabisa😢
Mageuzi? OMG! what a delusional mind 😂
@TM-zs3rm
12 күн бұрын
Nothing is delusional if you are genuine. All are possible.