‘Samia Anahofia Mageuzi Yataiondoa CCM Madarakani’

Catherine Ruge, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), amesema kwamba sababu kubwa ya kufeli kwa mchakato wa kuleta mageuzi ya kisiasa nchini, kama vile upatikanaji wa Katiba Mpya, ni hofu aliyonayo Rais Samia Suluhu Hassan kwamba endapo mageuzi hayo yatatokea, chama chake, Chama cha Mapinduzi (CCM), kinaweza kuondoka madarakani.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 15

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm12 күн бұрын

    100% uko sahihi sana. Uoga. Not strong enough, not independent enough. Pleasing CCM intead of serving the people instead of her party and the very few.Tulitegemea na tulitumainia angeleta mageuzi mazuri kwa manufaa ya watanzania wote. Tulitegemea awe shujaa, hodari na busara za kufanya hivi. Katuangusha.

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa926412 күн бұрын

    Umeanza vizuri. Ila baadae umejichanganya.

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga623812 күн бұрын

    Nakubaliana nawe kwa asilimia 80 wa hoja zako nadhani utakuwa viongozi mwema wa kusukuma maendeleo ndani ya CDM

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615912 күн бұрын

    Watu wengi sana sana ambao wanaipenda chadema wasiokuwa na kadi

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele12 күн бұрын

    Usawa wa kijinsia ndio mwanzo wa ushenzi mwing unaoonekana katika taifa

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r11 күн бұрын

    Kweri mimi Sina chama rakini nipo nyuma yenu

  • @AllyMohammed-nv5sj
    @AllyMohammed-nv5sj12 күн бұрын

    We huna jipya unatafuta ummarufu tu

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa926412 күн бұрын

    CHADEMA Bakhti mbaya hamuyaishi munayoyaamini. Mmepoteza misingi kamili ya chama chenu. Lazima mjitafakari wapi mlipoteleza.

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz12 күн бұрын

    Ww kama hujui wale wanzilishi vyama vya upinzani walipo ruhusiw kuanzisha vyama walikimbilia kwa msajili wa vyama kuanzisha vyama vyao kwa ajili ya maslahi yao binafsi waakacha kulizamisha serekali kubadilisha na katiba ilikuwe na tume huru ya uchaguzi

  • @shanjemanumba6325
    @shanjemanumba632511 күн бұрын

    Mimi siamini kama ccm wanahofia mageuzi,wanachohofia zaidi ni maovu waliyoyafanya ndani ya nchi na ufisadi waloufanya ndani ya nchi hii hofu yao wakiingia wapinzani watawafirisi na kuwafunga walofanya maovu ndo hofu yao kubwa ndo maana wanaogopa KATIBA MPYA

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856112 күн бұрын

    Anahofia mageuzi angewaruhusu kufanya mikutano na maandamano .Chadema haina uwezo wakuishinda CCM labda viongozi na wanachama wa CCM wavurugane bila hivio Chadema hainauwezo kabisa😢

  • @Amo-b7g
    @Amo-b7g13 күн бұрын

    Mageuzi? OMG! what a delusional mind 😂

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    12 күн бұрын

    Nothing is delusional if you are genuine. All are possible.

Келесі