CHADEMA Imepanga Kumshinda Kwa Hoja Gani Samia 2025?
Kwenye mahojiano yake na The Chanzo, Catherine Ruge, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), anaweka wazi hoja watakazozitumia kumshinda Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2025, kubwa yao ikiwa ni kuongezeka kwa gharama za maisha nchini.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 31
Wewe Mwandishi wa habari hiyo tasnia hauna utalamu nayo Nenda kalime viazi Kwenu
Kweli dada umenena hayo ndiyo tuna maswali juu ya raslimali yetu Ngorongoro ,bandari nayote hatetei hali ya maisha ya wanyonge kikokotooo kwa watumishi huyu mama tumwulize smepeleka wadsnii uchina kwa prsa gsni? Huku watumishi hwaongezrwi vijana hawaajiriwi huku anakopa kwanini
Mwandishi nae chawa
Hayo maisha magumu ninyi mnayosema mkishinda mtagawa pesa kwa wananchi? Acheni uongo wenu
Una uliza swali utaki kujibiwa au umetumwa,
Mbona magufuli alikuwa anaogeaga kisukuma mlikuwa mnakenua meno tu
Chadema mnawabagua watu kwa dini zao mtizame slaa alimkosoa jk akamkubali magufuli leo anampinga samia
Kwani ni Uwongo hauzi Mali za Watanganyika? Wewe halifa wacha Uchawa
Hongera zako kamanda wetu
mwandishi wa habari huyo ni mjinga,anachanganya issues ana akili ndogo sana
Duh huyu dada mbona anaakil hvo?😊
Huyo mwandishi anakupeleleza be careful dad's yangu
Huyu Mwandishi ni chawa wala hana akili kabisaaaa Zero brain Huyu mjinga kweli katumwa na Serikali
Mwandishi ni mjinga
Mwbie mamako aongee kikabila tumsikie ili nifurahi
Huyu jamaa si anaishi tanganyika maswali mengine ni ujinga
LABDA WAJE HOJA ZAO UKABILA NA UDINI HAMNA SERA YEYOTE YA KUTUELEZA SISI WA TANZANIA
Hivi mwekezaji kupewa ardhi kwa kufuata Sheria ni kuuza!!! Tafuteni hoja nyingine. Kenya kukodisha bandari ya Mombasa kwa Mediterranean ports ni kuuza? Duniani kote bandari zinakodoshwa hata China. Jipangeni kivingine . DPworld wako waingereza, German, China, kote huko wameuzwa.
@user-rn9og1rk3l
7 күн бұрын
Kavunja sheria au kazingatia sheria
Wewe hamna hojja hapo wewe Binti acha ubaguzi tayari mwenyekiti wenu ameporomosha sana demokrasia katika chama chenu.na ameishawaingiza katika ubaguzi mkubwa hata wananchi wa kawaida wanaelewa
Obama hakuuza rasili mali ya wamrekani mtalaaniwa mnaotetea ufisadi unaoendelea Tanganyika
NYIE CHADEMA MNATAKA KUTULETEA SIASA ZA KENYA UKABILA
@user-cz4pu9py5s
12 күн бұрын
Kwa vipi
Hanaa akili huyu mwenyewe kaiba Hela ya Bawacha huyu
@yassinnabwera4273
13 күн бұрын
Wewe ndio huna akili,kaiba hela za BAWACHA,wewe ni Mwanachama wa BAWACHA?Hivi kuiibia nchi kama wanavyofanya viongozi wako wa CCM na kukiibia kikundi cha watu,kwako wewe usiyejitambua;Ni wapi nchi inaathirika zaidi?
OBAMA AMETAWALA MAREKANI NA RICHI SUNAKI WINGEREZA ACHENI ULIMBUKENI
Huyu Muhandishi hafai hata tone
Mwandishi yuko kwenye udini yuko kwenye uzanzibar sijui alisomea wapi mambo ya habari hawa ndo wana vyeti hewa pumba tupu
Mwandishi huyo ni ngombe huyo ddaa alivu ilia Sana hakakuna mwandishi hapo
KAMA NYINYI SIO WAKABILA SIMNAONA TUNDULISSU AKIWA SINGIDA ANAWAHUTUBIA WANAICHI WA SINGIDA KWA KINYATURU YOTE HAYO TUNA YAONA ITIKADI ZENU
@erickmsigala138
12 күн бұрын
Tatizo lako liko kichwani Elimu, Elimu, Elimu ujinga wa wafuasi ccm ni mtaji wawatawala kisiasa