CHADEMA Imepanga Kumshinda Kwa Hoja Gani Samia 2025?

Kwenye mahojiano yake na The Chanzo, Catherine Ruge, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), anaweka wazi hoja watakazozitumia kumshinda Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2025, kubwa yao ikiwa ni kuongezeka kwa gharama za maisha nchini.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 31

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l7 күн бұрын

    Wewe Mwandishi wa habari hiyo tasnia hauna utalamu nayo Nenda kalime viazi Kwenu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb12 күн бұрын

    Kweli dada umenena hayo ndiyo tuna maswali juu ya raslimali yetu Ngorongoro ,bandari nayote hatetei hali ya maisha ya wanyonge kikokotooo kwa watumishi huyu mama tumwulize smepeleka wadsnii uchina kwa prsa gsni? Huku watumishi hwaongezrwi vijana hawaajiriwi huku anakopa kwanini

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong81239 күн бұрын

    Mwandishi nae chawa

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk7 күн бұрын

    Hayo maisha magumu ninyi mnayosema mkishinda mtagawa pesa kwa wananchi? Acheni uongo wenu

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso10 күн бұрын

    Una uliza swali utaki kujibiwa au umetumwa,

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb12 күн бұрын

    Mbona magufuli alikuwa anaogeaga kisukuma mlikuwa mnakenua meno tu

  • @user-nr3ym2ku6y
    @user-nr3ym2ku6y7 күн бұрын

    Chadema mnawabagua watu kwa dini zao mtizame slaa alimkosoa jk akamkubali magufuli leo anampinga samia

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein457012 күн бұрын

    Kwani ni Uwongo hauzi Mali za Watanganyika? Wewe halifa wacha Uchawa

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung215913 күн бұрын

    Hongera zako kamanda wetu

  • @paull8659
    @paull865912 күн бұрын

    mwandishi wa habari huyo ni mjinga,anachanganya issues ana akili ndogo sana

  • @sifaelmophat1021
    @sifaelmophat102112 күн бұрын

    Duh huyu dada mbona anaakil hvo?😊

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza12 күн бұрын

    Huyo mwandishi anakupeleleza be careful dad's yangu

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l7 күн бұрын

    Huyu Mwandishi ni chawa wala hana akili kabisaaaa Zero brain Huyu mjinga kweli katumwa na Serikali

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z12 күн бұрын

    Mwandishi ni mjinga

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb12 күн бұрын

    Mwbie mamako aongee kikabila tumsikie ili nifurahi

  • @ChukiMjinga-jw2ql
    @ChukiMjinga-jw2ql13 күн бұрын

    Huyu jamaa si anaishi tanganyika maswali mengine ni ujinga

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri13 күн бұрын

    LABDA WAJE HOJA ZAO UKABILA NA UDINI HAMNA SERA YEYOTE YA KUTUELEZA SISI WA TANZANIA

  • @petersilas4234
    @petersilas423412 күн бұрын

    Hivi mwekezaji kupewa ardhi kwa kufuata Sheria ni kuuza!!! Tafuteni hoja nyingine. Kenya kukodisha bandari ya Mombasa kwa Mediterranean ports ni kuuza? Duniani kote bandari zinakodoshwa hata China. Jipangeni kivingine . DPworld wako waingereza, German, China, kote huko wameuzwa.

  • @user-rn9og1rk3l

    @user-rn9og1rk3l

    7 күн бұрын

    Kavunja sheria au kazingatia sheria

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn11 күн бұрын

    Wewe hamna hojja hapo wewe Binti acha ubaguzi tayari mwenyekiti wenu ameporomosha sana demokrasia katika chama chenu.na ameishawaingiza katika ubaguzi mkubwa hata wananchi wa kawaida wanaelewa

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb12 күн бұрын

    Obama hakuuza rasili mali ya wamrekani mtalaaniwa mnaotetea ufisadi unaoendelea Tanganyika

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri13 күн бұрын

    NYIE CHADEMA MNATAKA KUTULETEA SIASA ZA KENYA UKABILA

  • @user-cz4pu9py5s

    @user-cz4pu9py5s

    12 күн бұрын

    Kwa vipi

  • @islambinomar8716
    @islambinomar871613 күн бұрын

    Hanaa akili huyu mwenyewe kaiba Hela ya Bawacha huyu

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    13 күн бұрын

    Wewe ndio huna akili,kaiba hela za BAWACHA,wewe ni Mwanachama wa BAWACHA?Hivi kuiibia nchi kama wanavyofanya viongozi wako wa CCM na kukiibia kikundi cha watu,kwako wewe usiyejitambua;Ni wapi nchi inaathirika zaidi?

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri13 күн бұрын

    OBAMA AMETAWALA MAREKANI NA RICHI SUNAKI WINGEREZA ACHENI ULIMBUKENI

  • @leokamil6284
    @leokamil628412 күн бұрын

    Huyu Muhandishi hafai hata tone

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h12 күн бұрын

    Mwandishi yuko kwenye udini yuko kwenye uzanzibar sijui alisomea wapi mambo ya habari hawa ndo wana vyeti hewa pumba tupu

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo363912 күн бұрын

    Mwandishi huyo ni ngombe huyo ddaa alivu ilia Sana hakakuna mwandishi hapo

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri13 күн бұрын

    KAMA NYINYI SIO WAKABILA SIMNAONA TUNDULISSU AKIWA SINGIDA ANAWAHUTUBIA WANAICHI WA SINGIDA KWA KINYATURU YOTE HAYO TUNA YAONA ITIKADI ZENU

  • @erickmsigala138

    @erickmsigala138

    12 күн бұрын

    Tatizo lako liko kichwani Elimu, Elimu, Elimu ujinga wa wafuasi ccm ni mtaji wawatawala kisiasa

Келесі