No video

Ifahamu Historia ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania: Kutoka Special Branch Hadi TISS

Wakati Marekani wana CIA na NSA huku Urusi nao FSB na uingereza wana MI5 na MI6 kwa Tanzania, kuna Idara ya Usalama wa Taifa ama kwa kimombo inafahamika kama Tanzania Intelligence and Security Services, TISS, ambayo ipo kwa mujibu wa Sheria ya mwaka 1996 na marekebisho yake ya mwaka 2023.
Fuatilia makala hii mwanzo mwisho uweze kufahamu historia ya Idara hii.
Rejea
Peter D. M. Bwimbo (2016), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
Thomas J. Maguire and Hannah Franklin (2020), International History Review, Creating a Commonwealth security culture? State-building and the international politics of security assistance in Tanzania.
George Roberts (2021), Cambridge University Press, London, Revolutionary State-Making in Dar Es Salaam: African Liberation and the Global Cold War, 1961-1974.
Paul Bjerk (2015), University of Rochester Press, Building a Peaceful Nation.
Issa G. Shivji, Saida Yahya-Othman, and Ng’wanza Kamata. Mkuki na Nyota, Dar es Salaam, 2020, Development as rebellion: A biography of Julius Nyerere.
Issa G. Shivji (1990), Institute of Southern African Studies, State Coercion and Freedom in Tanzania.
James Robert Brennan (2021),The International History Review, The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953-1974
Mark J. Mwandosya & Juma V. Mwapachu (2022), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, 38 Reflections on Mwalimu Nyerere
Yoweri Kaguta Museveni (2016), Moran Publishers,Kenya, Sowing the Mustard Seed
Stephen Isaac Mtemihonda (2023), Mkuki na Nyota Publishers, Vita vya Kagera
Watafiti/Wahariri
Joel Ntile
Tony Alfred K
Sauti
Tony Alfred
Mhariri Video/Sauti
Shafii Hamisi
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 111

  • @thechanzo
    @thechanzo23 күн бұрын

    Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105

  • @jamesverdian2445
    @jamesverdian2445Ай бұрын

    Idara yetu ya usalama wa taifa ni kati ya idara bora sana shida imeshikiliwa na wanasiasa wanaitumia vibaya Inaumiza sana

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    28 күн бұрын

    Umesema ukweli kabisa

  • @zonko0488

    @zonko0488

    25 күн бұрын

    Kama imeshikiliwa na wanasiasa basi sio idara bora. Ingekuwa bora ingesimamia malengo mapana ya Taifa na sio matakwa binafsi ya wanasiasa. Haina tofauti na idara nyingine zozote kwenye serikali zetu ambazo zinapelekwa hovyo na wanasiasa wasio waadilifu.

  • @aziadifukira
    @aziadifukira6 күн бұрын

    Hongera msomaji wa makala hii umesoma vizur.Mungu awabariki staffs wote wa TISS

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704Ай бұрын

    Naomba hii historià iruduwe kusoma ni nzuri sana

  • @Yefta-i2i
    @Yefta-i2i2 күн бұрын

    Hako kamziki kanakopigwa kwa nyuma, tafadhali husikatoe. Safi sana hako

  • @athumanimuhammadam3601
    @athumanimuhammadam3601Ай бұрын

    Naipenda saaaana kazi hii,,,inapatikanaje???

  • @peterkefand7835
    @peterkefand7835Ай бұрын

    Hongeren sana. yaani historia yetu ni kubwa sana na ipo kizalendo🎉

  • @alipipijimmy7605
    @alipipijimmy760529 күн бұрын

    Hongera chana chawa ni watu wema Sana na hii idara inatusaidia Sana iwapo kiongozi mwenye mamlaka anawatumia vizuri , pia nashukuru sana maana amani tulionayo ni usalama Wana sababisha nchi yetu iwe na amani pia nampongeza sana mwandishi amechambua vizuri mungu ambariki Sana yupo vizuri sana tuandalia na vitabu.

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808Ай бұрын

    Msomaji wa makala hii umesoma vizuri sana, kiswahili kimenyooka, hakuna shida za L na R, safi sana, japo angepatikana msimulizi mzuri zaidi ingekuwa tamu zaidi.

  • @wechemakambo2182

    @wechemakambo2182

    Ай бұрын

    Msomaji Mzuri zaidi ni yupi?Huyu kaeleweka vyema tu...

  • @Manyohu.tv1

    @Manyohu.tv1

    27 күн бұрын

    @@wechemakambo2182 unasifia na kuponda, binadamu bhana😁

  • @nasibuAbel

    @nasibuAbel

    15 күн бұрын

    mkuu hata hii Mimi nime ipenda sana tu

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612Ай бұрын

    kazi nzuri sana hii me napenda sana hii kazi

  • @bakorea

    @bakorea

    28 күн бұрын

    Kabisa. na kama ulivyoona, wachambuzi wa Chanzo wamezama na kutuletea madini hasa. toka enzi ya Mwalimu mtu kuwa katika idara hii ulijua anakubalika kwa uzalendo, weledi. Zaidi wamezuia maadui wa nje na ndani. Hata Yugoslavia yenyewe ilisambaratika kwa idara yao kutotabiri mipango ya maadui wa nje. Angalia Somalia, hadi leo vita na mgawanyiko, Somali land ilijitenga na hakuna wa kuzuia. Watu kama Kitine hadi leo anakemea kabisa tabia za rushwa na unafiki.

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704Ай бұрын

    Kwa kweli ni historià nzuri sana kwa taifa hili ni safi mie nimeipenda big up chanzo

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz10 күн бұрын

    duuuuu mungu aninusuru sifahamu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_Ай бұрын

    FBI ,CIA ,KGB na zote zinazofanana na hizo, Ni Kazi nzuri lakini kama una hofu ya Mungu Zina maswali mengi saana mbele ya Mungu, some of careers u learn not to question orders in order to put food on the table, hasa ukiwa mtu wa operation, ukipewa maelekezo tu mfyatue fulani haina kuhoji hata kama Ni mwenzenu, mnaweza mumchome Dawa ya usingizi na kumzamisha kwenye swimming pool alafu mnatangaza jamaa kafa Maji, asilimia kubwa mwisho wao huwa mbaya saaana vifo vyao vinatisha

  • @suleimansalym7537

    @suleimansalym7537

    Ай бұрын

    Kazi ngumu sana hii ni kazi ambayo unamjua mkurugenzi tu ila watendaji huwajui kma wachawi tu vile yan kuna watu wanaipenda sana hii ila dahh!!! Inaonekana ni kazi hatar sana hasa ukifikiria mwisho wetu kma binadamu

  • @RaphaelMichael-g3x
    @RaphaelMichael-g3x26 күн бұрын

    Big up to TISS

  • @Stanlykanwakabos
    @Stanlykanwakabos7 күн бұрын

    asante

  • @saimonmkangala7637
    @saimonmkangala7637Ай бұрын

    Kazi nzuri pongezi kwenu, Mungu awatunze.

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartbandАй бұрын

    Hongera kwake Mr Mombo....Mtu Mpole Sana na Mnyenyekevu

  • @user-kg5yu4kg9p
    @user-kg5yu4kg9p29 күн бұрын

    Hongera sana idara ya usalama wa taifa Kwa kulinda amani ya nchi

  • @jumankumilwa4139
    @jumankumilwa4139Ай бұрын

    HONGERA SANA BRO MOMBO

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946Ай бұрын

    🎉 Hongera sana show up

  • @nasibuAbel
    @nasibuAbel15 күн бұрын

    Upo sa sahihi kabisa naamini hivyo na mimi mwenye ndoto za kuwa kwenye hicho kitengo

  • @user-hx7tr5iw8p
    @user-hx7tr5iw8pАй бұрын

    Hii ni ya kizalendo Zaidi .nimeipenda ila kuna hichi kizazi kipya kichunguzwe sana kimeweka tamaa mbele kuliko uzalendo adui pia anaweza kuwashawishi wakaleta mihemko. Naipenda nchi yangu na nitaifia nchi yangu ya mababu zetu na bibi zetu mungu ibariki tanzania 🇹🇿mungu ibariki Africa 🌍

  • @bakorea

    @bakorea

    28 күн бұрын

    hapo sasa. zamani watu wote wa Usalama walikuwa wanaitwa , Vijana wa Mwalimu, ikimaanisha waliopikwa na kupikika, hakuna rushwa, ubadhirifu, unafiki, nk..sasa wakati wa Magufuli yupo afisa wa Usalama wa Wilaya, nadhani Mkoani Arusha alihusishwa narushwa..aibu..ila wachache hao

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167Ай бұрын

    Kwa kweli chanzo mpo vizuri kwa stori yote ulioeleza ni kweli kabisa

  • @officialkyenx4773
    @officialkyenx4773Ай бұрын

    mbwa hyo ange kufa tu na mlengaji haku lenga vzuri angelenga kichwa tu akafa .mbaguzi sana

  • @Dr_Heart.
    @Dr_Heart.Ай бұрын

    Hii ingewekwa voice na yule shafii ingenoga sana, anajua kusimulia

  • @noelmarapachi1808

    @noelmarapachi1808

    Ай бұрын

    Au Sky Walker wa SNS

  • @wechemakambo2182

    @wechemakambo2182

    24 күн бұрын

    @@Dr_Heart. hatupaswi kumdharau aliyefanya tukajua badala yake tumtie moyo azidi kuwa bora...Sasa Shafii hakuyajua haya.

  • @Dr_Heart.

    @Dr_Heart.

    24 күн бұрын

    @@wechemakambo2182 Hakuna aliyedharauliwa hapo, kila kazi na mtaalamu wake, haina haja ya kuwa na unafiki kwenye suala linaloeleweka, pongeza panapostaili pongezi....nyie ndo machawa nyie mnataka kusifia kila kitu bastard😎

  • @hansmutta2549
    @hansmutta2549Ай бұрын

    Sikujua kama tuko vizuri kwenye intelijensia big up sana

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188Ай бұрын

    Idara ya usalama wa Taifa ni idara Bora Sana pongezi kwao

  • @ibrajuma8399
    @ibrajuma8399Ай бұрын

    Hii ni ndoto yangu ila kuipata ndio shida

  • @Nedjadist
    @NedjadistАй бұрын

    Hii ilikuwa Idara kabambe sana. Siku hizi nashuku majukumu yake ni kuwakomoa Watanzania kuitumikia CCM. Haijui hata jinsi rasilmali za Tanzania zinavyoibiwa! Hivi wanaweza kuwaambia Watanzania Magufuli alikufaje?

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    29 күн бұрын

    @@Nedjadist wewe ukitaka afe vipi kwa mfano? Siku yako ikifika hata ashuke yesu utakufa tu. Acha kuuliza uozo kama huo jiongeze?

  • @abdulqadriabdallah9332
    @abdulqadriabdallah93327 күн бұрын

    Kumbe mzena ni hospital ya viongoz coz mzena alikuwa kiongozi WA usalama WA taifa

  • @alexdaniel7985
    @alexdaniel7985Ай бұрын

    Kazi iendeleeeeeeeee

  • @N.T.KDigitalCreation
    @N.T.KDigitalCreation6 сағат бұрын

    Hawa ni watu wanaojua nini kinachoendelea Tz.

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4mАй бұрын

    Huyo mama waisulamu ndio kwenye hii nchi miaka yote. Yakwake.......

  • @nelsonnikodem1100

    @nelsonnikodem1100

    Ай бұрын

    Lakini serekali yetu Haina dini

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    Ай бұрын

    Wewe ndio mpumbavu kweli pimbi wewe. Unavyosema muislam una maana gani? Unaijua history ya nchi hii vzr? Pwani ya waislam ndio chimbuko wa kila kitu nchi hii. Nani alifahamu mikoa ya huko porini? Hata uhuru umedaiwa mikoa ya pwani na sio mikoa ya mbugani. Acha ujinga waislam ndio vinara wa kila kitu bongo mzima

  • @suleimansalym7537

    @suleimansalym7537

    Ай бұрын

    Wewe ulitaka vp Kwan wanahubir au wanafanyakazi tu? Kazi yao ni utendaji hakuna hata siku moja uliosikia wanahubir ..watu wote wapo huru makanisa yapo na misikiti ipo hakuna siku huyu mama amezuia watu kwenda kanisani wala msikitini sio vzur hata kidogo kuhusisha Serikali na mambo ya kidini ...akili zako Zina ujauzito wa mawazo

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65Ай бұрын

    Kazi yao ni mhimu mno Ila kuna halufu mbaya na minong' ono mhimu kujilekebisha maana idara hi kisheria ni nyeti Mungu awapefikra za uweredi katika majukumu yenu.

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tvАй бұрын

    JPM aliwatumia vizuri usalama wa Taifa hasa kwenye maswala ya usama wa uchumi wa Nchi.

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    29 күн бұрын

    @@JK-uq1tv mbona viroba vya maiti kila siku coco Beach ktk utawala wake, hao TISS walikuwa wapi??

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571Ай бұрын

    I wonder where you guys get infomations

  • @peterchristopher5216
    @peterchristopher5216Ай бұрын

    Habyarimana alionywa na Mkuu wa usalama wa taifa Tanzania Luteni jenerali Imran Kombe, Mobutu na Rais Moi hawakuja Tz, walikubali onyo la Kombe, lasivyo habyarimana asingetunguliwa kwenye ndege mwaka 1994 na hatimaye mauaji ya kimbari Rwanda yasingetokea.

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    29 күн бұрын

    @@peterchristopher5216 Acha kutupeleka peleka wewe, Kombe atawaambiaje hao marais wasije kwani kulikuwa na tatizo gani Dar? Huyo Habyarimana na mwenzake wa Burundi wametunguliwa wakiwa wanarudi kwao baada ya kuhitimisha mkutano na sio ndani ya Tanzania, walitunguliwa ktk ardhi ya Rwanda huko.

  • @peterchristopher5216

    @peterchristopher5216

    29 күн бұрын

    @@MilloWamilonga-ft8ir hujaelewa mantiki yangu, najua kuwa hawajatunguliwa Dar, ila Kombe alivujisha Siri ya assassination kwa mmoja wapo, Hadi wengine hawakuja, waliambiana, Habyarimana alishauriwa asiondoke hiyo tarehe, badala yake akalazimisha, yakamkuta.

  • @silvanuskuloshe7995

    @silvanuskuloshe7995

    15 күн бұрын

    Usijibu mjinga nawe utakuwa mjinga​@@peterchristopher5216

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheriАй бұрын

    Hii ndiyo Idara iliyo na watu wasiojulikana? Mbona watu wasiojulikana hawajaweza kujulikana hadi leo? Hii Idara haiwezi kuwajua?

  • @frankkinyaiya.8217
    @frankkinyaiya.82176 күн бұрын

    Huyu Laurence Gama mwanae ndio Leonidas Gama aliyekuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro kwa sasa ni marehem??

  • @khamisjohn7639
    @khamisjohn7639Ай бұрын

    Uchambuzi mzuri saana na Idara yetu ina historia ya kizalendo saana. Kazi kwao viongozi wa sasa nao kuweka historia nzuri kwa kutenda haki kwa watanzania wote na kulinda rasilimali za nchi yetu kwa wivu mkubwa

  • @meshajohn8713

    @meshajohn8713

    Ай бұрын

    Idalayenuee

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149Ай бұрын

    Historia ni kitu kizuri sana,tunaomba irudiwe,na kurudiwa tena na tena. Kumbe chanzo cha TIS kuwa chini ya Rais ikulu ni hii iliyopelekea Idara hii kuwa chombo chini ya Rais na chama kimoja na ulinzi wa viongozi wa serikali na chama pekee na sio chombo cha usalama wa nchi na maadui kutoka ndani na nje pekee na Polisi kubakia mambo ya ndani ya ulinzi wa wananchi na mali zao!

  • @mosesmagubira3700
    @mosesmagubira3700Ай бұрын

    Niliwahi kutuma maombi lakini sikufanikiwa . Kisa kikubwa cha kutuma maombi ni uzalendo .

  • @boscofidelis6223

    @boscofidelis6223

    Ай бұрын

    Tafadhali nijulishe namna ya kuomba maombi tafadhali

  • @naimame763
    @naimame763Ай бұрын

    Dahh mung nijalie na mim hii kazi natamni siku moj na mm niwe TISS

  • @goodluckandrew3392
    @goodluckandrew339229 күн бұрын

    Twalipo , KAMBI YA TWALIPO IKO KALIBU NA UHASIBU

  • @allyngoda761
    @allyngoda761Ай бұрын

    Mmmh

  • @overplantv21
    @overplantv21Ай бұрын

    morning tiss 3:40 3:44 3:47

  • @peterchristopher5216
    @peterchristopher5216Ай бұрын

    Edwardo Mondlane wa Msumbiji alikufa mwaka 1969 na siyo 1965

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_EverythingАй бұрын

    ✌️👊👍.

  • @ruahakennelsandvetservices6567
    @ruahakennelsandvetservices6567Ай бұрын

    😮😢😢

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4tАй бұрын

    Mwamba hapa alikuwa laurance Gama na Imran kombe. Kuuawa kwa kombe ni hasara kubwa

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    29 күн бұрын

    @@user-pj7ng8il4t kuuwawa ka Kombe haikuwa hasara kwa taifa, bali ilikuwa kwa faida ya taifa Ndio maana unakuta yeye aliuliwa na polisi live kwa pengine malengo flan.

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259Ай бұрын

    Itoshe kusema 'madingi' walikua ni watu wenye akili, wabishi, wenye maono pia wazalendo, tuna kazi kubwa ya kuyaishi yaliyoanzishwa

  • @MohdMohd-fv1my
    @MohdMohd-fv1myАй бұрын

    Amani na Usalama tunajivunia...

  • @gregoryntibani6640
    @gregoryntibani6640Ай бұрын

    Msomaji ameeharibu kiswahili. "HICHO" na siyo "Hiko"

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf20 күн бұрын

    Hapa ndio utajuwa vp muungano huu tulonao m zanzibar hakuekwa hata mmoja kwenye itara hii

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408Ай бұрын

    Kikao cha maraisi 2015 au 2005

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf20 күн бұрын

    Hii idara hakuna m zanzibar anaewe kuongoza sindio

  • @user-dy8ss4ly8z
    @user-dy8ss4ly8z18 күн бұрын

    Kujiunga unafanyaje napenda pia

  • @hamzangakola8822
    @hamzangakola882228 күн бұрын

    Kuna mmoja anaitwa lilungulu umemsahau kwenye hiyo orodha

  • @wechemakambo2182
    @wechemakambo2182Ай бұрын

    Hapo kwenye gazeti la 1965 la nationalist linasema watatu zaidi wakamatwa ni juu ya ile uasi wa jeshi inaonekana picha ya huyo afisa Wayne Mbwambo na J.T.Zangira sasa huyu Zangira baadaye 1977 alikamatwa tenaa na kufungwa kwa kusidiana na Wazungu wa Southern Rhodesia(Zimbabwe),hii imekaaje?

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    29 күн бұрын

    @@wechemakambo2182 uasi wa jeshi ni 1964, Nyerere alifichwa Kigamboni na matokeo yake Julius hakumsaidia lolote hadi kifo chake. Julius alikuwa ni kiongozi mwenye roho ya kwa nini halafu roho mbaya nature

  • @shabanikimeru8409
    @shabanikimeru840923 күн бұрын

    Kwaiyo Tiss ni jwtz au polis???

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliudАй бұрын

    Mbona uteuzi umeegemea udini zaidi..tumeshuhudia matumizi mabaya ya madaraka ya ukiukaji wa katiba na viongozi kuingiza nchi kwenye mikataba isiyonufaisha nchi idara ikiwa kimya maana yake nini. hizi ni nchi mbili zilizouungana.idara inawajibika vipi kuhakikisha viongozi hawatumii nafasi zao kuhamisha rasilimali za upande moja. Isiieshie kushauri tu. Pia ichukue hatua

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    Ай бұрын

    Huna akili kama ni udini basi huyo Julius. Kuanzia TISS wa kwanza hadi wanane na hakuna mtu alieliongelea hilo coz hatuna udini, umefahamu wewe pimbi?

  • @helladeogratias7630

    @helladeogratias7630

    Ай бұрын

    Udini unakuja baada ya kukosekana hoja zenye mashiko.

  • @suleimansalym7537

    @suleimansalym7537

    Ай бұрын

    Kuna sheikh kateuliwa kwani? Acheni mawazo finyu sidhani kma ni uzalendo kuhusisha Serikali na mambo ya dini. Siku zote mbona hamjasema kwann? Au sababu ni huyu mama tu je umeona sehemu yoyote kiongozi wa Serikali anahubir dini ? Mbona LUKUVI alipoenda kanisani na kuongea udini hukusema lolote?

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    29 күн бұрын

    @@suleimansalym7537 wakristo huwa hawajiamini, na wengine hujiamini kutokana na dikteta Nyerere kuwa rais wa kwanza lkn hawajui bidii zote zilifanzmywa na waislam wa pwani na ndio wenye pwani yao rasmi, kuanzia Mtwara, Lindi, Pwani. Dar na Tanga. Hata uhuru haujapatikana huko porini bara ndani. Kila kitu kwa wastaarabu pwani (DUR AL SALAAM) ambayo ndio Dar es salaam ya sasa.

  • @mussakantumba9914

    @mussakantumba9914

    28 күн бұрын

    Ndugu ukisema Udini kwa kuwa aliyechaguliwa ni Muislamu, Basi Waislamu nao wataanza kusema, mbona Wakuu wote wa jeshi la wananchi ni wakristo toka uhuru isipokuwa mmoja tu Abdallaah Twalipo? Kiongozi anatakiwa aingoze vizuri bila kujali dini

  • @selemanichimogo4789
    @selemanichimogo4789Ай бұрын

    Mbona marehemu ng'itu hayupo

  • @clementiddi5708

    @clementiddi5708

    29 күн бұрын

    Hakuwahi kuwa mkurugenzi

  • @herrygeofreykilasi8658
    @herrygeofreykilasi865829 күн бұрын

    😅p

  • @user-sw5kz8ep3e
    @user-sw5kz8ep3eАй бұрын

    mbn kam umechanganya apo kweny diwan athuman msuya mbele yake hakuja uyo uliemuek badala yake alikuj moj kw moj Ali iddi

  • @ga2revocatus91
    @ga2revocatus91Ай бұрын

    Nifanyeje ili niwe members TISS

  • @henrymjema1685

    @henrymjema1685

    Ай бұрын

    Kuwa 🐞

  • @user-tb4ol6yp6c

    @user-tb4ol6yp6c

    Ай бұрын

    We zombie haujui😂 shughuli kaka

  • @josephjulio6112

    @josephjulio6112

    Ай бұрын

    Kazi siipendi kabisa

  • @BrysonKaduma

    @BrysonKaduma

    Ай бұрын

    😂​@@henrymjema1685

  • @clementiddi5708

    @clementiddi5708

    29 күн бұрын

    Umeshaikosa tayari

  • @athumanmapunda
    @athumanmapundaАй бұрын

    Okay

  • @alexdaniel7985
    @alexdaniel7985Ай бұрын

    Kazi iendeleeeeeeeee

  • @user-dy8ss4ly8z
    @user-dy8ss4ly8z18 күн бұрын

    Kujiunga unafanyaje napenda pia

Келесі