Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
#TheChanzoDocumentary
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: TheChanzo
INSTAGRAM: thechanzo
FACEBOOK: theChanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved
Пікірлер: 84
what a talent in his heart oscar kambona angekuwa rais hii nchi ingekuwa na uchumi mkubwa kutokana na utajiri ilionao, madin , vivutio maziwa nk. ndio maan alipinga ujamaa sera ya chama kimoj aliona mbali sana
@hemedjackson2261
Ай бұрын
Ww bwana kin tundu lisu blaaa blaa nying
Tatizo kubwa la Kambona alikuwa hajajikwamua kifikra. Nyerere alimwamini sana Kambona lakini baadaye kambona kwa kutaka ku-advance ubepari alijikuta njia panda! Mohammed, asante sana kwa kuwaelezea watanzania hususani vijana ambao wamezaliwa baada ya multi-party system Tanzania. Oscar alirudi Tanzania kwa humanitarian reasons, Nyerere alikubali Kambona arudi kwa sababu tayari alikuwa ni mgonjwa.
Makala nzuri sana, tunaona historia kama hizi ziendelee kuletwa katika mwanga. Aidha siasa za mlengo wa kushoto si ukomunisti bali ubepari 1:01:11
Genious
amazing jornalism my favorite Tanzanian news outlet;Vienna
Chanzo tv. Utambulisho wenu uwe ni huu.maana sio wote wanapokea umbea na Mambo ya hovyo mitandaoni.
Thanks kwa makala hii brother.. keep up the good work
Iko vizuri sana hii makala...mmefanya research ya kutosha...kudos kwa Chanzo
Asante sana kwa makala hii. Nilikua na kiu ya huyu mwamba aliemnyima Mwalimu usingizi.
Oscar was a hero but never outshine your master ...
Tunashukuru kwa makala nzuri
Kubwa sana hii
Laiti kambona angepata nafasi nchi ingekua mbali
@maghanighanichali9519
Жыл бұрын
Mbona Mbambabay hakukuwa na chochote? alibadililishwa akili na wazungu huyu Kambona.alikuwa na uchu wa madaraka huyu Kambona.
@khalifamuhudi2235
Жыл бұрын
Unajua tatizo letu watanzania tumelishwa sumu mbaya yakuamini kua mpinzani yoyot wa chama tawala ni mtu mwenye uchu wa madaraka kama nihivyo basi hata hawa watawala pia ni wachu wa madaraka maana isingekua ivyo wasingekua bize kuwashukhulikia wapinzani wao badala yak wange shukhulika kutatua matatizo ya wananch
@user-hn6dm3ev5p
3 ай бұрын
Kabisa ndugu km hangekuw wTu Safi wangepokezana madalaka
Kama tungeanza na Kambona Tz isingekua hivi tungekua kama Afrika kusini
Hii makala hii🏆🏆
Nilikuwa natamani kumjua uyo mwamba asanthe sana chanzo
Platform nyingi wanaandika makala unaona kabisa wameunga kupata pesa tuh, nimependa hiki full research let's have another one
Nice
Shukrani sana kwa hii ✌
si msaliti
Jamani
Now ndio namuelew Mzee Nyerere.❤❤
Sijui kwanini mzee Nyerere hajamtia mikwaju, mn mzee Nyerere hana mbambamba ukizinguwa anakutia viboko utajuwa mwenyewe
🔥🔥
Huyu ameitendea vyema taaluma yake❤, achana na wale chawa🤔
👏 a very good documentary! walau na kizazi kipya kiwe na hadithi in digital form, kama hizi
Mungu amrehemu hayati kambona ni shujaa hakika
Kumbe toka kipindi hicho Ukiwa na wamazo tofauti Serikali hii ya CCM ilikuona Adui mkubwa. Kambona ni Shujaa wa Nchi hii Alipigania Mambo ambayo Tulianza kuyaona mwaka 1992+
Kwa Baadhi ya Audio Niliyosikia Inaonyesha Kambona hakuwa Mtu Mwenye Uwezo Mkubwa wa Kuzungumza, Hakufikia hata robo ya Charisma ya Nyerere
@bennyframa4505
Жыл бұрын
Ni kweli. But still he was a great prominent leader behind tanganyika independence
Kambona alikuwa shujaa sana ilasematu hawa watawala hawaitaji kukosolewa
KAMBOMA ALIONEWA!! HAKUKUBALIANA NA SIASA YA KUWAPORA WATU MALI ZAO!!
Kwa kiburi uchawi na roo yake mbaya nyerere watanzania ikaakosa kisomo
🇹🇿✌️
Oscar; Never outshine your Master...!!
@beeg_markfitness6706
6 ай бұрын
Nyerere did and so did Nkurumah
Kama ningekuwepo ningewa upende wa Kambona
Msaliti
@user-hn6dm3ev5p
3 ай бұрын
Uliuwepo wakati huo
The dar mutiny of 1964
Makala imepangwa vizuri🤝💯
ni malaya malayaaaaaaaa
Nyerere alikua dikteta na amekwamisha uchumi wetu
@DUL69
Жыл бұрын
Usiongelee kile usichokijua.
@tedypeter5459
10 ай бұрын
@@DUL69qq aww
@tedypeter5459
10 ай бұрын
@@DUL69qq aww q
Waalim wa enzi hizo walikuwa wanafikia malengo yao ila hawa sasa Wapo bize na kutongoza vibinti wavitowe bikra tu tena nasikiya eti huwa wanashindana.
Osca kambona alikuwa shujaa
Osca kambona ni Alikuwa shujaa
Kambona hakua msaliti na alikua hana tamaa ya madaraka ndio mana alimwambia nyerere kue na vyama vingi. Daa Kambona ni chuma kilichopotezwa na watu wenye tamaa ya madaraka...jamaa alikua mjanja sana na alikua na hakili nyingi..
Kumbe ndio maana watu waita siasa ni mchezo mchafu. Yaani kumbe uongo na siasa za uragai alianzisha Nyerere ndani ya ccm.
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
Kwani hujui hilo kua umafia wa CCM wote uliasisiwa na Mwalim Nyerere......Na ndio chanzo Cha hii nchi kua Rais ndio muamuzi wa Kila kitu na hapingwi kwa lolote lile
@TM.Sullusi
Жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 Halafu Nyerere alijifunza wapi?😂😂, si hukohuko ambako mnasema kuna maendeleo.
Oscar utadhan kijana wa bongo fleva. Aliishi mbele ya muda
Oscar Kambona
PIA HAKUKUBALIANA NA UJANJA WA NYERERE WA KUPORA MADARAKA YOTE BADALA YA KUWA KIONGOZI AKAWA MFALME JEURI NA KATILI!!
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
True kabisa....Alipinga madaraka yote kumilikiwa na mtu mmoja..
Harafu mambo yote aliofanya Kambona hajatajwa kabisa yani hatumfahamu kabisa
*Promo sm* 🤘
Kambona ni jasiri sana huyo ni mwamba na pia ni mfano kwa watu Roma apo ndio pakuhiga...
@user-hn6dm3ev5p
3 ай бұрын
Sana Viva roma viva
Nyerere mtu alipokua maaarufu au kupendwa na watu anakuchukia tunakalilishwa tu ila Nyerere si baba wa taifa ni dhana tu ila hamna kitu roho mbaya sana
Tumemuimba Osca kambona Kama msaliti,kumbe alikuwa na mawazo chanya za kusaidia WaTZ,siasa ya ujamaa Ni chanzo Cha umaskini wa Tanzania,"Socialism is the phylosophy of failure,alisema Winston Churchill aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza!
@TM.Sullusi
Жыл бұрын
Hilo swali aliulizwa Nyerere na wazungu na alilijibu kwamba siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikua fairule. Anyway tuseme siasa ya ubepari ndo ilikua njia nzuri ya kuupiku Umasikini 😂😂, Nigeria ni Tajiri ?pamoja na mafuta yake. Vipi Malawi etc.
@YusufuChinengo-zn4xu
Жыл бұрын
@@TM.Sullusi 😅
@meshackngaboss1236
3 ай бұрын
😂😂siasa ya ujamaa ni chanzo cha umaskini😂😂😂 unaijua Urusi na China et "socialism is the pslosophy of failure" yaani ubepari wa watu wachache kujilimbikizia mali ndio utajiri na usawa tumia akili na sio mihemuko yaani unataka kuniambia mfumo wa tajiri kumuibia maskini ndio mfumo bora wa kuondoa umaskini 😅😅😅
@brysonkaale3003
3 ай бұрын
@@meshackngaboss1236 Tatizo la wavivu wa kufikiri Ni kuaminishwa kwamba tajiri Ni mwizi ,fisadi.Nchi yoyote haiwezi kuendelea bila kuwa na matajiri wanaoisukuma sekta binafsi,Ndiyo maana Viwanda vyote Tanzania vilikufa kwasababu hapakuawa na kiwanda Cha mtu binafsi,wenzetu Kenya Viwanda vyao vipo na vinachapa kazi sababu ni.vya watu binafsi,Tanzania siyo nchi ya kuifananisha na urusi na china,labda tujaribu Kenya.
@brysonkaale3003
3 ай бұрын
@@meshackngaboss1236 Tatizo kubwa la wavivu wa kufikiri Ni kuaminishwa kuwa " Tajiri Ni mwizi,Imani hiyo bado inazagaa hapa Tanzania,uchumi wa nchi yoyote duniani unapaishwa na sekta binafsi,sekta binafsi Ni matajiri ambao wanasaidia kutoa ajira,kulipa Kodi serikali na uchumi unakua,Hakuna sababu nyingine iliyoua Viwanda vya Tanzania isipokuwa Ni kwasababu ya kumilikiwa na serikali,Wenzetu Kenya Viwanda vyao vipo na vinachapa kazi kwasababu Ni Mali ya watu binafsi,Ni kosa kuifananisha Tanzania na Urusi&China,maana china ya ujamaa Ni Ile ya Mao Zetung siyo hii ya Sasa!
Waliopigania Uhuru wote Tanzania walididimizwa sana
NYERERE ALIZOROTESHA UCHUMI WA NCHI. LAKINI KWA KIASI FULANI ALILETA USAWA NA AKAONDOSHA MATABAKA KATI YA WATANZANIA. NA BORA ZAIDI HAKUWA MFISADI.
Oscar Ali wahi kupata ujanja
Nashukur Kwa nakala huu keep it up!!!👍
Huyu alikuwa na njaa ya madaraka hadi kumsingizia Nyerere kuwa anaficha pesa nje! Tunamshukuru Kwa kushiriki mapambano! RIP Kambona.
Kambona alikua influencer but Nyerere was a true Leader. Wangelewana tungekua mbali.
Kwa documentary hii Nyerere na chama chake ni useless kama angekua anajiamin angeweka vyama ving ashindane na kambona just challenge
@tumainimatandala1847
6 ай бұрын
Nikweli kabisa. Lakini nachokiona ni kimoja, kambona alikua smart na alikua na influence kubwa. Lkn hakua kiongozi bora. Kambona alikua Engine ila sio hakua na kipawa cha uongozi.
alikuwa kibaraka wa wareno na makaburu wa SA kwa ufupisho