TBC1- NYOTA WA WIKI : MEJA JENERALI WA KWANZA MWANAMKE TANZANIA, ZAWADI MADAWILI (PART 1)
Жүктеу.....
Пікірлер: 139
@sarahmbilinyi18092 жыл бұрын
Hongera sana Dada madawili kwa kuwa mwanamke pekee meja jeneral wa kwanza
@ibrahimaboker90862 жыл бұрын
Once A Soldier Always Soldier Mama Umenitangulia mizi 6 tu mimi nilijiunga JWTZ Mgulani January/1973, mimi ni MT7
@ashamkaula2632
2 жыл бұрын
Hongereni ss mwengine bado tunapambana jkt huku
@ashamkaula2632
2 жыл бұрын
Na ss tumuombe mungu tufukie huko op makao
@allyhassan7522
2 жыл бұрын
Kila la kheri
@nurumohamed7225
2 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 op makao makuu
@katerelomkuyati6764
2 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 Mimi nipo jeshi LA kuuza matunda sokoni kariakoo Tupo pamoja sana Ila hata kuiona risasi live sijawahi ona tangu nizaliwe
@rahabnkya82762 жыл бұрын
Hakika YAKEE! Namkumbuka sana tukiwa CSTC Dar 1970, 1971/72 akiitwa ZAWADI MADAWILI.., kina marehemu Adeline SAWE, MARGRET nk. Tunamshukuru Mungu sana, tupo tu !!
@stn4873
2 жыл бұрын
Nkya uko wapi siku hizi??
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Wamama Tz mnaweza sana. Sasa tunae Rais wa kwanza mwanamke EA na hata bodigadi wanawake tunawaona sasa. Watz tuwaunge mkono wanawake zetu wanaweza. Watoto wa kike jipeni moyo kama mama huyu.
@gracesamson9242 жыл бұрын
Bigup matron,mama nakumbuka ulivyotulea ulitujali usia wako ulitufundisha meeeengi saana,hakika sitokusahau hakika we we ni Super mama MUNGU akupe umri mrefu
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Hongera sana mama Meja Generali Mungu akujalie maisha marefu.
@bishopesronrutayisire52102 жыл бұрын
Mama Afande Meja Generali, nami ni mefurahia saaana wema wako, hekima na busala vyako. Wewe ni Mama wa dhamani kubwa. Dada Mtangazaji hongela na wewe pia umefanya kanzi njema kwa kwenda kumuona Shuja Meja Generali Madawili. Mungu awajazie kwa neema yake !
@abdularuffin93082 жыл бұрын
Hongera mama mwema nimejifunza kwako mamangu mungu akulinde na kukutunza tuzidi kujifunza kwako
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Ukiingia ndani ni mama sauti huishia getini. Hekima kubwa sana.
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Mashallah hongera mama na unavojistiri kwa nguo za heshima ivo mama allah akufanyie wepesi
@azaintv2731
2 жыл бұрын
aaamin
@auntdorah91412 жыл бұрын
Mabinti popote mlipo, kamatia ndoto yako, unaweza! Jamani wanawake tunaweza Hongera mama Mdawili, napenda sana kuona wanawake ktk nafasi za juu. Mungu azidi kutusimamia🙏
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Mama kapendeza inaonekana alikua mtu mwema hongera mama
@umfarid2472 жыл бұрын
Nimependa historia yako mama napenda watu wanao chapa kazi asante mama
@shamimhayat76372 жыл бұрын
Mashaaalah mama mwenye hekima na busara nyingi Allah akulinde
@jumahamis2272 жыл бұрын
Dada mzuri mcheshi na anajua kuhoji sana hadi raha, hongera kwa mama madawili kuwafungulia wanawake wengine kwenye tasnia ya jeshi 👏.
@hishamally48462 жыл бұрын
Maashaallah bi mkubwa allah akukinge na husda
@azaintv2731
2 жыл бұрын
Aamin
@cyprianonesmo18322 жыл бұрын
Safi mama mungu akupe maisha marefu
@zainakuzenza7592 жыл бұрын
Wakati nasoma huyu alikuwa rollmode wangu hongera
@gosbertkachekolera50372 жыл бұрын
Nakumbuka,alifika karagwe mwaka 1975.shule ya msingi bugene ilichaguliwa kiwilaya kuupokea mwenge mwisa na tuliusindikiza hadi kanyamasongo ngara.big up mother
@williamkeitha1262
2 жыл бұрын
Maj gen kodi bonge la kiongozi aise salute to match you Madawili na kodi
@jeanmusamba84482 жыл бұрын
hongera sana mama yetu,Major,unawafundisha mabinti ukakamavu wenye mafanikio,dada zetu wengi sana kazi yao kuwaomba hela wanaume,kumbe wakati fulani Mungu unakuta kambadiliki mwanamke zaidi akijituma kuliko mwanaume ila hawajitambui.Wengi wakiona mwanaume wanaona pesa sio mpenzi au mume.
@gooddeeds162
2 жыл бұрын
Siyo Major ni Major General. Ni sawa kumuita General lakini siyo Major , Huyu ni Major General.
@farijalanyoni5685
28 күн бұрын
ni two star general mjomba
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Mtu hana cheo chochote anakua jeury hasa hawa trafki jeury sana namuomba mkuu wa jeshi la polisi awaangalie sana hawa pamoja na manesi pia jeury
@noelswai26602 жыл бұрын
Mama anaongea kwa hekima saana 👏👏👏
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Mama Meja General kweli wewe una hekima ya ajabu. Unavyojieleza ni Mwl tosha wa hekima kubwa. Yafaa uwe unaitwa ktk hazina za hekima ya taifa .
@jumamhina3892
2 жыл бұрын
Hakika ni mwalimu na busara zimemjaa. Kuna mengi ya kujifunza hapa kuanzia malezi na kung'ang'ania ndoto yako. Ahsante TBC na Mama yetu kwa kipindi hiki
@monicambossa49372 жыл бұрын
Asante sana
@davidkawesa3594Ай бұрын
Hongera bibi umetuheshimisha ingekuwa mademu wa siku hizi
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Jicho la.pekee likuone upewe nafasi ya kulea vijana.hasa wadada jeshini. Mama ni mama.
@ahmadiomari69132 жыл бұрын
Nacheka sans sana sana sanaaaaa. Kila kiongozi ana haki yake ya kuweka watu anao ona watakuwa nae Wanawake pambaneni kweli kweli na hal zenu. Laini ninavo ona mukishatoka mumekwisha tena. Yaani vyeo mutavisikia tu.maana mpango wenu wengine wanaona siomzur
@emmanuelmtono75762 жыл бұрын
Major General Madawili alifika pale IDM Mzumbe wakati akiongoza mbio za Mwenge 1975. Nilikuwa form two pale Mzumbe Secondary, kapiga combat yake ya JWTZ mkakamavu sana. Ilipendeza sana. Mungu azidi kukupa afya njema.
@marystelaswai5174
2 жыл бұрын
Daaaaah hatari sanaaaa, nilishangaa jeshini tunaitwa madawili kumbe ndo kwa ajili yake
@abuumaisarah6595
2 жыл бұрын
Duh 1975 Sawa Kiongoz
@abraman8260
2 жыл бұрын
@@marystelaswai5174 wewe ulikua unajua ni nn au cheo
@Ambagaye2 жыл бұрын
Huyu Madawili nadhani ndiye aliyengoza mbiyo za mwenge mwaka 1974 akiwa luteni, na kuanza kusifiwa tangia hapo.
@ashamkaula2632
2 жыл бұрын
Hongereni bcz wengin nd tunaendelea kupapambna jkt huk
@ahmadkasika7114
2 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 pambana Dada pia jichanganye na wakuu watakusaidia sana 🙏🙏
@janefrolakalinga56642 жыл бұрын
waooooo nilikuw najiulizag siku zote kwa nini wasichana jkt huw wanaitwa madawili bila kupata majibu, ila nikawa najipa majib kumbe ni 7bu ya huyu mama mwenye jina lake na mwenye cheo kikubwa jeshini, salut kwako mama zawad honger sn maan hat mimi nilishawahi itwa jina lako la dawili and a new phone🙏😆😆😆😆😆😆
@sharaarabiy858
2 жыл бұрын
Ahahaaa truee
@marystelaswai5174
2 жыл бұрын
Umeonaaaa eeh tuliitwa madawili sana kumbe ndo sababu ya hili
@marystelaswai5174
2 жыл бұрын
Nimesikia raha
@zaidihussein43112 жыл бұрын
Mama hongera Sana kwa cheo ulicho fikia jeshini
@stn48732 жыл бұрын
Taratibu iko hvyo hvyo Mama General, miaka 6 kwanza ndio mambo ya kuoa na kuolewa yaje.
@avitimmochi2272 жыл бұрын
Hi Madawili. Tulikuwa pamoja UD. Nakusalimu. Mmochi
@saidishebuge47962 жыл бұрын
Very Inspired
@allyfawziyaat32462 жыл бұрын
Super proud to be your niece 🥰🥰🥰
@gwamakamwailunga91462 жыл бұрын
Salute kwako General, Mungu aendelee kukutunza uishi miaka mingi
@methodmarwa1406
2 жыл бұрын
Hongera sana
@joycemwaikofu49232 жыл бұрын
Hongera sana mama. Superwoman
@yatatusimu24982 жыл бұрын
A good interview in terms of style and content. Hongereni wote wawili ...
@Tv-qs8iz2 жыл бұрын
ماشاء الله تبارك الله
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Sio wanawake wa siku hizo wajeury kajifunzani kwa mama leo trafki wa kike wanawatukana mpaka wazee nendani mkajifunze kwa mama huyo mama ana tabia njema
@shaamemchauru1365
3 ай бұрын
KWELI KABISA
@stafordbusumbiro28102 жыл бұрын
Hongera sana Rtd Major General Madawili.
@aminaibrahim4148
2 жыл бұрын
Mashaallah Allah aku afidhi mama
@anawa4326 Жыл бұрын
Impressive Madame 👌✊🏼👏🏼
@lewismsumari13152 жыл бұрын
Kumbe ndo maana wanawake jeshini wanaitwa madawili 😀😀
@georgedaniel4962
2 жыл бұрын
Umenichekesha sana na kunikumbusha mbali
@abraman82602 жыл бұрын
Nimempenda mtangazaji
@abdullatifsuleiman5371
2 жыл бұрын
Na mtangazaji pia wanaendana Sana wapo kirafiki zaidi
@allykhamis33782 жыл бұрын
Waa mejajenerali my live
@rebeccampingwa76162 жыл бұрын
Hongera bibi aliera na alia nimefurahi kukuona mungu akupe maisha marefu yenye baraka
@rosemarymwanjali5512
2 жыл бұрын
Hongera sana Dada Madawili Mungu akujalie afya na uishi maisha marefu
@machaggechacha34222 жыл бұрын
Safi sana mama.
@azizihfarijala53072 жыл бұрын
Huyu afande hongera yake.na rafiki.yake Rukia masasi yupo wapi walikuwa wote
@simontamba12852 жыл бұрын
Hakika Mnaweza
@kassidpandu8662 жыл бұрын
Kamanda Mwenekano wako bado una Nguvu Mama
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Huyo Ni mjeshi lazima awe na AFYA njema hapa simzungumzii walevi nazungumzia wenye kujitambua Kama huyu mama
@hajihassan5433
2 жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 Tumshukuru Mungu ampe afya njema zaidi pamoja na sisi lakini ujeshi na afya ni vitu tofauti.
@hajihassan5433
2 жыл бұрын
Kwa afya yako njema Mungu akuzidishie inafaa Rais akupangie kazi Serikalini.
@jimmundakega81172 жыл бұрын
Hongera sana!
@vetsengore10352 жыл бұрын
Inspiring content
@suntzu89592 жыл бұрын
Mbona sijaona part 2
@dr.kassimumtunguja69782 жыл бұрын
Madawili Wote foleni nje ya kombania 😆
@marystelaswai5174
2 жыл бұрын
Hatari saaaanaaa
@allyhassan75222 жыл бұрын
Alijielewa sana,hata sketi yake tu unaona ilikuwa ikivuka Magoti.
@anuaryally61772 жыл бұрын
Meja jeneral kitambo umepatia kuweka kabostani kuliko kufuga mijani isiyokuwa na faida
@hassanbilali1697
2 жыл бұрын
Hongeraa mama
@saidalsalmi93132 жыл бұрын
Salute Generali
@hadijachakori23522 жыл бұрын
Hongela sana mama
@elisannko5892 Жыл бұрын
I'll be like you one day in Jesus Name
@lovenessvisent94088 күн бұрын
Nimepata tabasamu muda wote wa video mimi ni raia tu
@allykhamis33782 жыл бұрын
Day meja wee achaa tu
@janethmponzi83082 жыл бұрын
Hongera sana bibi yangu
@maigajohn7022 жыл бұрын
Safi
@mariamuanuari82412 жыл бұрын
Masha Allah
@allyfawziyaat32462 жыл бұрын
My auntieeeeee😍😍😍😍❤️❤️❤️
@kidjhdf75682 жыл бұрын
Mashallah
@tajielpatrick93722 жыл бұрын
major na mama umeongea ukwel mnooo kila mtu atafute chake wazazi now days wanakuwa slaves wa watoto yaaan ww umtafutie kila kitu yy aenjoy as if amekuja dunia kuenjoy that's not right
@tegemeantenga1024 ай бұрын
Kumbe ni mnyalukolo? Malangali kitaaluma ni nyumbani kwetu,, Malangali boys sec school,,,,au ndo maana mabinti jeshini wanaitwa madawili???
@dicksonkilupa68812 жыл бұрын
Iringa hoyeeeeeeee nimefurahi sana kuona mstaafu bado anajitambua vizuri maana wengine wakistaafu utawaogopa hawaelewekieleweki, ila wewe twihongecha je Nguluve.
@sophiaamnaay9726
2 жыл бұрын
Hongera sana mama. Nimejifunza mengi kwako. Kweli wanawake wastaafu wanajitahidi sana kujitunza
@nurualamoody4305
2 жыл бұрын
awana dhulma hao ndio maana wamestaafu lkn bado wamenawili
@adeltuskarugaba138 Жыл бұрын
Mbona gari hapo mbele lina nyota moja ambalo ni gari la brigedia sijaelewa Au wamefanya parking tu
@fredymahonya1359
Жыл бұрын
Mume wake ni Brigedia General mstaafu
@Nicaonlinetv73242 жыл бұрын
We proud of you Sir
@abbasirovya6118
2 жыл бұрын
She is a lady, cannot be addressed as "Sir" .
@abdullatifsuleiman5371
2 жыл бұрын
Ni madam sio sir
@peterchristophernyansambo49592 жыл бұрын
Jambo afande (itikia mkuu ili nifungue mguu)
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Ah ah ah
@andrew294682 жыл бұрын
Mama anaonekana mnyenyekevu anastahili sifa
@robinhomesuza92632 жыл бұрын
Wewe mtangazaji amkia kwanza
@jamesmasanja1963
2 жыл бұрын
Mavazi yake tu yanaonesha Alivyo, misuruali wanasalimiaga
@DonSompo
2 жыл бұрын
Tazameni na sikilizeni kwa makini, alimsalimia wakati anapokelewa
Kutoka Rwanda. Jameni niambieni maana ya kukimbiza mwenge.
@naimaseif7615
2 жыл бұрын
Mwenge ni ngao ya taifa la tz kila mwaka unakimbizwa tz nzima
@naimaseif7615
2 жыл бұрын
Unapeleka ujumbe fulani kwa watz
@myself41282 жыл бұрын
Naona mwanamke kaja kupandisha vvyeo wanawake tuu.soon serikali umbea na misuto itaanza
@slowclimbertothetop4572
2 жыл бұрын
Mama yako ana tabia za umbea na kusutana???
@sleimbh
2 жыл бұрын
Inaonekana umezaliwa na mwaume na huna ndugu wa kike.
@mohammedsururu4047
2 жыл бұрын
Ww Una mihemko huyu ni mstaafu tangu 2008 kapandishwa vp cheo na mwanamke
@shufaamnyoty5626
2 жыл бұрын
@@slowclimbertothetop4572 kwa kweli inaonekana ndio mazingira yalomkuza
@slowclimbertothetop4572
2 жыл бұрын
@@shufaamnyoty5626 itakuwa hivyo
@mohamedomar76922 жыл бұрын
Sijui bado anae mume na kama hana sijui anataka kuolewa nami.?
@Nicaonlinetv7324
2 жыл бұрын
Uwe na adabu huyo ni mama kwako
@sufianjuma41552 жыл бұрын
⁰
@kyellymissago92102 жыл бұрын
Ĺ
@bayongwabyabuzi78402 жыл бұрын
Hayo yote ni porojo tupu....
@monicambossa49372 жыл бұрын
Asante sana
@georgelupembe86722 жыл бұрын
...ooh dada Zawadi....nakumbuka ukiwa Malangali Middle School mkicheza mpira wa miguu na dada zangu Elizabeth Lupembe na wengineo.....pia nakumbuka John Carson's (mmarekani) akiwa mmoja wa waalimu wenu....mama umekuwa mfano mwema kwetu sote na kioo kwa wana Malangali na wana Iringa kwa ujumla. Nakutakia maisha marefu
Пікірлер: 139
Hongera sana Dada madawili kwa kuwa mwanamke pekee meja jeneral wa kwanza
Once A Soldier Always Soldier Mama Umenitangulia mizi 6 tu mimi nilijiunga JWTZ Mgulani January/1973, mimi ni MT7
@ashamkaula2632
2 жыл бұрын
Hongereni ss mwengine bado tunapambana jkt huku
@ashamkaula2632
2 жыл бұрын
Na ss tumuombe mungu tufukie huko op makao
@allyhassan7522
2 жыл бұрын
Kila la kheri
@nurumohamed7225
2 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 op makao makuu
@katerelomkuyati6764
2 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 Mimi nipo jeshi LA kuuza matunda sokoni kariakoo Tupo pamoja sana Ila hata kuiona risasi live sijawahi ona tangu nizaliwe
Hakika YAKEE! Namkumbuka sana tukiwa CSTC Dar 1970, 1971/72 akiitwa ZAWADI MADAWILI.., kina marehemu Adeline SAWE, MARGRET nk. Tunamshukuru Mungu sana, tupo tu !!
@stn4873
2 жыл бұрын
Nkya uko wapi siku hizi??
Wamama Tz mnaweza sana. Sasa tunae Rais wa kwanza mwanamke EA na hata bodigadi wanawake tunawaona sasa. Watz tuwaunge mkono wanawake zetu wanaweza. Watoto wa kike jipeni moyo kama mama huyu.
Bigup matron,mama nakumbuka ulivyotulea ulitujali usia wako ulitufundisha meeeengi saana,hakika sitokusahau hakika we we ni Super mama MUNGU akupe umri mrefu
Hongera sana mama Meja Generali Mungu akujalie maisha marefu.
Mama Afande Meja Generali, nami ni mefurahia saaana wema wako, hekima na busala vyako. Wewe ni Mama wa dhamani kubwa. Dada Mtangazaji hongela na wewe pia umefanya kanzi njema kwa kwenda kumuona Shuja Meja Generali Madawili. Mungu awajazie kwa neema yake !
Hongera mama mwema nimejifunza kwako mamangu mungu akulinde na kukutunza tuzidi kujifunza kwako
Ukiingia ndani ni mama sauti huishia getini. Hekima kubwa sana.
Mashallah hongera mama na unavojistiri kwa nguo za heshima ivo mama allah akufanyie wepesi
@azaintv2731
2 жыл бұрын
aaamin
Mabinti popote mlipo, kamatia ndoto yako, unaweza! Jamani wanawake tunaweza Hongera mama Mdawili, napenda sana kuona wanawake ktk nafasi za juu. Mungu azidi kutusimamia🙏
Mama kapendeza inaonekana alikua mtu mwema hongera mama
Nimependa historia yako mama napenda watu wanao chapa kazi asante mama
Mashaaalah mama mwenye hekima na busara nyingi Allah akulinde
Dada mzuri mcheshi na anajua kuhoji sana hadi raha, hongera kwa mama madawili kuwafungulia wanawake wengine kwenye tasnia ya jeshi 👏.
Maashaallah bi mkubwa allah akukinge na husda
@azaintv2731
2 жыл бұрын
Aamin
Safi mama mungu akupe maisha marefu
Wakati nasoma huyu alikuwa rollmode wangu hongera
Nakumbuka,alifika karagwe mwaka 1975.shule ya msingi bugene ilichaguliwa kiwilaya kuupokea mwenge mwisa na tuliusindikiza hadi kanyamasongo ngara.big up mother
@williamkeitha1262
2 жыл бұрын
Maj gen kodi bonge la kiongozi aise salute to match you Madawili na kodi
hongera sana mama yetu,Major,unawafundisha mabinti ukakamavu wenye mafanikio,dada zetu wengi sana kazi yao kuwaomba hela wanaume,kumbe wakati fulani Mungu unakuta kambadiliki mwanamke zaidi akijituma kuliko mwanaume ila hawajitambui.Wengi wakiona mwanaume wanaona pesa sio mpenzi au mume.
@gooddeeds162
2 жыл бұрын
Siyo Major ni Major General. Ni sawa kumuita General lakini siyo Major , Huyu ni Major General.
@farijalanyoni5685
28 күн бұрын
ni two star general mjomba
Mtu hana cheo chochote anakua jeury hasa hawa trafki jeury sana namuomba mkuu wa jeshi la polisi awaangalie sana hawa pamoja na manesi pia jeury
Mama anaongea kwa hekima saana 👏👏👏
Mama Meja General kweli wewe una hekima ya ajabu. Unavyojieleza ni Mwl tosha wa hekima kubwa. Yafaa uwe unaitwa ktk hazina za hekima ya taifa .
@jumamhina3892
2 жыл бұрын
Hakika ni mwalimu na busara zimemjaa. Kuna mengi ya kujifunza hapa kuanzia malezi na kung'ang'ania ndoto yako. Ahsante TBC na Mama yetu kwa kipindi hiki
Asante sana
Hongera bibi umetuheshimisha ingekuwa mademu wa siku hizi
Jicho la.pekee likuone upewe nafasi ya kulea vijana.hasa wadada jeshini. Mama ni mama.
Nacheka sans sana sana sanaaaaa. Kila kiongozi ana haki yake ya kuweka watu anao ona watakuwa nae Wanawake pambaneni kweli kweli na hal zenu. Laini ninavo ona mukishatoka mumekwisha tena. Yaani vyeo mutavisikia tu.maana mpango wenu wengine wanaona siomzur
Major General Madawili alifika pale IDM Mzumbe wakati akiongoza mbio za Mwenge 1975. Nilikuwa form two pale Mzumbe Secondary, kapiga combat yake ya JWTZ mkakamavu sana. Ilipendeza sana. Mungu azidi kukupa afya njema.
@marystelaswai5174
2 жыл бұрын
Daaaaah hatari sanaaaa, nilishangaa jeshini tunaitwa madawili kumbe ndo kwa ajili yake
@abuumaisarah6595
2 жыл бұрын
Duh 1975 Sawa Kiongoz
@abraman8260
2 жыл бұрын
@@marystelaswai5174 wewe ulikua unajua ni nn au cheo
Huyu Madawili nadhani ndiye aliyengoza mbiyo za mwenge mwaka 1974 akiwa luteni, na kuanza kusifiwa tangia hapo.
@ashamkaula2632
2 жыл бұрын
Hongereni bcz wengin nd tunaendelea kupapambna jkt huk
@ahmadkasika7114
2 жыл бұрын
@@ashamkaula2632 pambana Dada pia jichanganye na wakuu watakusaidia sana 🙏🙏
waooooo nilikuw najiulizag siku zote kwa nini wasichana jkt huw wanaitwa madawili bila kupata majibu, ila nikawa najipa majib kumbe ni 7bu ya huyu mama mwenye jina lake na mwenye cheo kikubwa jeshini, salut kwako mama zawad honger sn maan hat mimi nilishawahi itwa jina lako la dawili and a new phone🙏😆😆😆😆😆😆
@sharaarabiy858
2 жыл бұрын
Ahahaaa truee
@marystelaswai5174
2 жыл бұрын
Umeonaaaa eeh tuliitwa madawili sana kumbe ndo sababu ya hili
@marystelaswai5174
2 жыл бұрын
Nimesikia raha
Mama hongera Sana kwa cheo ulicho fikia jeshini
Taratibu iko hvyo hvyo Mama General, miaka 6 kwanza ndio mambo ya kuoa na kuolewa yaje.
Hi Madawili. Tulikuwa pamoja UD. Nakusalimu. Mmochi
Very Inspired
Super proud to be your niece 🥰🥰🥰
Salute kwako General, Mungu aendelee kukutunza uishi miaka mingi
@methodmarwa1406
2 жыл бұрын
Hongera sana
Hongera sana mama. Superwoman
A good interview in terms of style and content. Hongereni wote wawili ...
ماشاء الله تبارك الله
Sio wanawake wa siku hizo wajeury kajifunzani kwa mama leo trafki wa kike wanawatukana mpaka wazee nendani mkajifunze kwa mama huyo mama ana tabia njema
@shaamemchauru1365
3 ай бұрын
KWELI KABISA
Hongera sana Rtd Major General Madawili.
@aminaibrahim4148
2 жыл бұрын
Mashaallah Allah aku afidhi mama
Impressive Madame 👌✊🏼👏🏼
Kumbe ndo maana wanawake jeshini wanaitwa madawili 😀😀
@georgedaniel4962
2 жыл бұрын
Umenichekesha sana na kunikumbusha mbali
Nimempenda mtangazaji
@abdullatifsuleiman5371
2 жыл бұрын
Na mtangazaji pia wanaendana Sana wapo kirafiki zaidi
Waa mejajenerali my live
Hongera bibi aliera na alia nimefurahi kukuona mungu akupe maisha marefu yenye baraka
@rosemarymwanjali5512
2 жыл бұрын
Hongera sana Dada Madawili Mungu akujalie afya na uishi maisha marefu
Safi sana mama.
Huyu afande hongera yake.na rafiki.yake Rukia masasi yupo wapi walikuwa wote
Hakika Mnaweza
Kamanda Mwenekano wako bado una Nguvu Mama
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Huyo Ni mjeshi lazima awe na AFYA njema hapa simzungumzii walevi nazungumzia wenye kujitambua Kama huyu mama
@hajihassan5433
2 жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 Tumshukuru Mungu ampe afya njema zaidi pamoja na sisi lakini ujeshi na afya ni vitu tofauti.
@hajihassan5433
2 жыл бұрын
Kwa afya yako njema Mungu akuzidishie inafaa Rais akupangie kazi Serikalini.
Hongera sana!
Inspiring content
Mbona sijaona part 2
Madawili Wote foleni nje ya kombania 😆
@marystelaswai5174
2 жыл бұрын
Hatari saaaanaaa
Alijielewa sana,hata sketi yake tu unaona ilikuwa ikivuka Magoti.
Meja jeneral kitambo umepatia kuweka kabostani kuliko kufuga mijani isiyokuwa na faida
@hassanbilali1697
2 жыл бұрын
Hongeraa mama
Salute Generali
Hongela sana mama
I'll be like you one day in Jesus Name
Nimepata tabasamu muda wote wa video mimi ni raia tu
Day meja wee achaa tu
Hongera sana bibi yangu
Safi
Masha Allah
My auntieeeeee😍😍😍😍❤️❤️❤️
Mashallah
major na mama umeongea ukwel mnooo kila mtu atafute chake wazazi now days wanakuwa slaves wa watoto yaaan ww umtafutie kila kitu yy aenjoy as if amekuja dunia kuenjoy that's not right
Kumbe ni mnyalukolo? Malangali kitaaluma ni nyumbani kwetu,, Malangali boys sec school,,,,au ndo maana mabinti jeshini wanaitwa madawili???
Iringa hoyeeeeeeee nimefurahi sana kuona mstaafu bado anajitambua vizuri maana wengine wakistaafu utawaogopa hawaelewekieleweki, ila wewe twihongecha je Nguluve.
@sophiaamnaay9726
2 жыл бұрын
Hongera sana mama. Nimejifunza mengi kwako. Kweli wanawake wastaafu wanajitahidi sana kujitunza
@nurualamoody4305
2 жыл бұрын
awana dhulma hao ndio maana wamestaafu lkn bado wamenawili
Mbona gari hapo mbele lina nyota moja ambalo ni gari la brigedia sijaelewa Au wamefanya parking tu
@fredymahonya1359
Жыл бұрын
Mume wake ni Brigedia General mstaafu
We proud of you Sir
@abbasirovya6118
2 жыл бұрын
She is a lady, cannot be addressed as "Sir" .
@abdullatifsuleiman5371
2 жыл бұрын
Ni madam sio sir
Jambo afande (itikia mkuu ili nifungue mguu)
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Ah ah ah
Mama anaonekana mnyenyekevu anastahili sifa
Wewe mtangazaji amkia kwanza
@jamesmasanja1963
2 жыл бұрын
Mavazi yake tu yanaonesha Alivyo, misuruali wanasalimiaga
@DonSompo
2 жыл бұрын
Tazameni na sikilizeni kwa makini, alimsalimia wakati anapokelewa
Fungua Ujionee Aisee🤭🙏🏼 kzread.info/dron/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html
Kutoka Rwanda. Jameni niambieni maana ya kukimbiza mwenge.
@naimaseif7615
2 жыл бұрын
Mwenge ni ngao ya taifa la tz kila mwaka unakimbizwa tz nzima
@naimaseif7615
2 жыл бұрын
Unapeleka ujumbe fulani kwa watz
Naona mwanamke kaja kupandisha vvyeo wanawake tuu.soon serikali umbea na misuto itaanza
@slowclimbertothetop4572
2 жыл бұрын
Mama yako ana tabia za umbea na kusutana???
@sleimbh
2 жыл бұрын
Inaonekana umezaliwa na mwaume na huna ndugu wa kike.
@mohammedsururu4047
2 жыл бұрын
Ww Una mihemko huyu ni mstaafu tangu 2008 kapandishwa vp cheo na mwanamke
@shufaamnyoty5626
2 жыл бұрын
@@slowclimbertothetop4572 kwa kweli inaonekana ndio mazingira yalomkuza
@slowclimbertothetop4572
2 жыл бұрын
@@shufaamnyoty5626 itakuwa hivyo
Sijui bado anae mume na kama hana sijui anataka kuolewa nami.?
@Nicaonlinetv7324
2 жыл бұрын
Uwe na adabu huyo ni mama kwako
⁰
Ĺ
Hayo yote ni porojo tupu....
Asante sana
...ooh dada Zawadi....nakumbuka ukiwa Malangali Middle School mkicheza mpira wa miguu na dada zangu Elizabeth Lupembe na wengineo.....pia nakumbuka John Carson's (mmarekani) akiwa mmoja wa waalimu wenu....mama umekuwa mfano mwema kwetu sote na kioo kwa wana Malangali na wana Iringa kwa ujumla. Nakutakia maisha marefu