HISTORIA KAMILI YA PROFESA ANNA TIBAIJUKA,DUNIA IMENITAMBUA, SINA CHA KUJUTIA

Пікірлер: 81

  • @lilygracexx1975
    @lilygracexx19752 жыл бұрын

    Miaka sabini kama miaka 50.Hongera sana mama Tibaijuka

  • @kaisikimajid9529
    @kaisikimajid95292 жыл бұрын

    Nampenda sana, alikuwa smart sana nadhani tume mtumia vibaya bado ana kitu cha kufanyia Taifa CC; Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu.

  • @boscomalangalila

    @boscomalangalila

    11 ай бұрын

    Mama ni kati ya wasomi wanaojitambua.ila watanzania tumeshindwa kumtumia kwa sababu wengi mambo yeti ni shortcut na umangimeza mwingi

  • @HappyJohn-rj8co

    @HappyJohn-rj8co

    Ай бұрын

    Sana kwanza anawez kutunga kitabu kikatumiwa kwa mitihani au mashuleni na kusaidia kizazi kijacho forever

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba52882 жыл бұрын

    Nimependa Sana interview Yako mama Tibaijuka Inani inspire Sana! I miss u Mama am in France now!!

  • @evansm8802
    @evansm88022 жыл бұрын

    This old lady must be pride for Tanzania 🇹🇿 can we learn to take pride of our own.look at issues at a broader level and not hela ya mboga, blur blur blur

  • @edwardmwingira7096
    @edwardmwingira7096 Жыл бұрын

    A very brilliant woman I ever known!

  • @khamisshee5131
    @khamisshee51312 жыл бұрын

    Mama nampenda aana ni.Mama mwenye akili sana MashaAllah 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 Жыл бұрын

    Kumwacha Prof Tibaijuka bila kupewa kazi yyt ya kujenga taifa letu ni kama aina fulani ya "kujisahau "kwa maoni yangu

  • @madattarcharles1114
    @madattarcharles11142 жыл бұрын

    Hai Sana mama Anna tibaijuka nakupenda Sana...

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Жыл бұрын

    she is very smart aisee hajisifu kabisa safi sana prof,Tanzania hatuna utamaduni wa kuthamini na kutukuza vyeti,mtu kama huyu inatakiwa kumpelekea vijana 200 ahamishie chote alicho nacho kichwani mwao.Niliona watu watu waliotufundusha muhimbili wenye akili sana kama prof hapa,wamekufa hawajaandika hata vitabu,nikikumbuka prof Raphael Lema alikuwa bingwa na gwiji wa magonjwa ya damu daa hajaacha hata kitabu alikuwa na kichwa kikali sana kama mama hapa.

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim50812 жыл бұрын

    Hongera sana mama wewe ni nyota nzri umefnya kaz kubwa dunia mungu akupe maisha maref

  • @sophiakatondo2016
    @sophiakatondo20162 жыл бұрын

    Mtani wangu unatisha. Ninaendelea kukukubali..Nakutakia afya njema na Mungu akubariki.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Жыл бұрын

    Mama Samia kamfungia vioo kabisa huyu mama yetu 🤔 Angempa sehemu ya ushauri sehemu fulani

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62102 жыл бұрын

    Mama ni haki yako kuwepo katika nafasi hiyo kutokana na jitihada zako

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62102 жыл бұрын

    Mama mungu akubariki sana.

  • @annamosha968
    @annamosha968 Жыл бұрын

    Love you Mama❤️🥰

  • @denismugisha2
    @denismugisha22 жыл бұрын

    Asante mama yetu mpendwa

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17532 жыл бұрын

    Dah mama ana dongo zuri sana utafikiri ana miaka 50

  • @karyori69
    @karyori692 жыл бұрын

    safi sanaa!

  • @EmmanuelChija-vx2wm
    @EmmanuelChija-vx2wmАй бұрын

    kaka gangana nakukubali Sana nataman kuwa kama ww unajua kutangaza by Emmanuel chija

  • @ganganainfochannel

    @ganganainfochannel

    Ай бұрын

    One day ndoto yako itakua🙏

  • @EmmanuelChija-vx2wm

    @EmmanuelChija-vx2wm

    Ай бұрын

    @@ganganainfochannel sawa broo mm nasoma journalism hapa teofilo kisanji mbeya nipo certificate broo nilikua naomba kaka nije kufanya field hapo tbc kaka nilikua naomba unipe muongozo

  • @ganganainfochannel

    @ganganainfochannel

    Ай бұрын

    Upo njia sahihi ya kufikia ndoto yako. Ishu ya field ni masuala ya kiofisi na ninachofahamu huwa mnatakiwa kuandika barua. Kwakua upo mbeya nakushauri fika ofisi za tbc mbeya watakuelekeza zaidi.

  • @farhiaaassan6334
    @farhiaaassan63342 жыл бұрын

    Yes yes yes yes

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 жыл бұрын

    Asharose Migiro please....

  • @xyz-tv4om

    @xyz-tv4om

    2 жыл бұрын

    My role model

  • @morrisokinda694
    @morrisokinda694 Жыл бұрын

    IPO SIKU

  • @festochristopher7293
    @festochristopher72932 жыл бұрын

    Nice story

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    History ameiweka huyu Mama! Did she write her biography? Ikiwa kitabu hiki cha wasifu kipo, kinapatakinaje?

  • @mpunguhelbalclinic6061
    @mpunguhelbalclinic60612 жыл бұрын

    Mh gangana ww ninoma

  • @maginasabah-mb9od
    @maginasabah-mb9od11 ай бұрын

    Mtangazaji hajatulia lakini anahoji mtu aliyetulia. Muwe mnakuwa serious mnapohoji watu wenye cv kubwa!

  • @kelvinpeter3372
    @kelvinpeter33722 жыл бұрын

    Nilikuwa nakingoja kwa hamu sanaa

  • @profesaorthogonal6095
    @profesaorthogonal60952 жыл бұрын

    Ndio maana ukawa prof. Vyote ulivosema ni point

  • @danielpatrickrobert125
    @danielpatrickrobert1252 жыл бұрын

    Kipindi chako kinahoji vizuri bila fujo....big up

  • @clintonchris-rx9iz
    @clintonchris-rx9iz4 ай бұрын

    We jamaa hausubir mama akjibu unaingilia kati

  • @ganganainfochannel

    @ganganainfochannel

    4 ай бұрын

    Yes ndio dhumuni la hicho kipindi ni bandika bandua

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba52882 жыл бұрын

    Tunajivunia kuwa na mwanamke shupavu na makini /jasiri na asiyekata tamaa kama wewe 🏆!!

  • @ganganainfochannel

    @ganganainfochannel

    2 жыл бұрын

    👍

  • @reymasenya6450
    @reymasenya64502 жыл бұрын

    Kuku Babali Sana

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf2 жыл бұрын

    Dunia inakutambua kwa kupora rasilimali za wananchi Pesa za (mboga) ...

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Jisemee peke yako, ndugu!Dunia si wewe tu! Tuko wengi wanaomtambua Professa kwa thamani yake! Ungesikiliza vizuri interview hii, usingesema hivyo !

  • @ulludots
    @ulludots Жыл бұрын

    Sababu za kuleta picha ya huzuni ya kaburi la mme wake ulikua unataka kuachieve nini, pili tone unayotumia ni ya kuonge na wahuni.

  • @ganganainfochannel

    @ganganainfochannel

    Жыл бұрын

    Umechelewa sana kujua hili la uhuni. Hiki ni kipindi cha kihuni sasa tufanye nini ndugu mstaarabu?

  • @lazarodaudi1689
    @lazarodaudi16892 жыл бұрын

    Huyu mama n kweli kafanya makubwa Duniani lakini jamii yake hasa Jimboni kwake hakuna kitu cha maana alichokifanya cha kujivunia

  • @eyabdimaha3698

    @eyabdimaha3698

    Жыл бұрын

    Itabidi ukagombee jimbo lake sasa

  • @lazarodaudi1689

    @lazarodaudi1689

    Жыл бұрын

    @@eyabdimaha3698 kwa akili yako Kila anaekosoa anataka ubunge? Stupidity

  • @eyabdimaha3698

    @eyabdimaha3698

    Жыл бұрын

    @@lazarodaudi1689 no kwani yeye alikua na tamaa ?? Nimekwambia uende wewe sababu yeye jana alichokifanya sasa nenda wewe

  • @ramadhanchenga4606

    @ramadhanchenga4606

    11 ай бұрын

    Ndugu mbunge anaiyambia serikali matatizo ya jimboni kwake serikali ndo inatekeleza

  • @remigiusmwageni6274
    @remigiusmwageni62742 жыл бұрын

    Nakubali Sana mahojiano yako ndugu Khalid Ali Gangana

  • @davidboniphace8159
    @davidboniphace81592 жыл бұрын

    Huyu mama ndo alisemaga bilioni 2 alizopewa kipind cha sakata la esco ni hela ya mboga eeh.pesa za wananchi Ila mungu anawaona

  • @josephk90

    @josephk90

    2 жыл бұрын

    Ilikuwa bilion 10.

  • @davidboniphace8159

    @davidboniphace8159

    2 жыл бұрын

    @@josephk90 duuh ndo pesa ya mboga

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Milioni 10 kwenye account yake binafsi... Ndio Mhaya anasema hela ya mboga! 😂😂😂

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Professa CV yake kubwa sana ! Heshima kwako Tibaijuka! Asante Gangana, endelea kutuletea Powerful Tanzanian women... maana ndio fahari ya Nchi yetu... and they are our role model:-)

  • @jacobmsigwa383

    @jacobmsigwa383

    2 жыл бұрын

    Tuletee mama Makinda sasa

  • @paulinesengasu5779
    @paulinesengasu57792 жыл бұрын

    Mama yupo vizuri sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 жыл бұрын

    You cant live through the past. ILA HIYO CARD NADHANI KINGEREZA KILICHOANDIKWA SIO SAHIHI ILA MOTHER KAKAUSHA ASIJETIA NAZI KWENYE SUPU

  • @aronmtui597
    @aronmtui5972 жыл бұрын

    Mmeibia serikali ila mtaziacha tu

  • @eshyndibalema1529

    @eshyndibalema1529

    2 жыл бұрын

    Acha wivi kakuibia nini?

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    2 жыл бұрын

    @@eshyndibalema1529 kaiba ela akasema pesa ya mboga bilion 1.6

  • @agnesayub1065

    @agnesayub1065

    2 жыл бұрын

    Sio kweli

  • @frolianjohanes2505
    @frolianjohanes25052 жыл бұрын

    Wahaya sio poa

  • @eshyndibalema1529

    @eshyndibalema1529

    2 жыл бұрын

    Wamekufanyia nini?

  • @shayobeatusbeatus7357

    @shayobeatusbeatus7357

    2 жыл бұрын

    Hongera sana mama, mpiganaji wa watanzani.

  • @theonestinamutole8549

    @theonestinamutole8549

    Жыл бұрын

    Kwa nini😊

  • @joyceKingu

    @joyceKingu

    7 ай бұрын

    Wahaya ni Wana akili, msimamo ns hawana Woga. Hawajipendrkezi.

  • @enickosanga4921
    @enickosanga49212 жыл бұрын

    Kati ya mafisadi waliowaumiza watanzania bila huruma mama huyo yupo

  • @evansm8802

    @evansm8802

    2 жыл бұрын

    Kkkkkkkkkk that's all you can remember

  • @renatusmatungwa6506

    @renatusmatungwa6506

    2 жыл бұрын

    Una ushahidi?

  • @agnesayub1065

    @agnesayub1065

    2 жыл бұрын

    Sio kweli

  • @sylvesterjose3286

    @sylvesterjose3286

    2 жыл бұрын

    Unaongea Kwa akili yako au njozi za mchana zinakuguguna!

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11702 жыл бұрын

    Mama wa Pesa ileeeee ya Mboga

  • @oscarkasalile3966

    @oscarkasalile3966

    Жыл бұрын

    Mama anasema zile propaganda tuu hajawahi kusema hivyo na kama kuna clip tumpeleke ili aamini kama ni yeye kweli au ni wahuni walimchafua

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71492 жыл бұрын

    Mwanamke akifanya kitu kidogo maneno yanakua meengi sawa, lkn Mama wa sasa kafanya jambo kubwa baya litakalomnyima mapenzi ya Watanzania wengi, kukaa kimya Kiongozi wa Kitaifa kuitwa gaidi!! We hate this so much!

Келесі