Mtanzania Daktari Bingwa USA 🇺🇸 aliyesoma Harvard University

Dr. Frank Minja ni Mtanzania Daktari bingwa wa Radiology aliyesoma Harvard University.
Hii ni historia yake fupi
#ebmscholars #ebmswahili #ughaibuni

Пікірлер: 154

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 Жыл бұрын

    Jamaa mtu humble sana anaongea kwa heshma na unyenyekevu Mungu amlinde

  • @berthatz

    @berthatz

    Жыл бұрын

    Sana sana..na hachanganyi.Kiswahili kimenyooka..Mungu akutunze kaka.@EBM asante kwa kazi njema ..Kazi nzuri sana kaka EBM👏🏾👏🏾👏🏾

  • @homeandaway2811

    @homeandaway2811

    Жыл бұрын

    Very humble guy, msomi kwelikweli, akili imetulia, wala haringiii, Kiswahili fasaha sana👌👌👌

  • @myamwezmyamwez8669

    @myamwezmyamwez8669

    Жыл бұрын

    Kuna wasomi wa kweli ikisha kuna wasomi wasanii, huyu muonekano wake tu unajua kwamba ni kichwa hana haja ya kubabaisha na kutia usanii flani aonekane ati mjanja zaidi.

  • @hermentmrema6537
    @hermentmrema6537 Жыл бұрын

    Uko vizuri sana Dr. MINJA na hongera sana. Mimi nimekaa hapo marekani miaka 9 nimerudi Tanzania na ninashukuru sana kwa fursa niliyopata. Ninaishi ndoto yangu ya kuhakikisha kila mtanzania ana kipato cha uhakika, cha kutosha na endelevu kutokana na kilimo. Niko hatua nzuri na Mungu akijalia ndani ya miaka 3 mtunda ya juhudi zangu yataonekana

  • @abbyadams8691

    @abbyadams8691

    Жыл бұрын

    Hiyo miaka 9 ulikuwa huko kusoma au ulikuwa unafanya nini? Na sasa unafanya kilimo cha mazao gani? Asante

  • @mmasipeter4157

    @mmasipeter4157

    Жыл бұрын

    Vzr sana kama ulichokipata utagawana na wengine na mungu atakubariki sana

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    Жыл бұрын

    Big Up kwako

  • @mohammedrashid2906

    @mohammedrashid2906

    Жыл бұрын

    Nice

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Жыл бұрын

    Mungu Akurahisishie

  • @Myplusbee
    @Myplusbee Жыл бұрын

    Miaka 27 ughaibuni!! Msomi aliyesoma vyuo vikubwa na maarufu kabisa duniani lakini bado anazungumza Kiswahili vizuri kabisa lakini ndugu zangu Wakenya, mkifika tu Nairobi, mnajifanya hamjui tena Kiswahili! Kila entensi moja, 60% ya meneo ni Kiingereza! Hata Wabongo nao ndo hivyo hivyo! Hasheem Thabeet alikaa Marekani miaka 4 tu, karudi Bongo akajifanya Kiswahili kinampa taabu!! Eti Harmonize nae ni Viingereza kwa kwenda mbele; JINGA KABISA! Hata Mzee wa EBM nae anaongea Kiswahili safi kabisa na bila kuchechemea, lakini wengine mkienda kwa Ras Simba wiki 3 tu mnajifanya hamuwezi kuongea Kiswahili bila kuchanganya Kiingereza! PENDENI LUGHA ZENU MIAFRIKA!!

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    Жыл бұрын

    Watu wanaulimbukeni sana kaka,washamba tu

  • @rickrosswabongo4116

    @rickrosswabongo4116

    Жыл бұрын

    Hapo kwa Harmonize ndo umeua kabisa😅Imebidi nitafute moja ya interviews zake nicheke kwanza😅

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Жыл бұрын

    Sijaziskia YES , NO , YOU KNOW , I'M , I'M.....!...Yaani kiswahili kimenyooka, safi kaka, na sisi tuko sehemu mbalimbali UGHAIBUNI tunabeba boksi za KITAALAM...!

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    Жыл бұрын

    😁😁😁

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 Жыл бұрын

    Doctor yuko vizuri sana! Yani serikali itafute namna ya kuwachanfanya hawa watu wa ughaibuni wafaudishe wenzao huku. Doctor anaonekana mtu mzuri sana.

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 Жыл бұрын

    Mungu awabariki Watanzania wote wema mlioko nje na Mungu aibariki Tanzania

  • @minormine4417

    @minormine4417

    Жыл бұрын

    Amen! Kwa kweli mtumuombee!

  • @fatumamuya7296

    @fatumamuya7296

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @batulii1248

    @batulii1248

    Жыл бұрын

    Amini

  • @kanankirannko6174

    @kanankirannko6174

    Жыл бұрын

    Kuna wasomi wengi huko mfano ile vita ya Ukraine ilitosha kuonyesha kuwa tuna watu ambao wakiwa wazalendo na serikali zikawajali hatuna haja ya kutibiwa India

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Жыл бұрын

    Asante sana Dr. Minja.., u mnyeyekevu sana. Ingekuwa wengine hapa dk 5 nyingi ungeshatu-bore. Asante sana Ndugu Mtangazaji kwa namna unavyohoji maswali kiufasaha Dr. Minja nakuombea Baraka nyingi sana kwa Mwenyenzi Mungu!!!!

  • @AnasAli-xe6pg
    @AnasAli-xe6pg Жыл бұрын

    Safi sana hio ndio maana ya usomi. Unaongea lugha yako kwa ufasaha. Big up bro!

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Жыл бұрын

    🤔Hongera Dr. Ni mfano mzuri kwetu sote. Asante EBM pia kwa kuturushia hii video🤛

  • @kuhususheria4408
    @kuhususheria4408 Жыл бұрын

    Huyu jamaa kasoma top University duniani and he is still humble - Yale, Havard etc heshima kwake aisee

  • @annatemu5902
    @annatemu5902 Жыл бұрын

    Hongera nyingi kwake Dr Minja, nimefurahia sana hii interview.Asante sana EBM

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 Жыл бұрын

    Dr. Minja hongera Sana kwa kazi nzuri mnafanya huko, nilikuwa naomba December tukutane Moshi kuhesabiwa hakikisha unafika

  • @benedictaustard5583
    @benedictaustard5583 Жыл бұрын

    Nimependa sana hii Interview!. Asante EBM!

  • @daniellyimo378
    @daniellyimo378 Жыл бұрын

    Kijana uko vizuri sana.mungu akubariki sana baadaye uje tusaidia Muhimbili.

  • @demariwa7606
    @demariwa7606 Жыл бұрын

    Wote, mtangazaji na Dr.Minja, mmegusa maisha yetu.Mahojiano mazuri sana, hongera Dr.Minja.

  • @madimj5022
    @madimj5022 Жыл бұрын

    Very humble, tisha sana kaka mkubwa mungu aendelee kukupa moyo huohuo 🙏

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela4916 Жыл бұрын

    Well done Doctor!!!!! If only you can establish a good hospital in Dar to support the many sick people who are dying for lack of expert doctors to help them. Thinknof that really!!!!!! I am writing out of experience I saw one patient who went through pain and suffering and was never helped and left us. It is pity anyway!!!!!!

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Жыл бұрын

    Hongera Dr, mungu akulinde, nafurahi unawasaidia Watanzania na jumuia kwa jumla.

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 Жыл бұрын

    Mwalimu wangu Dr. Minja, Neuroradiologist. Hongera sana. Emory University, Atlanta.

  • @abasisapi5474

    @abasisapi5474

    Жыл бұрын

    Dr. Unamiss ugali? Unga wa ugali upo huko, wamarekani wanautumia kama dressing kwenye samaki wa kukaanga. Ulizia super markets!

  • @zawadikessy2098

    @zawadikessy2098

    Жыл бұрын

    wooh good yupo peace

  • @rahmaabdulla4949

    @rahmaabdulla4949

    Жыл бұрын

    @@abasisapi5474 kunakilakitu vyote ivo ulivovitaja vipo

  • @hidayaswai3119

    @hidayaswai3119

    Жыл бұрын

    Woow. Very excited

  • @jandreamk
    @jandreamk Жыл бұрын

    Hongera Dr. Nimejifunza kitu . Ahsante kwa EBM kwa interview hii 👍🏽

  • @journeywithjesus
    @journeywithjesus Жыл бұрын

    Hongera kwa video nzuri na vizuri kujua kwamba kuna shule hapa Tanzania ambao wanatafuta talents na kutoa scholarships za uko Marekani. Doctor yuko smart sana na Mungu amtangulie. Nadhani serikali inabidi ifanye zaidi na hawa diaspora.

  • @annatemu5902
    @annatemu5902 Жыл бұрын

    Kaka anaongea kiswahili kimenyooka vzr,.mnyenyekevu,Mungu azidi kumbariki sanaaa

  • @fatmaalnabhani3609

    @fatmaalnabhani3609

    Жыл бұрын

    Wako wengine ati wamesahau kiswahili kimechanganyika na kizungu nusu nusu, kwa mfano (mjomba aitwa mchomba) sio mchezo.

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Жыл бұрын

    Asante EBM. Hongera sana Dr

  • @hildakinyunyu4314
    @hildakinyunyu4314 Жыл бұрын

    Hongera sana so inspiring

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Жыл бұрын

    Hongera sana for great achievement

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 Жыл бұрын

    Hongera Classmate Muhimbili Allumni 1988 na Upanga.

  • @mussaelia8693

    @mussaelia8693

    Жыл бұрын

    Hongereni sana seniors

  • @muhigwasiniibagiye6587
    @muhigwasiniibagiye6587 Жыл бұрын

    Nice one big up Dr Minja

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Жыл бұрын

    Safi sana, pia Hongera sana Daktari

  • @lukelopatrick3187
    @lukelopatrick3187 Жыл бұрын

    Asante kwa kutujuza zaidi

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Жыл бұрын

    Kaishi marekani miaka kibao, ila kiswahili kimenyooka na hachanganyi, sasa visanii hewa vya bongo hata kenya havijawahi kufika vihoji uone

  • @benedictormwalugaja5314

    @benedictormwalugaja5314

    Жыл бұрын

    Aaah you know what this and that😂😂😂

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    Жыл бұрын

    Tena bongo amesoma Tanganyika international school

  • @georgeosmund727

    @georgeosmund727

    Жыл бұрын

    Na badok Tz alisoma IST shule ya kishua

  • @bernardjohn8788

    @bernardjohn8788

    Жыл бұрын

    @@georgeosmund727 hapo sasa

  • @sadih5333

    @sadih5333

    Жыл бұрын

    Tupo wengi wa namna hio nipo hapa tokea 1999 na jamaa wengi tu wa 2000, hatujawahi kurudi hoko home na upumbavu huo wa vingereza tunapo ongea na watu wa kwetu hatuna kabisa.

  • @kamanda007
    @kamanda007 Жыл бұрын

    Jamani kichwa sana nafikiri alitoka na point 7, na hakuna ujinga wa you know what I'm saying ingawaje lugha ipo vizuri 😁, wabongo take a hint mkiongea sio kuchanganya lugha

  • @choggysly3541

    @choggysly3541

    Жыл бұрын

    Take a hint 😂😂😂

  • @peterswai391
    @peterswai391 Жыл бұрын

    God bless more brother 🙏 Dr minja your very humble 🙏💪 , I learn something , Dodoma Tanzania

  • @josephmchila6467

    @josephmchila6467

    Жыл бұрын

    Ongea kiswahili. Wewe

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Жыл бұрын

    Duuuh!!! Very excited Daktari. I wish to get connection jmn. I wish bt God will help me.

  • @paulinemaswai8937
    @paulinemaswai8937 Жыл бұрын

    Hongera Doc.

  • @ayramaa1619
    @ayramaa1619 Жыл бұрын

    Habari yako kaka kwanza hongera sana sana Mungu akubariq zaid . Mm nlitaka kuuliza kwa wale waliokuja ulaya kwa ukimbizii unawaambiaje au unawashauri nini wafanye kufikia mafanyikio .

  • @Mazoea
    @Mazoea Жыл бұрын

    Ongera zake jamani Kumbe tunawatu muhimu Marekani hiii

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 Жыл бұрын

    Nakubali sanaa kaka, na mim naendaaa marekan sooo jamn in shaa Allah

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Жыл бұрын

    Kaka rudi utusaidie watanzania wenzako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏

  • @mossyfimbo3577

    @mossyfimbo3577

    Жыл бұрын

    Pesa anayolipwa USA TZ hawawezi kumlipa yaani Nasemea Muhimbili

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 Жыл бұрын

    Jamaa yupo 🇺🇸 muda mrefu ila nimefurahi kuona amejitahidi sana kukihifadhi Kiswahili chake, hadi neno kung’amua bado liko kichwani 😂, watoto wenu pia ughaibuni inabidi wajue lugha yao kama vile wahindi.

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 Жыл бұрын

    Nimekuelewa sana Dr. Minja , kupanuka kwa mawazo kunatuangusha sana

  • @254interiorkenya5
    @254interiorkenya5 Жыл бұрын

    Keep it up my brother I will meet you one day

  • @robertmgogosi8448
    @robertmgogosi8448 Жыл бұрын

    Safi sana Doctor

  • @bas2823
    @bas2823 Жыл бұрын

    U DIG IT!👌👏🤝👍🏽 SUPER GREAT👌 KEEP UP👌 ALWAYS PROUD OF U N OTHERS LIKE U!👌!

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 Жыл бұрын

    Hı kaka zangu.Naomba msaada mm nına mıaka 49 nataman mtoto naomba msaada wa matıbabu nıpete mtoto.Mungu atawabarıkı.

  • @mussaelia8693

    @mussaelia8693

    Жыл бұрын

    Fika hospitali ya karibu utapata pa kuanzia

  • @abdirizakhtuke2882
    @abdirizakhtuke2882 Жыл бұрын

    Hongera Dr Minja.

  • @mwajomberobert
    @mwajomberobert Жыл бұрын

    hongera sana Dr.

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 Жыл бұрын

    Hongera sana brother.

  • @wanyoikenaftali4114
    @wanyoikenaftali4114 Жыл бұрын

    Very humble God bless

  • @mferekemwanyika6832
    @mferekemwanyika6832 Жыл бұрын

    Hongera Dr enedelea hivyo

  • @kiligrit
    @kiligrit3 ай бұрын

    Huyu jamaa ni msharp, very sharp brain

  • @mhudumuonline9060
    @mhudumuonline9060 Жыл бұрын

    Congratulations nafurahia jinsi huyu jama Dr minja alivyo soma kweli akili ni mali.

  • @mwana4599
    @mwana4599 Жыл бұрын

    Wooow. Alisaidia mNo wskati wa COVID 19. HONGERAH Dr. Minja.

  • @willjames1332
    @willjames1332 Жыл бұрын

    Doctor oyeeee

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv78023 күн бұрын

    Mungu amlinde

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 Жыл бұрын

    Kati ya kitu wachaga walijaliwa ni unyenyekevu ndo maana wamefanikiwa sana sisi akina nanii sasa tumebaki kusema wachaga wanapenda hela,

  • @mariandesario6468

    @mariandesario6468

    Жыл бұрын

    Hasa kwenye biashara wananyenyekea sana wateja,

  • @kanankirannko6174

    @kanankirannko6174

    Жыл бұрын

    @@mariandesario6468 kabisaaa

  • @Sppah697
    @Sppah697 Жыл бұрын

    Ndugu mtangazaji hujui tofauti na matumizi ya la le li lo lu na ra re ri ro ru! Aibu kuuliza maswali ya nguoni!

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 Жыл бұрын

    Kweli navutiwa sana kuona interview kama hizi ... uzidi kubarikiwa Mr EBM . 🇹🇿

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Жыл бұрын

    Tunashukuru ameelezea vizuri sana. Sasa angeelezea pia je marekani alisoma pia kwa scholarship au ndo full ufungwa wa deni la udaktari? Kaka EBM naomba utuletee mbobezi wa maswala ya scholarship au njia za kusoma bila deni la taifa Marekani. Nitajifunza na kupata more info. Nina karesearch kwamba kulingana na jimbo lako unaweza pata some scholarships etc etc ila nadhani hiyo episode itasaidia pia wengi kuepukana na deni la masomo. Knowledge is power

  • @upendomamuya7238

    @upendomamuya7238

    Жыл бұрын

    Huwezi kupesha na serikali ya Marekani kama wewe sio rai wao, Labda ujilipie au upate scholarship.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Жыл бұрын

    Hongera saaana

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael79654 ай бұрын

    Kweli Mungu amekuinua sana, hongera kijana

  • @ufahamuzaidi2343
    @ufahamuzaidi2343 Жыл бұрын

    Great sessions we are inspired alot from 🇹🇿

  • @hajjmohd3602

    @hajjmohd3602

    Жыл бұрын

    Yeye kakaa marekani miaka yote hio na anaongea kiswahili fasaha tu ww wajidai kizungu uchwara ongea kiswahili ustuchnganye😀😀

  • @ahz6907

    @ahz6907

    Жыл бұрын

    Andika kiswahili tu 😁

  • @hajjmohd3602

    @hajjmohd3602

    Жыл бұрын

    @@ahz6907 😀

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Жыл бұрын

    Hawa ndo wenye passion asee

  • @annamayengela7100
    @annamayengela710011 ай бұрын

    Am in tz....yaan huyu Dr. Yuko humber Mungu amtunze kwa manufaa yake

  • @afrocushitic
    @afrocushitic Жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 Жыл бұрын

    Nawafuatılıa sana sana kwa kwel mnatusaıdıa sana kutuelımısha

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo62403 ай бұрын

    Unapenda Sana pombe Kali kijanaa

  • @bas2823
    @bas2823 Жыл бұрын

    I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL IN SCHOOL! MY DAUGHTER HOLDER OF PHD. IN MEDICAL SCIENCE SHE SPECIALISE IN STEMS CELLS IN DIABETICS!👌👏🤝👍🏽👍🏽

  • @mhudumuonline9060
    @mhudumuonline9060 Жыл бұрын

    Napenda sana kuishi marekani na haya mambo mahojiano nipe fursa nikufanyie kazi.

  • @JobJohnson-gp1qz
    @JobJohnson-gp1qz28 күн бұрын

    Uko vzr mkuu

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын

    Bado anaongea Kiswahili vizuri hongera daktari

  • @rosemkude4804

    @rosemkude4804

    Жыл бұрын

    .

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Жыл бұрын

    Hata Dr Shika naye alikuwa Dr ughaibuni vilevile 😁😁😁😁

  • @simplifiedchemtutorials8573
    @simplifiedchemtutorials8573 Жыл бұрын

    So inspiring

  • @bertha_villagesactivitiest4077
    @bertha_villagesactivitiest4077 Жыл бұрын

    Tupo pamoja kaka

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Hongera sana ndugu.

  • @saadamwadini4657
    @saadamwadini4657 Жыл бұрын

    Mwambaaa kiswahili kizuriii

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Жыл бұрын

    Uje Tanzania Mwigulu nchemba akutoze tozo, tozo hongera kaka🤣😂

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 Жыл бұрын

    Huyu anayeuliza maswali hajui namna nzuri ya kuuliza

  • @muhimbesingh4468
    @muhimbesingh4468 Жыл бұрын

    I am Hassan from kigoma ujiji bakwata.ni mwanafunzi wa advance mchepuo wa PCB katika shule ya secondary sengerema mwanza. Ninandoto za kusomea marekani au India udiktar.Nitapataje scholarship?

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Жыл бұрын

    Bora amecheka kidogo maana nikajua ni mtu wa u_serious

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 Жыл бұрын

    Wewe mtoto wa Mwalimu Minja?

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb5 ай бұрын

    Napenda unavoongea kiswahili bila kuchanganya na lugha za kigeni ,angojiwa harmonise hapo tungekoma kwa kizungu

  • @user-by3pv7cj5y
    @user-by3pv7cj5y3 ай бұрын

    Namba zake za cm wekeni bac

  • @JobJohnson-gp1qz
    @JobJohnson-gp1qz28 күн бұрын

    11:46

  • @phaustinegodfrey4056
    @phaustinegodfrey4056 Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪

  • @thobiasthomas2269
    @thobiasthomas22698 ай бұрын

    Have many of people have talent problem government platform not based on person dream based on create employment in demand sector we naturally kill our talents

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍

  • @vom84
    @vom84 Жыл бұрын

    Kubeba box ndio nn? Au ni kaz gan hiyo kaka EBM

  • @vom84
    @vom84 Жыл бұрын

    Kubeba box ndio nn

  • @hono1232
    @hono1232 Жыл бұрын

    Ingekuwa ni wale jamaa zetu , ingekuwa balaa!!

  • @godfreyissa6231
    @godfreyissa6231 Жыл бұрын

    Sakua sakua

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Жыл бұрын

    wachaga wengi wapo ng'ambo asee than any other tribe

  • @mcback4384
    @mcback4384 Жыл бұрын

    Mbona hamuongei jamaa anaonekana yanki kabisa ukilinganisha na muda alioenda mtoni? Mimi nikisimama nae na hizi mvi zangu nitaonekana kikongwe wakati nimezaliwa wakati jamaa ndio anaenda USA 🤣

  • @daviddonatus8121

    @daviddonatus8121

    3 ай бұрын

    😂😂😂

  • @frankpro003
    @frankpro0034 ай бұрын

    TUNAPATAJE CONTACT YA HUYU

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514
    @drisayaambulatoryvetclinic1514 Жыл бұрын

    Huyu Dr mbona anaonekana young sanaa wakati mie nazaliwa yeye ndo anaenda marekani na nikisimama nae naonekana nimezeeka

  • @innocentmanaseh4656

    @innocentmanaseh4656

    Жыл бұрын

    Itakuwa vinasaba, labda kwenye familia yao hawazeeki haraka, na hela kidogo inaweza kusaidia hapo usizeeke haraka

  • @mwana4599
    @mwana4599 Жыл бұрын

    ,Rudi Dr. Tanzania uje unvest jamani.

  • @upendomamuya7238
    @upendomamuya7238 Жыл бұрын

    Mafanikio yako yananitia hamasa, nitaiga kutoka kwako.

  • @nassorsaid696
    @nassorsaid696 Жыл бұрын

    EBM nasikia mwezi wa kumi utakuwepo Tanzania kusaidia watu kujaza lottery

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Жыл бұрын

    Tuambieee mshahara wako bro

  • @ramadhanimtetu7246

    @ramadhanimtetu7246

    Жыл бұрын

    Mkuu Mshahara bora asiseme Maana Mzee Mwingulu anaweza kumuibukia huko huko akamtaka tozo kumbuka huyu bado ni M-bongo 😄😄😄😄😄

  • @chakalaboti9709
    @chakalaboti9709 Жыл бұрын

    Shule yenyewe aliyosoma TANGANYIKA SCHOOL ada YAKE 🤔🤔🤔 millions of money

  • @abdulkilufi9230

    @abdulkilufi9230

    Жыл бұрын

    64m huyu wa kishua kabisa

  • @nicklyanga7044
    @nicklyanga7044 Жыл бұрын

    Huyo ametoka mboga saba huyo

  • @mbekimwombeki8992

    @mbekimwombeki8992

    Жыл бұрын

    Mwamba anacheko flani ya kibabe halafu cha kizushi😁😁

  • @homeandaway2811

    @homeandaway2811

    Жыл бұрын

    Hata kama, lakini yuko poa sana hajivuni, Mungu ambariki sana

  • @kassimkassim6386

    @kassimkassim6386

    Жыл бұрын

    School of tanganyikq sio mchezo

Келесі