Kwanini nilisoma Ph.D in Nursing in USA, na pia kuwa Financial Advisor | Dr Veronica

Dr. Veronica Njwaba alikuja USA mwaka 2008 baada ya kumaliza high school, Tanzania 🇹🇿. Sasahivi ana PhD in Nursing na pia Certified Financial Advisor
Kwa waliopo USA 🇺🇸 wanaweza kuwasiliana naye kwa namba +1 501 269 8958 kupata ushauri wa emergency funds, debt management, retirement planning etc
#retirementplanning #retirement #ebmscholars

Пікірлер: 74

  • @EBMSWAHILI
    @EBMSWAHILI Жыл бұрын

    Dr. Veronica Njwaba alikuja USA mwaka 2008 baada ya kumaliza high school, Tanzania 🇹🇿. Sasahivi ana PhD in Nursing na pia Certified Financial Advisor Kwa waliopo USA 🇺🇸 wanaweza kuwasiliana naye kwa namba +1 501 269 8958 kupata ushauri wa emergency funds, debt management, retirement planning etc

  • @dickenshuko8068

    @dickenshuko8068

    Жыл бұрын

    PingeZi Dada👏

  • @williammduma4180

    @williammduma4180

    Жыл бұрын

    How to connect with you bro

  • @dyamwalesaid2176
    @dyamwalesaid2176 Жыл бұрын

    Hii ni moja kati ya interview bora kwangu....maana imeonyesha uhalisia wa maisha ya USA katika suala na kodi na uwekezaji.Shukrani kwa muda wako EDM na hii elimu

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Жыл бұрын

    This lady sounds like a tax lawyer right? Nimekupenda bure. Well composed.

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 Жыл бұрын

    Dada mzuri mjanja msomi ana shule za kutosha anaongea kiswahili kizuri licha ya kukaa us kwa mda mrefu kuna kenge zipo hapa dar zikienda tu hapo kenya zikakaa wiki mbili tu zikirudi tunapata tabu tayar zishasahau kiswahili na maringo kibao nimempenda sana huyu dada naninamuombea

  • @unique_god
    @unique_god Жыл бұрын

    Dada umekaa marekani muda mlefu lakini kiswahili chako kipo vizuri sio kama wadada wa hapa bongo wakienda marekani mwaka you know , you know nyingi sana

  • @emtv9675

    @emtv9675

    Жыл бұрын

    Ila wabongo

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Жыл бұрын

    Uyo dada nimempenda sana yuko mbele lkn English kidogo sana kiswahili sanaa🤝Upendo mwingi kutoka hapa Finland 🇫🇮

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 Жыл бұрын

    Financial education is very important 👏👏 . 🇹🇿

  • @elphazimanyiri
    @elphazimanyiri Жыл бұрын

    Mahojiano bora sana kaka EBM, appreciate.

  • @hassanabubakari3992
    @hassanabubakari3992 Жыл бұрын

    Asante sana EBM, huyu dada akili nyingi sana 👏👏👏👏👏

  • @wanyoikenaftali4114
    @wanyoikenaftali4114 Жыл бұрын

    So so inspiring,,proud of our very visionary daughter

  • @mimsbaibemimskim9556
    @mimsbaibemimskim9556 Жыл бұрын

    Congrats all the best i need ur advice thanks guys for sharing good information

  • @queentz8314
    @queentz8314 Жыл бұрын

    Mashaalah Mashaalah Dada Veronica keep blessing

  • @thanksgivingchannel6247
    @thanksgivingchannel6247 Жыл бұрын

    Congrats Dr Veronica

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni80304 ай бұрын

    Dr. Vero, hongera I like the way you express yourself.

  • @amanimwakilembe791
    @amanimwakilembe791 Жыл бұрын

    Shukrani sana kwa maelezo haya. Kazi nzuri. Kila la kheri wakuu.

  • @jafaritego4142
    @jafaritego4142 Жыл бұрын

    Vero yuko very detailed😘✊🏾

  • @sportsnyahanga5504
    @sportsnyahanga5504 Жыл бұрын

    EBM naomba mtafute doctor kulwa Yuko kule north Carolina. Binti wa daktari kulwa wa mwanza. Wananikumbusha mbali.mamake alikua mwalimu wangu Busia Kenya.

  • @moddykiluvia1116

    @moddykiluvia1116

    Жыл бұрын

    Dr Kurwa alihama NC. Yupo Washington DC now.

  • @irenebarakelimnene4895
    @irenebarakelimnene4895 Жыл бұрын

    Unadumisha lugha hongera sana dada

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Жыл бұрын

    Ernest unamkatisha sana Veronica muache aongee amalize. Wewe ni interviewer ila ndo unaongea zaidi kuliko Vero mwenyewe. Good interview nonetheless.

  • @harunakayega5531

    @harunakayega5531

    Жыл бұрын

    Sana alafu anaongea utumbo muache mtu azungumze vitu vya msingi unaleta story zako unprofessional

  • @ahz6907

    @ahz6907

    Жыл бұрын

    Huyo ni muha og

  • @allygibu7003

    @allygibu7003

    Жыл бұрын

    Na Mimi nashangaa mtangazaji anaongea kumzidi muhojiwa🤣🤣🤣

  • @florianntulo5731
    @florianntulo5731 Жыл бұрын

    Huyu dada yupo vizuri sana, anamaono makubwa sana, Ernest naomba nipate mawasiliano yake

  • @kisagentabirage6693
    @kisagentabirage66938 ай бұрын

    Dr Veronica habari dada angu mm naitwa Kisagenta Mollel baomba msaada wa kunisaidia kuja huko Marekani lakini mm ningependa kwensa Canada kufanya kazi ya Truck Driver kwa saabu huku Tanzania mm professional yangu ni driver naomba msaada wako Dr nakuombea kwa mungu ili uwe na moyo wa kunisaidia mungu akubariki Dr Veronica

  • @alhajiabed7479

    @alhajiabed7479

    8 ай бұрын

    Apply lotery green card

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 Жыл бұрын

    Asante sana kwa elimu hii

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb Жыл бұрын

    Nimempenda sana hana majishauo anatiririka kiswahili vyema. Siyo vijibongo vya hapa vikijua kakingetrza ka kuomnea maji tu baaaaaas. Nino moja la kiswahili mawili ya kiingereza tana kibovu

  • @tamarikyando8943
    @tamarikyando8943 Жыл бұрын

    Marian girl

  • @batungwanayojonathan3009
    @batungwanayojonathan3009 Жыл бұрын

    Nakuburi kazi zako mkuu

  • @kennychristian6882
    @kennychristian6882 Жыл бұрын

    Habari njema sana

  • @safhe-mpungi6075
    @safhe-mpungi6075 Жыл бұрын

    Nzuri sana hii, karibu Denver-Colorado

  • @fredymwakalunde5544
    @fredymwakalunde554410 ай бұрын

    she talk truly in open

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 Жыл бұрын

    Alikuwa best friend wangu marian girls secondary school❤

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Жыл бұрын

    Profound

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Жыл бұрын

    Ebm uko vizuri kaka

  • @ndollafans2339
    @ndollafans2339 Жыл бұрын

    Jamn amaizing,akili nyingi sana

  • @nahimanauthman7425
    @nahimanauthman7425 Жыл бұрын

    Very interested

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 Жыл бұрын

    safi sanaaaa

  • @ummyidriss1972
    @ummyidriss1972 Жыл бұрын

    Wee baba unakera unamsemea saana achaa ajieleze mwenyewe

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 Жыл бұрын

    Dada Vero ana madini muhimu mno,kuna haja ya kumtafuta.......

  • @sophiakassim6784

    @sophiakassim6784

    Жыл бұрын

    Kwa kweli

  • @shabanielia6905
    @shabanielia6905 Жыл бұрын

    Kwaiyo sisi wapiga box 📦 iyi interview haituhusu🤣🤣🤣

  • @abiollashayo5698
    @abiollashayo5698 Жыл бұрын

    mnatuumiza tu na kwenda kwenu mbele, maisha yenyew bongo hayaeleweki, tubebeni bas tuwe watumwa tu kama vip

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 Жыл бұрын

    🔥🔥

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule Жыл бұрын

    Dada ana sumu sana ,well done

  • @emmanuelmalanga9275
    @emmanuelmalanga9275 Жыл бұрын

    Hi Dr Veronica. Robert Kiyosaki teaches us a lot about financial freedom. What is the easiest place to have financial freedom in the USA compared to Tz.?

  • @salimbahatisha3003
    @salimbahatisha3003 Жыл бұрын

    Me nimempenda tuu huyu dada....VP Kwanza kaolewa?😊

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 Жыл бұрын

    Tupokigwe oyeee

  • @gilbertkalanda9354

    @gilbertkalanda9354

    Жыл бұрын

    Tanguliza utanzania nadhani umenielewa. Makabila hatutambiki

  • @edwinjosef2202

    @edwinjosef2202

    Жыл бұрын

    Congraturation...

  • @khalidinadhiri2370
    @khalidinadhiri2370 Жыл бұрын

    Great

  • @ALEX_0383
    @ALEX_0383 Жыл бұрын

    You are beautiful

  • @mohammedbaraka9230
    @mohammedbaraka9230 Жыл бұрын

    Nimechelewa kuingia kwenye Channel ila nakupata vizuri brother EBM..

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Жыл бұрын

    Ernest badilika acha tabia ya kuingilia mahojiano. Unqnoa sana. Wewe tumeahakuchoka

  • @LifestyleSaverTweaks
    @LifestyleSaverTweaks4 ай бұрын

    Dr vee ana youtube channel yake?

  • @joycesichone1175
    @joycesichone1175 Жыл бұрын

    Nimekupenda unadumisha utamaduni,Swahili lang.

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Жыл бұрын

    Namba

  • @adammakoba4793
    @adammakoba4793 Жыл бұрын

    EBM nicheki inbox tuchonge nakutafuta Sana

  • @explorelondon3695
    @explorelondon3695 Жыл бұрын

    Kama hujui ulisoma Kwa nini, samahani dada

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Жыл бұрын

    Naweza Pata namba yako?

  • @brishi5274
    @brishi5274 Жыл бұрын

    What is your worth worth net ?

  • @samigenge9762
    @samigenge9762 Жыл бұрын

    Jamaa anaongea kuliko mtaalam mwenyewe

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 Жыл бұрын

    Diaspora wengi wameridhika na Kazi za warehouse au care wachache Sana wanajiendeleza kielimu

  • @organisedme

    @organisedme

    Жыл бұрын

    sio kupenda . ukiwa na watoto au familia inakutegemea its so hard . my self I would have loved to go back to school but decided to educate my son first he is getting his masters degree in london .

  • @edwardmkwelele

    @edwardmkwelele

    Жыл бұрын

    Siyo kupenda MAISHA ya Ulaya yako Magumu and so stressful unatakiwa kulipa chakula nyumba usafiri kodi hata hao wenye elimu kubwa nzuri MAISHA Siyo mazuri HIVYO kama tunavyoyasikia humu. Nenda utaona

  • @joejoshua7791

    @joejoshua7791

    Жыл бұрын

    @@edwardmkwelele nimeishi sana huko,wenye ujuzi wana nafuu kidogo ya maisha

  • @jumakauli
    @jumakauli Жыл бұрын

    Sijambo. Hamjambo? Ninawaomba WATANZANIA mnaoishi Marekani na nchi zingine za nje, muungane watu wawili au watatu au wanne au watano kisha muanzishe kampuni za kuwapeleka watanzania kikazi na kimasomo katika nchi za nje hasa mnakoishi sasa. Kampuni za kiuchumi na biashara ili mfanye biashara za Import and Export kati ya nchi mnakoishi sasa na nchi saba za Jumuiya ya Afrika Mashariki na nchi 16 za SADC. Mje Tanzania mjenge viwanda, hoteli za kitalii, Real estate, mashamba makubwa ya kisasa, migodi na viwanja vya kisasa vya soka. Mmiliki kampuni za kuleta watalii Tanzania. Ni vizuri mtengeneze nafasi za ajira nchini Tanzania na nje ya Tanzania. Mmiliki kampuni na malori na mabehewa ya kusafirishia mizigo Tanzania kwenda nchi jirani. Pia huko mnakoishi mmiliki kampuni na malori ya kusafirishia mizigo ndani ya nchi mnazoishi sasa. Kwani tatizo kubwa la wasomi wengi wa Tanzania hivi sasa ni ukosefu wa ajira na mitaji. WAKATI NI HUU.

  • @samrack4779
    @samrack4779 Жыл бұрын

    Trump allegedly wrote off $70,000 in hair cuts as business expenses. Looks like I’m getting a full makeup and hair upgrade. #BusinessOwner Get you a LLC!

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Жыл бұрын

    Mmmh akili namna hii anaolewa kweli?

  • @imeldamwasenga9892

    @imeldamwasenga9892

    Жыл бұрын

    Tatizo sisi tunafikiria kuolewa zaidi

Келесі