Huyu Dada kama sijamfananisha niliwahi kufanya nae kozi 834kj makutupora
@nancyg86643 сағат бұрын
kwa kina ngalapi na mbeho😂😂😂
@anitalalika763516 сағат бұрын
Ofisini ni wapi mama tuje tuchukue?
@evancekambaga260617 сағат бұрын
Yf
@FatherCollaКүн бұрын
Toxic 🔥🔥🔥🔥
@MageAwe-hl5zbКүн бұрын
Mpina tunakutakia kila la heri
@MagrethMallya-we8uiКүн бұрын
Wapiga dili hawa, wanapiga dili kwenye kodi zetu walah, hawafanyi tulichowatuma! Laana zitawatafuna nyinyi.
@MagrethMallya-we8uiКүн бұрын
Kila mtu anatetea utumbo wake tuu apo. Hatuna bunge msimu huu.
@PhilipoNyabendaКүн бұрын
dah,hawa ndo wasanii achana na wahuni
@namnyakstephen4245Күн бұрын
Asante kwa surport
@namnyakstephen4245Күн бұрын
Weak done hersy said
@namnyakstephen4245Күн бұрын
Poleni wapenzi wenzangu Kwa msiba wa manji
@UpendoWawaeКүн бұрын
Mi anani kosha roho jamani mungu amlinde msukuma
@Kingstonbagamoyo2 күн бұрын
Innalilahi,manji pumzika kwa amani yanga pamoja woote,maziko wapi?
@viatorykashabizi25382 күн бұрын
You really made good choice,for,teaching gives enough time to do other things apart, while can be also part of the business. So keep it up, for, you're the future bigest and richest businesses person
@ganganainfochannel2 күн бұрын
Thanks a lot
@AnodKasimbaz2 күн бұрын
Mungu akulaze mahari pema pepon mdau wa yanga sport club
@EuniceRaphael-y1j2 күн бұрын
Mpina yupo saw hpewe nafasi tu na binge la lamchong
@EuniceRaphael-y1j2 күн бұрын
Binge la mchog
@MabulaMisango2 күн бұрын
Noma sana
@mwakapalamwakapala83172 күн бұрын
Hapa tulia anamtetea Bashe, wakati Bashe ana suala la kujibu,
@domitinamlokozi34142 күн бұрын
Doctor mungu akubariki sana kwa ufafanu juu ya mawe kwenye figo
@kabakajuma97682 күн бұрын
Ni kweli mpina kunawatu wanakusakama tena kuwa makini angalia hadi speaker anakukandia
@peterkitinga87522 күн бұрын
SEMA NN MPINA NI MTU SANA, SEMA SPIKA NA NDUGUZE BAADHII WANAMPINGA MWAMBA HUYUUUU N, UKIANGALIA MBNA NI VITU SENSITIVE SANA ANAONGEA LKN WANAMPINGA KWANNN, MWENYE AKILI KAELEWA, WAPIGAJI WENGI SANA.
@OmarMohamed-bs2hf3 күн бұрын
Kwa nn unapo letwa Michele mmbovu kwa nn unatoswa Michele kwani ndo ilo fanya makosa
@OmarMohamed-bs2hf3 күн бұрын
Mna mpiga sana mpina ila kiukweli anayo yaongea ni kweli kwani mumbeze kwa sababu ya ukweli akaongelee wap mnataka
@malkavoice25703 күн бұрын
Kikubwa tumefanya sio kdg
@evaristkiiza19383 күн бұрын
list ya wasanii ni weng sana pale so ratiba yake ilpangwa apafom mchana na si vbaya wala si k2 cha ajabu about tht and kumbuka hili kuna baadh ya wasanii kutokana na ratiba kubana kwasbb ya wasanii kuwa weng sana kuna baadh yao hawakupafom, so diamond kuweza kupafom pale ni heshima kubwa sana kwa Tz na east africa nzima..
@RedSun-ms2zq4 күн бұрын
Shehe mandazi hata busara hana
@KaskileshitoluhiiLuhi4 күн бұрын
Kweli ukiongeacho
@NixonJohnson-zn8nk4 күн бұрын
Hatuna upelelezi tz Hao wataachiwa wote..
@AdaAmos-pp5jt4 күн бұрын
Mbona unafanana na JPM umerisi adi tabia hongeraa sana keep it up
@HappyMathias-n7g4 күн бұрын
Asante sana unaongea vitu vya kujenga taifa letu
@PhilipoMwita-wc1ku4 күн бұрын
Huyu mshenzi anawatukana watu mbwa
@PhilipoMwita-wc1ku5 күн бұрын
Hayo maneno ungeyazungumza wakati mina akiwa waziri sasa hata ukiongea haisaidii
@PhilipoMwita-wc1ku5 күн бұрын
Ulitaka avichomee chumbani
@CharlesKamoga-t3b5 күн бұрын
I'm
@MaroyiJeanpaul5 күн бұрын
Jambo frere tuko goma rdc tiya namba yako tukufyate zaidi
Nchi kila kitu kinauzwa lakn kod kama tupo nchi zawatu sio nchi yetu viongoz weshindwa kuongoza sasa wanaamua kufanya bola liende tu
@mosesnyamhanga4496 күн бұрын
Hata ukiwa wa darasa la 7 unaelewa kinachoendelea apa mpina oyeee
@davidrweyemamu9386 күн бұрын
USHAURI. Namuomba mheshimiwa rais atoe tamko maduka yote ya waliogoma kufungua mpaka sasa yasifunguliwe kabisa mpaka waombe msamaha kwa kudharau serikali. Pia huyu mwenyekiti wao ambaye ni mtumishi wa idara serikalini achukuliwe hatua za kinidhamu kazini kwa kuchochea uhujumu wa mapato ya nchi yanayomlipa mshahara! Mkiwaendekeza wafabiashara ni kukaribisha migomo kwenye sekta zingine.
@SimonAmon-dr8xw4 күн бұрын
mkundu Wewe kunya ulale
@davidrweyemamu9384 күн бұрын
@@SimonAmon-dr8xw Kwahiyo dada simon unaona umejibu chochote hapa kwenye adhara?!
@barthlomewraphael83866 күн бұрын
Heche
@AwaziRajab6 күн бұрын
Wamepoteza Muda Gani Wakati Ndio Kazi Iyo
@AwaziRajab6 күн бұрын
Wamepoteza Muda Gani Wakati Ndio Kazi Iyo
@jonfredkewe34516 күн бұрын
Amani nimhim Sana ndugu zetu tusiingie kwenye machafuko Tutayumba Kiuchumi na Taifa litapoteza mwelekeo tuwe wavumilivu na wasikivu tunapotafutiwa ufumbuzi
@BoniphasLukas5 күн бұрын
Acha ujinga au naww upo selikalin unaiba ndiomana unaongea upumbavu
@PaulMwashikuba-rm5xs6 күн бұрын
Spika.na.wazili.mumelewa.wote
@RajabuLanda6 күн бұрын
Badari imeuzwa bado xoko la karia koo
@SanziNzige6 күн бұрын
Hivi nyie wajinga nyie mnatuonsje? Ripot ya mkaguzi wa hesabu za selekari mnadhani hatukuisikia.wizi wenu wa hela zetu hamtosheki bungeni nako mnagawana hela kila siku wajinga nyiehamlizi? Hafu eti mwigulu bila aibu anSapot savice leav. selekari la hovyo kabisa lipingwe n kili mwenye akiri timamu
@SanziNzige6 күн бұрын
Anachokiongea huyo hakijui eti tukiona hakuna badiliko tufunge tena mabadiliko yalifanya tukafunga ndo tufungue bili kuyaona!. Pumbafu kabisa fungua wewe na mwigulu .
@geofreatumbo45436 күн бұрын
Hatufunguwi
@paulombay68846 күн бұрын
Nyie watu uchaguz ukipita baadhi yenu watakufa kwa mabom watu sas hiv wanalinda uchaguz ,ilitakiwa tuandamane kwa tozo mbalmbal ili tuwajue kam ni watu wema
Пікірлер
Huyu Dada kama sijamfananisha niliwahi kufanya nae kozi 834kj makutupora
kwa kina ngalapi na mbeho😂😂😂
Ofisini ni wapi mama tuje tuchukue?
Yf
Toxic 🔥🔥🔥🔥
Mpina tunakutakia kila la heri
Wapiga dili hawa, wanapiga dili kwenye kodi zetu walah, hawafanyi tulichowatuma! Laana zitawatafuna nyinyi.
Kila mtu anatetea utumbo wake tuu apo. Hatuna bunge msimu huu.
dah,hawa ndo wasanii achana na wahuni
Asante kwa surport
Weak done hersy said
Poleni wapenzi wenzangu Kwa msiba wa manji
Mi anani kosha roho jamani mungu amlinde msukuma
Innalilahi,manji pumzika kwa amani yanga pamoja woote,maziko wapi?
You really made good choice,for,teaching gives enough time to do other things apart, while can be also part of the business. So keep it up, for, you're the future bigest and richest businesses person
Thanks a lot
Mungu akulaze mahari pema pepon mdau wa yanga sport club
Mpina yupo saw hpewe nafasi tu na binge la lamchong
Binge la mchog
Noma sana
Hapa tulia anamtetea Bashe, wakati Bashe ana suala la kujibu,
Doctor mungu akubariki sana kwa ufafanu juu ya mawe kwenye figo
Ni kweli mpina kunawatu wanakusakama tena kuwa makini angalia hadi speaker anakukandia
SEMA NN MPINA NI MTU SANA, SEMA SPIKA NA NDUGUZE BAADHII WANAMPINGA MWAMBA HUYUUUU N, UKIANGALIA MBNA NI VITU SENSITIVE SANA ANAONGEA LKN WANAMPINGA KWANNN, MWENYE AKILI KAELEWA, WAPIGAJI WENGI SANA.
Kwa nn unapo letwa Michele mmbovu kwa nn unatoswa Michele kwani ndo ilo fanya makosa
Mna mpiga sana mpina ila kiukweli anayo yaongea ni kweli kwani mumbeze kwa sababu ya ukweli akaongelee wap mnataka
Kikubwa tumefanya sio kdg
list ya wasanii ni weng sana pale so ratiba yake ilpangwa apafom mchana na si vbaya wala si k2 cha ajabu about tht and kumbuka hili kuna baadh ya wasanii kutokana na ratiba kubana kwasbb ya wasanii kuwa weng sana kuna baadh yao hawakupafom, so diamond kuweza kupafom pale ni heshima kubwa sana kwa Tz na east africa nzima..
Shehe mandazi hata busara hana
Kweli ukiongeacho
Hatuna upelelezi tz Hao wataachiwa wote..
Mbona unafanana na JPM umerisi adi tabia hongeraa sana keep it up
Asante sana unaongea vitu vya kujenga taifa letu
Huyu mshenzi anawatukana watu mbwa
Hayo maneno ungeyazungumza wakati mina akiwa waziri sasa hata ukiongea haisaidii
Ulitaka avichomee chumbani
I'm
Jambo frere tuko goma rdc tiya namba yako tukufyate zaidi
Jamani naomba kuuliza huyu mtumishi anapatikana wapi naomba maelezo vizur me nipo kigamboni nataka kuja
Nchi kila kitu kinauzwa lakn kod kama tupo nchi zawatu sio nchi yetu viongoz weshindwa kuongoza sasa wanaamua kufanya bola liende tu
Hata ukiwa wa darasa la 7 unaelewa kinachoendelea apa mpina oyeee
USHAURI. Namuomba mheshimiwa rais atoe tamko maduka yote ya waliogoma kufungua mpaka sasa yasifunguliwe kabisa mpaka waombe msamaha kwa kudharau serikali. Pia huyu mwenyekiti wao ambaye ni mtumishi wa idara serikalini achukuliwe hatua za kinidhamu kazini kwa kuchochea uhujumu wa mapato ya nchi yanayomlipa mshahara! Mkiwaendekeza wafabiashara ni kukaribisha migomo kwenye sekta zingine.
mkundu Wewe kunya ulale
@@SimonAmon-dr8xw Kwahiyo dada simon unaona umejibu chochote hapa kwenye adhara?!
Heche
Wamepoteza Muda Gani Wakati Ndio Kazi Iyo
Wamepoteza Muda Gani Wakati Ndio Kazi Iyo
Amani nimhim Sana ndugu zetu tusiingie kwenye machafuko Tutayumba Kiuchumi na Taifa litapoteza mwelekeo tuwe wavumilivu na wasikivu tunapotafutiwa ufumbuzi
Acha ujinga au naww upo selikalin unaiba ndiomana unaongea upumbavu
Spika.na.wazili.mumelewa.wote
Badari imeuzwa bado xoko la karia koo
Hivi nyie wajinga nyie mnatuonsje? Ripot ya mkaguzi wa hesabu za selekari mnadhani hatukuisikia.wizi wenu wa hela zetu hamtosheki bungeni nako mnagawana hela kila siku wajinga nyiehamlizi? Hafu eti mwigulu bila aibu anSapot savice leav. selekari la hovyo kabisa lipingwe n kili mwenye akiri timamu
Anachokiongea huyo hakijui eti tukiona hakuna badiliko tufunge tena mabadiliko yalifanya tukafunga ndo tufungue bili kuyaona!. Pumbafu kabisa fungua wewe na mwigulu .
Hatufunguwi
Nyie watu uchaguz ukipita baadhi yenu watakufa kwa mabom watu sas hiv wanalinda uchaguz ,ilitakiwa tuandamane kwa tozo mbalmbal ili tuwajue kam ni watu wema