Juma Zangira: Afisa Usalama wa Taifa Aliyeshitakiwa Kwa Kosa la Ujasusi Dhidi ya TZ (Espionage) 1977

Hii ni Makala maalumu kuhusu mkasa wa Juma Thomas Zangira, Mtanzania wa kwanza kushitakiwa na kufungwa kwa kosa la ujasusi (Espionage) dhidi ya Tanzania mwaka 1977.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 61

  • @apostleck
    @apostleck24 күн бұрын

    Mheshimiwa, hii kazi ya documentaries za aina hii ni utaalamu wa hali ya juu na husaidia sana jamii kufahamu historia, matukio nyeti kwenye jamii, na upanuzi wa demokrasia na uhuru wa taarifa katika jamii. Hongera sana, mheshima kwa taaluma hii haba katika nchi yetu. Hii ndiyo kwa kitaalamu huitwa forensic journalism. Ni.moja ya taaluma ambayo imechochea sana ukuaji wa demokrasia na maendeleo katika nchi nyingi zilizoendelea. Nakutia moyo ukuze kipaji hicho na kukiendekeza. Mwenyezi Mungu akupe kheri 🙏

  • @shafiihamisi1984

    @shafiihamisi1984

    21 күн бұрын

    Ameeen🙏🙏

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704Ай бұрын

    Duh umenikumbusha mbali sana chanzo Mzee Tena mbali sana mchambuzi wa chanzo Shafiee KHAMIS so nice to remember that I still remember I was small boy on that time thks so much

  • @shafiihamisi1984

    @shafiihamisi1984

    Ай бұрын

    Pamoja sana brother!

  • @user-km1do5lq7c

    @user-km1do5lq7c

    Ай бұрын

    Sasa ndio zangira ashitakiwe et anauza Siri za inchi ya Tanzania Nini Tanzania inacho chakujivunia upuzii mtupu

  • @shafiihamisi1984

    @shafiihamisi1984

    Ай бұрын

    @@user-km1do5lq7c 🤣🤣

  • @allyshomari7417

    @allyshomari7417

    29 күн бұрын

    🙏🙏

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    29 күн бұрын

    Duuuuu umenikumbusha mbali sanaaaa nikiwa mfanyakazi binti mdogo Nationalist Uhuru

  • @JamshidiKiobya
    @JamshidiKiobya10 күн бұрын

    Duu#Bado yuko salama Zangira,,nimemlinda sana Butimba-Mwanza

  • @erastosanga1694
    @erastosanga169426 күн бұрын

    Sharper man zangira, very iodiotic one

  • @rausathsued8852
    @rausathsued8852Ай бұрын

    Makala nzuri Sana, Ila sauti imetushika masikio 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-oe1ew9de9h
    @user-oe1ew9de9h29 күн бұрын

    Africa tuna roho za ajabu sana yaani unadiliki kuisaliti nchi yako doh

  • @Mapenzi2635

    @Mapenzi2635

    20 күн бұрын

    Tuna akili nyingi sana hivyo hatuna maarifa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258920 күн бұрын

    KAMA HAUNA KARAMA HII UNAWEZA KWELI KUTOA MAELEZO YOOOOTE HAYA❤

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent94086 күн бұрын

    Daraja la salenda kuna stori moja matata sana naiomba kwa sauti mkuu

  • @MinskBelarus-il2tl
    @MinskBelarus-il2tlАй бұрын

    Je,huyo Juma Zangira,alitumikia kifungo chake, bado yuko Hai,na hakuwa na Washirika katika ujasusi huu. Ningeshauri AFANDE MSIKA atengeneze Filamu ya tukio hilo

  • @mshengajuma.9113
    @mshengajuma.9113Ай бұрын

    Ahsante sana the chanzo

  • @LishaPasha
    @LishaPashaАй бұрын

    saafi sana. tu document historia na matukio ya nchi yetu

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766Ай бұрын

    Mwamba Shafie Khamis anajua kushika masikio ya msikilizaji

  • @shafiihamisi1984

    @shafiihamisi1984

    Ай бұрын

    Pamoja sana bro Elia

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Ай бұрын

    ​@@shafiihamisi1984TUPE STORI ILE BARUWA BOMU ILIO MUUWA MONDLANI NA KIJITI KILIENDELEZWA NA SAMORA MASHEL PLZ

  • @HassanWasiwasi-lq1kh
    @HassanWasiwasi-lq1khАй бұрын

    KAZI nzuri 🎉

  • @rshidmwasa8493
    @rshidmwasa8493Ай бұрын

    Makala nzuri

  • @MichaelShigela
    @MichaelShigela29 күн бұрын

    Huyuu ndio DOUBLE AGENT mkuu😂😂😂

  • @erastosanga1694
    @erastosanga169426 күн бұрын

    Let's be patriotic as was during nyerere days

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi263520 күн бұрын

    Hongera sana, Ndugu Shafii

  • @aflahrajabu9919
    @aflahrajabu9919Ай бұрын

    Hongera sana kamanda mssika

  • @mwaikukaf.g2080
    @mwaikukaf.g2080Ай бұрын

    Great

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema7 күн бұрын

    Huyo alikuwa haini kabisa wala hakuwa raia mwema na hakustahili kulitumikia taifa letu pendwa. Inastaajabisha na ni aibu kubwa sana walimjuaje kuwa anafanya hiyo kazi nyeti mpaka wakamtumia? Hatari sana.

  • @erastosanga1694
    @erastosanga169426 күн бұрын

    Je zangira yupo hadi sikuhizi?

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152Ай бұрын

    Where is zangira now ??

  • @MinskBelarus-il2tl

    @MinskBelarus-il2tl

    Ай бұрын

    Hilo ndio Swali zuri sana.

  • @boban16

    @boban16

    28 күн бұрын

    hawezi kuwa hai hata siku moja

  • @shafiihamisi1984

    @shafiihamisi1984

    15 күн бұрын

    Zangira alitumikia kifungo chake na alipomaliza alitoka akawa huru...baadae alifariki

  • @MinskBelarus-il2tl

    @MinskBelarus-il2tl

    15 күн бұрын

    @@shafiihamisi1984 Ooh,Asante kwa Taarifa🙏🙏

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739Ай бұрын

    Somo zuri kwa vizazi vyetu

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari245823 күн бұрын

    Je alitoa hizo siri?...

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258920 күн бұрын

    HONGERENI WATUMISHI WOOOOOTE WA USALAMA WATAIFA WANA KAZI KUBWA SANA.

  • @anastaziuscyriacus5415
    @anastaziuscyriacus54152 күн бұрын

    Tz ilipanic tu,

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258920 күн бұрын

    NI KARAMA HIYOOO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU

  • @erastosanga1694
    @erastosanga169426 күн бұрын

    Aah zangira , aah zangira why this?

  • @shafiihamisi1984

    @shafiihamisi1984

    25 күн бұрын

    🤣🤣🤣

  • @shabanponera2895
    @shabanponera289521 күн бұрын

    Yaani hakuna anaejua alipo Juma Zangira?

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935Ай бұрын

    Mssika yupo hai mpaka leo

  • @michaelmulokozi1512

    @michaelmulokozi1512

    Ай бұрын

    Yupo hai

  • @MinskBelarus-il2tl

    @MinskBelarus-il2tl

    Ай бұрын

    Amehojiwa hivi karibuni AZAM TV( UTV) katika kipindi cha ZUMARI kinacho endeshwa na JAAFAR MPONDA

  • @homeboybeyondtheborders4935

    @homeboybeyondtheborders4935

    Ай бұрын

    @@MinskBelarus-il2tl Kweli kabisa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258920 күн бұрын

    MUNGU AWALINDENI TU

  • @user-bt5kv8ik4y
    @user-bt5kv8ik4y15 күн бұрын

    Makachero

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7sАй бұрын

    Huyo hakuwa tena jasusi Bali kibaraka wa mabeberu, mhaini na msaliti wa Taifa !

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    25 күн бұрын

    Jua kwanza maana ya ujasusi..

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_EverythingАй бұрын

    ✌️👍👊.

  • @mohamedjuma9115

    @mohamedjuma9115

    23 күн бұрын

    Yupo

Келесі