Juma Zangira: Afisa Usalama wa Taifa Aliyeshitakiwa Kwa Kosa la Ujasusi Dhidi ya TZ (Espionage) 1977
Hii ni Makala maalumu kuhusu mkasa wa Juma Thomas Zangira, Mtanzania wa kwanza kushitakiwa na kufungwa kwa kosa la ujasusi (Espionage) dhidi ya Tanzania mwaka 1977.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 61
Mheshimiwa, hii kazi ya documentaries za aina hii ni utaalamu wa hali ya juu na husaidia sana jamii kufahamu historia, matukio nyeti kwenye jamii, na upanuzi wa demokrasia na uhuru wa taarifa katika jamii. Hongera sana, mheshima kwa taaluma hii haba katika nchi yetu. Hii ndiyo kwa kitaalamu huitwa forensic journalism. Ni.moja ya taaluma ambayo imechochea sana ukuaji wa demokrasia na maendeleo katika nchi nyingi zilizoendelea. Nakutia moyo ukuze kipaji hicho na kukiendekeza. Mwenyezi Mungu akupe kheri 🙏
@shafiihamisi1984
21 күн бұрын
Ameeen🙏🙏
Duh umenikumbusha mbali sana chanzo Mzee Tena mbali sana mchambuzi wa chanzo Shafiee KHAMIS so nice to remember that I still remember I was small boy on that time thks so much
@shafiihamisi1984
Ай бұрын
Pamoja sana brother!
@user-km1do5lq7c
Ай бұрын
Sasa ndio zangira ashitakiwe et anauza Siri za inchi ya Tanzania Nini Tanzania inacho chakujivunia upuzii mtupu
@shafiihamisi1984
Ай бұрын
@@user-km1do5lq7c 🤣🤣
@allyshomari7417
29 күн бұрын
🙏🙏
@margarethpolepole7438
29 күн бұрын
Duuuuu umenikumbusha mbali sanaaaa nikiwa mfanyakazi binti mdogo Nationalist Uhuru
Duu#Bado yuko salama Zangira,,nimemlinda sana Butimba-Mwanza
Sharper man zangira, very iodiotic one
Makala nzuri Sana, Ila sauti imetushika masikio 🔥🔥🔥🔥🔥
Africa tuna roho za ajabu sana yaani unadiliki kuisaliti nchi yako doh
@Mapenzi2635
20 күн бұрын
Tuna akili nyingi sana hivyo hatuna maarifa
KAMA HAUNA KARAMA HII UNAWEZA KWELI KUTOA MAELEZO YOOOOTE HAYA❤
Daraja la salenda kuna stori moja matata sana naiomba kwa sauti mkuu
Je,huyo Juma Zangira,alitumikia kifungo chake, bado yuko Hai,na hakuwa na Washirika katika ujasusi huu. Ningeshauri AFANDE MSIKA atengeneze Filamu ya tukio hilo
Ahsante sana the chanzo
saafi sana. tu document historia na matukio ya nchi yetu
Mwamba Shafie Khamis anajua kushika masikio ya msikilizaji
@shafiihamisi1984
Ай бұрын
Pamoja sana bro Elia
@salimmalaka256
Ай бұрын
@@shafiihamisi1984TUPE STORI ILE BARUWA BOMU ILIO MUUWA MONDLANI NA KIJITI KILIENDELEZWA NA SAMORA MASHEL PLZ
KAZI nzuri 🎉
Makala nzuri
Huyuu ndio DOUBLE AGENT mkuu😂😂😂
Let's be patriotic as was during nyerere days
Hongera sana, Ndugu Shafii
Hongera sana kamanda mssika
Great
Huyo alikuwa haini kabisa wala hakuwa raia mwema na hakustahili kulitumikia taifa letu pendwa. Inastaajabisha na ni aibu kubwa sana walimjuaje kuwa anafanya hiyo kazi nyeti mpaka wakamtumia? Hatari sana.
Je zangira yupo hadi sikuhizi?
Where is zangira now ??
@MinskBelarus-il2tl
Ай бұрын
Hilo ndio Swali zuri sana.
@boban16
28 күн бұрын
hawezi kuwa hai hata siku moja
@shafiihamisi1984
15 күн бұрын
Zangira alitumikia kifungo chake na alipomaliza alitoka akawa huru...baadae alifariki
@MinskBelarus-il2tl
15 күн бұрын
@@shafiihamisi1984 Ooh,Asante kwa Taarifa🙏🙏
Somo zuri kwa vizazi vyetu
Je alitoa hizo siri?...
HONGERENI WATUMISHI WOOOOOTE WA USALAMA WATAIFA WANA KAZI KUBWA SANA.
Tz ilipanic tu,
NI KARAMA HIYOOO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU
Aah zangira , aah zangira why this?
@shafiihamisi1984
25 күн бұрын
🤣🤣🤣
Yaani hakuna anaejua alipo Juma Zangira?
Mssika yupo hai mpaka leo
@michaelmulokozi1512
Ай бұрын
Yupo hai
@MinskBelarus-il2tl
Ай бұрын
Amehojiwa hivi karibuni AZAM TV( UTV) katika kipindi cha ZUMARI kinacho endeshwa na JAAFAR MPONDA
@homeboybeyondtheborders4935
Ай бұрын
@@MinskBelarus-il2tl Kweli kabisa
MUNGU AWALINDENI TU
Makachero
Huyo hakuwa tena jasusi Bali kibaraka wa mabeberu, mhaini na msaliti wa Taifa !
@mtzhalisi2232
25 күн бұрын
Jua kwanza maana ya ujasusi..
✌️👍👊.
@mohamedjuma9115
23 күн бұрын
Yupo