NANI KAITAWANYA ZANZIBAR ||HISTORIA YA KWELI ILIOFICHWA

Пікірлер: 136

  • @elhabsy8483
    @elhabsy84834 ай бұрын

    Uo ni zaudi ya ukweli shekh wetu tumuomb Allah ailinde zanzibar yetu

  • @user-fz7bq8fh9s
    @user-fz7bq8fh9s4 ай бұрын

    historia safi sana hiii

  • @suleimanmuhammad-bu7pe
    @suleimanmuhammad-bu7pe5 ай бұрын

    Historian safi kabisa

  • @SMG109L
    @SMG109L5 ай бұрын

    Maashallah, Allah akulipè sheikh wangu. Hivi nikweli Nyerere, karume na okello na makafiri walishiriki mauwaji ya waarabu/waislamu kwenye mapinduzi zanzibar? Wallahi inaniuma sana sana nikifikiria ndugu zetu wameuawa dhidi ya makafiri wakishirikiana na baadhi ya waislamu. Naomba kujua hilo!

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Kweli

  • @user-tb5mc2wm1z

    @user-tb5mc2wm1z

    4 ай бұрын

    Ndio

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    4 ай бұрын

    Yani nyie mnaumwa kwann mnaita watu makafiri Ili Hali wewe sio mkamilifu?

  • @geofreyndambo8635

    @geofreyndambo8635

    4 ай бұрын

    Ukisikia matahila huyu ni mwehu sana tena kuliko chizi,hawa vibaraka wa waarabu yafaa kuwachinja bila huruma,sisi ni waafrika kabla ya waarabu tupo sisi ngozi nyeusi,hao waarabu,wazungu walikuja kutawala na ndio waliowaua waafrika,sasa hiyo dola ya wauzaji wa mababu zetu ni yupi alikuwa mtawala mkuu wa Zanzibar,kenge mkuu wewe

  • @vincentcharles4385

    @vincentcharles4385

    4 ай бұрын

    @@geofreyndambo8635Kabla ya kuchinjwa wafirwe kwanza

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын

    بارك الله فيك

  • @najashdawood9680
    @najashdawood96804 ай бұрын

    Vizuri kwa kurudisha record za zamani watu wajue ukweli❤

  • @hakiyangu

    @hakiyangu

    4 ай бұрын

    Uzuri wa hapo ni nn au hujui kama dini zilitumika kutupora raslimali zetu na waarabu walitumia watumwa wa kiafrika kupampana na maadui zao? Think big beyond your faith to know the truth.

  • @najashdawood9680

    @najashdawood9680

    4 ай бұрын

    @@hakiyangu Kasome history vizuri ........ww upo na uafrika na udini hujui kitu kabisaaaaa..pole sana ..Ss tunayoyajua ndio maana hatutaki upuuzi wa kufanywa wajinga ..nyie ndio mnfata tamaduni ..Baada ya ku kaa kwenye Tamabora

  • @hakiyangu

    @hakiyangu

    4 ай бұрын

    @@najashdawood9680 hauko sahihi labda kama hujui kwamba mipaka iliwekwa na wakoloni pia wakati wa sayd alikua mporaji kama wenzie na alitanua himaya yake kwa kupora ardhi za wanyonge, au unadhani alikuja na ardhi yake toka omani? Fikiri kabla hujaongea

  • @user-tm3hr5xc5f
    @user-tm3hr5xc5f4 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-gg1ef9gc3t
    @user-gg1ef9gc3t4 ай бұрын

    Mungu akulinde ut

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw5 ай бұрын

    Upo sahihi shekhe

  • @issakhamis9581
    @issakhamis95815 ай бұрын

    Upo sahihi sheh wetu

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes95364 ай бұрын

    Intelligent...knows history.

  • @almaarifonlinetv
    @almaarifonlinetv4 ай бұрын

    Anayoyasema ni kweli. Ramani ya Dunia ya mwaka 1600 inaonyesha huku bara kote to near south Africa ilikuwa inaitwa Zanjibar

  • @user-um8xn4ge4i

    @user-um8xn4ge4i

    4 ай бұрын

    Acha uongo wewe, serikali ya ki Islam ilitawala east Africa toka karne y 7 chini y Ottoman Empire, makao makuu yake ilikuwa kilwa, na nchi iliitwa kilwa sultan, Zanzibar ilikuwa sehemu y biashara y utumwa, walikwenda bara kuwachukua watumwa adi bagamoyo na tanga kuingia Zanzibar

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza19693 ай бұрын

    History safi sana

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x4 ай бұрын

    Waislam wanahadaliwa na makafiri kuwa waarabu waliwatesa wazanzibari wakati waraabu hawakutaka kutawala isipokuwa kwa ridhaa ya Wazanzibari wenyewe

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l4 ай бұрын

    Ndio shehe tupe ukweli uwoo wauficha ccm.wanaujua lakini ukweli hua mchungu maisha yote watanganyika wametumeza mzimu wa nyerere umetubana kweli unatula kila cku nyerere ndo injinia za vurugu za zanzibar zote alitumwa na wazungu waengereza Walimtuma nyerere zanzibar aichafuwe tusijitawale

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    4 ай бұрын

    Sahihi huo ndiyo ukweli

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari28675 ай бұрын

    Inshallah muda si mrefu heshima,hadhi na haiba ya wazanzibar itarud haki haiwezi kupotea inachelewa tu ila ipo njian inarud makafir hawawez kututawala milele.

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    5 ай бұрын

    Ishu sio ukafiri ishu ni kujikomboa leo tunaweza usingizia ukafiri ila je dini yenyewe ki Lillah ipo leo vijana wangapi au wanzibar wangapi walioko ulaya na marekani je iyo ikoje leo angalia hata hao tunaodhani wanauislam ndugu zao wapalestina wanachinjwa hawafanyi lolote inatokea afrika kusini ambayo sio waislam imaipigania Palestina, lazma tujue shida yetu nini haswa na si kuamini jambo ambalo silo adui wa uislam ni muislam wala si hao japo tumeonywa juu yao

  • @AllySully

    @AllySully

    4 ай бұрын

    Jidanganye

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi97294 ай бұрын

    Kusema kweli maneno yake ni sahihi

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone9724 ай бұрын

    Jee huyu kijana bado yuko Hai??!!! Jamani

  • @user-zj6uz6dt9j
    @user-zj6uz6dt9j5 ай бұрын

  • @highbodzaina
    @highbodzaina4 ай бұрын

    siasa na din

  • @goodluckmolleltennis5980
    @goodluckmolleltennis59804 ай бұрын

    Swali Haya maeneo yalitawaliwa na nan kabla ya ujuo wa waarabu na wazungu

  • @cleophaxgeremy2148

    @cleophaxgeremy2148

    4 ай бұрын

    Africans were the responsible of this African Continent...

  • @coolbz133
    @coolbz1334 ай бұрын

    Ok kumbe kuna ma shaikh walio toka mombasa kuja kujenga miskiti Zanzibar afadhali tujue

  • @fransiscomlolere9658
    @fransiscomlolere96584 ай бұрын

    Wote mnayoongea na kusimulia ni Historia nanyi mmesoma kny VITABU,vitabu viliandikwa au vimeandikwa na Watu au Binadamu,Hivyo ni Vyema kila Mtu Aheshimu vile mtu anavyoamini,hamna haja ya Makasiriko.

  • @Worldunite
    @Worldunite4 ай бұрын

    Wazanzibari mnajiona mmetakasika sana????

  • @adnanidarous3117
    @adnanidarous31175 ай бұрын

    😓

  • @saidhamad9723
    @saidhamad97234 ай бұрын

    ndio mana mumeipatisha laana nchi mpk leo tunatawaliwa na kuonewa ...ety muungano

  • @allythabiti8150
    @allythabiti81505 ай бұрын

    Yani ukiangalia vzr Kuna ukweli kabsa, ukicheki hata mambo yalivo ni sahihi, maeneo yote yaliojengwa makao makuu ya utawala wa zaman ni Raman kabsa za manzar za kiarabu au kizenji, na pia juu ya milango imendikwa "Bismillah rrahmaan rahiim" Hii dunia Kuna ukwel mwingi ulifichwa.

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi70015 ай бұрын

    Kwani Tanganyika inamaslahi makubwa sana kwa muungno huu?

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Tena Sana we soma historian t utajua kwani Aling'atuka a kumpa tunda mwengine ili seif asipate kuekwa wazir kiongozi na hatimae kumfukuza chama

  • @cadabra7402

    @cadabra7402

    4 ай бұрын

    Tena snaaa zaidi ya snaaaaaaa

  • @youngchezo2744
    @youngchezo27445 ай бұрын

    Uyu jamaa kiboko kasoma wapi hii historia

  • @user-tl2ks4fl4h
    @user-tl2ks4fl4h4 ай бұрын

    Shukra

  • @SelemaniMndai-ox8dy
    @SelemaniMndai-ox8dy4 ай бұрын

    Mimi nauriza sio kwa ubaya nataka kuelewa ZANZIBAR inamakabira mangapi? Maan mtu akisema Mimi mzanzibar ni nchi na makabira

  • @yusoboy_tz
    @yusoboy_tz4 ай бұрын

    Ukitaka kujua kama waislam ndio wamejenga ikulu ya dar pale mlangoni pana bismillah

  • @user-rl2hl8hn1r
    @user-rl2hl8hn1r4 ай бұрын

    asa huyu shehke nimwana siasa au ninani..! Huyu ukimuita mshawishaji wauvunjaji waamani itakua ukosahihi watanielewa wachache,

  • @user13375
    @user13375Ай бұрын

    Akili ndogo haiwezi kufundisha lolote,akili za mtumwa aliyefurahia utumwa😮😮😮😮

  • @andreauisso3225
    @andreauisso32255 ай бұрын

    Shekhe hivi wafaransa washawahi kufanya biashara ya watumwa Tanganyika

  • @aziziatumanially424

    @aziziatumanially424

    4 ай бұрын

    Anawafunga watu kamba utadhani ukweri yani

  • @bausiwessaomar983
    @bausiwessaomar9834 ай бұрын

    Dola ya Zanzibar na Dola ya Kilwa ipi ilianza

  • @mshua337

    @mshua337

    4 ай бұрын

    Kilwa ilikuwa Dola kubwa sana na ndio ilianza.hizi historia nyingine za kubumba achana nazo

  • @coolbz133

    @coolbz133

    4 ай бұрын

    kilwa iko kitambo kuliko Zanzibar

  • @daudminzi-pb3je
    @daudminzi-pb3je4 ай бұрын

    Mhhhh hata huko kenye dini ya uislamu hakuna amani kila siku vita mtafika mmechoka

  • @impeccablerito7922

    @impeccablerito7922

    4 ай бұрын

    Ao wanaopiga vita sio waislam ni makafiri wanaotumia kivuli cha uislam ili kuchafua Uislam. Ukweli siku zote unapingwa je ushawahi kusikia wakristo wanapigana vita?? Bila shaka..Vita (Jihad) ilikua zaman kwaajili ya kupigania Uislam. Ila sasa hivi Uislam unatambulika dunia nzima ivyo akuna sababu ya kupigana vita. Na izo vita unazosemea ni njama za wamarekani kuchafua uislam kwenye ukristo wanajua tayar washafanikiwa kupotosha. Ndomana ata Maaskofu wanapitisha Ushoga, Usagaji na mambo mengi ya kukufuru mungu ila wanajua Uislam ni ngumu kuleta Agenda izo

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru68444 ай бұрын

    Uislam 😂😂😂

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson33884 ай бұрын

    Huyu Sheikh ni muongo😂 qmmk Sultan said said ndio alikuwa mtu wa mwisho kukubali kuacha biashara ya utumwa hii historia ni uongo mtupu

  • @cleophaxgeremy2148

    @cleophaxgeremy2148

    4 ай бұрын

    eeeeh buaanaaaaaeee

  • @deusmtiri6341
    @deusmtiri63414 ай бұрын

    cha kushangaza hakuna hata mwarabu mmoja anayejivunia kuwa mwafrica,lakini hao wafrica sasa wanajiona wao ni waarabu kuliko waarabu

  • @cleophaxgeremy2148

    @cleophaxgeremy2148

    4 ай бұрын

    😂🤣😄😅😆

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles43854 ай бұрын

    Kafirwe na babaako masikini wa akili,dini ya mkoloni inakutoa povu,

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge5 ай бұрын

    wape ukweli sacha wajue hao wanao jidai kujua

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.87934 ай бұрын

    kipofu anawadanganya vipofu 😂😂😂

  • @hamadali5062

    @hamadali5062

    4 ай бұрын

    Nyamanza ufahamishwe

  • @hiarijuma2684
    @hiarijuma26844 ай бұрын

    A mini Qur'an yako, Unaowataja mmm Heee!!!

  • @user13375
    @user133754 ай бұрын

    Útumwa ni kitu kibaya sana,

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    4 ай бұрын

    Utumwa gani bwana wewe ah

  • @mshua337

    @mshua337

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis41494 ай бұрын

    Acha uongo pumbavu! Unadhani sisi historia hatuijui?

  • @deusNjimba
    @deusNjimba4 ай бұрын

    Tulisoma. Said. Said. Ndie alitesa. Babuzetu utumwani usitudanye

  • @sultaniiyytv3718

    @sultaniiyytv3718

    4 ай бұрын

    Ukisomeshwa huambiwi ukweli

  • @reformerthrone972

    @reformerthrone972

    4 ай бұрын

    Makafiri ndio kawaida Yao kudanganya history ili kuwachafua waislamu na waarabu.

  • @godfreymwanguku3396
    @godfreymwanguku33964 ай бұрын

    Nkotakota sio nkotankota

  • @zangzang1574
    @zangzang15744 ай бұрын

    Mbona unaongea lugha ya makafiri

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    4 ай бұрын

    Wewe ndo kafiri Kwa kuwa wewe sio mungu na sio mkamilifu

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson33884 ай бұрын

    Mama yangu😂😂😂😂😂 huyu muongo mkubwa

  • @khalmudodoma6271

    @khalmudodoma6271

    4 ай бұрын

    Wewe mkweli twambie mpuuzi wewe

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p4 ай бұрын

    Mm simuelew uyu

  • @msakuzikondo536
    @msakuzikondo5364 ай бұрын

    Wamerekani wangesema BULLSHIT

  • @KhamisMasms
    @KhamisMasms4 ай бұрын

    SIASA TU HAKUNA JENGINE

  • @HafidhKhamis-ph8qg

    @HafidhKhamis-ph8qg

    4 ай бұрын

    Kwani Kuna ubaya kuzungumza siasa au kikuumacho Nini? Au siasa useme wewe tu utakayo, vzr nawe ukasome usiburuzwe kibubusa

  • @TajiriOne
    @TajiriOne4 ай бұрын

    Waarabu ndo waliyoleta utumwa , hiyo historia ya wapi ya ufaransa?

  • @nabbeely5295

    @nabbeely5295

    4 ай бұрын

    Zanzibar ina history mbili kwa wageni ..inategemea ngemi wa dini gani akiwa kafiri anaambiwa utumwa warabu wameleta akija mgeni muislam ndo anapewa history ya kweli sasa

  • @TajiriOne

    @TajiriOne

    4 ай бұрын

    @@nabbeely5295 mi Mzanzibari hakuna kitu kama hicho historia ipo wazi na siyo kwa Nzanzibari tu inajulikana cha kushukuru ni dini imeletwa Kwa njia yoyote ile nchi zote hizo za kiarabu zina watu weusi walipelekwa na Ufaransa...

  • @annassuleiman4508

    @annassuleiman4508

    4 ай бұрын

    Basi ni wanafiki wenye ndimi mbili​@@nabbeely5295

  • @hakiyangu
    @hakiyangu4 ай бұрын

    Acha uongo saydi ndiye alikua kinara wa utumwa na ndio maana hadi leo uarabuni utumwa upo sana, alafu waislamu bhana sometime wanazingua huyo mwarabu alifuata nn africa kama sio unyonyaji, unatoa historia za uongo za kidini hapo huna lolote. Tunaijua pia historia ya uislam na hata tabia za mtume

  • @user13375

    @user13375

    Ай бұрын

    Hayanaga akili😢😢

  • @morrisabdon7881
    @morrisabdon78814 ай бұрын

    😂 acha nicheke😂

  • @geofreyndambo8635
    @geofreyndambo86354 ай бұрын

    Muongo wewe,sisi ngome zetu walijenga babu zetu Wahehe,ningekuwa karibu ningekutandika wewe

  • @NizoTV
    @NizoTV4 ай бұрын

    Una ukichaa wewe

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko91134 ай бұрын

    Sasa hiyo stori unayoitolea povu inawasaidia nini wazanzibar.Dunia inasonga mbele hairudi nyuma sasa wewe baada ya kuwahamasisha waachane na mawazo mgando na wapambanie maendeleo wewe unawaongezea njaa.

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    4 ай бұрын

    Umeongea point kubwa sana hongera

  • @user13375

    @user13375

    Ай бұрын

    Masikini siku zote hujisifu ,hata kwa akiwamfagia banda languruwe kwa tajili😮😮😮

  • @peterjoseph4771
    @peterjoseph47715 ай бұрын

    Kumbe Zanzibar haikuwa na wazawa wabantu!walipelekwa na waarabu!Babu wa Babu wa Babu zetu bila wao sisi tusingekuwepo huu umasikini wa akili na kabla ya kuletewa Ukristo na Uislamu tulikuwa tunamuabudu Mungu kwa Mila zetu tumeaoshwa kiakili mpaka tunawakana Babu wa Babu zetu ni aibu!

  • @ALIKHAMIS-un4fv

    @ALIKHAMIS-un4fv

    4 ай бұрын

    Sikushangai upagani umekujaa katika akili yako

  • @peterjoseph4771

    @peterjoseph4771

    4 ай бұрын

    @@ALIKHAMIS-un4fv ahsante

  • @stevenclaud6648

    @stevenclaud6648

    4 ай бұрын

    Ukiongea hivyo watakuua wanajiita vitukuu wa mtume wakati wakienda huko Uarabuni wanaonwa nyani ila wanavyoungangania uislamu acha kabisa

  • @abubakarrahim8482

    @abubakarrahim8482

    4 ай бұрын

    Wazanzibari si wabantu maana Jina la bantu alikuthibitika katika maeneo ya pwani ya zanzibar hadi mombasa lamu pate na kismayu barawa na mogadishu hawa niwa shungwaya ambao shina lao liko katika maeneo ya Burkavo kusini mwa somalia katika mpaka baina ya Somalia na kenya. Jina la bantu walibandikizwa na wazungu central afrika ikiwemo wakongo na nchi zao katika karne ya 18 na katika kipindi cha utumwa makabila mengi yalishuka kwa mchanganyiko na kuzaa makabila mengine kwenye hilo eneo la tanganyika ambalo leo ni Tanzania hao ndio waliokusudiwa kuitwa bantu na sio wazanzibari maana weusi wa wazanzibari hawakutokea magharibi Bali walitokea kusini mwa somalia huko shungwaya. Maelezo kiufupi

  • @reubenalfred9707
    @reubenalfred97074 ай бұрын

    Yaaani kuna watu wanampigia na makofi 😂😂😂😂 hizi dini zinabana akili za watu kufikili

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    4 ай бұрын

    yaani anadanganya ikulu ya magogoni wamejenga wanzanzibar wakati ile ikulu wamejenga wajerumani 🤣🤣🤣🤣.

  • @user-oy9ps1us2w
    @user-oy9ps1us2w4 ай бұрын

    Anawadanganya vichaa wenzie😂😂

  • @cleophaxgeremy2148
    @cleophaxgeremy21484 ай бұрын

    sasa dini na island ya zanzibar ni wapi na wapi,,😂😂😂infact Said Sayid he didn't bring Islamic in Africa,he came to grow crops like cloves....so muache history isiyokuwa na maana,,nyie semeni tu mnataka kueneza Uislamu basi

  • @vincentcharles4385

    @vincentcharles4385

    4 ай бұрын

    Labda wakaeneze chooni

  • @cleophaxgeremy2148

    @cleophaxgeremy2148

    4 ай бұрын

    Nashindwa na nyie mnaotoa sapoti kwa kuunga mkono,,yaaani ivi mmesahaau hao hao waarabu Ndio walikuwa wakuja Africa wanaachukua watu Africa wakienda kuuzia hao hao wenye mnawaita kafiri..hebu sometimes tuache Ujinga wa kupandikizwa mitandaoni jamani...Arabs brought slavery in African Countries..then Europeans came to stop slave trade...so Sheikh don't insult people in what they know is right,I wish ungekuwa Kenya iyo KZread channel Yako ingefungwa kitambo saaaan,coz it's like you want to bring war against religions..

  • @Worldunite
    @Worldunite4 ай бұрын

    Uko sawasawa wewe, nchi za Rwanda na Burundi zilikuwa mikoa midogo ya zanzibar??????? Hiyo znz ina ukubwa gani hadi ukajiamini kusema hayo???? Nakushauri kamuone mwanasaikolojia na ukasome historia, ETI NCHI ZA RWANDA NA BURUNDI ILIKUWA MIKOA MIDOGO? mnajiona mmetangulia kuelimika ehh???

  • @talibsaid8096
    @talibsaid80965 ай бұрын

    Uongo mtupu hatujawahi kusikia wazanzibari kukatwa mkono

  • @mbwanarajab7238

    @mbwanarajab7238

    5 ай бұрын

    Makafiri kazi yao ni kupinga ndio maana hamjui lolote hata kufanya krismas lkn hata haijaandikwa popote...mbumbumbu nyie, kaa usikilize somo likuingie ili upate mwanga

  • @talibsaid8096

    @talibsaid8096

    5 ай бұрын

    @@mbwanarajab7238 hakuna history hio

  • @ZINDUKAMUISILAMU30

    @ZINDUKAMUISILAMU30

    5 ай бұрын

    Tunasubir ukwel

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    5 ай бұрын

    Ikiwa watu wameuliwa washindwe kukatwa mikono ?Akili zenu zipo kwenye makalio mukinyanyuka tu na akili zinatoweka

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Wazaniba wanafanyiwa mkubwa kuliko kukatwa mkono wewe sio mzanzibari wewe ni muhaini mzandiki tokea 64 mpaka Leo madhila t kila baada ya miaka mitano kupigwa kubakwa kuvunjiwa nyumba kutekwa na mengi mengineyo wewe Nani iv unaweza kusema JUMA WA JUMA yuko wapi

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd5 ай бұрын

    Huyu anahubiri dini au historia?Hichi anachokisema hata babu yake hakijui.Kasoma wapi huyu aeneza uongo.Imendikwa wapi?

  • @chingaboy1149

    @chingaboy1149

    5 ай бұрын

    Nyinyi upande wapili hapendikuthikia ukweli wallai nimtihani huu emu amkeni

  • @muhamedkhatib4913

    @muhamedkhatib4913

    5 ай бұрын

    Umetafuta hicho kitabu ukakosa au ndo kwakuwa hujakiona ww ndo Hakuna yan wabongo wanawivu na wazanzibari hatarii

  • @muhamedkhatib4913

    @muhamedkhatib4913

    5 ай бұрын

    Na umejuwaje kama Babu yke haijui kama si uongo unasema acha chuki za kijinga zinazosababisha ushindwe kuelewa ukweli

  • @sondice3364

    @sondice3364

    5 ай бұрын

    hujielew wew

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Huenda ikawa wewe ni mzandiki baada ya yeye kua muongo maana daima ukweli hautakiwi, nikawaida ukweli hautakiwi, Haki na uadilifu, huenda ikawa wewe hujui hi ilirikodiwa lini

  • @user-rn7xc2ke2w
    @user-rn7xc2ke2w5 ай бұрын

    Mashallah

Келесі