TIZAMA MASHINDANO YA BOAT KILIMANJARO( 8) VS ZANZIBA(3) IPI INA SPEED

Ойын-сауық

#tundurutvonline #azammedia #azammerine#zanzibar #zanfastfery#zanin#dareskam#dartozanzibar#clouds #habarika #wasafi #wcb #itvlive #matukio #

Пікірлер: 63

  • @user-vh6hh6ul2h
    @user-vh6hh6ul2h2 ай бұрын

    Falcon anatembea na speed 35

  • @Lalaznation_609
    @Lalaznation_6095 ай бұрын

    Zan first ferry ✌🏻💯

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu13 күн бұрын

    Nataka ziondoke sawa sawa ndo hapo utajua boti ipi ina speed sio moja itangulie kwa madakika,

  • @user-zf8gn9xv8l
    @user-zf8gn9xv8l5 ай бұрын

    Mh mashindano kwenye atar mnazo kweli

  • @mrfauzy8226
    @mrfauzy82266 ай бұрын

    Umeshindanisha boat au mawimbi

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    Boss 🙄😆🤣🤣

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim26806 ай бұрын

    Ushamba tu! Unataja ushindani alafu ata hauonyeshi vipi mumeshindana

  • @nasibugunda7927

    @nasibugunda7927

    6 ай бұрын

    sio ushamba elewa tu kwamba hiyo boti ya bakhressa ni mpya inauwezo mkubwa sana kuliko hii aliyopanda huyu jamaa sasa imetembea zake hata kuiona hawaioni ndo maana unaona patupu

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75896 ай бұрын

    Zanzibar 3 Haina mpinzani

  • @utaani1
    @utaani16 ай бұрын

    Hii inaweza kilimanjaro inaweza mkondo wa Pemba

  • @user-qh4wx6pd6t
    @user-qh4wx6pd6t6 ай бұрын

    Ipi sio hipi

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    Ahsante kwa muongozo wa lugha

  • @omarzubeir3907
    @omarzubeir39075 ай бұрын

    Hapa inaonyesha wazi kuwa k8ndie mshindi kwakimya alichokionyesha mpiga camera

  • @IdirisaAli-wm1sv
    @IdirisaAli-wm1sv6 ай бұрын

    8 dume speed boat

  • @user-zh8ho8yj6b
    @user-zh8ho8yj6b3 ай бұрын

    Hakuna boti inayompiya k8 kwasasa imeletwa kwa ushindani tu iyo

  • @adamseif535
    @adamseif5352 ай бұрын

    Nyinyi mnasema tu znz 3 yaonesha hamuijui mwaisikiaa

  • @kitosio
    @kitosio5 ай бұрын

    Kwa zinazoenda Dar. Tatizo hawa Zanzibar 1 hawataki kuzipita boti za Bakhresa zama hizi sio kwasababu zinapitwa. Watamtia Aibu Bakhtesa. Uhalisia hizi Boti Kijani ni hatari sana

  • @tumaxaad

    @tumaxaad

    5 ай бұрын

    Habarini hakuna mashindano

  • @mosaidi2633
    @mosaidi26332 ай бұрын

    Tu nahitaji Pemba safari ya saa saa moja 1 tu

  • @IBRAYOGamesTZ
    @IBRAYOGamesTZ5 ай бұрын

    Kiuhalisia upo hivi Boat ya Zanzibar 3 haiyendi Dar bali Route yake Zanzibar to Pemba kisha inaenda Tanga afu inarudi Tena pemba ndipo inakuja Zake Zanzibar na Kilimanjaro 8 Route yake Zanzibar to Dar Dar to Zanzibar kama vile Zanzibar 1&2 pia Route Zake Zanzibar to Dar Dar to Zanzibar sas sijui wew Umepanda Zanzibar ipi apo

  • @saidseif7325
    @saidseif73256 ай бұрын

    Wanashindanisha vifo

  • @dudemussa6715
    @dudemussa67156 ай бұрын

    Haya, tumeona, nani ndiye mshindi? Amepewa kikombe chake?

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    Boss wangu 😂😂😂

  • @smilevideocreatorsznz
    @smilevideocreatorsznz6 ай бұрын

    Wacha ujinga wewe, ZANZIBAR hakuna mashindano ya boti

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji915 ай бұрын

    Nikiendesha mm gari za abiria mbio ningelikwisha kamatwa na kupelekwa polic. Zamanii. Tajiri kuchezea roho za abiria ruksa. Si ndio

  • @feisalboy6702

    @feisalboy6702

    5 ай бұрын

    Kbs kbs na Jambo hili ni la muda mrefu ss linafanywa lkn serikali wamelinyamazia kimya wakishaua watu ndio watakuja juu

  • @omarzubeir3907
    @omarzubeir39076 ай бұрын

    Ipi mbona mpiga camera hujatoa matokeo tukajua Nani kashinda

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    😀😀🙏Kaka

  • @hajikhatibhaji7162
    @hajikhatibhaji71625 ай бұрын

    Ndio nimeona kapita lkn pantonoli

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    5 ай бұрын

    🤣🤣🤣🙏💯

  • @hajikhatibhaji7162
    @hajikhatibhaji71625 ай бұрын

    Namaanisha pantoni

  • @BinBadru
    @BinBadru6 ай бұрын

    Kitaalamu k8 ni kubwa kwa injini na ni mpya na Bagharesa aliitengeza maalumu kwa kuishinda znz 1,2 na 3,na ndiomaana juu hakuweka deki,ina mwendo balaa,huyo znz atazipita azam k nyengine lkn sio k 8

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    Ahsante kwa ufafanuzi 🎉🎉🎉

  • @nasibugunda7927

    @nasibugunda7927

    6 ай бұрын

    aisee ndo maana kila nikiangalia naona patupu

  • @salumabdallah2990

    @salumabdallah2990

    6 ай бұрын

    Kashapigwa mara kibao ila kwenye znz 3 itowe maanaa hio hana mpinzani kwa mwendo

  • @denisrukangula2227

    @denisrukangula2227

    6 ай бұрын

    Mbona hata havionekan

  • @decodesuza6996
    @decodesuza699617 күн бұрын

    8 baba yenu mbwa ww

  • @omarkapula588
    @omarkapula5884 ай бұрын

    mzushi tu na jazba zake kila mmoja na safari yake ni mjinga tu

  • @mrafm7285
    @mrafm72856 ай бұрын

    Itabidi tuweke trafik na tochi baharini

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😅Mungu wangu trafk tena??? Na torch pia?? 🎉

  • @piterasifa3757
    @piterasifa37576 ай бұрын

    Yan wanae mfukuzia wala hana time nao et tunampita

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @salitosofo5561
    @salitosofo55616 ай бұрын

    Ww jamaa muongo yani boti zinatoka bongo kwenda bongo

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    🙄🙄🙄Bongo kwenda bongo kaka bongo hipi tena hii ya tanzania na zinakwenda bongo ya Congo???

  • @amourshadhil2005
    @amourshadhil20056 ай бұрын

    Kilimanjaro 8 Hana mpinzani mpk Sasa. Mpiga camera punguza ushabiki km betting hapo unaliwa

  • @user-eu6fm7sy7m

    @user-eu6fm7sy7m

    6 ай бұрын

    Ndio ni kweli kilimanjaro no8 ndio boat no1 unguja ya pili ni no7 halafu ndio zinafuata hizo zingine

  • @amourshadhil2005

    @amourshadhil2005

    6 ай бұрын

    @@user-eu6fm7sy7m mm boti zote nishapanda. Nafanya kazi Dar ijumaa narudi unguja j2 jioni naenda Dar kwaio hakuna yeyote Kwa usafir wa majini Kwa ruti za Dar-Znz Kilimanjaro 8 inatembea sana. Na nimepeleleza hali ya hewa ikiwa mbaya wale Zanzibar one ndio wanakwenda speed Azam wanakwenda kulingana na bahari ilivo. Yaani siku zote ikiwa mvua na bahari chafu Zanzibar one anafika mwanzo. Lkn ikiwa hakuna mvua. Hata km bahari chafu wanapitwa mara zote

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    Ahsante sana 🙏🙏🙏

  • @davidgerald1898

    @davidgerald1898

    6 ай бұрын

    Kwahio dar to zanzibar inatumia dk7 alizo rekodi

  • @muryd6999

    @muryd6999

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @omarkhamis3909
    @omarkhamis39096 ай бұрын

    Nyny furahini ila ikosiku mtakuja kilia kilio chambwa Koko mdomo juu

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    Kaka M. Munguatunusuru. Ila dar 🤣🤣🤣🤣😆😂🙄umenichekesha sana

  • @SleepyChocolateBonbons-ib6hv
    @SleepyChocolateBonbons-ib6hv5 ай бұрын

    Aaa useng sasa bn hatuon zinavyo fukuzan tunaon bahar t kuharian mb 2

  • @user-eu6fm7sy7m
    @user-eu6fm7sy7m6 ай бұрын

    Boat no1 kwasasa ni kilimanjar8 .haina mpinzani kwasasa

  • @amourshadhil2005

    @amourshadhil2005

    6 ай бұрын

    Muulize mbona hajatuonesha walivompita? 😅😅😅

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    ​@@amourshadhil2005😂😂😂😂

  • @jumas.sendekwa2788

    @jumas.sendekwa2788

    6 ай бұрын

    Last time tarehe 26 Dec nimetumia Kilimanjaro 8 na tulitumia lisaa na dakika 15

  • @kitosio

    @kitosio

    5 ай бұрын

    Inayoenda Pemba Zanzibar 3 kisha Kilimanjaro 8

  • @feisalboy6702

    @feisalboy6702

    5 ай бұрын

    Subirini wakishaua watu ndio mtajua km beto au romario na serikali Jambo hili wasilikalie kimya maana ni muda mrefu ss mchezo huu unafanyika

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza59456 ай бұрын

    Zanzibar 3 inakimbia lkn Kilimanjaro 8 ndo kiboko yao. ❤❤

  • @tunduruonlinetv

    @tunduruonlinetv

    6 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @omarzubeir3907
    @omarzubeir39075 ай бұрын

    Hapa inaonyesha wazi kuwa k8ndie mshindi kwakimya alichokionyesha mpiga camera

Келесі