Hadi Raha! Rais Samia alivyopanda meli na abiria Zanzibar kwenda Dar es Salaam
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Жүктеу.....
Пікірлер: 116
@saidmasoud2200 Жыл бұрын
Allah Kareem akupe Afya yaa Rabbi. Hongera Rais wetu.
@georgekimboka9821 Жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi wetu na Mama yetu mpendwa Tunakupenda sana
@prosperkullaya6721 Жыл бұрын
Mama rais wetu mungu amlinde yupo poa sana mama yetu mpaka rahaaa
@aymanjaribuni90293 ай бұрын
Maaashaallah الله يحفظك ويبارك فيك يااااااا امنا الكريمة
@mohamedchillo3654 Жыл бұрын
Hii ndiyo maana ya Rais wa watu ,safi sana mh Rais
@TheCvm229 Жыл бұрын
Serikali ikiamua ina uwezo mkubwa sana wa kupunguza matumizi ya viongozi na nchi ikasonga hata sisi wadogo tunapotoa kodi tunafurahia kosi zetu kuwa zinafanya mambo maendeleo na sio kutnisha maisha ya wachache. Sijajua ule mpango wa serikali walisema wataacha kununua v8 na badala yake viongozi wanaotaka kutembea na hizo V8 wakopenshwe zikatwe kweny mishahara yao, hili wazo lilifia wap
@brightnjau651 Жыл бұрын
nimependa hii jamani, all the best Mama President!!
@doreengomes3489 Жыл бұрын
⚘Mama Samia, I wish you and all on board a safe, pleasant and joyful journey. May God be with you all.💕💖
@Nufaila442 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Aendelee kukupa Umri mrefu Mama Tunakupenda sana
@jackgerald7338 Жыл бұрын
Uko Smart Mno Nakpenda Bure Rais Wang
@abubakarbinabdallah4102 Жыл бұрын
✌️Leo Nimekoment nimependa hii✌️
@husseinmuhammed285 Жыл бұрын
Mama Samia hongera sana
@daudysanga8492 Жыл бұрын
Mama kanikosha safi sana mungu aendelee kukupa afya njema
@meshackntoga1566 Жыл бұрын
Mungu awe Kiongozi wetu na Neema zake ziwepo ...
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
She is so nice to her citizen
@imelidamfikwa7954 Жыл бұрын
Asante Mh,Linunuliwe basi/mabasi ya kisasa kupunguza utitiri wa MV 8 uwapo ziara za kikazi nchini
@beatricepallangyo2821 Жыл бұрын
Safe Journey Mama!!!!!
@robbemanase9051 Жыл бұрын
Sijui maraisi wengine ila Rais Mwinyi ( Baba) alipokua madarakan amepanda sana hizo boats za kwenda na kurudi Znz.
@TamuzaKale
Жыл бұрын
Mwinyi Baba ni rais simpo hakuna mfanowe... Alichukua misingi mingi ya usimpo wa Nyerere. Hata utawala wake kulikuwa hakuna mashangingi. Hayo yalianza 2000 wakati wa Mkapa!
@sleyumomar3637 Жыл бұрын
Hongera sana
@saidmohd7240 Жыл бұрын
Hongera Mama Samia Kwa kuwaonesha Watanganyika Kama wewe Ni Mzanzibari! Na unaipenda Zenj yako na Utamaduni wako!
@mosimba467
Жыл бұрын
Mmeanza usenge wenu Sasa hv hua mnajiona nyie wadaraja la juu sana ubaguzi kwenu ni thawabu sio? Wafilipino wakubwa
@mirrykirungi2359
Жыл бұрын
@@mosimba467 hahahahahahahah nimefurai bure mo
@bahatimaganga1324
Жыл бұрын
@@mosimba467 yani hata makabila yao hawayajui alaf wanawabagua wa bara yani hayana akili haya mazwazwa
@dreamsuccess7187 Жыл бұрын
Nimeendelea kumpemda sana Mama huyu amenivutia sana, na hii nimetamani na Mimi nikienda huko nikae hapo alipokaa
@husseinkonz5192 Жыл бұрын
Mama safar njema
@vanessastafford6426 Жыл бұрын
Nampenda Sana huyu Mama. Na Raisi wangu
@alibaraka6699 Жыл бұрын
Let's say MASHAA ALLAH to my President
@sylvesterkwembe3686 Жыл бұрын
Superb!💪🇹🇿👍
@kidookidokazi1845 Жыл бұрын
Safar njema mama
@ngamanyajoshua839 Жыл бұрын
Inaonyesha kabisa watanzania Wamekubaliana na TOZO..maana si Kwa furaha hiyo
@harunashemsa1459
Жыл бұрын
Ndio tumekubaliana na tozo Ndio maana tunampenda mama yetu
@ngamanyajoshua839
Жыл бұрын
@@harunashemsa1459 ooh kumbe..basi sawa...
@petercharles7959 Жыл бұрын
Safi sana umeupiga Mwingi mno Mheshimiwa
@utaani16 ай бұрын
Masks za nini jamani munatembea hata kupumua vizuri hamuwezi
@mohdkhamis3857 Жыл бұрын
Dr.Hussen nae aende Pemba kwa Mapinduz aone Changamoto Na Raha ya kusafir kwa Meli ziendazo Pemba
Watanzania ndugu zangu ilikua hakuna rais dunia mzima kama magufuli lkn mama pia ako sawa mshikilieni vizuri musimpoteze watanzania hoyeeeee
@erastobemeye8314 Жыл бұрын
Abiria waliosafiri na Mama nadhani walikuwa over excited. Ni bahati ambayo na Mimi ningetamani niipate.
@nabilamohammed2137 Жыл бұрын
Save Travel
@ashasuleiman1464 Жыл бұрын
Good I dear mom. Love you🥰🥰🥰
@ignatusrogerslema8650 Жыл бұрын
kwangu mimi naona ni too risky kwa raisi kusafiri kwa boat..
@bajomba2010 Жыл бұрын
HONGERA MH RAIS! NI VIZURI KUONJA VIPI WANANCHI WAKO WANAPATA HUDUMA ZA VYOMBO VYA USAFIRI. SIKU NYENGINE APANDE VYOMBO VYA KWENDA PEMBA ! AONE PIA.
@simonmalegesi414 Жыл бұрын
👁️
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Saf sana naanza kumponda raisi huyu
@medimisi6930
Жыл бұрын
Hujaeleweka
@mussamussa952 Жыл бұрын
Ignatus inaonekana ungekuwa wewe hata hiyo ndege ungesema utafutiwe usafiri nzuri zaidi kuliko ndege kama upo. Ukisema too risk unamaana gani? Kama Rais unauhakika na unacho kifanya wasi wasi utatoka wapi?
@VicentZabron11 ай бұрын
Mmmmmh
@annakisiga889 Жыл бұрын
Anajizugisha lakin hakuna kitu hapo
@saeedal-awen2190 Жыл бұрын
Mama kama mama kwenye ubora wake
@farisomar1889 Жыл бұрын
Acha hashuwo usipoteze maskini muda wawo panda ndege Usha panda meli iweje ?
@omarifadhili651 Жыл бұрын
Kwani vp kawalipia nauli au anahimiza tozo tu
@fredrickmtei9140 Жыл бұрын
Na awalipie nauli sio anawaangalia Kama nyanya mbichi
@ruthyohana23 Жыл бұрын
Wakusifie wanao kusifia
@Mwarobaini Жыл бұрын
Tazama Misuko Mipya ya Kijanja ya Nywele, Bofya hapa chini kzread.info/dash/bejne/Y6tqudNuqbyaY7g.html
@tamrikznz7583 Жыл бұрын
KARIBU TENA NYUMBANI BI SHANGAZI
@annakisiga889 Жыл бұрын
Jpm.alikaa na watu yeye kakaa peke yake ndo kitu gan
@harunashemsa1459
Жыл бұрын
Kweli hasidi hakosi sababu
@jeniferjuma1209 Жыл бұрын
Aniseti
@saidasimba9979 Жыл бұрын
Haha mimi sikuelewi sijui wezangu
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Kwan apo ulipo na chato nauli bei gan
@zulfasuleimn4436
Жыл бұрын
Ww una roho mbaya mbwa we
@saidasimba9979
Жыл бұрын
@@zulfasuleimn4436 umeolewa lkn au ndo shankupe la kitaa
@josephmahando493 Жыл бұрын
Maigizo hayoooo! Labda kuna filam tena anacheza
@allysalehal-jaber4822
Жыл бұрын
Ww ni mkund@#$&&
@hassanhd6480
Жыл бұрын
Acha ufala
@josephmahando493
Жыл бұрын
@@allysalehal-jaber4822 akiri zako zimefikia hapo sikulaum
@josephmahando493
Жыл бұрын
@@hassanhd6480 akiri zako zimefikia hapo endelea na matusi
@minskbelarus7255
Жыл бұрын
@@josephmahando493 wewe unaishi KIBIRIGI au? Hakuna neno " AKIRI "
@saeedqaseem1283 Жыл бұрын
Mtu na kwao....... asili haimtupi mtu
@mwajumamilanzi9440 Жыл бұрын
Hao ni ndugu zake mbona uku hapand dalala 🤣
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
Hahahahaaa!! Duniani watu mna roho ngumu nyie, kwa kua Wazanzibar ndugu zake, haya iko siku atafanya kwa nyie marafiki zetu
@idrissamohamed1100
Жыл бұрын
Acha Ubaguzi Tanzania ni Yetu Sote
@minskbelarus7255
Жыл бұрын
Mwajuma...... hapandi Daladala kwa sababu ileee harufu inayotoka abiria akiinua Mkono........we acha tu 🤔🤔🤔🤔🤔
@minskbelarus7255
Жыл бұрын
@ABAI CHANNEL tuko pamoja
@kaayakitomary1233 Жыл бұрын
Angekaa huku zenj tuu tz hatumtak kabisa
@jambo3751
Жыл бұрын
TZ ndio wapi kwani?! Hiyo Z inawakilisha wapi? Yaani hilo jina la TANGANYIKA hulijui hata useme TZ!!!
@alisuleiman9627
Жыл бұрын
Wacha ubaguzi umepitwa na wakati huyu ni rais wa Tanzania mama hongera
@harunashemsa1459
Жыл бұрын
Kwani TZ ya babako? usiwaaminishe watu kua hatumpendi
@ednajeremiah928 Жыл бұрын
Jamani nifanyeje niwezi kupanga boti naogopa sana usafiri wa majini
@yusuphsalum1486
Жыл бұрын
Nitafute siku moja twende wote
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Kwanini unadhani unaogopa
@aminaally7622
Жыл бұрын
Wa mashetani je huogopi
@yusuphsalum1486
Жыл бұрын
Edna tutaenda wote Zanzibar kama uko tayari
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
@@yusuphsalum1486 mzee unamjua ? Kauliza afanyaje ili atoe uoga we wasistizia mwende ka yuko tayari mtu hata humjui duu
@warakawayohana2896 Жыл бұрын
Yeye apande tu tunamngoja 2025
@yamhashtheone8596
Жыл бұрын
Wewe útafanya nini pambana
@maryamalli9090
Жыл бұрын
Hana mpango wa kugombea kwa hivyo anaitumia chance yake sasa
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
Atagombea na hamna uwezo wa kumfanya chochote kile
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
@@maryamalli9090 Atagombea tu na atarudi kumaliza ngwe ya pili ilobakia
@maryamalli9090
Жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 hagombei tena huyu Kwanza umri umeshakwenda keshakua mtumzima tena apumzike tena
@OMANOman-qc1lm Жыл бұрын
raisi anapanda bot na abilia wengine yani poa kabisa alafu msani anakwambia nataka ndege nilinde heshima yangu wasani bwana😂😂chukueni mifano kwa ao mama zetu sio mbwembwe za kisani
Пікірлер: 116
Allah Kareem akupe Afya yaa Rabbi. Hongera Rais wetu.
Mwenyenzi Mungu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi wetu na Mama yetu mpendwa Tunakupenda sana
Mama rais wetu mungu amlinde yupo poa sana mama yetu mpaka rahaaa
Maaashaallah الله يحفظك ويبارك فيك يااااااا امنا الكريمة
Hii ndiyo maana ya Rais wa watu ,safi sana mh Rais
Serikali ikiamua ina uwezo mkubwa sana wa kupunguza matumizi ya viongozi na nchi ikasonga hata sisi wadogo tunapotoa kodi tunafurahia kosi zetu kuwa zinafanya mambo maendeleo na sio kutnisha maisha ya wachache. Sijajua ule mpango wa serikali walisema wataacha kununua v8 na badala yake viongozi wanaotaka kutembea na hizo V8 wakopenshwe zikatwe kweny mishahara yao, hili wazo lilifia wap
nimependa hii jamani, all the best Mama President!!
⚘Mama Samia, I wish you and all on board a safe, pleasant and joyful journey. May God be with you all.💕💖
Mwenyezi Mungu Aendelee kukupa Umri mrefu Mama Tunakupenda sana
Uko Smart Mno Nakpenda Bure Rais Wang
✌️Leo Nimekoment nimependa hii✌️
Mama Samia hongera sana
Mama kanikosha safi sana mungu aendelee kukupa afya njema
Mungu awe Kiongozi wetu na Neema zake ziwepo ...
She is so nice to her citizen
Asante Mh,Linunuliwe basi/mabasi ya kisasa kupunguza utitiri wa MV 8 uwapo ziara za kikazi nchini
Safe Journey Mama!!!!!
Sijui maraisi wengine ila Rais Mwinyi ( Baba) alipokua madarakan amepanda sana hizo boats za kwenda na kurudi Znz.
@TamuzaKale
Жыл бұрын
Mwinyi Baba ni rais simpo hakuna mfanowe... Alichukua misingi mingi ya usimpo wa Nyerere. Hata utawala wake kulikuwa hakuna mashangingi. Hayo yalianza 2000 wakati wa Mkapa!
Hongera sana
Hongera Mama Samia Kwa kuwaonesha Watanganyika Kama wewe Ni Mzanzibari! Na unaipenda Zenj yako na Utamaduni wako!
@mosimba467
Жыл бұрын
Mmeanza usenge wenu Sasa hv hua mnajiona nyie wadaraja la juu sana ubaguzi kwenu ni thawabu sio? Wafilipino wakubwa
@mirrykirungi2359
Жыл бұрын
@@mosimba467 hahahahahahahah nimefurai bure mo
@bahatimaganga1324
Жыл бұрын
@@mosimba467 yani hata makabila yao hawayajui alaf wanawabagua wa bara yani hayana akili haya mazwazwa
Nimeendelea kumpemda sana Mama huyu amenivutia sana, na hii nimetamani na Mimi nikienda huko nikae hapo alipokaa
Mama safar njema
Nampenda Sana huyu Mama. Na Raisi wangu
Let's say MASHAA ALLAH to my President
Superb!💪🇹🇿👍
Safar njema mama
Inaonyesha kabisa watanzania Wamekubaliana na TOZO..maana si Kwa furaha hiyo
@harunashemsa1459
Жыл бұрын
Ndio tumekubaliana na tozo Ndio maana tunampenda mama yetu
@ngamanyajoshua839
Жыл бұрын
@@harunashemsa1459 ooh kumbe..basi sawa...
Safi sana umeupiga Mwingi mno Mheshimiwa
Masks za nini jamani munatembea hata kupumua vizuri hamuwezi
Dr.Hussen nae aende Pemba kwa Mapinduz aone Changamoto Na Raha ya kusafir kwa Meli ziendazo Pemba
Anazingua huyo bibi kazi kuleta sanaa tu
@emmanuelathur3084
Жыл бұрын
We koma wew mbwa
@renatusmatungwa2508
Жыл бұрын
@@emmanuelathur3084 acha ushamba nikome kwani nimekutongoza mm?
It's Zanzibar ipround my country and mama samia
Watanzania ndugu zangu ilikua hakuna rais dunia mzima kama magufuli lkn mama pia ako sawa mshikilieni vizuri musimpoteze watanzania hoyeeeee
Abiria waliosafiri na Mama nadhani walikuwa over excited. Ni bahati ambayo na Mimi ningetamani niipate.
Save Travel
Good I dear mom. Love you🥰🥰🥰
kwangu mimi naona ni too risky kwa raisi kusafiri kwa boat..
HONGERA MH RAIS! NI VIZURI KUONJA VIPI WANANCHI WAKO WANAPATA HUDUMA ZA VYOMBO VYA USAFIRI. SIKU NYENGINE APANDE VYOMBO VYA KWENDA PEMBA ! AONE PIA.
👁️
Saf sana naanza kumponda raisi huyu
@medimisi6930
Жыл бұрын
Hujaeleweka
Ignatus inaonekana ungekuwa wewe hata hiyo ndege ungesema utafutiwe usafiri nzuri zaidi kuliko ndege kama upo. Ukisema too risk unamaana gani? Kama Rais unauhakika na unacho kifanya wasi wasi utatoka wapi?
Mmmmmh
Anajizugisha lakin hakuna kitu hapo
Mama kama mama kwenye ubora wake
Acha hashuwo usipoteze maskini muda wawo panda ndege Usha panda meli iweje ?
Kwani vp kawalipia nauli au anahimiza tozo tu
Na awalipie nauli sio anawaangalia Kama nyanya mbichi
Wakusifie wanao kusifia
Tazama Misuko Mipya ya Kijanja ya Nywele, Bofya hapa chini kzread.info/dash/bejne/Y6tqudNuqbyaY7g.html
KARIBU TENA NYUMBANI BI SHANGAZI
Jpm.alikaa na watu yeye kakaa peke yake ndo kitu gan
@harunashemsa1459
Жыл бұрын
Kweli hasidi hakosi sababu
Aniseti
Haha mimi sikuelewi sijui wezangu
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Kwan apo ulipo na chato nauli bei gan
@zulfasuleimn4436
Жыл бұрын
Ww una roho mbaya mbwa we
@saidasimba9979
Жыл бұрын
@@zulfasuleimn4436 umeolewa lkn au ndo shankupe la kitaa
Maigizo hayoooo! Labda kuna filam tena anacheza
@allysalehal-jaber4822
Жыл бұрын
Ww ni mkund@#$&&
@hassanhd6480
Жыл бұрын
Acha ufala
@josephmahando493
Жыл бұрын
@@allysalehal-jaber4822 akiri zako zimefikia hapo sikulaum
@josephmahando493
Жыл бұрын
@@hassanhd6480 akiri zako zimefikia hapo endelea na matusi
@minskbelarus7255
Жыл бұрын
@@josephmahando493 wewe unaishi KIBIRIGI au? Hakuna neno " AKIRI "
Mtu na kwao....... asili haimtupi mtu
Hao ni ndugu zake mbona uku hapand dalala 🤣
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
Hahahahaaa!! Duniani watu mna roho ngumu nyie, kwa kua Wazanzibar ndugu zake, haya iko siku atafanya kwa nyie marafiki zetu
@idrissamohamed1100
Жыл бұрын
Acha Ubaguzi Tanzania ni Yetu Sote
@minskbelarus7255
Жыл бұрын
Mwajuma...... hapandi Daladala kwa sababu ileee harufu inayotoka abiria akiinua Mkono........we acha tu 🤔🤔🤔🤔🤔
@minskbelarus7255
Жыл бұрын
@ABAI CHANNEL tuko pamoja
Angekaa huku zenj tuu tz hatumtak kabisa
@jambo3751
Жыл бұрын
TZ ndio wapi kwani?! Hiyo Z inawakilisha wapi? Yaani hilo jina la TANGANYIKA hulijui hata useme TZ!!!
@alisuleiman9627
Жыл бұрын
Wacha ubaguzi umepitwa na wakati huyu ni rais wa Tanzania mama hongera
@harunashemsa1459
Жыл бұрын
Kwani TZ ya babako? usiwaaminishe watu kua hatumpendi
Jamani nifanyeje niwezi kupanga boti naogopa sana usafiri wa majini
@yusuphsalum1486
Жыл бұрын
Nitafute siku moja twende wote
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Kwanini unadhani unaogopa
@aminaally7622
Жыл бұрын
Wa mashetani je huogopi
@yusuphsalum1486
Жыл бұрын
Edna tutaenda wote Zanzibar kama uko tayari
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
@@yusuphsalum1486 mzee unamjua ? Kauliza afanyaje ili atoe uoga we wasistizia mwende ka yuko tayari mtu hata humjui duu
Yeye apande tu tunamngoja 2025
@yamhashtheone8596
Жыл бұрын
Wewe útafanya nini pambana
@maryamalli9090
Жыл бұрын
Hana mpango wa kugombea kwa hivyo anaitumia chance yake sasa
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
Atagombea na hamna uwezo wa kumfanya chochote kile
@hasnuumakame9219
Жыл бұрын
@@maryamalli9090 Atagombea tu na atarudi kumaliza ngwe ya pili ilobakia
@maryamalli9090
Жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 hagombei tena huyu Kwanza umri umeshakwenda keshakua mtumzima tena apumzike tena
raisi anapanda bot na abilia wengine yani poa kabisa alafu msani anakwambia nataka ndege nilinde heshima yangu wasani bwana😂😂chukueni mifano kwa ao mama zetu sio mbwembwe za kisani