Hadi Raha! Rais Samia alivyopanda meli na abiria Zanzibar kwenda Dar es Salaam

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 116

  • @saidmasoud2200
    @saidmasoud2200 Жыл бұрын

    Allah Kareem akupe Afya yaa Rabbi. Hongera Rais wetu.

  • @georgekimboka9821
    @georgekimboka9821 Жыл бұрын

    Mwenyenzi Mungu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi wetu na Mama yetu mpendwa Tunakupenda sana

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 Жыл бұрын

    Mama rais wetu mungu amlinde yupo poa sana mama yetu mpaka rahaaa

  • @aymanjaribuni9029
    @aymanjaribuni90293 ай бұрын

    Maaashaallah الله يحفظك ويبارك فيك يااااااا امنا الكريمة

  • @mohamedchillo3654
    @mohamedchillo3654 Жыл бұрын

    Hii ndiyo maana ya Rais wa watu ,safi sana mh Rais

  • @TheCvm229
    @TheCvm229 Жыл бұрын

    Serikali ikiamua ina uwezo mkubwa sana wa kupunguza matumizi ya viongozi na nchi ikasonga hata sisi wadogo tunapotoa kodi tunafurahia kosi zetu kuwa zinafanya mambo maendeleo na sio kutnisha maisha ya wachache. Sijajua ule mpango wa serikali walisema wataacha kununua v8 na badala yake viongozi wanaotaka kutembea na hizo V8 wakopenshwe zikatwe kweny mishahara yao, hili wazo lilifia wap

  • @brightnjau651
    @brightnjau651 Жыл бұрын

    nimependa hii jamani, all the best Mama President!!

  • @doreengomes3489
    @doreengomes3489 Жыл бұрын

    ⚘Mama Samia, I wish you and all on board a safe, pleasant and joyful journey. May God be with you all.💕💖

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu Aendelee kukupa Umri mrefu Mama Tunakupenda sana

  • @jackgerald7338
    @jackgerald7338 Жыл бұрын

    Uko Smart Mno Nakpenda Bure Rais Wang

  • @abubakarbinabdallah4102
    @abubakarbinabdallah4102 Жыл бұрын

    ✌️Leo Nimekoment nimependa hii✌️

  • @husseinmuhammed285
    @husseinmuhammed285 Жыл бұрын

    Mama Samia hongera sana

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 Жыл бұрын

    Mama kanikosha safi sana mungu aendelee kukupa afya njema

  • @meshackntoga1566
    @meshackntoga1566 Жыл бұрын

    Mungu awe Kiongozi wetu na Neema zake ziwepo ...

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Жыл бұрын

    She is so nice to her citizen

  • @imelidamfikwa7954
    @imelidamfikwa7954 Жыл бұрын

    Asante Mh,Linunuliwe basi/mabasi ya kisasa kupunguza utitiri wa MV 8 uwapo ziara za kikazi nchini

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Жыл бұрын

    Safe Journey Mama!!!!!

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 Жыл бұрын

    Sijui maraisi wengine ila Rais Mwinyi ( Baba) alipokua madarakan amepanda sana hizo boats za kwenda na kurudi Znz.

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    Жыл бұрын

    Mwinyi Baba ni rais simpo hakuna mfanowe... Alichukua misingi mingi ya usimpo wa Nyerere. Hata utawala wake kulikuwa hakuna mashangingi. Hayo yalianza 2000 wakati wa Mkapa!

  • @sleyumomar3637
    @sleyumomar3637 Жыл бұрын

    Hongera sana

  • @saidmohd7240
    @saidmohd7240 Жыл бұрын

    Hongera Mama Samia Kwa kuwaonesha Watanganyika Kama wewe Ni Mzanzibari! Na unaipenda Zenj yako na Utamaduni wako!

  • @mosimba467

    @mosimba467

    Жыл бұрын

    Mmeanza usenge wenu Sasa hv hua mnajiona nyie wadaraja la juu sana ubaguzi kwenu ni thawabu sio? Wafilipino wakubwa

  • @mirrykirungi2359

    @mirrykirungi2359

    Жыл бұрын

    @@mosimba467 hahahahahahahah nimefurai bure mo

  • @bahatimaganga1324

    @bahatimaganga1324

    Жыл бұрын

    @@mosimba467 yani hata makabila yao hawayajui alaf wanawabagua wa bara yani hayana akili haya mazwazwa

  • @dreamsuccess7187
    @dreamsuccess7187 Жыл бұрын

    Nimeendelea kumpemda sana Mama huyu amenivutia sana, na hii nimetamani na Mimi nikienda huko nikae hapo alipokaa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Жыл бұрын

    Mama safar njema

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 Жыл бұрын

    Nampenda Sana huyu Mama. Na Raisi wangu

  • @alibaraka6699
    @alibaraka6699 Жыл бұрын

    Let's say MASHAA ALLAH to my President

  • @sylvesterkwembe3686
    @sylvesterkwembe3686 Жыл бұрын

    Superb!💪🇹🇿👍

  • @kidookidokazi1845
    @kidookidokazi1845 Жыл бұрын

    Safar njema mama

  • @ngamanyajoshua839
    @ngamanyajoshua839 Жыл бұрын

    Inaonyesha kabisa watanzania Wamekubaliana na TOZO..maana si Kwa furaha hiyo

  • @harunashemsa1459

    @harunashemsa1459

    Жыл бұрын

    Ndio tumekubaliana na tozo Ndio maana tunampenda mama yetu

  • @ngamanyajoshua839

    @ngamanyajoshua839

    Жыл бұрын

    @@harunashemsa1459 ooh kumbe..basi sawa...

  • @petercharles7959
    @petercharles7959 Жыл бұрын

    Safi sana umeupiga Mwingi mno Mheshimiwa

  • @utaani1
    @utaani16 ай бұрын

    Masks za nini jamani munatembea hata kupumua vizuri hamuwezi

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis3857 Жыл бұрын

    Dr.Hussen nae aende Pemba kwa Mapinduz aone Changamoto Na Raha ya kusafir kwa Meli ziendazo Pemba

  • @renatusmatungwa2508
    @renatusmatungwa2508 Жыл бұрын

    Anazingua huyo bibi kazi kuleta sanaa tu

  • @emmanuelathur3084

    @emmanuelathur3084

    Жыл бұрын

    We koma wew mbwa

  • @renatusmatungwa2508

    @renatusmatungwa2508

    Жыл бұрын

    @@emmanuelathur3084 acha ushamba nikome kwani nimekutongoza mm?

  • @khadijahassan5415
    @khadijahassan5415 Жыл бұрын

    It's Zanzibar ipround my country and mama samia

  • @abubakarbakari7042
    @abubakarbakari7042 Жыл бұрын

    Watanzania ndugu zangu ilikua hakuna rais dunia mzima kama magufuli lkn mama pia ako sawa mshikilieni vizuri musimpoteze watanzania hoyeeeee

  • @erastobemeye8314
    @erastobemeye8314 Жыл бұрын

    Abiria waliosafiri na Mama nadhani walikuwa over excited. Ni bahati ambayo na Mimi ningetamani niipate.

  • @nabilamohammed2137
    @nabilamohammed2137 Жыл бұрын

    Save Travel

  • @ashasuleiman1464
    @ashasuleiman1464 Жыл бұрын

    Good I dear mom. Love you🥰🥰🥰

  • @ignatusrogerslema8650
    @ignatusrogerslema8650 Жыл бұрын

    kwangu mimi naona ni too risky kwa raisi kusafiri kwa boat..

  • @bajomba2010
    @bajomba2010 Жыл бұрын

    HONGERA MH RAIS! NI VIZURI KUONJA VIPI WANANCHI WAKO WANAPATA HUDUMA ZA VYOMBO VYA USAFIRI. SIKU NYENGINE APANDE VYOMBO VYA KWENDA PEMBA ! AONE PIA.

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Жыл бұрын

    👁️

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Жыл бұрын

    Saf sana naanza kumponda raisi huyu

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    Жыл бұрын

    Hujaeleweka

  • @mussamussa952
    @mussamussa952 Жыл бұрын

    Ignatus inaonekana ungekuwa wewe hata hiyo ndege ungesema utafutiwe usafiri nzuri zaidi kuliko ndege kama upo. Ukisema too risk unamaana gani? Kama Rais unauhakika na unacho kifanya wasi wasi utatoka wapi?

  • @VicentZabron
    @VicentZabron11 ай бұрын

    Mmmmmh

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 Жыл бұрын

    Anajizugisha lakin hakuna kitu hapo

  • @saeedal-awen2190
    @saeedal-awen2190 Жыл бұрын

    Mama kama mama kwenye ubora wake

  • @farisomar1889
    @farisomar1889 Жыл бұрын

    Acha hashuwo usipoteze maskini muda wawo panda ndege Usha panda meli iweje ?

  • @omarifadhili651
    @omarifadhili651 Жыл бұрын

    Kwani vp kawalipia nauli au anahimiza tozo tu

  • @fredrickmtei9140
    @fredrickmtei9140 Жыл бұрын

    Na awalipie nauli sio anawaangalia Kama nyanya mbichi

  • @ruthyohana23
    @ruthyohana23 Жыл бұрын

    Wakusifie wanao kusifia

  • @Mwarobaini
    @Mwarobaini Жыл бұрын

    Tazama Misuko Mipya ya Kijanja ya Nywele, Bofya hapa chini kzread.info/dash/bejne/Y6tqudNuqbyaY7g.html

  • @tamrikznz7583
    @tamrikznz7583 Жыл бұрын

    KARIBU TENA NYUMBANI BI SHANGAZI

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 Жыл бұрын

    Jpm.alikaa na watu yeye kakaa peke yake ndo kitu gan

  • @harunashemsa1459

    @harunashemsa1459

    Жыл бұрын

    Kweli hasidi hakosi sababu

  • @jeniferjuma1209
    @jeniferjuma1209 Жыл бұрын

    Aniseti

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Жыл бұрын

    Haha mimi sikuelewi sijui wezangu

  • @sultansallah8772

    @sultansallah8772

    Жыл бұрын

    Kwan apo ulipo na chato nauli bei gan

  • @zulfasuleimn4436

    @zulfasuleimn4436

    Жыл бұрын

    Ww una roho mbaya mbwa we

  • @saidasimba9979

    @saidasimba9979

    Жыл бұрын

    @@zulfasuleimn4436 umeolewa lkn au ndo shankupe la kitaa

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 Жыл бұрын

    Maigizo hayoooo! Labda kuna filam tena anacheza

  • @allysalehal-jaber4822

    @allysalehal-jaber4822

    Жыл бұрын

    Ww ni mkund@#$&&

  • @hassanhd6480

    @hassanhd6480

    Жыл бұрын

    Acha ufala

  • @josephmahando493

    @josephmahando493

    Жыл бұрын

    @@allysalehal-jaber4822 akiri zako zimefikia hapo sikulaum

  • @josephmahando493

    @josephmahando493

    Жыл бұрын

    @@hassanhd6480 akiri zako zimefikia hapo endelea na matusi

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    Жыл бұрын

    @@josephmahando493 wewe unaishi KIBIRIGI au? Hakuna neno " AKIRI "

  • @saeedqaseem1283
    @saeedqaseem1283 Жыл бұрын

    Mtu na kwao....... asili haimtupi mtu

  • @mwajumamilanzi9440
    @mwajumamilanzi9440 Жыл бұрын

    Hao ni ndugu zake mbona uku hapand dalala 🤣

  • @hasnuumakame9219

    @hasnuumakame9219

    Жыл бұрын

    Hahahahaaa!! Duniani watu mna roho ngumu nyie, kwa kua Wazanzibar ndugu zake, haya iko siku atafanya kwa nyie marafiki zetu

  • @idrissamohamed1100

    @idrissamohamed1100

    Жыл бұрын

    Acha Ubaguzi Tanzania ni Yetu Sote

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    Жыл бұрын

    Mwajuma...... hapandi Daladala kwa sababu ileee harufu inayotoka abiria akiinua Mkono........we acha tu 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    Жыл бұрын

    @ABAI CHANNEL tuko pamoja

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 Жыл бұрын

    Angekaa huku zenj tuu tz hatumtak kabisa

  • @jambo3751

    @jambo3751

    Жыл бұрын

    TZ ndio wapi kwani?! Hiyo Z inawakilisha wapi? Yaani hilo jina la TANGANYIKA hulijui hata useme TZ!!!

  • @alisuleiman9627

    @alisuleiman9627

    Жыл бұрын

    Wacha ubaguzi umepitwa na wakati huyu ni rais wa Tanzania mama hongera

  • @harunashemsa1459

    @harunashemsa1459

    Жыл бұрын

    Kwani TZ ya babako? usiwaaminishe watu kua hatumpendi

  • @ednajeremiah928
    @ednajeremiah928 Жыл бұрын

    Jamani nifanyeje niwezi kupanga boti naogopa sana usafiri wa majini

  • @yusuphsalum1486

    @yusuphsalum1486

    Жыл бұрын

    Nitafute siku moja twende wote

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Kwanini unadhani unaogopa

  • @aminaally7622

    @aminaally7622

    Жыл бұрын

    Wa mashetani je huogopi

  • @yusuphsalum1486

    @yusuphsalum1486

    Жыл бұрын

    Edna tutaenda wote Zanzibar kama uko tayari

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    @@yusuphsalum1486 mzee unamjua ? Kauliza afanyaje ili atoe uoga we wasistizia mwende ka yuko tayari mtu hata humjui duu

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Жыл бұрын

    Yeye apande tu tunamngoja 2025

  • @yamhashtheone8596

    @yamhashtheone8596

    Жыл бұрын

    Wewe útafanya nini pambana

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    Жыл бұрын

    Hana mpango wa kugombea kwa hivyo anaitumia chance yake sasa

  • @hasnuumakame9219

    @hasnuumakame9219

    Жыл бұрын

    Atagombea na hamna uwezo wa kumfanya chochote kile

  • @hasnuumakame9219

    @hasnuumakame9219

    Жыл бұрын

    @@maryamalli9090 Atagombea tu na atarudi kumaliza ngwe ya pili ilobakia

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    Жыл бұрын

    @@hasnuumakame9219 hagombei tena huyu Kwanza umri umeshakwenda keshakua mtumzima tena apumzike tena

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Жыл бұрын

    raisi anapanda bot na abilia wengine yani poa kabisa alafu msani anakwambia nataka ndege nilinde heshima yangu wasani bwana😂😂chukueni mifano kwa ao mama zetu sio mbwembwe za kisani

Келесі