Waziri wa Mafuta wa Oman alivyolonga Kiswahili kama Mbongo IKULU
Unaweza kushtuka kidogo ukisikia Waziri wa Mafuta wa Oman kaongea Kiswahili fasaha tena bila kuchanganya lugha nyingine yoyote... yes, imetokea leo IKULU Dar es salaam baada ya kukutana na Rais Magufuli, tazama hii video umuone vizuri.
Video kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano IKULU.
Пікірлер: 940
Masha-Allah, KISWAHILI ya Oman ,Nchi za kama east Africa
Shukran sana kwa yale mumetuonesha kuhusu maendeleo ya undugu wa kibinadamu baina ya Oman na Aftika Mashariki. Allah abariki Afrika na aunganishe Wa Oman na ndugu zao wakuze umoja na wakuze pia lugha ya Kiswahili.
Niwajulishe 5:25 ndo inapoanzia 😂😂😂😂 afu nipe like
@juliusmrimi8632
4 жыл бұрын
Hahahha! Wizi mtupu uandishi😜😜😜
@amoskahinda6221
4 жыл бұрын
@@juliusmrimi8632 vp mbo hujalala
@amoskahinda6221
4 жыл бұрын
Thanks
@chaileeportraits
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@thebucketlist.
4 жыл бұрын
Umenisaidia kaka
As Kenyans,we lost a very sharp president. Intelligent.Hope Prof Wajahkoya will take it up where Maguvuli left
ALHAMDULILLAH . MPAKA RAHA ANAVYOZUNGUMZA. RAIS WETU HONGERA SANA. HUO NDO USHIRIKIANO TUNAOTAKA MZEE. DAH! BIG UP. HAPA KAZI TU.
Muarabu ndiye mtu pekee mwenye kuweza kukizungumza kiswahili vizuri kama kweli nipe like
@tatiya6883
4 жыл бұрын
Kwani wewe hujjasoma kua kiswahili kilitoka ndani yakiarabu hulijuwi hilo
@cypmkutubi3109
4 жыл бұрын
Hivi ni kweli Oman wanaongea Kiswahili bila kukulia hapa Tanzania!!
@festokinyogotojr3214
4 жыл бұрын
Uongo
asilimia 40 ya wa Oman wanaongea kiswahili. ni kama lugha yao ya pili, na sio lazima awe kakulia au kasoma tanzania
@zezezeze8408
4 жыл бұрын
mhm ni kidogo mm naona asilimia 70 maana mashaAllah kila uendapo wanaongea kiswahili
@yusufmohamed7161
4 жыл бұрын
Uko vizuri
@abchunabdi352
4 жыл бұрын
Mashaalah....
@abchunabdi352
4 жыл бұрын
Mashaalah....
@zakyahya4645
4 жыл бұрын
@@zezezeze8408 nikweli kabisa wengi sana
Tutakukumbuka daima baba kwabusara zako nauwezo wako mkubwa wakufikiria,,hakika niadimu sana kumpata kiongozi wa aina yako,,,mzalendo halisi may Allah keep your soul in a safe place father!!!!
Nakupenda sana rais wangu na waoman ni wenzetu kila hatua dua ln shaa Allah bagamoyo nyumbani asanteni sana kwa hilo
@saidvieira441
3 жыл бұрын
DAR ES SALAM NI MAENEO YA ZANZIBAR PAMOJA NA BWAGAMOYO.
I love Oman their nice people and generous as well I would like to visit Salalah it's very beautiful
@moussahabyarimana5983
4 жыл бұрын
kwa nini wa oman hawakarimu wa afrika wa tanzania kongo rwanda burundi kenya wenye asiri ya oman wenye wazazi wa asiri wa oman kwani ni?,?hawapewi VISA ya kwenda oman kama kwawo na kupewa kazi na watu hawo ni damu zawo hiyo ni dhuruma mimi nateteya wa cotara wa kyarabu wote haswa haswa wanawake
@zamzamabdi5279
4 жыл бұрын
Yes bro.ni kweli sana
@ukhtyalpha1344
4 жыл бұрын
Yes I have been there you really get the feeling of been in Arab country
@courtneywelch7108
4 жыл бұрын
True true
@shadyamohd4651
2 жыл бұрын
Me too
Hongera President Pombe Magufuli Nice investment to Tanzania! Watching from Nairobi Kenya.
Safi sana,Kiswahili safi Mwarabu wangu,tujengeeni hizo kitu kizuri,hizo Brbr mwachieni mwenyewe JPM ameziweza na anafanya vizuri,tunataka kitu kipya cha tofauti Dodoma ambacho kitatambulisha JIJI letu Kimataifa.!!
@nfbdbxbxbdb2902
4 жыл бұрын
mashaallah inapendezaa saana wekezeni mtuinue karibuni saaana ✋👏👏👏
@Ysule
Жыл бұрын
Kiswahili safi kwasababu anatoka zanzibar na kazaliwa Pemba
Let's proud Tanzania!! Swahili spread world widely i real like it. Nakupenda Tanzania naipenda lugha yangu
@ahmedzahor2975
3 жыл бұрын
Hawa watu wengine una coment kitu hata nchi yenyewe unaisikia jina tu eti Tz ilimu bora mara kumi kuliko Oman first oll oll uliza mazingira ya Oman Maisha na Schooll zake hizo skuli za serikal yaani bure mwanafunzi hanunui kitabu wala buku anakuja kuchukuliwa kwao kwa gari ya serikali bure Skuli bora hakuna anae ksa chini skuli full kiyoyozi wewe umekaa kijijini huendi pahala ushamba umekujaa Chuki zimeingia katika nafsi yako kusema usicho kijua
@andrewnyamwaro5174
Жыл бұрын
Swahili is not Tanzanian language.
There’s something special happening inside of me when I see Arabs speaking our language, Kiswahili 🙏🏽
@deejean344
3 жыл бұрын
Kiswahili is Arabic + Bantu languages so🙄🤔🤷🏾♂️🤷🏾♂️
@mwanafalsafa3613
3 жыл бұрын
Yes of course the master is calling his slave
@salumkanju1732
2 жыл бұрын
Nakumbukaga fom6 kumbe nilikuwa sahihi San kukana kwamba kiswahil sio kibantu Bali ni kiarabu leo najipongeza
@tttthundercatttt
2 жыл бұрын
@@mwanafalsafa3613 🤣🤣🤣 These female living in ignorance, learn history!!!
@bayombejean3959
2 жыл бұрын
@@salumkanju1732 kiswahili ni kiarabu pamoja na lugha za kibantu
Mashallahu .oman hoyeee mungu awape fahamu nzuri
Hahah et" Barabara lenye hadhi ya Mfalme" Anko mjanja sana. Saf sana kaz nzuri ase
@ssmithsaid3483
3 жыл бұрын
Mwanzo ilikuwa ni nchi moja kihistoriya mfalme alie awala omani mji mkuu wa omani ilikuwa ni zanzibar
Mashaghala wenzangu ambao tupo Oman gonga like tujuane
@nasrashaame467
3 жыл бұрын
Kwahaya manyanyaso au
@soniasamir7260
3 жыл бұрын
Vip
Not surprised cause, well, we all know the history of swahili.
MASHALLAH... Inshallah kher.. For all We Plan T.z.... vs Oman #Makufulii Atheka tu
Hongera kubwa kwenyu TZ na OMAN
Siwashangai wahawatu oman mwengi wanaongea kiswahili 💞💞💞
@Ysule
Жыл бұрын
Yeah ni kweli na huyo waziri kwao alipozaliwa ni Pemba
Aweee Mimi nimekataa huyo ni mtanzania kabsaa sio kwa kiswahili icho🤗
Maashallah mungu afanye wepesi
Wow. Respect!!!!! Flawless Kiswahili
Huyo waziri ni miongoni mwa waliosoma shule ya Uweleni Pemba miaka hiyo usishangae kuzungumza kiswahili.. Na maeneo mengi Huko Oman utakutana na watu wanaotoka Zanzibar, ndo ukawaona wengi wanapenda kuja kutembea Zanzibar hata kama alizaliwa kule. Atajua kiswahili mwenye kutaka.
Pole sana mfalume wa Oman kaondoka duniyani. Rip. 😭
Hahahaha, safi me President. Mwaga sound watatuelewa tuu.....
Ni ushirikiano mzuri baina ya Tanzania na Oman Keep it really
Wa oman Ndio waliosherehesha kiswahili Afrika mashariki.
@sturbbornvideoz8547
3 жыл бұрын
Hujiulizi kiswahili kilitoka wapi
MashaAllah mzee barakat magufuli hoye
@hawaamohammed6687
4 жыл бұрын
Oyeeeeeee?!!!!!!
tulipo oman tujuane na kiswahili chetu mic arabic
@moussahabyarimana5983
4 жыл бұрын
oman ifanye wanawake wa oman wa olewe afrika na wa cotara wa afrika wa olewe oman nawanayoka wanitumiye number za simu ama jina la fcbk instagrame niwatafutiye ma bwana
@khadijahomankweliyamjahaya7421
4 жыл бұрын
Tupo sana tu
@Edo272
4 жыл бұрын
Duh
@lightnessmungaya3280
4 жыл бұрын
Mmmmmmmh nipo nao hapa Tanzania nawafanyia kazi zandani , mmmmmh kuolewa hawaowi wanachezea tuuu ,
@reyrio279
4 жыл бұрын
Msijidanganye kuolewa Oman Tanzania inajipeleka wenyewe kufanywa watumwa wa oman kwakazi zandani kama nyie mnataka kua ndugu acheni kuomba kufanya kazi za ndani oman
Mungu akulinde rais mzuri zaidi dunia nzima
Friendship between TZ an Oman seems to be very nice 🙂 More likes to you
@dalvinwinda4873
3 жыл бұрын
Sexy body
Kama uko Oman gonga like hapa chini
Maashallh .( itakuwavinzuri pia mkizungumzia swala lawatumishiwenu jinsimnavoishi nao majumbani,,,
Heri nyinyi watanzania,,, sisi wakenya uongozi ambao uko kwa mamlaka,,,, tushatiwa maji bdo kuzaa tuu,,,, big up rais,,,, kwetu bdo mikopo ya kichina twakopa tuu ushoga mtupu dah,,,,, Mola atusaidie jameni
Huyu amezaliwa pemba ni jamaa yangu huyo.
@zulfikakalumba1977
3 жыл бұрын
Hahaha
@saidalkhusaibi6066
3 жыл бұрын
Kuna wengi wamezaliwa Oman wanazungumza kiswahili sio sababu ni jamaa yako au kazaliwa TZ, pia kuna walio zaliwa TZ na hawajui kiswahili hapa Oman
Hili lijamaa limekinyoosha kiswahili kumzidi Pombe!
@solomonadams6337
4 жыл бұрын
true sayin king huyo ni mzinjibar aliyezaliwa katika kisiwa cha pemba sawa?
@mariamichael6134
4 жыл бұрын
Nyie vipi jamaan kwan mmeulizwa heeee nashangaaa haya mabishano ya zenji na Tanzania cjui veep😏😏
@abdulwahidmsellem1964
4 жыл бұрын
Mariam michael hapo panangelewa jinc wa2 wanavoelewa hapaongelewi uzenji na u Tanzania
@mariamichael6134
4 жыл бұрын
@@abdulwahidmsellem1964 soma comments vzur za solomon uone na kuna wa Tz nao wanabishana hapo sasa cjui ndio inakuaje cpendag mini😏😏😏
@abdulwahidmsellem1964
4 жыл бұрын
Kisha 2nagombna cc kwa cc how come m friends
Mungu akufufue hata sikumoja eemungu tenda huo muujiza
Huyo waziri kazaliwa kisiwani Pemba na kapata elimu mpaka secondar kisiwani Pemba na hata Sultan wao Qabus ni mzaliwa wa Pemba sisi waPemba hatushangai hapo
@geoegedonard8548
4 жыл бұрын
Kasoma wete huyu alikua anapenda sana kushinda micheweni kwa shehe amour
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Ujinga tu!!!
@deepsea2141
4 жыл бұрын
Qaboos alizaliwa Salalah, Oman. Wacha ujinga. Nyerere aliwanyima elimu
@olaolacocacola9242
4 жыл бұрын
Deep Sea Alizaliwa Pemba na wazazi wa Qaboos walihama kisiwani Pemba Qaboos akiwa mdogo wa uchanga na kuhamia Salalah ambako Wazanzibari wengi wamehamia na kuishi
@deepsea2141
4 жыл бұрын
@@olaolacocacola9242 ndivyo ulivyodanganywa na wapemba wenzako.
Najivunia kuwa mzungumzaji wa lugha ya kiswahili
oman pia wanaongea kiswahili bwana mushishangae sana watanzania
@niaanthony9588
6 жыл бұрын
Was Qwe tupo nao huku wanaongea sana tu ila wanajifanya kuwa niaibu kwao kuzungumza kiswahil
@asadisse5012
6 жыл бұрын
NIA ANTHONY p
Gud kwa nice kiswahili
Hongera sana viongozi wetu
Appreciated this video Mr Millard ayo coz i was with him in Zanzibar this person from Oman. I do like that.
@aklanhassan2917
4 жыл бұрын
Acha mbwembwe wee
@ntabashwaamos2816
4 жыл бұрын
Mbona kiswahili sanifu kama mtanzania hongera sana mshikaji
Tunapoongelea international relationships hatuachi nyuma kipengele cha lugha, Mtukufu Mfalme hawezi kuchagua mwakilishi yeyote yeyote tu, anachagua mtu mwenye sifa stahiki kulingana na mahali anapokwenda...Lugha(mawasiliano) ni kipengele muhimu katika kujenga uhusiano wa kimataifa...
@yayalefarmtv2165
6 жыл бұрын
umesema kweli
@hisanmwakijungu10
3 жыл бұрын
Mdogo wangu wew ni genus hongera sana
Woow MashaAllah kiswahili imenyokaaaaa. hongera Oman
@dalvinwinda4873
3 жыл бұрын
Wasema Nini wewe Sasa nkt
Tunashukuru sana kutemberewa nawangeni mbali mbali
Oman kwetu namagufuri hodari sana kweli kabasi oman tutafaidi nyamafreshi❤❤❤❤👍👍👍👍
Very interesting, both countries should be keen to promote good relationship as well investment opportunities for the benefit of their countries and their peoples 💐
Woooow shukran maghuful nikweli maduka hata yachakula ya africa huku oman yanauza sana halaf ghali kulko vitu va hapa oman
@abdulshellah8975
4 жыл бұрын
Je hiyo ni kweli?
I like the speech ✌️🇹🇿 🇴🇲
Karibun maana tu nafuraha ya nyie kuliko wazungu wezi
@ukhtyalpha1344
4 жыл бұрын
Wanafik wakubwa nyie ndumi la kuwili hamna haya
@justinejulius3544
4 жыл бұрын
@@ukhtyalpha1344 Hamna unafiki swaiba. Dunia ya sasa inahitaji ushirikiano, ukiringa utabakia na gesi yako na mafuta yako, alafu nawao watabakia na pesa zao. Mwisho wasiku wote mtakosa. UKUMBUKE TECHNOLOGY INAKIMBIA VIBAYA. MUDA SI MREF WATU WATAACHA GESI WATATUMIA MAGARI YA UMEME, TRENI ZA UMEME. GESI NA MAFUTA TUTAACHANA NAZO. .Just a wake up call
@africanchocolate4216
4 жыл бұрын
Nayyar Ahmed “Wazanzibari ni wachoyo, ubaguzi wa Wazanzibari una tokana na uchoyo, ubinafsi, wivu, chuki, uzembe na uvivu!
@africanchocolate4216
4 жыл бұрын
Nayyar Ahmed “Mimi ninaye kuambia ni Mzanzibari sawa! Una elewa? Bara matajiri sana, wana madini yote kama dhahabu, almasi, shaba, chuma, zink, ruby, silver = fedha, urenium ya kutengeneza nuclea, Gas ⛽️, oil = mafuta, mbuga kubwa nyingi zenye wanyama wengi sana kuliko sehemu yoyote hapa duniani, ardhi yenye rutuba na vyakula vingi sana mpaka vyakula vingine wana peleka kuwa saidia nchi za jirani, vivutio vya kitalii vingi sana, mlima Kilimanjaro ambao ni mrefu kuliko milima yote barani Africa, kabila 162 na hakuna ubaguzi, Wazanzibari, Waarabu, Wahindi, Wazungu, Wachina, na mataifa mengi yapo bara wakiishi raha mustarehe bila ubaguzi, milima na mabonde mazuri, maziwa na mito ya kupendeza! Zanzibar tuna vinyani vidogo pale Jozani Forest na karafuu tu kule Pemba, lakini tuna ubaguzi na uchoyo wa ajabu! Je, tunge kuwa na mali na utajiri kama bara inge kuwaje? 🤷🏽♂️🙄”
Prezzo Magofulu l like your speech unaongea vizuri siyo ya maporomoko
Thnx Magu
Sisi Zanzibar mnatuambia tutaletewa waarabu kwaio tusikubali mbona nyinyi tanganyiki mnawapokea na kuwakaribisha namnasema nindugu wadamu hasa baunayenu na Oman inakuaje
@hilalyhashim2194
4 жыл бұрын
Acha ubaguzi huo
@jumaaally220
4 жыл бұрын
Hakika leo wao wanaunga udugu
@fatmasuleiman5242
4 жыл бұрын
Mashaallah yaasalaam
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Hamchelewi kujilipua nyie ndio maana bora apokelewe na Tanzania na sio huko visiwani. MNA ubaguzi pia dhidi ya wengine ndio maana mnafuatiliwa msilete madhara sana kwa taifa zima.
@ukhtyalpha1344
4 жыл бұрын
Naam kweli ati ata hawana haya kutwaa wahalabu Wahalabu machotara machotara haaaaa mnajidai ni ndugu kweli kwa vyao ni ndugu zenu khabithi alamal nyie
Safi sana, soon tutakuwa matajir tz
@Masta313
6 жыл бұрын
Saumu Hassan kwakweli
@activestudios.
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
Tunashukuru siso sote Africa Mashariki, hapa Kenya!
Haya ni maendeleo. Proud of you my president.
Muwe makini na mikataba ya ardhi pamoja na mikataba ya madini na mafuta pamoja na gas. Kwa manufaa ya vizazi vyetu isije ikawa kama south Africa walifvyokuwa wakiporwa ardhi kwa ajili ya kilimo kama sababu.
@adilimssusa8232
4 жыл бұрын
Sio kwa uoga wetu haiwezi kuwa kama south afrika milele
@matingo-bk1248
4 жыл бұрын
Magu mtu makini hawezi kusahini mkataba wa ajabu ndio maana akaanza kuipitia mikataba iliyopita amepitisha panga
@hawaamohammed6687
4 жыл бұрын
,Apolwiiii mtuhapaaa Magufuriii yupomakini wanamfuataaaa Magufuli tofautiiii waliopita
@dothomwandaliw4057
3 жыл бұрын
Wewe. Unayemuona mjinga nanii hapo? Jpm. Yupo makini namikataba ndugu hanaujinga huo
Nivizuri watanzania kuacha kwenda kufanya kazi za ndani Oman kama mnataka kua ndugu maana kazi zandani ni ribo ya utumwa
@Zainab-sq1tc
3 жыл бұрын
Sanaaa kama wanataka hvyo wa2pe pesa nyingi bhc
safi sana Oman 🇴🇲😍😍😍😍
Maashaallah
Mimi sishangai kwa kua Kiarabu na kiswahili ni kama kitu kimoja so kwa Muarabu kuongea Kiswahili Sio shida kabisa
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Maingo Maulidi. Muarabu wa Omani hajui kiswahili. Lbda awe alikaa yy au mzee wake znz
@salehkaroa2366
5 жыл бұрын
hata kama ila tangya mdogo kakulia pemba na kasoma pemba
@sawbaa6332
4 жыл бұрын
@@salehkaroa2366 kamba
Kwao ni Pemba uyo wazir
@OmarAli-bq9ey
3 жыл бұрын
Bodigadi wa mfalame wa omani ni mpemba
@saidalkhusaibi6066
3 жыл бұрын
Kwao ni Oman, Pemba kazaliwa tu, kwani ukizaliwa USA basi kwenu ni huko
Nataman waj na kwetu Burundi kujenga barabara jmn wa Tz hongeren
Hata mm nawapenda wa Oman karibu I Sana Tanzania mjisikie km mko nyumbani
jamani mnashangaa kuzungumza kiswahil wa omani wote asili yao ni pemba
@zainabkawambwa8146
4 жыл бұрын
Woman acri yao pemba au walikuja 2 pemba ucdanganye bhana wa acri ya wapemba ni wamakonde kabla ya kuzaliana na waarabu
@fatemaligalawa4151
4 жыл бұрын
@@zainabkawambwa8146 kwani Pemba au Unguja
@halinishihalinitokimoyoni8302
4 жыл бұрын
@@fatemaligalawa4151 pemba na unguja ni kama oman nyanya yangu alizaliwa pemba
@maikhan1580
4 жыл бұрын
@@zainabkawambwa8146 kweli
@lucasmhagama8166
4 жыл бұрын
Asili yao sio Pemba ila walikuja Pemba unakwama wapi wewe
Hahah safi sana ah sante rais wetu ao ni ndugu zetu kabisa hahah bahat nzur makamo wa raisi ndugu zake wako oman ndio asili ya watu wa visiwah mchanganiko
Mbona kawaida tu watu wa oman kiswahili wanajua sana tena 85% wanajua kiswahili Wala usitetemeke kwa Hilo ....
ماشا الله
Nimpemba gani hajui kiswahili. kwani hamjui km omani asiliyake niwapemba?
@alikarisa6156
4 жыл бұрын
Wapembaa ndioo asili Yao n oman..si unavosema
hao wazaliwa wa zanzibar sio ajabu kuongea KISWAHILI-HUSBU SIO HAWA
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Asili ya kiswahili kimetokana na Quruani kwaiyo lazima wajuwe nandiyo wao wanaongea kiswahili chenyewe
@nauhattz8226
3 жыл бұрын
Sio kweli
Bruh 🙌🙌
Oman na Zanzibar ndio wenyewe history moja na sio Tanganyika mnayoipa jina la Tanzania
Mheshimiwa wa raisi kwann watanzania wasingekuwa wanaingia bila visa😓😓
Mashaallah,,
@faridafarida4314
4 жыл бұрын
Mashaalah
@abdallanuhu4236
4 жыл бұрын
Huyo alizaliwa Pemba sehemu inayo itwa shumba vyamboni pia akasoma skuli ya uweleni Mkoani. Aliondoka MTU mzima akiwa anaendesha magari
@azizimuhibu7771
4 жыл бұрын
@@abdallanuhu4236 sawa
@azizimuhibu7771
4 жыл бұрын
@@faridafarida4314 naam
Mashaalah
Ana lafudhi nzuri tu nakubaliana Na wanahistoria wanaposema maneno mengi ya Kiswahili ni ya kiarabu.
Anaongea kiswahili kizuri kuliko wakenya
@Elohim2
3 жыл бұрын
Lol! Wacha zako wewe! 🤣 lakini kweli
@juliusjones8353
3 жыл бұрын
Wakenya wa bara lakini wakenya wapwani kiswahili kipo nyumbani hapa
kiswahil kimetokana na kiarab nasi wazir tu mfalme mwenyewe anaongea
@eradmdage8504
6 жыл бұрын
Dullah Kader sio kweli, thibitisha??
@hassanomarhassan4734
4 жыл бұрын
Nikweli usimkatalie hebu angalia maneno meng ya kiarab yamo kweny lugh ya kiswahili
@hassanomarhassan4734
4 жыл бұрын
Uyo wazir amesoma Pemba shule ya uweleni
@sevelinimatonya1990
4 жыл бұрын
@@hassanomarhassan4734 huyo wazr kasoma zanzibar
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@eradmdage8504 Acha ubish huku tu aishi nao wanaongea kiswahili
Mashallah hata sisi twarudi kwetu oman
Ana asili ya Zanzibar
Elimu yake kasomea zanzibar
@masoudmasoud8138
4 жыл бұрын
Sikasoma tu huyo mpemba mzaliwa
Wameitawala Zanzibar miaka 300 lazima wajue kiswahili fasaha.
@feiz3180
5 жыл бұрын
hawajatawala zanzibar. Hebu tusomeni historia vizuri.
nice millard kazi nzuri bu joseph siwale mbeya
Oman speaking swahili...NICE
Mashallah Kiswahili kisafi cha Mombasa mjini jamani
@olaolacocacola9242
4 жыл бұрын
huyu waziri kazaliwa Pemba na kasoma hadi secondar kisiwani Pemba
@mariamichael6134
4 жыл бұрын
@@olaolacocacola9242 🙄😏😏😏 umeulizwa
@abdulwahidmsellem1964
4 жыл бұрын
Nikweli kazaliwa Pemba,kaulizwa vip nwy wakt kila mtu anatoa comment zake wacha ushamba uwo we dada
@abdulwahidmsellem1964
4 жыл бұрын
Bwana wanguee!vipi na ww uwe mwanamke wanguu
@olaolacocacola9242
4 жыл бұрын
Maria michael hata jibu langu halikuhusu ww,kwani ww ndio Jacqueline Rayamu?niliemjibu amepata faida na hata ww pia umepata faida ya kujua kwahio acha kukurupuka kinyege nyege,naongezea jengine Unguja,Pemba,Mombasa,Ukanda wa pwani wote wa Tanganyika,Kisimayuu hadi maeneo ya Kongo yote ilikua ni ZENJ EMPIRE na ndiomana sehemu kubwa ya maeneo nilioyataja kiswahili chao kinafanana na hata muingiliano na mchanganyiko wao ni mkubwa
Cmon guyz it ain't a shock dat he can speak swahili probbably himself he's from tanzania
Waoòooo
Usishangae kuona kiswahili ktk watu wa oman ni watu walioishi zanzibar na wanaendelea na huyo waziri unaemshangaa kuongea kiswahili amezaliwa zanzibar kasoma zanzibar..
Kiswahili kitukuzwe
Tuliopo Oman tujuane kupitia like
@salmaoriginaloriginal6478
4 жыл бұрын
2pooo
@fatemaligalawa4151
4 жыл бұрын
Rustaq,Alalayah
@hildababyabdullah5627
4 жыл бұрын
Tupo
@masoudmahmoud5255
4 жыл бұрын
ssalaam
Wajenge uwanja mzuri Wa mpira vingine tutafanya michezo ni Muhimu hatuna viwanja vyenye hadhi ya kidunia
Tanzania Na Oman Nindugu... Tunaomba Rais Bas Sisi Tulio kuwa omani Watuongezee Mshaara Basi Jmn...
Ungemuweka huyo waziri tu, hao wengine sio lazima
Huyu kwanza yuwazungumza Sheng sio kiswahili.. Labda mzaliwa WA Nairobi kama mimi tu.. Lol
@hamadrashid9828
4 жыл бұрын
Huyo kazaliwa Pemba halafu watu was Pemba wengi wao Ni wa mombasa
@idaaman7489
4 жыл бұрын
Amezaliwa pemba mkoani ,but zanzibarian are mix btn arabs and swahili
Kiswahili cha waziri wa Oman ni kiswahili cha Mombasa kabsa...,Zanzibar,Pemba n Mombasa history yao ni moja..Sayyid said na wa Oman wenzake walipokuja Africa,walitua na kuishi katika sehemu izi...wakajamiiana na ata kuowana na watu wa pwani izi ambao ni Bantus...ndo lugha ya kiswahili ikaebuka
Waooh...m happy huyu waziri kuongea Swahili...m a Kenyan though I love tz
Duh! Huyu mwarabu wa Pemba siyo omani
@freshtiff1265
4 жыл бұрын
Abraham Balamba uko sahihi