Alhamdulillah angalau na sisi tumeekewa boti. Mana kwa miaka mingi haipo. Sijui sisi tunaonekana hatuna pesa?? Ila Allah kafanya wepesi.
@ZINDUKAMUISILAMU30
8 ай бұрын
Hhhhh
@dousamrashid668 ай бұрын
Myama aina ya chita anapita sogea😂😂
@salimasalim4058 ай бұрын
Jmn mnatuchokoza wa pemba eee 😂 ndizi na kuku tunapakia kwa silink😂😂😂
@haswatv5304
8 ай бұрын
Haahahahah
@salumabdallah2990
8 ай бұрын
Unamaaana gani
@YoungAtop8 ай бұрын
Hii py ni Dar es Salaam ama au?
@bahatiisaimbega88-md1mw8 ай бұрын
vip na tanga jamani
@haswatv5304
8 ай бұрын
Imeshaanza safar tayar tanga unguja
@dondallas66838 ай бұрын
Wapemba wnacheka tu apo ila humo hupandi na ndizi wala kuku
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hahahha utapanda nao hahah
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
Zingadumbukia hizo simu hashuo likaisha😂
@gozikongwe2778
8 ай бұрын
Hashuo? Kwa dhiki ya usafiri tuliyo nayo lazima wakijitokeza wenye nia ya kuwekeza kwenye sekta hii lazima tuhehuke kwa furaha. Wewe hupo ati umbali. Waitaka Pemba kutoka Dar wafika kesho.
@yohana1242
8 ай бұрын
Midomo yenu ndo nukisi zenu
@seifhabib59878 ай бұрын
Ningeshauri Waruhusu kuchukua kuku mwisho 2 tu ila wavalishwe Pampas tu
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hahahha niache mie
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
Ya abiria au ya uvuvi?
@Muhsmart
8 ай бұрын
Uvuvi hii
@SANJA06938 ай бұрын
mafia au
@haswatv5304
8 ай бұрын
Mringe hahahha
@ZINDUKAMUISILAMU308 ай бұрын
Hako kaboti hakayumbi?
@Muhsmart8 ай бұрын
Natamani sana hii boat iwe inatoka asubuhi toka Zanzibar kuja dar ili zchuane na kilimanjaro 8
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hahaha
@salumabdallah2990
8 ай бұрын
Jana kilima njaro 8 imepigwa na hio😂😂😂😂
@mohamednas42628 ай бұрын
Inaenda Pemba pia?
@salwasuleiman3525
8 ай бұрын
Ndio
@Mweya-878 ай бұрын
Madame maelezo zaidi tafadhali, imeanza kuja huko mafia ama?
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hapana ni ya Zanzibar
@Mweya-87
8 ай бұрын
@@haswatv5304 vema
@user-mz5ot2ii1y8 ай бұрын
Bei bei gani kutoka unguja mapaka tanga
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hapana sina hakika
@mwanakomboali3264
6 ай бұрын
Alfu 55 inatoka unguja 12:30 asubuh inafika Pemba saa tatu ,,saa nne inaingia tanga
Пікірлер: 33
Alhamdulillah angalau na sisi tumeekewa boti. Mana kwa miaka mingi haipo. Sijui sisi tunaonekana hatuna pesa?? Ila Allah kafanya wepesi.
@ZINDUKAMUISILAMU30
8 ай бұрын
Hhhhh
Myama aina ya chita anapita sogea😂😂
Jmn mnatuchokoza wa pemba eee 😂 ndizi na kuku tunapakia kwa silink😂😂😂
@haswatv5304
8 ай бұрын
Haahahahah
@salumabdallah2990
8 ай бұрын
Unamaaana gani
Hii py ni Dar es Salaam ama au?
vip na tanga jamani
@haswatv5304
8 ай бұрын
Imeshaanza safar tayar tanga unguja
Wapemba wnacheka tu apo ila humo hupandi na ndizi wala kuku
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hahahha utapanda nao hahah
Zingadumbukia hizo simu hashuo likaisha😂
@gozikongwe2778
8 ай бұрын
Hashuo? Kwa dhiki ya usafiri tuliyo nayo lazima wakijitokeza wenye nia ya kuwekeza kwenye sekta hii lazima tuhehuke kwa furaha. Wewe hupo ati umbali. Waitaka Pemba kutoka Dar wafika kesho.
@yohana1242
8 ай бұрын
Midomo yenu ndo nukisi zenu
Ningeshauri Waruhusu kuchukua kuku mwisho 2 tu ila wavalishwe Pampas tu
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hahahha niache mie
Ya abiria au ya uvuvi?
@Muhsmart
8 ай бұрын
Uvuvi hii
mafia au
@haswatv5304
8 ай бұрын
Mringe hahahha
Hako kaboti hakayumbi?
Natamani sana hii boat iwe inatoka asubuhi toka Zanzibar kuja dar ili zchuane na kilimanjaro 8
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hahaha
@salumabdallah2990
8 ай бұрын
Jana kilima njaro 8 imepigwa na hio😂😂😂😂
Inaenda Pemba pia?
@salwasuleiman3525
8 ай бұрын
Ndio
Madame maelezo zaidi tafadhali, imeanza kuja huko mafia ama?
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hapana ni ya Zanzibar
@Mweya-87
8 ай бұрын
@@haswatv5304 vema
Bei bei gani kutoka unguja mapaka tanga
@haswatv5304
8 ай бұрын
Hapana sina hakika
@mwanakomboali3264
6 ай бұрын
Alfu 55 inatoka unguja 12:30 asubuh inafika Pemba saa tatu ,,saa nne inaingia tanga
@haswatv5304
6 ай бұрын
@@mwanakomboali3264 balaa na nusu