IFAHAMU MV.VICTORIA ILIVYOKUWA NA SASA INAVYORUDI KATIKA UPYA WAKE
Жүктеу.....
Пікірлер: 31
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Safi sana, viva JPM, Mungu ibariki Tanzania
@hussainomar18494 жыл бұрын
KILA BINAADAMU ANA MEMA NA MABAYA ILA HUYU JAMAA MAMBO ANAYOYAFANYA YANALENGA MOJA KWA MOJA KATIKA JAMII NA MAENDELEO YANASONGA MBELE.
@marconzilankoma75814 жыл бұрын
Mungu ibaraki Tanzania na watu wake Nawatakia kila la kheri Mari TV mafundi wote na wengine Mungu mbariki Rais wetu JPM 🇹🇿
@lucytibe77904 жыл бұрын
mtangazaji uko vizuri
@chrisssky944 жыл бұрын
Hongereni sanaaa sana
@victorrugarabamu23724 жыл бұрын
Big up sana
@mohamedomar40374 жыл бұрын
Ushauri wangu ni kwamba tusiangalie tu upande moja tufufue Meli zote zinazofanya kazi kwenye maziwa yote yaani ziwa Victoria Tanganyika na Nyasa pamoja na Meli zinazofanya kazi Bahari ya Hindi yaani Dar Zanzaibar na Kilwa
@abbyjustine79064 жыл бұрын
Mnaosimamia meli hizi msimamie mapato ipasavyo maana tunaitaji trion moja kutoka sekta ya uchukuzi tu mwaka huu kama gawio..
@mhogomchungu71684 жыл бұрын
usipompa kura yako Magufuli wewe utakua mchawi na adui wa maendeleo yetu.
@rasheedmsigwa46124 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏
@patrickmbogo78054 жыл бұрын
Safi aya ndyo mambo yanayo takiwa
@majidmasud69604 жыл бұрын
Shomari
@saidmatola80154 жыл бұрын
😇😇😇
@vitarismujuni68894 жыл бұрын
Amaqer ktk biblia kuna neno linasema;" Huzuni ni afazali kulikokicheko". Mm nasikitika sana hv qnn awamu zilizopita zilikua haziyakumbukii maswala km haya aliyo yatekeleza jembe wetu from chato, akili zao zilikuwa wap had kufikia uongozi wao?
@saimonmanyerezi7169
4 жыл бұрын
Tunatofautiana sana,ndio maana inatakiwa tumng'ang'anie jembe kwa kumuongezea muda,watu wahivi ni nadra kuwapata.Huu ndio ukweli.
@vitarismujuni6889
4 жыл бұрын
@@saimonmanyerezi7169 yr kbsa
@lucassalvatory7251
4 жыл бұрын
Wangefikiria hivo saa ngapi wakati walikuwa wanapanga mipango ya kuiba mali za umma
@lucytibe7790
4 жыл бұрын
huyu raisi akitoka itapita vizazi vingi sana ili kupata rais mwingine kama huyu.
@michaelsiweya6500
4 жыл бұрын
Walithamini matumbo yao.. Wala hawakuwa na wivu wa maendeleo. Walikuwa wanazunguka duniani wakijionea maendeleo ya wenzetu. Lakini waliporudi Tz nyumbani kwao msimamo ni mmoja tu.. Tuwaibie watz.. Nchi watakuja kuijenga wajukuu zetu.. Tunamshukuru Mungu kwa huu ujasiri alio nao Magufuli.. Anaivusha Tanzania
@muhsinsalum23054 жыл бұрын
Jamani hata vyuma navyo niviumbe
@edydio35564 жыл бұрын
Kwel rais anania ya kuijenga nchi
@kamalofanuel81204 жыл бұрын
Msije mkahujumu tena maana mtz kwa wizi
@eyezarc12394 жыл бұрын
Meli Tv badilikeni basi, Kwann msibadilishe jina??, why hadi leo tutumie jina la kikoloni??, Au mpka aseme mheshimiwa rais??..., ipeni jina la kuzalendo mfano MV mirambo etc etc....
@kampuniyahudumazameli-mscl5245
4 жыл бұрын
Tumepokea Mkuu..
@rusakanyohenry6932
4 жыл бұрын
Kwani MV VICTORIA ni jina kikoloni. Si limesimama kama jina la ziwa victoria
@mohamedomar4037
4 жыл бұрын
EyeZ Arc 123 huina haja ya kubadilisha jina Kama ni kubadilisha kitu hata Patrick au Paulo au Elizabeth nimajinana ya kikoloni
@mtakimjinja23284 жыл бұрын
Mv. Butiama iko wapi?
@user-wc9zg6hk5s
4 жыл бұрын
TANZANIA TANZANIA KUNA UTAJIRI MKUBWAAA SANA WAMEENYONYA SANA KWA MIRIJA HAHA JP MUNGU AKUBARIKI SANA
@betinagedion46994 жыл бұрын
Chuma na siment wap na wap
@zabronnkoy49084 жыл бұрын
Kwa nn wasiikarabati hao hao waingereza walioiunda ?
Пікірлер: 31
Safi sana, viva JPM, Mungu ibariki Tanzania
KILA BINAADAMU ANA MEMA NA MABAYA ILA HUYU JAMAA MAMBO ANAYOYAFANYA YANALENGA MOJA KWA MOJA KATIKA JAMII NA MAENDELEO YANASONGA MBELE.
Mungu ibaraki Tanzania na watu wake Nawatakia kila la kheri Mari TV mafundi wote na wengine Mungu mbariki Rais wetu JPM 🇹🇿
mtangazaji uko vizuri
Hongereni sanaaa sana
Big up sana
Ushauri wangu ni kwamba tusiangalie tu upande moja tufufue Meli zote zinazofanya kazi kwenye maziwa yote yaani ziwa Victoria Tanganyika na Nyasa pamoja na Meli zinazofanya kazi Bahari ya Hindi yaani Dar Zanzaibar na Kilwa
Mnaosimamia meli hizi msimamie mapato ipasavyo maana tunaitaji trion moja kutoka sekta ya uchukuzi tu mwaka huu kama gawio..
usipompa kura yako Magufuli wewe utakua mchawi na adui wa maendeleo yetu.
👏👏👏👏👏👏
Safi aya ndyo mambo yanayo takiwa
Shomari
😇😇😇
Amaqer ktk biblia kuna neno linasema;" Huzuni ni afazali kulikokicheko". Mm nasikitika sana hv qnn awamu zilizopita zilikua haziyakumbukii maswala km haya aliyo yatekeleza jembe wetu from chato, akili zao zilikuwa wap had kufikia uongozi wao?
@saimonmanyerezi7169
4 жыл бұрын
Tunatofautiana sana,ndio maana inatakiwa tumng'ang'anie jembe kwa kumuongezea muda,watu wahivi ni nadra kuwapata.Huu ndio ukweli.
@vitarismujuni6889
4 жыл бұрын
@@saimonmanyerezi7169 yr kbsa
@lucassalvatory7251
4 жыл бұрын
Wangefikiria hivo saa ngapi wakati walikuwa wanapanga mipango ya kuiba mali za umma
@lucytibe7790
4 жыл бұрын
huyu raisi akitoka itapita vizazi vingi sana ili kupata rais mwingine kama huyu.
@michaelsiweya6500
4 жыл бұрын
Walithamini matumbo yao.. Wala hawakuwa na wivu wa maendeleo. Walikuwa wanazunguka duniani wakijionea maendeleo ya wenzetu. Lakini waliporudi Tz nyumbani kwao msimamo ni mmoja tu.. Tuwaibie watz.. Nchi watakuja kuijenga wajukuu zetu.. Tunamshukuru Mungu kwa huu ujasiri alio nao Magufuli.. Anaivusha Tanzania
Jamani hata vyuma navyo niviumbe
Kwel rais anania ya kuijenga nchi
Msije mkahujumu tena maana mtz kwa wizi
Meli Tv badilikeni basi, Kwann msibadilishe jina??, why hadi leo tutumie jina la kikoloni??, Au mpka aseme mheshimiwa rais??..., ipeni jina la kuzalendo mfano MV mirambo etc etc....
@kampuniyahudumazameli-mscl5245
4 жыл бұрын
Tumepokea Mkuu..
@rusakanyohenry6932
4 жыл бұрын
Kwani MV VICTORIA ni jina kikoloni. Si limesimama kama jina la ziwa victoria
@mohamedomar4037
4 жыл бұрын
EyeZ Arc 123 huina haja ya kubadilisha jina Kama ni kubadilisha kitu hata Patrick au Paulo au Elizabeth nimajinana ya kikoloni
Mv. Butiama iko wapi?
@user-wc9zg6hk5s
4 жыл бұрын
TANZANIA TANZANIA KUNA UTAJIRI MKUBWAAA SANA WAMEENYONYA SANA KWA MIRIJA HAHA JP MUNGU AKUBARIKI SANA
Chuma na siment wap na wap
Kwa nn wasiikarabati hao hao waingereza walioiunda ?