MELI KUBWA KAMA VIWANJA VIWILI VYA MPIRA YATINGA BANDARI DSM
Ujenzi wa eneo la Bandari gati namba 0 ambalo Rais John Magufuli aliweka jiwe la msingi umekamilika ambapo Meli kubwa zimeanza kuingia ikiwemo yenye urefu wa Mita 200 ambazo sawa na viwanja viwili vya Mpira wa Miguu.
Пікірлер: 96
Kumbe kila kitu kilikua kinawezekana, dah walio ingoza nchi miaka ya nyuma watakua na mapesa mengi yetu waliotuibia, hee Mungu mpe maisha maredu DR JPM kwa kazi nzuri👊🏻
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
Sherypha Mwenevalley inaezekana ndio...maana jamaa sera zake ni tofaut na wengn sera za jamaa ni mambo ya usafirishaji kama ndege na meli....wengn kama kimwete walikua wanaajiri sana na kodi zilikua ni ndogo sana tofaut na sasa hv.
@godfreymbwambo4460
4 жыл бұрын
@@johnmogella9798 WEWE ACHA USANII KWA SABABU HAKUNA KITU TULICHOSIKIA KWAMBA JPM ALIPANDISHA KODI BAADA YA KUINGIA MADARAKANI!! SANA SANA JPM ALIWAAMBIA WAFANYABIASHARA WALIPE KODI KULINGANA NA SHERIA INAVYOTAKA!!! ANGALIA MAKODI WA WAKULIMA KIPINDI CHA JK YALIYOFUTWA NA JPM!!!
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
godfrey mbwambo ebu tizama sasa hv kila mahala kodi zmepanda .kuanzia mitandaoni.wafanyabiashara wadg wadg lazm uwe na ktambulisho hata kam unabiashara ya mchicha....mishahara haipandi cku hz...wala hakuna ajira mpya.....ndo maana nilisema sera znatofautiana kikwete angesema asiajir angeweza kununua cos mishahara ya watu syo mchezo ni mabilioni ya pesa.
@sheryphamwenevalley6124
4 жыл бұрын
@@johnmogella9798 nikwambie kitu tatizo ss tulizoea umagumashi nchi zite zinazoendelea.ni kwa kulipa kodi ona ss mambo yavyoenda, hai waliopita wanapitisha mali zao bila kodi na huzo kodi zinazopatikana wanachukua wao hakuna barabara hisptl ndege meli usafiri wa serikali hakuna treni hakuna, wanachifanya kununu mabasi yako na kufanya biashara, mbona ss tatizo la maji limepungu sana umeme upo ukweli waliopita si waungwana hata kidogo wameiua nchi kupita maelezo tumshukuru sana muheshimiwa Magu hakika mzalendo nchi lilikua ovyoovyo hebu ona nchi inavyopendeza, tujiulize pesa za kununua ndege meli kwa.muda mfupu katoa wapi hapo ndio ujue wametufilisi mpaka basi je muda walikaa hizo awamu 3 kumtoa baba wa taifa angekua Magu kwa miaka 30 tungekua zaidi ya nchi zilizoendelea
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
Sherypha Mwenevalley me nmekuelewa vzr pia ni kwel jamaa anafany vzr.but life la kitaa limekua gumu sana labd litapungua kama akianza kuajir mzunguko wa ela utakuw mkubwa
2020 kura yangu magu we chukua' sasa nifiche ya nn uongozi unaujua. Mungu atulindie raisi wetu
Hapa kazi tu 🙌
Yote yawezekana kwa Yesu na kwa JPM
Sawaa si mwingine ni mh magufuli wabeja mayoo wabejaa sanaaaa
Kweli hapa Kaz tu
This is my country
JPM wa moto sana Jembe Toka Chato
MUNGU ibariki tanzania.....juhudi kubwa za serikali ya awamu ya tano hongera Mheshimiwa rais wa wanyonge
Nyc congrats Tz
Hakika mung nimwem yarab mpe afiA nj em rais we2 mwakn py atuongoze🤲🙏👏 honger sn tunashukur mung kwakutuinua
Endelea kubisha, Haina shida maadam NCHI inakwenda haisumbui, maadam na wew unapta kamuda kakulala bas tunapumua
@issackjoseph6436
4 жыл бұрын
😂😂😂🤣
Hapa na bei za Magari zitapungua #Good job
Good job
Hivi kodi zetu zilikuwa zinatumika wapi? Mbona miaka minne tumefanya makubwa sana? Naomba majibu
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
baden bensoni kuajiri sana sana....sasa magu hanaga hayo mambo.
@didimhutila8985
4 жыл бұрын
Ulikuwa hulipi kodi serekalini, mafisi tu.
@veryfunny1601
4 жыл бұрын
Kwani mahakama ya mafisadi, bado haijamtia hata mtu mmoja hatiani?
@samrufingo5336
4 жыл бұрын
Tumeibiwa sana
Nakupenda Sana Raisi Wang
Tz on fire ! Watasemezana tu , My Congratulations to Jpm tz
Dah now naipenda nchi yangu, hatimaye mabadiliko tunaona
magafuri oyeeeee
Hapana kazi tu
Safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa . Mambo mazuri ?
Ok baadae ntaaaa
Kazi nzuri
Ile ndoto ya kuwa na nchi ya ahadi soon inakamilika
RORO
👍👍
L toka lini ilikua R ? Duh!!!! Meli meri!!!!
GIMME A MINUTE,SIO KUA WAMENUNUA MELI,KUMBE WAMEJENGA GUT YA KUPOKEA MELI!!!SAFI LAKINI
Magu ataendelea kuwa juu me naona bora 2020 uchaguz uwe wa wabunge na madiwani tu🤔🤔🤔🤔🤔
duuuuuh bk 6 Nomaaaaaaa
Acheni ufala .rais tumempata safi Mzee wetu.lkni hatuna ela tujaze mapesa mifukoni
@kazimilanzi112
4 жыл бұрын
Work harder
REFUSHA NA KUNENEPESHA UUME NDANI YA WIKI MOJA TU KWA NJIA ZA ASILI ZISIZOKUWA NA MADHARA BOFYA HAPO CHINI KUANGALIA kzread.info/dash/bejne/c41kqtyzqqawaLA.html kzread.info/dash/bejne/c41kqtyzqqawaLA.html kzread.info/dash/bejne/c41kqtyzqqawaLA.html
me siwez kupanda hii
@richardtv8339
4 жыл бұрын
Ukifia Japan tu😂😂
Oyoooooooo
Mita 320 n sawa na viwanja vya mpira 3 au???
@amospoti3766
4 жыл бұрын
Meli n mita 200 gati (parking) mita miatatu ishirin
@geofreymilinga2965
4 жыл бұрын
Iyo siyo yetu Mmemsikia vizuli hapo Msikilizeni vizuli ndipo mutapata majibu kama Niyetu au siyo yetu mbona Musiba mungemskia tu
@geofreymilinga2965
4 жыл бұрын
Magufuli alichokifanya hapo Nikutengeneza kiwanja cha kuweza kupaki meli kubwa ambazo zilikuwa zinashindwa kufika kwasababu paking yake aikwepo Iyo nikampuni kubwa sana yakusafilisha mizigo toka nje wezetu wakenya walipata pakingi ya zaidi ya iyo meli ndiomana umesikia hapo imetokea Kenya humo mwote inapita kushusha mizigo mbali mbali mfano Tanzania Rwanda Burundi Uganda Bado atuna kiwanja cha ndege kinachoweza kuimili ndege kubwa Kenya wezetu wanavyo South afrika pia wanavyo Tanzania kwa mwendo wa Jpm tutajenga tu mbaka vyakutuwa na Roketi
@ktravel3527
4 жыл бұрын
@@geofreymilinga2965 kweli mpka roket zitatua😂😂😂
@richardtv8339
4 жыл бұрын
Millard kandika vwanja viwili!!
*MAITI YAFUFUKA BAADA YA MKE KUOZESHWA KWA NDUGU TIZAMA HAPA* kzread.info/dash/bejne/p3p50cGcfbPcgNY.html
Sawaa si mwingine ni mh magufuli wabeja mayoo wabejaa sanaaaa
@brysonnicholaus5369
4 жыл бұрын
tena sana jpm 2020
Hivi kodi zetu zilikuwa zinatumika wapi? Mbona miaka minne tumefanya makubwa sana? Naomba majibu
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
baden bensoni kodi zilikua zinaajiri wananchi na wanaomaliza vyuo....
@emmanuelmkeba7901
4 жыл бұрын
@@johnmogella9798 Huna unalolijuwa basi tolea ufafanuzi na hao watumishi hewa pumbavu mkubwa watu tuna hasira unaleta upumbavu nyang'au unaambiwa miaka zaidi ya 50 ya Uhuru zitazidiwaje na miaka minne ya uongozi wa JPM? Yeye amewezaje wengine walishindwaje kweli wanajionaje na familia zao bora wasiseme walikuwa viongozi walijali matumbo kuliko Taifa Mungu atatuvusha salama ipo siku utamkumbuka JPM kama wachina wanavyomkumbuka Mao
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
Emmanuel Mkeba ndo maan sera znatofautiana.ww ulishaona magu anajili?je mtaani maisha yapoje?sema sera znatofautiana huyu jamaa amebase sana kwenye mambo ya ndege na meli...lakin maisha yamezd kua magumu na hata mzunguko wa hela umebanwa
@godfreymbwambo4460
4 жыл бұрын
@@johnmogella9798 KWA HIYO WALE WAGONJWA AMBAO WALIKUWA WANALALA PALE MUHIMBILI KWENYE MAVI NA MIKOJO KIPINDI CHA JK NDIYO MAISHA YALIKUWA MAZURI??? HAKUNA KIPINDI AMBACHO MAISHA YALIKUWA MAZURI KTK NCHI!!!
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
godfrey mbwambo compare bro.maisha ya sasa hv na ya jk upi uafadhali??jk alikua anawez akaajir watu 20000 kwa mara moj...ila magu anaajiri wakizd sana 4000 kwa mara moja...kwa iyo sera znatofautiana