Boti Yenye kasi zaidi Tanzania Yawasili Dar es salaam itatumia dakika 70 safari ya Zanzibar na Dar
Жүктеу.....
Пікірлер: 113
@zainabujuma1231 Жыл бұрын
Huduma zenu nzuri ira punguzeni mwendo Mana Maji hayana ufundi tafadhari
@hassanalawy43254 жыл бұрын
Alhamdulilah Mkombozi kaja,,,,Bakhresa anazingua au wafanyakazi wanamuangusha
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
Anazingua yeye wafanyakazi hawana mamlaka
@thabitbakari6733
3 жыл бұрын
Sio maneno mazuri hayo kaka kabla ya hii, ulikua ukipanda boti ipi, haifai kutoa kauli Kama hiyo, Islam din hairuhusu kusemeana mabaya.
@nassorhaji26373 жыл бұрын
Daaah maashaallah Allah awaazidishie mafanikio mtuletee boti zaidi ya 4 ili kuwepo na punguzo la nauli huyu ndugu yetu Bakhresa anatukwamisha Wazanzibari wenzake
@kebo21554 жыл бұрын
Duh hizi neema si kawaida.. Mashaallah.. 🇹🇿💯💯
@hishamally4846
4 жыл бұрын
Mijitu mengine bwana haina hata maneno mazuri eti huu mwendo balaa ndiyo nini sasa kusema maneno machafu semeni maneno mazuri kama ni mimi mwenye chombo huna kazi tena
@felistamaembe48953 жыл бұрын
Haya ndio maendeleo ya karne ya 21. Sio kutuletea treni zilizotumika India 1960.
@osamaosama36414 жыл бұрын
Zan alete bot nne ili huyo. Mpinzani wake apunguze kutulazimisha tiketi za 35000 ukitaka tiket ya 25000 uje kesho kwa siku hiyo hupati sio kama hazipo wanazificha kusudi
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
Hahhaaahhaa umeona eeee
@alimaali4604
4 жыл бұрын
Kama umejua vile wanakela kweli hao eanaficha tiketi za 25000
@hajimakame3788
4 жыл бұрын
Alhamdulilah Mungu muwenza bakharesa alikuwa anatukomowa has a ukitokea huko Dar esalam hawaeshi kupandisha nauli Ishaalla kwa uwezo was Mwenyezi Mungu akupe nguvu uzidi kutuletea nyengine Aamin
@thabitbakari67333 жыл бұрын
Azam marine wako safe, wanafuata Sheria na kukimbia sio maana ya safari, safari haitakiwi mbio
@newslive92534 жыл бұрын
Du hii nomaa
@Didah-hf4pw4 жыл бұрын
Mwendo kasi si mzuri wazee watashindwa huwo mwendo
@mohamedkhalif205
4 жыл бұрын
Didah wetu habari
@mohamedkhalif205
4 жыл бұрын
Number yako ya simu
@moshirajabu5148
4 жыл бұрын
Mamb
@chondecannibal6108
4 жыл бұрын
Flying horse ipo wapande
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
@@chondecannibal6108 etiii mwendo wa kobe
@raskatili54313 жыл бұрын
Bei yake shilingi ngapi?
@salumkanju17324 жыл бұрын
Nauli Bei gan dsm to Zanzibar? Mje na tanga jaman
@peterjeremiah2220 Жыл бұрын
Haha ikowazi braza
@babawawili31394 жыл бұрын
Mashallah
@peterjeremiah2220 Жыл бұрын
Hataree
@bundukitv13223 жыл бұрын
Karibuni katika channel yangu BUNDUKI TV kwa mikasa ya kusisimua.
@kherzanini84044 жыл бұрын
Ipo saw
@fahadmohammed61004 жыл бұрын
Serikali mpeni turki eneo ajenge parking yke..tuepuke fitina
@abuunihla92294 жыл бұрын
Maashallah
@shabaniabdi2963
4 жыл бұрын
Abuu Nihla .
@udiauto28194 жыл бұрын
Mashallah Zanzibar 1
@nurosinane9432
4 жыл бұрын
Udi Auto yea
@jp.productionpasho6893
4 жыл бұрын
Duu
@takdirmahmoud4 жыл бұрын
Duh,, Zanzibar raha
@mosaidi26334 жыл бұрын
Huyu mtoa maelezo anaongea Swahili vibaya mno
@aishahajiyahya39624 жыл бұрын
Bahresa ataitia ubovu laribui
@jesusnetworkministry4 жыл бұрын
Aaaah hapo usipime mzee
@jacksonpetrotv96234 жыл бұрын
Huu usafiri mzuri wa kuokoa muda
@vincentmokenye44654 жыл бұрын
Ni shidaaaaaaa
@suleimanseif83694 жыл бұрын
Hogeraa
@abdulsalim89004 жыл бұрын
Duh Iyo royal mwanngu dah hatari Ila wasiiipeleke pemba itakufa haraka
@yunuskhamis3425
4 жыл бұрын
Abdul Salim Kwan pba kuna nn kikubw ktachopelekea hata icpelekw hio bot
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
Hhaaahhhaahha ett???? Watu wagoooooonvvvvi
@khamisrashid90204 жыл бұрын
Iko pw sana
@mamgasper19544 жыл бұрын
Hyo htr
@yussusaid43894 жыл бұрын
Ije Pemba haraka
@machanoalijaku74684 жыл бұрын
kuweni makini na hiyo isije ikalala kwa figisu zao
@msamgunda76844 жыл бұрын
kama unataka kaz ya uhandish wa habar.tafuta vfaa.uctumie kamera ya calculator..
@muddymaulid27714 жыл бұрын
HyAa
@apizzoclassic954 жыл бұрын
Hiyo nimaxhine
@omarkhamis73684 жыл бұрын
bakhresa ataiwacha ifanyekazi lakini?
@nazaeljohn34854 жыл бұрын
Biashara ni ushindani na uwe mbunifu saaana napia kuna changamoto nyingi isije kua ya mv nyelele kutoka kwa wapinzan wao
@zainabujuma1231
Жыл бұрын
Msikimbiye Maana uhai haununuriwi jamani
@hafidhbadru66514 жыл бұрын
Mnatubabaisha tu.boti zote zina mwendo kasi ila kwa mamlaka ya usafirishaji boti zote zinazoenda na kutoka znz kwenda dar ni lazima zitimize masaa mawili (2) hata km boti yk iwe km varvgin butterfly.hiyo inaonekana inatumia jet ingine na sio propellers na hapo ilikua kwenye majaribio.ninachoamini hapo nikua ikianza kazi nayo itatumia muda ule ule km boti nyengine
@salumbabesh8828
4 жыл бұрын
ss unaifukuza Kilimanjaro au munajarib mashine manake uyo mfukuzwaj hana ata hbr
@mohamedsalum6045
4 жыл бұрын
hiyo boat ni ya ZANZIBAR na sio ya tanzania
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
@@mohamedsalum6045 we boya Kweli Zanzibar sisi inatuhusu iyo boti kanunua sheni
@nassirmohamed8492
4 жыл бұрын
plz wekeni tanga pemba
@salumally2974 жыл бұрын
Hio Mashine sio mchezo
@mohdhaji995
4 жыл бұрын
Kasi da
@clovetv_pba4 жыл бұрын
Ni dakiki 68, juzi niliwahi kuingia kutoka DSM adi ZNZ. Ww mtangazaji unanukuu maneno yalioandikwa ktk mitandao ya kijamii.
@fesalhemedi4746
4 жыл бұрын
Bei ilikua shilingi ngapi
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
Inafanya kaziii
@fesalhemedi4746
4 жыл бұрын
Nauli shilingi ngapi
@chrismgina8308
3 жыл бұрын
Ila nawe
@clovetv_pba
3 жыл бұрын
Tsh. 25,000/-
@moshirajabu51484 жыл бұрын
Duu?
@abdiaoto9041
4 жыл бұрын
Muwe makin bakharesa anataka yy tu
@shombeshombe63744 жыл бұрын
Chonde chonde msiipeleke pemba halifiki hata mwAka hilo kwaheri
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
Haaahhaahhaaa
@williamkivulenge30814 жыл бұрын
Hapo haijabeba abilia, kama ikibeba abilia wa kutosha speed itapungua na masaa yataongezeka yale yale, 2 hrs
@mrishomohammedi2654
4 жыл бұрын
Jana ilikuja dar na abilia imetumia dk70 uku tukiipita kilimanjaro 6 unaweza kuja whatssap nikakutumia vdeo
@@mrishomohammedi2654 oya nitumie na mm brook no 0686257004
@samiagenciesltd3181
4 жыл бұрын
@@mrishomohammedi2654 naomba nitumie hiyo video 0652505825
@abdallaally1354
4 жыл бұрын
sio Abilia.. ni Abiria
@hatiburajabu23624 жыл бұрын
Eti naulishingapi
@Mr_Ben2554 жыл бұрын
Dude Lina fukua aiseee!!!!!
@zuberinyenzi19824 жыл бұрын
Kwani pemba kuna nini mbona wengi katika comment wanasema wasiipeleke pemba
@allykutenga2862
4 жыл бұрын
Zuberi Nyenzi;Kule sealink ama zan fast faries ile mikuubwa ndo inafaa coz wa2 wanaingia na mazigo utasema wanakimbia nchi yny vita!! mikuku,midizi n.k sasa hii ni boti ya kistaarabu..sabb wanomaanisha ndo hiyo..
@zuberinyenzi1982
4 жыл бұрын
@@allykutenga2862 😂😂😂😂😂😂😂😂 daah nimecheka sana eti wanaingia hadi na mikuku humo humo ndani kama ndiyo hivyo basi hii haifai kupeleka huko 😆😆😆😆😆
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
@@zuberinyenzi1982 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hafidhalmauly33784 жыл бұрын
Tuleteeni PBA to znz
@chondecannibal6108
4 жыл бұрын
Pemba porini hatuleti
@allykutenga2862
4 жыл бұрын
mcje kupakia madizi na makuku utasema wa2 wanakimbia vita.
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
@@allykutenga2862 haaahhaahhaa
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
@@chondecannibal6108 haahhaahhaaaaha🤣🤣🤣🤣
@nassorhaji2637
3 жыл бұрын
Zanzibar 3 itapelekwa Pemba Wete
@abdulkhanyraashid78874 жыл бұрын
Zote niboti zakisengetuizo kama nibotikweli kwanini hawazipeleki pemba kudadadekizao 😂🤣😂🤣😂🤣😂
@@abdulkhanyraashid7887 wapepmba wachafuzi kaka, boti ikienda siku moja tu basi hali yake ndani utajutaa,,, wachafuu ndio maana hakuna hata mmiliki mmoja wa speed boat anapeleka boti yake pemba, umenisoma? wanatakiwa wajistaraabishe kwanza ndio maanaa pbz mnaletewa meli za mizigo ndani yake abiria
@abdulkhanyraashid7887
4 жыл бұрын
@@sameerel-tamim1828 Nikuulze brother ww niwawapi
@abdulkhanyraashid7887
4 жыл бұрын
@@sameerel-tamim1828 Najuwa naongeya ñanani ilasijuwi asiliyako niwapi nevyema ukaniamby unatokeyawapi halafu tuanze kujadili alaukwakidoooogo sana ìyohojayako yakwamba (wapemba niwachafunzi) please broo nijibu ilokwanza kwamaana walopita wamesema asojuwa maana usimpe maana vilevile wakasema mgeni akiingiya ktk mji wawatu nisawanakipofu anahitaji kuongozwa ehee tuendele ww niwakutokawapi maana mgeni njoo mwenyejiapone
@omarsuleiman83864 жыл бұрын
Mnamchokoza bakhresa kusudi, ataitia moto km ROYAL na hyo ila a Allah awalinde na hayo
@abdulsalim8900
4 жыл бұрын
Zanzibar 1 Ina mashine Kama za royal
@fehomliez45494 жыл бұрын
naona said baaresa pressure juujuu karibia kuanguka !
@piuspascal7833
4 жыл бұрын
Hawez kua na pressure yy analeta bot silled hawa wanaleta used
@jesusnetworkministry4 жыл бұрын
Iyo ni mashine nyengine kaka acha kabisa
@amenuru2331
4 жыл бұрын
Emmanuel Julius Jeuriyake.imekwisha.mwaka.huu.umemalizika.msongomano.bandarini
Пікірлер: 113
Huduma zenu nzuri ira punguzeni mwendo Mana Maji hayana ufundi tafadhari
Alhamdulilah Mkombozi kaja,,,,Bakhresa anazingua au wafanyakazi wanamuangusha
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
Anazingua yeye wafanyakazi hawana mamlaka
@thabitbakari6733
3 жыл бұрын
Sio maneno mazuri hayo kaka kabla ya hii, ulikua ukipanda boti ipi, haifai kutoa kauli Kama hiyo, Islam din hairuhusu kusemeana mabaya.
Daaah maashaallah Allah awaazidishie mafanikio mtuletee boti zaidi ya 4 ili kuwepo na punguzo la nauli huyu ndugu yetu Bakhresa anatukwamisha Wazanzibari wenzake
Duh hizi neema si kawaida.. Mashaallah.. 🇹🇿💯💯
@hishamally4846
4 жыл бұрын
Mijitu mengine bwana haina hata maneno mazuri eti huu mwendo balaa ndiyo nini sasa kusema maneno machafu semeni maneno mazuri kama ni mimi mwenye chombo huna kazi tena
Haya ndio maendeleo ya karne ya 21. Sio kutuletea treni zilizotumika India 1960.
Zan alete bot nne ili huyo. Mpinzani wake apunguze kutulazimisha tiketi za 35000 ukitaka tiket ya 25000 uje kesho kwa siku hiyo hupati sio kama hazipo wanazificha kusudi
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
Hahhaaahhaa umeona eeee
@alimaali4604
4 жыл бұрын
Kama umejua vile wanakela kweli hao eanaficha tiketi za 25000
@hajimakame3788
4 жыл бұрын
Alhamdulilah Mungu muwenza bakharesa alikuwa anatukomowa has a ukitokea huko Dar esalam hawaeshi kupandisha nauli Ishaalla kwa uwezo was Mwenyezi Mungu akupe nguvu uzidi kutuletea nyengine Aamin
Azam marine wako safe, wanafuata Sheria na kukimbia sio maana ya safari, safari haitakiwi mbio
Du hii nomaa
Mwendo kasi si mzuri wazee watashindwa huwo mwendo
@mohamedkhalif205
4 жыл бұрын
Didah wetu habari
@mohamedkhalif205
4 жыл бұрын
Number yako ya simu
@moshirajabu5148
4 жыл бұрын
Mamb
@chondecannibal6108
4 жыл бұрын
Flying horse ipo wapande
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
@@chondecannibal6108 etiii mwendo wa kobe
Bei yake shilingi ngapi?
Nauli Bei gan dsm to Zanzibar? Mje na tanga jaman
Haha ikowazi braza
Mashallah
Hataree
Karibuni katika channel yangu BUNDUKI TV kwa mikasa ya kusisimua.
Ipo saw
Serikali mpeni turki eneo ajenge parking yke..tuepuke fitina
Maashallah
@shabaniabdi2963
4 жыл бұрын
Abuu Nihla .
Mashallah Zanzibar 1
@nurosinane9432
4 жыл бұрын
Udi Auto yea
@jp.productionpasho6893
4 жыл бұрын
Duu
Duh,, Zanzibar raha
Huyu mtoa maelezo anaongea Swahili vibaya mno
Bahresa ataitia ubovu laribui
Aaaah hapo usipime mzee
Huu usafiri mzuri wa kuokoa muda
Ni shidaaaaaaa
Hogeraa
Duh Iyo royal mwanngu dah hatari Ila wasiiipeleke pemba itakufa haraka
@yunuskhamis3425
4 жыл бұрын
Abdul Salim Kwan pba kuna nn kikubw ktachopelekea hata icpelekw hio bot
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
Hhaaahhhaahha ett???? Watu wagoooooonvvvvi
Iko pw sana
Hyo htr
Ije Pemba haraka
kuweni makini na hiyo isije ikalala kwa figisu zao
kama unataka kaz ya uhandish wa habar.tafuta vfaa.uctumie kamera ya calculator..
HyAa
Hiyo nimaxhine
bakhresa ataiwacha ifanyekazi lakini?
Biashara ni ushindani na uwe mbunifu saaana napia kuna changamoto nyingi isije kua ya mv nyelele kutoka kwa wapinzan wao
@zainabujuma1231
Жыл бұрын
Msikimbiye Maana uhai haununuriwi jamani
Mnatubabaisha tu.boti zote zina mwendo kasi ila kwa mamlaka ya usafirishaji boti zote zinazoenda na kutoka znz kwenda dar ni lazima zitimize masaa mawili (2) hata km boti yk iwe km varvgin butterfly.hiyo inaonekana inatumia jet ingine na sio propellers na hapo ilikua kwenye majaribio.ninachoamini hapo nikua ikianza kazi nayo itatumia muda ule ule km boti nyengine
@salumbabesh8828
4 жыл бұрын
ss unaifukuza Kilimanjaro au munajarib mashine manake uyo mfukuzwaj hana ata hbr
@mohamedsalum6045
4 жыл бұрын
hiyo boat ni ya ZANZIBAR na sio ya tanzania
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
@@mohamedsalum6045 we boya Kweli Zanzibar sisi inatuhusu iyo boti kanunua sheni
@nassirmohamed8492
4 жыл бұрын
plz wekeni tanga pemba
Hio Mashine sio mchezo
@mohdhaji995
4 жыл бұрын
Kasi da
Ni dakiki 68, juzi niliwahi kuingia kutoka DSM adi ZNZ. Ww mtangazaji unanukuu maneno yalioandikwa ktk mitandao ya kijamii.
@fesalhemedi4746
4 жыл бұрын
Bei ilikua shilingi ngapi
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
Inafanya kaziii
@fesalhemedi4746
4 жыл бұрын
Nauli shilingi ngapi
@chrismgina8308
3 жыл бұрын
Ila nawe
@clovetv_pba
3 жыл бұрын
Tsh. 25,000/-
Duu?
@abdiaoto9041
4 жыл бұрын
Muwe makin bakharesa anataka yy tu
Chonde chonde msiipeleke pemba halifiki hata mwAka hilo kwaheri
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
Haaahhaahhaaa
Hapo haijabeba abilia, kama ikibeba abilia wa kutosha speed itapungua na masaa yataongezeka yale yale, 2 hrs
@mrishomohammedi2654
4 жыл бұрын
Jana ilikuja dar na abilia imetumia dk70 uku tukiipita kilimanjaro 6 unaweza kuja whatssap nikakutumia vdeo
@josephalute5291
4 жыл бұрын
@@mrishomohammedi2654 Ntumie mimi whatsapp jamaa 0676210006
@stonybowy7513
4 жыл бұрын
@@mrishomohammedi2654 oya nitumie na mm brook no 0686257004
@samiagenciesltd3181
4 жыл бұрын
@@mrishomohammedi2654 naomba nitumie hiyo video 0652505825
@abdallaally1354
4 жыл бұрын
sio Abilia.. ni Abiria
Eti naulishingapi
Dude Lina fukua aiseee!!!!!
Kwani pemba kuna nini mbona wengi katika comment wanasema wasiipeleke pemba
@allykutenga2862
4 жыл бұрын
Zuberi Nyenzi;Kule sealink ama zan fast faries ile mikuubwa ndo inafaa coz wa2 wanaingia na mazigo utasema wanakimbia nchi yny vita!! mikuku,midizi n.k sasa hii ni boti ya kistaarabu..sabb wanomaanisha ndo hiyo..
@zuberinyenzi1982
4 жыл бұрын
@@allykutenga2862 😂😂😂😂😂😂😂😂 daah nimecheka sana eti wanaingia hadi na mikuku humo humo ndani kama ndiyo hivyo basi hii haifai kupeleka huko 😆😆😆😆😆
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
@@zuberinyenzi1982 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuleteeni PBA to znz
@chondecannibal6108
4 жыл бұрын
Pemba porini hatuleti
@allykutenga2862
4 жыл бұрын
mcje kupakia madizi na makuku utasema wa2 wanakimbia vita.
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
@@allykutenga2862 haaahhaahhaa
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
@@chondecannibal6108 haahhaahhaaaaha🤣🤣🤣🤣
@nassorhaji2637
3 жыл бұрын
Zanzibar 3 itapelekwa Pemba Wete
Zote niboti zakisengetuizo kama nibotikweli kwanini hawazipeleki pemba kudadadekizao 😂🤣😂🤣😂🤣😂
@is-haksaid295
4 жыл бұрын
Umeongea point
@abdulkhanyraashid7887
4 жыл бұрын
Said unajuwa broo usafiri wapemba haunahadhi atakidogo usafiriwapemba niwapatasote ilikuwepo royal jamaa wakaipigandumba tokakuondoka kwaroyal bakharesanae ameondowa botizake toka 2010 hadileyo pemba hakuna spedi boti kunamiskitibahari tupolenisana wapemba
@sameerel-tamim1828
4 жыл бұрын
@@abdulkhanyraashid7887 wapepmba wachafuzi kaka, boti ikienda siku moja tu basi hali yake ndani utajutaa,,, wachafuu ndio maana hakuna hata mmiliki mmoja wa speed boat anapeleka boti yake pemba, umenisoma? wanatakiwa wajistaraabishe kwanza ndio maanaa pbz mnaletewa meli za mizigo ndani yake abiria
@abdulkhanyraashid7887
4 жыл бұрын
@@sameerel-tamim1828 Nikuulze brother ww niwawapi
@abdulkhanyraashid7887
4 жыл бұрын
@@sameerel-tamim1828 Najuwa naongeya ñanani ilasijuwi asiliyako niwapi nevyema ukaniamby unatokeyawapi halafu tuanze kujadili alaukwakidoooogo sana ìyohojayako yakwamba (wapemba niwachafunzi) please broo nijibu ilokwanza kwamaana walopita wamesema asojuwa maana usimpe maana vilevile wakasema mgeni akiingiya ktk mji wawatu nisawanakipofu anahitaji kuongozwa ehee tuendele ww niwakutokawapi maana mgeni njoo mwenyejiapone
Mnamchokoza bakhresa kusudi, ataitia moto km ROYAL na hyo ila a Allah awalinde na hayo
@abdulsalim8900
4 жыл бұрын
Zanzibar 1 Ina mashine Kama za royal
naona said baaresa pressure juujuu karibia kuanguka !
@piuspascal7833
4 жыл бұрын
Hawez kua na pressure yy analeta bot silled hawa wanaleta used
Iyo ni mashine nyengine kaka acha kabisa
@amenuru2331
4 жыл бұрын
Emmanuel Julius Jeuriyake.imekwisha.mwaka.huu.umemalizika.msongomano.bandarini
Kwahyo wanaleta battle na kilimanjaro