MTOTO WA BAKHRESA AUNDA BOTI YA KIFAHARI TANZANIA

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
CC: Saadam Seif Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 206

  • @aliabdallah2626
    @aliabdallah26264 жыл бұрын

    Allah akupe subra upite ktk iman mtihani huu

  • @najmaanajma1195
    @najmaanajma11954 жыл бұрын

    MA SHAA ALLAH TABARAKA RAHMAN

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Mashaallah hongereni nyote wahusika Allah awazidishie umri na afya njema muzidi kutuekea miundo mbinu kila sehemu ikiwemo ya usafiri na Kadhalika

  • @inderjitlall4972
    @inderjitlall49724 жыл бұрын

    Absolutely awesome!!👍

  • @eaglecrown3872
    @eaglecrown38724 жыл бұрын

    amen, Itapendeza pia ukiamia na kwenye magari ili kusudi tuwe tunanunua hapa hapa tujivunie kilicho cha kwetu.

  • @stonetown578
    @stonetown5784 жыл бұрын

    Masha'Allah TabarakaAllah

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli7594 жыл бұрын

    Hongera sana boss wangu yusuph B.asante mungu asante s.s.b kwa watoto wenye juhudi na malengo yakuona mbali zaidi Allah awape afya njema. asante mafund asante wa tz tunaweza hakika...nataman ningekuwepo kwenye umeme hakika ninge jipatia historia nzuri kushiliki kwenye TAnzanite marine 1.

  • @jamalsalim2845
    @jamalsalim28454 жыл бұрын

    Maashaallaah bakhresa allah akungezea inshaallah

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily854 жыл бұрын

    Allaah Ambareekiyeee in sha Allaah. Na kumuhefadhi yeye na familiyaaa yakeee.

  • @tommillia7816
    @tommillia78164 жыл бұрын

    Looks Good. N Good workmanship on it. Congrats

  • @minmaxc485
    @minmaxc4853 жыл бұрын

    duh safi SANA UNACHANGAMSHA 2021 ndo naona

  • @techinswahili7850
    @techinswahili78504 жыл бұрын

    imekaaa poaaa sana tz ya viwanda na ubunifuuu so good

  • @kebo2155
    @kebo21554 жыл бұрын

    .... Safi sana huu ndiyo uzalendo.. Sasa usichoke jenga kiwanda cha nguvu na wape vijana wetu nafasi hatuhitaji wazungu ... 🇹🇿 💯 💯

  • @iddibama6819
    @iddibama68194 жыл бұрын

    Hongera sana Yussuf Bakhresa ila ningependa kufahamu gharama za Boti hii ni kiasi Gani

  • @japhetjsphetnoniape1492

    @japhetjsphetnoniape1492

    4 жыл бұрын

    Ili iweje

  • @adammakoye4198

    @adammakoye4198

    4 жыл бұрын

    Sh pesa

  • @kidjhdf7568

    @kidjhdf7568

    4 жыл бұрын

    Unataka kununuwa au kusumbuwa watu tuu

  • @iddibama6819

    @iddibama6819

    4 жыл бұрын

    @@kidjhdf7568 ​ ndio ninunuwe sasa utakujaje na Mada zako et Ohh mtoto wa Bakharesa Aunda Boti la kifahari ..kama unataka kuweka mambo hadhani wewe eka tu

  • @iddibama6819

    @iddibama6819

    4 жыл бұрын

    nataka ninunuwe

  • @alemalmaz9466
    @alemalmaz94664 жыл бұрын

    MashaAllah fishing on the next level Amazing

  • @hassanmchwakachangama888
    @hassanmchwakachangama8884 жыл бұрын

    Hongera Sana kwa ubunifu ndugu Allah akuekee nguvu in shaa allah

  • @iqbalsalaf115
    @iqbalsalaf1154 жыл бұрын

    Masha allah

  • @yashjuma9168
    @yashjuma91684 жыл бұрын

    Very nice !

  • @hakikahoman615
    @hakikahoman6154 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @omarmuhnzi7412
    @omarmuhnzi74124 жыл бұрын

    Safi mzigo uko sawa Hongera kwa juhudi kubwa.

  • @aliarkam9548
    @aliarkam95484 жыл бұрын

    Maasha allah

  • @bebisheni4380
    @bebisheni43804 жыл бұрын

    vizuri mwenyezi mungu ambariki na siku moja anipe lifti

  • @fat-hiyasuleiman4748
    @fat-hiyasuleiman47484 жыл бұрын

    Jamani wivu huwo hata kupigiya mashallah tusipende kusema vibaya tusimamiye uwezo wetu

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga58664 жыл бұрын

    Fantastic,atengeneze nyingi

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat76374 жыл бұрын

    Mashaaalah ametufanyia mengi

  • @teychriss3248
    @teychriss32484 жыл бұрын

    Mambo Haya angefanya mondi sasa weee! Oooh anataka sifa! Anaushindani wa kipumbavu! Ooh anajikweza! Nk nk nk! Wakati pesa katafuta kwa nguvu zake! Wivu tuuu! Hongera mwana wa Tahiti umeinyesha uthubutu uliotukuka!

  • @ahmedbawazir8035
    @ahmedbawazir80354 жыл бұрын

    Excellent job , Keep on

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram14054 жыл бұрын

    Mashallah

  • @rahjah5882
    @rahjah58824 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah 🇹🇿🇯🇵🇯🇵🙏🏾❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ahmedmiles4580

    @ahmedmiles4580

    2 жыл бұрын

    i know im randomly asking but does any of you know of a tool to get back into an Instagram account?? I was dumb lost the login password. I appreciate any tips you can give me!

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95664 жыл бұрын

    Hongera Bakharesa Allah akuzidishie mazuri mengi mashaallah

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    Husuda hasadi kama juic ya tamri

  • @TheoneOfficial

    @TheoneOfficial

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    @@TheoneOfficial Allahumma amin

  • @aliy3303

    @aliy3303

    4 жыл бұрын

    آميين يا رب

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    @@aliy3303 Allahumma amin

  • @abdifatahnur6155
    @abdifatahnur61554 жыл бұрын

    MaShaaAllah kaka hongera

  • @allyhamad780
    @allyhamad7804 жыл бұрын

    Mashallah Allah akuzidishie

  • @mechanicaldesignbrain
    @mechanicaldesignbrain4 жыл бұрын

    nimewakubali wako vizuri👏👏👏

  • @jamaljamali287
    @jamaljamali2874 жыл бұрын

    hongera sana bro big up

  • @eaglecrown3872
    @eaglecrown38724 жыл бұрын

    Inapendeza sana kuleta wataalam nyumbani maana utaalam unabaki nyumbani kuliko kununua bot kama hiyo kutoka nje

  • @isharazahoro3486

    @isharazahoro3486

    4 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @erickkabyemela267

    @erickkabyemela267

    4 жыл бұрын

    Umenena

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb71944 жыл бұрын

    Masha Allah nice

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino49584 жыл бұрын

    Mashallh ninzuri sana one day ishaallh na mimi nitafikilia kuunda kitu mungu akinipa uwezo wa kifedha

  • @ashanange832
    @ashanange8324 жыл бұрын

    Hongera sana na Allah akuongoze zaid

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43854 жыл бұрын

    Ma sha Allah, kwanini msiwe na kiwanda mkazalisha boti hapa kwetu badala ya kuagiza njee

  • @gabrielmbelwa1410
    @gabrielmbelwa14104 жыл бұрын

    Safi sana. Hongera sana

  • @hassanihassani4330
    @hassanihassani43304 жыл бұрын

    nimemkubali mungu amzidishie mema

  • @rehemakulaba495
    @rehemakulaba4954 жыл бұрын

    Dah🙌🙌

  • @mickeykibabu6999
    @mickeykibabu69994 жыл бұрын

    Kali saannaaa👏👏👏👏👏

  • @masoudkhamis9933
    @masoudkhamis99334 жыл бұрын

    Mazali pesa zipo zitumike tu sio boat tu ata ndege akitaka inshallah itawezekana

  • @badaral6167
    @badaral6167 Жыл бұрын

    Mashallah neema ya allah

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74914 жыл бұрын

    Noma sana ukiwa na ela hakuna linalo shindikana

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate42164 жыл бұрын

    Hongera sana!

  • @nakembetwahagai608
    @nakembetwahagai6084 жыл бұрын

    hongera sana

  • @amanafi1288
    @amanafi12884 жыл бұрын

    Haataaareee...wa mbili ukweli havai maja,hongera Mtoto wa bilionea kwa ubunifu uliotukuka.

  • @qaiszahran7992
    @qaiszahran79924 жыл бұрын

    Mashallah ...u can do more better....👍

  • @selekidebe4385
    @selekidebe43854 жыл бұрын

    Mashallah boti nzur sana

  • @michaelstephen3743
    @michaelstephen37434 жыл бұрын

    Daahhh kwakweli sasa tumenyanyuka sanaa nimefurahi kuona hii kitu nchini mwetuu

  • @ruhi1281
    @ruhi12814 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @youngbob9761
    @youngbob97613 жыл бұрын

    Safi Sana

  • @tony47ization
    @tony47ization4 жыл бұрын

    Hapa kazi tu :-) :-) :-) :-) :-)!

  • @anabankhamis7951
    @anabankhamis79514 жыл бұрын

    Aisee noma sana

  • @kwisa4899
    @kwisa48994 жыл бұрын

    Hivi ni vitu vya kawaida sana jaribuni kufatilia Discovery chanel mtaona kila kitu kinawezekana na tunaweza kuunda wenyewe

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya4 жыл бұрын

    Hongera sana, Naomba bei yake pamoja na kunletea hadi Arusha

  • @elisanteelisante172
    @elisanteelisante1724 жыл бұрын

    Safi sana

  • @brandts2555
    @brandts25554 жыл бұрын

    mmmh congtrs faza

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb54 жыл бұрын

    Mashallahu

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini42594 жыл бұрын

    Honger

  • @arboghastalexkayanda3109
    @arboghastalexkayanda31094 жыл бұрын

    made wonders

  • @habibuzahoromakame.6728
    @habibuzahoromakame.67284 жыл бұрын

    Ah!hayaaaaaa

  • @joshwazakaria8222
    @joshwazakaria82223 жыл бұрын

    Mungu pamoja nasi tutaweza tu🙏🙏

  • @kacenazir666
    @kacenazir6664 жыл бұрын

    Ma sha Allah! Big up sana Yusuf B.

  • @hamzaibrahimhamza5819
    @hamzaibrahimhamza58194 жыл бұрын

    Anxt sna

  • @kimsamir965
    @kimsamir9654 жыл бұрын

    Good

  • @khamisijuma4842
    @khamisijuma48424 жыл бұрын

    Pesa mwenzake pesa

  • @yahyaomar3752
    @yahyaomar37524 жыл бұрын

    Hili noti ni la abiria ama???nakama nila abiria lina bwba abiria wangapi??

  • @stewartmsamila5691
    @stewartmsamila56914 жыл бұрын

    Ukiwa na pesa hivi vitu rahisi sana

  • @adammakame2154
    @adammakame21543 жыл бұрын

    Kila kilichopo duniani kitaondoka ni hanasa tu iyo ya dunia izo pesa angeliwapa maskini na wasio jiweza angelifanya jambo la maana co kujilimbika mamali tu Kullu man alyhafaan.ndugu zng tucjisahau sana dunian tunapita tu

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome3594 жыл бұрын

    🏋️

  • @lucasshayo9705
    @lucasshayo97054 жыл бұрын

    Background sound ipo juu sana

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine79064 жыл бұрын

    Uwezo tu nao, nguvu tunazo hapo muhimu ni viwanda tu

  • @sameermilo2492
    @sameermilo24924 жыл бұрын

    Tanzania Tunaweza 🇹🇿💯

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6234 жыл бұрын

    Kuishi kwingi ni kuona mengi. Ni jambo la busara sana kuwaleta wataalam nchini kuliko kuagiza hio boti nje ya nchi. Ajira kwa wazalendo hongera Bakhresa ni mzalendo na tajiri halisi wa Tanzania tunakupongeza.

  • @tolekakipira9415
    @tolekakipira94154 жыл бұрын

    Safi uwezo tunao tunashindwa Wapi sasa wengine wakati uwezo tunao

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis72454 жыл бұрын

    Hongera baba utufanyie kila mtu yake twahangaika hasa tukenda Pemba

  • @danadana6450

    @danadana6450

    4 жыл бұрын

    Salama Khamis kwani iyo boti irachukuwa abiriya au niyake yy mwenyewe tuu na famikiya yake

  • @bashiryusuf9670
    @bashiryusuf96704 жыл бұрын

    Mmmm i thought they have built from scratch but only assembling not bad keep itup

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni75164 жыл бұрын

    Pesa

  • @immanuhu3234
    @immanuhu32344 жыл бұрын

    Jmn Semeni na wazawa wa zanzibar mbn wasenge nyie kila kitu tz hi zanzibar ikowapi makuma nyiny maana munajua km hakuna masomo zayd ya wazanzibar lkn kazienu kutufinyanga tuu nakutufinya ili tusitambulikane duniani lkn mungu atawalaani

  • @shabanihassani8524
    @shabanihassani85244 жыл бұрын

    Mbona ya kawaida sana

  • @minjamsuya4476
    @minjamsuya44764 жыл бұрын

    Hongera bahresa. Lakini tuwakumbuke na wasio na uwezo lakini wako na vipaji

  • @greatiq8234
    @greatiq82344 жыл бұрын

    Shing ngapi?

  • @nagmaali3650
    @nagmaali36504 жыл бұрын

    Saaaf

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul60854 жыл бұрын

    Mwanangu wa kwanza nimemwita said namie natest zari huenda akamrithi somo yake,babu yake amenishika nimwite juma mi nimemwambia hakuna juma tajiri anakataa

  • @mohamedfaris3000

    @mohamedfaris3000

    4 жыл бұрын

    Rudi darasani kwanza bado upo ktk uji...

  • @jamilambarouk5402

    @jamilambarouk5402

    4 жыл бұрын

    Bora ivo mana kwanza juma ni dude gumu hasaa

  • @alihaji7201

    @alihaji7201

    4 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @ummunaaleicester4337

    @ummunaaleicester4337

    4 жыл бұрын

    @@alihaji7201 😀🤗🤗

  • @dreamhighmotivation121
    @dreamhighmotivation1214 жыл бұрын

    MMMMhhhh!!! hii ni hatari kweli

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy4 жыл бұрын

    Gharama ya Boti hii unaweza kulisha masikini mjini kwa miezi nachenji ikabaki

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim67454 жыл бұрын

    Pesa hizo

  • @richie2544
    @richie25444 жыл бұрын

    Tunaweza

  • @kiparamasoud1322
    @kiparamasoud13224 жыл бұрын

    I'm from Saudi arabia

  • @abidalsalum95rajab55

    @abidalsalum95rajab55

    4 жыл бұрын

    Oyooo Saudia Arabia sehem gani mbaba

  • @abusaeed9037

    @abusaeed9037

    4 жыл бұрын

    Kipara Masoud alo kuliza ni nani

  • @jumamkuu6542
    @jumamkuu65424 жыл бұрын

    Mie siamini Kama no kweli

  • @kiparamasoud1322
    @kiparamasoud13224 жыл бұрын

    Hongera , huo niuthubutu na pes nyingi isonakazi pia nakujitangaza kwa makampuni Yao ,,,, ila hongera sanasana Azam kwani kunawengi wenyepesa hawajathubutu kufanya Jambo mfano wahilo mashalla hakika Azam mkojuu hongereni Sana.

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan12724 жыл бұрын

    Biti kubwa sana kama tupo club hatusikii

  • @alisaid2410
    @alisaid24104 жыл бұрын

    yani hivi vituo local havina kazi wakati mwingne

  • @babamicah8787
    @babamicah87874 жыл бұрын

    Namuona lucho anauza sur t uku😂😂😂

  • @chiefmk835
    @chiefmk8354 жыл бұрын

    Tatizo tu ni mtaji.

  • @adhnanhassan7512
    @adhnanhassan75124 жыл бұрын

    Ukiwa na pesa kila kitu chawezekana....

  • @ufc-ultimatefightingchampi8456
    @ufc-ultimatefightingchampi84564 жыл бұрын

    I hope he pays those worker enough money for the job