MTOTO WA BAKHRESA AUNDA BOTI YA KIFAHARI TANZANIA
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
CC: Saadam Seif Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 206
Allah akupe subra upite ktk iman mtihani huu
MA SHAA ALLAH TABARAKA RAHMAN
Mashaallah hongereni nyote wahusika Allah awazidishie umri na afya njema muzidi kutuekea miundo mbinu kila sehemu ikiwemo ya usafiri na Kadhalika
Absolutely awesome!!👍
amen, Itapendeza pia ukiamia na kwenye magari ili kusudi tuwe tunanunua hapa hapa tujivunie kilicho cha kwetu.
Masha'Allah TabarakaAllah
Hongera sana boss wangu yusuph B.asante mungu asante s.s.b kwa watoto wenye juhudi na malengo yakuona mbali zaidi Allah awape afya njema. asante mafund asante wa tz tunaweza hakika...nataman ningekuwepo kwenye umeme hakika ninge jipatia historia nzuri kushiliki kwenye TAnzanite marine 1.
Maashaallaah bakhresa allah akungezea inshaallah
Allaah Ambareekiyeee in sha Allaah. Na kumuhefadhi yeye na familiyaaa yakeee.
Looks Good. N Good workmanship on it. Congrats
duh safi SANA UNACHANGAMSHA 2021 ndo naona
imekaaa poaaa sana tz ya viwanda na ubunifuuu so good
.... Safi sana huu ndiyo uzalendo.. Sasa usichoke jenga kiwanda cha nguvu na wape vijana wetu nafasi hatuhitaji wazungu ... 🇹🇿 💯 💯
Hongera sana Yussuf Bakhresa ila ningependa kufahamu gharama za Boti hii ni kiasi Gani
@japhetjsphetnoniape1492
4 жыл бұрын
Ili iweje
@adammakoye4198
4 жыл бұрын
Sh pesa
@kidjhdf7568
4 жыл бұрын
Unataka kununuwa au kusumbuwa watu tuu
@iddibama6819
4 жыл бұрын
@@kidjhdf7568 ndio ninunuwe sasa utakujaje na Mada zako et Ohh mtoto wa Bakharesa Aunda Boti la kifahari ..kama unataka kuweka mambo hadhani wewe eka tu
@iddibama6819
4 жыл бұрын
nataka ninunuwe
MashaAllah fishing on the next level Amazing
Hongera Sana kwa ubunifu ndugu Allah akuekee nguvu in shaa allah
Masha allah
Very nice !
Mashaallah
Safi mzigo uko sawa Hongera kwa juhudi kubwa.
Maasha allah
vizuri mwenyezi mungu ambariki na siku moja anipe lifti
Jamani wivu huwo hata kupigiya mashallah tusipende kusema vibaya tusimamiye uwezo wetu
Fantastic,atengeneze nyingi
Mashaaalah ametufanyia mengi
Mambo Haya angefanya mondi sasa weee! Oooh anataka sifa! Anaushindani wa kipumbavu! Ooh anajikweza! Nk nk nk! Wakati pesa katafuta kwa nguvu zake! Wivu tuuu! Hongera mwana wa Tahiti umeinyesha uthubutu uliotukuka!
Excellent job , Keep on
Mashallah
Ma Shaa Allah 🇹🇿🇯🇵🇯🇵🙏🏾❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@ahmedmiles4580
2 жыл бұрын
i know im randomly asking but does any of you know of a tool to get back into an Instagram account?? I was dumb lost the login password. I appreciate any tips you can give me!
Hongera Bakharesa Allah akuzidishie mazuri mengi mashaallah
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
Husuda hasadi kama juic ya tamri
@TheoneOfficial
4 жыл бұрын
Amin
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@TheoneOfficial Allahumma amin
@aliy3303
4 жыл бұрын
آميين يا رب
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@aliy3303 Allahumma amin
MaShaaAllah kaka hongera
Mashallah Allah akuzidishie
nimewakubali wako vizuri👏👏👏
hongera sana bro big up
Inapendeza sana kuleta wataalam nyumbani maana utaalam unabaki nyumbani kuliko kununua bot kama hiyo kutoka nje
@isharazahoro3486
4 жыл бұрын
Mashaallah
@erickkabyemela267
4 жыл бұрын
Umenena
Masha Allah nice
Mashallh ninzuri sana one day ishaallh na mimi nitafikilia kuunda kitu mungu akinipa uwezo wa kifedha
Hongera sana na Allah akuongoze zaid
Ma sha Allah, kwanini msiwe na kiwanda mkazalisha boti hapa kwetu badala ya kuagiza njee
Safi sana. Hongera sana
nimemkubali mungu amzidishie mema
Dah🙌🙌
Kali saannaaa👏👏👏👏👏
Mazali pesa zipo zitumike tu sio boat tu ata ndege akitaka inshallah itawezekana
Mashallah neema ya allah
Noma sana ukiwa na ela hakuna linalo shindikana
Hongera sana!
hongera sana
Haataaareee...wa mbili ukweli havai maja,hongera Mtoto wa bilionea kwa ubunifu uliotukuka.
Mashallah ...u can do more better....👍
Mashallah boti nzur sana
Daahhh kwakweli sasa tumenyanyuka sanaa nimefurahi kuona hii kitu nchini mwetuu
MashaAllah
Safi Sana
Hapa kazi tu :-) :-) :-) :-) :-)!
Aisee noma sana
Hivi ni vitu vya kawaida sana jaribuni kufatilia Discovery chanel mtaona kila kitu kinawezekana na tunaweza kuunda wenyewe
Hongera sana, Naomba bei yake pamoja na kunletea hadi Arusha
Safi sana
mmmh congtrs faza
Mashallahu
Honger
made wonders
Ah!hayaaaaaa
Mungu pamoja nasi tutaweza tu🙏🙏
Ma sha Allah! Big up sana Yusuf B.
Anxt sna
Good
Pesa mwenzake pesa
Hili noti ni la abiria ama???nakama nila abiria lina bwba abiria wangapi??
Ukiwa na pesa hivi vitu rahisi sana
Kila kilichopo duniani kitaondoka ni hanasa tu iyo ya dunia izo pesa angeliwapa maskini na wasio jiweza angelifanya jambo la maana co kujilimbika mamali tu Kullu man alyhafaan.ndugu zng tucjisahau sana dunian tunapita tu
🏋️
Background sound ipo juu sana
Uwezo tu nao, nguvu tunazo hapo muhimu ni viwanda tu
Tanzania Tunaweza 🇹🇿💯
Kuishi kwingi ni kuona mengi. Ni jambo la busara sana kuwaleta wataalam nchini kuliko kuagiza hio boti nje ya nchi. Ajira kwa wazalendo hongera Bakhresa ni mzalendo na tajiri halisi wa Tanzania tunakupongeza.
Safi uwezo tunao tunashindwa Wapi sasa wengine wakati uwezo tunao
Hongera baba utufanyie kila mtu yake twahangaika hasa tukenda Pemba
@danadana6450
4 жыл бұрын
Salama Khamis kwani iyo boti irachukuwa abiriya au niyake yy mwenyewe tuu na famikiya yake
Mmmm i thought they have built from scratch but only assembling not bad keep itup
Pesa
Jmn Semeni na wazawa wa zanzibar mbn wasenge nyie kila kitu tz hi zanzibar ikowapi makuma nyiny maana munajua km hakuna masomo zayd ya wazanzibar lkn kazienu kutufinyanga tuu nakutufinya ili tusitambulikane duniani lkn mungu atawalaani
Mbona ya kawaida sana
Hongera bahresa. Lakini tuwakumbuke na wasio na uwezo lakini wako na vipaji
Shing ngapi?
Saaaf
Mwanangu wa kwanza nimemwita said namie natest zari huenda akamrithi somo yake,babu yake amenishika nimwite juma mi nimemwambia hakuna juma tajiri anakataa
@mohamedfaris3000
4 жыл бұрын
Rudi darasani kwanza bado upo ktk uji...
@jamilambarouk5402
4 жыл бұрын
Bora ivo mana kwanza juma ni dude gumu hasaa
@alihaji7201
4 жыл бұрын
Hahahahaha
@ummunaaleicester4337
4 жыл бұрын
@@alihaji7201 😀🤗🤗
MMMMhhhh!!! hii ni hatari kweli
Gharama ya Boti hii unaweza kulisha masikini mjini kwa miezi nachenji ikabaki
Pesa hizo
Tunaweza
I'm from Saudi arabia
@abidalsalum95rajab55
4 жыл бұрын
Oyooo Saudia Arabia sehem gani mbaba
@abusaeed9037
4 жыл бұрын
Kipara Masoud alo kuliza ni nani
Mie siamini Kama no kweli
Hongera , huo niuthubutu na pes nyingi isonakazi pia nakujitangaza kwa makampuni Yao ,,,, ila hongera sanasana Azam kwani kunawengi wenyepesa hawajathubutu kufanya Jambo mfano wahilo mashalla hakika Azam mkojuu hongereni Sana.
Biti kubwa sana kama tupo club hatusikii
yani hivi vituo local havina kazi wakati mwingne
Namuona lucho anauza sur t uku😂😂😂
Tatizo tu ni mtaji.
Ukiwa na pesa kila kitu chawezekana....
I hope he pays those worker enough money for the job