Mjukuu wa Bakhresa na msafara wa Ferrari na Mercedes G-Wagon 2 Dar, watu wana hela!

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 173

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Жыл бұрын

    Maashaallah tabaarakallah

  • @assaabdulla1031
    @assaabdulla1031 Жыл бұрын

    Bakhresa amekuwa akisaidia watu masikini na Allah anamuongezea riziki yake watu wote matajiri muwe kama bakhresa muwe mnatoa misaada kwa masikini na watoto yatima na mungu anawaruzuku zaidi

  • @user-lt1bi5nr1x

    @user-lt1bi5nr1x

    20 күн бұрын

    Mshauri akahiji makha

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Жыл бұрын

    Wengine wanatoboa mpakapua acha mungu aitwemungu pesa za mungu hakutumi utoekafara yakuvaa sketi kutoboapua kusuka kuweka mkonga wayembo unaangalia matakon achamungu awejuu yakilakitu namwenyeezimungu akipa neema mzee ionyeshe tuh siunaona mafukara tunafulahi ilaeachawi wananuna wenyeiman kamwe aldhi yamungu tupodaradan asante mungu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Жыл бұрын

    Wazee tusiwaze sana peponi yapo hayo tufanye ibada kwa sana tu

  • @nassirmohamed8492

    @nassirmohamed8492

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @user-bj6ej6gm4u

    @user-bj6ej6gm4u

    Жыл бұрын

    Ni kweli. Lakini tupo dunian kwa kusudi maalumu la Mungu. At the moment tuna jiweka safi kujuandaa na pepo tukumbuke kutumiza kusudi la Mungu la kutuweka dunian, tufanye mabadiliko yenye thaman na return yake ndo vitu vya thamani kama hivo. Mungu ametuumba na kutuleta duniani ili tuiboreshe

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Жыл бұрын

    Good job home land 🇺🇸

  • @saeedal-awen2190
    @saeedal-awen2190 Жыл бұрын

    Hapo ni mjukuu wa Bakhresa. Zayd Yusuf Bakhresa. Na mtoto wa GSM. Mohamed Ghalib

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Жыл бұрын

    Umaskini una kazi,utaanza kumchambua mtu,kabila,rangi dini n.k, rangi nyeusi ni laana ya mungu

  • @nightwishisthegreatestband6355

    @nightwishisthegreatestband6355

    Жыл бұрын

    Speak for yourself

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Жыл бұрын

    Aisee

  • @alibinali_
    @alibinali_ Жыл бұрын

    Noma sana wasani mwenye bado hapo 😂😂😂😂 that is the Lifestyle 😊

  • @KaaJoo-zo7ol

    @KaaJoo-zo7ol

    Жыл бұрын

    Wangekuwa wasanii watanzania umwinyi mwingi

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Жыл бұрын

    Mjukuuuuu👏👏👏👏

  • @alleninnocent2138
    @alleninnocent2138 Жыл бұрын

    Wako na unyama kama huu afu kimya duh 🙄 kweri pesa inaongea

  • @nassirmohamed8492

    @nassirmohamed8492

    Жыл бұрын

    Pesa haitaki kelele

  • @samuelemmanuel3400

    @samuelemmanuel3400

    Жыл бұрын

    @@nassirmohamed8492 😂😂 sio kina mondi aki nunua boxer mpya yupo mtanaoni 😂

  • @eladiuspeter586

    @eladiuspeter586

    Жыл бұрын

    @@samuelemmanuel3400 brother tofautisha pesa ya kutafta na ya kutaftiwa. Vile vile hamna gari ya bei ya gari ya diamond hata Moja hapo.

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Жыл бұрын

    Wameamua kuwaonesha wasanii wenye vihele hele kwamba wao sikitu

  • @yunyun799

    @yunyun799

    Жыл бұрын

    😂😂😂hhahaha

  • @letisiamakonda3873

    @letisiamakonda3873

    Жыл бұрын

    Aiseee👐

  • @noru9028
    @noru9028 Жыл бұрын

    Usiseme atuna hela sema sina hela😢😂

  • @danielmwass8253

    @danielmwass8253

    Жыл бұрын

    😅😅😅

  • @lexq-sm6lq

    @lexq-sm6lq

    Жыл бұрын

    sio atuna, ni hatuna

  • @pikanaauntzuu1466

    @pikanaauntzuu1466

    Жыл бұрын

    😂😂😂kwakweli asitujumlishe kwenye shida zake ni yy hana sio wote😊

  • @yunyun799

    @yunyun799

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 Жыл бұрын

    Mange kadanganya watu kumbeee,, oooh waarabu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Жыл бұрын

    Maisha hayafanani hata kidogo ! Na kila mtu ataishi jinsi Mungu alivyomjalia hatuishi kwa kufanana hata kidogo! Mtu anaweza kuonyesha baiskel yake hapo halafu mtu mwengine anakushaa , lakini kila anajikuna anapoweza na aliyeonyesha baiskel na aliyeonyesha gari wote ni the same! Tunafarahi Mwenyezimungu awajalie zaidi wote !

  • @SaumuNinga-np5zb

    @SaumuNinga-np5zb

    Жыл бұрын

    Sana yaani afu haimanishi mpk uwe na kikubwa ndo uonyeshe hata kdg safi tu

  • @editorfrank7471
    @editorfrank7471 Жыл бұрын

    Tanzania bado sana jaman nenden Nigeria muone magar ya kishua mtazimia

  • @mosimba467

    @mosimba467

    Жыл бұрын

    Nigeria kitugani nenda Hollywood uone vitu

  • @editorfrank7471

    @editorfrank7471

    Жыл бұрын

    Sijataka huko mbali kote,nmetaka ujue hapa hapa africa kuna matus ya kutosha

  • @shadiathemedshadiathemed8699
    @shadiathemedshadiathemed8699 Жыл бұрын

    Kuna watu wanaviset wanasumbua sn wenye pesa awo wapo kimyaaaaa

  • @yussufritzy7684

    @yussufritzy7684

    Жыл бұрын

    Wanaovimba ni wamezitafuta wao

  • @Emedroadtocanada

    @Emedroadtocanada

    Жыл бұрын

    Kabsa

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 Жыл бұрын

    Karibu mayele

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Жыл бұрын

    Akhi sina ela dah

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Жыл бұрын

    Angekuwa cheif god love.....tungetukanwa mpk kiama kinatukuta walllah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @efronaaron6772

    @efronaaron6772

    Жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃

  • @atislady3400

    @atislady3400

    Жыл бұрын

    I think hayupo sawa 5days back ety anakunywa dam ya ng'ombe live

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel3400 Жыл бұрын

    Bro hapo sio Gwagon mbili Ziko Gwagon tatu huyo anae piga picha mwenyewe yupo ndani ya Gwagon, alafu mbele ya hizo Gwagon kuna benzi nyingine g class pia Kama ya 400m Hivi jime sahau ni g ngapi number yake Ila jua hao hela ipo bro

  • @suleimanally-rp8yh

    @suleimanally-rp8yh

    Жыл бұрын

    We nawe wajua kuangalia magari ya watu we huna 😅😅😅nunua mwanzo IST si kuangalia magari ya watu tu😂😂

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Жыл бұрын

    Asili ya waarabu ni kuendeleza pesa lkn ingekuwa watanzania ni kula bata tu mpk pesa iishe afu mwishowe anabakia kapuku na kuwa omba omba au anaanza kula madawa kuondoa msongo wa mawazo

  • @maryamtan682

    @maryamtan682

    Жыл бұрын

    Na kujipamba pia . Ndo shida ya watu weusi ss.

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    Ndio maana tukawapa bandari

  • @maryamtan682

    @maryamtan682

    Жыл бұрын

    @@alzawahirabdallah2299 😜😜😜😜

  • @kazikazini1042

    @kazikazini1042

    Жыл бұрын

    Hao ni watanzania

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    @@kazikazini1042 asili yao wapi mo dewji mtanzani lakini asili yake india aw kabila lake muhindi utanzania ni uraia tu

  • @yonalema7442
    @yonalema7442 Жыл бұрын

    ACHA NIENDELEE KUTAFUTA PESA ALLAH NIJALIE 🙏🏾

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 Жыл бұрын

    Wapo na pesa zao na Hawa jionyeshi Sasa sisi wasanii mmmmmmm tuna jisifu suti tu milioni 3 ona Sasa wenye nazo kimya kimya na makanzu tu

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Hongera zao

  • @DodatiAssey-ep5ou
    @DodatiAssey-ep5ou Жыл бұрын

    Eshima kubwa kwao

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Жыл бұрын

    Halafuwako kimya hawanamasifa

  • @mohdykessy5855

    @mohdykessy5855

    Жыл бұрын

    Siku zote pesa haitaji kelele si umeona tv za bank hazinaga sauti

  • @papaamponda397

    @papaamponda397

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @mackysuphian

    @mackysuphian

    Жыл бұрын

    @@mohdykessy5855 😂🤣🤣🤣duuj weweee

  • @amour5535

    @amour5535

    Жыл бұрын

    @@mohdykessy5855 duuh ww noma sanaaa sanaaa

  • @benedictomihayo9948

    @benedictomihayo9948

    Жыл бұрын

    @@mohdykessy5855 😂😂😂😂

  • @abdallahmhenga528
    @abdallahmhenga528 Жыл бұрын

    Narekebisha SIO shughuri ya mjukuu wa bakhresa ni harusi ya kijana mwingine kabisa MWENYE KUJITAMBUA NA KUJIWEZA anaitwa MAZI.......na sio familia ya AZAM ila anaushikaji na watoto wa bakhresa na GSM.

  • @planboyplatnumz7050

    @planboyplatnumz7050

    Жыл бұрын

    mazin sio mazi😅

  • @planboyplatnumz7050

    @planboyplatnumz7050

    Жыл бұрын

    yah ilikuwa harusi

  • @abdallahmhenga528

    @abdallahmhenga528

    Жыл бұрын

    @@planboyplatnumz7050 sikutaka kumalizia sheikh namjua

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    Жыл бұрын

    Tunashukur kwa kutujuz

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Жыл бұрын

    Kikubwa uzima ata mini mbarikiwa

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Жыл бұрын

    Huyu ni mjukuuu tuuu jmn😢😢😢ngoja tuone kitukuuuu

  • @letisiamakonda3873

    @letisiamakonda3873

    Жыл бұрын

    😆

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x20 күн бұрын

    Umeshasema mjukuu wa bakhresa bass

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 Жыл бұрын

    Habibi tayar wameshaingia mzigoni 🤣🤣🤣🤣🤣 Malinda ya vijana yakae saw .....🏃🏃

  • @hassanihussein4479

    @hassanihussein4479

    Жыл бұрын

    Unaonyesha ni shoga wewe

  • @crayonmaze9970

    @crayonmaze9970

    Жыл бұрын

    Kwa akili za hivi Tanzania itabaki kuwa nyuma siku zote

  • @justinyohana5074
    @justinyohana5074 Жыл бұрын

    Uyo mwingine mtoto wa gsm

  • @user-zr8be7ep4g
    @user-zr8be7ep4g2 ай бұрын

    Mfano angekuwa diamond hapo 😂😂😂

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Жыл бұрын

    Hii inaitwa Tajiri haonekani ingelikuwa kina Diamond apo na Harmonize vifua kama ukuta

  • @nassirmohamed8492

    @nassirmohamed8492

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @eliashibundabalinze2217

    @eliashibundabalinze2217

    Жыл бұрын

    Diamond kazitafta hela kwa mikono yake mwenyewe, Hao wamezikuta yaani ni urithi... Mbwa wewe huoni utofauti?

  • @stellakasimba9375
    @stellakasimba9375 Жыл бұрын

    Mweee

  • @nassorseif2799
    @nassorseif2799 Жыл бұрын

    Yuko wapi godlove

  • @travistones8159

    @travistones8159

    Жыл бұрын

    chief mwenyew nyamisifa🤣🤣

  • @Shafiijuma-ly7ep
    @Shafiijuma-ly7ep Жыл бұрын

    Watu wametoka kipovu jana 😂 eti waarabu ndo wanaigia hao wabongo 😂

  • @millianebee
    @millianebee Жыл бұрын

    Hao ni waarabu sio watanzania

  • @jumasaad9604
    @jumasaad9604 Жыл бұрын

    Mwenye izo gar anaitwa manzini

  • @hassanimussa2154
    @hassanimussa2154 Жыл бұрын

    Mtoto wa GSM katikati

  • @emtonboyofficial1134
    @emtonboyofficial1134 Жыл бұрын

    Ata deni la unipigie tafu sijamaliza kulipa🤣🤣🤣😂

  • @vivianmassao

    @vivianmassao

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @swampinou4296
    @swampinou4296 Жыл бұрын

    Sheckhe huyo sio mjukuu wa backhresa huyo ni Mazzen mmiliki wa Quality Fix garage Tz-ndo mwenye hiyo ferralli inaitwa Spider-na ni muhindi sio muarabu-acha kutu miss lead-mjukuu wa bakhresa hapo hahusiki zaidi ya kuwa ni mshkaji tu wa Mazzen

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs Жыл бұрын

    Daimond njoo huku uone😂😂

  • @ramadhanitokwete8069
    @ramadhanitokwete8069 Жыл бұрын

    Mbna hazina plate number

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Haya Mambo yanamsaidiaje mtu mwenye njaa)))

  • @nicksonnovart5788

    @nicksonnovart5788

    Жыл бұрын

    Acha kukaza fuvu watu wasiishi sababu kuna wenye njaa

  • @Kennrique

    @Kennrique

    Жыл бұрын

    Kaka ebu tafuta hela

  • @crayonmaze9970

    @crayonmaze9970

    Жыл бұрын

    Haya mambo yanamfanya mwenye njaa kama wewe apate hamasa ya kutafuta hela na sio alete majungu mitandaoni

  • @sirajikiluvia4575
    @sirajikiluvia4575 Жыл бұрын

    Hawana lolote,kabiru ndio tajiri$1996$

  • @bitecastory2137
    @bitecastory2137 Жыл бұрын

    Mtoto WA Yusuf huyo amekuwa Kwel kwel

  • @innocentboykid2442
    @innocentboykid2442 Жыл бұрын

    😂bandari

  • @carloschikawe3244
    @carloschikawe3244 Жыл бұрын

    Watu wenye pesa awanaga mbwembwe bwana si unaona hayo maisha kama American kume ni bongo jamani khaaa...

  • @jumasaad9604
    @jumasaad9604 Жыл бұрын

    Yy ndo anauza gar kali za kifahar tanzania nzima

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Жыл бұрын

    Sasa daimond anasemag ana hela

  • @ITIGIEMERGENCEPHONEYM

    @ITIGIEMERGENCEPHONEYM

    Жыл бұрын

    Kajala 1 and 2 tena zote n range😅

  • @suleimanally-rp8yh
    @suleimanally-rp8yh Жыл бұрын

    Ila nyi wabongo 😂😂 si kwa ubaya hao si wabongo ni wahindi na WARABU Ila wanakaa bongo nyi hamuoni hawana asili ya kibongo hao si wenzenu nyi mnateseka tu😅😅😅

  • @ibrahimurembo7397
    @ibrahimurembo7397 Жыл бұрын

    Mbaka machozi yamenitoka siyo mkiwa na crown tu mnatuvimbia

  • @SaumuNinga-np5zb

    @SaumuNinga-np5zb

    Жыл бұрын

    Hamna hata ww unavimba tu mbn kuvimba haina mtu bro

  • @letisiamakonda3873

    @letisiamakonda3873

    Жыл бұрын

    Ist tu unarushiwa maji njian😆👐

  • @philipocharles8507
    @philipocharles8507 Жыл бұрын

    Uyo ni mjukuu😂

  • @vennyrichard2139

    @vennyrichard2139

    Жыл бұрын

    Yaan hahaaaa

  • @lavieestbelle3263
    @lavieestbelle3263 Жыл бұрын

    Mange kimambi akatudanganya ni waarabu wa dp world mbwa yule🥺🥺🥺🥺

  • @user-if3hq5gg7s

    @user-if3hq5gg7s

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @vennyrichard2139

    @vennyrichard2139

    Жыл бұрын

    Hahaaaaa

  • @yunyun799

    @yunyun799

    Жыл бұрын

    😂😂😂mange mwehu

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mhoranomuno7358

    @mhoranomuno7358

    Жыл бұрын

    Wee nae muongo kaaa alisema hapo ni Dar sio dubai hakusema ni waarabu wa dp

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 Жыл бұрын

    Mbona babu hana hizo sifa

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 Жыл бұрын

    Pesa wemezikuta sisi tumetafuta..Wacha pororjo

  • @FranciscoKatakwa

    @FranciscoKatakwa

    Жыл бұрын

    Mlaumu baba yako

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 Жыл бұрын

    Watu wana pesa ukiwa kama mtoto wa kiume pambna hizo gari baba yake ajapewa leba kapambana sasa ni kupambna tu

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 Жыл бұрын

    Kuweni na changa dumu. Tanzania imewatajirisha. Wanaowana wenyewe kwa wenyewe. 😢

  • @wadantz123

    @wadantz123

    Жыл бұрын

    😆😆 wabaguz awa huwaga awachanganyi damu wanaoana wenyew kwa wenyew

  • @massejobbs4284

    @massejobbs4284

    Жыл бұрын

    @@wadantz123 kweli . Sisi tunawapa nafasi yakuwa mabilionea, lakini sisi atuwezi kamwe kua milionea kwao. Wabaguzi warangi . Sisi watu weusi ni jinga sana. Sorry lakini kweli…

  • @chiefonlinetv

    @chiefonlinetv

    Жыл бұрын

    Chukueni maneno yangu hawa warab sio wabaguz ila ni sisi wenyew tunawaonyesha wao kuwa tuna njaa ya pesa ukiwa na huo uroho wa mal milele utakaa ukisema wabaguz ila mbona sisi tunaish nao vzur tu kama ndugu zetu jifunze hiki kitu weka njaa pembeni jifunze kuchangamkia watu wenye hela utakuja kunishukuru huna pesa alafu unajiskia mswahil anakwambia kaa na watu uvae viatu

  • @mohamedsaid2882

    @mohamedsaid2882

    Жыл бұрын

    Dah mwamba sijakuelewa unataka kuwa ndugu yao ama kuwa na hela dah njaa mbaya sana aisee😂😂😂

  • @maishaforreal7798

    @maishaforreal7798

    Жыл бұрын

    Uyo niutaratibu wao na ni mzuri saanaa ata nasisi tunaweza kuufanya ila Sisi wajinga mtu mweusi akiwa na pesa nyingi anaowa mzungu ao mwarabu 😂😂😂😂😂. Wao kama wengine wamejiwekeya kusema wao ni superior so na Sisi tunaweza kujiwekeya Hilo kichwani . Kumbuka ndoa ni kitu kikubwa ndiyo maana wanafanya Ivo wao kwa wao inakuwa rahisi kuishi.

  • @planboyplatnumz7050
    @planboyplatnumz7050 Жыл бұрын

    wala hata sio mjukuu wa bahkresa😂😂 jaman watu nyie

  • @NoelChambo
    @NoelChambo Жыл бұрын

    Kuna muarabu masaki anaitwa Manzini anayo hiyo Ferrari kitambo

  • @yunyun799

    @yunyun799

    Жыл бұрын

    Ferrari yake ya mwaka gani😂😂😂

  • @NoelChambo

    @NoelChambo

    Жыл бұрын

    @@yunyun799 kama hiyo unayoiona hapo, mimi nimeiona mwaja jana, na bongo ilikuwa ya kwanza. Tembeeni nyie msikae tu mbagala

  • @mliwakhatib9457
    @mliwakhatib9457 Жыл бұрын

    Manage kimambi kapotosha maku yule

  • @adamelly6051
    @adamelly6051 Жыл бұрын

    Mange kimambi akae kwa kutulia xxa

  • @dinoboyarnold661
    @dinoboyarnold661 Жыл бұрын

    Acha Uongo mzee uwe unafatilia habari kwa Uhakika ndo utoe habari

  • @eddyology7304
    @eddyology7304 Жыл бұрын

    Wapi kajala 1 na 2 tena zote ni renjiiii 😂

  • @hanifaally4694

    @hanifaally4694

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @SaumuNinga-np5zb

    @SaumuNinga-np5zb

    Жыл бұрын

    Ndio uwezo wake babu naww onyesha wako

  • @letisiamakonda3873

    @letisiamakonda3873

    Жыл бұрын

    😆😆😆😆👐

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Жыл бұрын

    Kimfaacho mtu chake mpe

  • @yusufurhobi9678
    @yusufurhobi9678 Жыл бұрын

    Hivi katika huo msafara kuna gari la rolls-royce

  • @adrianalberto7043

    @adrianalberto7043

    Жыл бұрын

    Hapana ile Ni bentely

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Жыл бұрын

    Halafu utawasikia wabongo Mo Dewji ana hela mbele ya Bakhresa mawe

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 Жыл бұрын

    Wache wapewe bandari 😂

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Жыл бұрын

    Ndio mipango ya mungu wengine wanazo wengine wanalia njaa😂

  • @salma-fc4xc

    @salma-fc4xc

    Жыл бұрын

    Ndio ila utajiri wa dunia ni wa muda mfupi sana MUNGU atujaalie Utajiri wa dunia na wa akhera 🤲🙏

  • @massejobbs4284

    @massejobbs4284

    Жыл бұрын

    Acha ujinga wewe . Wapi mungu amekubali umaskini. Akili fupi sana. Jaribu kujitafuta.

  • @issazalala4907

    @issazalala4907

    Жыл бұрын

    @@massejobbs4284 daaah 🤣 umeshinda kaka

  • @massejobbs4284

    @massejobbs4284

    Жыл бұрын

    @@issazalala4907 ata wewe ni milionea. Asikutishe mtu… Mungu apendeleyi. Jitume tu. Poa

  • @user-bj6ej6gm4u

    @user-bj6ej6gm4u

    Жыл бұрын

    Sio mipango ya Mungu. Mungu ni mwenye rehema, neema na huruma. Ila tu sio kila mtu yupo tayari kufuata kanuni za kazi na kanuni za kimungu ili abarikiwe kuwa na mafanikio. Maanaa umiliki wa vitu ni baraka

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 Жыл бұрын

    Wana haki sababu pesa wamezikuta kwa babu

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 Жыл бұрын

    Weka video bana

  • @fabiolarespiki1120

    @fabiolarespiki1120

    Жыл бұрын

    Kumbuka Hawa Wana urisi wa Babu Yao uwezi walinganisha na wabongo walianza kutafuta wenywe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    ✌️🙏👊.

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Жыл бұрын

    Uyo mjukuuu aya na mtoto jeee aya inge kuwa wale jamba nani clown tu dunia zima najua lakn awa wala bilion tano ipo bara aran

  • @abubakarsanya2824

    @abubakarsanya2824

    Жыл бұрын

    Hata hujui kiswahili basi andika ki lugha chako

  • @mwaramimwarami1479

    @mwaramimwarami1479

    Жыл бұрын

    ​@@abubakarsanya2824 sio vizuri,hata kama kakosea lkn ameeleweka

  • @SaumuNinga-np5zb

    @SaumuNinga-np5zb

    Жыл бұрын

    @@mwaramimwarami1479 m sijaelewa bwana hahahahaha

  • @SaumuNinga-np5zb

    @SaumuNinga-np5zb

    Жыл бұрын

    @@abubakarsanya2824 na wew onyesha yako

  • @user-hv1oz4ei3t
    @user-hv1oz4ei3t Жыл бұрын

    Wajinga nyie ata baiskeli no usafiri pia

  • @salimalesry428
    @salimalesry428 Жыл бұрын

    Wabongo wajinga sana gari 3 tu za kawaida eti umeisimamisha dar hapa kwetu wabedui wanabebea mbuzi hizo gari na majani ya mifugo eti unyama mwingi wajinga sana

  • @user-bj6ej6gm4u

    @user-bj6ej6gm4u

    Жыл бұрын

    SIO UJINGA. kwetu Tz sio kitu cha kawaida. Hizo gari ni gharama mzee. Usiongee kujifurahisha. Plus share hio content ya picha 100 jinsi zinavyobeba majani ili tukuamini. Usiongee tu with no data

  • @salimalesry428

    @salimalesry428

    Жыл бұрын

    @@user-bj6ej6gm4u tatizo washamba wa magari hizo mnaona gari za kifahali hapa zinabeba mbuzi na majani wewe vipi unataka picha njoo inbox na nipo njiani naelekea huko huko wanapobebea majani usiwe mjinga na wewe mmojawapo

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    Жыл бұрын

    Hata mim nashangaa wanawasifia wakati ni magari ya kawaida tu hata tajiri wa kawaida tu anaweza kumiliki. Mim naamini hiyo ferrari haifikii bei ya Rolls Royce.

Келесі