Mjukuu wa Bakhresa na msafara wa Ferrari na Mercedes G-Wagon 2 Dar, watu wana hela!
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Пікірлер: 173
Maashaallah tabaarakallah
Bakhresa amekuwa akisaidia watu masikini na Allah anamuongezea riziki yake watu wote matajiri muwe kama bakhresa muwe mnatoa misaada kwa masikini na watoto yatima na mungu anawaruzuku zaidi
@user-lt1bi5nr1x
20 күн бұрын
Mshauri akahiji makha
Wengine wanatoboa mpakapua acha mungu aitwemungu pesa za mungu hakutumi utoekafara yakuvaa sketi kutoboapua kusuka kuweka mkonga wayembo unaangalia matakon achamungu awejuu yakilakitu namwenyeezimungu akipa neema mzee ionyeshe tuh siunaona mafukara tunafulahi ilaeachawi wananuna wenyeiman kamwe aldhi yamungu tupodaradan asante mungu
Wazee tusiwaze sana peponi yapo hayo tufanye ibada kwa sana tu
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@user-bj6ej6gm4u
Жыл бұрын
Ni kweli. Lakini tupo dunian kwa kusudi maalumu la Mungu. At the moment tuna jiweka safi kujuandaa na pepo tukumbuke kutumiza kusudi la Mungu la kutuweka dunian, tufanye mabadiliko yenye thaman na return yake ndo vitu vya thamani kama hivo. Mungu ametuumba na kutuleta duniani ili tuiboreshe
Good job home land 🇺🇸
Hapo ni mjukuu wa Bakhresa. Zayd Yusuf Bakhresa. Na mtoto wa GSM. Mohamed Ghalib
Umaskini una kazi,utaanza kumchambua mtu,kabila,rangi dini n.k, rangi nyeusi ni laana ya mungu
@nightwishisthegreatestband6355
Жыл бұрын
Speak for yourself
Aisee
Noma sana wasani mwenye bado hapo 😂😂😂😂 that is the Lifestyle 😊
@KaaJoo-zo7ol
Жыл бұрын
Wangekuwa wasanii watanzania umwinyi mwingi
Mjukuuuuu👏👏👏👏
Wako na unyama kama huu afu kimya duh 🙄 kweri pesa inaongea
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
Pesa haitaki kelele
@samuelemmanuel3400
Жыл бұрын
@@nassirmohamed8492 😂😂 sio kina mondi aki nunua boxer mpya yupo mtanaoni 😂
@eladiuspeter586
Жыл бұрын
@@samuelemmanuel3400 brother tofautisha pesa ya kutafta na ya kutaftiwa. Vile vile hamna gari ya bei ya gari ya diamond hata Moja hapo.
Wameamua kuwaonesha wasanii wenye vihele hele kwamba wao sikitu
@yunyun799
Жыл бұрын
😂😂😂hhahaha
@letisiamakonda3873
Жыл бұрын
Aiseee👐
Usiseme atuna hela sema sina hela😢😂
@danielmwass8253
Жыл бұрын
😅😅😅
@lexq-sm6lq
Жыл бұрын
sio atuna, ni hatuna
@pikanaauntzuu1466
Жыл бұрын
😂😂😂kwakweli asitujumlishe kwenye shida zake ni yy hana sio wote😊
@yunyun799
Жыл бұрын
😂😂😂
Mange kadanganya watu kumbeee,, oooh waarabu
Maisha hayafanani hata kidogo ! Na kila mtu ataishi jinsi Mungu alivyomjalia hatuishi kwa kufanana hata kidogo! Mtu anaweza kuonyesha baiskel yake hapo halafu mtu mwengine anakushaa , lakini kila anajikuna anapoweza na aliyeonyesha baiskel na aliyeonyesha gari wote ni the same! Tunafarahi Mwenyezimungu awajalie zaidi wote !
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
Sana yaani afu haimanishi mpk uwe na kikubwa ndo uonyeshe hata kdg safi tu
Tanzania bado sana jaman nenden Nigeria muone magar ya kishua mtazimia
@mosimba467
Жыл бұрын
Nigeria kitugani nenda Hollywood uone vitu
@editorfrank7471
Жыл бұрын
Sijataka huko mbali kote,nmetaka ujue hapa hapa africa kuna matus ya kutosha
Kuna watu wanaviset wanasumbua sn wenye pesa awo wapo kimyaaaaa
@yussufritzy7684
Жыл бұрын
Wanaovimba ni wamezitafuta wao
@Emedroadtocanada
Жыл бұрын
Kabsa
Karibu mayele
Akhi sina ela dah
Angekuwa cheif god love.....tungetukanwa mpk kiama kinatukuta walllah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@efronaaron6772
Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃
@atislady3400
Жыл бұрын
I think hayupo sawa 5days back ety anakunywa dam ya ng'ombe live
Bro hapo sio Gwagon mbili Ziko Gwagon tatu huyo anae piga picha mwenyewe yupo ndani ya Gwagon, alafu mbele ya hizo Gwagon kuna benzi nyingine g class pia Kama ya 400m Hivi jime sahau ni g ngapi number yake Ila jua hao hela ipo bro
@suleimanally-rp8yh
Жыл бұрын
We nawe wajua kuangalia magari ya watu we huna 😅😅😅nunua mwanzo IST si kuangalia magari ya watu tu😂😂
Asili ya waarabu ni kuendeleza pesa lkn ingekuwa watanzania ni kula bata tu mpk pesa iishe afu mwishowe anabakia kapuku na kuwa omba omba au anaanza kula madawa kuondoa msongo wa mawazo
@maryamtan682
Жыл бұрын
Na kujipamba pia . Ndo shida ya watu weusi ss.
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Ndio maana tukawapa bandari
@maryamtan682
Жыл бұрын
@@alzawahirabdallah2299 😜😜😜😜
@kazikazini1042
Жыл бұрын
Hao ni watanzania
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@kazikazini1042 asili yao wapi mo dewji mtanzani lakini asili yake india aw kabila lake muhindi utanzania ni uraia tu
ACHA NIENDELEE KUTAFUTA PESA ALLAH NIJALIE 🙏🏾
Wapo na pesa zao na Hawa jionyeshi Sasa sisi wasanii mmmmmmm tuna jisifu suti tu milioni 3 ona Sasa wenye nazo kimya kimya na makanzu tu
Hongera zao
Eshima kubwa kwao
Halafuwako kimya hawanamasifa
@mohdykessy5855
Жыл бұрын
Siku zote pesa haitaji kelele si umeona tv za bank hazinaga sauti
@papaamponda397
Жыл бұрын
😂😂
@mackysuphian
Жыл бұрын
@@mohdykessy5855 😂🤣🤣🤣duuj weweee
@amour5535
Жыл бұрын
@@mohdykessy5855 duuh ww noma sanaaa sanaaa
@benedictomihayo9948
Жыл бұрын
@@mohdykessy5855 😂😂😂😂
Narekebisha SIO shughuri ya mjukuu wa bakhresa ni harusi ya kijana mwingine kabisa MWENYE KUJITAMBUA NA KUJIWEZA anaitwa MAZI.......na sio familia ya AZAM ila anaushikaji na watoto wa bakhresa na GSM.
@planboyplatnumz7050
Жыл бұрын
mazin sio mazi😅
@planboyplatnumz7050
Жыл бұрын
yah ilikuwa harusi
@abdallahmhenga528
Жыл бұрын
@@planboyplatnumz7050 sikutaka kumalizia sheikh namjua
@aminatanzanya7475
Жыл бұрын
Tunashukur kwa kutujuz
Kikubwa uzima ata mini mbarikiwa
Huyu ni mjukuuu tuuu jmn😢😢😢ngoja tuone kitukuuuu
@letisiamakonda3873
Жыл бұрын
😆
Umeshasema mjukuu wa bakhresa bass
Habibi tayar wameshaingia mzigoni 🤣🤣🤣🤣🤣 Malinda ya vijana yakae saw .....🏃🏃
@hassanihussein4479
Жыл бұрын
Unaonyesha ni shoga wewe
@crayonmaze9970
Жыл бұрын
Kwa akili za hivi Tanzania itabaki kuwa nyuma siku zote
Uyo mwingine mtoto wa gsm
Mfano angekuwa diamond hapo 😂😂😂
Hii inaitwa Tajiri haonekani ingelikuwa kina Diamond apo na Harmonize vifua kama ukuta
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
😂😂😂
@eliashibundabalinze2217
Жыл бұрын
Diamond kazitafta hela kwa mikono yake mwenyewe, Hao wamezikuta yaani ni urithi... Mbwa wewe huoni utofauti?
Mweee
Yuko wapi godlove
@travistones8159
Жыл бұрын
chief mwenyew nyamisifa🤣🤣
Watu wametoka kipovu jana 😂 eti waarabu ndo wanaigia hao wabongo 😂
Hao ni waarabu sio watanzania
Mwenye izo gar anaitwa manzini
Mtoto wa GSM katikati
Ata deni la unipigie tafu sijamaliza kulipa🤣🤣🤣😂
@vivianmassao
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Sheckhe huyo sio mjukuu wa backhresa huyo ni Mazzen mmiliki wa Quality Fix garage Tz-ndo mwenye hiyo ferralli inaitwa Spider-na ni muhindi sio muarabu-acha kutu miss lead-mjukuu wa bakhresa hapo hahusiki zaidi ya kuwa ni mshkaji tu wa Mazzen
Daimond njoo huku uone😂😂
Mbna hazina plate number
Haya Mambo yanamsaidiaje mtu mwenye njaa)))
@nicksonnovart5788
Жыл бұрын
Acha kukaza fuvu watu wasiishi sababu kuna wenye njaa
@Kennrique
Жыл бұрын
Kaka ebu tafuta hela
@crayonmaze9970
Жыл бұрын
Haya mambo yanamfanya mwenye njaa kama wewe apate hamasa ya kutafuta hela na sio alete majungu mitandaoni
Hawana lolote,kabiru ndio tajiri$1996$
Mtoto WA Yusuf huyo amekuwa Kwel kwel
😂bandari
Watu wenye pesa awanaga mbwembwe bwana si unaona hayo maisha kama American kume ni bongo jamani khaaa...
Yy ndo anauza gar kali za kifahar tanzania nzima
Sasa daimond anasemag ana hela
@ITIGIEMERGENCEPHONEYM
Жыл бұрын
Kajala 1 and 2 tena zote n range😅
Ila nyi wabongo 😂😂 si kwa ubaya hao si wabongo ni wahindi na WARABU Ila wanakaa bongo nyi hamuoni hawana asili ya kibongo hao si wenzenu nyi mnateseka tu😅😅😅
Mbaka machozi yamenitoka siyo mkiwa na crown tu mnatuvimbia
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
Hamna hata ww unavimba tu mbn kuvimba haina mtu bro
@letisiamakonda3873
Жыл бұрын
Ist tu unarushiwa maji njian😆👐
Uyo ni mjukuu😂
@vennyrichard2139
Жыл бұрын
Yaan hahaaaa
Mange kimambi akatudanganya ni waarabu wa dp world mbwa yule🥺🥺🥺🥺
@user-if3hq5gg7s
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@vennyrichard2139
Жыл бұрын
Hahaaaaa
@yunyun799
Жыл бұрын
😂😂😂mange mwehu
@mashramadhani1989
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@mhoranomuno7358
Жыл бұрын
Wee nae muongo kaaa alisema hapo ni Dar sio dubai hakusema ni waarabu wa dp
Mbona babu hana hizo sifa
Pesa wemezikuta sisi tumetafuta..Wacha pororjo
@FranciscoKatakwa
Жыл бұрын
Mlaumu baba yako
Watu wana pesa ukiwa kama mtoto wa kiume pambna hizo gari baba yake ajapewa leba kapambana sasa ni kupambna tu
Kuweni na changa dumu. Tanzania imewatajirisha. Wanaowana wenyewe kwa wenyewe. 😢
@wadantz123
Жыл бұрын
😆😆 wabaguz awa huwaga awachanganyi damu wanaoana wenyew kwa wenyew
@massejobbs4284
Жыл бұрын
@@wadantz123 kweli . Sisi tunawapa nafasi yakuwa mabilionea, lakini sisi atuwezi kamwe kua milionea kwao. Wabaguzi warangi . Sisi watu weusi ni jinga sana. Sorry lakini kweli…
@chiefonlinetv
Жыл бұрын
Chukueni maneno yangu hawa warab sio wabaguz ila ni sisi wenyew tunawaonyesha wao kuwa tuna njaa ya pesa ukiwa na huo uroho wa mal milele utakaa ukisema wabaguz ila mbona sisi tunaish nao vzur tu kama ndugu zetu jifunze hiki kitu weka njaa pembeni jifunze kuchangamkia watu wenye hela utakuja kunishukuru huna pesa alafu unajiskia mswahil anakwambia kaa na watu uvae viatu
@mohamedsaid2882
Жыл бұрын
Dah mwamba sijakuelewa unataka kuwa ndugu yao ama kuwa na hela dah njaa mbaya sana aisee😂😂😂
@maishaforreal7798
Жыл бұрын
Uyo niutaratibu wao na ni mzuri saanaa ata nasisi tunaweza kuufanya ila Sisi wajinga mtu mweusi akiwa na pesa nyingi anaowa mzungu ao mwarabu 😂😂😂😂😂. Wao kama wengine wamejiwekeya kusema wao ni superior so na Sisi tunaweza kujiwekeya Hilo kichwani . Kumbuka ndoa ni kitu kikubwa ndiyo maana wanafanya Ivo wao kwa wao inakuwa rahisi kuishi.
wala hata sio mjukuu wa bahkresa😂😂 jaman watu nyie
Kuna muarabu masaki anaitwa Manzini anayo hiyo Ferrari kitambo
@yunyun799
Жыл бұрын
Ferrari yake ya mwaka gani😂😂😂
@NoelChambo
Жыл бұрын
@@yunyun799 kama hiyo unayoiona hapo, mimi nimeiona mwaja jana, na bongo ilikuwa ya kwanza. Tembeeni nyie msikae tu mbagala
Manage kimambi kapotosha maku yule
Mange kimambi akae kwa kutulia xxa
Acha Uongo mzee uwe unafatilia habari kwa Uhakika ndo utoe habari
Wapi kajala 1 na 2 tena zote ni renjiiii 😂
@hanifaally4694
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
Ndio uwezo wake babu naww onyesha wako
@letisiamakonda3873
Жыл бұрын
😆😆😆😆👐
Kimfaacho mtu chake mpe
Hivi katika huo msafara kuna gari la rolls-royce
@adrianalberto7043
Жыл бұрын
Hapana ile Ni bentely
Halafu utawasikia wabongo Mo Dewji ana hela mbele ya Bakhresa mawe
Wache wapewe bandari 😂
Ndio mipango ya mungu wengine wanazo wengine wanalia njaa😂
@salma-fc4xc
Жыл бұрын
Ndio ila utajiri wa dunia ni wa muda mfupi sana MUNGU atujaalie Utajiri wa dunia na wa akhera 🤲🙏
@massejobbs4284
Жыл бұрын
Acha ujinga wewe . Wapi mungu amekubali umaskini. Akili fupi sana. Jaribu kujitafuta.
@issazalala4907
Жыл бұрын
@@massejobbs4284 daaah 🤣 umeshinda kaka
@massejobbs4284
Жыл бұрын
@@issazalala4907 ata wewe ni milionea. Asikutishe mtu… Mungu apendeleyi. Jitume tu. Poa
@user-bj6ej6gm4u
Жыл бұрын
Sio mipango ya Mungu. Mungu ni mwenye rehema, neema na huruma. Ila tu sio kila mtu yupo tayari kufuata kanuni za kazi na kanuni za kimungu ili abarikiwe kuwa na mafanikio. Maanaa umiliki wa vitu ni baraka
Wana haki sababu pesa wamezikuta kwa babu
Weka video bana
@fabiolarespiki1120
Жыл бұрын
Kumbuka Hawa Wana urisi wa Babu Yao uwezi walinganisha na wabongo walianza kutafuta wenywe
✌️🙏👊.
Uyo mjukuuu aya na mtoto jeee aya inge kuwa wale jamba nani clown tu dunia zima najua lakn awa wala bilion tano ipo bara aran
@abubakarsanya2824
Жыл бұрын
Hata hujui kiswahili basi andika ki lugha chako
@mwaramimwarami1479
Жыл бұрын
@@abubakarsanya2824 sio vizuri,hata kama kakosea lkn ameeleweka
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
@@mwaramimwarami1479 m sijaelewa bwana hahahahaha
@SaumuNinga-np5zb
Жыл бұрын
@@abubakarsanya2824 na wew onyesha yako
Wajinga nyie ata baiskeli no usafiri pia
Wabongo wajinga sana gari 3 tu za kawaida eti umeisimamisha dar hapa kwetu wabedui wanabebea mbuzi hizo gari na majani ya mifugo eti unyama mwingi wajinga sana
@user-bj6ej6gm4u
Жыл бұрын
SIO UJINGA. kwetu Tz sio kitu cha kawaida. Hizo gari ni gharama mzee. Usiongee kujifurahisha. Plus share hio content ya picha 100 jinsi zinavyobeba majani ili tukuamini. Usiongee tu with no data
@salimalesry428
Жыл бұрын
@@user-bj6ej6gm4u tatizo washamba wa magari hizo mnaona gari za kifahali hapa zinabeba mbuzi na majani wewe vipi unataka picha njoo inbox na nipo njiani naelekea huko huko wanapobebea majani usiwe mjinga na wewe mmojawapo
@rumdeesonsoa1811
Жыл бұрын
Hata mim nashangaa wanawasifia wakati ni magari ya kawaida tu hata tajiri wa kawaida tu anaweza kumiliki. Mim naamini hiyo ferrari haifikii bei ya Rolls Royce.