OMMY DIMPOZ ashoot video yake mpya kwenye JUMBA la KIFAHARI la BAKHRESA lenye thamani BILIONI 30

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 42

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah364411 ай бұрын

    Mashallah ❤🔥🔥

  • @Zenny89
    @Zenny8911 ай бұрын

    Location Nzuri, Nyumba nzuri, color ya video nzuri..Maudhuhi mazuri…Ila kwa msichana aliyemtumia Kama video vixen kaaribuuu!!! Ugh!!! Kwanini wamelitumia Miss Masifa Niffer🙄🙄.. Komwe limeharibu shoot.

  • @Casanovatz

    @Casanovatz

    11 ай бұрын

    Acha wivu

  • @yassirgiya6743

    @yassirgiya6743

    11 ай бұрын

    Apo kwenye colour 💥

  • @afrocushitic

    @afrocushitic

    11 ай бұрын

    Kwani sio binadamu kama wewe unamuona mbaya wengine wanamuona mzuri

  • @kdloon2030

    @kdloon2030

    11 ай бұрын

    Too judgemental,wewe yaelekea ulijiumba mwenyewe na umekamilika kila idara,ulitaka wakutumie wewe kama video vixen au ni wivu tuu wakusumbua na roho ya chuki?

  • @muduboy726

    @muduboy726

    11 ай бұрын

    Wivu

  • @abedomar5183
    @abedomar518311 ай бұрын

    Video nzuri sema jamaa kuimba hajui kabisa yeye afanye kazi tu kwa Gsm muziki kwake is too late

  • @MeddyClever
    @MeddyClever11 ай бұрын

    Bro hii ni kitu cha kawaida bhana isn't a big deal.. I've seen two Nigerian KZreadrs filming this building kotekote.. and it ain't bakhresa's house that he lives in.. hii ni property ya mwamba kwenye mji unaitwa fumba town na nyumba inauzwa $12m I think ungekutafuta namna nyingine ya ku address hii content yako

  • @Hissaba

    @Hissaba

    11 ай бұрын

    Ni property ya bakhressa group Kweny hiy video unayosema ipo kw promotion purpose Kw music video ommy ndio wa kwanz Mji wote wa Fumba Upcoming unamilikiwa na Bakhressa Group bro Acha ujuaji au kuna sehem umeambiw bakhressa anaishi humo??

  • @l.m.a.7570
    @l.m.a.757011 ай бұрын

    Nyimbo yenyewe mbovu

  • @ramadhankakai7303

    @ramadhankakai7303

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @josephamakobe8404
    @josephamakobe840411 ай бұрын

    Nani amesikia wimbo wa FOUNDER TZ NITOKAJE

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th11 ай бұрын

    kwa taarifa nililnayo omy ameruhusiwa kushoot jikon bafuni tu bac

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy9511 ай бұрын

    Watu wanaishi mashallah haya muhimu uhai ipo siku na cc inshallah

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    11 ай бұрын

    Dunia 2 maisha halisi yapo peponi na raha zake ni za maisha ya kudumu huwezi kuja linganisha ataa kidogo na maisha ya duniani

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115411 ай бұрын

    Kuna watu waishi inshallah one day na mie

  • @milazoomilazoo4494
    @milazoomilazoo449411 ай бұрын

    Omyi katishaAa na kumkubalii lazimaaaaa wa kwanza milazooo apaa

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe11 ай бұрын

    Jumba limejengwa for businesses linauzwa hilo wenye pesa waende wachukue mjengo

  • @Sosedeline
    @Sosedeline11 ай бұрын

    Hujui ako. Krbu na daimond

  • @alexmmbaga441
    @alexmmbaga44111 ай бұрын

    Kwaiyo tunamsifia yeye kushoot kwenye nyumba ya watu

  • @segeospatialtechnology7482

    @segeospatialtechnology7482

    11 ай бұрын

    😅😅

  • @priscamrekoni3451

    @priscamrekoni3451

    11 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @iktharsalum7440

    @iktharsalum7440

    11 ай бұрын

    Hilo nitangazo na hizo nyumba zinauzwa

  • @harounbanzi3948

    @harounbanzi3948

    11 ай бұрын

    Noma sana

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz721411 ай бұрын

    APA NAMTAGI VIPI ASAKE AJE AONE HII

  • @akimanaarlene851
    @akimanaarlene85111 ай бұрын

    Jamani huo tajili backlessa anaishi wapi?

  • @barakamwamba288

    @barakamwamba288

    11 ай бұрын

    Dubai

  • @user-jq7dd6jo3y

    @user-jq7dd6jo3y

    11 ай бұрын

    Geto

  • @user-jz7bn2kx9o

    @user-jz7bn2kx9o

    11 ай бұрын

    Haishi bongo labda watoto wake

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii11 ай бұрын

    Hizi xipo nyingi fumba zipo xinazouzwa bei mbaya hatar matajir wananunuwa

  • @AbuuNachacha
    @AbuuNachacha11 ай бұрын

    Uyo shoga bakhlesa kashamuoa uyo

  • @its_khalidy_46

    @its_khalidy_46

    11 ай бұрын

    Ukibadilisha mtazamo wako utafika mbali sana,,,

  • @abedomar5183
    @abedomar518311 ай бұрын

    Nonsense hakuna lolote mji wenyewe kama ghost 👻 tu

  • @twalibmzee2812

    @twalibmzee2812

    11 ай бұрын

    Saw ndio kwetu na ndipo Mungu alipotupa tunashkur kwa hicho tulichopew

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi80911 ай бұрын

    Ni shoga wa warabu.Nani hajuwi kwamba ni homosexuel shoga wamatajiri na KIKWETE

  • @CatherineNzeki

    @CatherineNzeki

    11 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @choggysly3541

    @choggysly3541

    11 ай бұрын

    Nyinyi ndio mkitiwa ndani kwa kujiripokea hovyo kwa vibando vyenu vya mia tano hivyo ,familia nzima hata ichange haiwezi kukudhamini ,hebu tulieni muwe na adabu

  • @sundaysenga7608
    @sundaysenga760811 ай бұрын

    nyimbo iwe nzuri sio blah blah

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane270611 ай бұрын

    Sasa awa mdio wasani wakubwa

  • @saidadam2165
    @saidadam216511 ай бұрын

    Bweleo na fumba ukichanga ya unapt bwefuu moja kwa moja na kwa mzee haresa watu wa fumba ndo wabamuitaa

Келесі