#EXCLUSIVE
#EXCLUSIVE: DAVID MULOKOZI ALIYETRENDI na JUMBA LAKE la KIFAHARI MANYARA - NI VIOO na MAWE ya VOLCANO...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 33
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
hongera saaana ,ni mfano wa kuigwa Africa, nyumba hii ni moja ya nyumba bora zaidi na ya kisasa zaidi Africa nzima, hadi watu wa UN Habitat wafike hapo kujionea Manyara imetisha, Tanzania 🇹🇿
I love his energy that’s literary me… staying at home is a way better than in a hotel….
Hongera sana kwake.
Nimependa wazo lakutembea ili kupata exposure. Big up kwa kazi nzuri
Interview nzuri sana ila changamoto ni mtu wa sound alishindwa kucontrol muingiliano Kuna mawimbi ya upepo sana yameharibu kazi ila big up
Big work bro naishi huku na wahaya wengi Kagera sifa nyingi but Huyu bro hana sifa kabisa keep it up ..mm strong ndo kinywaji changu hicho
Waooo, inatia MOYO sana. Hongera kwake
Mimi nimesport madayako ya kutengeneza nchi maana Tanzania ni sehemu nzuri sana duniani.
@ellgodfather282
4 ай бұрын
Ina wezekanza
kolumba interview nzur ila next time kuwa makini na sound....noise nying sana apaaa
Safi sana shem
KAZIKAZI SIO MAANDAZI..
Ndio maana Millard Ayo anawa win kila siku nyinyi media nyingine hamko serious na mnachokifanya.Yaani mmetoka koote mpaka mmefika hapo halafu lengo lililowapeleka mnalifanya ilimradi tu.sauti iko mbovu,back sound zakitosha fujo mtindo mmoja.Kuweni seriou na kazi zenu.Shame on you
@highthemetv7857
5 ай бұрын
Fungua media yako we mbwa acha kelele
@user-ho1cj3es8d
4 ай бұрын
Huo nao ni ukweli 😂
@Ryanzabron
4 ай бұрын
Ila jamaa umeongea ukweli 😂😂😂
@reubenedwinnditi9979
4 ай бұрын
Umeongea ukweli mkuu
This is huge
Unayo sema kweli ujipende ni kwelin
Nawishi kuklonana na Bilionea Mulokozii
Safiii ni msomi sn ss mwinyaku ana nyumba sio ile yako na ipo babati hii ni ndio kasiri
Nmejifunza,you are e your own limit
Huyo jamaa nitajili anae jielewa hayuko Kama wengine misifa kibao dah ongera Sana mkuu
Umeniinspire mi alot
Mwandishi wa habari anaongea Sana alitakiwa atuonyeshe nyumba iko vip mpaka ndani
Which country is this😂
@asheryyakuta8088
5 ай бұрын
Tanzania
@luganoessom1464
5 ай бұрын
mtu anaitwa masawe bado unafikiri hajui kwamba hii ni tanzania😁@@asheryyakuta8088
@mbachoclassic7818
5 ай бұрын
Nigeria
@mimikimanga3126
5 ай бұрын
Tanzania
Safi sana shem
@faustinemtui8174
4 ай бұрын
Very Inspiring . Bravo Mulolozi Sir.