#EXCLUSIVE

#EXCLUSIVE: DAVID MULOKOZI ALIYETRENDI na JUMBA LAKE la KIFAHARI MANYARA - NI VIOO na MAWE ya VOLCANO...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 33

  • @globaltv_online
    @globaltv_online5 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray74164 ай бұрын

    hongera saaana ,ni mfano wa kuigwa Africa, nyumba hii ni moja ya nyumba bora zaidi na ya kisasa zaidi Africa nzima, hadi watu wa UN Habitat wafike hapo kujionea Manyara imetisha, Tanzania 🇹🇿

  • @nin6324
    @nin63245 ай бұрын

    I love his energy that’s literary me… staying at home is a way better than in a hotel….

  • @irenekayombo5509
    @irenekayombo55094 ай бұрын

    Hongera sana kwake.

  • @abelmwakalinga2305
    @abelmwakalinga23054 ай бұрын

    Nimependa wazo lakutembea ili kupata exposure. Big up kwa kazi nzuri

  • @ThomasMselewa
    @ThomasMselewa5 ай бұрын

    Interview nzuri sana ila changamoto ni mtu wa sound alishindwa kucontrol muingiliano Kuna mawimbi ya upepo sana yameharibu kazi ila big up

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman64995 ай бұрын

    Big work bro naishi huku na wahaya wengi Kagera sifa nyingi but Huyu bro hana sifa kabisa keep it up ..mm strong ndo kinywaji changu hicho

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego44085 ай бұрын

    Waooo, inatia MOYO sana. Hongera kwake

  • @ellgodfather282
    @ellgodfather2824 ай бұрын

    Mimi nimesport madayako ya kutengeneza nchi maana Tanzania ni sehemu nzuri sana duniani.

  • @ellgodfather282

    @ellgodfather282

    4 ай бұрын

    Ina wezekanza

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula39695 ай бұрын

    kolumba interview nzur ila next time kuwa makini na sound....noise nying sana apaaa

  • @subiradaud711
    @subiradaud7115 ай бұрын

    Safi sana shem

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole74412 ай бұрын

    KAZIKAZI SIO MAANDAZI..

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha14135 ай бұрын

    Ndio maana Millard Ayo anawa win kila siku nyinyi media nyingine hamko serious na mnachokifanya.Yaani mmetoka koote mpaka mmefika hapo halafu lengo lililowapeleka mnalifanya ilimradi tu.sauti iko mbovu,back sound zakitosha fujo mtindo mmoja.Kuweni seriou na kazi zenu.Shame on you

  • @highthemetv7857

    @highthemetv7857

    5 ай бұрын

    Fungua media yako we mbwa acha kelele

  • @user-ho1cj3es8d

    @user-ho1cj3es8d

    4 ай бұрын

    Huo nao ni ukweli 😂

  • @Ryanzabron

    @Ryanzabron

    4 ай бұрын

    Ila jamaa umeongea ukweli 😂😂😂

  • @reubenedwinnditi9979

    @reubenedwinnditi9979

    4 ай бұрын

    Umeongea ukweli mkuu

  • @juniorstanford1467
    @juniorstanford14675 ай бұрын

    This is huge

  • @dn.n4983
    @dn.n49835 ай бұрын

    Unayo sema kweli ujipende ni kwelin

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole74412 ай бұрын

    Nawishi kuklonana na Bilionea Mulokozii

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2775 ай бұрын

    Safiii ni msomi sn ss mwinyaku ana nyumba sio ile yako na ipo babati hii ni ndio kasiri

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu73375 ай бұрын

    Nmejifunza,you are e your own limit

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege52154 ай бұрын

    Huyo jamaa nitajili anae jielewa hayuko Kama wengine misifa kibao dah ongera Sana mkuu

  • @user-rg1xe7we7b
    @user-rg1xe7we7b5 ай бұрын

    Umeniinspire mi alot

  • @sarahminja7255
    @sarahminja72555 ай бұрын

    Mwandishi wa habari anaongea Sana alitakiwa atuonyeshe nyumba iko vip mpaka ndani

  • @massawemrlowprice3949
    @massawemrlowprice39495 ай бұрын

    Which country is this😂

  • @asheryyakuta8088

    @asheryyakuta8088

    5 ай бұрын

    Tanzania

  • @luganoessom1464

    @luganoessom1464

    5 ай бұрын

    mtu anaitwa masawe bado unafikiri hajui kwamba hii ni tanzania😁@@asheryyakuta8088

  • @mbachoclassic7818

    @mbachoclassic7818

    5 ай бұрын

    Nigeria

  • @mimikimanga3126

    @mimikimanga3126

    5 ай бұрын

    Tanzania

  • @subiradaud711
    @subiradaud7115 ай бұрын

    Safi sana shem

  • @faustinemtui8174

    @faustinemtui8174

    4 ай бұрын

    Very Inspiring . Bravo Mulolozi Sir.

Келесі