Picha za Jumba la kifahari la Spika wa Bunge Dk Tulia zawa gumzo!

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 47

  • @user-bm9hh4ku4d
    @user-bm9hh4ku4d3 ай бұрын

    Kwa kweli. Big up Sana mweshimiwa

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial56768 ай бұрын

    Jamani eeeer!! Hiyo nyimba ni ya serikali ambapo mbunge kulinga a na wadhifa alonao kitaifa anapaswa kukaa hapo, msijesema kaupiga mwingi!!

  • @thomaswilbert6431
    @thomaswilbert64318 ай бұрын

    Ukiwa ndani ya serikali ujue tayari upo nusu pepo

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana62708 ай бұрын

    Kumbukeni ana mme

  • @LucyKulaya-bj5ow

    @LucyKulaya-bj5ow

    8 ай бұрын

    Je watoto?

  • @dorisfabian4776

    @dorisfabian4776

    8 ай бұрын

    @@LucyKulaya-bj5ow wawili wa kiume

  • @youngzubelyzubely2288

    @youngzubelyzubely2288

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂 bonge la point. Wengi walisahau aisee hyo kuwa na mme

  • @Fgldesigns

    @Fgldesigns

    8 ай бұрын

    Ni yake hawajasema ya mumewe

  • @issazalala4907
    @issazalala49078 ай бұрын

    Hela zetu hizoo😂

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc8 ай бұрын

    Nyumba ya serikali hiyo kama Ikulu tu zote ni mali za JMT wabongo punguzeni makasiriko

  • @brytonmbilinyi4560
    @brytonmbilinyi45608 ай бұрын

    majizi hoo wanamaliza nchiyetu tutakutana mbele yasafai

  • @SebastianOlleny-nw1wh
    @SebastianOlleny-nw1wh8 ай бұрын

    Nyumba ipi area E maeneo ya flamingo nyumba ina cctv za kutosha na nyumba ni kali balaaaa

  • @rasvegas8991
    @rasvegas89918 ай бұрын

    Sio anamiliki mwanamke Kwan sianamwanaume

  • @comics3437
    @comics34378 ай бұрын

    Impressive

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns8 ай бұрын

    Haya bhana kuleni maisha sisi tuko kuwasindikiza. 😊😊😊

  • @user-ww9gd8pb7o
    @user-ww9gd8pb7o8 ай бұрын

    Hongera mama tulia, I’m proud of you.

  • @chariedecute8200
    @chariedecute82008 ай бұрын

    Nyumba ya ndoto zangu.🥺

  • @kiatu

    @kiatu

    8 ай бұрын

    Nilidhani 43 ni umri wako kumbe ni dakika, basi comment yangu naibana 😀

  • @SabastianAbhiathan
    @SabastianAbhiathan8 ай бұрын

    Hakuna hongera hapo wanyonge pesa zitu ndo zimetumika.. wakati bibi anakufa shamba kwa kukosa huduma bora japo za elfu 30 tu😢

  • @mohdkhamis2914

    @mohdkhamis2914

    8 ай бұрын

    mfano ungelikua wewe spika isingelikaa kwenye ilo jumba?

  • @seangraceswt8037
    @seangraceswt80378 ай бұрын

    Duh😂

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt8 ай бұрын

    BIG house 🏠

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa42528 ай бұрын

    Kumbe ndio maana wanatuletea utani na kejeli kwenye Haki za Watanzania sababu wao wanaisha maisha kama wapo peponi!

  • @sponsor7882
    @sponsor78828 ай бұрын

    Hela zetu izo

  • @erastoshehoza1602

    @erastoshehoza1602

    8 ай бұрын

    Zifate

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf44298 ай бұрын

    Wezi hao

  • @malakisomwe5641

    @malakisomwe5641

    8 ай бұрын

    Inch inapigwa sana acha wajenge

  • @erastoshehoza1602

    @erastoshehoza1602

    8 ай бұрын

    Kaibe na wewe

  • @mohammadoman8963

    @mohammadoman8963

    8 ай бұрын

    Kwani halipwi si anafanya kazi

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson33888 ай бұрын

    Pesa zetu hizo😢

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu8 ай бұрын

    Mh spk Hongera kwanza Kwa kuchaguliwa kuwa KIONGOZI wa mabunge duniani kote,jambo la pili Hongera Kwa mjengo mama upo vizuri sana ,wakati wengine wanalewea na kutumia pesa zao ktk matumizi mabaya wewe uliwekeza kwenye mambo ya maana mungu akubariki lkn nakuomba SIMAMA na wanyonge mungu atakufunulia zaidi ok.❤❤

  • @dicksonmichael5793

    @dicksonmichael5793

    8 ай бұрын

    Nyumba ya serikali maalum kwaajili ya spika kama ikulu tu vile wanavyopishana

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu94928 ай бұрын

    Kuleni bata napesa za wananchi ila wote mtazama kwenye mavumbi na mungu anawangojea ma mmbwa nyie

  • @jesitinakiwale8676
    @jesitinakiwale86768 ай бұрын

    Mchawi pesa

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv8 ай бұрын

    Yote 9 ku 10 kumbukeni kua haikua rahisi wao kufika hapo walipo wali pambana pia mengi magumu wali pitia hivyo hata mie naww twaweza kufika hapo kwama penzi yamungu inshallah hivyo tupambane sana tufikie malengo

  • @onanarosse9657
    @onanarosse96578 ай бұрын

    Hongera mheshimiwa nice house🔥🔥

  • @saidthuwein2645
    @saidthuwein26458 ай бұрын

    Kwa vyeo alivyokuwa navyo i think ni nyumba ya kawaida tu kumilikiwa na mtu kama yeye...tupunguze kucomplicate majamboz

  • @user-cz2co3bc3g

    @user-cz2co3bc3g

    8 ай бұрын

    Nyumba ya mumu wake

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    8 ай бұрын

    @@user-cz2co3bc3g mumu au sio

  • @bongomastory791
    @bongomastory7918 ай бұрын

    Nyumba ya serikali hiyo

  • @florencemeza6540
    @florencemeza65408 ай бұрын

    Ndo wanakula mema ya nchi,

  • @josephmabula9658
    @josephmabula96588 ай бұрын

    Hii nyumba ya bunge,,hata ndugai alikuwa anaishi hapo

  • @hopechidera
    @hopechidera8 ай бұрын

    Me nadhani ni nyumba ya serikali ajili ya spika wa inchi na sio yake binafsi...

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi82758 ай бұрын

    Nyumba ya serikali sio yake binafsi

  • @espoiraklonda8664
    @espoiraklonda86648 ай бұрын

    Wakwaza mimi

  • @user-vg5oy7kj4b
    @user-vg5oy7kj4b8 ай бұрын

    Wez tu

  • @erastoshehoza1602

    @erastoshehoza1602

    8 ай бұрын

    Na wewe iba😂

Келесі