Picha za Jumba la kifahari la Spika wa Bunge Dk Tulia zawa gumzo!
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Пікірлер: 47
Kwa kweli. Big up Sana mweshimiwa
Jamani eeeer!! Hiyo nyimba ni ya serikali ambapo mbunge kulinga a na wadhifa alonao kitaifa anapaswa kukaa hapo, msijesema kaupiga mwingi!!
Ukiwa ndani ya serikali ujue tayari upo nusu pepo
Kumbukeni ana mme
@LucyKulaya-bj5ow
8 ай бұрын
Je watoto?
@dorisfabian4776
8 ай бұрын
@@LucyKulaya-bj5ow wawili wa kiume
@youngzubelyzubely2288
8 ай бұрын
😂😂😂😂 bonge la point. Wengi walisahau aisee hyo kuwa na mme
@Fgldesigns
8 ай бұрын
Ni yake hawajasema ya mumewe
Hela zetu hizoo😂
Nyumba ya serikali hiyo kama Ikulu tu zote ni mali za JMT wabongo punguzeni makasiriko
majizi hoo wanamaliza nchiyetu tutakutana mbele yasafai
Nyumba ipi area E maeneo ya flamingo nyumba ina cctv za kutosha na nyumba ni kali balaaaa
Sio anamiliki mwanamke Kwan sianamwanaume
Impressive
Haya bhana kuleni maisha sisi tuko kuwasindikiza. 😊😊😊
Hongera mama tulia, I’m proud of you.
Nyumba ya ndoto zangu.🥺
@kiatu
8 ай бұрын
Nilidhani 43 ni umri wako kumbe ni dakika, basi comment yangu naibana 😀
Hakuna hongera hapo wanyonge pesa zitu ndo zimetumika.. wakati bibi anakufa shamba kwa kukosa huduma bora japo za elfu 30 tu😢
@mohdkhamis2914
8 ай бұрын
mfano ungelikua wewe spika isingelikaa kwenye ilo jumba?
Duh😂
BIG house 🏠
Kumbe ndio maana wanatuletea utani na kejeli kwenye Haki za Watanzania sababu wao wanaisha maisha kama wapo peponi!
Hela zetu izo
@erastoshehoza1602
8 ай бұрын
Zifate
Wezi hao
@malakisomwe5641
8 ай бұрын
Inch inapigwa sana acha wajenge
@erastoshehoza1602
8 ай бұрын
Kaibe na wewe
@mohammadoman8963
8 ай бұрын
Kwani halipwi si anafanya kazi
Pesa zetu hizo😢
Mh spk Hongera kwanza Kwa kuchaguliwa kuwa KIONGOZI wa mabunge duniani kote,jambo la pili Hongera Kwa mjengo mama upo vizuri sana ,wakati wengine wanalewea na kutumia pesa zao ktk matumizi mabaya wewe uliwekeza kwenye mambo ya maana mungu akubariki lkn nakuomba SIMAMA na wanyonge mungu atakufunulia zaidi ok.❤❤
@dicksonmichael5793
8 ай бұрын
Nyumba ya serikali maalum kwaajili ya spika kama ikulu tu vile wanavyopishana
Kuleni bata napesa za wananchi ila wote mtazama kwenye mavumbi na mungu anawangojea ma mmbwa nyie
Mchawi pesa
Yote 9 ku 10 kumbukeni kua haikua rahisi wao kufika hapo walipo wali pambana pia mengi magumu wali pitia hivyo hata mie naww twaweza kufika hapo kwama penzi yamungu inshallah hivyo tupambane sana tufikie malengo
Hongera mheshimiwa nice house🔥🔥
Kwa vyeo alivyokuwa navyo i think ni nyumba ya kawaida tu kumilikiwa na mtu kama yeye...tupunguze kucomplicate majamboz
@user-cz2co3bc3g
8 ай бұрын
Nyumba ya mumu wake
@nancyg8664
8 ай бұрын
@@user-cz2co3bc3g mumu au sio
Nyumba ya serikali hiyo
Ndo wanakula mema ya nchi,
Hii nyumba ya bunge,,hata ndugai alikuwa anaishi hapo
Me nadhani ni nyumba ya serikali ajili ya spika wa inchi na sio yake binafsi...
Nyumba ya serikali sio yake binafsi
Wakwaza mimi
Wez tu
@erastoshehoza1602
8 ай бұрын
Na wewe iba😂