NDANI ya JUMBA la KIFAHARI la MULOKOZI - TV ya MILIONI 60 - GYM na CHUMBA cha HADHI ya RAIS...

NDANI ya JUMBA la KIFAHARI la MULOKOZI - TV ya MILIONI 60 - GYM na CHUMBA cha HADHI ya RAIS...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 187

  • @globaltv_online
    @globaltv_online4 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @christiancalvin2183
    @christiancalvin21834 ай бұрын

    Good inspiration, sio kila tajiri anakubali kukupa access ya maisha yake.. Abarikiwe sana tajiri

  • @user-lo6rw3ic7v
    @user-lo6rw3ic7v4 ай бұрын

    Nimekufurajia jinsi ulivyo humble, usiache kutoa zaka.ili Mungu aweke ulinzi Kwa Mali na afya yako.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36094 ай бұрын

    Mungu atupe na sisi 🤲🤲

  • @frankvianey2438

    @frankvianey2438

    4 ай бұрын

    Ameeen

  • @janeturio7414
    @janeturio7414Ай бұрын

    OMG OMG hongera sana umejitengeneza kisawasawa kkkkkkkk ni Mungu tu anapopita kubariki wengine anibarikie na mieeeee nakuonea raha sana bro nikipata nafasi nitakuja kukutembelea hapo kwa Royalty yako. Hallelujah Amen 👏👏👏🎊🎊

  • @ediththom8862
    @ediththom88624 ай бұрын

    Mungu nakushukuru kwa hichi kidogo ulichonijalia, na pia nakuomba unijalie my dream house

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki89784 ай бұрын

    Astahilie pongezi apatiwe pongezi zake. Hongera sana kutupatia motisha na hamasa hasa kwa wale wapendao maisha ya viwango.

  • @helentelemla5623
    @helentelemla56234 ай бұрын

    Nitatafuta pesa kwa bidii ili na mimi niwe na vitu vizuri.Mungu nisaidie

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu69554 ай бұрын

    Hongera sana umeiheshimisha Babati kwakweli umetisha.

  • @user-xt3zz7uj4g

    @user-xt3zz7uj4g

    4 ай бұрын

    Hii nyumba ipo Babat sehem gan

  • @enockramadhani7065

    @enockramadhani7065

    11 күн бұрын

    Babati mkoani

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud66484 ай бұрын

    Ndoto ya kila anayepambana katka maisha hongera boss

  • @johnwillingstone3121
    @johnwillingstone31214 ай бұрын

    Halafu muhuni wala hana maringo, yuko so simple hana habari, safi sana

  • @gindamaster1784
    @gindamaster17844 ай бұрын

    Am inspired

  • @flm1530
    @flm15304 ай бұрын

    Nawaza mbinguni itakuweje af ni uzima wa milele

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    4 ай бұрын

    Umewaza kama Mimi 😂😂😂😂

  • @PdidSule

    @PdidSule

    4 ай бұрын

    Kuna maandalizi na huko tujiandae tusikose kite duniani na huko

  • @loiswahindi3353
    @loiswahindi33534 ай бұрын

    Upo vizuri kaka, nimependa Kwa kuwa muwazi Ki hivyo. Nimejifuza Kwa kiasi kikubwa. Nami nimeshajaribu kuanzisha biashara mara nyingi Bila mafanikio, Sasa naanza Tena. Big up

  • @mrdesigner_2024
    @mrdesigner_20244 ай бұрын

    Kwenye pongezi toa pongezi,,na tuombeane Mema....Kuna masikini wengi umu😅,, wengine wanaumia wanajifanya sijui kifo, sijui mautiii,,mara usitutishe,,maneno mengiii😅Hizo zote ni ishara za umaskini na Wivu,,Tutafute hela na si tuishiii😊,, Pongezi sana kwa tajiri asiye na maringo mjini, Mungu akupe maisha marefu,,We call him new Rich in Town 🥰

  • @veronicamaghembe2102

    @veronicamaghembe2102

    4 ай бұрын

    Exactly 😅❤

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74754 ай бұрын

    Haya maisha hayan usaw kabisa kuna watu wanaishi jamn

  • @mamachris6811
    @mamachris68114 ай бұрын

    Bei ya TV imezidi mafao yangu ya miaka 37 Jamani 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @iddyhassani2219
    @iddyhassani22194 ай бұрын

    Amissi kigundu from uganda uyo nikufuru ss

  • @R.Dickon

    @R.Dickon

    4 ай бұрын

    Hamis kiggundu ...thamani ya nyumba yake ni $ 30 Mln ... yule ni cent-milionare mwenye networth $800 million

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga99774 ай бұрын

    God bless 🙏🏻

  • @maribaisack2097
    @maribaisack20974 ай бұрын

    Dah hongera sana sana

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km4 ай бұрын

    Kuna maisha mazuri zaidi ya haya huko mbinguni pia shukuru Kwa kile ulicho nacho mungu atakuongezea haya yote niya dunia tu na yanapita 😊😊

  • @davidmwita139

    @davidmwita139

    4 ай бұрын

    Acha izo kuwa inspired tafuta hela

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    4 ай бұрын

    @@davidmwita139 pesa sio kila kitu Ili uone mbingu unahitaji kuwa na mambo muhimu hapa Duniani Elimu,kula,malazi hayo mengine niya shetani.kula Chuma hicho 😋😋😂😂

  • @emmanueljoseph3815

    @emmanueljoseph3815

    4 ай бұрын

    acha hale vyake maana ata uko mbiguni atupajui 🏃🏃

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    4 ай бұрын

    @@emmanueljoseph3815 utapajua siku ukifa alafu wakati huo unateseka Huku mwili wako ukiwa mweusi tii zaidi ya masinzi Huku ndimi zako zimekutoka saizi ya kifuani

  • @user-qm2wl4pq4u
    @user-qm2wl4pq4u4 ай бұрын

    good brother, God bless you

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes95364 ай бұрын

    Nyumba kali sana.Ila cameraman ajiongeze kidogo.

  • @gloriamsaki9109
    @gloriamsaki91094 ай бұрын

    Hongera

  • @rasvegas8991
    @rasvegas89914 ай бұрын

    Hatarii

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali93464 ай бұрын

    Maisha ni mtihani tu ukiwa tajir mtihani,ukiwa maskini ni mtihani zaidi tusimameni na Ibada, Kwa Mtu ambaye amehafilika na ulimwengu na akamsahau Mungu ataona mambo makubwa sana haya ,,Mungu humpa amtakae..

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba30284 ай бұрын

    Kweli utajiri hauzoeleki sa mbona ka tajiri mwenyewe anashangaa mavitu yake makali

  • @nesymichael4286
    @nesymichael42864 ай бұрын

    Afuuu halingii jamani

  • @devisshirima6780
    @devisshirima67804 ай бұрын

    Ninapata wivu unaonisukuma kupambana zaidi hata kwa hichi nilichonacho. Ninaamini katika Mungu na katika kazi nitafanikiwa na nitafikia kila lengo langu jema ambalo Mungu amekusudia katika maisha yangu. 😊😊

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni4 ай бұрын

    Hata halingi yupo simple sana😂😂😂😂😂

  • @afyayako1053
    @afyayako10534 ай бұрын

    Afu kuna mtu kajenga kisima juu ya nyumba yake akapiga kelele wiki nzima

  • @neemaneychricious6493

    @neemaneychricious6493

    3 ай бұрын

    Hahahahahahahaha daah

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele3504 ай бұрын

    Duuh watu wako na pesa bana😮😮😮

  • @adelaidabayyo1840
    @adelaidabayyo18403 ай бұрын

    Afu haringi! Mengine yakinunua IST maji tu hatunywi😂

  • @emmanuellomnyak
    @emmanuellomnyak4 ай бұрын

    hilo ni somo tosha kwa wale vimbelembele wa kuonesha vtu vyako kuna watu kama kina MULOKOZI wana hatari sana mkuu MULOKOZI umetisha sana nakubali sana kwa TANZANIA UPO KATIKA WATU.

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles35854 ай бұрын

    Kuna watu wana nyumba mpaka wachawi wanaona aibu kwenda kuwanga😁😁😁

  • @najalinanyambo3971

    @najalinanyambo3971

    4 ай бұрын

    Wanaanzaje kwanza kwenda watapotea humo😅😅

  • @fatmaalnabhani3609

    @fatmaalnabhani3609

    4 ай бұрын

    Si wanafuata mtu anaemhitajia nyumba hawezi kuipata huyo mchawi

  • @mcback4384

    @mcback4384

    4 ай бұрын

    Serikali ya wachawi hawawezi kuachia wanga waingie hapo bila kutoa visa

  • @fatmaalnabhani3609

    @fatmaalnabhani3609

    4 ай бұрын

    @@mcback4384 Hiyo mpya sana 😂😂 na visa tena ?

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    4 ай бұрын

    ​@@mcback4384😂😂😂😂😂😂😂

  • @francomwacha2262
    @francomwacha22624 ай бұрын

    Maajabu ya hiyo nyumba yapo zaid kwenye facilities za ndani na mandhari ya nnje ya nyumba ila muundo kwa maana ya muonekano wa nyumba yenyewe naona kama wa kawaida hvi.. ila ni ni inspiration sana kwa wapambanaji 👏 👏

  • @tediusmakwara3931
    @tediusmakwara39314 ай бұрын

    very cute

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga21394 ай бұрын

    Safi sana ...japo umetunja mwandishi ...hujapitia kwenye paking bana ...any way next time ...jifunze kwa produse Michael USA 😅😅😅😅😂

  • @redtk2971
    @redtk29714 ай бұрын

    Masikini ni nani? Masikini ni yule anaewazia kifo kumuona mtu ana maisha haya wakati hata yeye anakesha kumuomba mungu ampe maisha kama haya binadamu sisi comedy sana😅

  • @rogerorio912
    @rogerorio9124 ай бұрын

    Tuanze kuandaa CV za kuomba kazi ya kuwa CEO wa hiko kiwanda cha Dawa 😅😂

  • @FreeGod368
    @FreeGod3684 ай бұрын

    Mbona tajir humble vile kama mtaftaj wa kawaida vile anasema kabisa ngoja kuwashie TV😂😂😂

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb4 ай бұрын

    Ukiwanazo zitumie maisha mafupi

  • @subiradaud711
    @subiradaud7114 ай бұрын

    Nimefurahi sana kusikia chumba cha mwanangu joyce

  • @queenmilan2024
    @queenmilan20244 ай бұрын

    msituchoshe bwana na hizi nyumba za kujenga ukuta then mnagawa vyumba na kuweka vioo. Nendeni Mwanza muone yule msichana anaishi Italy amejenga nyumba mpaka utasema mimi mbona mungu ananionea.

  • @queenmilan2024

    @queenmilan2024

    4 ай бұрын

    Nendeni mkamuhoji huyo msichana maana ni doctor hapa Italy. ana miaka 35 nadhani amani mimi nataka nizae watoto wa kike

  • @mcback4384

    @mcback4384

    4 ай бұрын

    ​@@queenmilan2024interview yake ipo wapi?

  • @emmanuelmwangosi9400
    @emmanuelmwangosi94004 ай бұрын

    Hongera Mulokozi

  • @richytarimo4656
    @richytarimo46564 ай бұрын

    nyumba ya diamondi haifui dafu hapo,,,, jamaa kapambana aisee

  • @adelinemanongi5999
    @adelinemanongi59994 ай бұрын

    Hii nyumba nzuri

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher72834 ай бұрын

    Wewe kaka nimepanda maisha.yako.naomba uniajiri plss

  • @user-xv7qp1yl8s
    @user-xv7qp1yl8s4 ай бұрын

    Huyo Joyce huyo Nina jambo name,,,,🎉

  • @drazzadrazza4165
    @drazzadrazza41654 ай бұрын

    Duh nyumba ya jamaa imenifanga nimuone mwijaku amejenga dampo la kuhifadhia taka🤣🤣🤣🤣 maisha bhana.

  • @user-mb2ek2ds1h

    @user-mb2ek2ds1h

    4 ай бұрын

    😂😂😂

  • @bablyshah2745

    @bablyshah2745

    4 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maisalakaitaba8775

    @maisalakaitaba8775

    4 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @queenmilan2024

    @queenmilan2024

    4 ай бұрын

    Hapa Italy Ana villa kubwa Kwa lake Como.

  • @Kaizirege

    @Kaizirege

    4 ай бұрын

    ​@@queenmilan2024we acha masihara 😮

  • @Kulindwa
    @Kulindwa4 ай бұрын

    Nyumba ya sh 60m haiwezi kuwa hivi maana ingekuwa nyumba ya kawaida sana...inachekesha

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96634 ай бұрын

    Anaesema binadam tuko sawa uyo nichizi

  • @shikushyamunissy9723
    @shikushyamunissy97234 ай бұрын

    kila kitu cha mulokoz ni kama ninavyowaza kasoro ni kwenye viwanda tuu yan

  • @SophiaTafuna
    @SophiaTafuna4 ай бұрын

    Hivi huyu kaka ndugu yake na Alen?

  • @nwntz
    @nwntz4 ай бұрын

    One point i take brother give me 5yrs

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani8074 ай бұрын

    Hio nyumba ndan ndio mbwembwe lkn ninyumba ya garama nafuu tu

  • @Happy-ef9kf

    @Happy-ef9kf

    4 ай бұрын

    Kajengeee

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe72844 ай бұрын

    Yaniii mwandishi wa habarii umenifuraisha umejikuta umelemewa na maswali

  • @queenmilan2024
    @queenmilan20244 ай бұрын

    Yani Huyu dada ni Mdogo ila hapa Milano ni doctor Ana pesa nyingi

  • @TysonPhilip-io8bc
    @TysonPhilip-io8bc4 ай бұрын

    The boss is dealing with medicine & minerals so don't joke with him 😂😂

  • @claudiajames2003
    @claudiajames20034 ай бұрын

    Ukifikiria kuwa mwisho wa life kama hili ni kifo unachoka kabisaaa

  • @Nadhifasaid-1654

    @Nadhifasaid-1654

    4 ай бұрын

    Yaan wewe umewaza kama mimi maana tunatakiwa tujiandalie na maisha ya Duniani na maisha ya akhera

  • @lujuomjanja2866

    @lujuomjanja2866

    4 ай бұрын

    kweli kabisa yaani haina lolote ni makazi tu na utakuta hata yeye mwenyewe izo sehemu mwisho wake ni kuwaonyesha watu tu wakija lakini yeye hazitumii kazi sana kwa kweli

  • @johnzege209

    @johnzege209

    4 ай бұрын

    Masikini ndio mawazo yake haya, kwani umeambiwa ukiwa na Hela ndio Moja kwa Moja una dhambi? Baki na umasikini wako

  • @mbanga6759

    @mbanga6759

    4 ай бұрын

    Kafa huyu sindiyo walikuaga na ugomvi mange kimambi alikufa gafla km ndo yeyey lakini

  • @user-gi5fv2hz7b

    @user-gi5fv2hz7b

    4 ай бұрын

    ​@@johnzege209hakika kaka maskinii hufikilia kushndwa tu

  • @MagrethMussa-hm3qm
    @MagrethMussa-hm3qm4 ай бұрын

    Kama hotel furani hivi 🙌

  • @naomipieter4627
    @naomipieter46274 ай бұрын

    Tusaidieni sisi wajane tunawaomba😢

  • @josephatjordan2150

    @josephatjordan2150

    4 ай бұрын

    😂

  • @simonkaaya1220
    @simonkaaya12204 ай бұрын

    Nimeiyelewa.

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba57884 ай бұрын

    Mmmmmm hatar na nusu, sas hapo kati ya Mwijaku na huyu nani mhaya😂😂

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96634 ай бұрын

    Bei ya Tv inanitisha

  • @helentelemla5623
    @helentelemla56234 ай бұрын

    Mwijakuuu njooooo hukuuuu kuna jambo

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba30284 ай бұрын

    Kweli utajiri hauzoeleki

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani8074 ай бұрын

    Ss ulileta waandsh wann 17:11

  • @eddechriss2664
    @eddechriss26644 ай бұрын

    Acheni ujinga wahandishi wa habari wa Tanzania hii sio nyumba ya kifahari bhana mtasababisha majirani waanze kutushambulia tena, kule Zanzibar kwa bakheresa ndio kuna inayostahiri kujadiliwa cha ajabu wala hamkuenda, narudia hii sio nyumba ya inayostahiri kuwa gumzo

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74384 ай бұрын

    Baba pesa unayo mungu akubariki sana

  • @dorislema2465
    @dorislema24654 ай бұрын

    iyo nyumba ukiona kwa nje unaweza usiielewe,,bhana wee uko ndani ni balaa.watu wanaishi pazur jmn

  • @byeramwombeki
    @byeramwombeki4 ай бұрын

    huyu ni mwanaume 💪🏾💪🏾

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego44084 ай бұрын

    MUNGU AWABARIKI WANAUME WOTE ambao wakifanikiwa wanawaza kuwatengenezea familia zao furaha na si kuwapa machungu Kwa kuwaza kuongeza wanawake

  • @gwajimagwajima

    @gwajimagwajima

    4 ай бұрын

    Umejuwaje kama hana😮

  • @saidibanda8347
    @saidibanda83474 ай бұрын

    Watu wanaishi

  • @adaboychibu1659

    @adaboychibu1659

    4 ай бұрын

    Na wanaishia vile vile!

  • @EddazariaMsulwa
    @EddazariaMsulwa4 ай бұрын

    PESA HAIJIFICHI VIJANA TUSAKE PESA

  • @muchunofrank1326
    @muchunofrank13264 ай бұрын

    Vizuri sana, na jambo zuri zaidi amefanya hilo katika mji mdogo wa Babati

  • @user-wy7cd5ue7y
    @user-wy7cd5ue7y4 ай бұрын

    Mwamba tunahaki ya kumpa maua yake ameupiga mwingi 👊👊

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph16104 ай бұрын

    Pesa zinazojenga nyumba kama hi, sio hizi tunazo tafuta! Elewa na uamini! Sio hizi tunazotafuta!

  • @user-po7ho6so7v

    @user-po7ho6so7v

    3 ай бұрын

    Kaka ni kweli pesa za kujenga sio hizi tunazo tafuta ,kwasasaivi bila kujiunga na mtandao bado hujawa mtu ban

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga64714 ай бұрын

    Tutafute hela sijui wapi na sisi

  • @ZubedaJamuhuri
    @ZubedaJamuhuri4 ай бұрын

    Camera man sijamuelewa hatembez Camera anamchukua muhusika tu

  • @user-yh6mq4ds1m
    @user-yh6mq4ds1m4 ай бұрын

    Dc wa insta akiona apa ache kelele

  • @fintanifelix1680
    @fintanifelix16804 ай бұрын

    Inye ninshaba akalimo tata ndasima

  • @MAPETEE
    @MAPETEE4 ай бұрын

    Mwajika VP kibanda chako kipo 😂

  • @salcle9702
    @salcle97024 ай бұрын

    Jengeni nyumba kwa mapana zaidi kama huyu jamaa siyo kukimbilia viwanja vya 15 kwa 30.

  • @veronicamaghembe2102

    @veronicamaghembe2102

    4 ай бұрын

    😂😂

  • @judyngowi391
    @judyngowi3914 ай бұрын

    Kama ya Mwijaku!

  • @jennifersindano5135

    @jennifersindano5135

    4 ай бұрын

    Hebu mheshimu kaka Mulokozi plz.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.654 ай бұрын

    Msiokua na Hela usiseme unaenda kulala SEMA naenda kuegesha kama gari tu unaegesha popote

  • @zebedayokatamaduni9676

    @zebedayokatamaduni9676

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius67604 ай бұрын

    Why mkurugenzi atoke nje? Hatuthaminiani wazawa?😮😮😮

  • @virosegg7712

    @virosegg7712

    4 ай бұрын

    Wa nje wanaaminika. Mtanzania wapo wachache sana waaminifu wengine atakufilisi mpaka ubaki majengo tu na yeye aanzishe chake.

  • @amanijampion3045
    @amanijampion30454 ай бұрын

    Kama ya mwijaku

  • @oswaldtemba2770

    @oswaldtemba2770

    4 ай бұрын

    Shida huyo rafiki yako anaponda nyumba za wenzie

  • @allenmwambuch3689
    @allenmwambuch36894 ай бұрын

    Kuna watu wanaishi na Kuna akina sisi sasa😂😂😂😂😂

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    4 ай бұрын

    Wanaishi duniani,sisi tunakaa duniani 😂😂😂😂

  • @asalitv8810
    @asalitv88104 ай бұрын

    Hapa hakuna camera man mmepigwa

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe72844 ай бұрын

    Mwandishi vipi ninasikia tuu uuu

  • @subiradaud711
    @subiradaud7114 ай бұрын

    Nakuaminia shem hiyo ndio ilikua ndoto yako

  • @peektvonline7244
    @peektvonline72444 ай бұрын

    Tv milioni 60😂😂 duuh bora ninunue zangu hier ya milion mbili

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba57884 ай бұрын

    Mliosema hamnywi pombe mnajenga😂😂 nasubr nyumba zenu😂

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn4 ай бұрын

    Nyumba kama hii zinapatikana ulaya na marekani alafu zinamilikiwa na watu matajiri wa Dunia kama wakina billget na benzos nk

  • @onlinemateustv1925

    @onlinemateustv1925

    4 ай бұрын

    Weee mmh

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey26144 ай бұрын

    Kwahiyo mpaka leo anaona CEO ni wazungu tu au expatriate Toka nje,Bado yuko gizani tanzania Kuna wasomi na managers wazuri siyo mpaka nje😢😢😢😢😢

  • @sheilaally9490

    @sheilaally9490

    4 ай бұрын

    wanakuwaga wengi

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    4 ай бұрын

    Suala ni uaminifu apo

  • @mcback4384

    @mcback4384

    4 ай бұрын

    Mzee sehemu umeweka bilioni zako za kutosha huwezi kuwachia kina ndegejoni wawe vibopa huyu ana viwanda so ana uzoefu

  • @abuukamugisha5994

    @abuukamugisha5994

    4 ай бұрын

    Anahofia kupigwa na wabongo, wamesoma kwl lakn akiwekwa hapo anataka nae ajenge kama hiyo kupitia wizi

  • @musokedios8162
    @musokedios81624 ай бұрын

    Ila Mungu ni kiboko vyoooooote mwisho ni mauti haiangalii jamani

  • @Happy-ef9kf
    @Happy-ef9kf4 ай бұрын

    Naomba niwe mfanyakaz wako jmn 😂😂

  • @user-ts5bu7os5d
    @user-ts5bu7os5d4 ай бұрын

    Masikini mwijaku 😂😂😂😂😂

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-ir8on9hj3s
    @user-ir8on9hj3s4 ай бұрын

    Murokazi nimzariwapi

Келесі