HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD

HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD...
#THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD
#CREDITS: Wode Maya
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 198

  • @globaltv_online
    @globaltv_online11 ай бұрын

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @wasafimedia5399

    @wasafimedia5399

    11 ай бұрын

    Wezi wengi asaiv

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_11 ай бұрын

    Naombea watu wafanikiwe Ila nikimuona mtu mwenye Ngozi kama yangu amefanikiwa huwa namuunga mkono na kumuomba Mungu amzidishie Maana rangi nyingine wanaombeana saana na wanasaidiana

  • @johnstephano6486

    @johnstephano6486

    11 ай бұрын

    Umenena vyema

  • @shamsakiobia6421

    @shamsakiobia6421

    11 ай бұрын

    Ɛ Ɛ

  • @super_boy_tz

    @super_boy_tz

    11 ай бұрын

    Acha uwongo😊

  • @cmantz8837

    @cmantz8837

    11 ай бұрын

    Naombaa uniombee sana sana nifanikiwe

  • @liberatusjackson5045

    @liberatusjackson5045

    11 ай бұрын

    Fikira fupi

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan766011 ай бұрын

    Makala kama hizi ni nzuri sana zinatuongezea juhudi ya kupambana asante sana

  • @aceofspades3728
    @aceofspades372811 ай бұрын

    Siku moja lazima na Mimi nifanikiwe💪...we need more of this constructive documentaries!

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga619111 ай бұрын

    Sijawahi tamani cha M2 lakin leo nimetamani maisha ya HAM,Mungu nipe na Mimi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @mwaramimwarami1479

    @mwaramimwarami1479

    11 ай бұрын

    Allahumma aamin

  • @baaomaryismail3113
    @baaomaryismail311311 ай бұрын

    Maa shaa Allah Nimejifunza Kutoa ndo kila kitu

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika753811 ай бұрын

    Nimependa unavyo Ainisha mambo, _mana unaamsha hisia zilizopo ndani yangu_ *Kikubwa ni kufanya kazi kwa malengo na kuwa wabunifu*❤

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim107411 ай бұрын

    Nakupenda Sana na sauti yako mzuri tunaweza sote

  • @user-vu7mx9th3o
    @user-vu7mx9th3o11 ай бұрын

    Yaarb mie alien shinda maisha ni yule mwenye Mwisho MWEMA binadamu wote tuko sawa Masha'Allahah tumshukuru Muumba wa Mbingu na Ardh vitu hutafutwa na kwa muda mrefu na huweza kupotea ndan ya Dakika anae toa hai kwenye maut na anae toa maut kwenye hai n Muumba wa Mbigu na Ardh hapo ndo utajua binadam wote tuko sawa chochote hutokea muda wowote

  • @AhmedAli-uh2ft

    @AhmedAli-uh2ft

    11 ай бұрын

    I lov u muslim❤

  • @user-vu7mx9th3o

    @user-vu7mx9th3o

    11 ай бұрын

    @@AhmedAli-uh2ft Alhamdullah kwa Neema ya kua Waislamu

  • @husseinmtima6106

    @husseinmtima6106

    11 ай бұрын

    Maashalaah uko sahihiii

  • @user-vu7mx9th3o

    @user-vu7mx9th3o

    11 ай бұрын

    @@husseinmtima6106 Allah atuepushe chochote kile ambacho utanunua kwa pesa bas hyo kitu siyo ghali ni rahis matajir wangekua tofaut na sisi tunao kula viazi mbona afya hawanunui au uhai waendelee ku enjoy Allah awatangulie wote wanao pesa ni kila kitu

  • @kaluluu2011

    @kaluluu2011

    11 ай бұрын

    Mimi najiuliza maana naona hapa mnanyongo kidgo na uyu bwana khamis. Mbona waarabu Wana utajiri mkubwa mno na mambo mengi wanafanya kutoa kama hamisi lkn .HAMUWAHUSISHI NA USHIRIKINA LKN KWA HAMIS TU. OH KAMA NI KWELI CYO USHIRIKINA AENDELEE YOTE YANINI JMN. AYO NI MAMBO YAKE NA MUNGU NA CYO WANADAMU JMN.KHAAAA

  • @daudifungo5521
    @daudifungo552111 ай бұрын

    BIG UP KWAKE KWAKE MUNGU HAMTUPI MJA WAKE "HARD WORK PAYS"

  • @jacklinemueni1336
    @jacklinemueni133611 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akulinde kakangu , kuwa Na Moyo wakusaidia ❤🇰🇪🇰🇪

  • @kwizeralajoie3619
    @kwizeralajoie361911 ай бұрын

    Congratulations amis 💪

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka846911 ай бұрын

    Mmmmmmh,kifo ni kibaya,maisha ni mafupi,mambo km haya Mungu angetupa kuishi miaka Mia 900 km akina IBRAHIMU

  • @marthacastory8590

    @marthacastory8590

    10 ай бұрын

    🤣🤣

  • @dorahy1579
    @dorahy157910 ай бұрын

    Jamani saidieni maskini, wagonjwa na wasiojiweza. Hivi vyote vya nini na chumba cha kulala ni kimoja unahitaji, choo moja, kiko moja, huko watoto hawana mashule, madeski, visutubu, madawa, and the list goes on on on.

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz707111 ай бұрын

    Kama n utajiri wakutoka kwa Mungu hongera kwake. Ila kama n wakishetani apambane tu maana dunian tunapita😂😂

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi234711 ай бұрын

    Masha Allah

  • @geofreyg.mtensa4559
    @geofreyg.mtensa455911 ай бұрын

    Dalili 1 kuuubwa sana ya kuwa ww ni maskini na utakufa maskini...ni kuchukia mafanikio ya mwenzio ukishajijua roho iyo unayo, ndugu. ww mpaka unakufa ...ukiambulia ni IST tena ya kununua mkononi ilotumika, 100%

  • @brunotinda4810

    @brunotinda4810

    10 ай бұрын

    Duuuh!!!!!

  • @NachaKing-nj7cp

    @NachaKing-nj7cp

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-gi6ye9fq5s
    @user-gi6ye9fq5s5 ай бұрын

    Natamani mungu anipe hata billion 1🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🏻

  • @khamissaid5525
    @khamissaid55255 ай бұрын

    Mungu amzidishie Umrii mrefu afya njema

  • @tonykidimwastv5608
    @tonykidimwastv560811 ай бұрын

    AMEE AMEE , INSHALLAH , ONE DAY YES

  • @nurunswebe4203

    @nurunswebe4203

    8 ай бұрын

    Wewe huwezi kutoboa kwasababu huwa unamfira baba ako na unamtomba mama ako

  • @SwaiSaid-ho1rs
    @SwaiSaid-ho1rs11 ай бұрын

    Mungu mwenyewe hadi akunyoshee mkono

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya488211 ай бұрын

    Hongera sana brother Khamis...Ikiwa na mm pia niko napambana kupata riziki nami nitafikia huko tu inshaAllah. Eeee mungu nijaalie nitimize ndoto zangu.

  • @frankub8107

    @frankub8107

    11 ай бұрын

    Inshaallah ❤️ from MALAWI

  • @hamidakigundula8736
    @hamidakigundula873611 ай бұрын

    MaashaAllah

  • @pyeremsafiri
    @pyeremsafiri3 ай бұрын

    Global TV , Mr.Amin Ligonde nakubali sana sauti yako ina vidokezo vizuri aseee ,, nafuatilia sana makala unazotangaza

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548111 ай бұрын

    Mashalah,,mungu ambariki zaidi,,na sisi pia atubariki zaidi

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson520211 ай бұрын

    Nispolike Kwa ujumbe huuu Ntakuwa na Asili ya kichawi😄

  • @user-br4tl7jv9j

    @user-br4tl7jv9j

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @leonardmisalaba7946

    @leonardmisalaba7946

    11 күн бұрын

    😅😅😅😊

  • @J_Pabloescobar0806
    @J_Pabloescobar08066 ай бұрын

    We mtangazaji bora sana ❤🎉

  • @nguddajrjoseph1197
    @nguddajrjoseph119725 күн бұрын

    Me nimeiona makala hii kwnye page ya Wode Maya, kabla hahaha, asante wa uhariri mzuri, tunajiifunza kitu

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa33464 ай бұрын

    Binadamu wote Sawa kabisa, utofauti wa maisha unatokana materials gani you have induced in your brain!

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula435511 ай бұрын

    Dah...

  • @jhecfoundationtanzania2891
    @jhecfoundationtanzania289111 ай бұрын

    Mafanikio Yana siri kubwa

  • @king-size8114
    @king-size811410 ай бұрын

    Mashallah

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh56811 ай бұрын

    Msimuliaji unajua kuturusha roho na kutusimanga...daah🤣🤣ooiiii weee.... iko siku ntakuwa tajiri tuu...

  • @wemakingdaily1462

    @wemakingdaily1462

    11 ай бұрын

    Yaaani 😂😂😂😂

  • @morjanoman5181
    @morjanoman518111 ай бұрын

    Ongera Sana mdogoangu kwa mafanikio

  • @frankangira7909
    @frankangira79094 ай бұрын

    Sema msimuliaji anavijembe,,! Ila big up bro umenipatia moyo wa kuendelea kupambana

  • @thedchannel
    @thedchannel11 ай бұрын

    Gold from Congo

  • @edgarpius9111
    @edgarpius911110 ай бұрын

    Jamaa anayesumbuliwa yuko vizuri

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt11 ай бұрын

    Harafu wala hana chawa kumbe kuna watu wana ishia na kuishia 👏🙌😃🏃

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    11 ай бұрын

    Hawa ndio matajir sio wale wanajionesha

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    11 ай бұрын

    ​@@malak-lz6kxTanzania mtu ana hela ya kula anaitwa tajiri sasa hata maana ya tajiri inakosewa adabu

  • @mwaramimwarami1479

    @mwaramimwarami1479

    11 ай бұрын

    ​@@fahadfaraj6474Hahahaha "hata maana ya Tajiri inakosewa adabu"

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    11 ай бұрын

    @@mwaramimwarami1479 upuuzi sana yani leo kuna watu wanaonekana wanahela kumbe dah nahisi kina bakharesa Hua wanacheka sana

  • @joshuakusena707

    @joshuakusena707

    11 ай бұрын

    Mtangazaji ni mtu wa mtwara au lindi

  • @omanoman2044
    @omanoman20444 ай бұрын

    Inshaallah nasie ipo siku tutatoka

  • @nellyhortensia2407
    @nellyhortensia240711 ай бұрын

    kapewa umepewa, period

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz11 ай бұрын

    Hatar sana sijui niandike nn

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar991211 ай бұрын

    Wode Maya njoo uchukue pesa zako uku 😂😂 home sweet home masaka uganda

  • @jaysonbosco

    @jaysonbosco

    11 ай бұрын

    Alaali asooke akomewo e Masaka😀

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea522311 ай бұрын

    Hata Tanzania wapo wenye hela Zaid ya mo lakin hawajioneshi

  • @saidsalum6101

    @saidsalum6101

    10 ай бұрын

    Hapa tanzania wengi wao wanautajiri wa mafisadi

  • @seifkulwa3346

    @seifkulwa3346

    4 ай бұрын

    Pesa sio utajiri, mfumo wa kukupeleka kwenye utajiri unapowekeza mashamba majumba viwanda nk ndo utajiri!

  • @nelsonchristian1555
    @nelsonchristian155511 ай бұрын

    Kibongo bongo

  • @marcksonmleka4908
    @marcksonmleka490810 ай бұрын

    Ni sawa nakushangaa utajiri wa RIDHIWANI KIKWETE

  • @seifkulwa3346

    @seifkulwa3346

    4 ай бұрын

    Huyo sio tajiri Ni fisadi, Siasa ikibadilika tu fukara!

  • @samweljamez7779
    @samweljamez777911 ай бұрын

    muwe mna acknowledge source,mnapo copy content..........!!

  • @binurusm8886
    @binurusm888611 ай бұрын

    Mwijaku Soma Hiyo, 'Hapa Ni Wapi' 😁.

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce70434 ай бұрын

    Umenipa moyo broo kupanba one day yes

  • @ElishaMwashiuya-rz4dn
    @ElishaMwashiuya-rz4dn11 ай бұрын

    Eeeeee, mungu nikumbuke NISAMEHE kwakutamani, naomba nipe na Mimi ili nisiendelee kukukosea kwakutamani amina

  • @morjanoman5181
    @morjanoman518111 ай бұрын

    Nimecheka eti nguo zinatundikwa kwenyekamba kama zikobuchani😂😂😂😂😂

  • @OJAMBO
    @OJAMBO4 ай бұрын

    Hongereni @global ila kama hajawaambia kuwa ni mwaajirwa wa mama janet museveni mmhoji tena

  • @allyhamic1255
    @allyhamic125511 ай бұрын

    Nimempenda mtangazaji bwana weew.....

  • @machasofficialsite6221

    @machasofficialsite6221

    11 ай бұрын

    Anatangaza vizuri mno

  • @deogratiussangawe5861
    @deogratiussangawe586111 ай бұрын

    Credit kwa @WODE MAYA

  • @khadijaramadhani5562

    @khadijaramadhani5562

    4 ай бұрын

    Nami nimemuona

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q11 ай бұрын

    Asa huyo si Kigundu. Ni Mzee wa Baraka!

  • @user-sp2hu8lb1c
    @user-sp2hu8lb1c5 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba79469 ай бұрын

    Ngoja na mm nipambane one day nami watu wasimuliwe makubwa yangu!!

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d11 ай бұрын

    Sasa mtu kasoma kaboja international school hiyo sini IST ya TANZANIA PALE MASAKI......afu useme kalelewa kawaida....kaboja sio ya mchezooo....huyu wakishua kitambo tu.

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai700611 ай бұрын

    Siku na angalia kwenye maya channel liwaza sana ,Toka magethoni,

  • @johngibson3089
    @johngibson308911 ай бұрын

    Yani global tv mnamtegea wode maya?

  • @SalimaJuma-tx8fv
    @SalimaJuma-tx8fv10 ай бұрын

    Jamaa upo vzuri Kwa kusimulia

  • @user-gi6ye9fq5s
    @user-gi6ye9fq5s5 ай бұрын

    6:25 mungu tupe na sisi

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume452211 ай бұрын

    Huyu aliyeturoga kuwa ati binaadamu wote sawa ni mwalimu 😅😅😅

  • @KhadijaAliMohd-rn6mn
    @KhadijaAliMohd-rn6mn11 ай бұрын

    Dooh Jamaa Kachafuka Kwa Mtonyo Kinomaaa Ana Mkwanja Mrefu Sana

  • @edwardmkwelele

    @edwardmkwelele

    11 ай бұрын

    Mali za MUSEVENI asiwadanganye

  • @LaurentSikana-kh7vy

    @LaurentSikana-kh7vy

    11 ай бұрын

    @@edwardmkwelele nawewe kamuombe mseveni

  • @karebo_jr722

    @karebo_jr722

    11 ай бұрын

    ​@@edwardmkweleletafuta Hela acha kujidanganya😂😂😂

  • @SospitaKabaka
    @SospitaKabaka4 ай бұрын

    Acheni uongo mabigwa wa kujifariji et mungu atanisaidia kama huyu mshkaji uongo mafanikio hayaji hiv lazima uumie dingii

  • @saidanassoro7885
    @saidanassoro788511 ай бұрын

    Diamond haiingii kabsa bado mtoto kwa ham

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    11 ай бұрын

    Acha kufananisha watu kapuku na wenye fedha zao😅😅😅

  • @fraitmgala5966

    @fraitmgala5966

    11 ай бұрын

    😂😂😂 Bro amejenga uwanja wa dola million 89 kawapa serikali bure unaitwa nakivubo war memorial stadium

  • @shaffihsiraji3141

    @shaffihsiraji3141

    11 ай бұрын

    Sio Diamond waungane na wasanii unaowataka wa hapa bongo hawaingii hapo

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary238311 ай бұрын

    Safi tatizo la matajiri wa bongo wamekaa kujificha na kukimbilia biashara za watu wa chini kuuza juice mandazi wanashindwa kujenga maeneo makubwa na kuyabadilisha

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey705211 ай бұрын

    Duuuuuuu

  • @ShawnBeatz
    @ShawnBeatz11 ай бұрын

    toeni credit kwa channel ya WODE MAYA kwakutumia video clips zake, anaweza kuwa report video ikashushwa brother

  • @aimtongazakayo7906
    @aimtongazakayo790611 ай бұрын

    Mtangazaji mbona😂😂😂😂

  • @user-hg4hb3ji4t
    @user-hg4hb3ji4t5 ай бұрын

    😢😢😢😢

  • @RichardMbwelwa-xk3tm
    @RichardMbwelwa-xk3tm11 ай бұрын

    Ana hela sawa na Dr Dre duh

  • @adammodesto6626
    @adammodesto662611 ай бұрын

    Mtangazaji katisha

  • @SophiaKassim-pn9wb
    @SophiaKassim-pn9wbАй бұрын

    Binadamu ni sawa kimaumbile sio Kwa kipato usipotoshe watu

  • @amanimanase8798
    @amanimanase879811 ай бұрын

    Sema ww huna pesa ila kuna watu wanazo pesa

  • @aimtongazakayo7906
    @aimtongazakayo790611 ай бұрын

    Ndomana vidole vya mikono havilingani

  • @emmanueljoseph6171
    @emmanueljoseph617111 ай бұрын

    Ila kwenye utajiri kuna siri kubwa sana,

  • @afyabora3207

    @afyabora3207

    11 ай бұрын

    Ni kweli ila usifocus humo , focus kwa kujituma ufikie mbali

  • @jumannenyabuge83

    @jumannenyabuge83

    11 ай бұрын

    Mbona huwazi kwenye umasikini kuna siri kubwa sana?

  • @geofreyg.mtensa4559

    @geofreyg.mtensa4559

    11 ай бұрын

    Siri kubwa ni nidhamu ya pesa na watu waliokuzunguka, yaani watu wako ni wa ainga gani...? basi umemaliza ...

  • @emmanueljoseph6171

    @emmanueljoseph6171

    11 ай бұрын

    Utajiri mwingine ni wa masharti mengi,si mmejionea wengi wanaua albino ili watumie viungo vyake kupata utajiri? ndo maana nilisema kwenye Utajiri kuna siri nzito ingawa si kwa wote

  • @seifkulwa3346

    @seifkulwa3346

    4 ай бұрын

    Fanya research Kwanza, usiaminishwe tu kuwa kila tajiri anatoa kafara utakufa masikini !

  • @shabanilugi5858
    @shabanilugi585811 ай бұрын

    Nampa mauwa yake

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan2 ай бұрын

    Jmn na mm nijengee nyumb yakawida tuu wakae wazaziwangu

  • @senseiamani4684
    @senseiamani468411 ай бұрын

    Mwamba huyu apa hamisi kigundu

  • @jafarimussa3694
    @jafarimussa36944 ай бұрын

    Mh kujibanza stoo

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa33464 ай бұрын

    Kwa utafiti wangu mdogo hawa jamaa wanaozaliwa tarehe 1, 10, 19, 28 wengi ni matajiri sijui kwann? Mfano Bill gate 28, Elon musk 10, Aliko Dangote 10, Jack Ma 10 nk na huyu pia tarehe 10

  • @ThomasEmmanuel-lm3uh
    @ThomasEmmanuel-lm3uh11 ай бұрын

    Mwamba kajipata haswaaaaaaa

  • @petzoojac8683
    @petzoojac868311 ай бұрын

    HUYU NARRATOR AMENIKOSHA

  • @hamzabathromeoh5560

    @hamzabathromeoh5560

    11 ай бұрын

    Narrator muongo

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh56811 ай бұрын

    Kwanza kashaoa tuanzie hapo mtangazaji afu mbele ntakuomba unipatie namba zake tuu...mengine niachie mwenyewe🤣🤣🤣🤣

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    11 ай бұрын

    😂 😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri kiukweli

  • @bayernsulesh568

    @bayernsulesh568

    11 ай бұрын

    @@rezegerezege691eenhe.. yani anipe namba tuuu...ntamalizana nae mwenyewe🤣🤣🤣🤣

  • @costantineenock5323

    @costantineenock5323

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂 unataka kutuletea shemeji

  • @bayernsulesh568

    @bayernsulesh568

    11 ай бұрын

    @@costantineenock5323 we kwani hutaki kuwa na shemeji tajiri...Acha tuchangamkie fursa🤣🤣

  • @topnotchtz8086
    @topnotchtz808611 ай бұрын

    global toeni huyu mtangazaji

  • @magretkijanga6038
    @magretkijanga603811 ай бұрын

    😂😂😂😂😂za madafu

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati60929 ай бұрын

    Amini LIKONDE mghana Mayer anakutafuta huku

  • @donkaloza6985
    @donkaloza698511 ай бұрын

    USAWA WA BINADAM UNAKAMILIKA KWENYE KIFO TU ILA MAISHA YA DUNIANI HATUWEZ KUWA SAWA ILA HATA UMILIKI KILA KITU DUNIANI LAKN UKIFA HUNA TOFAUT NA MWINGINE🙏

  • @machasofficialsite6221

    @machasofficialsite6221

    11 ай бұрын

    Kuijenga saikolojia juu ya mafanikio pia ni muhimu

  • @saimonifredi4653

    @saimonifredi4653

    4 ай бұрын

    Mawazo ya masikini

  • @24sportstz
    @24sportstz11 ай бұрын

    Nae alianzia kwenye crown na alianza chini kabisa amna anaeanza kuwa na hela haraka

  • @fraitmgala5966
    @fraitmgala596611 ай бұрын

    Mapambano hayana mwisho

  • @AthumanSembua
    @AthumanSembua4 ай бұрын

    8:50 🥴🥴

  • @bongomastory791
    @bongomastory79111 ай бұрын

    Mpeni credit Wode Maya@Wode Maya

  • @shadiidinyo1657

    @shadiidinyo1657

    11 ай бұрын

    And they present it kama vile yao🤣

  • @thomasardoph

    @thomasardoph

    11 ай бұрын

    Wauni hawa

  • @charlesyapuka4992
    @charlesyapuka499211 ай бұрын

    Mwambie Godlove wa TKTOK aje aone

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage246211 ай бұрын

    Mtangazaji unazinguaa xaaana Yan tunakusikiliza alaf unatuponda we viii ww hujui ss ndo wateja wako ww type content sio mipashoo

  • @EsupatLaiser

    @EsupatLaiser

    Күн бұрын

    Anatia hasira ya kupambana Wala hapondi😂😂

  • @musafirbaba2100
    @musafirbaba210011 ай бұрын

    😂😂nasikitika ila nemefurahi😂

  • @gachalovetz260
    @gachalovetz26011 ай бұрын

    Kaka moo ana dollar billion 2.3

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    11 ай бұрын

    Muombee saana azid kufanikiwa

  • @R.Dickon

    @R.Dickon

    11 ай бұрын

    Nope! ni $ 1.5 billion

  • @lucasmhagama8166

    @lucasmhagama8166

    11 ай бұрын

    Mo ana Dollar billion 1.5

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz15734 ай бұрын

    Yani we acha uyu jamaaa mala nyingi nikienda Uganda lzma nione mijengo yake kila kona

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405411 ай бұрын

    Wengine bongo Apo wanajita matajiri kina Godlove wanacheza na kujipakazia utajiri 😂😂😂

  • @ringotechnology9759

    @ringotechnology9759

    10 ай бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @directorbony185
    @directorbony18511 ай бұрын

    Ila mtangazaji mbona unanisimanga

  • @tatuomar7131

    @tatuomar7131

    11 ай бұрын

    😆

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege90011 ай бұрын

    Huyu jamaa ameamua kutafuta kwanza...mapenzi baadae. Hiyo ndo siri ya mafanikio yake...

Келесі