HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD
HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD...
#THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD
#CREDITS: Wode Maya
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 198
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@wasafimedia5399
11 ай бұрын
Wezi wengi asaiv
Naombea watu wafanikiwe Ila nikimuona mtu mwenye Ngozi kama yangu amefanikiwa huwa namuunga mkono na kumuomba Mungu amzidishie Maana rangi nyingine wanaombeana saana na wanasaidiana
@johnstephano6486
11 ай бұрын
Umenena vyema
@shamsakiobia6421
11 ай бұрын
Ɛ Ɛ
@super_boy_tz
11 ай бұрын
Acha uwongo😊
@cmantz8837
11 ай бұрын
Naombaa uniombee sana sana nifanikiwe
@liberatusjackson5045
11 ай бұрын
Fikira fupi
Makala kama hizi ni nzuri sana zinatuongezea juhudi ya kupambana asante sana
Siku moja lazima na Mimi nifanikiwe💪...we need more of this constructive documentaries!
Sijawahi tamani cha M2 lakin leo nimetamani maisha ya HAM,Mungu nipe na Mimi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@mwaramimwarami1479
11 ай бұрын
Allahumma aamin
Maa shaa Allah Nimejifunza Kutoa ndo kila kitu
Nimependa unavyo Ainisha mambo, _mana unaamsha hisia zilizopo ndani yangu_ *Kikubwa ni kufanya kazi kwa malengo na kuwa wabunifu*❤
Nakupenda Sana na sauti yako mzuri tunaweza sote
Yaarb mie alien shinda maisha ni yule mwenye Mwisho MWEMA binadamu wote tuko sawa Masha'Allahah tumshukuru Muumba wa Mbingu na Ardh vitu hutafutwa na kwa muda mrefu na huweza kupotea ndan ya Dakika anae toa hai kwenye maut na anae toa maut kwenye hai n Muumba wa Mbigu na Ardh hapo ndo utajua binadam wote tuko sawa chochote hutokea muda wowote
@AhmedAli-uh2ft
11 ай бұрын
I lov u muslim❤
@user-vu7mx9th3o
11 ай бұрын
@@AhmedAli-uh2ft Alhamdullah kwa Neema ya kua Waislamu
@husseinmtima6106
11 ай бұрын
Maashalaah uko sahihiii
@user-vu7mx9th3o
11 ай бұрын
@@husseinmtima6106 Allah atuepushe chochote kile ambacho utanunua kwa pesa bas hyo kitu siyo ghali ni rahis matajir wangekua tofaut na sisi tunao kula viazi mbona afya hawanunui au uhai waendelee ku enjoy Allah awatangulie wote wanao pesa ni kila kitu
@kaluluu2011
11 ай бұрын
Mimi najiuliza maana naona hapa mnanyongo kidgo na uyu bwana khamis. Mbona waarabu Wana utajiri mkubwa mno na mambo mengi wanafanya kutoa kama hamisi lkn .HAMUWAHUSISHI NA USHIRIKINA LKN KWA HAMIS TU. OH KAMA NI KWELI CYO USHIRIKINA AENDELEE YOTE YANINI JMN. AYO NI MAMBO YAKE NA MUNGU NA CYO WANADAMU JMN.KHAAAA
BIG UP KWAKE KWAKE MUNGU HAMTUPI MJA WAKE "HARD WORK PAYS"
Mwenyezi Mungu akulinde kakangu , kuwa Na Moyo wakusaidia ❤🇰🇪🇰🇪
Congratulations amis 💪
Mmmmmmh,kifo ni kibaya,maisha ni mafupi,mambo km haya Mungu angetupa kuishi miaka Mia 900 km akina IBRAHIMU
@marthacastory8590
10 ай бұрын
🤣🤣
Jamani saidieni maskini, wagonjwa na wasiojiweza. Hivi vyote vya nini na chumba cha kulala ni kimoja unahitaji, choo moja, kiko moja, huko watoto hawana mashule, madeski, visutubu, madawa, and the list goes on on on.
Kama n utajiri wakutoka kwa Mungu hongera kwake. Ila kama n wakishetani apambane tu maana dunian tunapita😂😂
Masha Allah
Dalili 1 kuuubwa sana ya kuwa ww ni maskini na utakufa maskini...ni kuchukia mafanikio ya mwenzio ukishajijua roho iyo unayo, ndugu. ww mpaka unakufa ...ukiambulia ni IST tena ya kununua mkononi ilotumika, 100%
@brunotinda4810
10 ай бұрын
Duuuh!!!!!
@NachaKing-nj7cp
2 ай бұрын
😂😂😂😂
Natamani mungu anipe hata billion 1🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🏻
Mungu amzidishie Umrii mrefu afya njema
AMEE AMEE , INSHALLAH , ONE DAY YES
@nurunswebe4203
8 ай бұрын
Wewe huwezi kutoboa kwasababu huwa unamfira baba ako na unamtomba mama ako
Mungu mwenyewe hadi akunyoshee mkono
Hongera sana brother Khamis...Ikiwa na mm pia niko napambana kupata riziki nami nitafikia huko tu inshaAllah. Eeee mungu nijaalie nitimize ndoto zangu.
@frankub8107
11 ай бұрын
Inshaallah ❤️ from MALAWI
MaashaAllah
Global TV , Mr.Amin Ligonde nakubali sana sauti yako ina vidokezo vizuri aseee ,, nafuatilia sana makala unazotangaza
Mashalah,,mungu ambariki zaidi,,na sisi pia atubariki zaidi
Nispolike Kwa ujumbe huuu Ntakuwa na Asili ya kichawi😄
@user-br4tl7jv9j
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@leonardmisalaba7946
11 күн бұрын
😅😅😅😊
We mtangazaji bora sana ❤🎉
Me nimeiona makala hii kwnye page ya Wode Maya, kabla hahaha, asante wa uhariri mzuri, tunajiifunza kitu
Binadamu wote Sawa kabisa, utofauti wa maisha unatokana materials gani you have induced in your brain!
Dah...
Mafanikio Yana siri kubwa
Mashallah
Msimuliaji unajua kuturusha roho na kutusimanga...daah🤣🤣ooiiii weee.... iko siku ntakuwa tajiri tuu...
@wemakingdaily1462
11 ай бұрын
Yaaani 😂😂😂😂
Ongera Sana mdogoangu kwa mafanikio
Sema msimuliaji anavijembe,,! Ila big up bro umenipatia moyo wa kuendelea kupambana
Gold from Congo
Jamaa anayesumbuliwa yuko vizuri
Harafu wala hana chawa kumbe kuna watu wana ishia na kuishia 👏🙌😃🏃
@malak-lz6kx
11 ай бұрын
Hawa ndio matajir sio wale wanajionesha
@fahadfaraj6474
11 ай бұрын
@@malak-lz6kxTanzania mtu ana hela ya kula anaitwa tajiri sasa hata maana ya tajiri inakosewa adabu
@mwaramimwarami1479
11 ай бұрын
@@fahadfaraj6474Hahahaha "hata maana ya Tajiri inakosewa adabu"
@fahadfaraj6474
11 ай бұрын
@@mwaramimwarami1479 upuuzi sana yani leo kuna watu wanaonekana wanahela kumbe dah nahisi kina bakharesa Hua wanacheka sana
@joshuakusena707
11 ай бұрын
Mtangazaji ni mtu wa mtwara au lindi
Inshaallah nasie ipo siku tutatoka
kapewa umepewa, period
Hatar sana sijui niandike nn
Wode Maya njoo uchukue pesa zako uku 😂😂 home sweet home masaka uganda
@jaysonbosco
11 ай бұрын
Alaali asooke akomewo e Masaka😀
Hata Tanzania wapo wenye hela Zaid ya mo lakin hawajioneshi
@saidsalum6101
10 ай бұрын
Hapa tanzania wengi wao wanautajiri wa mafisadi
@seifkulwa3346
4 ай бұрын
Pesa sio utajiri, mfumo wa kukupeleka kwenye utajiri unapowekeza mashamba majumba viwanda nk ndo utajiri!
Kibongo bongo
Ni sawa nakushangaa utajiri wa RIDHIWANI KIKWETE
@seifkulwa3346
4 ай бұрын
Huyo sio tajiri Ni fisadi, Siasa ikibadilika tu fukara!
muwe mna acknowledge source,mnapo copy content..........!!
Mwijaku Soma Hiyo, 'Hapa Ni Wapi' 😁.
Umenipa moyo broo kupanba one day yes
Eeeeee, mungu nikumbuke NISAMEHE kwakutamani, naomba nipe na Mimi ili nisiendelee kukukosea kwakutamani amina
Nimecheka eti nguo zinatundikwa kwenyekamba kama zikobuchani😂😂😂😂😂
Hongereni @global ila kama hajawaambia kuwa ni mwaajirwa wa mama janet museveni mmhoji tena
Nimempenda mtangazaji bwana weew.....
@machasofficialsite6221
11 ай бұрын
Anatangaza vizuri mno
Credit kwa @WODE MAYA
@khadijaramadhani5562
4 ай бұрын
Nami nimemuona
Asa huyo si Kigundu. Ni Mzee wa Baraka!
❤❤❤❤❤❤
Ngoja na mm nipambane one day nami watu wasimuliwe makubwa yangu!!
Sasa mtu kasoma kaboja international school hiyo sini IST ya TANZANIA PALE MASAKI......afu useme kalelewa kawaida....kaboja sio ya mchezooo....huyu wakishua kitambo tu.
Siku na angalia kwenye maya channel liwaza sana ,Toka magethoni,
Yani global tv mnamtegea wode maya?
Jamaa upo vzuri Kwa kusimulia
6:25 mungu tupe na sisi
Huyu aliyeturoga kuwa ati binaadamu wote sawa ni mwalimu 😅😅😅
Dooh Jamaa Kachafuka Kwa Mtonyo Kinomaaa Ana Mkwanja Mrefu Sana
@edwardmkwelele
11 ай бұрын
Mali za MUSEVENI asiwadanganye
@LaurentSikana-kh7vy
11 ай бұрын
@@edwardmkwelele nawewe kamuombe mseveni
@karebo_jr722
11 ай бұрын
@@edwardmkweleletafuta Hela acha kujidanganya😂😂😂
Acheni uongo mabigwa wa kujifariji et mungu atanisaidia kama huyu mshkaji uongo mafanikio hayaji hiv lazima uumie dingii
Diamond haiingii kabsa bado mtoto kwa ham
@hassanmfaume4522
11 ай бұрын
Acha kufananisha watu kapuku na wenye fedha zao😅😅😅
@fraitmgala5966
11 ай бұрын
😂😂😂 Bro amejenga uwanja wa dola million 89 kawapa serikali bure unaitwa nakivubo war memorial stadium
@shaffihsiraji3141
11 ай бұрын
Sio Diamond waungane na wasanii unaowataka wa hapa bongo hawaingii hapo
Safi tatizo la matajiri wa bongo wamekaa kujificha na kukimbilia biashara za watu wa chini kuuza juice mandazi wanashindwa kujenga maeneo makubwa na kuyabadilisha
Duuuuuuu
toeni credit kwa channel ya WODE MAYA kwakutumia video clips zake, anaweza kuwa report video ikashushwa brother
Mtangazaji mbona😂😂😂😂
😢😢😢😢
Ana hela sawa na Dr Dre duh
Mtangazaji katisha
Binadamu ni sawa kimaumbile sio Kwa kipato usipotoshe watu
Sema ww huna pesa ila kuna watu wanazo pesa
Ndomana vidole vya mikono havilingani
Ila kwenye utajiri kuna siri kubwa sana,
@afyabora3207
11 ай бұрын
Ni kweli ila usifocus humo , focus kwa kujituma ufikie mbali
@jumannenyabuge83
11 ай бұрын
Mbona huwazi kwenye umasikini kuna siri kubwa sana?
@geofreyg.mtensa4559
11 ай бұрын
Siri kubwa ni nidhamu ya pesa na watu waliokuzunguka, yaani watu wako ni wa ainga gani...? basi umemaliza ...
@emmanueljoseph6171
11 ай бұрын
Utajiri mwingine ni wa masharti mengi,si mmejionea wengi wanaua albino ili watumie viungo vyake kupata utajiri? ndo maana nilisema kwenye Utajiri kuna siri nzito ingawa si kwa wote
@seifkulwa3346
4 ай бұрын
Fanya research Kwanza, usiaminishwe tu kuwa kila tajiri anatoa kafara utakufa masikini !
Nampa mauwa yake
Jmn na mm nijengee nyumb yakawida tuu wakae wazaziwangu
Mwamba huyu apa hamisi kigundu
Mh kujibanza stoo
Kwa utafiti wangu mdogo hawa jamaa wanaozaliwa tarehe 1, 10, 19, 28 wengi ni matajiri sijui kwann? Mfano Bill gate 28, Elon musk 10, Aliko Dangote 10, Jack Ma 10 nk na huyu pia tarehe 10
Mwamba kajipata haswaaaaaaa
HUYU NARRATOR AMENIKOSHA
@hamzabathromeoh5560
11 ай бұрын
Narrator muongo
Kwanza kashaoa tuanzie hapo mtangazaji afu mbele ntakuomba unipatie namba zake tuu...mengine niachie mwenyewe🤣🤣🤣🤣
@rezegerezege691
11 ай бұрын
😂 😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri kiukweli
@bayernsulesh568
11 ай бұрын
@@rezegerezege691eenhe.. yani anipe namba tuuu...ntamalizana nae mwenyewe🤣🤣🤣🤣
@costantineenock5323
11 ай бұрын
😂😂😂😂 unataka kutuletea shemeji
@bayernsulesh568
11 ай бұрын
@@costantineenock5323 we kwani hutaki kuwa na shemeji tajiri...Acha tuchangamkie fursa🤣🤣
global toeni huyu mtangazaji
😂😂😂😂😂za madafu
Amini LIKONDE mghana Mayer anakutafuta huku
USAWA WA BINADAM UNAKAMILIKA KWENYE KIFO TU ILA MAISHA YA DUNIANI HATUWEZ KUWA SAWA ILA HATA UMILIKI KILA KITU DUNIANI LAKN UKIFA HUNA TOFAUT NA MWINGINE🙏
@machasofficialsite6221
11 ай бұрын
Kuijenga saikolojia juu ya mafanikio pia ni muhimu
@saimonifredi4653
4 ай бұрын
Mawazo ya masikini
Nae alianzia kwenye crown na alianza chini kabisa amna anaeanza kuwa na hela haraka
Mapambano hayana mwisho
8:50 🥴🥴
Mpeni credit Wode Maya@Wode Maya
@shadiidinyo1657
11 ай бұрын
And they present it kama vile yao🤣
@thomasardoph
11 ай бұрын
Wauni hawa
Mwambie Godlove wa TKTOK aje aone
Mtangazaji unazinguaa xaaana Yan tunakusikiliza alaf unatuponda we viii ww hujui ss ndo wateja wako ww type content sio mipashoo
@EsupatLaiser
Күн бұрын
Anatia hasira ya kupambana Wala hapondi😂😂
😂😂nasikitika ila nemefurahi😂
Kaka moo ana dollar billion 2.3
@ndukulusudikucho_
11 ай бұрын
Muombee saana azid kufanikiwa
@R.Dickon
11 ай бұрын
Nope! ni $ 1.5 billion
@lucasmhagama8166
11 ай бұрын
Mo ana Dollar billion 1.5
Yani we acha uyu jamaaa mala nyingi nikienda Uganda lzma nione mijengo yake kila kona
Wengine bongo Apo wanajita matajiri kina Godlove wanacheza na kujipakazia utajiri 😂😂😂
@ringotechnology9759
10 ай бұрын
😅😅😅😅😅
Ila mtangazaji mbona unanisimanga
@tatuomar7131
11 ай бұрын
😆
Huyu jamaa ameamua kutafuta kwanza...mapenzi baadae. Hiyo ndo siri ya mafanikio yake...