HII NDIYO HOTEL YA KIFAHARI ALIYOJENGA BILIONEA WA MAGARI MUSOMA, ANA BEACH NA BOTI LA KISASA

Ni mwendelezo wa Episod kuhusu mfanya biashara bilionea Rama Msumi mwenye asili ya Musoma, Mara na kufanya uwekezaji wa hotel ya kifahari na yutch bot iliyopo kwenye eneo lake la beach, amewekeza kwenye mengi ikiwemo mpaka nje ya nchi, na kwa Musoma Tumezungunza na Meneja wa Legrand Victoria Hotel, Magembe Daniel aliyeelezea zaidi uwekezaji wa hoteli hiyo.
Legrand Victoria Hotel Musoma
Email: legrandvictoriahotel@gmail.com
Contact: +255 658 059 867 +255 762 198 409

Пікірлер: 82

  • @simonmwaliru8590
    @simonmwaliru859011 ай бұрын

    Hongera sana kwa kukumbuka kuwekeza nyumbani. Ni vizuri kumsupport katika biashara zake,ndiyo ubinadamu huo.

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula222711 ай бұрын

    Huyo manager director hajui kujielezea vizuri hana motivation

  • @koposehamisi6317

    @koposehamisi6317

    9 ай бұрын

    Njoo ukielezee wewe

  • @glorydaniel8624
    @glorydaniel8624Күн бұрын

    Naomba mumtagg manager ,nataka kuomba kazi hapa

  • @MursalMursal-op3ly
    @MursalMursal-op3ly11 ай бұрын

    Champion ndani ya nyumba🎉🎉🎉 shukurani sana kwa ayotv kwa kuchagua usafiri bora kanda ya ziwa mwanza to msm #champion express... Karibu usafiri nasi kila siku kwa safari za mwanza to msm nyakati zote kuanzia saa mbili asbh mpka saa mbili usiku... Tunakujali tunakupenda abiria wetu tunakufikisha kwa wakati ni champion pekeeeeeeeeee

  • @mohamedshaaban9740
    @mohamedshaaban974011 ай бұрын

    This man Rama Musomi Allah give you more and more. You are our mentor always.

  • @denicegaspar9479
    @denicegaspar947911 ай бұрын

    Hapa ni shalala Wana huduma nzuri kweli🙏

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk11 ай бұрын

    Manager smart Sana

  • @user-bz2bg5bf3y
    @user-bz2bg5bf3y3 ай бұрын

    Mashallah mabrouk tabarakhaallah good job SOMO inshaallah khilla RAMA MSOMI

  • @saimontipaa6887
    @saimontipaa688711 ай бұрын

    Very beautiful hotel

  • @rumdeesonsoa1811
    @rumdeesonsoa181111 ай бұрын

    Inspiration

  • @halimahalima1488
    @halimahalima148811 ай бұрын

    MashaaAllah tabaraka Allah 👏❤️

  • @hafidhclassic5862
    @hafidhclassic586211 ай бұрын

    Congratulations Boss Allah akuzidishiee Una baya na mtu tajiri 🤲🤲

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson966311 ай бұрын

    Muendelee kutuma nazakutolea mafanikio mtayaskio studio 🎙️🎙️🎙️

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    11 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @RizikiRiziki-bp6dx
    @RizikiRiziki-bp6dx10 ай бұрын

    Hongera Kaka yangu.

  • @rastapeace9616
    @rastapeace96169 ай бұрын

    Mungu akupe umri mrefu na afya njema kwa kuweza kuja kuekeza kwenu na kuwasaidia watanzania wenzako

  • @andreamathew4585
    @andreamathew45852 ай бұрын

    Naomba kazi

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss96878 ай бұрын

    #BLESSINGS......💥💥❤🙌🙌

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin952010 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-gd6qi3ot8y
    @user-gd6qi3ot8y11 ай бұрын

    Chama la wapigaji tanzania😂😂😂huyu ndo atakuwa mwenyekiti sababu yeye ndo katoboa kuliko wote, Hawa ndo matapeli wakubwa tanzania wanaoperate nairobi/mombasa tu.. enzi zao maokoto kama mchanga.. Wapi mtemi zumbe😂😂😂team moja

  • @user-cu5oc9hg5u
    @user-cu5oc9hg5u9 ай бұрын

    Nice

  • @SaldohMascotRapper
    @SaldohMascotRapper11 ай бұрын

    Millard ayo at least put the hotel name on the description

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk11 ай бұрын

    Inabidi aongeze nyingine vyumba 20 very few

  • @tabynas4485
    @tabynas448511 ай бұрын

    Vidooo nakupenda......

  • @eramboya8724
    @eramboya872411 ай бұрын

    Ikopoa sna hyo boss rama msomi na Kenya weka kitu kma hyo

  • @seneu.2128

    @seneu.2128

    11 ай бұрын

    Anayo Kenya ipo Mombasa

  • @ramahzedon6688
    @ramahzedon668811 ай бұрын

    Peninsula ndo ilikuwa bora kabisa, ila Mativila ndo top kwa sasa huwezi sema Le grand ulinganishe na Mativila

  • @nahiriali1405
    @nahiriali140511 ай бұрын

    Jamaa kafanana sana na sheikhe othman Michael au ndugu nini?

  • @gemwatz823
    @gemwatz82311 ай бұрын

    Wonders

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda461911 ай бұрын

    Aiseee

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania974311 ай бұрын

    Mimi nipo tu jamani saa zi ngine natamani nisiingie yuoteb ndo mambo kama haya uñawaza mpaka unawazua

  • @mwana4599

    @mwana4599

    11 ай бұрын

    Jamani. Work hard utafik mahali si lazima kufika level ya Rama.

  • @mtoimohamed6594
    @mtoimohamed659411 ай бұрын

    Masha Allah

  • @isihakaliyuma1848
    @isihakaliyuma184811 ай бұрын

    Pesa ni fumbo jamaani

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin27511 ай бұрын

    Asante kwa tangazo

  • @jamesmasunyiro8733
    @jamesmasunyiro87334 ай бұрын

    Manager unatakiw kubland zaid ubora wa huduma ya hapa, semea tofaut nying zaid ktk hii hotel ili kuwashawish watu

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey705211 ай бұрын

    Hongeraa

  • @ramadhanhewass8023
    @ramadhanhewass802311 ай бұрын

    Legrand hotel rama aje babat manyara kuna maeneo mengi ya milima na ziwa babat japo ni dogo aweke pia hotel hata hadhi yake ikiwa nyota 4 location ya mkoa wa manyara ni amaizing sana na na ni mji wa kitalii na jiran na musoma pia kwa kuoitia goma serenget ila kwa babat ndo sana location kama mjengo ukiwa mliman kwenye miteremko ya milima ndo inashukia ziwa babat na pia kuna kama hekar 12 katikati ya maji ambayo ni ardhi anaishi mtu na analima anafuga pia ingekua vp kama legrand babat hotel ikiwa kwenye mji wa aman na utuliv kama babat afu ni ktk pia mwa nchi yetu

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline657511 ай бұрын

    Wekeni Gym please Gymnastics

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya747511 ай бұрын

    Pongezi Hotel iko poa sana

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale29689 ай бұрын

    Jamaa pesa anazo mazee

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael511 ай бұрын

    Kwa bahati mbaya musoma hawana timu ya ligi kuu jamaa angepiga pesa ndefu ila hapo amewekeza hela na atavuna tu, Mungu akuwezeshe broo mpambanaji

  • @yahayaramadhani3653
    @yahayaramadhani365311 ай бұрын

    Hiii ndo kali musoma nzima

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh11 ай бұрын

    Saahivi wanayo musoma

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera432311 ай бұрын

    Billionaire...?? In term of shiling or

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj11 ай бұрын

    Hakika mwenzetu kajaribu.

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    11 ай бұрын

    Nimependa kuwa anapenda vitu vzr na anasema mi mwenyewe najipenda.Kama unacho tumia,hahahahah

  • @amanimanase8798

    @amanimanase8798

    11 ай бұрын

    Sio kujaribu tu bali kafanya na kafanya tena hii sio kujaribu ni kutenda

  • @mclee493

    @mclee493

    11 ай бұрын

    Mmh kajarib kawez mm hata mgahawa wa mama ntilie cna ..

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    11 ай бұрын

    @@rehemakanyere4188 unapatikana wap rehema.

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    11 ай бұрын

    Hajajaribu amefanya

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea522311 ай бұрын

    Kuna watu Wana pesa Zaid ya huyo Kama Mara 50 Zaid japo hawajionesh lakin so mbaya nae Yuko vzr sana

  • @mariamkibindo1741

    @mariamkibindo1741

    11 ай бұрын

    Lakini hapa nahis anatangaza pia biashara sio kujionyesha kuwa ana pesa

  • @hassanmugire1497

    @hassanmugire1497

    11 ай бұрын

    Acha wivu

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    11 ай бұрын

    Anatangz biashr yake sio pesa zake

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    11 ай бұрын

    Anatangz biashr yake sio pesa zake

  • @samsungtz9148

    @samsungtz9148

    11 ай бұрын

    Ww una nini 😂?

  • @user-ij5ws7xy3b
    @user-ij5ws7xy3b11 ай бұрын

    Musoma ipo maeneogan hiyo

  • @erickrubanda

    @erickrubanda

    11 ай бұрын

    Mkoa wa mara

  • @wakunatahafai1969

    @wakunatahafai1969

    11 ай бұрын

    @@erickrubanda hujamuelewa kaka alimaanisha hiyo hotel Iko maeneo gani hapo Musoma je ni mjini au pembezoni mwa mji

  • @user-lr5wc6kk7m

    @user-lr5wc6kk7m

    11 ай бұрын

    Musoma mjini,kata ya bweri,mtaa wa kariakoo

  • @shabanimusa873

    @shabanimusa873

    11 ай бұрын

    Kata ya Iringo barabara ya Kenedy mtaa wa Iringo c

  • @dannywillson5874
    @dannywillson587411 ай бұрын

    Usiseme billionea sema milionea

  • @hamzaswaibu9470

    @hamzaswaibu9470

    11 ай бұрын

    Huyu ni bilionea so mchezo

  • @IsraelKisaila
    @IsraelKisaila11 ай бұрын

    Bei ni sh ngapi kulala kwa siku?

  • @Iamsasboy

    @Iamsasboy

    11 ай бұрын

    800,000 per night

  • @georgetanzania332

    @georgetanzania332

    11 ай бұрын

    🤑🤑🤑

  • @IsraelKisaila

    @IsraelKisaila

    11 ай бұрын

    @@Iamsasboy napata HUDUMA zipi na zipi ?

  • @mariamkibindo1741

    @mariamkibindo1741

    11 ай бұрын

    ​@@Iamsasboywee lakin name au elfu 80

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    11 ай бұрын

    ​@@mariamkibindo1741nilitak kujua pia

  • @Movies_headquarter
    @Movies_headquarter11 ай бұрын

    Tumpe bandari

  • @KS-iw7qv

    @KS-iw7qv

    11 ай бұрын

    😂

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing65311 ай бұрын

    Hiyo ndio hotel kubwa tulifanya utalii Musoma tulikosa vyumba vimejaa hii Hotel ,tukalala hotel nyingine ni chafuu tulizunguka kutafuta hotel zingine Mpaka saa 7 usiku hotel ni mbaya mashuka na vyoo hatari wa Huduma.Musoma wanahitaji uwekezaji tulizunguka sana kutafuta hotel ya ⭐️⭐️⭐️ hakuna I promised not to visit Musoma ever again

  • @selanyikatv
    @selanyikatv11 ай бұрын

    Namdaa sijamuon @dullah_tz

Келесі