HII NDIYO HOTEL YA KIFAHARI ALIYOJENGA BILIONEA WA MAGARI MUSOMA, ANA BEACH NA BOTI LA KISASA
Ni mwendelezo wa Episod kuhusu mfanya biashara bilionea Rama Msumi mwenye asili ya Musoma, Mara na kufanya uwekezaji wa hotel ya kifahari na yutch bot iliyopo kwenye eneo lake la beach, amewekeza kwenye mengi ikiwemo mpaka nje ya nchi, na kwa Musoma Tumezungunza na Meneja wa Legrand Victoria Hotel, Magembe Daniel aliyeelezea zaidi uwekezaji wa hoteli hiyo.
Legrand Victoria Hotel Musoma
Email: legrandvictoriahotel@gmail.com
Contact: +255 658 059 867 +255 762 198 409
Пікірлер: 82
Hongera sana kwa kukumbuka kuwekeza nyumbani. Ni vizuri kumsupport katika biashara zake,ndiyo ubinadamu huo.
Huyo manager director hajui kujielezea vizuri hana motivation
@koposehamisi6317
9 ай бұрын
Njoo ukielezee wewe
Naomba mumtagg manager ,nataka kuomba kazi hapa
Champion ndani ya nyumba🎉🎉🎉 shukurani sana kwa ayotv kwa kuchagua usafiri bora kanda ya ziwa mwanza to msm #champion express... Karibu usafiri nasi kila siku kwa safari za mwanza to msm nyakati zote kuanzia saa mbili asbh mpka saa mbili usiku... Tunakujali tunakupenda abiria wetu tunakufikisha kwa wakati ni champion pekeeeeeeeeee
This man Rama Musomi Allah give you more and more. You are our mentor always.
Hapa ni shalala Wana huduma nzuri kweli🙏
Manager smart Sana
Mashallah mabrouk tabarakhaallah good job SOMO inshaallah khilla RAMA MSOMI
Very beautiful hotel
Inspiration
MashaaAllah tabaraka Allah 👏❤️
Congratulations Boss Allah akuzidishiee Una baya na mtu tajiri 🤲🤲
Muendelee kutuma nazakutolea mafanikio mtayaskio studio 🎙️🎙️🎙️
@aminatanzanya7475
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
Hongera Kaka yangu.
Mungu akupe umri mrefu na afya njema kwa kuweza kuja kuekeza kwenu na kuwasaidia watanzania wenzako
Naomba kazi
#BLESSINGS......💥💥❤🙌🙌
Mashaallah
Chama la wapigaji tanzania😂😂😂huyu ndo atakuwa mwenyekiti sababu yeye ndo katoboa kuliko wote, Hawa ndo matapeli wakubwa tanzania wanaoperate nairobi/mombasa tu.. enzi zao maokoto kama mchanga.. Wapi mtemi zumbe😂😂😂team moja
Nice
Millard ayo at least put the hotel name on the description
Inabidi aongeze nyingine vyumba 20 very few
Vidooo nakupenda......
Ikopoa sna hyo boss rama msomi na Kenya weka kitu kma hyo
@seneu.2128
11 ай бұрын
Anayo Kenya ipo Mombasa
Peninsula ndo ilikuwa bora kabisa, ila Mativila ndo top kwa sasa huwezi sema Le grand ulinganishe na Mativila
Jamaa kafanana sana na sheikhe othman Michael au ndugu nini?
Wonders
Aiseee
Mimi nipo tu jamani saa zi ngine natamani nisiingie yuoteb ndo mambo kama haya uñawaza mpaka unawazua
@mwana4599
11 ай бұрын
Jamani. Work hard utafik mahali si lazima kufika level ya Rama.
Masha Allah
Pesa ni fumbo jamaani
Asante kwa tangazo
Manager unatakiw kubland zaid ubora wa huduma ya hapa, semea tofaut nying zaid ktk hii hotel ili kuwashawish watu
Hongeraa
Legrand hotel rama aje babat manyara kuna maeneo mengi ya milima na ziwa babat japo ni dogo aweke pia hotel hata hadhi yake ikiwa nyota 4 location ya mkoa wa manyara ni amaizing sana na na ni mji wa kitalii na jiran na musoma pia kwa kuoitia goma serenget ila kwa babat ndo sana location kama mjengo ukiwa mliman kwenye miteremko ya milima ndo inashukia ziwa babat na pia kuna kama hekar 12 katikati ya maji ambayo ni ardhi anaishi mtu na analima anafuga pia ingekua vp kama legrand babat hotel ikiwa kwenye mji wa aman na utuliv kama babat afu ni ktk pia mwa nchi yetu
Wekeni Gym please Gymnastics
Pongezi Hotel iko poa sana
Jamaa pesa anazo mazee
Kwa bahati mbaya musoma hawana timu ya ligi kuu jamaa angepiga pesa ndefu ila hapo amewekeza hela na atavuna tu, Mungu akuwezeshe broo mpambanaji
Hiii ndo kali musoma nzima
Saahivi wanayo musoma
Billionaire...?? In term of shiling or
Hakika mwenzetu kajaribu.
@rehemakanyere4188
11 ай бұрын
Nimependa kuwa anapenda vitu vzr na anasema mi mwenyewe najipenda.Kama unacho tumia,hahahahah
@amanimanase8798
11 ай бұрын
Sio kujaribu tu bali kafanya na kafanya tena hii sio kujaribu ni kutenda
@mclee493
11 ай бұрын
Mmh kajarib kawez mm hata mgahawa wa mama ntilie cna ..
@GeorgeAkasha-zx2rj
11 ай бұрын
@@rehemakanyere4188 unapatikana wap rehema.
@rumdeesonsoa1811
11 ай бұрын
Hajajaribu amefanya
Kuna watu Wana pesa Zaid ya huyo Kama Mara 50 Zaid japo hawajionesh lakin so mbaya nae Yuko vzr sana
@mariamkibindo1741
11 ай бұрын
Lakini hapa nahis anatangaza pia biashara sio kujionyesha kuwa ana pesa
@hassanmugire1497
11 ай бұрын
Acha wivu
@aminatanzanya7475
11 ай бұрын
Anatangz biashr yake sio pesa zake
@aminatanzanya7475
11 ай бұрын
Anatangz biashr yake sio pesa zake
@samsungtz9148
11 ай бұрын
Ww una nini 😂?
Musoma ipo maeneogan hiyo
@erickrubanda
11 ай бұрын
Mkoa wa mara
@wakunatahafai1969
11 ай бұрын
@@erickrubanda hujamuelewa kaka alimaanisha hiyo hotel Iko maeneo gani hapo Musoma je ni mjini au pembezoni mwa mji
@user-lr5wc6kk7m
11 ай бұрын
Musoma mjini,kata ya bweri,mtaa wa kariakoo
@shabanimusa873
11 ай бұрын
Kata ya Iringo barabara ya Kenedy mtaa wa Iringo c
Usiseme billionea sema milionea
@hamzaswaibu9470
11 ай бұрын
Huyu ni bilionea so mchezo
Bei ni sh ngapi kulala kwa siku?
@Iamsasboy
11 ай бұрын
800,000 per night
@georgetanzania332
11 ай бұрын
🤑🤑🤑
@IsraelKisaila
11 ай бұрын
@@Iamsasboy napata HUDUMA zipi na zipi ?
@mariamkibindo1741
11 ай бұрын
@@Iamsasboywee lakin name au elfu 80
@aminatanzanya7475
11 ай бұрын
@@mariamkibindo1741nilitak kujua pia
Tumpe bandari
@KS-iw7qv
11 ай бұрын
😂
Hiyo ndio hotel kubwa tulifanya utalii Musoma tulikosa vyumba vimejaa hii Hotel ,tukalala hotel nyingine ni chafuu tulizunguka kutafuta hotel zingine Mpaka saa 7 usiku hotel ni mbaya mashuka na vyoo hatari wa Huduma.Musoma wanahitaji uwekezaji tulizunguka sana kutafuta hotel ya ⭐️⭐️⭐️ hakuna I promised not to visit Musoma ever again
Namdaa sijamuon @dullah_tz