PART 3 - FINALLY, haya ndio Maisha ya sasa, kumiliki HOTEL, JUMBA la KIFAHARI, MAGARI mazuri, noma
Tazama SEHEMU ya KWANZA kupitia Link hii .... • TAJIRI aliyeoga BAHARI... Tazama SEHEMU ya PILI kupitia Link hii ..... • PART 2 - TAJIRI aliyeo...
Жүктеу.....
Пікірлер: 169
@mtotowaspurs2 жыл бұрын
This guy speaks the truth about housing, wazungu wanapenda nature, hata usimchinjie kuku, mpe mchicha au maarage ya nazi, Respect bro, much appreciated - akili Kubwa!
@derickkazimoto8908
2 жыл бұрын
P00000
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Sio wote wapo wanapenda vitu very luxurious and they pays a lot
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Wageni wanapenda Sana vitu vyetu vya asiri, wenyewe tunavizarau, Safi Sana kaka umefanya kitu kizuri Sana,kutumia makuti,mbao za minazi, ngozi, vitenge, kanga, picha za wanyama wetu, kiukweli mpo vizuri.
@mwalimualiaminialiamini86232 жыл бұрын
Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua
@mariamyoyote81722 жыл бұрын
Masha Allah mwenyez mungu azidi kukubaliki kukulinda Kwa kila Baya na uzidi kufanikiwa pia ume na hofu ya mwenyez mungu
@aishaabdul9287
Жыл бұрын
Hongera sana Kwa hatua uliofikia umeitendea hali ndoto Yako mwenyezi mungu akusimamie uendelee mbele
@joycekisamo48962 жыл бұрын
This guy is amazing...very cool 😎, Napenda style yake, ongea yake, you name it. Je hivyo vitanda vya cement mtu aliwa 6' na zaidi kitamtosha kweli? Naoma kama ni vifupi; au? Yaani amekua na very humble suffering beginning but he us so down to earth...Wishing you the Best
@hassanmussa36642 жыл бұрын
Hata km sio sehem yake ila ni nafasi pia Mungu kampa hvo nae anaitumia vizur hongera kwake tumuombeee tu
@achouraachoura57632 жыл бұрын
Masha'allah kijana mwenye akili zake mungu akulinde na hasadi za waja wake pia Allah akufanye kijana mwenye hofu kwake💓
@khadijasayeed3381 Жыл бұрын
Hongera sana kaka kwakwel nimejifunza mengi kutoka kwako♥️🥰
@lareinemere13292 жыл бұрын
Wow Awesome I love it
@zayumar2955 Жыл бұрын
Hongera sana kaka Mwenye enz Mungu akujaalie Kwa hatua Yako uliyopiga 🤲😘❤️
@mwajumabinwa604 Жыл бұрын
Mungu atazindi kuku bariki brother ❤❤❤
@khamisjuma85012 жыл бұрын
Good job my brother message from USA 🇺🇸I m coming back home Good life
@lafamiliabarbershopkigalir429611 ай бұрын
ata mimi Safari yangu ni kama yako mungu akubariki sana 💯💪
@bennymochiwa48002 жыл бұрын
big up bro, u give us hope everything is possible under the sun of Allah
@lafamiliabarbershopkigalir429611 ай бұрын
Asw. Sina mengi ya kusema big up brother 💪
@dikodikson5592 жыл бұрын
Congratulations umetisha kinyamwezi sana
@lareinemere13292 жыл бұрын
I learn something Through this guy Congratulation and keep doing this very nice good example💪💪😍
@khadijahali48372 жыл бұрын
Safi sana kwenye maisha ni kupambana mpk mwisho wako wa kuishi
@zamdakimaro8040 Жыл бұрын
DA ILA WATU JAMANI WANATOKA MBALI ,KAKA HONGERA SANA KWA HATUA HIYO KUBWAA
@allthingdranabeauty2 жыл бұрын
Safi Nimependa kawekeza vizuri🥂kwake
@shafiimaloki60582 жыл бұрын
Big inspiration
@frerejeconais5543 Жыл бұрын
From USA nimempenda huyu hamaa ni mogo wangu ki mri but this good nature it's better kuliki everything I wish nikija kutamebea tz nikitane na sky na kutamebea this place big up guys
@ucjvvjcjjvih99342 жыл бұрын
Am muna fro tz piga kelele kwa tango akeee weweee karudi agan nzur tunaendelea😍👍
@kassimali2273
2 жыл бұрын
Muna jina zuri Mashaa Allah
@vitalismmary4262 жыл бұрын
Wise man
@lucylucy36782 жыл бұрын
Ongera san pamban mungu yup bado atakuongeze ving vijana kama hawa ndo tunatka❤❤
@achouraachoura57632 жыл бұрын
Masha'allah hujafa hujaumbika hivyo tisikata tamaa
@kingkendrickk2 жыл бұрын
Dah! Respect kwako Mr tango. Ama kweli mungu pekee ndo anapanga riziki 👊🏿👊🏿
@janeangoche44642 жыл бұрын
This is wonderful ❤ 💖 Congratulations 👏 good job.
@TheSalma19992 жыл бұрын
Jamaa ni brilliant alivyosema kukonect na nature he is absolutely right
@mcjmcheshi2 жыл бұрын
Safi saaana
@bupedaudi36232 жыл бұрын
Jamani Mimi mnanifanya kilawakati nijifunze kupitia ninyi. Mungu awatunze wazalendo wangu.
@amosbigirimana54692 жыл бұрын
Jamani acheni loho zacirosho mwenziyo akifanikiwa zidi kumuombeya.ila ingekuwa mzungu ungemuamini.mimi naishi South Africa mtu kuvanya kitu kama icho nimajaliwa.tuzidi kumuombeya.
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
Hongera mzee wetu hii room ya pili nimeielewa nitakuja hapo maisha matamu paje ,Sisi ndo Wazee wanongwa tusipoona maneno ya kwenye kanga bado hatujahisi kama tupo kwenye unyangalilo..😂😂
@tahirnephessalum36782 жыл бұрын
Very inspiration story...Bigup Tango Kuna kitu tumejifunza kupitia story ya maisha yako....Sns Tuleteeni strory zingine kama hiz
@khamisshee51312 жыл бұрын
MASHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
Mashallahx3 nikija home ZNZ nitafika Maisha Matamu Paje inshallah nimepanda nyumbani raha
@r14kgroup682 жыл бұрын
Hongera sana
@dayana5513story2 жыл бұрын
Congratulations bro
@muniramtika3614 Жыл бұрын
Hongera sna bwana Mwita
@anjelinakasembe8452 жыл бұрын
Ongera unasifa uendeleee kuwa hivyo nimekupendan wewe Ni mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kiloposimba20122 жыл бұрын
Hongera mwanangu
@Entertainmen_tv20242 жыл бұрын
Nice unajua kupambana chakochako tu
@a.8562 жыл бұрын
👏👏👏
@joycekisamo48962 жыл бұрын
Please please make sure you have a lot of fire 🔥 extinguishers and make sure your staff are trained on how to use them incase of emergency.
@mtzhalisi22322 жыл бұрын
Safi mwamba
@heritier5119 Жыл бұрын
Yule demu wako aliye kuacha eti huna future sijui analia kilio gani, ndo shida ya wanawake utazama leo tu
@amirikoshuma30392 жыл бұрын
Mr b
@esthercedrick4914 Жыл бұрын
nimeishi zanzibar miaka 8 najua paje vizuri sana mana nimefanya kazi hakuna majiwe mwamba kibiashara uko poa
@happynelson11362 жыл бұрын
Mimi naishi Ulaya nitakuja bongo mwaka kesho mwezi wa pili nataka kufikia kwenye hiyo hoteli huko zanzibar
@bainolatino3412
Жыл бұрын
Hongera sana happy Mimi in kijana wa miaka 24 nakukaribisha sana znz nitakua mwenyeji wako kama utapenda naam
@happynelson1136
Жыл бұрын
@@bainolatino3412 poa
@bainolatino3412
Жыл бұрын
Sawa hamna shida ni nchi gani unaishi kwani??
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mkurya mwenzangu umeweza, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga, ufanikiwe zaidi ya hiki. 🙏
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
So wakurya nyie noma
@bakundukizetz38802 жыл бұрын
Hongera Sana brother, Mungu akutie nguvu uzidi kufanikiwa
@thuwaibagamba9123 Жыл бұрын
Nimejufunza San kaka
@zanzibarboyzanzibar509 Жыл бұрын
Nilikaa hapo last year nililipa 40$ per one night, five starts wanachaji mbaka 5000$ per night
@nurdinmkwachu282 жыл бұрын
Ndugu zanguni mnao angalia hii story ya huyu jamaa mufatilie na muishie hapahapa msije kuwa na tamaa maisha sio rahisi huyu jmaaa anavingi Sana unaweza kuona rahisi Ila maiombe
@babaluxe8626
2 жыл бұрын
Kkkk Asante kwa hii comment yako kaka nurdin, maisha ni Siri, ole wao wenye tamaa,
@fatumamuya283
2 жыл бұрын
Nimeipenda comment yako ni kweli kabisa unavyosema
@msalikemedia
2 жыл бұрын
Nurdin mkwachu. Upo sahihi kabisa
@ashasaid5061
2 жыл бұрын
UKO SAHIHI
@aishaomary44982 жыл бұрын
Natamani kutembelea hiyo sehem at least nilale cku mbili ivi Wallah
@twentyacresfarms34642 жыл бұрын
Escooo unapatia sana simulizi za video 📸 hongera kaka
@mrvibe12892 жыл бұрын
Hongera sana bro
@joycekisamo48962 жыл бұрын
Beach Notel? For sure that's isn't a H. Sorry for being picky but you rock man!
@lizzygussep2051
2 жыл бұрын
Why? Explain pls
@araphatimura79702 жыл бұрын
Tata mura...skiuz wakurya nao tunavuma ...balikiwa San mura waito
@elijahm.muthini2 жыл бұрын
Dreams are valid ❣️👌this is really cool ma mehn
@teychriss32482 жыл бұрын
Tango part zooote 3 nimekufuatilia sana ujue!! Embu hitimisha Kwa kutupia namba yako hapa!! Mambo yasiwe mengi!! 😕😕
@damianjeremia3821
2 жыл бұрын
Akitoa namba amekwisha🤔😄😄😄
@newbwejuu43022 жыл бұрын
miaka hamsini paje beach kumejengwa boma gn
@rockmoneymedia36072 жыл бұрын
Alien Forever 👽 Chizitango ☠️
@mariamhussein76202 жыл бұрын
Nikija zenji definitely nitakutafuta
@zamdakimaro8040 Жыл бұрын
BABA KABAKI KULE KIVYAKE AU MBONA MTANGAZAJI UJAMIIULIZA MDINGI ANASEMAJE
@Official836402 жыл бұрын
Kina Masha love wapo wengi jaman hd wanaume wapo
@magynzioka1122
2 жыл бұрын
Mfatilia vizuri utajua afanani nana love sikiza story kuazia mwazo Dio uje uoge
@Official83640
2 жыл бұрын
@@magynzioka1122 naomba upitie comment zote walizomponda huyo kaka halafu ureply ok maana usikurupuke kwenye comment yng tu. Nimemaanisha huyu kaka muongo sana na Mashalove ndy na yeye anaongoza kwa uongo au humfatilii
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
@@Official83640 Ni kweli kama Muhogo sema Ndugu zetu wa Tanzania Bara ukisema ukweli utasikia wewe Mchawi sijui una Roho Mbaya, kwanza hii Hotel wamekodi na Pia aliwai kupata Mwanamke wa kizungu
@maisarahakizimana7074 Жыл бұрын
Hakuna maisha ya shortcut
@TheSalma19992 жыл бұрын
Na mimi ntakuja Bongo ntafikia hapo I love nature
@dauddavid77012 жыл бұрын
huna lolote unasifa tu kumbe na wakurya mnasifa ety hotel yako watakubaka endelea tu
@alphoncemandu222
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mahmoudaziz47172 жыл бұрын
Aya ndo maisha ya sisi wa bongo tunaishi Zanzibar. Madem wa kizungu ni kawaida kwetu. Kitu Cha kawaida ndugu zangu Kuna wa bongo wapo zanzibar Wana Vitu zaidi ya ivyo. Normal jamani 🇹🇿✌️👋.
@hajiabdalla5772
2 жыл бұрын
Mujuwe kama Zanzibar ina nema kuiheshimu Zanzibar ulaya
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Na kweli mana wingi wanakuja wanakua masikini sana badae wanapata Wazungu wanawasaidia n wengine wanawaibia badae
@bupedaudi36232 жыл бұрын
Namimi Nina ndoto kama hizo.
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Zanzibar inaweza kukodi hoteli yote au jumba ndani ya stone town.inawezekana amekodi ila kama amepata mzungu akamjengea.sawa mana maisha yetu Zanzibar tunayajuwa na tunajuwana
@mosessaid9883
Жыл бұрын
Acha roho mbaya wewe..wenzako wote wanampongeza we ndo peke yako unaona kinyume? Uchawi sio mpaka ushike tunguli kumkatisha mtu tamaa yaani huo peke yake ni uchawi tosha.
@wemaabduly65172 жыл бұрын
MB zang jaman
@mamaprecious37452 жыл бұрын
Nitakula minazi
@Entertainmen_tv20242 жыл бұрын
Chumba cha makuti kizur
@rasterwangu97082 жыл бұрын
Huyu jamaa nimuongo tena sana! Mi paje ndio kwetu na naishi huku kwa miaka yote! Hiyo sehemu haimhusu kabisaaa
@deuskazimil8721
2 жыл бұрын
Tutaaminije sasa
@moriscollins4494
2 жыл бұрын
Sasa si anajidanganya....ila huo ujasiri ameutoa wapi au babu una wivu
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@deuskazimil8721 njoo nikupeleke
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@moriscollins4494 wivu kwa kitu cha uongo
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Hiyo Hotel sio yake ni kweli walikodi na Mwanamke wake alikua Mzungu ata pale liposema kanunua Dolla Elfu 90 Uhongo mtupu kiwanja kile kilikua kinauzwa Milion 25 tu, alafu kasema Chini kakodisha Wazungu dolla 1000$ kwa Mwezi duh Uhongo mwengine
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@joycekisamo48962 жыл бұрын
Hajatuambia elimu yake; yuko vizuri kwa kweli
@jumachabai2874
2 жыл бұрын
Form3 ali drop kutokana na kukosa ada huko Mwanza
@queenmilan20242 жыл бұрын
HUYU NAE ACHA UONGO HUYU RAFIKI YANGU MUITALIANO NDIO AMEKUAJIRI ILI UANGALIE HIZO BIASHARA ZAKE. YANI AMEKUTUMIA ILI ALSILIPE MAPATE MAKUBWA. ACHA KUJIGAMBA. HUYO TAJIRI WAHIZO SEHEMU NI RAFIKI YANGU SANA
@brianminja791
2 жыл бұрын
Kwaiyo kma huyu mtaliano ni rfki yako wwe una nini embu jiongez mwezako kajiongeza ww unapiga kelele tu 😂😂 alfu unajikuta mjuwa ji ila hujui kutafuta connect za maan.
@shubebunyesi542
2 жыл бұрын
Kama muitaliano katumia maganda ya jamaa Ili akwepe kodi au kodi isiwe kubwa basi moja kwa moja uyu jamaa ndio anajulikana so ndio mmiliki, lkn pia utujui makubaliano yao inaweza fika wakati ikawa yakwake kabisa U never NO
@sabrarak99892 жыл бұрын
Mhhh utakula minazi au utakula madafu
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣kuchapia imo
@fahadtourszanzibar82442 жыл бұрын
Oyoo huyuu muongoo
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
Ukweli wako ww uko wapi chakarika na ww ndiyo wanga wenyewe nyie kumsifia mtu ni big NO🤣🤣🤣
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka ile mbaya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jmn
@rasterwangu97082 жыл бұрын
Sema sio mbaya kujisifia
@shubebunyesi542
2 жыл бұрын
Bro inaonekana kama unamjua Sana mwamba u never no embu tujuze bro jamaa anatulisha matango poli?
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@shubebunyesi542 huyo hahusiki na hio sehemu, kaamua tu kujionyesha, amini mi nipo huku
@hajiabdalla5772
2 жыл бұрын
@@rasterwangu9708 kweli mjomba mana wazanzibari wengi ambao wana hoteli basi ana mzungu au anaishi ulaya. Na kule stone town wapo wazanzibari ambao wamekodi majumba ya mji mkongwe wanalaza wageni. Huyu jamaa labda kakabiziwa to alinde au anatumwa
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Wabongo wengi huwa wanafanikiwa Zanzibar na ndio maana muungano hawataki kuuvunja wapo waliokwenda ulaya kupitia nguvu za Zanzibar. Na wenyeji wa Zanzibar kwa sasa wengi wao wamesafiri kuna vijana mabarubaru to na sasa ukenda Zanzibar watu wengi wapya huko darajani na forodhani tafrani ila ok ndiyo maisha
@lizzygussep2051
2 жыл бұрын
Na wazanzibari wengi wamejaa bongo kariakoo wa zanzibar kibao so acha ubaguzi sisi wote ni ndugu
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@suleimanali56772 жыл бұрын
Jamaa kuna vitu muongo sema hongra kwa big step uliopiga, sema kuna vitu unazidisha sifuri
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
Ndiyo maneno ya waja hayo kuamini ni ngumu sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣keshatoboa kutoka zero to hero big up my bro👏👏👏👏
@iamserenity7279
2 жыл бұрын
😂😂😂 Sifur wapi my brother !
@bennymochiwa4800
2 жыл бұрын
tuachen roho za kwann, ila angekua mhindi au mwarabu ungemwamini
@suleimanali5677
2 жыл бұрын
@@bennymochiwa4800 kwa vitu anavo ongea hata km angekua mzungu basi ningemwambia muongo na umeibiwa
@theluckfamily4711
2 жыл бұрын
Watoto wa kiislam mna roho mbaya na chuki kwa watu waliofanikiwa sijui kwa nn afu huyo Ni mkurya wakurya ata nyerere aliwakubali Ni waambanaji ndo maana ata jeshin walikuwa wao mbele afu we ni mtoto wa kiume mtafute jamaa akupe mbinu
@jacksongidion5170 Жыл бұрын
Y
@badymedia96482 жыл бұрын
Part 2 mbna siioni
@mariamadam2982
2 жыл бұрын
Hata mm pia coni 😓😓
@nai7876
2 жыл бұрын
@@mariamadam2982 ipo
@rasterwangu97082 жыл бұрын
Najivunia kua mpaje! Sihami
@khamisjuma8501
2 жыл бұрын
We cup on way 🙌
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@khamisjuma8501 welcome
@khamisjuma8501
2 жыл бұрын
@@rasterwangu9708 I'm coming back home Africa zanzibar home beautiful 🇺🇸
@aishaomary4498
2 жыл бұрын
Mashaallah
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@aishaomary4498 karibu kwetu
@SHommymusic12 жыл бұрын
Amna Tajiri anayeongeaga kiuni hivo DALALI huyu.
@dennymkumbala5748
2 жыл бұрын
Wewt na ujinga wako wa akili ko ukifanikiwa una kuwa una ongea nin uyo ni kijana acha chuki mbwa mweusi wew
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Dalali 😂😂😂😂😂
@r14kgroup682 жыл бұрын
kutafakari
@salumsaid55192 жыл бұрын
Tukumbusha eti wabara hawamiliki ardhi zanzibar ndio huyo ashawaonesha mfno hai #unaweza kuwa pro ukafeal kweny falsafa.
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Kiualisia hawezi kumiliki ankodishwa Mana Zanzibar ni ndogo kama Serikali itaruhusu wageni wamiliki Aridhi basi kizazi kijacho cha Wazanzibar kitakosa Makaazi
@dickmollel15052 жыл бұрын
Double bed au twin beds!??🤐
@gamma9590
2 жыл бұрын
Kwan double manaake nn?, Mbn wataka kua mjuaji
@abdulatifismail35692 жыл бұрын
Huyu muongo paje hakuna eneo kama ilo ulinunuwe kwa ml200 kuna maeneo ambayo ata kujengwa Bado na hayajachangamka kama apo Ndio bei izo lakni eneo kama ilo kuanzia dola €300000 kwenda juu sio kushuka huyu mpiga promo tu
@pillykinabo87222 жыл бұрын
huyo mwamba muongo sana.hizo sehemu kwanza sio zake..mm paje hom hasaa.sema sio mabaya kwasabau anafanya matangazo ya biashara.
@nicksonihelmani407
2 жыл бұрын
Panani hapo kama siyo yake
@shahamtindo
2 жыл бұрын
Sa kwa mfano akiwa kadanganya, ni kwa faida ya nani.. Pia hata kama ni kwenu kuna vitu ni vigumu sana kumjua mmiliki halisi mpaka ajiweke wazi.. Kama hotel wengi wanahisi Mameneja ndio wenye nazo, kumbe mmiliki yupo mkoani anakula pension
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
@@shahamtindo mgonjwa huyo anataka mpaka mtu amuone na masuti au awe mtu maarufu kama kina Raza ndiyo wanamuamini lkn wenzangu na mm siku zote tunadharaulika kwa muonekano wetu tuu
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
Na huko kigamboni pia anamjengea mtu jiongeze sio unaropoka ropoka tu
Пікірлер: 169
This guy speaks the truth about housing, wazungu wanapenda nature, hata usimchinjie kuku, mpe mchicha au maarage ya nazi, Respect bro, much appreciated - akili Kubwa!
@derickkazimoto8908
2 жыл бұрын
P00000
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Sio wote wapo wanapenda vitu very luxurious and they pays a lot
Wageni wanapenda Sana vitu vyetu vya asiri, wenyewe tunavizarau, Safi Sana kaka umefanya kitu kizuri Sana,kutumia makuti,mbao za minazi, ngozi, vitenge, kanga, picha za wanyama wetu, kiukweli mpo vizuri.
Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua
Masha Allah mwenyez mungu azidi kukubaliki kukulinda Kwa kila Baya na uzidi kufanikiwa pia ume na hofu ya mwenyez mungu
@aishaabdul9287
Жыл бұрын
Hongera sana Kwa hatua uliofikia umeitendea hali ndoto Yako mwenyezi mungu akusimamie uendelee mbele
This guy is amazing...very cool 😎, Napenda style yake, ongea yake, you name it. Je hivyo vitanda vya cement mtu aliwa 6' na zaidi kitamtosha kweli? Naoma kama ni vifupi; au? Yaani amekua na very humble suffering beginning but he us so down to earth...Wishing you the Best
Hata km sio sehem yake ila ni nafasi pia Mungu kampa hvo nae anaitumia vizur hongera kwake tumuombeee tu
Masha'allah kijana mwenye akili zake mungu akulinde na hasadi za waja wake pia Allah akufanye kijana mwenye hofu kwake💓
Hongera sana kaka kwakwel nimejifunza mengi kutoka kwako♥️🥰
Wow Awesome I love it
Hongera sana kaka Mwenye enz Mungu akujaalie Kwa hatua Yako uliyopiga 🤲😘❤️
Mungu atazindi kuku bariki brother ❤❤❤
Good job my brother message from USA 🇺🇸I m coming back home Good life
ata mimi Safari yangu ni kama yako mungu akubariki sana 💯💪
big up bro, u give us hope everything is possible under the sun of Allah
Asw. Sina mengi ya kusema big up brother 💪
Congratulations umetisha kinyamwezi sana
I learn something Through this guy Congratulation and keep doing this very nice good example💪💪😍
Safi sana kwenye maisha ni kupambana mpk mwisho wako wa kuishi
DA ILA WATU JAMANI WANATOKA MBALI ,KAKA HONGERA SANA KWA HATUA HIYO KUBWAA
Safi Nimependa kawekeza vizuri🥂kwake
Big inspiration
From USA nimempenda huyu hamaa ni mogo wangu ki mri but this good nature it's better kuliki everything I wish nikija kutamebea tz nikitane na sky na kutamebea this place big up guys
Am muna fro tz piga kelele kwa tango akeee weweee karudi agan nzur tunaendelea😍👍
@kassimali2273
2 жыл бұрын
Muna jina zuri Mashaa Allah
Wise man
Ongera san pamban mungu yup bado atakuongeze ving vijana kama hawa ndo tunatka❤❤
Masha'allah hujafa hujaumbika hivyo tisikata tamaa
Dah! Respect kwako Mr tango. Ama kweli mungu pekee ndo anapanga riziki 👊🏿👊🏿
This is wonderful ❤ 💖 Congratulations 👏 good job.
Jamaa ni brilliant alivyosema kukonect na nature he is absolutely right
Safi saaana
Jamani Mimi mnanifanya kilawakati nijifunze kupitia ninyi. Mungu awatunze wazalendo wangu.
Jamani acheni loho zacirosho mwenziyo akifanikiwa zidi kumuombeya.ila ingekuwa mzungu ungemuamini.mimi naishi South Africa mtu kuvanya kitu kama icho nimajaliwa.tuzidi kumuombeya.
Hongera mzee wetu hii room ya pili nimeielewa nitakuja hapo maisha matamu paje ,Sisi ndo Wazee wanongwa tusipoona maneno ya kwenye kanga bado hatujahisi kama tupo kwenye unyangalilo..😂😂
Very inspiration story...Bigup Tango Kuna kitu tumejifunza kupitia story ya maisha yako....Sns Tuleteeni strory zingine kama hiz
MASHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mashallahx3 nikija home ZNZ nitafika Maisha Matamu Paje inshallah nimepanda nyumbani raha
Hongera sana
Congratulations bro
Hongera sna bwana Mwita
Ongera unasifa uendeleee kuwa hivyo nimekupendan wewe Ni mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hongera mwanangu
Nice unajua kupambana chakochako tu
👏👏👏
Please please make sure you have a lot of fire 🔥 extinguishers and make sure your staff are trained on how to use them incase of emergency.
Safi mwamba
Yule demu wako aliye kuacha eti huna future sijui analia kilio gani, ndo shida ya wanawake utazama leo tu
Mr b
nimeishi zanzibar miaka 8 najua paje vizuri sana mana nimefanya kazi hakuna majiwe mwamba kibiashara uko poa
Mimi naishi Ulaya nitakuja bongo mwaka kesho mwezi wa pili nataka kufikia kwenye hiyo hoteli huko zanzibar
@bainolatino3412
Жыл бұрын
Hongera sana happy Mimi in kijana wa miaka 24 nakukaribisha sana znz nitakua mwenyeji wako kama utapenda naam
@happynelson1136
Жыл бұрын
@@bainolatino3412 poa
@bainolatino3412
Жыл бұрын
Sawa hamna shida ni nchi gani unaishi kwani??
Mkurya mwenzangu umeweza, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga, ufanikiwe zaidi ya hiki. 🙏
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
So wakurya nyie noma
Hongera Sana brother, Mungu akutie nguvu uzidi kufanikiwa
Nimejufunza San kaka
Nilikaa hapo last year nililipa 40$ per one night, five starts wanachaji mbaka 5000$ per night
Ndugu zanguni mnao angalia hii story ya huyu jamaa mufatilie na muishie hapahapa msije kuwa na tamaa maisha sio rahisi huyu jmaaa anavingi Sana unaweza kuona rahisi Ila maiombe
@babaluxe8626
2 жыл бұрын
Kkkk Asante kwa hii comment yako kaka nurdin, maisha ni Siri, ole wao wenye tamaa,
@fatumamuya283
2 жыл бұрын
Nimeipenda comment yako ni kweli kabisa unavyosema
@msalikemedia
2 жыл бұрын
Nurdin mkwachu. Upo sahihi kabisa
@ashasaid5061
2 жыл бұрын
UKO SAHIHI
Natamani kutembelea hiyo sehem at least nilale cku mbili ivi Wallah
Escooo unapatia sana simulizi za video 📸 hongera kaka
Hongera sana bro
Beach Notel? For sure that's isn't a H. Sorry for being picky but you rock man!
@lizzygussep2051
2 жыл бұрын
Why? Explain pls
Tata mura...skiuz wakurya nao tunavuma ...balikiwa San mura waito
Dreams are valid ❣️👌this is really cool ma mehn
Tango part zooote 3 nimekufuatilia sana ujue!! Embu hitimisha Kwa kutupia namba yako hapa!! Mambo yasiwe mengi!! 😕😕
@damianjeremia3821
2 жыл бұрын
Akitoa namba amekwisha🤔😄😄😄
miaka hamsini paje beach kumejengwa boma gn
Alien Forever 👽 Chizitango ☠️
Nikija zenji definitely nitakutafuta
BABA KABAKI KULE KIVYAKE AU MBONA MTANGAZAJI UJAMIIULIZA MDINGI ANASEMAJE
Kina Masha love wapo wengi jaman hd wanaume wapo
@magynzioka1122
2 жыл бұрын
Mfatilia vizuri utajua afanani nana love sikiza story kuazia mwazo Dio uje uoge
@Official83640
2 жыл бұрын
@@magynzioka1122 naomba upitie comment zote walizomponda huyo kaka halafu ureply ok maana usikurupuke kwenye comment yng tu. Nimemaanisha huyu kaka muongo sana na Mashalove ndy na yeye anaongoza kwa uongo au humfatilii
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
@@Official83640 Ni kweli kama Muhogo sema Ndugu zetu wa Tanzania Bara ukisema ukweli utasikia wewe Mchawi sijui una Roho Mbaya, kwanza hii Hotel wamekodi na Pia aliwai kupata Mwanamke wa kizungu
Hakuna maisha ya shortcut
Na mimi ntakuja Bongo ntafikia hapo I love nature
huna lolote unasifa tu kumbe na wakurya mnasifa ety hotel yako watakubaka endelea tu
@alphoncemandu222
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aya ndo maisha ya sisi wa bongo tunaishi Zanzibar. Madem wa kizungu ni kawaida kwetu. Kitu Cha kawaida ndugu zangu Kuna wa bongo wapo zanzibar Wana Vitu zaidi ya ivyo. Normal jamani 🇹🇿✌️👋.
@hajiabdalla5772
2 жыл бұрын
Mujuwe kama Zanzibar ina nema kuiheshimu Zanzibar ulaya
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Na kweli mana wingi wanakuja wanakua masikini sana badae wanapata Wazungu wanawasaidia n wengine wanawaibia badae
Namimi Nina ndoto kama hizo.
Zanzibar inaweza kukodi hoteli yote au jumba ndani ya stone town.inawezekana amekodi ila kama amepata mzungu akamjengea.sawa mana maisha yetu Zanzibar tunayajuwa na tunajuwana
@mosessaid9883
Жыл бұрын
Acha roho mbaya wewe..wenzako wote wanampongeza we ndo peke yako unaona kinyume? Uchawi sio mpaka ushike tunguli kumkatisha mtu tamaa yaani huo peke yake ni uchawi tosha.
MB zang jaman
Nitakula minazi
Chumba cha makuti kizur
Huyu jamaa nimuongo tena sana! Mi paje ndio kwetu na naishi huku kwa miaka yote! Hiyo sehemu haimhusu kabisaaa
@deuskazimil8721
2 жыл бұрын
Tutaaminije sasa
@moriscollins4494
2 жыл бұрын
Sasa si anajidanganya....ila huo ujasiri ameutoa wapi au babu una wivu
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@deuskazimil8721 njoo nikupeleke
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@moriscollins4494 wivu kwa kitu cha uongo
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Hiyo Hotel sio yake ni kweli walikodi na Mwanamke wake alikua Mzungu ata pale liposema kanunua Dolla Elfu 90 Uhongo mtupu kiwanja kile kilikua kinauzwa Milion 25 tu, alafu kasema Chini kakodisha Wazungu dolla 1000$ kwa Mwezi duh Uhongo mwengine
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Hajatuambia elimu yake; yuko vizuri kwa kweli
@jumachabai2874
2 жыл бұрын
Form3 ali drop kutokana na kukosa ada huko Mwanza
HUYU NAE ACHA UONGO HUYU RAFIKI YANGU MUITALIANO NDIO AMEKUAJIRI ILI UANGALIE HIZO BIASHARA ZAKE. YANI AMEKUTUMIA ILI ALSILIPE MAPATE MAKUBWA. ACHA KUJIGAMBA. HUYO TAJIRI WAHIZO SEHEMU NI RAFIKI YANGU SANA
@brianminja791
2 жыл бұрын
Kwaiyo kma huyu mtaliano ni rfki yako wwe una nini embu jiongez mwezako kajiongeza ww unapiga kelele tu 😂😂 alfu unajikuta mjuwa ji ila hujui kutafuta connect za maan.
@shubebunyesi542
2 жыл бұрын
Kama muitaliano katumia maganda ya jamaa Ili akwepe kodi au kodi isiwe kubwa basi moja kwa moja uyu jamaa ndio anajulikana so ndio mmiliki, lkn pia utujui makubaliano yao inaweza fika wakati ikawa yakwake kabisa U never NO
Mhhh utakula minazi au utakula madafu
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣kuchapia imo
Oyoo huyuu muongoo
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
Ukweli wako ww uko wapi chakarika na ww ndiyo wanga wenyewe nyie kumsifia mtu ni big NO🤣🤣🤣
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka ile mbaya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jmn
Sema sio mbaya kujisifia
@shubebunyesi542
2 жыл бұрын
Bro inaonekana kama unamjua Sana mwamba u never no embu tujuze bro jamaa anatulisha matango poli?
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@shubebunyesi542 huyo hahusiki na hio sehemu, kaamua tu kujionyesha, amini mi nipo huku
@hajiabdalla5772
2 жыл бұрын
@@rasterwangu9708 kweli mjomba mana wazanzibari wengi ambao wana hoteli basi ana mzungu au anaishi ulaya. Na kule stone town wapo wazanzibari ambao wamekodi majumba ya mji mkongwe wanalaza wageni. Huyu jamaa labda kakabiziwa to alinde au anatumwa
Wabongo wengi huwa wanafanikiwa Zanzibar na ndio maana muungano hawataki kuuvunja wapo waliokwenda ulaya kupitia nguvu za Zanzibar. Na wenyeji wa Zanzibar kwa sasa wengi wao wamesafiri kuna vijana mabarubaru to na sasa ukenda Zanzibar watu wengi wapya huko darajani na forodhani tafrani ila ok ndiyo maisha
@lizzygussep2051
2 жыл бұрын
Na wazanzibari wengi wamejaa bongo kariakoo wa zanzibar kibao so acha ubaguzi sisi wote ni ndugu
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Jamaa kuna vitu muongo sema hongra kwa big step uliopiga, sema kuna vitu unazidisha sifuri
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
Ndiyo maneno ya waja hayo kuamini ni ngumu sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣keshatoboa kutoka zero to hero big up my bro👏👏👏👏
@iamserenity7279
2 жыл бұрын
😂😂😂 Sifur wapi my brother !
@bennymochiwa4800
2 жыл бұрын
tuachen roho za kwann, ila angekua mhindi au mwarabu ungemwamini
@suleimanali5677
2 жыл бұрын
@@bennymochiwa4800 kwa vitu anavo ongea hata km angekua mzungu basi ningemwambia muongo na umeibiwa
@theluckfamily4711
2 жыл бұрын
Watoto wa kiislam mna roho mbaya na chuki kwa watu waliofanikiwa sijui kwa nn afu huyo Ni mkurya wakurya ata nyerere aliwakubali Ni waambanaji ndo maana ata jeshin walikuwa wao mbele afu we ni mtoto wa kiume mtafute jamaa akupe mbinu
Y
Part 2 mbna siioni
@mariamadam2982
2 жыл бұрын
Hata mm pia coni 😓😓
@nai7876
2 жыл бұрын
@@mariamadam2982 ipo
Najivunia kua mpaje! Sihami
@khamisjuma8501
2 жыл бұрын
We cup on way 🙌
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@khamisjuma8501 welcome
@khamisjuma8501
2 жыл бұрын
@@rasterwangu9708 I'm coming back home Africa zanzibar home beautiful 🇺🇸
@aishaomary4498
2 жыл бұрын
Mashaallah
@rasterwangu9708
2 жыл бұрын
@@aishaomary4498 karibu kwetu
Amna Tajiri anayeongeaga kiuni hivo DALALI huyu.
@dennymkumbala5748
2 жыл бұрын
Wewt na ujinga wako wa akili ko ukifanikiwa una kuwa una ongea nin uyo ni kijana acha chuki mbwa mweusi wew
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Dalali 😂😂😂😂😂
kutafakari
Tukumbusha eti wabara hawamiliki ardhi zanzibar ndio huyo ashawaonesha mfno hai #unaweza kuwa pro ukafeal kweny falsafa.
@zanzibarboyzanzibar509
Жыл бұрын
Kiualisia hawezi kumiliki ankodishwa Mana Zanzibar ni ndogo kama Serikali itaruhusu wageni wamiliki Aridhi basi kizazi kijacho cha Wazanzibar kitakosa Makaazi
Double bed au twin beds!??🤐
@gamma9590
2 жыл бұрын
Kwan double manaake nn?, Mbn wataka kua mjuaji
Huyu muongo paje hakuna eneo kama ilo ulinunuwe kwa ml200 kuna maeneo ambayo ata kujengwa Bado na hayajachangamka kama apo Ndio bei izo lakni eneo kama ilo kuanzia dola €300000 kwenda juu sio kushuka huyu mpiga promo tu
huyo mwamba muongo sana.hizo sehemu kwanza sio zake..mm paje hom hasaa.sema sio mabaya kwasabau anafanya matangazo ya biashara.
@nicksonihelmani407
2 жыл бұрын
Panani hapo kama siyo yake
@shahamtindo
2 жыл бұрын
Sa kwa mfano akiwa kadanganya, ni kwa faida ya nani.. Pia hata kama ni kwenu kuna vitu ni vigumu sana kumjua mmiliki halisi mpaka ajiweke wazi.. Kama hotel wengi wanahisi Mameneja ndio wenye nazo, kumbe mmiliki yupo mkoani anakula pension
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
@@shahamtindo mgonjwa huyo anataka mpaka mtu amuone na masuti au awe mtu maarufu kama kina Raza ndiyo wanamuamini lkn wenzangu na mm siku zote tunadharaulika kwa muonekano wetu tuu
@rukkysayid6613
2 жыл бұрын
Na huko kigamboni pia anamjengea mtu jiongeze sio unaropoka ropoka tu
@shahamtindo
2 жыл бұрын
@@rukkysayid6613 Shida ni ujuaji mwingi
Zuchu kapata ajali tumuombeekzread.info/dash/bejne/amirqq-smbfRe5s.html
@harunasuleiman6883
2 жыл бұрын
Tena tukusaidie nini 🤷🤷
@tatotato506
2 жыл бұрын
@@harunasuleiman6883 muongo uyu ndozakekuwaombea wenzie ajali
@harunasuleiman6883
2 жыл бұрын
Au ndio anatafuta view kiujanja
Proud of you Bro, uko juu tu sana.