BINTI MMACHAME ANAYEUZA CHAKULA DUBAI, ANAMILIKI MIGAHAWA, BAA "SIKUJA DUBAI KUTEMBEA"

Пікірлер: 257

  • @user-fp5fj1sp8x
    @user-fp5fj1sp8xАй бұрын

    Am Ugandan but their chakula very sweet kabisa

  • @IREENNTIJE
    @IREENNTIJEАй бұрын

    Hongera sana pambana uko vizuri mchaga mwenzetu uko vizur wachanganye pika mpk mtory supu iliyotulia ubarikiwe tu

  • @zakayomosha13
    @zakayomosha13Ай бұрын

    Hongera mwanamke WA nguvu na unaonyesha njia Kwa waTanzania wote kuwa Tupige kazi tuache maneno

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi29 күн бұрын

    hongera mamka wng watanzania muache kuwazarau wachaga wachaga tumetumwa pesa mekuu

  • @winfridarwechungura1387
    @winfridarwechungura1387Ай бұрын

    Nimekula hapo Sato na ugali bamia upo juu may 2024

  • @ImmaculateMweteni
    @ImmaculateMweteniАй бұрын

    Watz mnaongea sana. Nyie mnajua kupika nendeni na nyie kufungua mgahawa. Ushindani sio mbaya. Hongera sana mdada.

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNautharАй бұрын

    Dada mzuri Mashaallah ❤' sura amefanana na malkia kareen

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    Hao ni malaika watoa roho

  • @SalamaNauthar

    @SalamaNauthar

    Ай бұрын

    @@Kabwela776 kivipi tena?

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@SalamaNautharfanya home work yako lishangazi ulizia tabia za wamachame wanawake wa kimachame kwa Nini wanaitwa wapalestina

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Ай бұрын

    ​ HAWEZ JIBU PLEASE TUDOKEZE

  • @NeemaMethod

    @NeemaMethod

    Ай бұрын

  • @khamisswalehe
    @khamisswaleheАй бұрын

    mchle ananunua wa dubai au tz me ni suppulier wa mchele

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396Ай бұрын

    Vizuri sana umefanya ni kazi nzuri sio kama zile tunazo sikia za kufanya kazi za manyumbani na watu wanateswa sana. Umefikiria kazi ya maana sana unajitegemea mwenyewe bila kusukumwa na hao watu wanavyowafanyia watu wa kazi. Kama ulivyosema utakaa uko mpaka mwisho ni sawa kabisa ujakosea tumeona walio rudi wengi wamearibikiwa .

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130Ай бұрын

    Bakini na imani zenu potofu , siku zote, wezenu wana jituma

  • @mashaallahabuu1167
    @mashaallahabuu1167Ай бұрын

    Ma Sha Allah mahija mwanangu,

  • @Zubaiba
    @ZubaibaАй бұрын

    Hongera sana dd ,🇹🇿 mungu akubariki sana ❤❤

  • @thabitdeco1575
    @thabitdeco1575Ай бұрын

    Waulize hao madada wpo sehem gani watupe location tukanunuwe

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883Ай бұрын

    Keep it up Zuu , mwanamke mpambanaji❤❤❤

  • @juddyanthony7951
    @juddyanthony7951Ай бұрын

    Hongera sanaaaaa dada Zuu

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3vАй бұрын

    Hawez kubaguliwa huyu maana ana Visa ya kujitegemea mwenyew sio ya kuajiriwa Yan KAZI za ndani

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866Ай бұрын

    Chakula chake saafi Mno nilipata mlo na Familia yangu ilifurahi sana kwa kweli Tumpeni sapoti huyo dada yetu jamani

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1hАй бұрын

    ❤❤❤

  • @ChikuKibari
    @ChikuKibariАй бұрын

    Upo vizuri

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lkАй бұрын

    Nimekupenda Sana,madam naomba kazi ya kupika chapati najua Sana kupika

  • @clarasimon7830

    @clarasimon7830

    Ай бұрын

    Ushaanza mtu una D mbili unataka kwenda dubai

  • @silviaamos-pl5lk

    @silviaamos-pl5lk

    Ай бұрын

    @@clarasimon7830 sijakuelewa unasema

  • @ukhutfatumah1154

    @ukhutfatumah1154

    Ай бұрын

    Kalibu sana mpendwa

  • @ukhutfatumah1154

    @ukhutfatumah1154

    Ай бұрын

    ​@@clarasimon7830haaa😂 usimkatishe tamaa jamn

  • @njuka3515

    @njuka3515

    Ай бұрын

    Dada naomba kazi nipo dubai

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185Ай бұрын

    Uko vizuri mdada.Usitoe mambo yako hadhari

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Ай бұрын

    Aweke chumbani au

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710Ай бұрын

    Millard tuarifu mgahawa upo wapi tuende kumsapot dada yetu

  • @Swahili255TV

    @Swahili255TV

    Ай бұрын

    Baniyas, Al Qaid Hotel

  • @davidmalisa8043

    @davidmalisa8043

    Ай бұрын

    Bugurun ya Dubai unaijua yaan huko ndipo walipo vibega wote wa Africa makapurwa

  • @lenniefei6710

    @lenniefei6710

    Ай бұрын

    @@davidmalisa8043 Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake kaka !

  • @UpendoMassawe-dl5xc
    @UpendoMassawe-dl5xcАй бұрын

    Mashallah ❤️

  • @aubreykasoyaga1665
    @aubreykasoyaga1665Ай бұрын

    Pambana Dada yetu.

  • @isaacmunisi5559
    @isaacmunisi5559Ай бұрын

    Hongera sana dada wengi tunaogopa kijaribu.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431Ай бұрын

    Hongera sana binti mtanzania.. kwa kila mafanikio wenye chuki wapo.. wasikukatishe tamaa..songa mbele

  • @user-wz9no5wx3g
    @user-wz9no5wx3gАй бұрын

    Naomba kazi Niko vizuri ktk kupika dada

  • @user-om8gt1cn2l
    @user-om8gt1cn2lАй бұрын

    Hongera sana dear

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257Ай бұрын

    Saafi saana

  • @surusuru1994
    @surusuru1994Ай бұрын

    Atujukuee watu wanyubani awajiri❤

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991Ай бұрын

    Mashaallah ❤

  • @zakayomosha13
    @zakayomosha13Ай бұрын

    Sisi majirani zako Wilaya ya Siha tunakupongeza Sana dada YETU Kazi iendeleeeeeee

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Ай бұрын

    ❤🎉

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Ай бұрын

    Keep it up

  • @arthurkasiba751
    @arthurkasiba751Ай бұрын

    Ode shiketeghewa kasi iruva akuwikye mbora

  • @VanShayokviewshoursago
    @VanShayokviewshoursagoАй бұрын

    Wachaga stand up moshi kama mbele

  • @tianarest

    @tianarest

    25 күн бұрын

    Hakika

  • @KiswiririSwaliki
    @KiswiririSwaliki29 күн бұрын

    Nice

  • @sharpaliofficial7455
    @sharpaliofficial7455Ай бұрын

    We are proud of you mama zuu mwanamke mpambanajiii

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Hamuna masta bongo

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cbАй бұрын

    Aminiy Dada Zu

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lkАй бұрын

    Naomba kazi minajua kupika chakula cha kitanzania nipo Dar es salaam

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Ай бұрын

    Una Instagram?

  • @FauziaChakala

    @FauziaChakala

    Ай бұрын

    .​@@fahadfaraj6474

  • @thabitdeco1575
    @thabitdeco1575Ай бұрын

    Wapo wapi hao

  • @heriethsamwel7190
    @heriethsamwel7190Ай бұрын

    Jaman sheketerewaa Kasiii ma dada akwa ndedeee

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489Ай бұрын

    Wanawake wakimachame""wanapambana sana na maisha

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589Ай бұрын

    Congratulations sister god bless you 🇹🇿🇹🇿❣️❣️

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147Ай бұрын

    Dubai maisha magumu sana bas vile watu wanababaika na jina hswa swala la pango

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    Ай бұрын

    Tatzo usichague kazi. Dubai mishe kibawo Saidi na pango unakaa kulingana na kipato chako

  • @mcback4384
    @mcback4384Ай бұрын

    Hivi huyu ni Thureiya wa Kijenge Arusha kwa Watengwa? Au namfananisha

  • @Allyhujjat

    @Allyhujjat

    Ай бұрын

    Ndio yeye

  • @Haytham-ip3ou

    @Haytham-ip3ou

    Ай бұрын

    Ndio yeye thuraiyah kijenge juu

  • @tulizomusafiri310
    @tulizomusafiri310Ай бұрын

    jambo Dada mbona huna namba yasmu Dada?

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664Ай бұрын

    Acheni ushamba nyie, kwani ungesema binti Mtanzania unadhani ingeondoa ukaskazini wake?

  • @Dismasmmassy

    @Dismasmmassy

    Ай бұрын

    Kwani akisemah mmachame kuna ubaya gani

  • @queenlinda255

    @queenlinda255

    Ай бұрын

    Kwani shida yako ni nini

  • @mawazoaliselemani

    @mawazoaliselemani

    Ай бұрын

    Milady ana kachembe la ukabila..ila ni vizuri umemkumbusha

  • @mawazoaliselemani

    @mawazoaliselemani

    Ай бұрын

    ​@@Dismasmmassy.Ni Ukabila pia unaweza mpunguzia wateja ambao woote ni watanzania

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    Kwani kuna ubaya Gani wangesema malaika mtoa roho mpalestina mmachame, Na wangemuuliza mume wake yuko wapi

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441Ай бұрын

    Dada mankaaa natafta Kaz 😢😢😢🙌mimi n mmachame kama wewe😭

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Ай бұрын

    NENO MMACHAME NI KABILA AU?????? KISHA WHY MNAITWA WA PALESTINE????????

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043Ай бұрын

    Anateseka au Anateswa Nani Anjitesa Mwenye Hataki Kujituma..Sisi Tupo Toke 1983..Mbona Hatujateseka Tokea Mwanzo Mpaka Leo...Wacheni Kupaka Matope Nchi Zawatu...NK....???????????

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3deАй бұрын

    Basi huko kunamateso kwel ndo mana hatak kuelezea dada w watu

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    Ай бұрын

    Mateso gani, hivi wewe hujui watu wa dunia nzima wapo Dubai? Kama kuna mateso watu wangemiminika kwa wingi?

  • @GoldenchipsChips
    @GoldenchipsChipsАй бұрын

    Mtangazaji 😂😂

  • @user-jn6ec7qv5p
    @user-jn6ec7qv5pАй бұрын

    Mdada mthuri wa sura ,,mpaka akili

  • @SallyMinja
    @SallyMinjaАй бұрын

    Mchagga Mchagga tu, watu walitumwa hela mijini😂

  • @DM.2200

    @DM.2200

    Ай бұрын

    Uhakika 😅😅😂

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    Mbele ya hela hao wachaga wanauwa mume mama ndugu hata mtoto hawafai wanajui kupika hawajui mapenzi wanachojua ni hela hawana utu ni wauwaji

  • @DM.2200

    @DM.2200

    Ай бұрын

    @@Kabwela776 iyo kuua ni roho ya mtu kwan wanaouwana Tz ni wachaga tu hapo ni uongo sema kwa vile trending ni yule mam aloua ndo maan umesema ivyo ila sio kwamba eti ni eauwaj ingekua hivyo kila siku ungesikia mauaj kilimanjaro ila utasikia arusha,iringa dar ndo common so kwa hilo japo mim sio mchaga ila nawatetea but wachaga ni watafutaji sanaaa

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@DM.2200 Mimi sasa nawajua vizuri wachaga najua nachoongea na wamachame nawaongelea nakuambia wanauwa Na muulize mchaga yeyote atakuambia au mwambie nimepata mchumba mmachame na usikie, uchagani wanaitwa wapalestina na utafutaji wao uko vyovyote kuuwa ujambazi

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@DM.2200 wachaga wanauwa wao cha muhimu kabisa ni pesa Na hayo ya roho nzuri ni unajua wewe Na kabila lako

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354Ай бұрын

    Mbona anafanana Sana na Sinta wa Juma Nature

  • @tianarest
    @tianarest25 күн бұрын

    Kochaa ngoe Ruwa nakutarame

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5dАй бұрын

    Uhandishi was kipumbavu kabisa, binti mmachame damn it she’s Tanzania doing well huko aliko acheni ufala Millard ndo maana magufulia alitaka whandishi wote muwe na vyeti maana maandika ujinga, binti mmachame, 😂😂😂

  • @MandoliiMoshi

    @MandoliiMoshi

    29 күн бұрын

    mbona mapovu yanakutoka hao ndo wachaga

  • @GoldenchipsChips
    @GoldenchipsChipsАй бұрын

    Maswali ya mtangazaji bhana😂😂😂

  • @MuzeyRashid
    @MuzeyRashidАй бұрын

    sababu gani mgahawa ulifungwa mda mlefu na wafanyakazi wangapi walikumbia na wangapi over stay

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen4508Ай бұрын

    Kwani mngeseama tu Mtanzania usingeeleweka duh!

  • @jacklinemsechu221

    @jacklinemsechu221

    Ай бұрын

    Pole mwaya😂

  • @yusuphmohamedi7561
    @yusuphmohamedi7561Ай бұрын

    Deira baniasi kalibu na metro upande gani

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    Ай бұрын

    Kuna hotel ameitaja

  • @nicasissa
    @nicasissaАй бұрын

    Kwani kuna ulazima wa kuandika mmachame, mgeandika binti wa Kitanzania, mungekuwa wehu?

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlonyАй бұрын

    wachaga oyee

  • @yuslule9221
    @yuslule9221Ай бұрын

    why utambulisho wa "Mmachame"?

  • @maryminja269
    @maryminja269Ай бұрын

    Acheni wivu uuuuDada pambana

  • @user-jk7tq7xq2f
    @user-jk7tq7xq2fАй бұрын

    Naomba Basi Na Mimi kazi najua kupika sana

  • @EDDY4D
    @EDDY4DАй бұрын

    Huyu dada nindugu na master j

  • @MuzeyRashid
    @MuzeyRashidАй бұрын

    mmmmm

  • @surusuru1994
    @surusuru1994Ай бұрын

    Hakuna ubanguzi warabun

  • @prothodommy

    @prothodommy

    Ай бұрын

    Maarabu mabaguzi sana!

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6jiАй бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @Samdala.
    @Samdala.Ай бұрын

    wakuu 72 subscribers 🤷🏾

  • @ReginaJamesJames
    @ReginaJamesJamesАй бұрын

    Nlikula hapo msosi nilijihisi nipo Tanzania jamani nawasiii nendeni mkale

  • @jrsaid4270

    @jrsaid4270

    Ай бұрын

    Tupe nauli

  • @thabitdeco1575
    @thabitdeco1575Ай бұрын

    Mm nipo dubai nataka kupajua walipo ili nikale

  • @Thureiyahahmed

    @Thureiyahahmed

    Ай бұрын

    Al qaid hotel baniyas m floor

  • @cadeauofficial7264

    @cadeauofficial7264

    Ай бұрын

    @@Thureiyahahmed hv anaitwa nani insta nimtafute maana soon nafika Dubai

  • @patrickKitambo
    @patrickKitamboАй бұрын

    MMACHAME NDO MTU GANI ACHENI UKABILA SEMA MTANZANIA

  • @nasralema749
    @nasralema749Ай бұрын

    Manka pambana mwaya

  • @worldherotv
    @worldherotvАй бұрын

    Wachaga ni wachaga tu, anaeza kuwa na billioni na akasema nina visenti tu vya kutosha kulisha familia. Huwezi waona wanajikweza

  • @janerachel1622
    @janerachel1622Ай бұрын

    NAOMBA KAZI MI NAPENDA KUPIKA NA KUDIZAIN SALAD AINA MBALIMBALI

  • @vaikaayagadiel520
    @vaikaayagadiel520Ай бұрын

    Tuacheni wachagga tuliendelea siku nyingiii itawachukua muda sana kufika tulipo, na kwa wivu mlio nao sijui kama mtafika

  • @surusuru1994
    @surusuru1994Ай бұрын

    Kabisa tena mwaaa😘🇹🇿👏👏vyakula Arabic uwe na monyo🔥🔥

  • @AhmedZahor

    @AhmedZahor

    Ай бұрын

    Kwani warabu wanakula nini hata useme kula chakula chao uwe na moyo wacha kusema usicho kijua

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganakiАй бұрын

    Dah mbona macho meusi 😢😢😢😢😢

  • @hallin9561
    @hallin9561Ай бұрын

    Aulizwe mumewe yuko wapi

  • @NancyPatrick-il8zj

    @NancyPatrick-il8zj

    Ай бұрын

    Unategemea mmachame-mpalestina kama huyu Mme wake awe bado hai

  • @DM.2200

    @DM.2200

    Ай бұрын

    @@NancyPatrick-il8zj acha makasiriko iyo ni mind set ulojiwekea sio kila mtu ana roho ya kuia sio kisa kauwa mmoja ndo mfanye ni wote wapo ivyo huu ni ulimwengu wa kidijital ya kale yashapita

  • @NancyPatrick-il8zj

    @NancyPatrick-il8zj

    Ай бұрын

    @@DM.2200 tunaongea kwa uzoefu na tunayoyaona sasa kama wewe unasoma kwenye mtandao sisi wengine ni wahanga.

  • @HaikaFredrick

    @HaikaFredrick

    Ай бұрын

    Unamaanisha nini

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    Unategemea mmachame mpalestina mume wake yuko hai hao mbona waume zao uwa wanakufa ghafla wakipata utajiri

  • @ChoroTesla
    @ChoroTeslaАй бұрын

    anavyosema dollar 200 kwa huko ni ela yakawaida kwa sababu ya kimaisha huwez fananisha life style ya dubai na bongo tofauti. manake huko hakuna maskini

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043Ай бұрын

    Mama ntilie tu wakawaida achen kumpaisha hana lolote ni sawa na mama ntilie pale bugurun chama

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128Ай бұрын

    Wachaga hawajui kupika

  • @zainabibrahim9734

    @zainabibrahim9734

    Ай бұрын

    Kapike wewe

  • @heriethsamwel7190

    @heriethsamwel7190

    Ай бұрын

    @@zainabibrahim9734😢😊

  • @joslinchuwa1298

    @joslinchuwa1298

    Ай бұрын

    Wewe unajua

  • @BeatriceMunuo-ti7pv

    @BeatriceMunuo-ti7pv

    Ай бұрын

    Acha ushambaaaa wew, ulizaliwaaa ukiwaa unajuaaa kupikaa au

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    We unajua kupika unaamini acha ushamba

  • @Kabwela776
    @Kabwela776Ай бұрын

    Mbele ya hela hao wachaga wanauwa mume mama ndugu hata mtoto hawafai wanajui kupika hawajui mapenzi kitandani yako kama magogo wanachojua ni hela hawana utu ni wauwaji yaani mchaga kwa hela anakumaliza dakika moja Na ni malaya sana

  • @user-cy4fk2je3f

    @user-cy4fk2je3f

    Ай бұрын

    Itakuwa wakwako ndo kwenye hizo tabia

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@user-cy4fk2je3f wote wako hivyo wanajulikana

  • @Thureiyahahmed

    @Thureiyahahmed

    Ай бұрын

    Acha ushamba kama wwe umekutana na shetani sio wote mxwwww

  • @fredyjunior6961

    @fredyjunior6961

    Ай бұрын

    Mshipa umekutoka. Kama ni rahisi hivyo si na wee uue ili upate. Chacharjka utaishia kubwabwaja ujinga wenzio wanamake

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@fredyjunior6961 ni wauwaji wamachame hata wachaga wengine wanawaogopa hao wewe inaonekana ni mshamba huwajui nenda kaoe umachame pata hela na uone kama mke wa kimachame ajakutafutia tiketi ya kukupeleka kuzima wachaga hao hata wanaweza kuuwa mama zao au ndugu zao kwa pesa sio makabila mengine hayo hamna utu wao ni pesa mbele !

  • @Kabwela776
    @Kabwela776Ай бұрын

    Mngemuhoji mtu mwingine sio mchaga mmachame wapalestina hao wana roho ngumu sana wako kama wanyama hatari wa msituni hao kukumaliza ni dakika moja kwa ajili ya fedha Na ukute ameshauwa watu kibao ili wapate utajiri hao wanaweza hata kuuwa ndugu au mama yake kwa ajili ya hela ni watu hatari sana hawafai kabisa 😢!

  • @RobertLyimo-vj3up

    @RobertLyimo-vj3up

    Ай бұрын

    Dah hujui usemalo

  • @fredyjunior6961

    @fredyjunior6961

    Ай бұрын

    Chuki tu za kijinga stop that

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@RobertLyimo-vj3up wanajulikana hao wamachame wapalestina uuliza hata wachaga wengine wanawaogopa wanaoana wenyewe kwa wenyewe au mtu mshamba kama wewe ndio wanaweza kuwa Na wewe Na ukiwa tajiri wakuuwe wapate Mali zote muulizr mtu yeyote anayewajua wamachame atakuambia hawafai hao hata ukipewa bure huko kwao umachame wajane kibao wa kujitakia, kuna watu wameuliwa hao wamachame vifo vya kutatanisha halafu unaongea Ufala !

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@fredyjunior6961 chuki ya Nini wakati wanajulikana Tanzania nzima ni mashetani wauwaji wanauwa sana wapenzi wao Na waume wao ili wapate mali zao hata kuuwa kwa ajili ya pesa ni kawaida kwako ni majambazi hao wachaga !

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@fredyjunior6961 wanajulikana hao wamachame wapalestina uuliza hata wachaga wengine wanawaogopa wanaoana wenyewe kwa wenyewe au mtu mshamba kama wewe ndio wanaweza kuwa Na wewe Na ukiwa tajiri wakuuwe wapate Mali zote muulizr mtu yeyote anayewajua wamachame atakuambia hawafai hao hata ukipewa bure huko kwao umachame wajane kibao wa kujitakia, kuna watu wameuliwa hao wamachame vifo vya kutatanisha halafu unaongea Ufala !

  • @rodgerushindi85
    @rodgerushindi85Ай бұрын

    Kitu kingine anachojihusisha nacho ni Mapenzì na waarabu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776Ай бұрын

    Naona mnamuhoji malaika mtoa roho mpalestina mmachame. Mngemuuliza huyo mpalestina mmachame kauwa watu wangapi tayari katika kutafuta pesa Na ana mpango wa kuuwa watu wangapi wengine ? Na muulizeni mume wake yuko wapi

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    Ай бұрын

    ovyo kweli wewe

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@masalakulwa7601 Nani asiyewajua hao wachaga au ni mgeni wewe jichanganye wakutoe roho

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    Ай бұрын

    Kabwelq. 😂😂😂

  • @Jesusbelongtome

    @Jesusbelongtome

    Ай бұрын

    Hujui unacho kisema wee kam vip kaa kmy

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    Ай бұрын

    @@HanifaOman-oo4pl ni kweli kabisa ni wauwaji dada sitanii hao hata wachaga wenzao wanawaogopa mmachame ana roho ngumu sana tena anakusubiria mkichuma mali ukiwa Na Mali ndio unauwawa anaweza kukodishia watu wakumalize au anakumaliza mwenyewe

  • @RosemaryMkunte
    @RosemaryMkunteАй бұрын

    Hongera sana dear

Келесі