HII NDIO NYUMBA YA SPIKA wa BUNGE wa TANZANIA MHE. TULIA ACKSON DODOMA

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 120

  • @muntueric-oy1ty
    @muntueric-oy1ty Жыл бұрын

    Mhe Tulia for life... @wasafi for life💪💪💪

  • @iddyramson2991

    @iddyramson2991

    Жыл бұрын

    ujitambui bado

  • @ameirdarueshi2593

    @ameirdarueshi2593

    Жыл бұрын

    @@iddyramson2991 kkkkkkkkk

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    Жыл бұрын

    Ndo nn sasa Hivi

  • @lusupi
    @lusupi Жыл бұрын

    Kwa tunaoishi dodoma tunaijua hii nyumba ilivokua ina balaaa🔥🔥

  • @chrissg4026

    @chrissg4026

    Жыл бұрын

    Balaa gani tena?

  • @SophlaJackson-nt1nc

    @SophlaJackson-nt1nc

    7 ай бұрын

    Ongeleni dodoma ulaya sikuizi

  • @DeusMagere-hd1co
    @DeusMagere-hd1co Жыл бұрын

    Sisi wenye vyumba kimoja tujuanee 👇👇

  • @jumakisailo8496

    @jumakisailo8496

    Жыл бұрын

    🙄🙄🙄...mimi Nina chumba kimoja isitoshe kuna sehemu inavuja, Choo changu ni passport size.

  • @mohamedsaid2882

    @mohamedsaid2882

    Жыл бұрын

    Pamoja sana mwamba 😂😂😂

  • @AdamFundikira-kk5oj

    @AdamFundikira-kk5oj

    Жыл бұрын

    ​@@jumakisailo8496 ila anajitahidi kuwabana mawaziri mizigo

  • @EzzyK438

    @EzzyK438

    Жыл бұрын

    Chumba chenyewe tumepanga 😂

  • @evertheobald1811

    @evertheobald1811

    Жыл бұрын

    Yote kwa yote sote pumzi yetu inamilikiwa na Mungu, bila kujali elimu, sura. Cheo, n.k,! Na mwisho wa siku nyumba ya kudumu ya kila mmoja baada ya haya maisha ni kaburi, hakika Mungu ni fundi mkuu.🙏🙏

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 Жыл бұрын

    Hiyo nyumba ni mali ya serikali, siyo spika mmiliki wa hiyo nyumba.

  • @Soon815
    @Soon8155 ай бұрын

    WaTz elimu duni kwa kwel😢😢 Hiyo nyumba ni ya mhimili wa bunge sio serikali! Hv shule mlienda kusoma nini??? Leo nimeamini Tz kielimu tupo nyuma mno.

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 Жыл бұрын

    Mwembie dk Tulia tunampenda sana

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Жыл бұрын

    Hapo Ni kwa spika kama mtumishi wa serikali ila nyumba ni ya serikali na sio nyumba ya spika..

  • @omarhababuu3159

    @omarhababuu3159

    Жыл бұрын

    Hiyo ninyumba yaspika nyumba alopewa niserekali sio hiyo nikule alikopigwa risasi tundu lisu nieneo lenyenyumba nyingi zaserekali wanakaa spika naibu spika nakiongozi waupizani bungeni hiyo ninyumba yakifahar ilozungurushiwa ukuta eneo lote lafenci linanyumba moja tuu

  • @demetriaswai3193
    @demetriaswai3193 Жыл бұрын

    Nzuri sana hongera mheshimiwa

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan Жыл бұрын

    Nampenda spika wa bunge yuko pice saba😂❤❤❤❤❤❤

  • @imelidamfikwa7954
    @imelidamfikwa7954 Жыл бұрын

    Hayo ni makazi ya Spika,Nyumba ya Tulia mumuulize mkapige picha kama mtaruhusiwa.Pili kiitifaki kuonyesha hivyo haikai vizuri sana.

  • @RonicaKolimba-ne3zh

    @RonicaKolimba-ne3zh

    7 ай бұрын

    P

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 Жыл бұрын

    Jumba jumba kweli kabisa 💯🔥💥

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Жыл бұрын

    Mdogo wangu nakupenda sana Spika wabunge

  • @user-qs9dm5dc2o
    @user-qs9dm5dc2o Жыл бұрын

    Home street home Mwangosi jamani tuwe wakweli hiyo nyumba ya kaiwada tu ni mjengo wa kisauziiii😅 Dom na Uzunguni kwetu hapo sema picha imenogesha na hiyo ni ya serikari alienza kukaa hapo Anna Makinda kama spika wa bunge kisha hao wengine wamefuata.

  • @priscajube4239

    @priscajube4239

    Жыл бұрын

    Ni kweli. Imenogeshwa kwenye video. Ni nyumba ya kawaida. Ata watu binafsi wanazo zaidi ya hiyo. Naijua pia

  • @abdulkarimukusaga3617
    @abdulkarimukusaga3617 Жыл бұрын

    I love ❤️ spika

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Жыл бұрын

    Hongera sana kwake

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Жыл бұрын

    Inapendeza SANA

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Жыл бұрын

    Kazi Spika wangeni wa leo tutacheka hadi tuongeze Siku Ubarikiwe

  • @tabiaramadhani2348
    @tabiaramadhani2348 Жыл бұрын

    MUHESHIMIWA TUNAOMBA SISI WAKAZI WA VIKAWE MKOA WA PWANI WILAYA YA KIBAHA UTUANGALIE KWA HII BARABARA AMBAE INATAKIWA WATU WALIPWE PESA NA NDIO IANZE KUTENGENEZWA ASANTE SANA KIONGOZI WANGU

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Жыл бұрын

    Sjui nilitaka kusema Nini ila acha nilie tu😢😢😢

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Жыл бұрын

    Africa people kwa mama huyoooo vituu vidogo

  • @jesseboy6024
    @jesseboy6024 Жыл бұрын

    Makaburi ndio majumba ya uhakika tuyaimarishe haya ya duniani ni mapito tu Akherah ndio makazi✓ {{قل إن الخاسرين الذين خسروا أنفسهم وأهليهم يوم القيامة ألا ذلك هو الخسران المبين}} الآية الزمر.

  • @mosesmaiga7408

    @mosesmaiga7408

    Жыл бұрын

    Basi wewe subiri ufe uende uko makaburini acha roho zakichawi na hayo mandishi yako yakitumwa mwanaume ni mtu wa kupambana siyo hadithi za kiarabu au za kizungu

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama44078 ай бұрын

    Nyumbani pamependeza na hao wameongea vizuri Wabarikiww

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Жыл бұрын

    Kudadadeki mnawakandamiza watu wa chini nyie mnaishi kifahari kumaae zenu

  • @manifestationmastermindset6518
    @manifestationmastermindset6518 Жыл бұрын

    Kodi yangu

  • @franktangeki9342
    @franktangeki9342 Жыл бұрын

    anaishi kama yuko ulaya nyumba nzuri natumaini inazidi ata ya waziri mkuu.Nyumba hiyo inaweza kununua vibanda umiza vyote pale arusha na kubaki chenchi

  • @richardburundi3090

    @richardburundi3090

    Жыл бұрын

    Ninzuri ila bado wokowatanzania hawana umeme nabato wanakunyamaji yakutoka gisiman

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    Жыл бұрын

    @@richardburundi3090 we nae Sasa watu wasijenge kisa

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    Жыл бұрын

    @@richardburundi3090 harafu hayo maji ya gisimani ndo maji gani

  • @filamupictures9349

    @filamupictures9349

    Жыл бұрын

    @@richardburundi3090 binadamu siku zote hamkosi la kusema, hata angekuwa anaishi kwa kujidhiki mngemsema vilevile, ni kheri amejenga jumba lake anaishi, kuwa kiongozi haimaanishi ndio utakuwa Yesu wa matatizo ya watu wote, kiongozi anafanya kadiri ya uwezo wake, wokovu mwengine ni wa mwananchi mwenyewe afanye jitihada kukomboa familia yake. Nyinyi mnaomsema huyo angekuwa mama yenu au shangazi yenu yasingewatoka hayo maneno. Na mpaka mnamuona mtu kafika aliko fika mjue kapambana kwenye maisha yake, acheni ushamba, mnataka watu waishije, huyo kiongozi wa kubeba umasikini wa dunia hayupo

  • @MichaelSimba-nk7mu
    @MichaelSimba-nk7mu8 ай бұрын

    Usipotoshe watu, hayo ni makazi yake binafisi siyo nyumba ya serikali, usiongelee vitu usivyovijua.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63528 ай бұрын

    Hii nyumba aliyechukua crip alitumia Majenta. Yaani hata kama kijani niyakwaida utadhani waliweka mbolea.

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Жыл бұрын

    Hiyo ni nyumba ya serikali kwa ajili ya makazi ya spika aliyechaguliwa maana yake hata ndungai aliishi hapo na sio nyumba binafsi ya tulia...ila kupitia nyumba hii ndio utajua nikwanini viongozi wa nchi hii hupigania madaraka kwa njia yeyote hata ikibidi kumngoa mtu meno.

  • @mariamirumu4669
    @mariamirumu4669 Жыл бұрын

    Ni nyumba ya serikali au yake binafsi?

  • @JJ-fb9jp
    @JJ-fb9jp Жыл бұрын

    Ila zembwela aisee anapendeza kwenye comedy tu avae vipensi. Kama suti haimtoi

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Жыл бұрын

    KUSOMA RAHA

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @kanghanhankang1440
    @kanghanhankang1440 Жыл бұрын

    Siku akiacha anaondoka nayo au vip😅😅

  • @jamesshaw4011
    @jamesshaw40119 ай бұрын

    Mwafrika ni mtu mweusi tu anajifikiria yeye na family yake tu...Nchi masikini madawa huduma za hospital barabara ufisadi fursa hakuna kwa masikini. MIKATABA ya kifisadi ....kiongozi yeye anatanua tu...mtu mweusi ni mweusi tu.

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu8 ай бұрын

    Simfanye mlioyafat a mbona sifa nyingi sana hamna hata la msingi vipi mnamwaga sifa tu

  • @LtW2-om6yj
    @LtW2-om6yj Жыл бұрын

    Duu mnapesa ila hamna kelele ilaringia TikTok utakitana nawa2 tafta ela tafta ela mpaka kichwa kinauma ila kumbe kunawa2 mnaela na amna kekele

  • @cooler3263
    @cooler3263 Жыл бұрын

    Daah wanainjoi

  • @czechzyamwaga1021
    @czechzyamwaga1021 Жыл бұрын

    Walaji wa pesa zetu hao

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    Kabisa ila Walimu Madaktari na Manesi na watumishi wadogo tunakatwa makato ya kila aina ili wao waishi peponi. MUNGU umulika hawa

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Ehh

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Жыл бұрын

    Wanaishi peponi walipa kodi wanaishi hohehahe presha kila kukicha

  • @abelicharles6874
    @abelicharles6874 Жыл бұрын

    Amewaheshimisha kwa lipi ujinga tu

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын

    Hapo chawa watasifiaaa,Hadi saa kumi jioni.

  • @leonardkyara7422
    @leonardkyara7422 Жыл бұрын

    Hapo wa kusifiwa ni watz kwa kutoa kodi

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Na wakutukanwa ni watz wanaolipa Kodi halafu zinatafunwa na wachache,,,

  • @mayrose9772
    @mayrose9772 Жыл бұрын

    Ya kwake au ya serikal

  • @user-sy9wy8gt5l
    @user-sy9wy8gt5l Жыл бұрын

    Duh bonge la mgeto

  • @khamisame8435
    @khamisame8435 Жыл бұрын

    Wakesha tok bungen hao utawakut wanaumwa maradhi tele

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw Жыл бұрын

    Upumbavu iwasaidie nn Sasa mnao waonesha ilhali wao wanashida naumaskini

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 Жыл бұрын

    Bado mbeya inakuhitaji

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Жыл бұрын

    Mbona fupi sana wajameni nilitamani niendelee na mimi nifanye utalii wa ndani kupitia video hii

  • @basilisamsaka8469

    @basilisamsaka8469

    Жыл бұрын

    Hata mm

  • @fatmasherallysherally537
    @fatmasherallysherally5378 ай бұрын

    Chezea cheo weyye

  • @hydo8027
    @hydo8027 Жыл бұрын

    Sasa inakuwaje wameingia na viatu ndani😆😆

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 Жыл бұрын

    Sio faida ya habari hii ndio nin sasa

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 Жыл бұрын

    Hawa ndo mafisadi wanchii hii.

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    Exactly

  • @alvinbenito5243
    @alvinbenito5243 Жыл бұрын

    Pepo za dunia sio mchezo

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 Жыл бұрын

    Mnajuwa kutuibia

  • @TM.Sullusi

    @TM.Sullusi

    Жыл бұрын

    Sasa hapo umeibiwa nin🤔🤔🤣

  • @jacklinemolleli5238

    @jacklinemolleli5238

    Жыл бұрын

    Tulia ni msomi

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    Жыл бұрын

    @@TM.Sullusi 😆😆😆😆

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Yakawaida Sana njooni Arusha

  • @franktangeki9342

    @franktangeki9342

    Жыл бұрын

    😀😀wabongoo du

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    Жыл бұрын

    Tuje arusha kufanya nn

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    Жыл бұрын

    we unayo

  • @lusupi

    @lusupi

    Жыл бұрын

    Huijui hiyo nyumba kali sana siku pita nje uione

  • @madirishasimon9692

    @madirishasimon9692

    Жыл бұрын

    Arusha tena wakati sie tuko dodoma

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro Жыл бұрын

    Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni CHACHE Sana na zimejaa taabu nyingi"🤔

  • @wilsonkaseha2034

    @wilsonkaseha2034

    Жыл бұрын

    Unajaribu kisemaje yaani😂 usitutishe bhana hilo linajulikana

  • @wilbertmmary9076

    @wilbertmmary9076

    Жыл бұрын

    Ila Kuna nyingine hazina tabu aiseee😅😅😅

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Жыл бұрын

    Siasa inalipa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Nyumba ni ya serikali

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Inathamani ya nyumba ngapi za walimu wetu?

  • @jescajulius8023

    @jescajulius8023

    Жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 elf moja

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@jescajulius8023 dah!!

  • @jeffhard5773
    @jeffhard577311 ай бұрын

    Machawa pro MAX A.k a wazee wakujipendekeza hamna baya nyie kazi yenu ni kusifia tu UTOPOLO

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Жыл бұрын

    Nyumba nzuri simple yn mama wawatu cio mwizi kwakweli

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    Жыл бұрын

    Simple kivipi hizo ni kodi za wananchi

  • @filamupictures9349

    @filamupictures9349

    Жыл бұрын

    ​@@ilynpayne7491kwa cheo chake hiyo ni simple

  • @simonmasunga7398

    @simonmasunga7398

    Жыл бұрын

    Eti siyo mwizi, are you CAG or PCCB?

  • @ramayonline2281

    @ramayonline2281

    Жыл бұрын

    @@ilynpayne7491 ulitaka awe na nyumba ya aina gani??? Je yey siyo mfanyakazi ambaye analipwa??

  • @filamupictures9349

    @filamupictures9349

    Жыл бұрын

    @@ilynpayne7491 wewe unadhani kwa mshahara wake hawezi kujenga hivyo? Hasa ukizingatia ana miaka zaidi ya saba bungeni, na alisha kuwaga profesa (wa chuoni, sio wa heshima, wa chuoni, kasoma) kwa miaka kumi na, yani pesa alikuwa nazo kabla hajawa mbunge, bado tu unaamini hawezi kujenga hivyo??

  • @user-qy3gk8of7k
    @user-qy3gk8of7k Жыл бұрын

    Tafuta pesa

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Жыл бұрын

    Hii sio ya kushangaaa maana yeye ni SPIKA na B4 alikua Naibu Spika....Sasa hemu jiulizeni ikiwa mbunge anafikia 12M per month including mambo yote yeye jeee??....Soo nirahisi tu kujenga nyumba kama hiyo kwa kweli...Ila pia huyu dada anapiga kazi kweli kweli hilo tumpongezeni sana sana sana

  • @johnpella8703
    @johnpella8703 Жыл бұрын

    Miongoni mwa watu watakaoendelea namshukuru JPM.

  • @emmanuelessaugurtu9421

    @emmanuelessaugurtu9421

    Жыл бұрын

    Hongera Sana Spika wetu kwa nafasi yako hata angelikuwa nani hayo angelifanya,jamani hata kuhani hula madhabahuni Ila mama pambana na maslahi ya watumishi ikiwa ni pamoja na kuondoa kikokotoo,tupeni haki zetu zote za pensheni tufurahie matunda ya kustaafu

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 Жыл бұрын

    Nyumba yake au ya serikal?

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    Жыл бұрын

    Nyumba ya serikali mahsusi kwa ajili ya speaker kuishi

  • @frankngoloka5416

    @frankngoloka5416

    Жыл бұрын

    Yakwake hiko salasala

  • @ibrahimally8073

    @ibrahimally8073

    Жыл бұрын

    Ni nyumba ya serikali..

  • @ibrahimally8073

    @ibrahimally8073

    Жыл бұрын

    ​@@frankngoloka5416 wacha kudanganya watu wewe.. hiyo ni nyumba ya serikali.. na kabla ya huyu tulia ackson.. maspika wote waliotangalia waliishi hapo hapo.. khaaa eti nyumba yake ulimjengea wewe??

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    Жыл бұрын

    @@frankngoloka5416 bac hyo ya kwako....hongera kwa nyumba nzuri...aiseee una hasira kali ww😆😆😆😆

Келесі