HII NDIO NYUMBA YA SPIKA wa BUNGE wa TANZANIA MHE. TULIA ACKSON DODOMA
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 120
Mhe Tulia for life... @wasafi for life💪💪💪
@iddyramson2991
Жыл бұрын
ujitambui bado
@ameirdarueshi2593
Жыл бұрын
@@iddyramson2991 kkkkkkkkk
@Oldskulgemini9991
Жыл бұрын
Ndo nn sasa Hivi
Kwa tunaoishi dodoma tunaijua hii nyumba ilivokua ina balaaa🔥🔥
@chrissg4026
Жыл бұрын
Balaa gani tena?
@SophlaJackson-nt1nc
7 ай бұрын
Ongeleni dodoma ulaya sikuizi
Sisi wenye vyumba kimoja tujuanee 👇👇
@jumakisailo8496
Жыл бұрын
🙄🙄🙄...mimi Nina chumba kimoja isitoshe kuna sehemu inavuja, Choo changu ni passport size.
@mohamedsaid2882
Жыл бұрын
Pamoja sana mwamba 😂😂😂
@AdamFundikira-kk5oj
Жыл бұрын
@@jumakisailo8496 ila anajitahidi kuwabana mawaziri mizigo
@EzzyK438
Жыл бұрын
Chumba chenyewe tumepanga 😂
@evertheobald1811
Жыл бұрын
Yote kwa yote sote pumzi yetu inamilikiwa na Mungu, bila kujali elimu, sura. Cheo, n.k,! Na mwisho wa siku nyumba ya kudumu ya kila mmoja baada ya haya maisha ni kaburi, hakika Mungu ni fundi mkuu.🙏🙏
Hiyo nyumba ni mali ya serikali, siyo spika mmiliki wa hiyo nyumba.
WaTz elimu duni kwa kwel😢😢 Hiyo nyumba ni ya mhimili wa bunge sio serikali! Hv shule mlienda kusoma nini??? Leo nimeamini Tz kielimu tupo nyuma mno.
Mwembie dk Tulia tunampenda sana
Hapo Ni kwa spika kama mtumishi wa serikali ila nyumba ni ya serikali na sio nyumba ya spika..
@omarhababuu3159
Жыл бұрын
Hiyo ninyumba yaspika nyumba alopewa niserekali sio hiyo nikule alikopigwa risasi tundu lisu nieneo lenyenyumba nyingi zaserekali wanakaa spika naibu spika nakiongozi waupizani bungeni hiyo ninyumba yakifahar ilozungurushiwa ukuta eneo lote lafenci linanyumba moja tuu
Nzuri sana hongera mheshimiwa
Nampenda spika wa bunge yuko pice saba😂❤❤❤❤❤❤
Hayo ni makazi ya Spika,Nyumba ya Tulia mumuulize mkapige picha kama mtaruhusiwa.Pili kiitifaki kuonyesha hivyo haikai vizuri sana.
@RonicaKolimba-ne3zh
7 ай бұрын
P
Jumba jumba kweli kabisa 💯🔥💥
Mdogo wangu nakupenda sana Spika wabunge
Home street home Mwangosi jamani tuwe wakweli hiyo nyumba ya kaiwada tu ni mjengo wa kisauziiii😅 Dom na Uzunguni kwetu hapo sema picha imenogesha na hiyo ni ya serikari alienza kukaa hapo Anna Makinda kama spika wa bunge kisha hao wengine wamefuata.
@priscajube4239
Жыл бұрын
Ni kweli. Imenogeshwa kwenye video. Ni nyumba ya kawaida. Ata watu binafsi wanazo zaidi ya hiyo. Naijua pia
I love ❤️ spika
Hongera sana kwake
Inapendeza SANA
Kazi Spika wangeni wa leo tutacheka hadi tuongeze Siku Ubarikiwe
MUHESHIMIWA TUNAOMBA SISI WAKAZI WA VIKAWE MKOA WA PWANI WILAYA YA KIBAHA UTUANGALIE KWA HII BARABARA AMBAE INATAKIWA WATU WALIPWE PESA NA NDIO IANZE KUTENGENEZWA ASANTE SANA KIONGOZI WANGU
Sjui nilitaka kusema Nini ila acha nilie tu😢😢😢
Africa people kwa mama huyoooo vituu vidogo
Makaburi ndio majumba ya uhakika tuyaimarishe haya ya duniani ni mapito tu Akherah ndio makazi✓ {{قل إن الخاسرين الذين خسروا أنفسهم وأهليهم يوم القيامة ألا ذلك هو الخسران المبين}} الآية الزمر.
@mosesmaiga7408
Жыл бұрын
Basi wewe subiri ufe uende uko makaburini acha roho zakichawi na hayo mandishi yako yakitumwa mwanaume ni mtu wa kupambana siyo hadithi za kiarabu au za kizungu
Nyumbani pamependeza na hao wameongea vizuri Wabarikiww
Kudadadeki mnawakandamiza watu wa chini nyie mnaishi kifahari kumaae zenu
Kodi yangu
anaishi kama yuko ulaya nyumba nzuri natumaini inazidi ata ya waziri mkuu.Nyumba hiyo inaweza kununua vibanda umiza vyote pale arusha na kubaki chenchi
@richardburundi3090
Жыл бұрын
Ninzuri ila bado wokowatanzania hawana umeme nabato wanakunyamaji yakutoka gisiman
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
@@richardburundi3090 we nae Sasa watu wasijenge kisa
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
@@richardburundi3090 harafu hayo maji ya gisimani ndo maji gani
@filamupictures9349
Жыл бұрын
@@richardburundi3090 binadamu siku zote hamkosi la kusema, hata angekuwa anaishi kwa kujidhiki mngemsema vilevile, ni kheri amejenga jumba lake anaishi, kuwa kiongozi haimaanishi ndio utakuwa Yesu wa matatizo ya watu wote, kiongozi anafanya kadiri ya uwezo wake, wokovu mwengine ni wa mwananchi mwenyewe afanye jitihada kukomboa familia yake. Nyinyi mnaomsema huyo angekuwa mama yenu au shangazi yenu yasingewatoka hayo maneno. Na mpaka mnamuona mtu kafika aliko fika mjue kapambana kwenye maisha yake, acheni ushamba, mnataka watu waishije, huyo kiongozi wa kubeba umasikini wa dunia hayupo
Usipotoshe watu, hayo ni makazi yake binafisi siyo nyumba ya serikali, usiongelee vitu usivyovijua.
Hii nyumba aliyechukua crip alitumia Majenta. Yaani hata kama kijani niyakwaida utadhani waliweka mbolea.
Hiyo ni nyumba ya serikali kwa ajili ya makazi ya spika aliyechaguliwa maana yake hata ndungai aliishi hapo na sio nyumba binafsi ya tulia...ila kupitia nyumba hii ndio utajua nikwanini viongozi wa nchi hii hupigania madaraka kwa njia yeyote hata ikibidi kumngoa mtu meno.
Ni nyumba ya serikali au yake binafsi?
Ila zembwela aisee anapendeza kwenye comedy tu avae vipensi. Kama suti haimtoi
KUSOMA RAHA
❤❤❤
Siku akiacha anaondoka nayo au vip😅😅
Mwafrika ni mtu mweusi tu anajifikiria yeye na family yake tu...Nchi masikini madawa huduma za hospital barabara ufisadi fursa hakuna kwa masikini. MIKATABA ya kifisadi ....kiongozi yeye anatanua tu...mtu mweusi ni mweusi tu.
Simfanye mlioyafat a mbona sifa nyingi sana hamna hata la msingi vipi mnamwaga sifa tu
Duu mnapesa ila hamna kelele ilaringia TikTok utakitana nawa2 tafta ela tafta ela mpaka kichwa kinauma ila kumbe kunawa2 mnaela na amna kekele
Daah wanainjoi
Walaji wa pesa zetu hao
@leokamil6284
Жыл бұрын
Kabisa ila Walimu Madaktari na Manesi na watumishi wadogo tunakatwa makato ya kila aina ili wao waishi peponi. MUNGU umulika hawa
Ehh
Wanaishi peponi walipa kodi wanaishi hohehahe presha kila kukicha
Amewaheshimisha kwa lipi ujinga tu
Hapo chawa watasifiaaa,Hadi saa kumi jioni.
Hapo wa kusifiwa ni watz kwa kutoa kodi
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Na wakutukanwa ni watz wanaolipa Kodi halafu zinatafunwa na wachache,,,
Ya kwake au ya serikal
Duh bonge la mgeto
Wakesha tok bungen hao utawakut wanaumwa maradhi tele
Upumbavu iwasaidie nn Sasa mnao waonesha ilhali wao wanashida naumaskini
Bado mbeya inakuhitaji
Mbona fupi sana wajameni nilitamani niendelee na mimi nifanye utalii wa ndani kupitia video hii
@basilisamsaka8469
Жыл бұрын
Hata mm
Chezea cheo weyye
Sasa inakuwaje wameingia na viatu ndani😆😆
Sio faida ya habari hii ndio nin sasa
Hawa ndo mafisadi wanchii hii.
@leokamil6284
Жыл бұрын
Exactly
Pepo za dunia sio mchezo
Mnajuwa kutuibia
@TM.Sullusi
Жыл бұрын
Sasa hapo umeibiwa nin🤔🤔🤣
@jacklinemolleli5238
Жыл бұрын
Tulia ni msomi
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
@@TM.Sullusi 😆😆😆😆
Yakawaida Sana njooni Arusha
@franktangeki9342
Жыл бұрын
😀😀wabongoo du
@elinamilyatuu7337
Жыл бұрын
Tuje arusha kufanya nn
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
we unayo
@lusupi
Жыл бұрын
Huijui hiyo nyumba kali sana siku pita nje uione
@madirishasimon9692
Жыл бұрын
Arusha tena wakati sie tuko dodoma
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni CHACHE Sana na zimejaa taabu nyingi"🤔
@wilsonkaseha2034
Жыл бұрын
Unajaribu kisemaje yaani😂 usitutishe bhana hilo linajulikana
@wilbertmmary9076
Жыл бұрын
Ila Kuna nyingine hazina tabu aiseee😅😅😅
Siasa inalipa
Nyumba ni ya serikali
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Inathamani ya nyumba ngapi za walimu wetu?
@jescajulius8023
Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 elf moja
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@jescajulius8023 dah!!
Machawa pro MAX A.k a wazee wakujipendekeza hamna baya nyie kazi yenu ni kusifia tu UTOPOLO
Nyumba nzuri simple yn mama wawatu cio mwizi kwakweli
@ilynpayne7491
Жыл бұрын
Simple kivipi hizo ni kodi za wananchi
@filamupictures9349
Жыл бұрын
@@ilynpayne7491kwa cheo chake hiyo ni simple
@simonmasunga7398
Жыл бұрын
Eti siyo mwizi, are you CAG or PCCB?
@ramayonline2281
Жыл бұрын
@@ilynpayne7491 ulitaka awe na nyumba ya aina gani??? Je yey siyo mfanyakazi ambaye analipwa??
@filamupictures9349
Жыл бұрын
@@ilynpayne7491 wewe unadhani kwa mshahara wake hawezi kujenga hivyo? Hasa ukizingatia ana miaka zaidi ya saba bungeni, na alisha kuwaga profesa (wa chuoni, sio wa heshima, wa chuoni, kasoma) kwa miaka kumi na, yani pesa alikuwa nazo kabla hajawa mbunge, bado tu unaamini hawezi kujenga hivyo??
Tafuta pesa
Hii sio ya kushangaaa maana yeye ni SPIKA na B4 alikua Naibu Spika....Sasa hemu jiulizeni ikiwa mbunge anafikia 12M per month including mambo yote yeye jeee??....Soo nirahisi tu kujenga nyumba kama hiyo kwa kweli...Ila pia huyu dada anapiga kazi kweli kweli hilo tumpongezeni sana sana sana
Miongoni mwa watu watakaoendelea namshukuru JPM.
@emmanuelessaugurtu9421
Жыл бұрын
Hongera Sana Spika wetu kwa nafasi yako hata angelikuwa nani hayo angelifanya,jamani hata kuhani hula madhabahuni Ila mama pambana na maslahi ya watumishi ikiwa ni pamoja na kuondoa kikokotoo,tupeni haki zetu zote za pensheni tufurahie matunda ya kustaafu
Nyumba yake au ya serikal?
@elinamilyatuu7337
Жыл бұрын
Nyumba ya serikali mahsusi kwa ajili ya speaker kuishi
@frankngoloka5416
Жыл бұрын
Yakwake hiko salasala
@ibrahimally8073
Жыл бұрын
Ni nyumba ya serikali..
@ibrahimally8073
Жыл бұрын
@@frankngoloka5416 wacha kudanganya watu wewe.. hiyo ni nyumba ya serikali.. na kabla ya huyu tulia ackson.. maspika wote waliotangalia waliishi hapo hapo.. khaaa eti nyumba yake ulimjengea wewe??
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
@@frankngoloka5416 bac hyo ya kwako....hongera kwa nyumba nzuri...aiseee una hasira kali ww😆😆😆😆