Abubakar Bakhresa ataja kisa cha kuanzishwa kwa Azam TV
MIAKA 10 YA AZAM TV: "Tulianza kama mzaha mzaha hivi" - Kauli ya Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media LTD, Abubakar Bakhresa akieleza chimbuko la kuzaliwa kwa kituo bora cha televisheni Afrika Mashariki na Kati chenye kubeba nembo ya #AzamTV
#AzamTV10Damdam #AzamTVDaimaDamdam #AzamMedia #BakhresaGroup
Пікірлер: 12
AZAM IMEKUZA SOKA LA TANZANIA....... LIGI YA TANZANIA SASA INATIZAMWA AFRICA ALMOST......CONGRATULATIONS BAKHRESA GROUP OF COMPANY....
Mpo vzriii sana mmeifanya ligi kuu ya Mpira hapa Tz kukua zaidi
Big up sana.
Safi sana bakhersa kakuttoa usngizin
Karibuni Kenya
Tunahitaji hii shule..Hope mtatuwekea extended version ya haya mahojiano adimu.
BOSS❤❤❤❤❤
🙏
Bakhiresa
Nilichokuja kuelewa nikuwa kumbe Star TV ndio ilikuwa TV station iliyoendelea sana kwa kipindi kile. Big up sana TV yetu wasukuma. Mwanza kwanza mengine baadaye. Midia nyingi ziliteteleka kipindi cha mwendazake aliyekuwa akiminya uhuru wa habari ilimradi tu yeye aendelee kutawala.
@BARAKAKATEMBA
Жыл бұрын
Kuyumba kwa Media ni Matatizo ya Uendeshaji. Media nyingi hazina Dynamic Business Model...too traditional
@dominicodeus2557
Жыл бұрын
Mpaka sasa Kampuni ya startv ndo wana uwezo mkibwa mitambo yao sematu wasimamizi