Abubakar Bakhresa ataja kisa cha kuanzishwa kwa Azam TV

MIAKA 10 YA AZAM TV: "Tulianza kama mzaha mzaha hivi" - Kauli ya Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media LTD, Abubakar Bakhresa akieleza chimbuko la kuzaliwa kwa kituo bora cha televisheni Afrika Mashariki na Kati chenye kubeba nembo ya #AzamTV
#AzamTV10Damdam #AzamTVDaimaDamdam #AzamMedia #BakhresaGroup

Пікірлер: 12

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Жыл бұрын

    AZAM IMEKUZA SOKA LA TANZANIA....... LIGI YA TANZANIA SASA INATIZAMWA AFRICA ALMOST......CONGRATULATIONS BAKHRESA GROUP OF COMPANY....

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Жыл бұрын

    Mpo vzriii sana mmeifanya ligi kuu ya Mpira hapa Tz kukua zaidi

  • @birianination7097
    @birianination7097 Жыл бұрын

    Big up sana.

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana65011 ай бұрын

    Safi sana bakhersa kakuttoa usngizin

  • @micahwanjala5676
    @micahwanjala5676 Жыл бұрын

    Karibuni Kenya

  • @NoelNgonyani
    @NoelNgonyani Жыл бұрын

    Tunahitaji hii shule..Hope mtatuwekea extended version ya haya mahojiano adimu.

  • @BakhresaGroup
    @BakhresaGroup5 ай бұрын

    BOSS❤❤❤❤❤

  • @ramadhanially377
    @ramadhanially377 Жыл бұрын

    🙏

  • @joramnunu1449
    @joramnunu14492 ай бұрын

    Bakhiresa

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Жыл бұрын

    Nilichokuja kuelewa nikuwa kumbe Star TV ndio ilikuwa TV station iliyoendelea sana kwa kipindi kile. Big up sana TV yetu wasukuma. Mwanza kwanza mengine baadaye. Midia nyingi ziliteteleka kipindi cha mwendazake aliyekuwa akiminya uhuru wa habari ilimradi tu yeye aendelee kutawala.

  • @BARAKAKATEMBA

    @BARAKAKATEMBA

    Жыл бұрын

    Kuyumba kwa Media ni Matatizo ya Uendeshaji. Media nyingi hazina Dynamic Business Model...too traditional

  • @dominicodeus2557

    @dominicodeus2557

    Жыл бұрын

    Mpaka sasa Kampuni ya startv ndo wana uwezo mkibwa mitambo yao sematu wasimamizi