Namsubir Bakharesa 🙏🙏🙏 Mpare damu umepambana vyakutosha hongera sana
@maindachausa39122 жыл бұрын
Very inspired kaka, may ALLAH bless u
@josephomuto32402 жыл бұрын
Kenya tuko ndani ya nyumba. Hongera Hamidu kwa kazi nzuri. Nafurahi tu jinsi Zama anavyochukua notes.
@amraabdallah94462 жыл бұрын
MashaAllah Mungu ambakir zaidi kwa juhudi zake he's the best 👌
@shamsumikidadi1765 Жыл бұрын
Mashaallah azidi kukuinua hamna kisichowezekana na mimi nitapambana nshaallah
@wangwemseti75922 жыл бұрын
Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji
@sheshem54532 жыл бұрын
Very Inspiring... May ALLAH continue to Bless You Bro.. Asante Zamaradi...
Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba
@hajeralqaidi21152 жыл бұрын
Mashaallah amepambana vyakutosha
@ghoststpatrick98782 жыл бұрын
Dada zamaradi naomba msaada uniconnect Na huyu brother nimtengenezee app nina idea nzuri . Mwambie Mimi ni mdogo Wake kutoka kilomeni
@shifaaal-baity4503
2 жыл бұрын
Bora mtafute mwenyewe uliza kwa watu na Google na mungu atakusaidia
@emmanuelmasanja6040 Жыл бұрын
Hongera sana kwa kufanya mambo makubwa
@mustaphalushoto32622 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana kuwa kila kitu ni vyema kukifanya kwa siri
@sikitujuma48662 жыл бұрын
Napenda historia ya maisha yako kwa kua nami nimehangaika sana
@selemanisaidi34572 жыл бұрын
Hongera sana baba
@nasseaman37202 жыл бұрын
Mtu wa dini na roho safi what a good stories and inspired .
@richardsaidi24482 жыл бұрын
Brooo. uko vzr sanaaa
@shifaaal-baity45032 жыл бұрын
Masha Allah
@khadijahali48372 жыл бұрын
Tusikate tamaa lkn ni ngumu jmn
@kareisindilo27762 жыл бұрын
ila kusema kweli zamaradi wewe mzuri sana
@anisajonas52412 жыл бұрын
Mm naangaika pa kulala wengine wana nyumba zote izo ila mungu ampe ekima ya kutumia izo mali izur
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Ameen
@hadijamandanje6189
2 жыл бұрын
@@khadijahali4837 Amiin Ila usikate tamaa Allah anawapenda wasiokata tamaa na kuwa na matumaini kuwa Kuna siku atawapatia
@hadijamandanje6189
2 жыл бұрын
Samahani hii ya jonas
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 😊😊
@anisajonas5241
2 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 amin
@doricelugundiza48492 жыл бұрын
Very inspiring
@mwanaishamande88802 жыл бұрын
Aisee mungu. Akisema yes hakuna wakusema no naukimya unamaana
@a.8562 жыл бұрын
👏👏👏
@lastgospel7062 жыл бұрын
HUYU MPARE ANAYO AKILI SIO HABA..AFU ANA USIRI ,UKIWA MSIRI RAHA SANAA
@linahcaro47802 жыл бұрын
Hongera sana
@linahcaro47802 жыл бұрын
Hongera
@jacquelinemwakasala95632 жыл бұрын
He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa
@richardsaidi24482 жыл бұрын
namimi munguu anisaidiee tuuu
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
Hamidu amefanana na MUZAMMIRU YASIN kiungo wa simba
@jumalihumbo8937 Жыл бұрын
Uyu jamaa mwamba sn aise🙌
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
😋💯🤔
@shakirahamisijuma Жыл бұрын
Naitaji namba jaman
@mwanaishamande88802 жыл бұрын
Inahamasisha kuendelea kumsikiliza
@richardsaidi24482 жыл бұрын
daaa!!!. aka kadada ni kazr
@asiaa65732 жыл бұрын
Da Zamaradi nambie kipenzi, Hamidu kasema mifuko ya sim sikuelewa mifukk ya sim ndionini?
@isaacmwaipopo
2 жыл бұрын
Labda utakuwa haujaikuta. Simu za zamani zilikuwa na mifuko yake ya kuwekea. Ingia Google utaiona.
@isaacmwaipopo
2 жыл бұрын
Siku hizi kuna makava. Ila zamani tulikuwa tunaita mifuko. Ilikuwa mininge ukivalisha simu unachomeka kwenye mkanda kiunoni.
Пікірлер: 53
Mashaallah Allah akibariki zaidi na zaidi
Namsubir Bakharesa 🙏🙏🙏 Mpare damu umepambana vyakutosha hongera sana
Very inspired kaka, may ALLAH bless u
Kenya tuko ndani ya nyumba. Hongera Hamidu kwa kazi nzuri. Nafurahi tu jinsi Zama anavyochukua notes.
MashaAllah Mungu ambakir zaidi kwa juhudi zake he's the best 👌
Mashaallah azidi kukuinua hamna kisichowezekana na mimi nitapambana nshaallah
Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji
Very Inspiring... May ALLAH continue to Bless You Bro.. Asante Zamaradi...
Mashaallah Tabaraka Rahman, kweli hakuna linaloshindika!
Mashallah
Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba
Mashaallah amepambana vyakutosha
Dada zamaradi naomba msaada uniconnect Na huyu brother nimtengenezee app nina idea nzuri . Mwambie Mimi ni mdogo Wake kutoka kilomeni
@shifaaal-baity4503
2 жыл бұрын
Bora mtafute mwenyewe uliza kwa watu na Google na mungu atakusaidia
Hongera sana kwa kufanya mambo makubwa
Nimejifunza kitu kikubwa sana kuwa kila kitu ni vyema kukifanya kwa siri
Napenda historia ya maisha yako kwa kua nami nimehangaika sana
Hongera sana baba
Mtu wa dini na roho safi what a good stories and inspired .
Brooo. uko vzr sanaaa
Masha Allah
Tusikate tamaa lkn ni ngumu jmn
ila kusema kweli zamaradi wewe mzuri sana
Mm naangaika pa kulala wengine wana nyumba zote izo ila mungu ampe ekima ya kutumia izo mali izur
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Ameen
@hadijamandanje6189
2 жыл бұрын
@@khadijahali4837 Amiin Ila usikate tamaa Allah anawapenda wasiokata tamaa na kuwa na matumaini kuwa Kuna siku atawapatia
@hadijamandanje6189
2 жыл бұрын
Samahani hii ya jonas
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 😊😊
@anisajonas5241
2 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 amin
Very inspiring
Aisee mungu. Akisema yes hakuna wakusema no naukimya unamaana
👏👏👏
HUYU MPARE ANAYO AKILI SIO HABA..AFU ANA USIRI ,UKIWA MSIRI RAHA SANAA
Hongera sana
Hongera
He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa
namimi munguu anisaidiee tuuu
Hamidu amefanana na MUZAMMIRU YASIN kiungo wa simba
Uyu jamaa mwamba sn aise🙌
😋💯🤔
Naitaji namba jaman
Inahamasisha kuendelea kumsikiliza
daaa!!!. aka kadada ni kazr
Da Zamaradi nambie kipenzi, Hamidu kasema mifuko ya sim sikuelewa mifukk ya sim ndionini?
@isaacmwaipopo
2 жыл бұрын
Labda utakuwa haujaikuta. Simu za zamani zilikuwa na mifuko yake ya kuwekea. Ingia Google utaiona.
@isaacmwaipopo
2 жыл бұрын
Siku hizi kuna makava. Ila zamani tulikuwa tunaita mifuko. Ilikuwa mininge ukivalisha simu unachomeka kwenye mkanda kiunoni.
🎉
Mimi nilitumia sm zake nyingi zilikuwa fake.
@isaacmwaipopo
2 жыл бұрын
Tukusaidiaje sasa?
@muhammehusna3384
2 жыл бұрын
Mashallah,, Ila tusaidie izo bei z nymba weeh
@muhammehusna3384
2 жыл бұрын
Hamidu nikopeshe nymba ntalipa kila mwezi
@yasinijuma6646
Жыл бұрын
Hauna say jealous Kuma we leave my family alone
Hongera