SEHEMU YA PILI YA BILIONEA HAMIDU ANAEMILIKI NYUMBA ZAIDI YA 120 ALIYEANZA KWA KUPIKA MAANDAZI.

Ойын-сауық

Пікірлер: 53

  • @HidayaBomani
    @HidayaBomani13 күн бұрын

    Mashaallah Allah akibariki zaidi na zaidi

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16872 жыл бұрын

    Namsubir Bakharesa 🙏🙏🙏 Mpare damu umepambana vyakutosha hongera sana

  • @maindachausa3912
    @maindachausa39122 жыл бұрын

    Very inspired kaka, may ALLAH bless u

  • @josephomuto3240
    @josephomuto32402 жыл бұрын

    Kenya tuko ndani ya nyumba. Hongera Hamidu kwa kazi nzuri. Nafurahi tu jinsi Zama anavyochukua notes.

  • @amraabdallah9446
    @amraabdallah94462 жыл бұрын

    MashaAllah Mungu ambakir zaidi kwa juhudi zake he's the best 👌

  • @shamsumikidadi1765
    @shamsumikidadi1765 Жыл бұрын

    Mashaallah azidi kukuinua hamna kisichowezekana na mimi nitapambana nshaallah

  • @wangwemseti7592
    @wangwemseti75922 жыл бұрын

    Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji

  • @sheshem5453
    @sheshem54532 жыл бұрын

    Very Inspiring... May ALLAH continue to Bless You Bro.. Asante Zamaradi...

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38692 жыл бұрын

    Mashaallah Tabaraka Rahman, kweli hakuna linaloshindika!

  • @sharifakhamis230
    @sharifakhamis2302 жыл бұрын

    Mashallah

  • @sashoright8213
    @sashoright82132 жыл бұрын

    Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba

  • @hajeralqaidi2115
    @hajeralqaidi21152 жыл бұрын

    Mashaallah amepambana vyakutosha

  • @ghoststpatrick9878
    @ghoststpatrick98782 жыл бұрын

    Dada zamaradi naomba msaada uniconnect Na huyu brother nimtengenezee app nina idea nzuri . Mwambie Mimi ni mdogo Wake kutoka kilomeni

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    2 жыл бұрын

    Bora mtafute mwenyewe uliza kwa watu na Google na mungu atakusaidia

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Жыл бұрын

    Hongera sana kwa kufanya mambo makubwa

  • @mustaphalushoto3262
    @mustaphalushoto32622 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kuwa kila kitu ni vyema kukifanya kwa siri

  • @sikitujuma4866
    @sikitujuma48662 жыл бұрын

    Napenda historia ya maisha yako kwa kua nami nimehangaika sana

  • @selemanisaidi3457
    @selemanisaidi34572 жыл бұрын

    Hongera sana baba

  • @nasseaman3720
    @nasseaman37202 жыл бұрын

    Mtu wa dini na roho safi what a good stories and inspired .

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi24482 жыл бұрын

    Brooo. uko vzr sanaaa

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity45032 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48372 жыл бұрын

    Tusikate tamaa lkn ni ngumu jmn

  • @kareisindilo2776
    @kareisindilo27762 жыл бұрын

    ila kusema kweli zamaradi wewe mzuri sana

  • @anisajonas5241
    @anisajonas52412 жыл бұрын

    Mm naangaika pa kulala wengine wana nyumba zote izo ila mungu ampe ekima ya kutumia izo mali izur

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    @@khadijahali4837 Amiin Ila usikate tamaa Allah anawapenda wasiokata tamaa na kuwa na matumaini kuwa Kuna siku atawapatia

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    Samahani hii ya jonas

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    @@hadijamandanje6189 😊😊

  • @anisajonas5241

    @anisajonas5241

    2 жыл бұрын

    @@hadijamandanje6189 amin

  • @doricelugundiza4849
    @doricelugundiza48492 жыл бұрын

    Very inspiring

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande88802 жыл бұрын

    Aisee mungu. Akisema yes hakuna wakusema no naukimya unamaana

  • @a.856
    @a.8562 жыл бұрын

    👏👏👏

  • @lastgospel706
    @lastgospel7062 жыл бұрын

    HUYU MPARE ANAYO AKILI SIO HABA..AFU ANA USIRI ,UKIWA MSIRI RAHA SANAA

  • @linahcaro4780
    @linahcaro47802 жыл бұрын

    Hongera sana

  • @linahcaro4780
    @linahcaro47802 жыл бұрын

    Hongera

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala95632 жыл бұрын

    He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi24482 жыл бұрын

    namimi munguu anisaidiee tuuu

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada2 жыл бұрын

    Hamidu amefanana na MUZAMMIRU YASIN kiungo wa simba

  • @jumalihumbo8937
    @jumalihumbo8937 Жыл бұрын

    Uyu jamaa mwamba sn aise🙌

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72792 жыл бұрын

    😋💯🤔

  • @shakirahamisijuma
    @shakirahamisijuma Жыл бұрын

    Naitaji namba jaman

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande88802 жыл бұрын

    Inahamasisha kuendelea kumsikiliza

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi24482 жыл бұрын

    daaa!!!. aka kadada ni kazr

  • @asiaa6573
    @asiaa65732 жыл бұрын

    Da Zamaradi nambie kipenzi, Hamidu kasema mifuko ya sim sikuelewa mifukk ya sim ndionini?

  • @isaacmwaipopo

    @isaacmwaipopo

    2 жыл бұрын

    Labda utakuwa haujaikuta. Simu za zamani zilikuwa na mifuko yake ya kuwekea. Ingia Google utaiona.

  • @isaacmwaipopo

    @isaacmwaipopo

    2 жыл бұрын

    Siku hizi kuna makava. Ila zamani tulikuwa tunaita mifuko. Ilikuwa mininge ukivalisha simu unachomeka kwenye mkanda kiunoni.

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 Жыл бұрын

    🎉

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu642 жыл бұрын

    Mimi nilitumia sm zake nyingi zilikuwa fake.

  • @isaacmwaipopo

    @isaacmwaipopo

    2 жыл бұрын

    Tukusaidiaje sasa?

  • @muhammehusna3384

    @muhammehusna3384

    2 жыл бұрын

    Mashallah,, Ila tusaidie izo bei z nymba weeh

  • @muhammehusna3384

    @muhammehusna3384

    2 жыл бұрын

    Hamidu nikopeshe nymba ntalipa kila mwezi

  • @yasinijuma6646

    @yasinijuma6646

    Жыл бұрын

    Hauna say jealous Kuma we leave my family alone

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48372 жыл бұрын

    Hongera