MPAKA HOME ; UTAJIRI WA HARMONIZE UNATISHA,ONA JUMBA LAKE LA KIFAHARI NA MANDINGA YAKE
Жүктеу.....
Пікірлер: 352
@dn.n498310 ай бұрын
Hongera be bless😊 harmonuze
@Reshylionarenyven8 ай бұрын
Namkubali harmonize 100%,Ni msanii mwenye anajituma kwelikweli,may God bless you Konde Boy
@SaimonNelson-ev8tc
5 ай бұрын
Konde.mungu.ambariki
@SaimonNelson-ev8tc
5 ай бұрын
Konde forever🖒🖒🖒😀😀😀😀
@mohammedkidody56189 ай бұрын
Hongera sana konde ww ni mfano wa kuigwa kwa upambanaji wako❤❤❤
@zubedahumphries447810 ай бұрын
Waaaoooo magnificent. Konde congratulation sir Mjengo fab. Ubarikiwe.❤❤❤
@jeremiahmagau8623
9 ай бұрын
Kapanga 😂
@bahatadof554310 ай бұрын
Umetisha,kwa kweli hawakuwezikama wimbo wako unavyosema
@jumakauli9 ай бұрын
Sijambo. Hamjambo? HONGERA kwa kupiga hatua hii kubwa ya maendeleo. Ni vizuri jenga pia viwanda. Vilevile jenga shule au chuo cha sanaa ili watanzania wanifunze muziki na sanaa zingine zenye soko kubwa hivi sasa hapa nchini na kimataifa. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na kukulinda.
@user-xh7wy2mi2j10 ай бұрын
Mimi ni mu Burundi lakini kwa kweli namkubali san huu rajabu kuliko wengine wa sani kutoka tz hata sijui kwanini. Lakini pia ana utuu fulani hivi sio mjivuni
@hadija846
10 ай бұрын
Nami nampenda sana kwa upambanaji wake na ustaarabu wake hata kama watanzania baadhi yao hawapendi lakini mimi kuna mengi sana ninayojifunza kutoka kwa Rajabu Harmonize 😍
@mwassfrank2930
10 ай бұрын
Kondeboy nimpabanaji kweli ni wengi tunajifunza kwake
Koma tena koma ishia huko huko rundi kwenu kawapende warundi wenzio kwan nyie hamna wasanii au ndo unataka utukize ubinafsi et hana majivuno unamjua vzr huyo wewe
@asharamadhani9801
9 ай бұрын
Hapo kwenye utu✅
@user-lp7uq9ql2p9 ай бұрын
Ya kwanza Sio prado ni land cruiser 200, inayofuata ni land cruiser 300, inakuja Audi a, ya mwisho range lwb, he really leave expensive life
@hadija84610 ай бұрын
YAOYAO JESHII 🙏🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 ❤️ ❤️ ❤️ ❤️❤️💖💖💖💖💖😍💯
@ManichManich-yj4sl10 ай бұрын
Harmonize ni tajiri anaebisha bisha kwa hoja😂🥰💸
@anthonymanuana45722 ай бұрын
We ndo mwisho djeshii. Saluti
@MumoKitei-hn6ry21 күн бұрын
Namkubalia sana konde bwoy , he is my favorite
@niyonzimasaleh13338 ай бұрын
Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Namkubali Konde 100% Kuliko wasani wengine Africa machariki
@SauloGeraldАй бұрын
Huyu mwamba ni shida, nakukubali CONDE BOY
@user-kf6kw2yz2e3 ай бұрын
Vraiment félicitations mon Cher Harmonize, ma première Star tanzanienne. That is God's plan.
@AbukariLukasi
12 күн бұрын
Mungu awenae kwakaz nzuli anaeyifanya
@user-qt5wb4ep3n4 ай бұрын
Iko chonjo Mzee mijigari kama zote na jinyumba lenyewe masha Allah pongeza sana lkn namuomba konde boy Kazi ya compound yeke yamemeya kwenye mawe compound nzima na mid Niko na ufundi nao Nipe naki ningarishe jicompound lako LA ki fahari utapenda mwenyewe mzee😊😊😊😊❤❤🎉🎉🎉
@charleswambua71869 ай бұрын
Truly talent is priceless. God is amazing.
@MachibyaMassanja
5 ай бұрын
Hongerehamonise
@MachibyaMassanja
5 ай бұрын
pambana.hamonise
@TatuChristine9 ай бұрын
Namupenda sana kweli harmoniez
@JayMack-ek1zp8 күн бұрын
Vraiment c'est trop génial pour Harmonize
@user-fg3yh3mo9y8 ай бұрын
Mimi ni mu congo alahmu dulilay namu ogopa hamonize nimwamba apewe sifa uyo ni tajiri sana wandugu zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯
@user-fg3yh3mo9y
8 ай бұрын
Kama wewe nimwana jechi bonye za alama yakengele hapa?
@CarleyKenyan2 ай бұрын
Konde geng forever ❤️🔥
@JosephatWesonga-ef7gq9 ай бұрын
Dah, congratulations konde boy❤
@CelestinKasereka-cv7qv7 күн бұрын
Mimi waga na penda kitu chamaana kwamsani yeyote wa Tanzania mimi siyo shabiki wa upuzi apa ni adjuni samuel kutoka congo
@democritenzoisaba91176 ай бұрын
Mbengo Tv we appreciate your video good job.
@albertngetich46329 ай бұрын
Namkubali Sana Harmonize Fan Kutoka Kenya
@rerisamba10 ай бұрын
Mimi pesa za wenyewe shikamoo yani sitamani kabisa
@AmeldaKavishe-ry9ow10 ай бұрын
Sasa magari yete ya Nini ajenge magesti mashule ya praiveti afunge na kuku awape watu ajira kampuni Mambo yabiashara watu wapate ajira ata kwa ndungu zake upamde wa Mama wa baba awape ajira familia magati mawili yanatosha makali
@nifahaji7752
10 ай бұрын
Iyo nyumba kapanga mwenye nyumba yake ndio mwenye nyumba ya diamond
@ruthwaitherasshhb9382
9 ай бұрын
@@nifahaji7752kwa hivio wataka kusema hiyo si nyumba ya amejenga mwenyewe
@sultanmswahilitv4864
9 ай бұрын
Wacha wivu
@nifahaji7752
9 ай бұрын
@@sultanmswahilitv4864 sasa utaki nipe namba yako
@zerbonofficiel619210 ай бұрын
boss konde we ni number moja
@ousmanihunter58019 ай бұрын
Kijsna acha afurahie maisha katoka mbali sana
@ChristianbroundКүн бұрын
Kweli, love life konde village
@isaacchris-603210 ай бұрын
Harmoniz never give up as your song says
@cyrusmutua22749 ай бұрын
The chiq is mmwaaah ❤ love you
@user-my4fn4bf1i5 ай бұрын
Nampenda harmonizer me shabiki ake❤
@piano017743 ай бұрын
@Big-up xana the best Tanzanian artist.
@user-zj6xj7oe7m4 ай бұрын
thanks my.bro
@user-kf7qq3gx9w7 ай бұрын
God bless you 🎉🎉
@JafariAthumanАй бұрын
Nakubali kaka umepambn na Bado unaendelea kupambna kimziki pamoja sana
@karirekinyana97597 ай бұрын
Danmark tunampenda sana Harmonize ❤❤❤❤❤❤ Mungu amubaliki
@cornelytv28396 ай бұрын
Harmonize congratulations 🎉🎉
@JafariAthumanАй бұрын
Nakubali kaka umepambn na Bado unaendelea kupambna kimziki pamoja sana❤❤😂😂😂
@yahayaolomi10575 ай бұрын
Mie siwezi kuiga nyumba ya kupanga na magari ya kukodi
@BekaBoy-tx5xq8 ай бұрын
Nakubarri jesh
@JayMack-ek1zp8 күн бұрын
❤ kondo mungu mukubwa sana
@user-jd1jg7xt5c4 ай бұрын
Kòman u ye afriken m yo🇭🇹🇭🇹🇭🇹
@user-pg2um6qp5m5 ай бұрын
Nakubali sana Kaz za harmonizi haswa Jr hapa💻⌨️💽
@user-gl3lh1tv8z3 ай бұрын
Hongela sana kwamjengo hawakuwezi
@user-no9ww8in3j5 ай бұрын
Congratulations my brother
@user-qm9sj6ls8s3 ай бұрын
Hongera Sana Unapambana Mno Usikate Tamaa Utafika Mbali
@Robissonyhaonga-ot3sk6 ай бұрын
Harmonaz na mkubali %150 Mungu akulinde booradha
@hitimanafrancois80817 ай бұрын
Rwanda 🇷🇼❤❤❤❤ harmonize
@bentakahindi5 ай бұрын
kibo from Kenya truly boy unapambana
@CosmaEmmanuelАй бұрын
Konde hongera mm nakupongeza
@michaelaloyce20726 ай бұрын
Maisha ya sinema, Hawa wasanii wakiumwa ndo wanakubali ni maskini na kuomba kuchangiwa😂😂
@ellykisengya66224 ай бұрын
Jina langue Elly Na toka Congo hasa niya yangu Na tamani Siku moya nimuone Konde sasa sina namna yeyote sijuwi ni fanyeje
@hassanmutta9219 ай бұрын
Naweza kaishi na sehemu inayopazidi kwa uezo wa mwenyezi mungu
@user-vn4nz2qs1i5 ай бұрын
My favorite musician konde boy
@user-ly9rz5mq7x3 ай бұрын
Kati maisha yangu Mimi schadrack ngongo Nina mkubali konde boy Yakama ni tajiri n'a anaweza kwa kila kitu chochote kusiana na pesa mziki na vinginevyo kiukweli wewe baba yupo katika maisha yangu Mkali wangu.
@sammiebabu85506 ай бұрын
Congratulations 🎊
@muhydinaden5525 ай бұрын
Interesting 🤔
@JohnKansama5 күн бұрын
Nakupenda san harmonize
@barakajoseph22349 ай бұрын
Huyu msenge hii mihela ni yakutoka kwa mungu au Freemasons
@user-kw8pe9pk4l5 ай бұрын
Mungu akuzidishie
@officialkmoneyvevo317510 ай бұрын
Eti wanaogopa maisha magumu😂
@JosephatWesonga-ef7gq
9 ай бұрын
Nimecheka sana😂😂😂
@user-xl8bs8be3s7 ай бұрын
Mimi moja wapi kutoka nsimbiji ,nankubali sana uyu dogo
@user-xx8eo1ot9r6 ай бұрын
Umetisha brother by abubakar
@ShapnsabiValentinАй бұрын
Mbona kali sana 🙏💪
@mukanoheribeath96709 ай бұрын
Konde we njo wangu unaweza sana kbs na ubarikiwe sana
@user-dl1wm1ls4p3 ай бұрын
Jeshi unaweza
@user-nf1di7pn5j5 ай бұрын
Waooooooow konde uishi mia mia love 💕💕💕
@user-cc8rf4kt2d5 ай бұрын
Umetisha konde ❤❤
@yahayaolomi10575 ай бұрын
Nyumba ya kupanga unamsifia kweli?mi mwenyewe nimemzidi maana naishi kwangu sijapanga hata kama ni kibanda
@levisdiamond479710 ай бұрын
Ma freemason ndo mnatwambia tunatafuta na jasho yetu na tutafika pole pole
@harrietajiambo229
10 ай бұрын
Nakuunga mkono hawa ni waabudu shetani
@ZefrinMapyaАй бұрын
Namkubareeee Sana 🙋🙋
@JosephatWesonga-ef7gq9 ай бұрын
Eti wanaogopa maisha magumu bana😂😂😂
@user-ir3mz4ue4k4 ай бұрын
namukubali sana ❤❤
@kanjitv377 ай бұрын
Wow 😂😂❤❤❤ good
@user-fk7oc6vl6y3 ай бұрын
Hâta mimi namkubali🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@mariamemadoshi554010 ай бұрын
Yake kweli maana wasanii bwana mimi huwa siwaamini kabisa
@fisjaykitamuliko1183
10 ай бұрын
😂
@ImmanuelSeuta-zi2gh
10 ай бұрын
Iyoo nyumba kapanga hakuna msanii anae weza kununua nyumba mbezi beach
@user-if9ru1yl8f4 ай бұрын
Waoow
@user-lb6wv7yu4y4 ай бұрын
Asante sana harmonize
@LagimsGang-ci7ko8 ай бұрын
Good
@pedistone045ke-sv9fp
3 ай бұрын
manze
@shaibumasudimgomba-wu1ey8 ай бұрын
yupo siriaz tembo good sana anapambana
@user-bt3yp2sc1k9 ай бұрын
Nakubali yuwajitaidi qwel
@user-ll3pk6jf7s8 ай бұрын
Hongera sana
@MachibyaMassanja5 ай бұрын
Hongera.hamonise
@iceplay189 ай бұрын
hii nii nyumba ya harmonize ya kupangisha hesbu mwandishi wacha kurupuka rupuka , hii si nyumba yake
@tonymurithi8779 ай бұрын
Mbona gari hazina number plate arudishe magari show room
@adolpheniyibizi4252
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅
@fidelisokemwa48274 ай бұрын
Nyinyi WaTanzania mnatushangasha ni hizi mbwembwe zenu, mara nyumba ya kifahari ya Ryavani, sio ya Mr Pimbi, wala ya DC Mwijaku, na sasa ya Harmonize....hamwiishi na vituko na zarakazii.
@AlinAlin-hp5wy8 ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@kirumbiamani6 күн бұрын
Hongera
@JohnInfirmier-gg1ex9 ай бұрын
Ni cela aimbe na mwana mziki wa congo agressivo nyandoro
@MasiziaKari-lh6wc10 ай бұрын
👍👍
@Miche7_10 ай бұрын
Mimi wa kwanza
@kwandiwageorge28269 ай бұрын
Nyumba zakupanga izo nikama janjaro alipanga ghorofa kubwa na uwoya wake kingineee magari mengi hapo angalia hayana plate number wanapgia picha
@AsnatiMsisili11 күн бұрын
Kaka uko vzr
@magrethmbangama119910 ай бұрын
Nyumba yake au kapanga maana wasanii hawa huwaamini sometimes,kama zuchu tu ety hana nyumba
@ramadhanichuma7925
10 ай бұрын
Hata kama kapanga rent yake2 hapo kwa mwaka ni unajenga nyumba mbagala
Пікірлер: 352
Hongera be bless😊 harmonuze
Namkubali harmonize 100%,Ni msanii mwenye anajituma kwelikweli,may God bless you Konde Boy
@SaimonNelson-ev8tc
5 ай бұрын
Konde.mungu.ambariki
@SaimonNelson-ev8tc
5 ай бұрын
Konde forever🖒🖒🖒😀😀😀😀
Hongera sana konde ww ni mfano wa kuigwa kwa upambanaji wako❤❤❤
Waaaoooo magnificent. Konde congratulation sir Mjengo fab. Ubarikiwe.❤❤❤
@jeremiahmagau8623
9 ай бұрын
Kapanga 😂
Umetisha,kwa kweli hawakuwezikama wimbo wako unavyosema
Sijambo. Hamjambo? HONGERA kwa kupiga hatua hii kubwa ya maendeleo. Ni vizuri jenga pia viwanda. Vilevile jenga shule au chuo cha sanaa ili watanzania wanifunze muziki na sanaa zingine zenye soko kubwa hivi sasa hapa nchini na kimataifa. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na kukulinda.
Mimi ni mu Burundi lakini kwa kweli namkubali san huu rajabu kuliko wengine wa sani kutoka tz hata sijui kwanini. Lakini pia ana utuu fulani hivi sio mjivuni
@hadija846
10 ай бұрын
Nami nampenda sana kwa upambanaji wake na ustaarabu wake hata kama watanzania baadhi yao hawapendi lakini mimi kuna mengi sana ninayojifunza kutoka kwa Rajabu Harmonize 😍
@mwassfrank2930
10 ай бұрын
Kondeboy nimpabanaji kweli ni wengi tunajifunza kwake
@user-gs3qj8iw8i
10 ай бұрын
Kiukweli.yupo.safi.sana.hana.majivuno.sio.kama.wasanii.flani.waletewa.zawadi.yambuzi.toka.mby.hadi.dar.matokeoyake.anaishia.injee.ya.geti
@Sadee__
9 ай бұрын
Koma tena koma ishia huko huko rundi kwenu kawapende warundi wenzio kwan nyie hamna wasanii au ndo unataka utukize ubinafsi et hana majivuno unamjua vzr huyo wewe
@asharamadhani9801
9 ай бұрын
Hapo kwenye utu✅
Ya kwanza Sio prado ni land cruiser 200, inayofuata ni land cruiser 300, inakuja Audi a, ya mwisho range lwb, he really leave expensive life
YAOYAO JESHII 🙏🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 ❤️ ❤️ ❤️ ❤️❤️💖💖💖💖💖😍💯
Harmonize ni tajiri anaebisha bisha kwa hoja😂🥰💸
We ndo mwisho djeshii. Saluti
Namkubalia sana konde bwoy , he is my favorite
Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Namkubali Konde 100% Kuliko wasani wengine Africa machariki
Huyu mwamba ni shida, nakukubali CONDE BOY
Vraiment félicitations mon Cher Harmonize, ma première Star tanzanienne. That is God's plan.
@AbukariLukasi
12 күн бұрын
Mungu awenae kwakaz nzuli anaeyifanya
Iko chonjo Mzee mijigari kama zote na jinyumba lenyewe masha Allah pongeza sana lkn namuomba konde boy Kazi ya compound yeke yamemeya kwenye mawe compound nzima na mid Niko na ufundi nao Nipe naki ningarishe jicompound lako LA ki fahari utapenda mwenyewe mzee😊😊😊😊❤❤🎉🎉🎉
Truly talent is priceless. God is amazing.
@MachibyaMassanja
5 ай бұрын
Hongerehamonise
@MachibyaMassanja
5 ай бұрын
pambana.hamonise
Namupenda sana kweli harmoniez
Vraiment c'est trop génial pour Harmonize
Mimi ni mu congo alahmu dulilay namu ogopa hamonize nimwamba apewe sifa uyo ni tajiri sana wandugu zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯
@user-fg3yh3mo9y
8 ай бұрын
Kama wewe nimwana jechi bonye za alama yakengele hapa?
Konde geng forever ❤️🔥
Dah, congratulations konde boy❤
Mimi waga na penda kitu chamaana kwamsani yeyote wa Tanzania mimi siyo shabiki wa upuzi apa ni adjuni samuel kutoka congo
Mbengo Tv we appreciate your video good job.
Namkubali Sana Harmonize Fan Kutoka Kenya
Mimi pesa za wenyewe shikamoo yani sitamani kabisa
Sasa magari yete ya Nini ajenge magesti mashule ya praiveti afunge na kuku awape watu ajira kampuni Mambo yabiashara watu wapate ajira ata kwa ndungu zake upamde wa Mama wa baba awape ajira familia magati mawili yanatosha makali
@nifahaji7752
10 ай бұрын
Iyo nyumba kapanga mwenye nyumba yake ndio mwenye nyumba ya diamond
@ruthwaitherasshhb9382
9 ай бұрын
@@nifahaji7752kwa hivio wataka kusema hiyo si nyumba ya amejenga mwenyewe
@sultanmswahilitv4864
9 ай бұрын
Wacha wivu
@nifahaji7752
9 ай бұрын
@@sultanmswahilitv4864 sasa utaki nipe namba yako
boss konde we ni number moja
Kijsna acha afurahie maisha katoka mbali sana
Kweli, love life konde village
Harmoniz never give up as your song says
The chiq is mmwaaah ❤ love you
Nampenda harmonizer me shabiki ake❤
@Big-up xana the best Tanzanian artist.
thanks my.bro
God bless you 🎉🎉
Nakubali kaka umepambn na Bado unaendelea kupambna kimziki pamoja sana
Danmark tunampenda sana Harmonize ❤❤❤❤❤❤ Mungu amubaliki
Harmonize congratulations 🎉🎉
Nakubali kaka umepambn na Bado unaendelea kupambna kimziki pamoja sana❤❤😂😂😂
Mie siwezi kuiga nyumba ya kupanga na magari ya kukodi
Nakubarri jesh
❤ kondo mungu mukubwa sana
Kòman u ye afriken m yo🇭🇹🇭🇹🇭🇹
Nakubali sana Kaz za harmonizi haswa Jr hapa💻⌨️💽
Hongela sana kwamjengo hawakuwezi
Congratulations my brother
Hongera Sana Unapambana Mno Usikate Tamaa Utafika Mbali
Harmonaz na mkubali %150 Mungu akulinde booradha
Rwanda 🇷🇼❤❤❤❤ harmonize
kibo from Kenya truly boy unapambana
Konde hongera mm nakupongeza
Maisha ya sinema, Hawa wasanii wakiumwa ndo wanakubali ni maskini na kuomba kuchangiwa😂😂
Jina langue Elly Na toka Congo hasa niya yangu Na tamani Siku moya nimuone Konde sasa sina namna yeyote sijuwi ni fanyeje
Naweza kaishi na sehemu inayopazidi kwa uezo wa mwenyezi mungu
My favorite musician konde boy
Kati maisha yangu Mimi schadrack ngongo Nina mkubali konde boy Yakama ni tajiri n'a anaweza kwa kila kitu chochote kusiana na pesa mziki na vinginevyo kiukweli wewe baba yupo katika maisha yangu Mkali wangu.
Congratulations 🎊
Interesting 🤔
Nakupenda san harmonize
Huyu msenge hii mihela ni yakutoka kwa mungu au Freemasons
Mungu akuzidishie
Eti wanaogopa maisha magumu😂
@JosephatWesonga-ef7gq
9 ай бұрын
Nimecheka sana😂😂😂
Mimi moja wapi kutoka nsimbiji ,nankubali sana uyu dogo
Umetisha brother by abubakar
Mbona kali sana 🙏💪
Konde we njo wangu unaweza sana kbs na ubarikiwe sana
Jeshi unaweza
Waooooooow konde uishi mia mia love 💕💕💕
Umetisha konde ❤❤
Nyumba ya kupanga unamsifia kweli?mi mwenyewe nimemzidi maana naishi kwangu sijapanga hata kama ni kibanda
Ma freemason ndo mnatwambia tunatafuta na jasho yetu na tutafika pole pole
@harrietajiambo229
10 ай бұрын
Nakuunga mkono hawa ni waabudu shetani
Namkubareeee Sana 🙋🙋
Eti wanaogopa maisha magumu bana😂😂😂
namukubali sana ❤❤
Wow 😂😂❤❤❤ good
Hâta mimi namkubali🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Yake kweli maana wasanii bwana mimi huwa siwaamini kabisa
@fisjaykitamuliko1183
10 ай бұрын
😂
@ImmanuelSeuta-zi2gh
10 ай бұрын
Iyoo nyumba kapanga hakuna msanii anae weza kununua nyumba mbezi beach
Waoow
Asante sana harmonize
Good
@pedistone045ke-sv9fp
3 ай бұрын
manze
yupo siriaz tembo good sana anapambana
Nakubali yuwajitaidi qwel
Hongera sana
Hongera.hamonise
hii nii nyumba ya harmonize ya kupangisha hesbu mwandishi wacha kurupuka rupuka , hii si nyumba yake
Mbona gari hazina number plate arudishe magari show room
@adolpheniyibizi4252
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅
Nyinyi WaTanzania mnatushangasha ni hizi mbwembwe zenu, mara nyumba ya kifahari ya Ryavani, sio ya Mr Pimbi, wala ya DC Mwijaku, na sasa ya Harmonize....hamwiishi na vituko na zarakazii.
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hongera
Ni cela aimbe na mwana mziki wa congo agressivo nyandoro
👍👍
Mimi wa kwanza
Nyumba zakupanga izo nikama janjaro alipanga ghorofa kubwa na uwoya wake kingineee magari mengi hapo angalia hayana plate number wanapgia picha
Kaka uko vzr
Nyumba yake au kapanga maana wasanii hawa huwaamini sometimes,kama zuchu tu ety hana nyumba
@ramadhanichuma7925
10 ай бұрын
Hata kama kapanga rent yake2 hapo kwa mwaka ni unajenga nyumba mbagala
@EdgerEdger-fg4bp
9 ай бұрын
Amepanga
Good harmonize
Ni vzr zd kpambana
Hongera Sana
Oyaa wakukaya ee baba nomaa,