MPAKA HOME ; UTAJIRI WA HARMONIZE UNATISHA,ONA JUMBA LAKE LA KIFAHARI NA MANDINGA YAKE

Пікірлер: 352

  • @dn.n4983
    @dn.n498310 ай бұрын

    Hongera be bless😊 harmonuze

  • @Reshylionarenyven
    @Reshylionarenyven8 ай бұрын

    Namkubali harmonize 100%,Ni msanii mwenye anajituma kwelikweli,may God bless you Konde Boy

  • @SaimonNelson-ev8tc

    @SaimonNelson-ev8tc

    5 ай бұрын

    Konde.mungu.ambariki

  • @SaimonNelson-ev8tc

    @SaimonNelson-ev8tc

    5 ай бұрын

    Konde forever🖒🖒🖒😀😀😀😀

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody56189 ай бұрын

    Hongera sana konde ww ni mfano wa kuigwa kwa upambanaji wako❤❤❤

  • @zubedahumphries4478
    @zubedahumphries447810 ай бұрын

    Waaaoooo magnificent. Konde congratulation sir Mjengo fab. Ubarikiwe.❤❤❤

  • @jeremiahmagau8623

    @jeremiahmagau8623

    9 ай бұрын

    Kapanga 😂

  • @bahatadof5543
    @bahatadof554310 ай бұрын

    Umetisha,kwa kweli hawakuwezikama wimbo wako unavyosema

  • @jumakauli
    @jumakauli9 ай бұрын

    Sijambo. Hamjambo? HONGERA kwa kupiga hatua hii kubwa ya maendeleo. Ni vizuri jenga pia viwanda. Vilevile jenga shule au chuo cha sanaa ili watanzania wanifunze muziki na sanaa zingine zenye soko kubwa hivi sasa hapa nchini na kimataifa. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na kukulinda.

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j10 ай бұрын

    Mimi ni mu Burundi lakini kwa kweli namkubali san huu rajabu kuliko wengine wa sani kutoka tz hata sijui kwanini. Lakini pia ana utuu fulani hivi sio mjivuni

  • @hadija846

    @hadija846

    10 ай бұрын

    Nami nampenda sana kwa upambanaji wake na ustaarabu wake hata kama watanzania baadhi yao hawapendi lakini mimi kuna mengi sana ninayojifunza kutoka kwa Rajabu Harmonize 😍

  • @mwassfrank2930

    @mwassfrank2930

    10 ай бұрын

    Kondeboy nimpabanaji kweli ni wengi tunajifunza kwake

  • @user-gs3qj8iw8i

    @user-gs3qj8iw8i

    10 ай бұрын

    Kiukweli.yupo.safi.sana.hana.majivuno.sio.kama.wasanii.flani.waletewa.zawadi.yambuzi.toka.mby.hadi.dar.matokeoyake.anaishia.injee.ya.geti

  • @Sadee__

    @Sadee__

    9 ай бұрын

    Koma tena koma ishia huko huko rundi kwenu kawapende warundi wenzio kwan nyie hamna wasanii au ndo unataka utukize ubinafsi et hana majivuno unamjua vzr huyo wewe

  • @asharamadhani9801

    @asharamadhani9801

    9 ай бұрын

    Hapo kwenye utu✅

  • @user-lp7uq9ql2p
    @user-lp7uq9ql2p9 ай бұрын

    Ya kwanza Sio prado ni land cruiser 200, inayofuata ni land cruiser 300, inakuja Audi a, ya mwisho range lwb, he really leave expensive life

  • @hadija846
    @hadija84610 ай бұрын

    YAOYAO JESHII 🙏🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 ❤️ ❤️ ❤️ ❤️❤️💖💖💖💖💖😍💯

  • @ManichManich-yj4sl
    @ManichManich-yj4sl10 ай бұрын

    Harmonize ni tajiri anaebisha bisha kwa hoja😂🥰💸

  • @anthonymanuana4572
    @anthonymanuana45722 ай бұрын

    We ndo mwisho djeshii. Saluti

  • @MumoKitei-hn6ry
    @MumoKitei-hn6ry21 күн бұрын

    Namkubalia sana konde bwoy , he is my favorite

  • @niyonzimasaleh1333
    @niyonzimasaleh13338 ай бұрын

    Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Namkubali Konde 100% Kuliko wasani wengine Africa machariki

  • @SauloGerald
    @SauloGeraldАй бұрын

    Huyu mwamba ni shida, nakukubali CONDE BOY

  • @user-kf6kw2yz2e
    @user-kf6kw2yz2e3 ай бұрын

    Vraiment félicitations mon Cher Harmonize, ma première Star tanzanienne. That is God's plan.

  • @AbukariLukasi

    @AbukariLukasi

    12 күн бұрын

    Mungu awenae kwakaz nzuli anaeyifanya

  • @user-qt5wb4ep3n
    @user-qt5wb4ep3n4 ай бұрын

    Iko chonjo Mzee mijigari kama zote na jinyumba lenyewe masha Allah pongeza sana lkn namuomba konde boy Kazi ya compound yeke yamemeya kwenye mawe compound nzima na mid Niko na ufundi nao Nipe naki ningarishe jicompound lako LA ki fahari utapenda mwenyewe mzee😊😊😊😊❤❤🎉🎉🎉

  • @charleswambua7186
    @charleswambua71869 ай бұрын

    Truly talent is priceless. God is amazing.

  • @MachibyaMassanja

    @MachibyaMassanja

    5 ай бұрын

    Hongerehamonise

  • @MachibyaMassanja

    @MachibyaMassanja

    5 ай бұрын

    pambana.hamonise

  • @TatuChristine
    @TatuChristine9 ай бұрын

    Namupenda sana kweli harmoniez

  • @JayMack-ek1zp
    @JayMack-ek1zp8 күн бұрын

    Vraiment c'est trop génial pour Harmonize

  • @user-fg3yh3mo9y
    @user-fg3yh3mo9y8 ай бұрын

    Mimi ni mu congo alahmu dulilay namu ogopa hamonize nimwamba apewe sifa uyo ni tajiri sana wandugu zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯

  • @user-fg3yh3mo9y

    @user-fg3yh3mo9y

    8 ай бұрын

    Kama wewe nimwana jechi bonye za alama yakengele hapa?

  • @CarleyKenyan
    @CarleyKenyan2 ай бұрын

    Konde geng forever ❤️‍🔥

  • @JosephatWesonga-ef7gq
    @JosephatWesonga-ef7gq9 ай бұрын

    Dah, congratulations konde boy❤

  • @CelestinKasereka-cv7qv
    @CelestinKasereka-cv7qv7 күн бұрын

    Mimi waga na penda kitu chamaana kwamsani yeyote wa Tanzania mimi siyo shabiki wa upuzi apa ni adjuni samuel kutoka congo

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba91176 ай бұрын

    Mbengo Tv we appreciate your video good job.

  • @albertngetich4632
    @albertngetich46329 ай бұрын

    Namkubali Sana Harmonize Fan Kutoka Kenya

  • @rerisamba
    @rerisamba10 ай бұрын

    Mimi pesa za wenyewe shikamoo yani sitamani kabisa

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow10 ай бұрын

    Sasa magari yete ya Nini ajenge magesti mashule ya praiveti afunge na kuku awape watu ajira kampuni Mambo yabiashara watu wapate ajira ata kwa ndungu zake upamde wa Mama wa baba awape ajira familia magati mawili yanatosha makali

  • @nifahaji7752

    @nifahaji7752

    10 ай бұрын

    Iyo nyumba kapanga mwenye nyumba yake ndio mwenye nyumba ya diamond

  • @ruthwaitherasshhb9382

    @ruthwaitherasshhb9382

    9 ай бұрын

    ​@@nifahaji7752kwa hivio wataka kusema hiyo si nyumba ya amejenga mwenyewe

  • @sultanmswahilitv4864

    @sultanmswahilitv4864

    9 ай бұрын

    Wacha wivu

  • @nifahaji7752

    @nifahaji7752

    9 ай бұрын

    @@sultanmswahilitv4864 sasa utaki nipe namba yako

  • @zerbonofficiel6192
    @zerbonofficiel619210 ай бұрын

    boss konde we ni number moja

  • @ousmanihunter5801
    @ousmanihunter58019 ай бұрын

    Kijsna acha afurahie maisha katoka mbali sana

  • @Christianbround
    @ChristianbroundКүн бұрын

    Kweli, love life konde village

  • @isaacchris-6032
    @isaacchris-603210 ай бұрын

    Harmoniz never give up as your song says

  • @cyrusmutua2274
    @cyrusmutua22749 ай бұрын

    The chiq is mmwaaah ❤ love you

  • @user-my4fn4bf1i
    @user-my4fn4bf1i5 ай бұрын

    Nampenda harmonizer me shabiki ake❤

  • @piano01774
    @piano017743 ай бұрын

    @Big-up xana the best Tanzanian artist.

  • @user-zj6xj7oe7m
    @user-zj6xj7oe7m4 ай бұрын

    thanks my.bro

  • @user-kf7qq3gx9w
    @user-kf7qq3gx9w7 ай бұрын

    God bless you 🎉🎉

  • @JafariAthuman
    @JafariAthumanАй бұрын

    Nakubali kaka umepambn na Bado unaendelea kupambna kimziki pamoja sana

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana97597 ай бұрын

    Danmark tunampenda sana Harmonize ❤❤❤❤❤❤ Mungu amubaliki

  • @cornelytv2839
    @cornelytv28396 ай бұрын

    Harmonize congratulations 🎉🎉

  • @JafariAthuman
    @JafariAthumanАй бұрын

    Nakubali kaka umepambn na Bado unaendelea kupambna kimziki pamoja sana❤❤😂😂😂

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi10575 ай бұрын

    Mie siwezi kuiga nyumba ya kupanga na magari ya kukodi

  • @BekaBoy-tx5xq
    @BekaBoy-tx5xq8 ай бұрын

    Nakubarri jesh

  • @JayMack-ek1zp
    @JayMack-ek1zp8 күн бұрын

    ❤ kondo mungu mukubwa sana

  • @user-jd1jg7xt5c
    @user-jd1jg7xt5c4 ай бұрын

    Kòman u ye afriken m yo🇭🇹🇭🇹🇭🇹

  • @user-pg2um6qp5m
    @user-pg2um6qp5m5 ай бұрын

    Nakubali sana Kaz za harmonizi haswa Jr hapa💻⌨️💽

  • @user-gl3lh1tv8z
    @user-gl3lh1tv8z3 ай бұрын

    Hongela sana kwamjengo hawakuwezi

  • @user-no9ww8in3j
    @user-no9ww8in3j5 ай бұрын

    Congratulations my brother

  • @user-qm9sj6ls8s
    @user-qm9sj6ls8s3 ай бұрын

    Hongera Sana Unapambana Mno Usikate Tamaa Utafika Mbali

  • @Robissonyhaonga-ot3sk
    @Robissonyhaonga-ot3sk6 ай бұрын

    Harmonaz na mkubali %150 Mungu akulinde booradha

  • @hitimanafrancois8081
    @hitimanafrancois80817 ай бұрын

    Rwanda 🇷🇼❤❤❤❤ harmonize

  • @bentakahindi
    @bentakahindi5 ай бұрын

    kibo from Kenya truly boy unapambana

  • @CosmaEmmanuel
    @CosmaEmmanuelАй бұрын

    Konde hongera mm nakupongeza

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce20726 ай бұрын

    Maisha ya sinema, Hawa wasanii wakiumwa ndo wanakubali ni maskini na kuomba kuchangiwa😂😂

  • @ellykisengya6622
    @ellykisengya66224 ай бұрын

    Jina langue Elly Na toka Congo hasa niya yangu Na tamani Siku moya nimuone Konde sasa sina namna yeyote sijuwi ni fanyeje

  • @hassanmutta921
    @hassanmutta9219 ай бұрын

    Naweza kaishi na sehemu inayopazidi kwa uezo wa mwenyezi mungu

  • @user-vn4nz2qs1i
    @user-vn4nz2qs1i5 ай бұрын

    My favorite musician konde boy

  • @user-ly9rz5mq7x
    @user-ly9rz5mq7x3 ай бұрын

    Kati maisha yangu Mimi schadrack ngongo Nina mkubali konde boy Yakama ni tajiri n'a anaweza kwa kila kitu chochote kusiana na pesa mziki na vinginevyo kiukweli wewe baba yupo katika maisha yangu Mkali wangu.

  • @sammiebabu8550
    @sammiebabu85506 ай бұрын

    Congratulations 🎊

  • @muhydinaden552
    @muhydinaden5525 ай бұрын

    Interesting 🤔

  • @JohnKansama
    @JohnKansama5 күн бұрын

    Nakupenda san harmonize

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph22349 ай бұрын

    Huyu msenge hii mihela ni yakutoka kwa mungu au Freemasons

  • @user-kw8pe9pk4l
    @user-kw8pe9pk4l5 ай бұрын

    Mungu akuzidishie

  • @officialkmoneyvevo3175
    @officialkmoneyvevo317510 ай бұрын

    Eti wanaogopa maisha magumu😂

  • @JosephatWesonga-ef7gq

    @JosephatWesonga-ef7gq

    9 ай бұрын

    Nimecheka sana😂😂😂

  • @user-xl8bs8be3s
    @user-xl8bs8be3s7 ай бұрын

    Mimi moja wapi kutoka nsimbiji ,nankubali sana uyu dogo

  • @user-xx8eo1ot9r
    @user-xx8eo1ot9r6 ай бұрын

    Umetisha brother by abubakar

  • @ShapnsabiValentin
    @ShapnsabiValentinАй бұрын

    Mbona kali sana 🙏💪

  • @mukanoheribeath9670
    @mukanoheribeath96709 ай бұрын

    Konde we njo wangu unaweza sana kbs na ubarikiwe sana

  • @user-dl1wm1ls4p
    @user-dl1wm1ls4p3 ай бұрын

    Jeshi unaweza

  • @user-nf1di7pn5j
    @user-nf1di7pn5j5 ай бұрын

    Waooooooow konde uishi mia mia love 💕💕💕

  • @user-cc8rf4kt2d
    @user-cc8rf4kt2d5 ай бұрын

    Umetisha konde ❤❤

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi10575 ай бұрын

    Nyumba ya kupanga unamsifia kweli?mi mwenyewe nimemzidi maana naishi kwangu sijapanga hata kama ni kibanda

  • @levisdiamond4797
    @levisdiamond479710 ай бұрын

    Ma freemason ndo mnatwambia tunatafuta na jasho yetu na tutafika pole pole

  • @harrietajiambo229

    @harrietajiambo229

    10 ай бұрын

    Nakuunga mkono hawa ni waabudu shetani

  • @ZefrinMapya
    @ZefrinMapyaАй бұрын

    Namkubareeee Sana 🙋🙋

  • @JosephatWesonga-ef7gq
    @JosephatWesonga-ef7gq9 ай бұрын

    Eti wanaogopa maisha magumu bana😂😂😂

  • @user-ir3mz4ue4k
    @user-ir3mz4ue4k4 ай бұрын

    namukubali sana ❤❤

  • @kanjitv37
    @kanjitv377 ай бұрын

    Wow 😂😂❤❤❤ good

  • @user-fk7oc6vl6y
    @user-fk7oc6vl6y3 ай бұрын

    Hâta mimi namkubali🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi554010 ай бұрын

    Yake kweli maana wasanii bwana mimi huwa siwaamini kabisa

  • @fisjaykitamuliko1183

    @fisjaykitamuliko1183

    10 ай бұрын

    😂

  • @ImmanuelSeuta-zi2gh

    @ImmanuelSeuta-zi2gh

    10 ай бұрын

    Iyoo nyumba kapanga hakuna msanii anae weza kununua nyumba mbezi beach

  • @user-if9ru1yl8f
    @user-if9ru1yl8f4 ай бұрын

    Waoow

  • @user-lb6wv7yu4y
    @user-lb6wv7yu4y4 ай бұрын

    Asante sana harmonize

  • @LagimsGang-ci7ko
    @LagimsGang-ci7ko8 ай бұрын

    Good

  • @pedistone045ke-sv9fp

    @pedistone045ke-sv9fp

    3 ай бұрын

    manze

  • @shaibumasudimgomba-wu1ey
    @shaibumasudimgomba-wu1ey8 ай бұрын

    yupo siriaz tembo good sana anapambana

  • @user-bt3yp2sc1k
    @user-bt3yp2sc1k9 ай бұрын

    Nakubali yuwajitaidi qwel

  • @user-ll3pk6jf7s
    @user-ll3pk6jf7s8 ай бұрын

    Hongera sana

  • @MachibyaMassanja
    @MachibyaMassanja5 ай бұрын

    Hongera.hamonise

  • @iceplay18
    @iceplay189 ай бұрын

    hii nii nyumba ya harmonize ya kupangisha hesbu mwandishi wacha kurupuka rupuka , hii si nyumba yake

  • @tonymurithi877
    @tonymurithi8779 ай бұрын

    Mbona gari hazina number plate arudishe magari show room

  • @adolpheniyibizi4252

    @adolpheniyibizi4252

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😅

  • @fidelisokemwa4827
    @fidelisokemwa48274 ай бұрын

    Nyinyi WaTanzania mnatushangasha ni hizi mbwembwe zenu, mara nyumba ya kifahari ya Ryavani, sio ya Mr Pimbi, wala ya DC Mwijaku, na sasa ya Harmonize....hamwiishi na vituko na zarakazii.

  • @AlinAlin-hp5wy
    @AlinAlin-hp5wy8 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @kirumbiamani
    @kirumbiamani6 күн бұрын

    Hongera

  • @JohnInfirmier-gg1ex
    @JohnInfirmier-gg1ex9 ай бұрын

    Ni cela aimbe na mwana mziki wa congo agressivo nyandoro

  • @MasiziaKari-lh6wc
    @MasiziaKari-lh6wc10 ай бұрын

    👍👍

  • @Miche7_
    @Miche7_10 ай бұрын

    Mimi wa kwanza

  • @kwandiwageorge2826
    @kwandiwageorge28269 ай бұрын

    Nyumba zakupanga izo nikama janjaro alipanga ghorofa kubwa na uwoya wake kingineee magari mengi hapo angalia hayana plate number wanapgia picha

  • @AsnatiMsisili
    @AsnatiMsisili11 күн бұрын

    Kaka uko vzr

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama119910 ай бұрын

    Nyumba yake au kapanga maana wasanii hawa huwaamini sometimes,kama zuchu tu ety hana nyumba

  • @ramadhanichuma7925

    @ramadhanichuma7925

    10 ай бұрын

    Hata kama kapanga rent yake2 hapo kwa mwaka ni unajenga nyumba mbagala

  • @EdgerEdger-fg4bp

    @EdgerEdger-fg4bp

    9 ай бұрын

    Amepanga

  • @RamaAkida
    @RamaAkidaАй бұрын

    Good harmonize

  • @user-kx2vu9ms6t
    @user-kx2vu9ms6t5 ай бұрын

    Ni vzr zd kpambana

  • @andersonrwabanda2040
    @andersonrwabanda20404 ай бұрын

    Hongera Sana

  • @user-vf5zq5rr4d
    @user-vf5zq5rr4d9 ай бұрын

    Oyaa wakukaya ee baba nomaa,