Ndugu zetu wakenya daah.Hatari. But navyoona Kenya democracy ipo open sana compared na nchi zote za Africa. I like 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Uko sawa kaka. Tunawapenda sana
@elandaboyz12 күн бұрын
My country Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I love Kenya, sisi kama Gen z
@twaahbrown104212 күн бұрын
Sio police wa Kenya Wana uvumilivu ni katiba yao huwezi kumpiga mtu public mbele ya camera harafu zaidi mwanmke anaenda jela hii sharia ipo Hadi South Africa police haruhusiwi kumpigaa raia hata afanye kosa gani.
@simonkylian1212 күн бұрын
Angekuwa mwanaume angekuwa kwa land cruiser
@miaduana13 күн бұрын
They are enjoying the show 😂
@bavonichristopha169313 күн бұрын
Daaah Sema huyu mdada ni pisi kali sana
@paschalsafari9747
12 күн бұрын
Sanaaaaa
@user-qq6mv6vh3e
12 күн бұрын
Kabisaaa
@festohaule971612 күн бұрын
Polisi wa Kenya ni wasomi.. kacheza tu hana kosa lolote... Kenya wanajua vyema haki zao sio kama Sisi Ng'ombe wa Tanganyika!!!!
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Wamemuhukumu kijana wenu bila ya hatia yoyote mpaka raia wakamchangia na kumlipia fine. Waache waendelee kuwahamasisha raia kwa matendo yao yadhulma. Wakati utafika hata huko niamini
@festohaule9716
11 күн бұрын
@@Jingajinga64 Amini kabisa Tanganyika itarudi ni swala la mda tu....Leo tunatawaliwa na Ndugu wa kambo anaamua chochote anauza malango ya Nchi bila woga...Kuna mazezeta kazi Yao ni kushangilia tu!!!!
@jumanyanzi870917 сағат бұрын
Kenya democracy iko juu sana
@kiatu13 күн бұрын
Kiwango chao cha civil knowledge kiko juu sana - wengi ni graduates (mapolisi wa Kenya). Wanajua mipaka ya kazi zao.
@vanessalaizer4363
13 күн бұрын
@@kiatu mmmh
@alphablondponera2367
12 күн бұрын
Kiwango ch civil kikubwa polisi uko na silaha unaruhisu kushikwa shikwa ..hata marekani kwenyew hii sijaona
@Jingajinga64
11 күн бұрын
@@vanessalaizer4363Hey yo!! What's up?
@Jingajinga64
11 күн бұрын
@@alphablondponera2367 tuko juu sisi huku kenya usitufananishe na wengine haswa hao marekani wanodhalilisha ndugu zetu huko na kuwabagua. Tukimalizana na huyu mkuu huku tunakwenda huko lakini kwanza tutapitia hapo😅😂
@Jingajinga64
11 күн бұрын
@@vanessalaizer4363 Hey sis!! What's up?
@salama111312 күн бұрын
Uvumilivu au wamesoma wanajuwa hake yake😂😂😂😂
@marymutai144012 күн бұрын
I’m a Kenyan but, this is totally disrespect. Tz keep it up, you guys mko na nidhamu
@jullostephen9090
11 күн бұрын
You must be sick upstairs
@carolinekasiemeka9848
10 күн бұрын
Your name betrays you. I am not amused.
@marymutai1440
10 күн бұрын
@@carolinekasiemeka9848 continued being Amused. Asante
@marymutai1440
10 күн бұрын
@@jullostephen9090 I understand you Kenyans mko na malezi mabaya. Asante
@jullostephen9090
10 күн бұрын
@@marymutai1440 malezi mazuri pelekea watu wa kwenu alaaa
@smartmuk81393 күн бұрын
Kenya Democracy is 100 miles away from Tanzania. Kenya is king
@jeremiahcharles602713 күн бұрын
Ila majamaa Kenya Wanamasifa sana
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Hehe😅😂 asante kaka ndivyo tulivyo ila tunawapenda sana
@jeremiahcharles6027
11 күн бұрын
@@Jingajinga64 😁😁😁
@paulinewangila-cs6ys13 күн бұрын
Huyu msichana aliomba ruhusa ili afanye hivi nilikuweko hapoooo😂
@Realme-xm3sh
12 күн бұрын
Kweli atami nilikuwepo😂😅
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Mimi pia 😂😅
@RamadhaniMohamedi-de2vc12 күн бұрын
Malaya tu ivi kunamausiano gani kati ya mandamano nakukata viuno uwo ujinga wapambane na kitu chao uyo kaenda kutafuta kiki nakashaipata.
@PeterAmollo-pk2lo
6 күн бұрын
Kumbavu mkubwa wewe....🤬🤬🤬🤬
@graceamadi1096
3 күн бұрын
Ramadhan alikuuzia ndio umuite malaya, stop judging maana ata wewe haujui kama utaingia mbinguni. She is creating her content
@RamadhaniMohamedi-de2vc
2 күн бұрын
@@graceamadi1096 tatizo sio kwenda mbinguni ishu ya hapo watu wanapambana na haki zao yeye anakata viuno ivi alifuata mandamano au kukata viuno usitete ujinga watu wanakufa wengine wanaumia yy anacheza mziki siwezi kukubaliana nailo sawa kila mtu na akilizake l'm so sorry for that.
@RamadhaniMohamedi-de2vc
2 күн бұрын
@@graceamadi1096 kwa mfano mbele kuna watu wanakufa alafu muda uwouwo unakwenda kucheza mziki ivi watu waliokua hapo watakuchukuliaje et?.
@landmadvdmbeyacity956113 күн бұрын
Hui ndo utofaut wa Tanzania na Kenya ucheze na bongo hivi
@bakariomari24omar2112 күн бұрын
Polisi wakenya c eti niwavumilivu wamechoka kutumiwa vibaya wakati wakubwa wanakula hela wao wakiambulia mishahara duni
@IsaacParuz12 күн бұрын
Hii haijakaa sawa maana hii ni dharau... Ndugu zetu wakenya mnaharibu u serious wa kile mnachokipambania
@p.be.s
12 күн бұрын
Kaa kwa mamako na ujinga wako huo. Kenya ina sheria. Polisi si Mungu. Freedom or death.
@shery-bf8xh13 күн бұрын
Hamjui polisi wakenya ni washerati😂😂😂
@vanessalaizer4363
13 күн бұрын
@@shery-bf8xh aaah vinapenda ngono ee?
@user-yj5on8cz3e12 күн бұрын
Yani mtu yupo uchii hana habar na khofu kwa mungu sijui hii dunia munaichukuliaje ninyi kina dada wa hivi yani makwapa matiti nje arafu anacheza mbele ya watu ambao so waume wake
@artisthusnatalal3099
5 күн бұрын
Hawajali hawa😢
@marymutai144012 күн бұрын
Poor parenting in my country Kenya . So sad, nothing to be proud as a parent
@artisthusnatalal3099
5 күн бұрын
Exactly
@erickanyugo3253
23 сағат бұрын
Malaya wewe?!ll Tombwa
@michaeljuma776412 күн бұрын
Tunavuta mpaka tear gas. Huku Hawa Gen Z ni balaa tupu😂
@Mariam-fm8vq13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakae kwa kutulia kwan polisi hawataniwi
@MashaMbwana13 күн бұрын
Jaman Gez Z manaake nini msinicheke lakini😊
@Mariam-fm8vq
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂maana yake ni kizazi kipya mwanya hawa watoto wa 2000 sasa
@DjsmokyUrban
13 күн бұрын
born 1997 mpaka 2012
@Proffyumz
13 күн бұрын
generation Z
@rumdeesonsoa1811
13 күн бұрын
Ni hawa ambao kwa Tanzania tunawaita watoto wa 2000. Kwa Kiingereza wana jina lao, wanafahamika kama generation z
@MashaMbwana
12 күн бұрын
Asanteni kwa majibu
@user-qb4cv7hs1o13 күн бұрын
Wezi hao na mapepe wapigwe wote
@abdulmohd688013 күн бұрын
Mamae km n askari wa Tz angelikwisha kula mtungo😀
@merkiller
12 күн бұрын
Askari wa Tanzania ni kama mawatchmen huku kwetu banaaaaa,,,,,,, Tanzania Tanzania kitu gani
@edithmushy1010
12 күн бұрын
@@merkillernjoo ujaribu Kama utarudi kwenu salama
@WinfridaNdege13 күн бұрын
Naona kama hana nidhamu😢
@erickanyugo3253
23 сағат бұрын
Babako ana nidhamu akilala na watoto wa shule?
@princejamaalvevotv252511 күн бұрын
KENYA NCHI TAMU SANA ILA RUTO ANATUARIBIA NCHI THOUGH TUKO NGANGARI NA TAYARI KUMTOA KWA KITI 2027
@MajutoElliasi13 күн бұрын
Waoooo ❤❤❤❤ wape dada
@exaverysimon106413 күн бұрын
😂😂😂 DONT DO THIS TO TANZANIA SOLDIER 😂😂
@KS-iw7qv
13 күн бұрын
Thubutu... hata utaweza hata kufikiria... 😂😂😂
@vanessalaizer4363
13 күн бұрын
@@exaverysimon1064 hawa wa Tz ni askari haswa sio askari jina tu.
@MashaMbwana
12 күн бұрын
@@vanessalaizer4363 😀😅😅😅😅
@erickanyugo3253
23 сағат бұрын
Maumbwa...hata hawajasoma
@elbaricktv163212 күн бұрын
Spati picha wangekua police wa Tanzania walivyo na masifa wangeondoka nae kimya kimya😂😂
@rosemaryogambe4498
12 күн бұрын
👊💯
@thamani584212 күн бұрын
ASKARI wa Tz popote mlipo msikubali huu ujinga mkiwa kazini
@rosemaryogambe4498
12 күн бұрын
Hehe wachamakasiri bhana 😁
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Hehe😂😅 wakati wenu utafika. Tulikuwepo hapo mulipo. Mukikua mutayajua
@zainabwage465812 күн бұрын
Umalaya tu ajielew
@irenematari621811 күн бұрын
😂😂😂vitoto vya raila😂😂😂kuna Africa af kuna Kenya nchi yangu ❤
@albertshao483413 күн бұрын
Huyu anataka mashine ya police 😂
@user-qq6mv6vh3e
12 күн бұрын
😂😂😂
@stonetown57813 күн бұрын
Polisi wa Kenya wana ustaarabu sana.
@paulgitau60553 күн бұрын
Tanzania ni dictatorship,hamuwezani na Uhuru Kenya inayo,bado muko nyuma sana tena mbali wadau.
@ankalmzito25412 күн бұрын
😂😂na umesahau wengine waliibia polisi 👮 tear gass
@rosemaryogambe4498
12 күн бұрын
😂😂
@zuwenasalim279412 күн бұрын
Tz angevunjwa na hiko kiuno .saiz angekuwa anaongea na POP
@bwwm79144 күн бұрын
Ati polisi aliomba namba za simu kwa mazungumzo zaidi😢
@dogodogo59513 күн бұрын
Huku TZ wafanyie hivyo wale wanaoitwa ffu uone 😂
@beingjoan3660
12 күн бұрын
Maandamano ya amani,got tht?
@user-qq6mv6vh3e12 күн бұрын
😂😂😂GNz noma kabisa
@eben_ezer885313 күн бұрын
Katiba inawalinda hawezi fanyiwa chochote ila ingekuwa. Huko kwenu kesho katekwa😂😂😂😂😂😂
@sabihasalim942
13 күн бұрын
😂😂😂
@Jibambeshow254k13 күн бұрын
Hao mapolice wenu Watanzania 🇹🇿 wanajua nyii ni waoga ndio maana mnaavurugwa tu wanavyotaka hapa kenya hio ukoloni tulikataa hatuko uzunguni kilamtu anauhuru 😂 bora tu usikeuke sheria
@eldios831
13 күн бұрын
Don't confuse katiba njema tuliopigania na yenu inayo wafanya chawa wa rais
@user-jo3cs3yu3o10 күн бұрын
Police wajanja na Akili nyingi. Wanajua Umbwa akipanda kwenye nyumba yani MTU amempandisha tuko chini.
@pacomezouzoua917512 күн бұрын
Ila harmonize
@nativeson1559Күн бұрын
Kenya my country. When people say Kenya sihami, they really mean it. Gen Z, you people are a little high.
@lisawilliam249112 күн бұрын
I like it so much 🤣🤣🤣🤣
@user-xs3ko8pg2g9 күн бұрын
Wakenya nawakubali wanajua kudai haki zao, sio machawa wetu mwinjaku na sepetu na steve mangiri wa ccm
@zebedayokatamaduni967613 күн бұрын
Ni hatari😂
@simondickson641213 күн бұрын
Hao waje tz tuone nn kitatokea😂😂😂
@hashimuuhehwa4252
13 күн бұрын
Police wa Tanzania wanakimbia wote na hata kaa watake upolice tena, Gen Z ni noma eti usifanye utani kabisa
@Jibambeshow254k
13 күн бұрын
Nyi niwaoga 😂 siku mtaweka uogakando watawaheshimu n mtakua huru
@eldios831
12 күн бұрын
Huko tutatuma Ian njoroge peke yake 😂😂😂😂
@softymoha54846 күн бұрын
ujinga mtupu....wasichana hawana nidhamu...shenzi sana
Niowe Tanzania natafuta nini My child needs to be brave and strong, I must cry, here in Tanzania there is no difference between men and women😂😂
@allymtunge553013 күн бұрын
Usogei apo kabis tz
@MareMa-kb3iy7 күн бұрын
Sisi wakenya niwasomi kwani wamuona aliomba ruhusa mwanzo
@shaviercharvinho1812 күн бұрын
😂😂😂😂😂askari wa bongo tena
@IrankundaAnit12 күн бұрын
Mwanamke haokopi jeshi ataogopa mumwe wake😅😅😅😅
@joycekisamo4896
12 күн бұрын
Hatakiwi kumwogopa mume wake; ni wote kuheshimiana tu
@James-om1bk13 күн бұрын
😂😂😂😂
@hajidagaweyne5124 күн бұрын
Kkkkkk
@Gody36013 күн бұрын
Kenya kichwa ngumu
@ilynpayne749113 күн бұрын
Mdada hana a habar
@salimbilali517412 күн бұрын
Hahaah sio kuwa polisi wako soft kaka blaza ata polisi ni binadamu si wanaenjoy vitu vibichi
@hamadsheni899712 күн бұрын
Huyu ingekuwa tz angepgwa rungu na ffu.mpka angemkumbuka bibi yke.
@mettynanjala284612 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@carolsayo640913 күн бұрын
😂😂😂
@kidatokassim761613 күн бұрын
Professionalism is what matters
@billjames1216
12 күн бұрын
Kwani yy ni polisi ???ati professionalism
@thelonewolf442913 күн бұрын
Wanauchokozi na wakipigwa utaskiya ooh wametuuaa. (Ruto tu nikibaraka aende)
@billjames1216
12 күн бұрын
Ww shinda hapo Tanzania uhuru wenu unategemea rais ss wakenya tunategemea katiba Ruto ni nani??sasa unataka wa uue mtu kwa sababu ya densi ndio maana africa hamuendelei na fikra za kijambazi
@africanmandetraveler2847
12 күн бұрын
@@billjames1216kabisaa
@CHIM0N1T12 күн бұрын
Kaka marekani tu hamna kosa alilofanya
@khurlainashly568613 күн бұрын
Mamawee 🤣🤣😆😆😆😆
@MjMohammed-nt6fq12 күн бұрын
Nyie wakenya wapumbuvu njoeni tz unye mavi hadharani
@hafidhhafidh144113 күн бұрын
Police wa kenya uzuri wao tunakula nao tunakaa nao mtaani ndio mna wengi huwa wanafanya kazi tu lkn hawana shida na watu wao
@minabw730112 күн бұрын
Ni Gen Z generation Z sio gez ndio maana huwa wakenya wanaonaga hatujui kingereza sababu ya watu kama nyie
@alibinali_12 күн бұрын
Hiyo siku police walikuwa waki wapa watu nyakula na pia kulikuwa na sherehe pale Uhuru Park Mambo kama hayo ni kitu chakawaida kwa sababu wako na uhuru na freedom of speech
@Brunotarimo1013 күн бұрын
Gen Z
@user-mb2ek2ds1h11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mootelahamongus63312 күн бұрын
Tanzania wangembaka
@joycekisamo4896
12 күн бұрын
Kuna video zinarekodiwa all around 😊
@Burner_Acc13 күн бұрын
Huu ni ujinga. Polisi wa Kenya wamechoka
@salimmbuleramadhan8120
12 күн бұрын
Katiba huku ndiyo sauti......
@abhaijar407812 күн бұрын
Njoo Tanzanian kadada uone
@moseskulola691313 күн бұрын
Sasa kaka umaharufu Gani Sasa sikila kitu una post brother commmm
@africanmandetraveler2847
12 күн бұрын
Ni channel yake na anahaki ya kufanya atakacho ,kwani wewe ndo nani mpaka umpangie?
@JosephKingwere12 күн бұрын
Kaka Sky samahni hivi wale wasafrshaji wa mizigo wali nazi wali acha namba kwenye ile vdeo
@SimuliziNaSauti
12 күн бұрын
Yes waliitaja
@bettynjoki-kk9sm13 күн бұрын
Wachana Na wakenya American ndogo
@ZubeirJuma-up7kb13 күн бұрын
Polix wa tz wanajiona kama watowa roho mashahara unamfanya amuuwe ata nduguye
@alonerider716413 күн бұрын
Haka kapis kakali.
@twaibumikidadi737712 күн бұрын
video inaonesha tu ameomba ruhusa
@filmsx648412 күн бұрын
SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar
@LiziWawuda12 күн бұрын
Tanzania hakuna democracy
@VenanciModrick12 күн бұрын
Kamakwer niwabishi waje tz tujifunze
@africanmandetraveler2847
12 күн бұрын
Acha uoga jifunze mwenyewe backup ya wakenya unaitakia nini ,endeleeni hivyo hivyo na amani yenu
Пікірлер: 176
Ndugu zetu wakenya daah.Hatari. But navyoona Kenya democracy ipo open sana compared na nchi zote za Africa. I like 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Uko sawa kaka. Tunawapenda sana
My country Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I love Kenya, sisi kama Gen z
Sio police wa Kenya Wana uvumilivu ni katiba yao huwezi kumpiga mtu public mbele ya camera harafu zaidi mwanmke anaenda jela hii sharia ipo Hadi South Africa police haruhusiwi kumpigaa raia hata afanye kosa gani.
Angekuwa mwanaume angekuwa kwa land cruiser
They are enjoying the show 😂
Daaah Sema huyu mdada ni pisi kali sana
@paschalsafari9747
12 күн бұрын
Sanaaaaa
@user-qq6mv6vh3e
12 күн бұрын
Kabisaaa
Polisi wa Kenya ni wasomi.. kacheza tu hana kosa lolote... Kenya wanajua vyema haki zao sio kama Sisi Ng'ombe wa Tanganyika!!!!
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Wamemuhukumu kijana wenu bila ya hatia yoyote mpaka raia wakamchangia na kumlipia fine. Waache waendelee kuwahamasisha raia kwa matendo yao yadhulma. Wakati utafika hata huko niamini
@festohaule9716
11 күн бұрын
@@Jingajinga64 Amini kabisa Tanganyika itarudi ni swala la mda tu....Leo tunatawaliwa na Ndugu wa kambo anaamua chochote anauza malango ya Nchi bila woga...Kuna mazezeta kazi Yao ni kushangilia tu!!!!
Kenya democracy iko juu sana
Kiwango chao cha civil knowledge kiko juu sana - wengi ni graduates (mapolisi wa Kenya). Wanajua mipaka ya kazi zao.
@vanessalaizer4363
13 күн бұрын
@@kiatu mmmh
@alphablondponera2367
12 күн бұрын
Kiwango ch civil kikubwa polisi uko na silaha unaruhisu kushikwa shikwa ..hata marekani kwenyew hii sijaona
@Jingajinga64
11 күн бұрын
@@vanessalaizer4363Hey yo!! What's up?
@Jingajinga64
11 күн бұрын
@@alphablondponera2367 tuko juu sisi huku kenya usitufananishe na wengine haswa hao marekani wanodhalilisha ndugu zetu huko na kuwabagua. Tukimalizana na huyu mkuu huku tunakwenda huko lakini kwanza tutapitia hapo😅😂
@Jingajinga64
11 күн бұрын
@@vanessalaizer4363 Hey sis!! What's up?
Uvumilivu au wamesoma wanajuwa hake yake😂😂😂😂
I’m a Kenyan but, this is totally disrespect. Tz keep it up, you guys mko na nidhamu
@jullostephen9090
11 күн бұрын
You must be sick upstairs
@carolinekasiemeka9848
10 күн бұрын
Your name betrays you. I am not amused.
@marymutai1440
10 күн бұрын
@@carolinekasiemeka9848 continued being Amused. Asante
@marymutai1440
10 күн бұрын
@@jullostephen9090 I understand you Kenyans mko na malezi mabaya. Asante
@jullostephen9090
10 күн бұрын
@@marymutai1440 malezi mazuri pelekea watu wa kwenu alaaa
Kenya Democracy is 100 miles away from Tanzania. Kenya is king
Ila majamaa Kenya Wanamasifa sana
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Hehe😅😂 asante kaka ndivyo tulivyo ila tunawapenda sana
@jeremiahcharles6027
11 күн бұрын
@@Jingajinga64 😁😁😁
Huyu msichana aliomba ruhusa ili afanye hivi nilikuweko hapoooo😂
@Realme-xm3sh
12 күн бұрын
Kweli atami nilikuwepo😂😅
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Mimi pia 😂😅
Malaya tu ivi kunamausiano gani kati ya mandamano nakukata viuno uwo ujinga wapambane na kitu chao uyo kaenda kutafuta kiki nakashaipata.
@PeterAmollo-pk2lo
6 күн бұрын
Kumbavu mkubwa wewe....🤬🤬🤬🤬
@graceamadi1096
3 күн бұрын
Ramadhan alikuuzia ndio umuite malaya, stop judging maana ata wewe haujui kama utaingia mbinguni. She is creating her content
@RamadhaniMohamedi-de2vc
2 күн бұрын
@@graceamadi1096 tatizo sio kwenda mbinguni ishu ya hapo watu wanapambana na haki zao yeye anakata viuno ivi alifuata mandamano au kukata viuno usitete ujinga watu wanakufa wengine wanaumia yy anacheza mziki siwezi kukubaliana nailo sawa kila mtu na akilizake l'm so sorry for that.
@RamadhaniMohamedi-de2vc
2 күн бұрын
@@graceamadi1096 kwa mfano mbele kuna watu wanakufa alafu muda uwouwo unakwenda kucheza mziki ivi watu waliokua hapo watakuchukuliaje et?.
Hui ndo utofaut wa Tanzania na Kenya ucheze na bongo hivi
Polisi wakenya c eti niwavumilivu wamechoka kutumiwa vibaya wakati wakubwa wanakula hela wao wakiambulia mishahara duni
Hii haijakaa sawa maana hii ni dharau... Ndugu zetu wakenya mnaharibu u serious wa kile mnachokipambania
@p.be.s
12 күн бұрын
Kaa kwa mamako na ujinga wako huo. Kenya ina sheria. Polisi si Mungu. Freedom or death.
Hamjui polisi wakenya ni washerati😂😂😂
@vanessalaizer4363
13 күн бұрын
@@shery-bf8xh aaah vinapenda ngono ee?
Yani mtu yupo uchii hana habar na khofu kwa mungu sijui hii dunia munaichukuliaje ninyi kina dada wa hivi yani makwapa matiti nje arafu anacheza mbele ya watu ambao so waume wake
@artisthusnatalal3099
5 күн бұрын
Hawajali hawa😢
Poor parenting in my country Kenya . So sad, nothing to be proud as a parent
@artisthusnatalal3099
5 күн бұрын
Exactly
@erickanyugo3253
23 сағат бұрын
Malaya wewe?!ll Tombwa
Tunavuta mpaka tear gas. Huku Hawa Gen Z ni balaa tupu😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakae kwa kutulia kwan polisi hawataniwi
Jaman Gez Z manaake nini msinicheke lakini😊
@Mariam-fm8vq
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂maana yake ni kizazi kipya mwanya hawa watoto wa 2000 sasa
@DjsmokyUrban
13 күн бұрын
born 1997 mpaka 2012
@Proffyumz
13 күн бұрын
generation Z
@rumdeesonsoa1811
13 күн бұрын
Ni hawa ambao kwa Tanzania tunawaita watoto wa 2000. Kwa Kiingereza wana jina lao, wanafahamika kama generation z
@MashaMbwana
12 күн бұрын
Asanteni kwa majibu
Wezi hao na mapepe wapigwe wote
Mamae km n askari wa Tz angelikwisha kula mtungo😀
@merkiller
12 күн бұрын
Askari wa Tanzania ni kama mawatchmen huku kwetu banaaaaa,,,,,,, Tanzania Tanzania kitu gani
@edithmushy1010
12 күн бұрын
@@merkillernjoo ujaribu Kama utarudi kwenu salama
Naona kama hana nidhamu😢
@erickanyugo3253
23 сағат бұрын
Babako ana nidhamu akilala na watoto wa shule?
KENYA NCHI TAMU SANA ILA RUTO ANATUARIBIA NCHI THOUGH TUKO NGANGARI NA TAYARI KUMTOA KWA KITI 2027
Waoooo ❤❤❤❤ wape dada
😂😂😂 DONT DO THIS TO TANZANIA SOLDIER 😂😂
@KS-iw7qv
13 күн бұрын
Thubutu... hata utaweza hata kufikiria... 😂😂😂
@vanessalaizer4363
13 күн бұрын
@@exaverysimon1064 hawa wa Tz ni askari haswa sio askari jina tu.
@MashaMbwana
12 күн бұрын
@@vanessalaizer4363 😀😅😅😅😅
@erickanyugo3253
23 сағат бұрын
Maumbwa...hata hawajasoma
Spati picha wangekua police wa Tanzania walivyo na masifa wangeondoka nae kimya kimya😂😂
@rosemaryogambe4498
12 күн бұрын
👊💯
ASKARI wa Tz popote mlipo msikubali huu ujinga mkiwa kazini
@rosemaryogambe4498
12 күн бұрын
Hehe wachamakasiri bhana 😁
@Jingajinga64
11 күн бұрын
Hehe😂😅 wakati wenu utafika. Tulikuwepo hapo mulipo. Mukikua mutayajua
Umalaya tu ajielew
😂😂😂vitoto vya raila😂😂😂kuna Africa af kuna Kenya nchi yangu ❤
Huyu anataka mashine ya police 😂
@user-qq6mv6vh3e
12 күн бұрын
😂😂😂
Polisi wa Kenya wana ustaarabu sana.
Tanzania ni dictatorship,hamuwezani na Uhuru Kenya inayo,bado muko nyuma sana tena mbali wadau.
😂😂na umesahau wengine waliibia polisi 👮 tear gass
@rosemaryogambe4498
12 күн бұрын
😂😂
Tz angevunjwa na hiko kiuno .saiz angekuwa anaongea na POP
Ati polisi aliomba namba za simu kwa mazungumzo zaidi😢
Huku TZ wafanyie hivyo wale wanaoitwa ffu uone 😂
@beingjoan3660
12 күн бұрын
Maandamano ya amani,got tht?
😂😂😂GNz noma kabisa
Katiba inawalinda hawezi fanyiwa chochote ila ingekuwa. Huko kwenu kesho katekwa😂😂😂😂😂😂
@sabihasalim942
13 күн бұрын
😂😂😂
Hao mapolice wenu Watanzania 🇹🇿 wanajua nyii ni waoga ndio maana mnaavurugwa tu wanavyotaka hapa kenya hio ukoloni tulikataa hatuko uzunguni kilamtu anauhuru 😂 bora tu usikeuke sheria
@eldios831
13 күн бұрын
Don't confuse katiba njema tuliopigania na yenu inayo wafanya chawa wa rais
Police wajanja na Akili nyingi. Wanajua Umbwa akipanda kwenye nyumba yani MTU amempandisha tuko chini.
Ila harmonize
Kenya my country. When people say Kenya sihami, they really mean it. Gen Z, you people are a little high.
I like it so much 🤣🤣🤣🤣
Wakenya nawakubali wanajua kudai haki zao, sio machawa wetu mwinjaku na sepetu na steve mangiri wa ccm
Ni hatari😂
Hao waje tz tuone nn kitatokea😂😂😂
@hashimuuhehwa4252
13 күн бұрын
Police wa Tanzania wanakimbia wote na hata kaa watake upolice tena, Gen Z ni noma eti usifanye utani kabisa
@Jibambeshow254k
13 күн бұрын
Nyi niwaoga 😂 siku mtaweka uogakando watawaheshimu n mtakua huru
@eldios831
12 күн бұрын
Huko tutatuma Ian njoroge peke yake 😂😂😂😂
ujinga mtupu....wasichana hawana nidhamu...shenzi sana
jamani hamjastukia hii nyege unaona anawapeleke kikundu wampige japo dole aje uku akunwe
Don't talk about Kenyans ....
They are enjoying the show..😂😂😂😂
😂😂😂😂ilove my country
UTI inacheza
Niowe Tanzania natafuta nini My child needs to be brave and strong, I must cry, here in Tanzania there is no difference between men and women😂😂
Usogei apo kabis tz
Sisi wakenya niwasomi kwani wamuona aliomba ruhusa mwanzo
😂😂😂😂😂askari wa bongo tena
Mwanamke haokopi jeshi ataogopa mumwe wake😅😅😅😅
@joycekisamo4896
12 күн бұрын
Hatakiwi kumwogopa mume wake; ni wote kuheshimiana tu
😂😂😂😂
Kkkkkk
Kenya kichwa ngumu
Mdada hana a habar
Hahaah sio kuwa polisi wako soft kaka blaza ata polisi ni binadamu si wanaenjoy vitu vibichi
Huyu ingekuwa tz angepgwa rungu na ffu.mpka angemkumbuka bibi yke.
😅😅😅😅😅
😂😂😂
Professionalism is what matters
@billjames1216
12 күн бұрын
Kwani yy ni polisi ???ati professionalism
Wanauchokozi na wakipigwa utaskiya ooh wametuuaa. (Ruto tu nikibaraka aende)
@billjames1216
12 күн бұрын
Ww shinda hapo Tanzania uhuru wenu unategemea rais ss wakenya tunategemea katiba Ruto ni nani??sasa unataka wa uue mtu kwa sababu ya densi ndio maana africa hamuendelei na fikra za kijambazi
@africanmandetraveler2847
12 күн бұрын
@@billjames1216kabisaa
Kaka marekani tu hamna kosa alilofanya
Mamawee 🤣🤣😆😆😆😆
Nyie wakenya wapumbuvu njoeni tz unye mavi hadharani
Police wa kenya uzuri wao tunakula nao tunakaa nao mtaani ndio mna wengi huwa wanafanya kazi tu lkn hawana shida na watu wao
Ni Gen Z generation Z sio gez ndio maana huwa wakenya wanaonaga hatujui kingereza sababu ya watu kama nyie
Hiyo siku police walikuwa waki wapa watu nyakula na pia kulikuwa na sherehe pale Uhuru Park Mambo kama hayo ni kitu chakawaida kwa sababu wako na uhuru na freedom of speech
Gen Z
😂😂😂😂😂😂
Tanzania wangembaka
@joycekisamo4896
12 күн бұрын
Kuna video zinarekodiwa all around 😊
Huu ni ujinga. Polisi wa Kenya wamechoka
@salimmbuleramadhan8120
12 күн бұрын
Katiba huku ndiyo sauti......
Njoo Tanzanian kadada uone
Sasa kaka umaharufu Gani Sasa sikila kitu una post brother commmm
@africanmandetraveler2847
12 күн бұрын
Ni channel yake na anahaki ya kufanya atakacho ,kwani wewe ndo nani mpaka umpangie?
Kaka Sky samahni hivi wale wasafrshaji wa mizigo wali nazi wali acha namba kwenye ile vdeo
@SimuliziNaSauti
12 күн бұрын
Yes waliitaja
Wachana Na wakenya American ndogo
Polix wa tz wanajiona kama watowa roho mashahara unamfanya amuuwe ata nduguye
Haka kapis kakali.
video inaonesha tu ameomba ruhusa
SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar
Tanzania hakuna democracy
Kamakwer niwabishi waje tz tujifunze
@africanmandetraveler2847
12 күн бұрын
Acha uoga jifunze mwenyewe backup ya wakenya unaitakia nini ,endeleeni hivyo hivyo na amani yenu
Sio wavumilivu hao katiba inawalinda wananchi wakenya
Wakenya hawana aibu kama waTz mana hapo ni kujirusha fahamu kama una aibu huezi fanya ivo
@cooljay9489
13 күн бұрын
na wale wachezeao baikoko wakivua nguo
@vanessalaizer4363
13 күн бұрын
@@cooljay9489 sio mbele ya vyombo vya dora weee! Wale si ni utamaduni ule ndugu. Usifananishe kifo na usingizi wewe
@p.be.s
12 күн бұрын
Ukoloni ndio aibu eti. Kenya hakuna ukoloni. Freedom or death.
@cooljay9489
12 күн бұрын
@@vanessalaizer4363 kumbuka ina sheria zke hyo kucheza mbele ya police si kuvunja sheria.
@cooljay9489
12 күн бұрын
@@vanessalaizer4363 utamaduni wa kuvua nguo hawaoni aibu
Wanajielewa❤
Bongo nyoso
Polisi wakenya c eti niwavumilivu wamechoka kutumiwa vibaya wakati wakubwa wanakula hela wao wakiambulia mishahara duni
Uyu ndio alicia kanini
😂😂😂😂
😂😂😂