Gez Z wa Kenya wamepinda! Mtazame mrembo huyu akikata mauno mbele ya Polisi!

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 176

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda753412 күн бұрын

    Ndugu zetu wakenya daah.Hatari. But navyoona Kenya democracy ipo open sana compared na nchi zote za Africa. I like 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    11 күн бұрын

    Uko sawa kaka. Tunawapenda sana

  • @elandaboyz
    @elandaboyz12 күн бұрын

    My country Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I love Kenya, sisi kama Gen z

  • @twaahbrown1042
    @twaahbrown104212 күн бұрын

    Sio police wa Kenya Wana uvumilivu ni katiba yao huwezi kumpiga mtu public mbele ya camera harafu zaidi mwanmke anaenda jela hii sharia ipo Hadi South Africa police haruhusiwi kumpigaa raia hata afanye kosa gani.

  • @simonkylian12
    @simonkylian1212 күн бұрын

    Angekuwa mwanaume angekuwa kwa land cruiser

  • @miaduana
    @miaduana13 күн бұрын

    They are enjoying the show 😂

  • @bavonichristopha1693
    @bavonichristopha169313 күн бұрын

    Daaah Sema huyu mdada ni pisi kali sana

  • @paschalsafari9747

    @paschalsafari9747

    12 күн бұрын

    Sanaaaaa

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    12 күн бұрын

    Kabisaaa

  • @festohaule9716
    @festohaule971612 күн бұрын

    Polisi wa Kenya ni wasomi.. kacheza tu hana kosa lolote... Kenya wanajua vyema haki zao sio kama Sisi Ng'ombe wa Tanganyika!!!!

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    11 күн бұрын

    Wamemuhukumu kijana wenu bila ya hatia yoyote mpaka raia wakamchangia na kumlipia fine. Waache waendelee kuwahamasisha raia kwa matendo yao yadhulma. Wakati utafika hata huko niamini

  • @festohaule9716

    @festohaule9716

    11 күн бұрын

    @@Jingajinga64 Amini kabisa Tanganyika itarudi ni swala la mda tu....Leo tunatawaliwa na Ndugu wa kambo anaamua chochote anauza malango ya Nchi bila woga...Kuna mazezeta kazi Yao ni kushangilia tu!!!!

  • @jumanyanzi8709
    @jumanyanzi870917 сағат бұрын

    Kenya democracy iko juu sana

  • @kiatu
    @kiatu13 күн бұрын

    Kiwango chao cha civil knowledge kiko juu sana - wengi ni graduates (mapolisi wa Kenya). Wanajua mipaka ya kazi zao.

  • @vanessalaizer4363

    @vanessalaizer4363

    13 күн бұрын

    @@kiatu mmmh

  • @alphablondponera2367

    @alphablondponera2367

    12 күн бұрын

    Kiwango ch civil kikubwa polisi uko na silaha unaruhisu kushikwa shikwa ..hata marekani kwenyew hii sijaona

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    11 күн бұрын

    ​@@vanessalaizer4363Hey yo!! What's up?

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    11 күн бұрын

    ​@@alphablondponera2367 tuko juu sisi huku kenya usitufananishe na wengine haswa hao marekani wanodhalilisha ndugu zetu huko na kuwabagua. Tukimalizana na huyu mkuu huku tunakwenda huko lakini kwanza tutapitia hapo😅😂

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    11 күн бұрын

    ​@@vanessalaizer4363 Hey sis!! What's up?

  • @salama1113
    @salama111312 күн бұрын

    Uvumilivu au wamesoma wanajuwa hake yake😂😂😂😂

  • @marymutai1440
    @marymutai144012 күн бұрын

    I’m a Kenyan but, this is totally disrespect. Tz keep it up, you guys mko na nidhamu

  • @jullostephen9090

    @jullostephen9090

    11 күн бұрын

    You must be sick upstairs

  • @carolinekasiemeka9848

    @carolinekasiemeka9848

    10 күн бұрын

    Your name betrays you. I am not amused.

  • @marymutai1440

    @marymutai1440

    10 күн бұрын

    @@carolinekasiemeka9848 continued being Amused. Asante

  • @marymutai1440

    @marymutai1440

    10 күн бұрын

    @@jullostephen9090 I understand you Kenyans mko na malezi mabaya. Asante

  • @jullostephen9090

    @jullostephen9090

    10 күн бұрын

    @@marymutai1440 malezi mazuri pelekea watu wa kwenu alaaa

  • @smartmuk8139
    @smartmuk81393 күн бұрын

    Kenya Democracy is 100 miles away from Tanzania. Kenya is king

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles602713 күн бұрын

    Ila majamaa Kenya Wanamasifa sana

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    11 күн бұрын

    Hehe😅😂 asante kaka ndivyo tulivyo ila tunawapenda sana

  • @jeremiahcharles6027

    @jeremiahcharles6027

    11 күн бұрын

    @@Jingajinga64 😁😁😁

  • @paulinewangila-cs6ys
    @paulinewangila-cs6ys13 күн бұрын

    Huyu msichana aliomba ruhusa ili afanye hivi nilikuweko hapoooo😂

  • @Realme-xm3sh

    @Realme-xm3sh

    12 күн бұрын

    Kweli atami nilikuwepo😂😅

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    11 күн бұрын

    Mimi pia 😂😅

  • @RamadhaniMohamedi-de2vc
    @RamadhaniMohamedi-de2vc12 күн бұрын

    Malaya tu ivi kunamausiano gani kati ya mandamano nakukata viuno uwo ujinga wapambane na kitu chao uyo kaenda kutafuta kiki nakashaipata.

  • @PeterAmollo-pk2lo

    @PeterAmollo-pk2lo

    6 күн бұрын

    Kumbavu mkubwa wewe....🤬🤬🤬🤬

  • @graceamadi1096

    @graceamadi1096

    3 күн бұрын

    Ramadhan alikuuzia ndio umuite malaya, stop judging maana ata wewe haujui kama utaingia mbinguni. She is creating her content

  • @RamadhaniMohamedi-de2vc

    @RamadhaniMohamedi-de2vc

    2 күн бұрын

    @@graceamadi1096 tatizo sio kwenda mbinguni ishu ya hapo watu wanapambana na haki zao yeye anakata viuno ivi alifuata mandamano au kukata viuno usitete ujinga watu wanakufa wengine wanaumia yy anacheza mziki siwezi kukubaliana nailo sawa kila mtu na akilizake l'm so sorry for that.

  • @RamadhaniMohamedi-de2vc

    @RamadhaniMohamedi-de2vc

    2 күн бұрын

    @@graceamadi1096 kwa mfano mbele kuna watu wanakufa alafu muda uwouwo unakwenda kucheza mziki ivi watu waliokua hapo watakuchukuliaje et?.

  • @landmadvdmbeyacity9561
    @landmadvdmbeyacity956113 күн бұрын

    Hui ndo utofaut wa Tanzania na Kenya ucheze na bongo hivi

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar2112 күн бұрын

    Polisi wakenya c eti niwavumilivu wamechoka kutumiwa vibaya wakati wakubwa wanakula hela wao wakiambulia mishahara duni

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz12 күн бұрын

    Hii haijakaa sawa maana hii ni dharau... Ndugu zetu wakenya mnaharibu u serious wa kile mnachokipambania

  • @p.be.s

    @p.be.s

    12 күн бұрын

    Kaa kwa mamako na ujinga wako huo. Kenya ina sheria. Polisi si Mungu. Freedom or death.

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh13 күн бұрын

    Hamjui polisi wakenya ni washerati😂😂😂

  • @vanessalaizer4363

    @vanessalaizer4363

    13 күн бұрын

    @@shery-bf8xh aaah vinapenda ngono ee?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e12 күн бұрын

    Yani mtu yupo uchii hana habar na khofu kwa mungu sijui hii dunia munaichukuliaje ninyi kina dada wa hivi yani makwapa matiti nje arafu anacheza mbele ya watu ambao so waume wake

  • @artisthusnatalal3099

    @artisthusnatalal3099

    5 күн бұрын

    Hawajali hawa😢

  • @marymutai1440
    @marymutai144012 күн бұрын

    Poor parenting in my country Kenya . So sad, nothing to be proud as a parent

  • @artisthusnatalal3099

    @artisthusnatalal3099

    5 күн бұрын

    Exactly

  • @erickanyugo3253

    @erickanyugo3253

    23 сағат бұрын

    Malaya wewe?!ll Tombwa

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma776412 күн бұрын

    Tunavuta mpaka tear gas. Huku Hawa Gen Z ni balaa tupu😂

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakae kwa kutulia kwan polisi hawataniwi

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana13 күн бұрын

    Jaman Gez Z manaake nini msinicheke lakini😊

  • @Mariam-fm8vq

    @Mariam-fm8vq

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂maana yake ni kizazi kipya mwanya hawa watoto wa 2000 sasa

  • @DjsmokyUrban

    @DjsmokyUrban

    13 күн бұрын

    born 1997 mpaka 2012

  • @Proffyumz

    @Proffyumz

    13 күн бұрын

    generation Z

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    13 күн бұрын

    Ni hawa ambao kwa Tanzania tunawaita watoto wa 2000. Kwa Kiingereza wana jina lao, wanafahamika kama generation z

  • @MashaMbwana

    @MashaMbwana

    12 күн бұрын

    Asanteni kwa majibu

  • @user-qb4cv7hs1o
    @user-qb4cv7hs1o13 күн бұрын

    Wezi hao na mapepe wapigwe wote

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd688013 күн бұрын

    Mamae km n askari wa Tz angelikwisha kula mtungo😀

  • @merkiller

    @merkiller

    12 күн бұрын

    Askari wa Tanzania ni kama mawatchmen huku kwetu banaaaaa,,,,,,, Tanzania Tanzania kitu gani

  • @edithmushy1010

    @edithmushy1010

    12 күн бұрын

    ​@@merkillernjoo ujaribu Kama utarudi kwenu salama

  • @WinfridaNdege
    @WinfridaNdege13 күн бұрын

    Naona kama hana nidhamu😢

  • @erickanyugo3253

    @erickanyugo3253

    23 сағат бұрын

    Babako ana nidhamu akilala na watoto wa shule?

  • @princejamaalvevotv2525
    @princejamaalvevotv252511 күн бұрын

    KENYA NCHI TAMU SANA ILA RUTO ANATUARIBIA NCHI THOUGH TUKO NGANGARI NA TAYARI KUMTOA KWA KITI 2027

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi13 күн бұрын

    Waoooo ❤❤❤❤ wape dada

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106413 күн бұрын

    😂😂😂 DONT DO THIS TO TANZANIA SOLDIER 😂😂

  • @KS-iw7qv

    @KS-iw7qv

    13 күн бұрын

    Thubutu... hata utaweza hata kufikiria... 😂😂😂

  • @vanessalaizer4363

    @vanessalaizer4363

    13 күн бұрын

    @@exaverysimon1064 hawa wa Tz ni askari haswa sio askari jina tu.

  • @MashaMbwana

    @MashaMbwana

    12 күн бұрын

    @@vanessalaizer4363 😀😅😅😅😅

  • @erickanyugo3253

    @erickanyugo3253

    23 сағат бұрын

    Maumbwa...hata hawajasoma

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv163212 күн бұрын

    Spati picha wangekua police wa Tanzania walivyo na masifa wangeondoka nae kimya kimya😂😂

  • @rosemaryogambe4498

    @rosemaryogambe4498

    12 күн бұрын

    👊💯

  • @thamani5842
    @thamani584212 күн бұрын

    ASKARI wa Tz popote mlipo msikubali huu ujinga mkiwa kazini

  • @rosemaryogambe4498

    @rosemaryogambe4498

    12 күн бұрын

    Hehe wachamakasiri bhana 😁

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    11 күн бұрын

    Hehe😂😅 wakati wenu utafika. Tulikuwepo hapo mulipo. Mukikua mutayajua

  • @zainabwage4658
    @zainabwage465812 күн бұрын

    Umalaya tu ajielew

  • @irenematari6218
    @irenematari621811 күн бұрын

    😂😂😂vitoto vya raila😂😂😂kuna Africa af kuna Kenya nchi yangu ❤

  • @albertshao4834
    @albertshao483413 күн бұрын

    Huyu anataka mashine ya police 😂

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    12 күн бұрын

    😂😂😂

  • @stonetown578
    @stonetown57813 күн бұрын

    Polisi wa Kenya wana ustaarabu sana.

  • @paulgitau6055
    @paulgitau60553 күн бұрын

    Tanzania ni dictatorship,hamuwezani na Uhuru Kenya inayo,bado muko nyuma sana tena mbali wadau.

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito25412 күн бұрын

    😂😂na umesahau wengine waliibia polisi 👮 tear gass

  • @rosemaryogambe4498

    @rosemaryogambe4498

    12 күн бұрын

    😂😂

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim279412 күн бұрын

    Tz angevunjwa na hiko kiuno .saiz angekuwa anaongea na POP

  • @bwwm7914
    @bwwm79144 күн бұрын

    Ati polisi aliomba namba za simu kwa mazungumzo zaidi😢

  • @dogodogo595
    @dogodogo59513 күн бұрын

    Huku TZ wafanyie hivyo wale wanaoitwa ffu uone 😂

  • @beingjoan3660

    @beingjoan3660

    12 күн бұрын

    Maandamano ya amani,got tht?

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e12 күн бұрын

    😂😂😂GNz noma kabisa

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer885313 күн бұрын

    Katiba inawalinda hawezi fanyiwa chochote ila ingekuwa. Huko kwenu kesho katekwa😂😂😂😂😂😂

  • @sabihasalim942

    @sabihasalim942

    13 күн бұрын

    😂😂😂

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k13 күн бұрын

    Hao mapolice wenu Watanzania 🇹🇿 wanajua nyii ni waoga ndio maana mnaavurugwa tu wanavyotaka hapa kenya hio ukoloni tulikataa hatuko uzunguni kilamtu anauhuru 😂 bora tu usikeuke sheria

  • @eldios831

    @eldios831

    13 күн бұрын

    Don't confuse katiba njema tuliopigania na yenu inayo wafanya chawa wa rais

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o10 күн бұрын

    Police wajanja na Akili nyingi. Wanajua Umbwa akipanda kwenye nyumba yani MTU amempandisha tuko chini.

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua917512 күн бұрын

    Ila harmonize

  • @nativeson1559
    @nativeson1559Күн бұрын

    Kenya my country. When people say Kenya sihami, they really mean it. Gen Z, you people are a little high.

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam249112 күн бұрын

    I like it so much 🤣🤣🤣🤣

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g9 күн бұрын

    Wakenya nawakubali wanajua kudai haki zao, sio machawa wetu mwinjaku na sepetu na steve mangiri wa ccm

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni967613 күн бұрын

    Ni hatari😂

  • @simondickson6412
    @simondickson641213 күн бұрын

    Hao waje tz tuone nn kitatokea😂😂😂

  • @hashimuuhehwa4252

    @hashimuuhehwa4252

    13 күн бұрын

    Police wa Tanzania wanakimbia wote na hata kaa watake upolice tena, Gen Z ni noma eti usifanye utani kabisa

  • @Jibambeshow254k

    @Jibambeshow254k

    13 күн бұрын

    Nyi niwaoga 😂 siku mtaweka uogakando watawaheshimu n mtakua huru

  • @eldios831

    @eldios831

    12 күн бұрын

    Huko tutatuma Ian njoroge peke yake 😂😂😂😂

  • @softymoha5484
    @softymoha54846 күн бұрын

    ujinga mtupu....wasichana hawana nidhamu...shenzi sana

  • @suleiboy-bq6ln
    @suleiboy-bq6ln12 күн бұрын

    jamani hamjastukia hii nyege unaona anawapeleke kikundu wampige japo dole aje uku akunwe

  • @mikesamba8465
    @mikesamba846524 минут бұрын

    Don't talk about Kenyans ....

  • @nancywanjiku1554
    @nancywanjiku155413 күн бұрын

    They are enjoying the show..😂😂😂😂

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah707912 күн бұрын

    😂😂😂😂ilove my country

  • @amedeusfredrick1614
    @amedeusfredrick161413 күн бұрын

    UTI inacheza

  • @Blackboy_Africa
    @Blackboy_Africa3 күн бұрын

    Niowe Tanzania natafuta nini My child needs to be brave and strong, I must cry, here in Tanzania there is no difference between men and women😂😂

  • @allymtunge5530
    @allymtunge553013 күн бұрын

    Usogei apo kabis tz

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy7 күн бұрын

    Sisi wakenya niwasomi kwani wamuona aliomba ruhusa mwanzo

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho1812 күн бұрын

    😂😂😂😂😂askari wa bongo tena

  • @IrankundaAnit
    @IrankundaAnit12 күн бұрын

    Mwanamke haokopi jeshi ataogopa mumwe wake😅😅😅😅

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    12 күн бұрын

    Hatakiwi kumwogopa mume wake; ni wote kuheshimiana tu

  • @James-om1bk
    @James-om1bk13 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @hajidagaweyne512
    @hajidagaweyne5124 күн бұрын

    Kkkkkk

  • @Gody360
    @Gody36013 күн бұрын

    Kenya kichwa ngumu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne749113 күн бұрын

    Mdada hana a habar

  • @salimbilali5174
    @salimbilali517412 күн бұрын

    Hahaah sio kuwa polisi wako soft kaka blaza ata polisi ni binadamu si wanaenjoy vitu vibichi

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni899712 күн бұрын

    Huyu ingekuwa tz angepgwa rungu na ffu.mpka angemkumbuka bibi yke.

  • @mettynanjala2846
    @mettynanjala284612 күн бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @carolsayo6409
    @carolsayo640913 күн бұрын

    😂😂😂

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim761613 күн бұрын

    Professionalism is what matters

  • @billjames1216

    @billjames1216

    12 күн бұрын

    Kwani yy ni polisi ???ati professionalism

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf442913 күн бұрын

    Wanauchokozi na wakipigwa utaskiya ooh wametuuaa. (Ruto tu nikibaraka aende)

  • @billjames1216

    @billjames1216

    12 күн бұрын

    Ww shinda hapo Tanzania uhuru wenu unategemea rais ss wakenya tunategemea katiba Ruto ni nani??sasa unataka wa uue mtu kwa sababu ya densi ndio maana africa hamuendelei na fikra za kijambazi

  • @africanmandetraveler2847

    @africanmandetraveler2847

    12 күн бұрын

    ​@@billjames1216kabisaa

  • @CHIM0N1T
    @CHIM0N1T12 күн бұрын

    Kaka marekani tu hamna kosa alilofanya

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly568613 күн бұрын

    Mamawee 🤣🤣😆😆😆😆

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq12 күн бұрын

    Nyie wakenya wapumbuvu njoeni tz unye mavi hadharani

  • @hafidhhafidh1441
    @hafidhhafidh144113 күн бұрын

    Police wa kenya uzuri wao tunakula nao tunakaa nao mtaani ndio mna wengi huwa wanafanya kazi tu lkn hawana shida na watu wao

  • @minabw7301
    @minabw730112 күн бұрын

    Ni Gen Z generation Z sio gez ndio maana huwa wakenya wanaonaga hatujui kingereza sababu ya watu kama nyie

  • @alibinali_
    @alibinali_12 күн бұрын

    Hiyo siku police walikuwa waki wapa watu nyakula na pia kulikuwa na sherehe pale Uhuru Park Mambo kama hayo ni kitu chakawaida kwa sababu wako na uhuru na freedom of speech

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1013 күн бұрын

    Gen Z

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h11 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @mootelahamongus633
    @mootelahamongus63312 күн бұрын

    Tanzania wangembaka

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    12 күн бұрын

    Kuna video zinarekodiwa all around 😊

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc13 күн бұрын

    Huu ni ujinga. Polisi wa Kenya wamechoka

  • @salimmbuleramadhan8120

    @salimmbuleramadhan8120

    12 күн бұрын

    Katiba huku ndiyo sauti......

  • @abhaijar4078
    @abhaijar407812 күн бұрын

    Njoo Tanzanian kadada uone

  • @moseskulola6913
    @moseskulola691313 күн бұрын

    Sasa kaka umaharufu Gani Sasa sikila kitu una post brother commmm

  • @africanmandetraveler2847

    @africanmandetraveler2847

    12 күн бұрын

    Ni channel yake na anahaki ya kufanya atakacho ,kwani wewe ndo nani mpaka umpangie?

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere12 күн бұрын

    Kaka Sky samahni hivi wale wasafrshaji wa mizigo wali nazi wali acha namba kwenye ile vdeo

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    12 күн бұрын

    Yes waliitaja

  • @bettynjoki-kk9sm
    @bettynjoki-kk9sm13 күн бұрын

    Wachana Na wakenya American ndogo

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb13 күн бұрын

    Polix wa tz wanajiona kama watowa roho mashahara unamfanya amuuwe ata nduguye

  • @alonerider7164
    @alonerider716413 күн бұрын

    Haka kapis kakali.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi737712 күн бұрын

    video inaonesha tu ameomba ruhusa

  • @filmsx6484
    @filmsx648412 күн бұрын

    SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar

  • @LiziWawuda
    @LiziWawuda12 күн бұрын

    Tanzania hakuna democracy

  • @VenanciModrick
    @VenanciModrick12 күн бұрын

    Kamakwer niwabishi waje tz tujifunze

  • @africanmandetraveler2847

    @africanmandetraveler2847

    12 күн бұрын

    Acha uoga jifunze mwenyewe backup ya wakenya unaitakia nini ,endeleeni hivyo hivyo na amani yenu

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo472312 күн бұрын

    Sio wavumilivu hao katiba inawalinda wananchi wakenya

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer436313 күн бұрын

    Wakenya hawana aibu kama waTz mana hapo ni kujirusha fahamu kama una aibu huezi fanya ivo

  • @cooljay9489

    @cooljay9489

    13 күн бұрын

    na wale wachezeao baikoko wakivua nguo

  • @vanessalaizer4363

    @vanessalaizer4363

    13 күн бұрын

    @@cooljay9489 sio mbele ya vyombo vya dora weee! Wale si ni utamaduni ule ndugu. Usifananishe kifo na usingizi wewe

  • @p.be.s

    @p.be.s

    12 күн бұрын

    Ukoloni ndio aibu eti. Kenya hakuna ukoloni. Freedom or death.

  • @cooljay9489

    @cooljay9489

    12 күн бұрын

    @@vanessalaizer4363 kumbuka ina sheria zke hyo kucheza mbele ya police si kuvunja sheria.

  • @cooljay9489

    @cooljay9489

    12 күн бұрын

    @@vanessalaizer4363 utamaduni wa kuvua nguo hawaoni aibu

  • @robertmahenge3614
    @robertmahenge361412 күн бұрын

    Wanajielewa❤

  • @user-ms8zt2im6x
    @user-ms8zt2im6x12 күн бұрын

    Bongo nyoso

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar2112 күн бұрын

    Polisi wakenya c eti niwavumilivu wamechoka kutumiwa vibaya wakati wakubwa wanakula hela wao wakiambulia mishahara duni

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc12 күн бұрын

    Uyu ndio alicia kanini

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy181213 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW12 күн бұрын

    😂😂😂

Келесі