MIAKA 60 UHURU WA KENYA NA MAGEUZI YA KISIASA NA KIUCHUMI

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media?sub_confirmation=1
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 10

  • @billjames1216
    @billjames12163 ай бұрын

    I love this am a Kenyan u should do this more often

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema6 ай бұрын

    Pongezi kwa uchambuzi mzuri wa Siasa za Afrika natumai kutakuwa na mwendelezo maana mlipotea sana baada ya Uchambuzi wa mwisho wa Palestina na Israel. Wasafi for Life baby

  • @hassanngayaga3202
    @hassanngayaga32026 ай бұрын

    Safi sana

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82418 күн бұрын

    siku nyngine mkiongelea Kenya alikeni mgeni kutoka kenya awa moja wapo wa hiii panel sasa nyie ni watanzania watupu jmni..alikeni jirani yetu moja au wa2 au?

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema6 ай бұрын

    Wasafi Jogging mkiongozwa na Maulid Kitenge naomba muwape hamasa ya mazoezi hawa watangazaji waondoe hayo matumbo makubwa. Watanzania tunapenda kuwaona mkiwa na Afya Njema basi tengeni muda wa mazoezi hayo matumbo makubwa ivo mtapata maradhi . Wasafi for Life baby

  • @geoffreymutisya9747
    @geoffreymutisya97473 ай бұрын

    Aliyewapatanisha Raila na kibaki ni Kofi Annan wala sio kikwete.

  • @meschackyav7238
    @meschackyav72386 ай бұрын

    😅😅😅😊😊😊😊😊😊😊

  • @geoffreymutisya9747
    @geoffreymutisya97473 ай бұрын

    If you want to talk about Kenya, you must invite a Kenyan to explain about us!

  • @panafrican.nation
    @panafrican.nation6 ай бұрын

    Mimi ni jirani Mkenya na shahidi kwamba mnayajua mnayoyazungumzia kabisaaa... nyinyi kweli ni watafiti

  • @panafrican.nation
    @panafrican.nation6 ай бұрын

    Nawavulia kofia. Mmezungumza mengi mazuri kuhusu Kenya. Ninaweza yataja mengi vilevile juu ya Tz, lakini kwa sasa nitataja media tu. Ni kama kwamba mna kipaji cha media maana mna nyumba za media kama vile nyie Wasafi, Millard Ayo, Dar news TV, Global TV Online na kadhalika. Mnazungumza Kiswahili, jambo ambalo linapunguza soko yenu sana, lakini bado sisi Kenya hatuna _media houses_ za kisasa ambazo zina wafuasi wengi kama zenu. Mnanishangaza sana. Ningelipenda kama sisi Wakenya tungezungumza Kiswahili mno kama nyinyi, maana, pamoja na Uganda ambao majuzi tu wameanza kufunza Kiswahili mashuleni, tungekuwa soko kubwa ambayo ingewashawishi Waafrika wengine kuzungumza lugha hii. Ushawishi huo ungekuwa ushawishi ya kiuchumi -- tungepunguza sana kiasi cha pesa kinachotoka huku kwa wingi kununua bidhaa na huduma za nje