UKWELI BEI YA CADILLAC ESCALADE DIAMOND PLATNUMZ ANAYOMILIKI, ULAJI MAFUTA, KUWA UBER MAREKANI

Huyu hapa ni dealer maarufu wa magari Tanzania Magari Mtaani hapa anatuelezea sifa za magari aina ya Cadillac Escalade.

Пікірлер: 927

  • @descartesdivindushime2201
    @descartesdivindushime22013 жыл бұрын

    Oooooh damn this guy is highly genius.... Anaogeya na akili with facts explanation.

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula33673 жыл бұрын

    Nimecheka sana.. yaani huyu anatufanya sisi hatuyajui magari... Escalade iwe the best SUV.. unaiacha wapi Lincoln Navigator au Bentley Bentayga Mulliner, au Range Rover SAVautobiography Dynamic.

  • @simonwenceslaus9860

    @simonwenceslaus9860

    3 жыл бұрын

    We x ungeomba interview we unaumia nn akiongea ivo yani hutaki tu mondi aonekane abamiliki gari hilo

  • @Noble_Digital_Solutions

    @Noble_Digital_Solutions

    3 жыл бұрын

    Kuna Karl man king na Razvani Tank sijui kama anayajua hayo

  • @designskeymediaagency7169
    @designskeymediaagency71693 жыл бұрын

    Best SUVs 1.Nissan Rogue. 2.Chevrolet Equinox. 3.Jeep Compass. 4.Jeep Grand Cherokee. 5.Ford Escape. ACCORDING TO GOOGLE.....TOP 5

  • @roylot7300
    @roylot73003 жыл бұрын

    Huyu jamaa katupa chai ya baridi😅 1, 🙄 iyo gari sio ya 2021 ni ya 2015 Search apo uone 2021 inafananaje 2, 🥴kuinunua iyo gari mpaka ushuru ya 2015 Ni 140m minimum, ukitaka long wheel base price inapanda kidogo ila sio sana which it's also not a cheap car 3,😑 iyo sio the best suv ever, search apo uone kama inaingia ata top 5 ya best suv ever made 4, 😁mzee wa upako wa pale ubungo anayo ya 2016 yeusi aliyonunua way before 5, 🤨kama kuna gari inaweza kuwa the worst offroading SUVs kibongo bongo ni Escalade na range rovers, izo kazi ni za landcruiser,jeep, na land rover na kila mtu anajua 6, 😀mwisho Escalade is still not a cheap car Maintenance zake sio ndogo pia

  • @jessicabrown5885

    @jessicabrown5885

    3 жыл бұрын

    Very true

  • @rukinishadamiano5217

    @rukinishadamiano5217

    3 жыл бұрын

    Nunua na ww

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    3 жыл бұрын

    Mtu kama wewe ushafanya research tayari sasa huyu mwamba anaongeaaa

  • @stanleynombwe4865

    @stanleynombwe4865

    Жыл бұрын

    @@rukinishadamiano5217 hahahaha

  • @shstell
    @shstell3 жыл бұрын

    This man has a brain and a half, big up!

  • @fridageorge2809

    @fridageorge2809

    3 жыл бұрын

    Sasa nyie mnaosema kilaza,mweupe,hajuikitu embu tuambieni kwa undani mambo haya yanakuaje!! Sio unapinga kwa maneno matano!!😏😏

  • @ayoubthompson7057

    @ayoubthompson7057

    3 жыл бұрын

    Amekosea kwenye kusema tu it's the best suv in the world that's a lie maana duniani the best is still the range rover by far na ndio maana rolls royce,bently, lambo nao wameleta suv zao kucompete

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena6163 жыл бұрын

    Hata jirani yangu Mzee wa Upako anayo Escalade, gari zinatisha sana hizi kwenye msafara

  • @mimimtanzania9738

    @mimimtanzania9738

    3 жыл бұрын

    Ya kwaka gani Ya mzee wa upako.Ya mondi ni 2021

  • @mimimtanzania9738

    @mimimtanzania9738

    3 жыл бұрын

    Asante sana kaka kwa kusema kweli coz wabongo wana wivu sana.

  • @georgelusana2346

    @georgelusana2346

    3 жыл бұрын

    @@mimimtanzania9738 hio ya mondi moja ilikuwa ya saidi lugumi magu na mpk sasa haipo

  • @tynegeemajor
    @tynegeemajor3 жыл бұрын

    Daah Best SUV in the world hahaaa!!! Escaladeeeeee, Bro kumbe we kweli ni bingwa wa magari bongo tuuu umeletewa kitu nje ya uwezo wako umeingiza wenge na kuropoka tuu. sasa hzi ndo best SUV in all aspects: Rolls-Royce Cullinan, Range Rover LWB, Mercedes-Maybach GLS600, Lamborghini Urus. Usituambie sisi hivoo tenaa bro

  • @vitusprotus8877
    @vitusprotus88773 жыл бұрын

    Na uko vizuri haswaaa! Na magari yapo damuni hakuna anaweza kukudanganya kitu, hongera kwa ufafanuzi mzr kwa hamnazo.☺

  • @bongozoom
    @bongozoom3 жыл бұрын

    Dalali wa magari nikushauri tu angalia kipindi cha *top gear* cha wale waingeleza utazifahamu the best car uache kutoa sifa kwa mbwembwe cad sio best of the best SUV, inapaishwa sababu ni ya USA basi

  • @clementhiddi1486

    @clementhiddi1486

    3 жыл бұрын

    Good point

  • @bakarirashid5797

    @bakarirashid5797

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisaa, lakini nimemuelewa kwamba hii ni ya mwaka huu huu..!! 2021

  • @seifkiswamba933
    @seifkiswamba9333 жыл бұрын

    ile Cadillac escalade suv ni best luxury lakini sio hardcore in terrain uwezi fananisha na mercede benz 4x4 square

  • @SalumNWawa

    @SalumNWawa

    3 жыл бұрын

    Yap G wagon

  • @marcogodfreymboya7349
    @marcogodfreymboya73493 жыл бұрын

    Sifa yake kuu ni "the best".....the best.....the best!!!!!

  • @alexmwashibili3616
    @alexmwashibili36163 жыл бұрын

    Aaaaaah brother nimekuelewa kweli👍👍👍

  • @deusdedithmanugulilo1980
    @deusdedithmanugulilo19803 жыл бұрын

    Sio the best is one of the best. Mwambieni huyo jamaa akajifunze kuhusu Lincoln Navigator, Mercedes Benz G Class na BMW X7

  • @brianmayunga1010

    @brianmayunga1010

    3 жыл бұрын

    Nadhani huyu jamaa hafuatilii magari anafanya ushabiki na tantalila lincoln Navigator ndio the best SUV mnaweza angalia youtube sasa hivi

  • @noelmgulusi6707

    @noelmgulusi6707

    3 жыл бұрын

    Tunaongeoea SUV sio sedan

  • @deusdedithmanugulilo1980

    @deusdedithmanugulilo1980

    3 жыл бұрын

    @@noelmgulusi6707 na kuna Sedan gani nimetaja hapo?? Au na wewe hauzijui gari?

  • @shebe2573
    @shebe25733 жыл бұрын

    Umeongeya vizuri 👍

  • @johanespoppa9613
    @johanespoppa96133 жыл бұрын

    Well explained ,excellent.

  • @mjsteven3297
    @mjsteven32973 жыл бұрын

    Hiyo migari imejaa hapa mtaani Nairobi. Huyu jama bwege kweli.

  • @rooneyleonidas7824

    @rooneyleonidas7824

    3 жыл бұрын

    Achauongowemkenya kwenu amunawasanii

  • @rooneyleonidas7824

    @rooneyleonidas7824

    3 жыл бұрын

    Afukingine kwenu akina msanii wakununua galikamaiyo

  • @mjsteven3297

    @mjsteven3297

    3 жыл бұрын

    Dogo mi mtanzania, Ila kusema yakenya, haimanishi mi mkenye. Hafu ujue huku Kenya kuna wenye maendeleo Yao na hawasemi. Mr jagwa anamiliki ndege na hajigambi.

  • @eliudmwakilembe8592
    @eliudmwakilembe85923 жыл бұрын

    Nakumbuka msafara wa bush in tz 2008,,,alikuja na msafara,wa Escalade saba

  • @thedeo472
    @thedeo4723 жыл бұрын

    Best SUV in the world is not Escalade. One website rated Mercedes Benz GLE as the Best Overall SUV while Escalade was the 4th SUV in ranking only because of its cargo space.

  • @erickavelyne6552
    @erickavelyne65523 жыл бұрын

    Huyu jamaa anaongea point sana

  • @faidabundulu6995
    @faidabundulu69953 жыл бұрын

    Nakubali milad Ayoo wengine wanaturushia taarifa za uongo

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu52433 жыл бұрын

    Ukitaka kuumiza kichwa wasikilize watz hautafika popote.. Unakuta mtu hana hata mia au swift but kelele nyiingi.. Na kwa Mara ya Kwanza mjadala umeanza kuhusu "Escalade" Wenzangu wa "Escudo" tutulie.

  • @ericklyatuu1301
    @ericklyatuu13013 жыл бұрын

    Ile cadillac ya kwanza ya Diamond ndo Ina gharama sana maana imeboreshwa na LEXAN MOTORS

  • @emmanuelymallya1721

    @emmanuelymallya1721

    3 жыл бұрын

    Hawaelew wanachukulia pouw

  • @youngbreezy6615

    @youngbreezy6615

    3 жыл бұрын

    yeah you're right!

  • @rewardnjau7220

    @rewardnjau7220

    3 жыл бұрын

    Ya pili ni ya kawaida?

  • @erikimethod6246

    @erikimethod6246

    3 жыл бұрын

    Absolutely wajina

  • @erikimethod6246

    @erikimethod6246

    3 жыл бұрын

    mange kimavi anapaswa kujifunza kwa mtu kama huyu, acjione kukaa america ndo kujua kila kitu

  • @najmuddinkarama7360
    @najmuddinkarama73603 жыл бұрын

    bentley bentayga...Rolls-Royce Cullinan ...Mercedes-Maybach GLS.....G wagon...etc huyu chizi akajipange kwanza...

  • @goodlackriwa6728

    @goodlackriwa6728

    3 жыл бұрын

    Uko sahihi mkuu. jamaaa anadanganya

  • @masakivlogs
    @masakivlogs3 жыл бұрын

    Jamaa ana inspire sana hongera kwake.

  • @leahally4618
    @leahally46183 жыл бұрын

    Munateseka mukiwa wapi jaman 😂 😂😂 mbona nyie iyo gar hamuna?muachen mond wawatu jaman fanyen maendeleo yenu maana ata haitakusaidia kitu na hata ukimsema vibaya maisha yake hayafanani na yako achen umasikin fanyen yamaendeleo dah Yan mapovu yanawatoka jaman😂😂😂

  • @tousihhhh6765

    @tousihhhh6765

    3 жыл бұрын

    🤣😃😃😃🏃‍♀️

  • @saidihamadi8263
    @saidihamadi82633 жыл бұрын

    Heeee nyinyi munaoponda angalau muwe ata I ST bc

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele3 жыл бұрын

    On the list of the best SUV Escalade on number 19

  • @danieldaudi1283
    @danieldaudi12833 жыл бұрын

    Nice review! but Escalade ina depreciate sana kuliko ata Toyota Land Cruiser alafu pia siuo SUV ndumu in teams of durability Escalade siyo gari gumu kama SUV nyingine kwenye category iyo ya full size SUV'S

  • @ommy_king
    @ommy_king3 жыл бұрын

    Huyo alosema Escalade ni uber marekani halaf G wagon ndo za matajiri... Hajui kama Dubai G wagon tunahangaika nazo kwenye vumbi😂😂😂 Ferarri huku ni Taxi kabsa

  • @cynthiamukami9426

    @cynthiamukami9426

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂Nauza magari bt kisungu wahala 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mbwanakiting7180

    @mbwanakiting7180

    3 жыл бұрын

    Ni dubai

  • @sizaulomi1478

    @sizaulomi1478

    3 жыл бұрын

    Nimekubali mzee kunamkuda mmoja hivi mange utafikiri yeye analo

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 tujuwe wapi siye washamba

  • @lulually5209

    @lulually5209

    3 жыл бұрын

    Zileteni huku

  • @khalidsalmin7682
    @khalidsalmin76823 жыл бұрын

    Escalade hiyo ya diamond na land cruiser 2022 bora uchukue cruser kwa uono wangu lakini...

  • @wollytdiller8067
    @wollytdiller80673 жыл бұрын

    You are crazy!!those cars for Diamond is from 2018 go check nice

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim38643 жыл бұрын

    You're very right bro.

  • @festusmwagha6409
    @festusmwagha64093 жыл бұрын

    Alafu we dealer usizoe wakenya kabisa... kenya tunarekodi ya kuagiza magari mpaka billion 5tsh

  • @princebuganzilut2047

    @princebuganzilut2047

    3 жыл бұрын

    Kenya ni a decade ahead in east africa. Bongo huwa ni mdogomdogo. Mwendo wa kobe

  • @yagalbyyaayuni7247

    @yagalbyyaayuni7247

    3 жыл бұрын

    Hahahaha sure

  • @edgarnandonde48

    @edgarnandonde48

    3 жыл бұрын

    Kenya nakubali kuna madoni wengi wana magari ya kifahari alafu wanamiliki watoto tu hila hapa kwetu ushamba mwingi sana

  • @thegreat.9869
    @thegreat.98693 жыл бұрын

    Hakuna si kweli... best suv siyo escalade.. huyu dealer yupo shallow sana mpaka hapo.. ukizifuata GLS 600 Maybach... hahahaaa.

  • @princebuganzilut2047

    @princebuganzilut2047

    3 жыл бұрын

    Huyu muuza magari ni mdiamond

  • @andrewkithii7521

    @andrewkithii7521

    3 жыл бұрын

    @@princebuganzilut2047 hajui tena kuna Bentley bentayga na rolls Royce suv. Tena anasema 2021, 2021 model inakaa tofauti sana hii inakaa 2019. Dealer hana habari

  • @moodyramadhan336
    @moodyramadhan3363 жыл бұрын

    Ahsante unajua elezea

  • @dando7819
    @dando78193 жыл бұрын

    Hivi hiyo Escallade na ile Emialade ipi ni best maana nashindwa kujua mimi!

  • @bazzgarkimea5469

    @bazzgarkimea5469

    3 жыл бұрын

    Ata me yananichanganya😂😂

  • @josephntungiye6232

    @josephntungiye6232

    3 жыл бұрын

    Emialade itakua karisana tena kunanyingine inaitwa Kobe nikari sana

  • @joseztemba6298

    @joseztemba6298

    3 жыл бұрын

    Hujui magar wew

  • @AhmedHaji72
    @AhmedHaji723 жыл бұрын

    highest rated Suv sio escalade embu tupishege huko kwahio lincoln navigator ya ngapi gari kama boxi bhana 😂😂 na hio sio 2021 kajambe kulee

  • @soudybrown1494

    @soudybrown1494

    3 жыл бұрын

    Hater

  • @nicksonhelman294
    @nicksonhelman2943 жыл бұрын

    Kunagali inaitwa bebe, mbona kali sana

  • @tzmwamba4124

    @tzmwamba4124

    3 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim8073 жыл бұрын

    mtaalam iko vizuri.

  • @pubgyesssir7973
    @pubgyesssir79733 жыл бұрын

    Hakuna hio sio number 1

  • @alhamudesser758
    @alhamudesser7583 жыл бұрын

    Hata akiunua ndege bado ni uba marekani

  • @trophinidamac

    @trophinidamac

    3 жыл бұрын

    😁😂😁😁😁😁😀😀

  • @ummymwalimu3965

    @ummymwalimu3965

    3 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @philimoneliah3319
    @philimoneliah33193 жыл бұрын

    Katika hii dunia muogope mungu na technologia alijua hatutaingia kwenye mtandao

  • @lexq-sm6lq

    @lexq-sm6lq

    3 жыл бұрын

    Nani alijua?

  • @fadhilmfamao5111

    @fadhilmfamao5111

    3 жыл бұрын

    Kwan mond aliwaambia amenunua sh.ngap?, watz wanajitekenya wenyew hlf wanachek wenyewe!!!

  • @bejos845
    @bejos8453 жыл бұрын

    Watanzania nawapendea hicho, yani kitu cha kawaida wao wanachukulia issue kubwa, inchi zingine watu awaongelei swala za gari kama hiyo. Ama niule msemwa wa mwenyejicho moja mdo mjanja kwenye kundi la vipofu. Escalade nigari kawaida sana. Ila inakula nguzo mana wenye mikokoteni ndowengi hata kuliko wenye baiskeli

  • @jacksonmichael6729
    @jacksonmichael67293 жыл бұрын

    Nakubali sana alichokifanya mondi Sasa Bado ndege

  • @thegreat.9869

    @thegreat.9869

    3 жыл бұрын

    Still hakuna comparison yoyote na ndege... jet ni kitu ingine escalade may be 50 hv. Hahahahaaaa

  • @jaqeezmosurprise4499
    @jaqeezmosurprise44993 жыл бұрын

    Unasema diamond hana pesa acha wivu za kwako ziko wp demu wako aki omba pesa ya kusuka 2 una kimbia

  • @frankchilumba5953
    @frankchilumba59533 жыл бұрын

    Bora umeongea kiukweli kabisa alafu kisomi

  • @mwayembejr.1805
    @mwayembejr.18053 жыл бұрын

    Tatizo watanzania wanaushamba Sana Yani hizo Escalade zinavyochezewa na watoto hapa Kenya ata haziongelewi ila tz imekuwa habari wiki mbili duuuh! Kweli tz baadhi yenu ni madwanzi sanaa

  • @everlinethoya869

    @everlinethoya869

    3 жыл бұрын

    😃😀😃😀😃😀😃😀

  • @kizazijeuri3562
    @kizazijeuri35623 жыл бұрын

    Nimemwelewa sana

  • @Iam_Asionyi
    @Iam_Asionyi3 жыл бұрын

    uongo eti kenya hakuna..wewe uko kenya? njoo nairobi tukuonyeshe magari ndugu angu.We are the OG

  • @mandlasakhile9109
    @mandlasakhile91093 жыл бұрын

    Hii interview naiomba jamani

  • @Exavery
    @ExaveryАй бұрын

    aise iyo ni good ❤

  • @adambakari9276
    @adambakari92763 жыл бұрын

    Na ww AYO km huna habari sema tukuuzie habar kenge we umeniharibia MB znh

  • @youngbreezy6615
    @youngbreezy66153 жыл бұрын

    ila jamn mujue kuwa izo Cadillac mnozungumzia zote ya diamond ndo ina gharama zaid maana chuma kutoka Lexan motors ambayo ukichanganya na maushuru kitu kinagonga bilion 1.3 Tsh

  • @dericknotderek

    @dericknotderek

    3 жыл бұрын

    Nyokoo unajua billion ww si angenunua rolls Royce basi😂achen upuuuz kafwatilieni bei zake hata custom made Amna ya billion

  • @daxyability9354

    @daxyability9354

    3 жыл бұрын

    Ww hata hujielewi...unaongea pumba tu

  • @isackmagaya7088

    @isackmagaya7088

    3 жыл бұрын

    Huna hakili timamu wewe billion unaijua wewe

  • @francesisc

    @francesisc

    3 жыл бұрын

    kiazi huyu

  • @prisiusfelcian5271

    @prisiusfelcian5271

    3 жыл бұрын

    We kweli chula wa kujitegemea

  • @badrumbarouk3377
    @badrumbarouk33773 жыл бұрын

    Unaijuwa bugett divo mjomba billion 18 za kitanzani na pesa za juu dunian kuna gar Kali zaid na zaid

  • @dsstanzania
    @dsstanzania3 жыл бұрын

    Safi sana mkuu nimekuelewa

  • @Eric482
    @Eric4823 жыл бұрын

    😄😄😄 anadanganya wazi wazi

  • @mediotanzania2165
    @mediotanzania21653 жыл бұрын

    Ila pia tukubali tu diamond Platnumz ndio mtu wa kwanza kuieleta ya 2021 Tanzania hakuna kama mondi

  • @emanuelmselle637

    @emanuelmselle637

    3 жыл бұрын

    Eeeh bb mond noma hyo ni ya 2025

  • @aidanmaganga7051

    @aidanmaganga7051

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @najmuddinkarama7360

    @najmuddinkarama7360

    3 жыл бұрын

    Duuu we utakua unaishi mkoa si mjini....

  • @lawrencerichline4671
    @lawrencerichline46713 жыл бұрын

    Mwanangu sana bandari ya magari mtaani

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17623 жыл бұрын

    Mondi changanya kenge Hawa, ulete na fisi mzee baba, ili watoe povu kwa sana, mond safiiiiiiiiii

  • @pendomariki6562

    @pendomariki6562

    3 жыл бұрын

    Afuge simba kama jina lake tu ni hatar

  • @nshonabdll9363

    @nshonabdll9363

    3 жыл бұрын

    Ishashuka rolroys uko ujona

  • @KenyaNewsChannel
    @KenyaNewsChannel3 жыл бұрын

    Wakenya wangapi hapa wameona Escalade kadhaa Nairobi?

  • @andrewkithii7521

    @andrewkithii7521

    3 жыл бұрын

    Boss ata sonko team ako na kadhaa. Kenya ata 2005 zilikuweko

  • @staredgeinternetservices5854

    @staredgeinternetservices5854

    3 жыл бұрын

    Mombasa bamburi kama nne napisha nazo

  • @magangajames4644

    @magangajames4644

    3 жыл бұрын

    Kwani Tanzania hakuna?wapo wengi wenye nazo sema aliyenunua ni famous.kuna watu wana hela kuliko huyo hapa Tz

  • @PrinceLeon1
    @PrinceLeon13 жыл бұрын

    Iyo ya Diamond sio 2021

  • @shanatatrigger6537

    @shanatatrigger6537

    3 жыл бұрын

    Ya Kwanza ni 2015 na yapili ni 2021

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni91833 жыл бұрын

    Huku kwetu somaria Escalade ni kama fyati au au masey huwa tunapeka shambani kwa ajili ya kusaidia vilimo na mifugo huwa tunabebea mbolea,na mbegu na kubebea mavi ya mifugo kupeleka dample.

  • @hezronmdegela9102

    @hezronmdegela9102

    3 жыл бұрын

    Somalia mko mob

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani32833 жыл бұрын

    Masoury umeisahau au Royse suv pia haifikii hujui magari

  • @Life_of_collin
    @Life_of_collin3 жыл бұрын

    Kenya zipo nyingi bro ...

  • @zaidramadhan5845

    @zaidramadhan5845

    3 жыл бұрын

    2021 elewa co Escalade tu ni Escalade 2021 zipo?

  • @festusmwagha6409
    @festusmwagha64093 жыл бұрын

    Me niulize kaka unaifamu range rover vizuri

  • @noelmarapachi1808

    @noelmarapachi1808

    3 жыл бұрын

    Niliwaza kama wewe, yaani tusiende mbali sana!

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba57883 жыл бұрын

    Kwangu mimi. The Best SUV Ni Kalmani King sio Escalade

  • @Noble_Digital_Solutions

    @Noble_Digital_Solutions

    3 жыл бұрын

    Tuko pamoja, alafu kila mtu ako na best SUV kutokana na vigezo vya vyake. So Escalade ni gari kali lakini ni the best kwake

  • @GibiGene
    @GibiGene3 жыл бұрын

    U said well

  • @kassimdinno
    @kassimdinno3 жыл бұрын

    Sio the best sema “one of the best”

  • @SalumNWawa

    @SalumNWawa

    3 жыл бұрын

    Hapo saaafi

  • @lamecknoel9076

    @lamecknoel9076

    3 жыл бұрын

    Sure thing

  • @UniformShop-if9bf

    @UniformShop-if9bf

    3 ай бұрын

    yess

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba24253 жыл бұрын

    Huyu ni mtaalam wa magari used ya Japan huyu

  • @lexq-sm6lq

    @lexq-sm6lq

    3 жыл бұрын

    Kwanini?

  • @abdillahialiy9511

    @abdillahialiy9511

    3 жыл бұрын

    😂😂

  • @rimbagona6497

    @rimbagona6497

    3 жыл бұрын

    Bro hapo umeongea ukwel its a used car

  • @lexq-sm6lq

    @lexq-sm6lq

    3 жыл бұрын

    @@rimbagona6497 😂😂😂😂akili sio za kila mtu. Gari imefunguliwa Mpya kutoka kwenye contena.😂😂😂

  • @bitobitondola7921

    @bitobitondola7921

    3 жыл бұрын

    @@lexq-sm6lq nigga hata wewe unaweza agiza gari from anywhere in the world ukalipia liwe delivered kwenye container. Kitu kuwa kwenye container sio kwamba ndio brand new. Tuanzie na hapo

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc83423 жыл бұрын

    WAPENDWA CHA MSINGI TUMTAFUTE SANA MUNGU HAYA MAGAR TUNAYAACHA JAMAN. TUOKOKE WAPENDWA. YESU ANATUPENDA NA KUTUHITAJI SANA.

  • @najmuddinkarama7360
    @najmuddinkarama73603 жыл бұрын

    Mzee kama kweli unauza Magari basi zitakua combi maana huna unachiojua ....

  • @Special4uTV
    @Special4uTV3 жыл бұрын

    Jamani hii ni Escalade 2021

  • @pamatech7954
    @pamatech79543 жыл бұрын

    Ayo huyu mkungwa umemuokota wap ?huyo muuza noha bob, kama vp mremove anavuruga media tu.

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv26013 жыл бұрын

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @honorekiza8762
    @honorekiza87623 жыл бұрын

    Bro Gari zote za V8 Engines zinakula mafuta mbona ninayo DODGE CHARGER SRT 2020 Na yenyewe inakula mafuta tena kuzidi iyo Escalade 6.2 L V8 yangu ni 6.4L V8. kununua kitu kama gari hata kama inakula mafuta sana ukiipenda utachukua kama uwezo unao aijalishi ndo pesa sana au Umaskini sana.

  • @la_raib953
    @la_raib9533 жыл бұрын

    na Volvo jee

  • @mosessanga7534
    @mosessanga75343 жыл бұрын

    Inapita zuu zuu zuu ndio Cadillac inalia ivyo

  • @chrispinimkanda7127

    @chrispinimkanda7127

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @blaqyrn3655

    @blaqyrn3655

    3 жыл бұрын

    😅😅

  • @wisperfect5320

    @wisperfect5320

    3 жыл бұрын

    Zuchu zuchu😂😂

  • @lulually5209

    @lulually5209

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂eti zuchu nimechekaje

  • @bonifacehassan1309

    @bonifacehassan1309

    3 жыл бұрын

    Atal

  • @bonaventuralupogo2149
    @bonaventuralupogo21493 жыл бұрын

    Lincon navigator

  • @bosskubwa2727
    @bosskubwa27273 жыл бұрын

    Ila huku Kenya ziko nyingi Tu na watu hawapigi Kelele, huyu kijana wa tandale alete Ferrari

  • @erickmweta8215
    @erickmweta82153 жыл бұрын

    Huyu dalali anachekesha sana 🤣🤣🤣🤣five star mpaka kusema East Africa haipo Leo amejishusha sana

  • @hermanjoshua6224

    @hermanjoshua6224

    3 жыл бұрын

    Ya 2021 nazan ndvyo alivyomaanisha

  • @frankdanford8245

    @frankdanford8245

    3 жыл бұрын

    Yaani ni muongo sana huyu jamaa kuna garage moja pale buguruni ipo cadillac escalade hiyo imekufa yakitambo namba B tena

  • @hermanjoshua6224

    @hermanjoshua6224

    3 жыл бұрын

    @@frankdanford8245 mnachoshindwa kumuelewa huyu jamaa, hajasema hakuna cadillac , ila amesema new model ya 2021 hakuna hyo inaweza kuwa ya kwanza, hzo za zaman zipo nyingi tu Muwe mnasikiliza mnaelewa sio kukimbilia kwenye coments tu huku hamjasikiliza

  • @erickmweta8215

    @erickmweta8215

    3 жыл бұрын

    Vehicle detailing skills yake imeonyesha hana data za uhakika juu ya Escalade. Msanii wa kwanza kuwa na Cadillac kwa EA anaweza kuwa Jose chameleon hapa Tz pia kuna mtoto wa tajir anazo 2

  • @pierreoriva4131
    @pierreoriva41313 жыл бұрын

    Gari nzur Sana Escalade

  • @_7medo_
    @_7medo_3 жыл бұрын

    Huyo dealer wenu anaujuwa ukwaju kama hajuwi bc karopoka ukwaju hiyo gar haikuti hata v8 XXL kwa ubora eti v8 ni ya kufanya uba yeye kwao hata pikipiki hawana atuondole bangi zake ndo wanao chafuwa majina ya kampun za magari acha tunyamaze tusitoe kasoro za hiyo gari

  • @emmanuelkisamo2808
    @emmanuelkisamo28083 жыл бұрын

    Huyu pumbavu kweli. Escalade inaingia kwa Aston Martin,Bentley,Cadilac Cullinan? Muwe mnahoji watu wenye akili.

  • @salehalzakwani3283

    @salehalzakwani3283

    3 жыл бұрын

    Cullinan 1.5m dolla

  • @ndegejr4218

    @ndegejr4218

    3 жыл бұрын

    @@salehalzakwani3283 Cullinam ni dollar 318k Toleo la mwaka 2021

  • @bone102

    @bone102

    3 жыл бұрын

    Mzee hivi hzo gari ulizotaja unaweza uka zitengeneza interior zikawa kama hyo gari anayo zungumzia anasemea gari kubwa hzo zote ulizotaja body zake ni ndogo tofaut na escalade usikurupuke

  • @chrispinimkanda7127

    @chrispinimkanda7127

    3 жыл бұрын

    Sasa mbona povu mzee baba vip inauma inauma ee !!?

  • @abuuatwiyyahssalafiy9919

    @abuuatwiyyahssalafiy9919

    3 жыл бұрын

    @@ndegejr4218 a6

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16873 жыл бұрын

    Hahahah eti east africa hakuna. 🙌🤣🤣🤣🤣😂 ivi huyu anaona MOND tu ndo tajiri eastafrica

  • @salummbunga4167

    @salummbunga4167

    3 жыл бұрын

    USIKUTE PENGINE YEYE NDIO DALALI UJUE 🙈🙈😂🏃🏃

  • @diodoruskyomya9328

    @diodoruskyomya9328

    3 жыл бұрын

    Were yupi unamjua anayo 2021 in east Africa?

  • @marcellysumaye2859

    @marcellysumaye2859

    3 жыл бұрын

    Kwan nani anayo hiyo gari hapa east africa zaid ya mondi

  • @nshonabdll9363

    @nshonabdll9363

    3 жыл бұрын

    Usikilize na umuelewe Alf timu pny ndo ugonjwa wenu ubishi hmtki ukweli

  • @nshonabdll9363

    @nshonabdll9363

    3 жыл бұрын

    @@marcellysumaye2859 washamba Hao achana nao

  • @z.m9863
    @z.m98633 жыл бұрын

    Ati hii ni 2021??....Acha uogo bro sisi wa ulaya huezi tudanganya

  • @braimondbrizzy7138
    @braimondbrizzy71383 жыл бұрын

    My brodah

  • @abdul-bz1cy
    @abdul-bz1cy3 жыл бұрын

    hivi unaifahamu Lamborghini urus 2021 ?

  • @happyjohn5882

    @happyjohn5882

    3 жыл бұрын

    Hahaaaaaaaa huyu anachez na akili za wtuu,kuna Porches ambayo ni moto pia,Kuna Lincoln SV ambayo ni hatrii kuliko hii Escal,kuna GMC ya marekana pia hatarii Sana'a Sana'a......

  • @AbdulGermany210

    @AbdulGermany210

    3 жыл бұрын

    Ni Gari nzuri ila kwa Tanzania ni Sawa na kupoteza pesa, utaipitisha wapi ndugu yangu

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    3 жыл бұрын

    Unaambiwa Cadillac Escalade tougher and luxurious car,sasa Lamborghini ni luxurious tu

  • @Hanskapella

    @Hanskapella

    3 жыл бұрын

    Unayajua magari lakini au unaiongelea tu kisa unaionaga kwenye picha.

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    3 жыл бұрын

    @@happyjohn5882 unakaribia kusema GSM

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele3 жыл бұрын

    $76195 the price of that Escalade new one, and used one is far way less than that

  • @khamisjuma5046

    @khamisjuma5046

    3 жыл бұрын

    Fifty five thousand dollars

  • @lexq-sm6lq

    @lexq-sm6lq

    3 жыл бұрын

    76195 dollars ni kama upo nje. Ku isafirisha mpaka iingie bongo ndio gharama zinapo ongezeka. Tuseme ametumia kama 250 - 300k kwa gari zote mbili. (That's not cheap at all, hiyo ni karibu milioni 700)

  • @godfreymbwambo4460

    @godfreymbwambo4460

    3 жыл бұрын

    THE PRICE YOU ARE TALKING IS SUBJECT TO CUSTOMIZATION. THE PRICE COULD HIGHER IF CUSTOMIZED.

  • @lexq-sm6lq

    @lexq-sm6lq

    3 жыл бұрын

    Uki zingatia kuna gari ya tatu rolls Royce phantom ka agiza, Na kwa video ambazo Zime anza KUSAMBAA tayari mtandaoni, ina ONEKANA isha fika bongo.(Sijui kama ushaiona hiyo video, rolls Royce phantom iko na cadillac) Ukipiga hesabu za gari tatu hizo ni kama bilioni 2 na ushee. NOT CHEAP

  • @edesiuskuyasiwa6352

    @edesiuskuyasiwa6352

    3 жыл бұрын

    @@lexq-sm6lq Bado sana, kibongo bongo jamaa anapesa.. Lakin Sio kujidai kwa Africa, davido tu hamkuti.

  • @George_Bronx
    @George_Bronx3 жыл бұрын

    Millard Ayo kafanya Huyo dealer kuonyesha watu hajui chochote jameni. Kuja Kenya Bro, we know what cars are. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Ama uliza Sonko

  • @sameeraidd2109
    @sameeraidd21093 жыл бұрын

    Gari la mwisho jeneza

  • @bensonswai7575
    @bensonswai75753 жыл бұрын

    Watanzania tunashida snh mnasem mond hel na nyie nunue tuone Co kuongea tu

  • @siyamanda7073

    @siyamanda7073

    3 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajielewa na muelewa sana yani ameelezea inavyotakiwa. Yule kimambi radhi ya baba ake inamsumbua

  • @mirajimussa828
    @mirajimussa8283 жыл бұрын

    Anaziacha wapi Lincoln Navigator, Mercedes G 63 AMG

  • @kyaro5945

    @kyaro5945

    3 жыл бұрын

    Mercedes G63ni almost $500k ni za Watoto wa kifalme huko uarabuni. Range rover 2021 ni 200$k

  • @princebuganzilut2047

    @princebuganzilut2047

    3 жыл бұрын

    U diamond umetawala

  • @ignatusrogerslema8650

    @ignatusrogerslema8650

    3 жыл бұрын

    Hajui magari huyu dalali anasahau Lincoln Navigator kweli

  • @shedrackamos4021

    @shedrackamos4021

    3 жыл бұрын

    Kagoogle acha ushamba wewe

  • @brayanphilipo1851
    @brayanphilipo18513 жыл бұрын

    Sio the Best

  • @frankfrancis2195
    @frankfrancis21953 жыл бұрын

    Nakubari sana

  • @faudhiaabdallah9155
    @faudhiaabdallah91553 жыл бұрын

    Kumbe 300million dah bei chee

  • @thehunter5920

    @thehunter5920

    3 жыл бұрын

    Milion 300,bei ya land cruiser GXR hiyo v8 hiyo

  • @sammiebudodi
    @sammiebudodi3 жыл бұрын

    sio ya mwaka 2021 ni ya 2019

  • @husseniamiri2159

    @husseniamiri2159

    3 жыл бұрын

    Acha uongo ni ya 2020

  • @BinSharifMovies

    @BinSharifMovies

    3 жыл бұрын

    @@husseniamiri2159 acha uongo ni 1943

  • @husseniamiri2159

    @husseniamiri2159

    3 жыл бұрын

    @@BinSharifMovies 1943 cjakuelewa. Diamond gari aliyonunua ni ya mwaka 2020

  • @BinSharifMovies

    @BinSharifMovies

    3 жыл бұрын

    @@husseniamiri2159 just kidding bro

  • @ashaali7154
    @ashaali71543 жыл бұрын

    Eti ni kitu cha kujivunia. Sisi tujivunie kwa sababu inatusaidia nini . Pelekeni ushamba mbele.

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah29903 жыл бұрын

    acha uwongo bhana gari sio mwaka 2021 ileeee uwongo mtupu

  • @chokambaya468
    @chokambaya4683 жыл бұрын

    Huyu inaonekaya Tim mondi wazi mana kuna G wagon v12 anaijua au Lamborghini urusi huyu tim tu

  • @aziztossiry3805

    @aziztossiry3805

    3 жыл бұрын

    Kwani ni SUV au?

  • @madiwahoza4720
    @madiwahoza47203 жыл бұрын

    Muongo huyu jamaa aisee 🤣🤣🤣

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Umeona ee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Келесі