UKWELI KUHUSU ROLLS ROYCE, FEKI ZIPO, YA DIAMOND TOFAUTI YAKE "ITAMTESA SERVICES"

Leo AyoTV inakukutanisha na Muagizaji magari kutoka UK, Dubai, na Japan BenCars ambapo anatuelezea juu ya gari aina Rolls Royce Cullinan 2021, bei yake kutoka UK na faida pamoja na changamoto zake.

Пікірлер: 409

  • @fababindawood8363
    @fababindawood83633 жыл бұрын

    Wabongo wachen roho mbovu huyu dogo Nasseb hamumuwezi itachukuwa miaka mengi sana kuja msaani kufika level ya Diamond dogo amefika mbali sana tena sana 🔥

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila30383 жыл бұрын

    Kama unaamin ndo kinara wa kuongelewa mtandaoni tujuane hapa!

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Balaaaa

  • @festovenas502

    @festovenas502

    3 жыл бұрын

    Bila yeye tanzania haijulikan 😂😂😂

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    Yaani we acha tu mwanangu,yaani Diamond akifa sijui itakuwa je??

  • @afterfull-time1348

    @afterfull-time1348

    3 жыл бұрын

    Bila yy hakuna sanaa

  • @ricksonlyimo5594

    @ricksonlyimo5594

    3 жыл бұрын

    @@kassimrajabu7805 si ndo atakuwa tayar kasha kufa au kuna kingine

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz64473 жыл бұрын

    Rolls Royce Haina underlincence na ingekuwepo SOUTH AFRICA WALIKUWA washaitengeneza kitambo .Kumbe Bongo ipo Moja tu Ya MONDI 🤣🤣🤣🤣 fantastic super star#diamondplatinun #swahilinatiin #wcbWASAF🇹🇿🇹🇿💎💎💎💎💎🤣🤣🔥🔥

  • @paulshija7632
    @paulshija76323 жыл бұрын

    Mie sio shabiki wa Diamond lakini jamaa ana hela, tuache masihala bana! Kingine wivu utawaua! Dogo kawanyoosha!

  • @mpajikasunzu117

    @mpajikasunzu117

    3 жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @kyungumedardmaurice8321

    @kyungumedardmaurice8321

    9 ай бұрын

    Kweli bro umaskini unatutesa sana

  • @Kobe_254
    @Kobe_2543 жыл бұрын

    Mondi anawatesa wengi sana TZ .. kweli mziki vita!!

  • @neemayusuphu1591

    @neemayusuphu1591

    2 жыл бұрын

    Kasemaa yeye mwenyewe mziki ni vita ile nyumban ni yamama ivo usiwaze madale

  • @husnapongwa1841
    @husnapongwa18413 жыл бұрын

    Millard kua makini sana na hizi interview unajishusha snaa

  • @barakambangulila5360
    @barakambangulila53603 жыл бұрын

    Diamond kaleta gumzo big up Sana

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee83 жыл бұрын

    Hahahaha gari ya monde ni gumzo tz nzima sababu ni moja tu

  • @mpajikasunzu117

    @mpajikasunzu117

    3 жыл бұрын

    Yaani nakwambia nipo nasoma coment nacheka mwenyewe

  • @pcmofficialtz
    @pcmofficialtz3 жыл бұрын

    Sisi maskini ndo tunabishana wengine hatuna hata baiskel hata angeita helicopter sisi ni nani tumbishie SIMBA 😂😂😂

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa 🤣🤣🤣

  • @lizzybahati9833

    @lizzybahati9833

    3 жыл бұрын

    Dah 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @allanothuman2941

    @allanothuman2941

    3 жыл бұрын

    Jiung freemasonry km mond. utamilk gali hilo 🤪🤪🤪

  • @pcmofficialtz

    @pcmofficialtz

    3 жыл бұрын

    @@allanothuman2941 fikra ikitumika ndivyo sivyo inaua ✍️

  • @allanothuman2941

    @allanothuman2941

    3 жыл бұрын

    @@pcmofficialtz nitaftie tajir ambae atumiaa uchwi.... saw ....ww si unataka magali mkali nn jiunge freemasonry...... km ginimbii.... Utamiliki zaid ya hayooo.... mzeee bb

  • @saidalzakwani8402
    @saidalzakwani84023 жыл бұрын

    Duuuu sio mchezo mwezi sasa watu wazungumzia kuhusu gari 😂😂😂 Kazi ipo

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice70323 жыл бұрын

    Service yake ni kama gari nyigine. Ukifwata utaratibu kutoka Rolls-Royce no worries .

  • @thomasmaila3834
    @thomasmaila38343 жыл бұрын

    Ww yakwako og,iko wp?acha kudic mambo ya w2,mwenzako kaonyesha uthubut,amna kazi za kufanya?

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga9353 жыл бұрын

    Kweli kumtaja diamond ni ajila Tz 😅😅😅🤭

  • @afterfull-time1348

    @afterfull-time1348

    3 жыл бұрын

    Kabisaa wanajtahid vyovyote ili wa title jina la Mond

  • @ashamahmoud3895

    @ashamahmoud3895

    3 жыл бұрын

    Hivi nyie mnatoka vijijini Nini? Kwahiyo msanii mkubwa Kama mondi anunue gari Kama hiyo mnataka isiongelewe? Huo ndo uchawi Sasa

  • @davidmongo3203
    @davidmongo32033 жыл бұрын

    Yan imefikia wakt hag millard ana wivu na Simba🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alihussein1027
    @alihussein10273 жыл бұрын

    Diamond is rich anaweza Afrord

  • @rudhwanjumbe2970
    @rudhwanjumbe29703 жыл бұрын

    Yan Bongo bwana hivi maendeleo ya jamaa bado yanatesa nafsi za watu Daa

  • @muhammad_alhinai
    @muhammad_alhinai3 жыл бұрын

    Yeye ndio wa kwanza kushusha RR hapa Tz? Bakhressa na baadhi ya wengine ameimiliki RR kitambo sana tu kabla ya diamond.. model tu zinatofautiana.

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard64403 жыл бұрын

    Unajia diamond katufanya saivi bilion tunaona ni ela ya kawaida sana tofauti na zamani

  • @aidanmaganga7051
    @aidanmaganga70513 жыл бұрын

    Asante sana kwa ukweli bro

  • @saidyoriyori9697
    @saidyoriyori96973 жыл бұрын

    kwaiyo kainunua shiling ngap zabongo namie jipange nichukue ndinga iyo

  • @davidfrancis7347
    @davidfrancis73473 жыл бұрын

    Aise! Hii interview inawashusha sana.

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice70323 жыл бұрын

    Rolls-Royce haitegenezi engine kwa hizo gari. Anaposema kwamba wanaweza wakatumia engine which is not from Rolls-Royce. Hapo kakosea. Rolls-Royce wanatumia engine za BMW V12. Hapa Zaventem Belgium wateja wangu wanazo, ingawa siyo nyingi kwani ni gari ya garama kido. Kwayiyo amekosea kidogo hapo.

  • @activestudios.

    @activestudios.

    3 жыл бұрын

    SAFI KABISA BRO MIMI NIPO UK NAFANYA KAZI BMW lakini naona hawa watanzania wanaongea mambo ambayo wao wenyewe hawajui wanaongea nini

  • @happyjohn5882

    @happyjohn5882

    3 жыл бұрын

    Naomba nikuulze swali, Je, kama RR awatngenez engine na vipi kuhusu ndege mbona wanawauzia Boeing nk engine inamaana ni wananunua pia kwa BMW hahaaaaa?? Kama wanauza engine za ndge kweli washindw kutngneza ichi cha gariii ???

  • @activestudios.

    @activestudios.

    3 жыл бұрын

    @@happyjohn5882 kwa uelewa wangu mdogo engine ya RR inatengezwa na BMW ambayo ni V12 na IKUMBUKWE RR ni SUB branch ya BMW so its all BIMA

  • @safariautoservice7032

    @safariautoservice7032

    3 жыл бұрын

    @@happyjohn5882 siyo kwamba hawawezi kutengeneza engine. Ila tukumbuke kwamba ni wafanya biashara kama muuzaji wa nyanya au vitunguu. Wanangalia faida kwanza. Kwa sababu kutengeneza engine zagari hasa kwa kipindi hichi siyo jambo rahisi, kwa sabubu ya hizi CO2 AND NH AAND NOx regulations. mambo ya (euro 5 euro 6) . Kama unavyo juwa London, Bussels ect kama gari yako siyo ya petrol hairuhusiwi kutembea. Na kama ni Diesel hapo basi kiboka. Kama siyo euro 4 and euro 5 next year. Huruhusiwe kuingiya Brussels. Na ukibisha ni unapigwa fine ya 350 euro. Kwa hio Wawo hawoni faidha ya kutengeza engine wakati BMW tayari wamekwisha fanya kila kitu. Inakuwa ni rahisi kwawo kununuwa kwa BMW. Kama wengine wanavyo fanya. Ukiangali pangani zonda katumia engine Mercedes AMG V12 ya zamani kido, ukija kwa Aston Martin naye pia katumia AMG Engine. Kwahiyo kila kitu ni mahesabu. RR wawe wameamuwa kutengene egines za ndege. Na siyo lazima wateja wajuwe kwamba ni v12 kutoka kwa BMW muteja yeye kazi yake ni kuwekabmafuta kuendesha. Nasisi mafundi tufanye kazi zetu. Ila RR ni gari kama nyingine kwa sababu ina 4 tyres kama magari mengine. Sema yu mtu ukipata vi cents inabidi ujifurahisha baada ya kazi yako. Hivyo ndivyo binadamu tulivyo wengi wetu.

  • @safariautoservice7032

    @safariautoservice7032

    3 жыл бұрын

    Upo sahihi, ila kama jama alivyo sema yeye ni anaagizia magali. Siyo fundi, yani yeye atacho angalia ni nini mteja anahitaji. Akilipa basi anamuagizia. Hata hapa wapo ukienda kwenye ma dealers kama Mercedes, BMW ect. Utakuta kuna mafundi, na watu wengine wakiwa réception. Wale wa réception maranyingi huwa wao wana kazi zawo maalumu. Siyo lazima wajuwe kila kitu. Na kama mtu kakosea siyo vibaya. Anaweza akarekebisha kama akipenda. Kwa sababu tunajifunza kila siku. Na tatizo tulilo nalo sisi huwa ni wabishi sana huwa hatupendi kukosolewa nahilo ni tatizo linalo sababisha tusijifunze. Ila tuwe wakarimu kwenye mitandao. Ili tujifunze siyo lazima matusi, kejeli na mambo mengine.

  • @nyash2542
    @nyash25423 жыл бұрын

    Vgard can't wait ☺☺

  • @amosaruta22
    @amosaruta222 жыл бұрын

    Namshauli daimondi sasa awekeze kila mkoa wa tz sio dar tuuu na mimi naona wa tz wengi wanao mchukia daimondi ni kwasababu ajawekeza kwenye sehem ya upigaji maana wa tz wanapenda sana madili

  • @yuzotv458
    @yuzotv4583 жыл бұрын

    JAMANI NYIE HAMNA KAZI ZAKUFANYA EH,DIAMOND PLUTNUMZ ANUNUE ORG ANUNUE FEKI INAWAHUSU????. NUNUENI NANYIE IYO FEKI TUONE SIO KIMNANGA MTU UTADHANI UMEMSAIDIA KUNUNUA FYUUU!!!!. MILLADY AYO NYIE NI MEDIA KIBWA ACHENI SASA AYA MAMBO YAKUONGELEA GARI YADIAMOND MANAKE HAIWAHUSUUUUU.

  • @emmanuelmhosole5421

    @emmanuelmhosole5421

    3 жыл бұрын

    Hongera dada Wew inakuhusu😅

  • @ashamahmoud3895

    @ashamahmoud3895

    3 жыл бұрын

    Hivi umesikiliza interview kweli maana comment zenu Kama Kuna ugomvi wakati interview Ni ya kawaida kabisa Wala haina baya

  • @bebisheni4380
    @bebisheni43803 жыл бұрын

    Hata baskelu sina nasema mabrukin hongera nasiib

  • @joniejr750
    @joniejr7503 жыл бұрын

    Ndo maan umeona kwa TANZANIA ndo kwa Mara yakwanza kainunua diamond ,,mond mtu mbad 🔥 🔥

  • @younglegit7194
    @younglegit71943 жыл бұрын

    Mnachambua gari ya rois rois 😃😄

  • @neemayusuphu1591
    @neemayusuphu15912 жыл бұрын

    Simbaaaa nawakubaki ayo TV Na platnumz

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo69323 жыл бұрын

    Ostazi juma upo mzee wa majungu . Mavi yanagonga chupi mzee

  • @CLB717
    @CLB7173 жыл бұрын

    sio feki ndugu zangu Rolls royce ina badge nyeusi !!!!

  • @amoskizigha6856

    @amoskizigha6856

    3 жыл бұрын

    Kuna black badge, silver badge na gold badge ila watu weng wamekariri ile silver badge 😁😁😁😁

  • @vybzfaruqh2712
    @vybzfaruqh27123 жыл бұрын

    Rolls Royce gari nzito 🔥🚘🚗

  • @mwajeymajid4988

    @mwajeymajid4988

    3 жыл бұрын

    Uzit wake upi baba unabeba mgongon amaaa

  • @PeterSegire
    @PeterSegire24 күн бұрын

    Kuwa na pesa siyo shida unatakiwa kuwa mungu kila mahar siku ya kama upate uzima milele

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11663 жыл бұрын

    Kazi mnayo waandishi

  • @stafordjr34
    @stafordjr343 жыл бұрын

    sauti iko powaa sanaaaa

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim76633 жыл бұрын

    Rolls Royce ni ya Daimond. Ikiwa feki or original unahusikaje? Ni ya kwake mwenyewe kwa nini tunapoteza muda kuzungumzia? Ni aina ya wivu na kejeli. Daimond ni tajiri.Anao uwezo.

  • @johnmunyoro4428
    @johnmunyoro44283 жыл бұрын

    Kwa nini mzituletee aina za machine za kukamua mafuta ya alzeti. Au machine za kutengeneza mafuta ya maparachichi ya nywere. Au machine ya kutengeneza viatu za ngozi.kuongelea gari za watu kunafainda gani?hizo handithi ndizo watoto watu watarithi?

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo59503 жыл бұрын

    Hhahaha Bila Mondi Hamuna CONTENT!!!Nyau nyie😀😀😀😀Mtoto wa Tandale anawatesaa sana…Yaani munatamani adondoke leo ili mupate furaha ila MUNGU Atamlindaa

  • @kezziathadeo1414

    @kezziathadeo1414

    3 жыл бұрын

    😂watakula nn

  • @rajablutambi4063
    @rajablutambi40633 жыл бұрын

    Hajui architecture ya magari specifically hio imemshinda hatoi mechanical specifications anaongelea bei tuu

  • @alibinali_
    @alibinali_3 жыл бұрын

    Wivu mbaya sana jamaa

  • @timothypillay5525
    @timothypillay55252 жыл бұрын

    Safety next level that

  • @innocentmwakabanji827
    @innocentmwakabanji8273 жыл бұрын

    Ikizingua tutatulia nayo na uchebe😎

  • @rashidnasoro1065
    @rashidnasoro10653 жыл бұрын

    Duuh Mond katisha sana yaani Bongo nzima ana gari ya Pekee yake

  • @Hanskapella
    @Hanskapella3 жыл бұрын

    Huyu ni mtu wa kuagiza gari tu hajui lolote kuhusu gari

  • @faizislam2378
    @faizislam23783 жыл бұрын

    Watangazaji tuelewaneni banaaa sio rose royce ni rolls royce muna feli wapi kutamka

  • @tumainikomba9008

    @tumainikomba9008

    3 жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo69323 жыл бұрын

    Asante simba

  • @jordanjeremy1643
    @jordanjeremy16433 жыл бұрын

    Sasa itamtesaje service akati yupo na mbongo yakushato?

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu18953 жыл бұрын

    Watu wnashindwa kuelewa tu Wanaompinga Mondi ni wenye wivu wa maendeleo na kutafuta umaarufu kupitia yey, we tazama kila media ispondika jina la Dai habar aziendi !!

  • @hamadurio3765
    @hamadurio37653 жыл бұрын

    Good

  • @alvinebrand_
    @alvinebrand_3 жыл бұрын

    Haipo moja acha uongo

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi75323 жыл бұрын

    Huyu jamaa hana ujuzi wa kutosha cz hiyo gari campany yake ni kubwa sn dunian na huwez kuruhusiwa kuichakachua,hii ni interview ya kisenge

  • @karimmunis8302

    @karimmunis8302

    3 жыл бұрын

    Do kumbe na wew umeona hee ,huwezk kubadili injeni ya hiyo gari ukabak salama lazima iwe kituko tu

  • @wazirmlogi7532

    @wazirmlogi7532

    3 жыл бұрын

    @@karimmunis8302 jamaa hana jipya ni mtu tu anayetaka kujulikana tu

  • @castroonesmo2311
    @castroonesmo23113 жыл бұрын

    Jamaaa anaonekana haijui kabisa hiyo gari

  • @angelshirima2289
    @angelshirima22893 жыл бұрын

    Wanawake wenzangu acheni upuuzi huu wa kuchoma nyumba nusunusu, seti mipango hakikisha ukiwasha moto hakibaki kitu zimamoto wenyewe hawana maji ni uwakika huo..🙂😗 acheni kuchoma kiboyaboya ivo

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu58623 жыл бұрын

    Itamtesa wapi ..aweze nunua gari mpya akose kuweza kununua spea? Wabongo bwanaa... Hongera tena brother.

  • @lloydmanongi5095
    @lloydmanongi50953 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajitahidi lakini hii gari haijui maelezo yake kuhusu hii gari ni mepesi sana ...hakufanya research ya kutosha amekurupuka

  • @mussahamis1703
    @mussahamis17033 жыл бұрын

    kwekweli pongezi

  • @rogersfredrick9715
    @rogersfredrick97153 жыл бұрын

    Gonga like Kama zote

  • @jeremiahgeorge3552
    @jeremiahgeorge35523 жыл бұрын

    🤗🤗🤗

  • @leahally4618
    @leahally46183 жыл бұрын

    Kweli kumtaja mond ni hajira woooooote tumekuja kwajil ya kuona mond tu😂😂😂😂

  • @Killer-ok1lh

    @Killer-ok1lh

    3 жыл бұрын

    Mind ni uhakika sana

  • @samwelnyankena9873
    @samwelnyankena98733 жыл бұрын

    Hajui magari kumbe huyu anauza ist tu😂😂😂😂

  • @shedrackatanasio9734
    @shedrackatanasio97343 жыл бұрын

    Milard ayo umekuaje tena pga kaz mzee achan na habar hzo za magar ya watu nakuamn

  • @Werema3760

    @Werema3760

    3 жыл бұрын

    Siuache kuangalia! Ana post kitu kinacho vutia kuangalika

  • @ramadhanyange8957
    @ramadhanyange89573 жыл бұрын

    Jaribu kufatilia kwa makini ware woote wanaolumbana kwenye Jambo la mtu basi asilimia kubwa ni maskini uwezi kuona matajili wanalumbana ahaha mondi ww ni atali

  • @bundukitv1322
    @bundukitv13223 жыл бұрын

    Huyu jamaa mzito Sana kuelewa MASWALI. Hajibu ipasavyo

  • @denisksylivester7846

    @denisksylivester7846

    3 жыл бұрын

    Tulia dawa ipenye ww 🔥RR 🔥

  • @Wilsonmapinduzi
    @Wilsonmapinduzi3 жыл бұрын

    Ayo kaanza ku upload usenge

  • @josephgitau169
    @josephgitau1693 жыл бұрын

    Waah one car as given TZ bloggers job over a week now... There is nothing like Rolls Royce fake in the world 🌍 hiyo ni air force shoes.

  • @activestudios.

    @activestudios.

    3 жыл бұрын

    BRO WAAMBIE COZ NAONA HAWAELEWI WANACHO POST KWENYE MEDIA ZAO

  • @limajblessed7132

    @limajblessed7132

    3 жыл бұрын

    There is a fake rolls royce Am here in dubai and nimeona crestler imegeuzwa kuwa rollsroyce

  • @josephgitau169

    @josephgitau169

    3 жыл бұрын

    @@limajblessed7132 wewe uliona body ya tractor

  • @senny6290

    @senny6290

    3 жыл бұрын

    @@josephgitau169 😁😁😁na kweli

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    @@josephgitau169 😂😂😂😂😂

  • @hashimkinara1377
    @hashimkinara13773 жыл бұрын

    Ayo njoo Kenya utaikuta Tesla ya kwanza Africa. Upate kumuhoji mmiliki.

  • @hassanmwaguzo7621
    @hassanmwaguzo76213 жыл бұрын

    So Tanzania nzima RR ni moja tu😂🤣😂

  • @stevenfrancis5191

    @stevenfrancis5191

    3 жыл бұрын

    Kwa sure Ni ivyo mo mwenyewe alikuwa nampango wa kununua akahairisha akaenda kuwekeza simba

  • @arlecoboazsote5056
    @arlecoboazsote50562 жыл бұрын

    Vp naweza gari ya Bei ndogo Tena used kupitia nyie na nisikutane na matapeli?

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17623 жыл бұрын

    Mond kakomesha kenge, sa hv wamehamia kwenye cheni,

  • @samsonsikazwe1762
    @samsonsikazwe17623 жыл бұрын

    Simba wakilisha tz na watu wote wanao kupiga unawapa wakiti mgumu wakufatilia vitu unavyo nunu mamm🙆🙆🙆 kila kitu anacho kinunua lazma wafatilie

  • @afterfull-time1348

    @afterfull-time1348

    3 жыл бұрын

    Acha wateseke Mond anajua kunyooshaa

  • @kezziathadeo1414

    @kezziathadeo1414

    3 жыл бұрын

    Huyu nae bize anajieleza masikn tunashida nyie achani mwez unaisha bdo watu wanamzungumzia mtoto wa watu mwenyew

  • @malakiyazidu0080

    @malakiyazidu0080

    3 жыл бұрын

    tunasubri nandeg baad yamwezi itaingia waje waseme nifeki🥱🥱🥱

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille52863 жыл бұрын

    Ninavyo jua mie kua kila gari ikiwa latest ushuru si unapungua...cz Haina uchakavu...

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Diamond platinumz anawatesa Sana bado mnaichambua gali yake wakati hata mwenyew ameshasahau anawaza mengine

  • @selector728

    @selector728

    3 жыл бұрын

    Gari sio Gali

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    @@selector728 sawa✌🏼

  • @mjungufackson3932
    @mjungufackson39323 жыл бұрын

    Cyo gari la kwanza tz,,,imetumiwa na mwl nyerere ndo Mara ya kwanza

  • @edsonbandiko3592

    @edsonbandiko3592

    3 жыл бұрын

    Inawashusha wakati nawe umeongez vrwz umesha angalia tayali unafeli Sana

  • @imanijohn6069

    @imanijohn6069

    3 жыл бұрын

    Kweli aisee, ukienda makumbusho ya taifa ipo aliyo tumia Nyerere kitambo hichooo

  • @afterfull-time1348

    @afterfull-time1348

    3 жыл бұрын

    Cullinan Black badge alitumia lini wee naee

  • @lucyrenatus3940
    @lucyrenatus39403 жыл бұрын

    Jamn kazi mnayo kwan mbna ss maskini ndo mnakzi yakupekenyua mambo ya watu mwachen kaka wa watu

  • @feristagaspa2692
    @feristagaspa26923 жыл бұрын

    Swali kwanini matajiri wote was tz hawajanunua hiyo gari?

  • @saydimtepende1704
    @saydimtepende17043 жыл бұрын

    hojiii

  • @abuibra
    @abuibra2 жыл бұрын

    Umasikini tabu sana oh kanunua viatu oh kanunua koti, oh kanunua gari, oh hana nyumba oh oh oh.sijui hizo tabia za hasada na tamaa za vitu vya watu mtaacha lini tafuteni vyenu pumbavu babako anapekua kamnunulie viatu.

  • @amanichanga3448
    @amanichanga34483 жыл бұрын

    Kwani hiyo na ıct ipi bei? Mbona ıct kibonge hv

  • @MrTariQ345
    @MrTariQ3456 ай бұрын

    Ah kazi basi sasa kama anaagiza magari sasa afanyweje,wacheni utoto kama amenunua uwezo anao wa kuimiliki

  • @christianmaboko2054
    @christianmaboko20543 жыл бұрын

    Mnasumbuwa

  • @markethan1899
    @markethan18993 жыл бұрын

    Nimetulia zangu nawacheki tu. Njooni muone magari yangu, buggati Chiron, Lamborghini, ford mustang, Nissan Gt v12 twin turbo charged. Napatikana arusha

  • @mosesmwailenge5192

    @mosesmwailenge5192

    3 жыл бұрын

    AA kaka aunishindi Mimi Nina laum ya milioni kuminambili nanusu 😃😃😃👍👍👍

  • @markethan1899

    @markethan1899

    3 жыл бұрын

    @@mosesmwailenge5192 kwel bana uko juu nimekubali

  • @mosesmwailenge5192

    @mosesmwailenge5192

    3 жыл бұрын

    @@markethan1899 haya lafiki yangu nimekupenda Buree 🤗🤗🤗

  • @OfficialmurraTv
    @OfficialmurraTv3 жыл бұрын

    Wew mtangazaji itokee uagize una pesa😂😂

  • @asanalykihwele9898

    @asanalykihwele9898

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @barghashally7791
    @barghashally77913 жыл бұрын

    Duh nimetulia zangu hapa hata kibanda similiki, kiukweli wenzangu tupambane, muda ukifika wakati utaongea. 🤐

  • @Officialdjmack
    @Officialdjmack2 ай бұрын

    🎉

  • @umbaliche
    @umbaliche3 жыл бұрын

    @Millard Ayo unafeli kwenye hii content. Umeanza kuwa kama weleeee....kichwa cha habari na content haviendani. Ukuposema ukweli kuhusu gari ya Diamond nkajua unaongea na mtu ambaye ameingiza hiyo gari hapa TZ kumbe unatangaza biashara ya huyo jamaa tena wala hana maelezo yaliyoshiba

  • @avizpaul3086
    @avizpaul30863 жыл бұрын

    Mbona ya kawaida sana ,jifunze kuona kila kitu ni cha kawaida wala usihamaki sana ,katafta hela kanunua ,ht mimi nkitafuta hela ntanunua hata Starlet na kuna watu mimi nitawashika pia so duniani kila mtu aishi uwezo wake 😂

  • @hafidhchoi3186
    @hafidhchoi31863 жыл бұрын

    Watu kazi wanayo kumchunguza mtu maendeleo yke duh

  • @SaidSaid-yl6ze
    @SaidSaid-yl6ze3 жыл бұрын

    Mallard Ayo naye kumbe ni pimbi.

  • @emanuelmwaipaja2062
    @emanuelmwaipaja20623 жыл бұрын

    Sema diamond kaziingizia hela media maana daah amezua gumzoo

  • @davidmasenya5077
    @davidmasenya50773 жыл бұрын

    Upuuzi mtupu busy kudiscuss maisha ya watu

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat1653 жыл бұрын

    Hata kama itamtesa service wewe unapata hasara gani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Yan iyo gar inawakosesha usingz

  • @venancerichard920
    @venancerichard9202 жыл бұрын

    Kapigwa

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo83793 жыл бұрын

    Dubai ni Dirhams, Singapore ni Singaporean Dollar..

  • @itsvipi

    @itsvipi

    3 жыл бұрын

    No problem, but do Kenyans import/buy their cars from Dubai in Kenya Shillings, Dirhams or in USD? Thats what he meant Omera bwanaa!!

  • @mussabalola8406

    @mussabalola8406

    3 жыл бұрын

    Huyo BEN anazenia anaongea na walugaluga. Utakuta hata Dubai hajawai fika.

  • @AmanMediaTz
    @AmanMediaTz3 жыл бұрын

    Nunua Yako acha kelele

  • @kennedyombewa7974
    @kennedyombewa79743 жыл бұрын

    Jamaa cjui mhaya cjui nn, kiingereza Cha nn mzee mbona kama kinakuchenga. Piga chini kizngu ongea cha kwetu

  • @ammanjnj8716
    @ammanjnj87163 жыл бұрын

    Hakuna engine inayo ingiliana na rolls Royce dunian kutokana na wenyew walivyo weka security katik brand yao na wala uwez modify muongo uyooo

  • @ammanjnj8716

    @ammanjnj8716

    3 жыл бұрын

    Eti mtu ununue rolls royce kwa bei kubw uka change engine alaf uuze kwa bei poa iyo ni akili kwel

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17623 жыл бұрын

    Mond kanunua gar yake kwa raha yake, maneno yatabaki kwenu na roho mbaya kwenu 🥴🥴🥴

  • @godrzysalema4841
    @godrzysalema48413 жыл бұрын

    Mbna hii gari inawatesa sana s mkaze nyonga za matako izo mmb yaishe

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila2173 жыл бұрын

    HIYO HELA ANGEAMUA KUUNUNUA MTAA BASI BUZA YOTE INGEKUA YAKE🙈

  • @jamilamussa7250

    @jamilamussa7250

    Жыл бұрын

    Hahaaaaaa

  • @shabymaizer456
    @shabymaizer4563 жыл бұрын

    Hii interview ya kisenge Kam wasenge wengin leten maada za maan achen ushangaz

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    Hahahahha wanachosha yaani bila Diamond maisha hayaende kabisa

  • @shabymaizer456

    @shabymaizer456

    3 жыл бұрын

    @@kassimrajabu7805 wanazngua San cjui wamemtoa wap huyo chok mak hat anachokiongea halet maan yoyot

Келесі