HARMONIZE AFUNGUKA SAKATA LA KUMPIGA BABA LEVO CASINO, KUFUNGUA KAMPUNI YA KUBASHIRI
Жүктеу.....
Пікірлер: 126
@adolfmathew969819 күн бұрын
Vijana wenzangu tutafute hela. Tusali sana. Tujipambanie sisi na familia zetu. Harmonize.kiba.diamond.mario sjui simba na yanga wasitufanye tukeshe mtandaoni tujikumbuke. Nakaribisha matusi pia
@JosephDamasimushy
19 күн бұрын
Kumamayo bax
@SaidiMkome-qq7hy
19 күн бұрын
Wewe mwenyewe unashinda mtandaoni umeonaje🙌🙌🏃🏃🏃
@michaelgeorge1431
19 күн бұрын
Na wewe ni Kuma unatombwa@@JosephDamasimushy
@michaelgeorge1431
19 күн бұрын
@@SaidiMkome-qq7hywewe ni mpumbavu
@RutaRubedi
19 күн бұрын
Ni kweli, anaye kutukana ipo siku atatamani akutafte akuombe msamaha ila hatakuona
@EnockLubengo-uu3zi17 күн бұрын
congratulations from Zambia 🙌😍👏
@brightmboya59618 күн бұрын
Iko poa sana one konde boy congratulations
@isackpatrick374315 күн бұрын
Sijawahi aisee kuona interview mbaya ya harmonize kama hii
@reusmwampamba19 күн бұрын
Ujumbe umewafikia No matter what
@VunjabeiVunjabei19 күн бұрын
Vijana na wazee natoa ml 200 Kwa mwaka acheni kubeti piga namba hii nikusapoti
@masumbukomoussa977
18 күн бұрын
Hhhhhh namba ipi sasa
@RomeoGago19 күн бұрын
Big up bro Kila la kheri kwako konde
@TellaaxisTz18 күн бұрын
Hahahah mimi sina la kusema apo😂 #tellaaxistz
@josephlorri43118 күн бұрын
Acheni kamari...tufanye kazi.. Dini zote zinakataza kamari
@hadija84617 күн бұрын
JESHII NIPO PAMOJA NAWE WAKATI KWOTE 💐💕💕💕💕💕KONDE DAMDAM💗
@nassercurtis957918 күн бұрын
Dah! Asee eti Mwenuezi Mungu amefanikisha😭 kweli jamani? Hapana hii haikai sawa, tusipende kumshirikisha Mungu kwa mambo ya anasa tena hasa kamari ni mchezo wa laana kupitiliza si poa kumshirikisha Mungu.
@mwankunjatyson
18 күн бұрын
Umenena vyema🤝
@AdolfPardon
18 күн бұрын
We fala kweli kwahyo asemejeee
@AllyBabu-kr6lg15 күн бұрын
Ayo konde ndo abari ya mjini hii imeenda❤❤❤
@madisonjonathan411219 күн бұрын
Mi nmefrah tu alipoongelea ugomvi wake na baba levo kaongea Kwa busara sana
@hisanmwakijungu1019 күн бұрын
Siasa
@karimjuma401918 күн бұрын
Mtangazaji unaongea sana
@alexmbigi487819 күн бұрын
Safi ila betingi dah😢 ime nifilisi sana sina ata hamu nayo uki iendekeza sana una kufu masiki 😅😂😅
@vladimirputn1809
18 күн бұрын
🙄🤔achaaatu
@Nasir-zc1mz18 күн бұрын
😂😂😂😂😂anatangaza biashara vzr harmonize dadeki
@nunuuali531618 күн бұрын
Rajab we ndo wangu
@eggysulle798818 күн бұрын
🔥🔥🔥👌👌
@Kibudu19 күн бұрын
Unamtaja Mungu kwenye kufungua kampuni y kamali, innalillah
@kennethbenjamin275
19 күн бұрын
Uwekezaji wa kibongo bana Betting sjui mamiziki
@AleiHadji-js3ed
19 күн бұрын
Mtihani kweli kweli😢😢😢😢😢😢😢dahhhhhhh
@user-le6jm2tf5y
18 күн бұрын
Mungu unamjua ww au unatafuta jina Kuma ww
@omarymnuru874618 күн бұрын
Umejenga hoja vizuri lakini haujaonesha aliyecheza na kushindwa ananufaika vipi... angalau ungesema asilimia 10 ya pesa yake atapata...kwa mfano 1000 umeshindwa..unapata shs 100
@HalimaKassim-yz3we19 күн бұрын
Jeshii yaoo yaoooh
@allysudi442916 күн бұрын
Kwani hamna michongo mingine ya kuongeza production nchini na kutoa deal kwa mashabik zaid ya kamari yan kila sehemu bet kamari tu ela zenyewe ziko wapi mitaa ina njaa kufulu...??
@titoamani-e8b19 күн бұрын
Harmonize alichokifanya casino ndo kile kile alijaribu kufanya kwa Diamond State House...Kuiba Nyota za Wasanii...Majini amebuma😅😅😅😅😅😅
@user-mi7yx8ew1k
18 күн бұрын
Tupe kithibitosho sasa baba levo ana nyota gan mpk iibwe na harmonize😮😮😮
@singidaprincetz188316 күн бұрын
Daaah jmn tutafute pesa mno tuje tusaidie familia zetu jomn
@carrasco41618 күн бұрын
Hawa watu hawakuji na kitu kipya. Diamond kafungua radio kila mtu sasa anafungua media, kaweka betting sasa watu wakimbia huko.
@jumahamadkali468318 күн бұрын
Media kubwa ila inasema uongo
@kaaakwakutuliaa517918 күн бұрын
huyu jamaa bado hajielewi intervie yako unaanza kuongelea stori za baba levo hujauliza
@sadikidaudi46018 күн бұрын
Umamsapoti maskini au unazidi kumkandamiza?😅
@ashuramuhammed325719 күн бұрын
Mmbwa wewe unatuletea kamar fk
@richkaja331717 күн бұрын
Konde achana na kamali fanya mziki unapitia njia za baba ako mondi pita jia zako
@fabianmainchanyangachika501718 күн бұрын
Badala mjenge mashule kukomboa family za kimasikini mnaanzisha michezo ya Kamali kufirisi watoto wa kimasikini
@JophlayVicent19 күн бұрын
Sio watoto yatima
@omarymbalala6224
19 күн бұрын
Unampangia tena mtu na Hela zake
@user-le6jm2tf5y18 күн бұрын
Ukipata fulsa ww piga hela tu mambo mengitu tutakutana nayo mbele kwa mbele tukifa potelea mbali
@AhmedMohamed-mw3ev19 күн бұрын
Kamari ni haramu kwa sisi waislamu Allah akujalie uwache mziki na kila linalomchukiza Allah rudi kwa Allah Allah atujalie mwisho mwema na atujalie njanna
@awadhally1052
19 күн бұрын
Kwel kabisaa
@yama_virginhairthequeen1065
19 күн бұрын
Upo na akili nyingine au ni hii tu 😢 dini zimeletwa ilamnavyozishobokea😂😂 ww kazana tu ukkdhani Kuna peponi😮 ndio maana hatuendelea Africa kwa akili km zihi😂😂😂
@salimhassan3369
19 күн бұрын
@@yama_virginhairthequeen1065 Mungu akusamehe sio makosa yko
@AhmedMohamed-mw3ev
19 күн бұрын
@@yama_virginhairthequeen1065 sawa haina shida kama ni hivyo tatizo pumzi zina tuhada zitakapo chukuliwa hapo ndo tutajuwa ukweli kama ni shobo au laa
@ManirakizaOmar
18 күн бұрын
❤Amin
@eliashibundabalinze275418 күн бұрын
Allah wa waislam amemsaidia kijana kufungua kamali ili watu waendelee kubeti na kukesha kwenye kasino badala ya kukesha misikitini
@josephlorri431
18 күн бұрын
Wamechakachua dini ili kuhalalisha maovu.. wengine wamekusanya watoto wadogo kwenye concentration camp kuwafundisha ugaidi
Пікірлер: 126
Vijana wenzangu tutafute hela. Tusali sana. Tujipambanie sisi na familia zetu. Harmonize.kiba.diamond.mario sjui simba na yanga wasitufanye tukeshe mtandaoni tujikumbuke. Nakaribisha matusi pia
@JosephDamasimushy
19 күн бұрын
Kumamayo bax
@SaidiMkome-qq7hy
19 күн бұрын
Wewe mwenyewe unashinda mtandaoni umeonaje🙌🙌🏃🏃🏃
@michaelgeorge1431
19 күн бұрын
Na wewe ni Kuma unatombwa@@JosephDamasimushy
@michaelgeorge1431
19 күн бұрын
@@SaidiMkome-qq7hywewe ni mpumbavu
@RutaRubedi
19 күн бұрын
Ni kweli, anaye kutukana ipo siku atatamani akutafte akuombe msamaha ila hatakuona
congratulations from Zambia 🙌😍👏
Iko poa sana one konde boy congratulations
Sijawahi aisee kuona interview mbaya ya harmonize kama hii
Ujumbe umewafikia No matter what
Vijana na wazee natoa ml 200 Kwa mwaka acheni kubeti piga namba hii nikusapoti
@masumbukomoussa977
18 күн бұрын
Hhhhhh namba ipi sasa
Big up bro Kila la kheri kwako konde
Hahahah mimi sina la kusema apo😂 #tellaaxistz
Acheni kamari...tufanye kazi.. Dini zote zinakataza kamari
JESHII NIPO PAMOJA NAWE WAKATI KWOTE 💐💕💕💕💕💕KONDE DAMDAM💗
Dah! Asee eti Mwenuezi Mungu amefanikisha😭 kweli jamani? Hapana hii haikai sawa, tusipende kumshirikisha Mungu kwa mambo ya anasa tena hasa kamari ni mchezo wa laana kupitiliza si poa kumshirikisha Mungu.
@mwankunjatyson
18 күн бұрын
Umenena vyema🤝
@AdolfPardon
18 күн бұрын
We fala kweli kwahyo asemejeee
Ayo konde ndo abari ya mjini hii imeenda❤❤❤
Mi nmefrah tu alipoongelea ugomvi wake na baba levo kaongea Kwa busara sana
Siasa
Mtangazaji unaongea sana
Safi ila betingi dah😢 ime nifilisi sana sina ata hamu nayo uki iendekeza sana una kufu masiki 😅😂😅
@vladimirputn1809
18 күн бұрын
🙄🤔achaaatu
😂😂😂😂😂anatangaza biashara vzr harmonize dadeki
Rajab we ndo wangu
🔥🔥🔥👌👌
Unamtaja Mungu kwenye kufungua kampuni y kamali, innalillah
@kennethbenjamin275
19 күн бұрын
Uwekezaji wa kibongo bana Betting sjui mamiziki
@AleiHadji-js3ed
19 күн бұрын
Mtihani kweli kweli😢😢😢😢😢😢😢dahhhhhhh
@user-le6jm2tf5y
18 күн бұрын
Mungu unamjua ww au unatafuta jina Kuma ww
Umejenga hoja vizuri lakini haujaonesha aliyecheza na kushindwa ananufaika vipi... angalau ungesema asilimia 10 ya pesa yake atapata...kwa mfano 1000 umeshindwa..unapata shs 100
Jeshii yaoo yaoooh
Kwani hamna michongo mingine ya kuongeza production nchini na kutoa deal kwa mashabik zaid ya kamari yan kila sehemu bet kamari tu ela zenyewe ziko wapi mitaa ina njaa kufulu...??
Harmonize alichokifanya casino ndo kile kile alijaribu kufanya kwa Diamond State House...Kuiba Nyota za Wasanii...Majini amebuma😅😅😅😅😅😅
@user-mi7yx8ew1k
18 күн бұрын
Tupe kithibitosho sasa baba levo ana nyota gan mpk iibwe na harmonize😮😮😮
Daaah jmn tutafute pesa mno tuje tusaidie familia zetu jomn
Hawa watu hawakuji na kitu kipya. Diamond kafungua radio kila mtu sasa anafungua media, kaweka betting sasa watu wakimbia huko.
Media kubwa ila inasema uongo
huyu jamaa bado hajielewi intervie yako unaanza kuongelea stori za baba levo hujauliza
Umamsapoti maskini au unazidi kumkandamiza?😅
Mmbwa wewe unatuletea kamar fk
Konde achana na kamali fanya mziki unapitia njia za baba ako mondi pita jia zako
Badala mjenge mashule kukomboa family za kimasikini mnaanzisha michezo ya Kamali kufirisi watoto wa kimasikini
Sio watoto yatima
@omarymbalala6224
19 күн бұрын
Unampangia tena mtu na Hela zake
Ukipata fulsa ww piga hela tu mambo mengitu tutakutana nayo mbele kwa mbele tukifa potelea mbali
Kamari ni haramu kwa sisi waislamu Allah akujalie uwache mziki na kila linalomchukiza Allah rudi kwa Allah Allah atujalie mwisho mwema na atujalie njanna
@awadhally1052
19 күн бұрын
Kwel kabisaa
@yama_virginhairthequeen1065
19 күн бұрын
Upo na akili nyingine au ni hii tu 😢 dini zimeletwa ilamnavyozishobokea😂😂 ww kazana tu ukkdhani Kuna peponi😮 ndio maana hatuendelea Africa kwa akili km zihi😂😂😂
@salimhassan3369
19 күн бұрын
@@yama_virginhairthequeen1065 Mungu akusamehe sio makosa yko
@AhmedMohamed-mw3ev
19 күн бұрын
@@yama_virginhairthequeen1065 sawa haina shida kama ni hivyo tatizo pumzi zina tuhada zitakapo chukuliwa hapo ndo tutajuwa ukweli kama ni shobo au laa
@ManirakizaOmar
18 күн бұрын
❤Amin
Allah wa waislam amemsaidia kijana kufungua kamali ili watu waendelee kubeti na kukesha kwenye kasino badala ya kukesha misikitini
@josephlorri431
18 күн бұрын
Wamechakachua dini ili kuhalalisha maovu.. wengine wamekusanya watoto wadogo kwenye concentration camp kuwafundisha ugaidi
KAMALI😢
Acha huuni ww wasanii wamekushinda ukawashike bodaboda asee
Huyu hana jipya? Kila kitu lazima am-copy yule mwenzake?
@venasmlega6727
23 сағат бұрын
Kunya ww ulimkopi nan
Unataka kusapoti maskini kwa kuchukua bukubuku zaooo daaah wazee betting ni mbaya 😢
Huna jipyaa mziki umekushinda 😅😅😅
@karimjuma4019
18 күн бұрын
Wala kande mna maneno na chuki
@user-le6jm2tf5y
18 күн бұрын
Mwambie babaako aimbe
@user-mi7yx8ew1k
18 күн бұрын
@@user-le6jm2tf5y😂😂😂😂😂😂😂
Kamari ni laana acheni kucheza kamari
𝑺𝒂𝒇𝒊 𝒔́𝒂𝒏𝒂 𝒃𝒓𝒐𝒕𝒉𝒆𝒓 𝑯𝒂𝒓𝒎𝒐𝒏𝒊𝒛𝒆