HARMONIZE AFUNGUKA SAKATA LA KUMPIGA BABA LEVO CASINO, KUFUNGUA KAMPUNI YA KUBASHIRI

Пікірлер: 126

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew969819 күн бұрын

    Vijana wenzangu tutafute hela. Tusali sana. Tujipambanie sisi na familia zetu. Harmonize.kiba.diamond.mario sjui simba na yanga wasitufanye tukeshe mtandaoni tujikumbuke. Nakaribisha matusi pia

  • @JosephDamasimushy

    @JosephDamasimushy

    19 күн бұрын

    Kumamayo bax

  • @SaidiMkome-qq7hy

    @SaidiMkome-qq7hy

    19 күн бұрын

    Wewe mwenyewe unashinda mtandaoni umeonaje🙌🙌🏃🏃🏃

  • @michaelgeorge1431

    @michaelgeorge1431

    19 күн бұрын

    Na wewe ni Kuma unatombwa​@@JosephDamasimushy

  • @michaelgeorge1431

    @michaelgeorge1431

    19 күн бұрын

    ​@@SaidiMkome-qq7hywewe ni mpumbavu

  • @RutaRubedi

    @RutaRubedi

    19 күн бұрын

    Ni kweli, anaye kutukana ipo siku atatamani akutafte akuombe msamaha ila hatakuona

  • @EnockLubengo-uu3zi
    @EnockLubengo-uu3zi17 күн бұрын

    congratulations from Zambia 🙌😍👏

  • @brightmboya596
    @brightmboya59618 күн бұрын

    Iko poa sana one konde boy congratulations

  • @isackpatrick3743
    @isackpatrick374315 күн бұрын

    Sijawahi aisee kuona interview mbaya ya harmonize kama hii

  • @reusmwampamba
    @reusmwampamba19 күн бұрын

    Ujumbe umewafikia No matter what

  • @VunjabeiVunjabei
    @VunjabeiVunjabei19 күн бұрын

    Vijana na wazee natoa ml 200 Kwa mwaka acheni kubeti piga namba hii nikusapoti

  • @masumbukomoussa977

    @masumbukomoussa977

    18 күн бұрын

    Hhhhhh namba ipi sasa

  • @RomeoGago
    @RomeoGago19 күн бұрын

    Big up bro Kila la kheri kwako konde

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz18 күн бұрын

    Hahahah mimi sina la kusema apo😂 #tellaaxistz

  • @josephlorri431
    @josephlorri43118 күн бұрын

    Acheni kamari...tufanye kazi.. Dini zote zinakataza kamari

  • @hadija846
    @hadija84617 күн бұрын

    JESHII NIPO PAMOJA NAWE WAKATI KWOTE 💐💕💕💕💕💕KONDE DAMDAM💗

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis957918 күн бұрын

    Dah! Asee eti Mwenuezi Mungu amefanikisha😭 kweli jamani? Hapana hii haikai sawa, tusipende kumshirikisha Mungu kwa mambo ya anasa tena hasa kamari ni mchezo wa laana kupitiliza si poa kumshirikisha Mungu.

  • @mwankunjatyson

    @mwankunjatyson

    18 күн бұрын

    Umenena vyema🤝

  • @AdolfPardon

    @AdolfPardon

    18 күн бұрын

    We fala kweli kwahyo asemejeee

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg15 күн бұрын

    Ayo konde ndo abari ya mjini hii imeenda❤❤❤

  • @madisonjonathan4112
    @madisonjonathan411219 күн бұрын

    Mi nmefrah tu alipoongelea ugomvi wake na baba levo kaongea Kwa busara sana

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu1019 күн бұрын

    Siasa

  • @karimjuma4019
    @karimjuma401918 күн бұрын

    Mtangazaji unaongea sana

  • @alexmbigi4878
    @alexmbigi487819 күн бұрын

    Safi ila betingi dah😢 ime nifilisi sana sina ata hamu nayo uki iendekeza sana una kufu masiki 😅😂😅

  • @vladimirputn1809

    @vladimirputn1809

    18 күн бұрын

    🙄🤔achaaatu

  • @Nasir-zc1mz
    @Nasir-zc1mz18 күн бұрын

    😂😂😂😂😂anatangaza biashara vzr harmonize dadeki

  • @nunuuali5316
    @nunuuali531618 күн бұрын

    Rajab we ndo wangu

  • @eggysulle7988
    @eggysulle798818 күн бұрын

    🔥🔥🔥👌👌

  • @Kibudu
    @Kibudu19 күн бұрын

    Unamtaja Mungu kwenye kufungua kampuni y kamali, innalillah

  • @kennethbenjamin275

    @kennethbenjamin275

    19 күн бұрын

    Uwekezaji wa kibongo bana Betting sjui mamiziki

  • @AleiHadji-js3ed

    @AleiHadji-js3ed

    19 күн бұрын

    Mtihani kweli kweli😢😢😢😢😢😢😢dahhhhhhh

  • @user-le6jm2tf5y

    @user-le6jm2tf5y

    18 күн бұрын

    Mungu unamjua ww au unatafuta jina Kuma ww

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru874618 күн бұрын

    Umejenga hoja vizuri lakini haujaonesha aliyecheza na kushindwa ananufaika vipi... angalau ungesema asilimia 10 ya pesa yake atapata...kwa mfano 1000 umeshindwa..unapata shs 100

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we19 күн бұрын

    Jeshii yaoo yaoooh

  • @allysudi4429
    @allysudi442916 күн бұрын

    Kwani hamna michongo mingine ya kuongeza production nchini na kutoa deal kwa mashabik zaid ya kamari yan kila sehemu bet kamari tu ela zenyewe ziko wapi mitaa ina njaa kufulu...??

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b19 күн бұрын

    Harmonize alichokifanya casino ndo kile kile alijaribu kufanya kwa Diamond State House...Kuiba Nyota za Wasanii...Majini amebuma😅😅😅😅😅😅

  • @user-mi7yx8ew1k

    @user-mi7yx8ew1k

    18 күн бұрын

    Tupe kithibitosho sasa baba levo ana nyota gan mpk iibwe na harmonize😮😮😮

  • @singidaprincetz1883
    @singidaprincetz188316 күн бұрын

    Daaah jmn tutafute pesa mno tuje tusaidie familia zetu jomn

  • @carrasco416
    @carrasco41618 күн бұрын

    Hawa watu hawakuji na kitu kipya. Diamond kafungua radio kila mtu sasa anafungua media, kaweka betting sasa watu wakimbia huko.

  • @jumahamadkali4683
    @jumahamadkali468318 күн бұрын

    Media kubwa ila inasema uongo

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa517918 күн бұрын

    huyu jamaa bado hajielewi intervie yako unaanza kuongelea stori za baba levo hujauliza

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi46018 күн бұрын

    Umamsapoti maskini au unazidi kumkandamiza?😅

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed325719 күн бұрын

    Mmbwa wewe unatuletea kamar fk

  • @richkaja3317
    @richkaja331717 күн бұрын

    Konde achana na kamali fanya mziki unapitia njia za baba ako mondi pita jia zako

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika501718 күн бұрын

    Badala mjenge mashule kukomboa family za kimasikini mnaanzisha michezo ya Kamali kufirisi watoto wa kimasikini

  • @JophlayVicent
    @JophlayVicent19 күн бұрын

    Sio watoto yatima

  • @omarymbalala6224

    @omarymbalala6224

    19 күн бұрын

    Unampangia tena mtu na Hela zake

  • @user-le6jm2tf5y
    @user-le6jm2tf5y18 күн бұрын

    Ukipata fulsa ww piga hela tu mambo mengitu tutakutana nayo mbele kwa mbele tukifa potelea mbali

  • @AhmedMohamed-mw3ev
    @AhmedMohamed-mw3ev19 күн бұрын

    Kamari ni haramu kwa sisi waislamu Allah akujalie uwache mziki na kila linalomchukiza Allah rudi kwa Allah Allah atujalie mwisho mwema na atujalie njanna

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    19 күн бұрын

    Kwel kabisaa

  • @yama_virginhairthequeen1065

    @yama_virginhairthequeen1065

    19 күн бұрын

    Upo na akili nyingine au ni hii tu 😢 dini zimeletwa ilamnavyozishobokea😂😂 ww kazana tu ukkdhani Kuna peponi😮 ndio maana hatuendelea Africa kwa akili km zihi😂😂😂

  • @salimhassan3369

    @salimhassan3369

    19 күн бұрын

    ​@@yama_virginhairthequeen1065 Mungu akusamehe sio makosa yko

  • @AhmedMohamed-mw3ev

    @AhmedMohamed-mw3ev

    19 күн бұрын

    @@yama_virginhairthequeen1065 sawa haina shida kama ni hivyo tatizo pumzi zina tuhada zitakapo chukuliwa hapo ndo tutajuwa ukweli kama ni shobo au laa

  • @ManirakizaOmar

    @ManirakizaOmar

    18 күн бұрын

    ❤Amin

  • @eliashibundabalinze2754
    @eliashibundabalinze275418 күн бұрын

    Allah wa waislam amemsaidia kijana kufungua kamali ili watu waendelee kubeti na kukesha kwenye kasino badala ya kukesha misikitini

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    18 күн бұрын

    Wamechakachua dini ili kuhalalisha maovu.. wengine wamekusanya watoto wadogo kwenye concentration camp kuwafundisha ugaidi

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi639418 күн бұрын

    KAMALI😢

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d19 күн бұрын

    Acha huuni ww wasanii wamekushinda ukawashike bodaboda asee

  • @Tiondo
    @Tiondo5 күн бұрын

    Huyu hana jipya? Kila kitu lazima am-copy yule mwenzake?

  • @venasmlega6727

    @venasmlega6727

    23 сағат бұрын

    Kunya ww ulimkopi nan

  • @brunomelody1174
    @brunomelody117419 күн бұрын

    Unataka kusapoti maskini kwa kuchukua bukubuku zaooo daaah wazee betting ni mbaya 😢

  • @AmourHaroub-lv8ll
    @AmourHaroub-lv8ll18 күн бұрын

    Huna jipyaa mziki umekushinda 😅😅😅

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    18 күн бұрын

    Wala kande mna maneno na chuki

  • @user-le6jm2tf5y

    @user-le6jm2tf5y

    18 күн бұрын

    Mwambie babaako aimbe

  • @user-mi7yx8ew1k

    @user-mi7yx8ew1k

    18 күн бұрын

    ​@@user-le6jm2tf5y😂😂😂😂😂😂😂

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv384619 күн бұрын

    Kamari ni laana acheni kucheza kamari

  • @manbubabubaraja5075
    @manbubabubaraja507511 күн бұрын

    𝑺𝒂𝒇𝒊 𝒔́𝒂𝒏𝒂 𝒃𝒓𝒐𝒕𝒉𝒆𝒓 𝑯𝒂𝒓𝒎𝒐𝒏𝒊𝒛𝒆

Келесі