Mzee wa upako ni miongoni mwa wachungaji ambao nawakubali sana kinywa chako kinanena maneno yenye HEKIMA sana
@williamkitigwa-ex8rt Жыл бұрын
Tuna mtaka mungu na SI magari Yako baba hayo hayatusaidii
@richardmollely2933 Жыл бұрын
hongera sana mzee wa upako hiyo ni sawa kabisa mtumishi wa Mungu pokea upako zaidi
@user-ot2io4cy6w3 жыл бұрын
Huyu Mchungaji bhana anaongeaga point sana af utani mwingi😀😀😀
@simpleboytz255 Жыл бұрын
Gwajima anamiliki Hummer, helcopter na nyumba ghorofa apo unamzidi kweli
@jonathanjocksonmushi95183 жыл бұрын
Amina napokea na pia tukutane mbinguni badaye Mungu n mwema
@Onlyforfun1992tube4 ай бұрын
Uyu mchungaji aliwahi kusema anapenda konyagi
@ramygichero10162 жыл бұрын
Nayapenda maisha yako mzee wa upako
@nyamogafamily42623 жыл бұрын
Ameen
@bevingtonjumaa70283 жыл бұрын
Wito...Uaminifu na unyenyekevu. This very true
@saidmganga35973 жыл бұрын
Safi sana mzee wa upako kwa ujumbe mzuri
@agaaah66973 жыл бұрын
Sasa dimond kanunua juzi Tanzania nzima wanajua wakat mzee wa upako anayo na tulikuwa hatujui 🔥🔥
@EREVUKATV
3 жыл бұрын
Watu wengine ndg yangu akil hawana ... We acha tu
@georgepalanjo14763 жыл бұрын
AMINA mi mwenyewa mzee was upako uliniombea nna michuma mpka mingine nimegawa na nahauna masharti yeyote na mzee wa upako hadai fidia ukifanikiwa
@dennislyatuu7259
3 жыл бұрын
Nipe moja bac, hata baiskel yakwenda chuo
@elibarikichengula15463 жыл бұрын
Mzee wa upako umetisha! Tuombeane katika utumishi wa Mungu
@dorothmtenga59343 жыл бұрын
Unayoyasema ni ya kweli mtumishi wa mungu sasa baba naamini una imani kubwa mimi nnakuomba unipe basi hata kagari kamoja mimi ni mzee kaweze nipeleka kanisani na hospitali mungu akubariki sana
@mariaclaver7721
3 жыл бұрын
Unatumia jina la yesu kupata utajiri na kuwadanganya wagonjwa na dhaifu kwa imani zao ole wao.
@rosendanshau2751
3 жыл бұрын
Saidia watu wenye makanisa madogo sapoti mabati hata kiwanja.fanya hiyo uwe na taji.usisifire nagari tu. Saidia baba
@saleheinnocent7636
Жыл бұрын
😁thubutu
@mwamakaassely2260
Ай бұрын
Mvuta bangi huyu
@ramadhanimtetu365610 ай бұрын
Mtumishi Mambo Mengi muda mchache 😂😂
@kingwatabata42303 жыл бұрын
Wewe ndio mchungaji wetu unatutia moyo sana unatufundisha namna ya kupambana na maisha💪
@josephineerasto2868
3 жыл бұрын
Pole
@mwamakaassely2260
Ай бұрын
Tunakunywa naye konyagi sana huyu mwamba, siyo mchoyo wa pombe
@thieryniyonkuru5023 Жыл бұрын
Mzee msimuonee, mbona wengine hawatozi hizo sadaka wakanunuwa magari kama yake? Wivu tuu, wivu tuu. Mzee paaa tuu upo sahihi
@esthermoraa66483 жыл бұрын
Hizo sote ni pesa za waumini,, sadaka 🙏🙏🙏🙏🙏
@tumainsawe6960
3 жыл бұрын
Sisi tunaotoa hatuumi mbona unateseka?
@cleartzboy Жыл бұрын
Ela za wahumin daah ney aliona mbali
@revocatuskakulu18543 жыл бұрын
Pastor ,aiseee ubarikiwe kwa kauli ya kuitwa na Mungu imenigusa kweli,Kama hujaitwa utahangaika hangaika tu na kujipa vyeo ambavyo sio unakuwa tapeli
@rukizaseba57413 жыл бұрын
Mungu akubariki
@mbwanamungia99213 жыл бұрын
Ujanja unamsaidia mzee wa upako
@elinajamsuya9482 жыл бұрын
Tapeli ww akunamtumishi apo usimchezee mungu
@bensoneleutely95062 жыл бұрын
Asante sana Baba
@angeljasson43763 жыл бұрын
Namkubali sana mtumishi
@user-ot2io4cy6w3 жыл бұрын
Kila mtu anaenda kwa Mchungaji anayemuamini yeye. Wewe kama utaona unaibiwa acha kwenda huko hujalazimishwa na mtu.
@matundumgweno4533
3 жыл бұрын
Hahahhaahhaha fact
@tumainsawe6960
3 жыл бұрын
Akili kubwa sana wewe
@zakiamseka9698
3 жыл бұрын
Kabisa
@jaziherminiomorasmoras17152 жыл бұрын
Wewe ukisema Mimi ni mchungaji wa kwanza kununua benzi na jery ngwamba atakuwa wa ngapi uongo huo
@angelmwakalonge95643 жыл бұрын
Hongera yake
@fediliaulomi49693 жыл бұрын
Baba yangu wa imani aliniombea nipate nyumba na nikapata kweli mungu azidi kukuinua baba
@andrewkazy3727
2 жыл бұрын
Alikuombea ukapata nyumba bila juhudi zozote?🤣🤣🤣
@danielmpole95083 жыл бұрын
Kazi njema ya Bwana Mungu
@Deonfnyoni3 жыл бұрын
Mzee wa upako baba wa kiroho umenifundisha ki2 kizuri sana kwamba ukitaka kuongea na Mungu ingia sehemu 2livu chumbani na omba asante sana baba
@Dr.frankrichard2 жыл бұрын
Amen Mungu ni Mwema na mwaminifu
@josephsira15843 жыл бұрын
Hongera mzee wa upako
@ebenezermachange10732 жыл бұрын
Amen
@lulanjamd38863 жыл бұрын
Mungu ameahidi kumtajilisha mtu yeyote anayetii Biblia inasema mkitii mtakula mema ya nchi
@matundumgweno4533
3 жыл бұрын
Umenena dada
@gracekagoma3231
3 жыл бұрын
Si Kweli
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
si kila mtu anayetii maagizo ya Biblia anatajirishwa! kuna watu wengi waaminifu lkn maisha hao ni magumu! hvy hatutii neno la Mungu ili tufanikiwe ktk maisha! bali tunatii maagizo ya Mungu kwa sababu ndivyo Mungu anavyotusihi! ukifundisha watu hvy eti kila mtu anayetii Neno la Mungu atatajirishwa huyo mtu akiwa mwaminifu half asitajirishwe atamwona Mungu ni tapeli na mwongo! Maandiko Matakatifu yanatuambia "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa" Mathayo 6:33
@nataliakenny50293 жыл бұрын
Alieskia chai jaba na nungaembee anipe like😂😂😂😂😂
@emmanuelndembeka67513 жыл бұрын
Daah! Hatari MUNGu atatuchoma mzee wa upako amenogewa na raha za dunia mpaka inafika mahali anasema wazungu wanataka ibadili dunia kuwa kama mbinguni huko ni kukufuru
@amanimlengwa9202
3 жыл бұрын
Yaaani wewe, kote huko, katika yote hayo mazuri aliyoyaongea ya kifalme na ya maana sana ulikuwa unatafuta tu mahala utakapo hukumu tu... Umashida sana ndugu, Nadili mtazamo wako and stop being pessimist man.
@JosephSimiyu2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@joshymalinyo60573 жыл бұрын
Mzee anamambo ya muhimu asee
@mussamabawa29732 жыл бұрын
Big up mzee wa Upako
@monicalaizer7596 Жыл бұрын
Sema watu wapone😄😄😄
@nantaembanusurupia56743 жыл бұрын
Anamzidi ngwajiboy kwa mbalii sana huyu hakuwahi kuwaza ubunge
@timboxlee9193 жыл бұрын
Uko sawa mzee wa upako,uko vzr chifu wewe hela unazo siku nyingi
@feliciangosplemusicpeter8498
3 жыл бұрын
Hongela mzee upo sawa
@paulmwakilembe45733 жыл бұрын
Mungu anakuona amina
@yonathanimachinga3435 Жыл бұрын
Kujitapa si tabia ya kiungu , naona kila siku kujitapa na mali tu tutaziacha Dunian tengeneza njia ya mbinguni
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Sadaka za watu hizo hongera sana
@blantonthecrazyart31243 жыл бұрын
Maneno yako ya na baraka sana
@bernardmasangula93583 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza hamjanidanganya nyie ptv waongo ongo.
@cvanoedward30933 жыл бұрын
Nimeichukua hiyo "ukitembea na waridi utanukia"
@amirikoshuma30393 жыл бұрын
Basi sawa
@dannyboytz61983 жыл бұрын
Duh noma
@oboteobote16962 жыл бұрын
Si anipatie moja mimi
@maximusfrancois50043 жыл бұрын
Mzee wa upako ww jembe kweli SASA umesomesha watoto wangapi yatima? Hio ndio sifa. Maendereo pia ni mema Sana. Bado ndege Mzee wetu.
@khadijavassardanis31783 жыл бұрын
Safiii mzee
@mrematvbabakoku83363 жыл бұрын
Safi sana baba yake na nabii shila mwanao nabii shila atasubiri hapa na mbagala
@justineisacki87403 жыл бұрын
Dah jamni mh
@MrCLove-tt2qd3 жыл бұрын
safi sana
@EREVUKATV3 жыл бұрын
Nakupenda sana mzee wangu
@Zaikadena3 жыл бұрын
Kwel ni neema kwa mungu hakuna kinacho shindikana
@martinbruno90713 жыл бұрын
Nimecheka sana,ila good point.
@kennethngoleka5173 жыл бұрын
Ni kweli kabisa na uzidi kubarikiwa
@jimmymathias5302
2 жыл бұрын
Mungu akupe miaka mingie uko vizur
@salummzee9739 Жыл бұрын
Vijana wote hao bado hawaja kuwa wakikuwa wata wacha
@reginaosward61703 жыл бұрын
Hubiri neno ,mwenye upako ni Yesu siyo maji
@cosmaslunyembeleka2512 жыл бұрын
Hapa kazi tu na kazi liendelee
@gipsonsteven64493 жыл бұрын
Mmmmh ni noumaaaaaaa
@kaskazpsjaphetwillfred49792 жыл бұрын
Wewe no mshamba Sana mzee
@prophetmlokozi46333 жыл бұрын
😅😅😅 Haleluya
@festuschunya70673 жыл бұрын
Ni kweli habari hiyo!!ya maandiko!!
@cherishmlambo28133 жыл бұрын
Kweli kabisa baba
@winnysyombuandambuki54753 жыл бұрын
Tulilieni ufalme wa mungu kuliko ufalme wa duniani
@jaziherminiomorasmoras17152 жыл бұрын
Subiria moto tu mtu wangu
@christophersikaonga87143 жыл бұрын
Morning sasa mtumishi hujui gari lako
@kataninyido4012 жыл бұрын
Hatar Sana
@eliaspeter28642 жыл бұрын
Ivi mzee wa upako ni mtumishi??au ni mzee wa porojo??mie uwa simuelewagi kwakweli
@salehyussuf11572 жыл бұрын
Hela zakondoo hahha
@shayopaterini86783 жыл бұрын
Umenifurahisha saana kwa mamiss hapo
@geraldlyimo28593 жыл бұрын
Japo sio muumini wake nimemwelewa ila wenye wivu hawatamsikiliza barikiwa
@davianofficial69723 жыл бұрын
Tutkula mema ya nchi Neno lishasema
@mpetafrank71953 жыл бұрын
Mzeee wa upako umetisha mzee Ila Napendaga sana ukianza ku unguruma vyenye vipindi vyako
@odhiaodhia98983 жыл бұрын
Umeongea point sana mzee
@jaxxwade2873
2 жыл бұрын
I guess it is kind of randomly asking but do anybody know of a good website to watch new tv shows online ?
@pedroemmett3509
2 жыл бұрын
@Jaxx Wade Ehh I'd suggest Flixportal. you can find it thru google =) -pedro
@jaxxwade2873
2 жыл бұрын
@Pedro Emmett thank you, I went there and it seems like a nice service :D I really appreciate it!!
@mustaphamkawa50523 жыл бұрын
Piga ela za maboya then katambe.....hahahaa kwel kila mtu ana njia zake za kujipatia kipato
@margarethpolepole7438
3 жыл бұрын
Mustapha sana usemavyo wajinga ndiyo waliwao
@highvoltages4169
3 жыл бұрын
Hela za maboya kama wale maboya wa misikitiini waliopigwa hela na Dr.Sule
@saimonijonas4356
3 жыл бұрын
Maisha ni imani.Ishi vile unavyo amini,ndipo utakapo fanikiwa.Mtu anaamini kupitia mchungaji nitakutana namatokeo mema ya maisha yake wacha aamini.Wapo wanaoamini bila kwenda kwa waganga hawawezi kufanikiwa.Naukiangalia mganga hata kiatu kizuri hana anakuambia utapata gorofa wakati yeye yupo nyumba ya nyasi.Maisha ni imani.
@Onlyforfun1992tube
4 ай бұрын
@@highvoltages4169we umejuaje dokta sule au we muislamu ??
@mwendelebenitho50083 жыл бұрын
Namashaka sana nahuyu mchungaji kwann anamchukia sana daimond🤔🤔🤔
@dullahoroond52413 жыл бұрын
Nataman ungekuwa muislamu siku moja kabla haujaondoka Duniani
@geofreyfelix86
3 жыл бұрын
Kwani uislam na UKRISTO zote ni IMANI yako ndo kawa MKRISTO
@livingmunisi59633 жыл бұрын
Mmesahau akina joedev
@edwinalexander11703 жыл бұрын
Wazungu Hawawezi kumfikia Mungu, na kamwe Hawawezi kufanya hii Dunia Iwe mbinguni. Hapo unakosea
@gloriatoo22
3 жыл бұрын
Amekosea wapi..wewe ndio haujamuelewa ndugu...
@tumainsawe6960
3 жыл бұрын
@@gloriatoo22 good
@billionaireoswardkanyala13073 жыл бұрын
Hahahahhaha ila mzee wa upako buana MUNGU anakuona
@ntakirutimanapierre23453 жыл бұрын
Sasa uyu anamzidi rwanjima?
@evelinelema33953 жыл бұрын
Watu wa Mungu mnatakiwa kumfollow Imani mcimbwa KZread harakka kabla hamjachelewa
@gracekagoma32313 жыл бұрын
Ulipe kodi.
@bostonogoti14602 жыл бұрын
Mali unafa unaaja duniani
@matukutajuma1562 жыл бұрын
LUKUSEKELO NAKUEKEWA SANA KAKA
@yusufubashiriyusufubashiri28493 жыл бұрын
Hi
@denniskirimi96972 жыл бұрын
Zikuamini Mimi Niko kenya
@kiri58073 жыл бұрын
ati hawadanganyi 😂😂😂
@mahfoudhcalender27473 жыл бұрын
Uyo ni mwizi tu
@heritier51193 жыл бұрын
Kanawiri siku hizi
@kanyeewastee29763 жыл бұрын
huu mchungaji haeleweki kabixa anaonekana hamuombie Mungu tunaemjuwa
@staralive92603 жыл бұрын
Mbona mtangazaji umemuhoji Mch. Akiwa kwenue Fansi.
Пікірлер: 428
Mzee wa upako ni miongoni mwa wachungaji ambao nawakubali sana kinywa chako kinanena maneno yenye HEKIMA sana
Tuna mtaka mungu na SI magari Yako baba hayo hayatusaidii
hongera sana mzee wa upako hiyo ni sawa kabisa mtumishi wa Mungu pokea upako zaidi
Huyu Mchungaji bhana anaongeaga point sana af utani mwingi😀😀😀
Gwajima anamiliki Hummer, helcopter na nyumba ghorofa apo unamzidi kweli
Amina napokea na pia tukutane mbinguni badaye Mungu n mwema
Uyu mchungaji aliwahi kusema anapenda konyagi
Nayapenda maisha yako mzee wa upako
Ameen
Wito...Uaminifu na unyenyekevu. This very true
Safi sana mzee wa upako kwa ujumbe mzuri
Sasa dimond kanunua juzi Tanzania nzima wanajua wakat mzee wa upako anayo na tulikuwa hatujui 🔥🔥
@EREVUKATV
3 жыл бұрын
Watu wengine ndg yangu akil hawana ... We acha tu
AMINA mi mwenyewa mzee was upako uliniombea nna michuma mpka mingine nimegawa na nahauna masharti yeyote na mzee wa upako hadai fidia ukifanikiwa
@dennislyatuu7259
3 жыл бұрын
Nipe moja bac, hata baiskel yakwenda chuo
Mzee wa upako umetisha! Tuombeane katika utumishi wa Mungu
Unayoyasema ni ya kweli mtumishi wa mungu sasa baba naamini una imani kubwa mimi nnakuomba unipe basi hata kagari kamoja mimi ni mzee kaweze nipeleka kanisani na hospitali mungu akubariki sana
@mariaclaver7721
3 жыл бұрын
Unatumia jina la yesu kupata utajiri na kuwadanganya wagonjwa na dhaifu kwa imani zao ole wao.
@rosendanshau2751
3 жыл бұрын
Saidia watu wenye makanisa madogo sapoti mabati hata kiwanja.fanya hiyo uwe na taji.usisifire nagari tu. Saidia baba
@saleheinnocent7636
Жыл бұрын
😁thubutu
@mwamakaassely2260
Ай бұрын
Mvuta bangi huyu
Mtumishi Mambo Mengi muda mchache 😂😂
Wewe ndio mchungaji wetu unatutia moyo sana unatufundisha namna ya kupambana na maisha💪
@josephineerasto2868
3 жыл бұрын
Pole
@mwamakaassely2260
Ай бұрын
Tunakunywa naye konyagi sana huyu mwamba, siyo mchoyo wa pombe
Mzee msimuonee, mbona wengine hawatozi hizo sadaka wakanunuwa magari kama yake? Wivu tuu, wivu tuu. Mzee paaa tuu upo sahihi
Hizo sote ni pesa za waumini,, sadaka 🙏🙏🙏🙏🙏
@tumainsawe6960
3 жыл бұрын
Sisi tunaotoa hatuumi mbona unateseka?
Ela za wahumin daah ney aliona mbali
Pastor ,aiseee ubarikiwe kwa kauli ya kuitwa na Mungu imenigusa kweli,Kama hujaitwa utahangaika hangaika tu na kujipa vyeo ambavyo sio unakuwa tapeli
Mungu akubariki
Ujanja unamsaidia mzee wa upako
Tapeli ww akunamtumishi apo usimchezee mungu
Asante sana Baba
Namkubali sana mtumishi
Kila mtu anaenda kwa Mchungaji anayemuamini yeye. Wewe kama utaona unaibiwa acha kwenda huko hujalazimishwa na mtu.
@matundumgweno4533
3 жыл бұрын
Hahahhaahhaha fact
@tumainsawe6960
3 жыл бұрын
Akili kubwa sana wewe
@zakiamseka9698
3 жыл бұрын
Kabisa
Wewe ukisema Mimi ni mchungaji wa kwanza kununua benzi na jery ngwamba atakuwa wa ngapi uongo huo
Hongera yake
Baba yangu wa imani aliniombea nipate nyumba na nikapata kweli mungu azidi kukuinua baba
@andrewkazy3727
2 жыл бұрын
Alikuombea ukapata nyumba bila juhudi zozote?🤣🤣🤣
Kazi njema ya Bwana Mungu
Mzee wa upako baba wa kiroho umenifundisha ki2 kizuri sana kwamba ukitaka kuongea na Mungu ingia sehemu 2livu chumbani na omba asante sana baba
Amen Mungu ni Mwema na mwaminifu
Hongera mzee wa upako
Amen
Mungu ameahidi kumtajilisha mtu yeyote anayetii Biblia inasema mkitii mtakula mema ya nchi
@matundumgweno4533
3 жыл бұрын
Umenena dada
@gracekagoma3231
3 жыл бұрын
Si Kweli
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
si kila mtu anayetii maagizo ya Biblia anatajirishwa! kuna watu wengi waaminifu lkn maisha hao ni magumu! hvy hatutii neno la Mungu ili tufanikiwe ktk maisha! bali tunatii maagizo ya Mungu kwa sababu ndivyo Mungu anavyotusihi! ukifundisha watu hvy eti kila mtu anayetii Neno la Mungu atatajirishwa huyo mtu akiwa mwaminifu half asitajirishwe atamwona Mungu ni tapeli na mwongo! Maandiko Matakatifu yanatuambia "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa" Mathayo 6:33
Alieskia chai jaba na nungaembee anipe like😂😂😂😂😂
Daah! Hatari MUNGu atatuchoma mzee wa upako amenogewa na raha za dunia mpaka inafika mahali anasema wazungu wanataka ibadili dunia kuwa kama mbinguni huko ni kukufuru
@amanimlengwa9202
3 жыл бұрын
Yaaani wewe, kote huko, katika yote hayo mazuri aliyoyaongea ya kifalme na ya maana sana ulikuwa unatafuta tu mahala utakapo hukumu tu... Umashida sana ndugu, Nadili mtazamo wako and stop being pessimist man.
Barikiwa mtumishi
Mzee anamambo ya muhimu asee
Big up mzee wa Upako
Sema watu wapone😄😄😄
Anamzidi ngwajiboy kwa mbalii sana huyu hakuwahi kuwaza ubunge
Uko sawa mzee wa upako,uko vzr chifu wewe hela unazo siku nyingi
@feliciangosplemusicpeter8498
3 жыл бұрын
Hongela mzee upo sawa
Mungu anakuona amina
Kujitapa si tabia ya kiungu , naona kila siku kujitapa na mali tu tutaziacha Dunian tengeneza njia ya mbinguni
Sadaka za watu hizo hongera sana
Maneno yako ya na baraka sana
Kwa mara ya kwanza hamjanidanganya nyie ptv waongo ongo.
Nimeichukua hiyo "ukitembea na waridi utanukia"
Basi sawa
Duh noma
Si anipatie moja mimi
Mzee wa upako ww jembe kweli SASA umesomesha watoto wangapi yatima? Hio ndio sifa. Maendereo pia ni mema Sana. Bado ndege Mzee wetu.
Safiii mzee
Safi sana baba yake na nabii shila mwanao nabii shila atasubiri hapa na mbagala
Dah jamni mh
safi sana
Nakupenda sana mzee wangu
Kwel ni neema kwa mungu hakuna kinacho shindikana
Nimecheka sana,ila good point.
Ni kweli kabisa na uzidi kubarikiwa
@jimmymathias5302
2 жыл бұрын
Mungu akupe miaka mingie uko vizur
Vijana wote hao bado hawaja kuwa wakikuwa wata wacha
Hubiri neno ,mwenye upako ni Yesu siyo maji
Hapa kazi tu na kazi liendelee
Mmmmh ni noumaaaaaaa
Wewe no mshamba Sana mzee
😅😅😅 Haleluya
Ni kweli habari hiyo!!ya maandiko!!
Kweli kabisa baba
Tulilieni ufalme wa mungu kuliko ufalme wa duniani
Subiria moto tu mtu wangu
Morning sasa mtumishi hujui gari lako
Hatar Sana
Ivi mzee wa upako ni mtumishi??au ni mzee wa porojo??mie uwa simuelewagi kwakweli
Hela zakondoo hahha
Umenifurahisha saana kwa mamiss hapo
Japo sio muumini wake nimemwelewa ila wenye wivu hawatamsikiliza barikiwa
Tutkula mema ya nchi Neno lishasema
Mzeee wa upako umetisha mzee Ila Napendaga sana ukianza ku unguruma vyenye vipindi vyako
Umeongea point sana mzee
@jaxxwade2873
2 жыл бұрын
I guess it is kind of randomly asking but do anybody know of a good website to watch new tv shows online ?
@pedroemmett3509
2 жыл бұрын
@Jaxx Wade Ehh I'd suggest Flixportal. you can find it thru google =) -pedro
@jaxxwade2873
2 жыл бұрын
@Pedro Emmett thank you, I went there and it seems like a nice service :D I really appreciate it!!
Piga ela za maboya then katambe.....hahahaa kwel kila mtu ana njia zake za kujipatia kipato
@margarethpolepole7438
3 жыл бұрын
Mustapha sana usemavyo wajinga ndiyo waliwao
@highvoltages4169
3 жыл бұрын
Hela za maboya kama wale maboya wa misikitiini waliopigwa hela na Dr.Sule
@saimonijonas4356
3 жыл бұрын
Maisha ni imani.Ishi vile unavyo amini,ndipo utakapo fanikiwa.Mtu anaamini kupitia mchungaji nitakutana namatokeo mema ya maisha yake wacha aamini.Wapo wanaoamini bila kwenda kwa waganga hawawezi kufanikiwa.Naukiangalia mganga hata kiatu kizuri hana anakuambia utapata gorofa wakati yeye yupo nyumba ya nyasi.Maisha ni imani.
@Onlyforfun1992tube
4 ай бұрын
@@highvoltages4169we umejuaje dokta sule au we muislamu ??
Namashaka sana nahuyu mchungaji kwann anamchukia sana daimond🤔🤔🤔
Nataman ungekuwa muislamu siku moja kabla haujaondoka Duniani
@geofreyfelix86
3 жыл бұрын
Kwani uislam na UKRISTO zote ni IMANI yako ndo kawa MKRISTO
Mmesahau akina joedev
Wazungu Hawawezi kumfikia Mungu, na kamwe Hawawezi kufanya hii Dunia Iwe mbinguni. Hapo unakosea
@gloriatoo22
3 жыл бұрын
Amekosea wapi..wewe ndio haujamuelewa ndugu...
@tumainsawe6960
3 жыл бұрын
@@gloriatoo22 good
Hahahahhaha ila mzee wa upako buana MUNGU anakuona
Sasa uyu anamzidi rwanjima?
Watu wa Mungu mnatakiwa kumfollow Imani mcimbwa KZread harakka kabla hamjachelewa
Ulipe kodi.
Mali unafa unaaja duniani
LUKUSEKELO NAKUEKEWA SANA KAKA
Hi
Zikuamini Mimi Niko kenya
ati hawadanganyi 😂😂😂
Uyo ni mwizi tu
Kanawiri siku hizi
huu mchungaji haeleweki kabixa anaonekana hamuombie Mungu tunaemjuwa
Mbona mtangazaji umemuhoji Mch. Akiwa kwenue Fansi.
Hamna kitu uongo