PARKING YA DIAMOND YENYE THAMANI YA BILLION 2 KWA GARI ZA BEI MBAYA
Ойын-сауық
Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
KZread: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
Пікірлер: 31
Hongera sana kaka Simba 🥰🥰
Jamani jamapesa ipo
Umetisha
Nakukubali mondy
Hi ndo tatizo yakuwa na msaani umoja aliye na pesa ..vyote vina wa shangaza😂😂😂...
Wee mwehu gal la fremason ndo unatutambia shetan wew
🔥🔥🔥🔥
Jaman mwambieni huyo Mungu anasema aluke luke lkn mwisho wa siku ni wa Mungu
SIMBAAAAA UNAMPA LOFA H.BABA PRESHA
Vyote vya kupita tu....
tumia baba maisha mafupi yajayo hayatabiriki
Hiyo rolls royce pekee ake ni billion 2...alafu mnasema parking ni nzima ni billion 2. Embu kuweni serious bhas
@dieudonnebigirimana8083
3 жыл бұрын
Lijinga hili litangazaji halina akili. Gali zote za diamond zinakaribia 7B
Bigboss❤️
@shabanitobeko6935
Жыл бұрын
Mmiliki wa wasafi
Mmilj
Na ginimbi alikuaga hvyo hvyo lakin ameviacha
@hamisikabwe3980
3 жыл бұрын
Kwani hata wewe utaondoka na nini kaka
@dieudonnebigirimana8083
3 жыл бұрын
Mbona unanuna🤣🤣🤣diamond ataacha alama kubwa duniani,ww utaacha nini? Diamond anasaidia watu wengi kadili anavyoweza. Hawezi kusaidia kila viumbe vyote. Mwenye kusaidia viumbe vyote ni mungu tu. Acha roho mbaya.M/mungu akikuruzuku razima ufurahi.
Iyoo no kufuluu simbaaaa
Hi n illuminati
😀😀😀😀😀 pga upya hesabu ndg yang
@johnsonnade7476
3 жыл бұрын
Mjumbe wa shetani
Rolls roys mpya unaijua wewe toa ulimbukeni mtu anunue vicheni ajipost analipa alafu gari kama hiyo ya 2021 aache post akiwa analipia afanye kama davido alfu baada ya hapo inapigwa sold to davido. Sasa hata ukiuliza kampuni ya wateja walionunua rolls roys 2021 nasibu alipo jina lake vipi ye katumia jina gani au chimbu. Alafu hata seat cover hazina karatasi ya kuchana haya dasboard ata kale kakubandua kwenye redio ikiwa mpya hakuna.
@juvenalndoshilo6453
3 жыл бұрын
Acha uchoko nawewe hata akinunua mzee inakuhusu nini akat niyake acha usinchi basi
Hizo ni Mali za masonic kwani kwa ginimbi ilikuaje usitamani Mali kama hizo coz mashart yake ni magum nyie mtasema ana Mali zenye thaman na umaarufu kumbe anamani ajitoe lakin ndo hivo haiwezekan
Diamond mrudie mungu akhira na kaburi inatuongoja
@yahyayussuf5718
Жыл бұрын
Kweli kabisa bro hana habari na akhira
Lijinga hili litangazaji halina akili. Gali zote za diamond zinakaribia billions 7
@richardsaidi2448
Жыл бұрын
Kabisa.
Kwa shida ya utajiri, Kazi, biashara, mapenzi +255674122465