GHETTO LA KWANZA LA HARMONIZE KIJIJINI KWAO / SIJAZALIWA TAREHE 3 OCTOBER
Ойын-сауық
@harmonize_tz Akituelezea Safari Nzima ya alivyokuwa akiishi kijiji kwao na nini amepanga kubadilisha kijijini kwao,amepiga story nyingi na @motown_sanya
#wasafi#motown_sanya
Пікірлер: 1 000
Real men never FAKE life...ako muwazi na familia yake ameweka ustar kando...mahusiano mazuri na wazazi majirani na marafiki...much love harmonize 😍😍😘😘😗😗😗
@owenijackson3421
3 жыл бұрын
XXX video
Bora anapeleka mpenz wake nyumba kwao sio wengine wanaongopa naomben like zen umefanya kitu kizuri
@ramsokhamis9262
5 жыл бұрын
Aaahh umetishaa saanaa ni kwelii kabisa best...
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Aziza Mkindi sanaaa
@yasiniselemani2412
5 жыл бұрын
Hajafunga ndoa hivo ni umalaya tu
@emanueljohanes4090
5 жыл бұрын
Sure
@azizamkindi1784
5 жыл бұрын
Kila laher mfunge ndoaa sio mzin
Nimefurah kuona yupo happy na baba yake km rafiki yake hongera rajabu
@juniorbayyo9209
5 жыл бұрын
Somoe Mmanu @@xo kama bossi wake amby ni kama adui na baba ake
@maryammohd1826
5 жыл бұрын
Amshaur na mond amrudie babake
@navaanyuki4436
5 жыл бұрын
Huyo sio bb yake mzaz
@somoemmanu3513
5 жыл бұрын
@@navaanyuki4436 uyo baba yake mzazi
@paulmahila995
5 жыл бұрын
R
Kitu ambacho nimekipenda huna fake life una really life, huna maisha ya kuigiza ni mkwel na muaz. Mastaa kbao wanaficha vijiji vyao,
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Abasi Makunguru kweli kabisa
@sylviemutwale9527
5 жыл бұрын
Kweli umeongea point
@pichunakichuna2111
5 жыл бұрын
Well said I really like that
@eventelias3566
5 жыл бұрын
Nmemuelewa sana kwa kweli imeondoa fikra tofauti nlikuwa namchukulia
@managermipango2843
5 жыл бұрын
@@eventelias3566 Dah, hata Mimi bro, nilivyokua namchikulia tofaut. Na naamin kafungua milango Kwa wasanii wanao ona haibu kujiweka wazi,wataona kumbe kawaida tu,wataiga
kuonyesha ulimwengu ulikotoka si suala rahisi.........it's grateful to appreciate your background
@ellenkamanzi3505
3 жыл бұрын
Nahasa uwe umetokea sehem kama iyo kweli uyukaka kafanya jambo la busara
Tokea Seattle, Washington... bado tuko na wwwe kijijini.. like what you doing bruh.. kipeth real forever.. happy birthday!!
Hongera sana Konde boy kwa kuenzi maisha ya kijamaa pia kwa kukumbuka nyumbani uliko toka, Hizo ni baraka brother.
Mashallaha rajabu🙏🙏mungu azidi kukupa ela usidi kujenga kwenu
Ivi wanaombaga like uwa mnazifanyiaga nini😩😩😩basi na Mimi naombeni like🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deborapaschal3582
4 жыл бұрын
😄😄😄
@gracejoseph3455
4 жыл бұрын
Malaika Izegelle
@dadjustarboy2078
4 жыл бұрын
Zinamaanayake😀😀😀
@allyogen9173
4 жыл бұрын
Mashalla hamonainzi uko vizuri bur
@iamkixankiller6973
4 жыл бұрын
daaaaaaah
Sarah didn't react when Harmonize said I was born here...God bless my brother with a Queen!!!! Melbourne, Australia.
duuh good sanaaaa kaka harmonize Nimeipenda sanaaaa hiyoooo couple....kma na wewe umeipata hiiii gonga like
Baku kubali sana harmonize kama na ww upon miongoni mwa watu mnaomkubali tafdhali naomba LIKE yako
Ni kweli wazungu Wa Realy love haswa na popote wao wataishi Alimradi Anakupenda. Ni kweli Raji Ulichokiongea.
@tumainimango8140
5 жыл бұрын
Mzungu kampenda hamornize hadi namwonea huruma
@georgematahimba5242
5 жыл бұрын
Hana makuu. Safi sana
@georgematahimba5242
5 жыл бұрын
Jamaa yuko simple sana. Nimempenda.
@mussahmanyehe267
5 жыл бұрын
Hahaha Huyo mbongo was lushoto
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
oman1212 oman1212 Nikweli kabisa
Mashallah mungu akubarik uzid kutimiz ndoto zako inshallah
@samwelmahenge52
4 жыл бұрын
Khadija Qatar konde boi mungu akupe wepesi ktk maisha yako
Haaale nmekuwa watono kuko menti naomben like zangu
@kasimuallyakome1864
5 жыл бұрын
Mado love Tanzani nc
HAMORNIZE uwe na moyo huo hup wa kuthamin wazaz wako muache mond alemee upande mmoja big ap sana kaka Allah atakulipa kheri mbona ukijenga hapo kweni hizo vila swawabu nying sana
Mzungu kwanza anapenda mazingira ya mwitu mwitu Allah awasimamie..nimempenda huyu baba..sara uvaege nguo ukienda kwa wakwe
@lipymuscat4779
5 жыл бұрын
Huyu sara ndio nini kuvaa nguo za mjini...
@mbodzebemasika7477
5 жыл бұрын
@@lipymuscat4779 yaani....siku.nyengine avae hata dress ya mikono mirefu angalau
@julianamaadam7375
5 жыл бұрын
Afadhal umeongea😅😅😅😅
@lovenessdiva7132
4 жыл бұрын
Good point
@justawachawachezesinimtoto398
4 жыл бұрын
Apo sasa kwani hakuambiwa wa naenda wapi? Ndio avalie nguo unafunia uchi wake
Big up bro..mshauri basi hata na boss wako...we mamako alikosana na babako ukiwa miaka miwili na unamuenzi babako na hizo ndo barraka kakangu vipi mond...mshauri bana aishi Kama wewe
@zulfamohamed4549
5 жыл бұрын
mama nababa kukosana nisiyo wazazi mumusishe mtoto kwenye ugov weni yan ikitokea mzazi mmoja wapo amemusisha mtt kwenye ugovu wawao wazazi bas itakuwa atali mtoto akisha ipokea ile sumu yamaneno yamzazi mmoja wapo ila mama mond amekosea mtoto kumlea kwakisasi chakumlipizia mama yake mzazi mgovi waliokuwa nao wao wawili
@bennyasseralfred3811
5 жыл бұрын
Wellington Ndoro bro hilo niwazo nzuri ila inategemeana labda huo mama armo anadini sana nakueshimu allah sana. na yule mama wa mond labda ameshapekekwa na Dunia unakuta c mshauri muzuri kwa mond
2023 watching this I love you harmonize❤❤❤❤
Dogo HARMONIZE upo sawa sana nyumbani ndiko kwenye baraka zote na wasanii wengine waonyeshe nyumba walizozaliwa huko vijijini kwao wengi hawawezi maana wanaogopa kudhalilika big up sana dogo
@allywally5799
5 жыл бұрын
mzee kichwa kinakribia kupasuka doooooh
@willymwanza8813
4 жыл бұрын
nice brother
konde boi you are amazing guy, uko real sana Mungu akubarki
Yani Harmonize utafika mbali zaidi Mungu hupenda tuwasaidie watu tunapofanikiwa, mpango wa kujenga villa ili ukoo ndugu zako wakae pamoja ni jambo kubwa sana, wasomi wakisoma wanatokomea peke yao ht kwao hawaendi, ninayo mifano take it from me!
Napenda kiswahili ya konde boy nakupenda....nipee likes Aki leo msininyime
@adreckmgombela8069
3 жыл бұрын
Iyo
ila jitahidi uwabadilishie sipendi mutoe misaada kwa watu wakati ndugu zenu wanapata shida
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Zumbe Shauri huyu jamaa anasaudia sana ndugu pia tatizo mtwara nyumba zao hawapendi kukarabati nje sababu ya udongo wao na wanapenda still kuwe kam kijijini ile culture isipotee
@julianamaadam7375
5 жыл бұрын
Kumbuka kasema kuanzia mwakan ataanza kuwajengea ndg zake sa cjui awabadilishe ngoz
Safa wewe mashallah uko na mapenzi ya kweli yani uko unaosha masufuria ya jiko la kuni mmmh honger
Masha shallah rajab ❤👍👍👍
Wekeni crip ndefu bwana wengine tunajifunza mengi kupitia harmoniz
@jennifermsungu8230
5 жыл бұрын
Loh nawe huwach
@nicholausmbilinyi3587
5 жыл бұрын
Kabisa aisee
@pichunakichuna2111
5 жыл бұрын
True
@JosephMhecha
5 жыл бұрын
Jamaa yuko poa.
@zaynabali6109
3 жыл бұрын
Ukweli 🙏🙏
Huyu na shilole hawajivungi wapp social sana, big up home ni home tu
@samwelimoshi4442
5 жыл бұрын
Diamond jee
Konde boi nashukuru unapenda sana baba yako hapo sawa kwa kumjali baba, bosi wako du !
Safi sana kukaa ukapatana na wazazi wako, wakafurahi hata kama mzazi alikufnyia sivyo, usiweke bifu bora ukanyamza utaonekan bora
@pendojohn7962
5 жыл бұрын
hbd Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele
Team kenya wapi likes za rajab 🙌🙌
@abuhermano8172
4 жыл бұрын
Owh sory
@ramagirik9785
3 жыл бұрын
Jamn wap apo kw kin harmonez
ma sha Allah hongera kaka ang mung akufikishe sana
I really love what you did my brother........so sweet
Baba Harmonize anajiskia kwa vyienye ajatolea jasho😢 Harmonize nakupenda bure coz u are not like vijana wengine baba zao wakiwatelekeza hawaezi msaidia baba
duuu uko vizuri km jina lako hongera sana sana
Huyo dadangu anaupendo thabit mana mazngra anayotembezw af haonesh chcht ila mbongo xx nae pangechimbka angeomb kurdshw mjin
@veronicacharles9197
5 жыл бұрын
He he he
@missyabdull142
5 жыл бұрын
hahaha
@m.mmarckus6298
5 жыл бұрын
Siyo upendo tu,asiri ya wazungu wengi wao wanapenda sana maisha ya uswazi wanakuwa wanajifunza vitu vingi.kwahiyo mm Sara simshangai ndivyo walivyo hawana ubaguzi wa mazingira
@yustinhhari5085
5 жыл бұрын
mbogo angeact mbele ya kamera
@joycejohn7754
5 жыл бұрын
Au angejfanya awez kutembea
Congrats and HAPPY BIRTHDAY my favorite artist
MashaaAllah. Raji Umefanya Jambo la mana. Allah Azid kukupa kheir zaid
@gambagumu6531
5 жыл бұрын
Acha kutumia maishalah Kwa jambo LA shali mziki ni haram
@wazirigorge366
5 жыл бұрын
@@gambagumu6531 kweli kabisa bro
@mudyiabas4812
5 жыл бұрын
masha Allah unajuamaana yake inavotumik??????
@omanoman-gs4zb
5 жыл бұрын
@@mudyiabas4812 labda weye Unajua mana yake. Na ndiye Uliye soma Mpk Ukahitim.
@felisterhaule7423
2 жыл бұрын
Mashaallah kwa mamb ya kijinga, miziki yao inakufu disha nn Bali inakufundisha kuzini tu na I nashawishi zinas tu
Allahumma bareek Inshallah Mkataa kwao mjinga Home Sweet home Enjoy 👏👏👏
@aysherothman4447
5 жыл бұрын
Amiin
@joshuamakub4353
5 жыл бұрын
katisha sn mwamba like kma unamkubl @kondeboy
@alghurabaa6884
5 жыл бұрын
allahumma barik kwenye zinaa subhana llah ..wew wa wapi
real love forever will stay in hart
Nani mwingine alivyoona mzee alivyokuwa anadunda kwa mwendo wa kujivunia...😄😄😄😄😄 naona tu coments ila sijaona mnatakia heri ya kuzaliwa HBH2UUUUU\UU
@carolineedwin867
5 жыл бұрын
Hahaha
@aggygenge1157
5 жыл бұрын
nimemuonaaaa hahaaa then akawa anapiga story na Sarah
@witnesschezue6794
5 жыл бұрын
Hahahaa dingi na mwendo kabadil chezea ww
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Anajivunia huyo
we ni star wa kweli unakumbuka palipo kukuza big up chaliii
Very green street pazuri Sana Nice one
Kupendwa Raha kweli cheki Sarah 😘😘😘😍
@xaviersalimo6558
2 жыл бұрын
Wewe uja way kupedwa?
hmmm mzungu hacoki kutembeya dah!, hivi kwa kweli Mondi akiona haya haoni kuwa Condeboy amemzidi maarifa 😏
@nicholausmbilinyi3587
5 жыл бұрын
Kama haoni bas hana macho kabisaa..dogo anampa ujumbe amsamehe baba yake.
@jamesmayunga5802
5 жыл бұрын
mimi mimi kabisa
@abubakarmbarouk9454
4 жыл бұрын
@@nicholausmbilinyi3587 nimeikubali Asili Yako unatakiwa uidumishe Hishima Yako Rajabu
Daaah harmonize big up sana broo kumbe hata mm nawez fanikiwa kua kama ww kweli maisha ni safari ndefu
Wow kwni tulisherekea pamoja na ww pia mm bathday yangu ilikua jana,nakukubali kaka yani hauringi kama wengine waaah mungu akujalie mafanikio mema am from 🇰🇪🇰🇪
if you want to prove real love of white women which is harmo says.......back to the movie of white mmasai to prove it.....love you sarah
@bigbossmanbossman6946
5 жыл бұрын
The white Masai kweli yako
@mzee82
5 жыл бұрын
You have no clue what you're talking about, she is setting her investment that's all
@paulkomba2264
4 жыл бұрын
Inapendeza sana mtu akijali kwao
@manyandacharles7244
2 жыл бұрын
@@mzee82 @@
Mungu azidi kukubariki hongera Sana hormo
Harmonize may God bless you . you are a real man
Walikuwepo watu maarufu sana na sasa hawapo Walikuwepo wenyesifa nasasa hawapo Dunia inapita kasi Na wewe utapita tu Niheri ukayaweka mambo yako sawa maana kuna kiyama Ila lipo tumaini jipya la maisha baada ya haya Kuna Mbinguni uzima wa milele au motoni kifo milele Chagua uzima Chagua Yesu Olewake atakaye simama upande wa shetani Olewake adharauye wokovu Ghadhabu ya Mungu inakuja
@gaudensiamganga8140
2 жыл бұрын
Hakika Ubarikiwe maisha Mali bila wokovu Ni Buree
Hamonize umefanya nizid kukupenda yaan dah!!! Mungu akupe maisha maref na mafanikio tele inshaallah
@mussakassim299
5 жыл бұрын
Ndo maana nakukubali mwana harmonize
Wazungu wana true love, wangekuwa wale dada zangu wenye kidigree kamoja alikokapata duce wangetaka watembezwe na gari,
@dickchobs3026
4 жыл бұрын
Good job konde boy. You did something Great...!! Historian hutunzwa
@innocentguynizeyimana6088
3 жыл бұрын
Kwel
I like this boy harmonise he is very open with his life he does not care keep it up boy ,diamond jifunze kwa hormo
@shambiraghasi2777
5 жыл бұрын
Mmh hukuona diamond kuna siku alienda home akapea watu zawadi mmm shem on you
@mwanahamisiabdi3320
4 жыл бұрын
Iyo t shet ya baba ulinunulia karriakoo nzr
That's great Harmonize...being proudly of your village.
Nice nimeipenda hy
Mashallah safi sana mkataa kwao mtumwa hamonaiz ujakataa kwako very nice ila ujitahisi msaidie uyo mpenzi wako wa zamani
Kama unamwona ba, Harmonize,anaringa na mwanae,nipe likes kama zote ee
Hii safi sana Rajabu, na hata wazungu uwa wanapenda ile nature yetu.Sarah ana enjoy
Huyo ndio mume jeshii hajasahau mila za kwao mtu mwema 😍 tembo much lv 😍
big up boy, hongera sana kaka, much love for family
Hongera baba kwa kweli umefanya jambo zuri saaana.
Harmonize kitu kizuri unataka kukifanya plz hio micungwa minazi isikatwi iwe sehemu nzuri kabisa weusi hawana love uliongea point
Uyo sara ungempa dera akawa na uwalicya wa nyumbani mashaallah rajab ivyo ndio inatakikana ikujuwa ulikotoka daima utakazana
Wow big up hammonize u don’t leave fake life ❤️💕💔💔💔
diamond inabidi ujifunze kutoka kwa harmonize, this guy is super humble and nice, anampenda baba yake sio wewe unayejifanya huwezi kumsamehe baba yako.
mashallah me nakuombea ujenge hizo nyumba lnshallah kumuezi babu yako
Konde boy big up I'm one of your supporters from beira mozambique💪💪💪🔥🔥🔥❤❤
@niitengozi6268
2 жыл бұрын
OK l
Sarah ana upendo wa kweli kwa Harmonize na yuko naye kila wakati, hakika ni wife material... 🙌
Wallah nimejikuta nafurahi tu Rajabu mungu akuongoze uzidi kunufaika nakuwanufaisha wazazi wako ,,,...eeh mungu nami niongoze niwe na afya nguvu uzima nipambane niwaflaishe wazazi wangu jmn baba Amo anajua kudundika
Kwa mara ya kumuona msanii wa bongo akionyesha kwao bila kuona aibu, hongera sana kwa kujiamini,
Nice this is documentary
Nimependa mazingira yenu hamo hadi raha mungu akusimamie kwailo kukuza familia natamin ningekua miongon mwa familia piya nifamilia ya heshima na dini mungu awabarki ila sara mvalishe madira kwanza kijijin
Safi Sana Harmonies sio diamond baba yake Amsaidii
Konde boy I'm appreciate Rajabu and all member from W.C.B ila umenikosha na singenge mzee baba
Unani nifanya niwe mshabiki wako sana harmo
@yusufahmed7393
5 жыл бұрын
Bless up 🙌🙌🙌
@julianamaadam7375
5 жыл бұрын
Me ameshanipata kwakwel kwenye ushabik
@tulivupaulo9914
5 жыл бұрын
noma ham
Mm sio shabiki lkn umenifurahisha but ukienda home kama hivyo mwambie Sara avae dera 🤣🤣🤣🤣
@rosekhamis3511
4 жыл бұрын
Halima Hassan kabisaa
@issaboytv8290
4 жыл бұрын
Da kweli
@justawachawachezesinimtoto398
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nasrishemvuni3097
4 жыл бұрын
maisha nisafari
Dah Harmonize umetisha sana Big up kwa ulichokifanya.
uko vizuri harmonize mwambie diamond nae aonyeshe asiri yake
@bizoojoh9145
5 жыл бұрын
Ssa kakuria dar anaonesha nni tandale hajawai oneshaa
Harmonize Chelsea Fun like me...I love your village big up bro
Konde boy unatisha saana bro I love it unanipa hamasa 💪💪💪💪🙏
I very appreciate Harmonize you keep your dad company love you 😘
Kitu ulicho mfanyia sallah hajawahi.kukipata hata ukimuacha leo hatoweza kuisahau iyo ivent mzeee
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Official gatende Boy kabisa
@veronicakawawa7057
5 жыл бұрын
nikweli hata msahau, lakini hata Jack alimpeleka
@abubakarsley4390
5 жыл бұрын
huo ndio uwanaume ukopowa konde
MashaAllah watu tanatoka mbali I say big up Rajab Hammond 🇰🇪❤👆👌
Nimeipenda iyo man upo fresh kabisa
Kam umesikia swagger za jonijoo kwa huyu mtangazaji..... Hahahahahaa wahuni si watu wazuri.....
Safi sana,Home sweet Home.
Yn huyu kaka jmn yuko vzr hanaga majivuno km wasanii wengine, big up nmekupenda bureee
Hongera cn we ni mwamba,,,kuna wengne hawayakubali maisha yao ya zaman
Happy birthday to you Brother Harmonize♥🙏🙏
@jescanyerere2068
5 жыл бұрын
Safi bro happy Birthday
@salimudochi1315
5 жыл бұрын
Ndo uhalisia wake yeyeanajali sana kwao tafauti nawengine
Kumbe harmonize ni shabiki mwenzangu wa chelsea, wanaoona wivu wajinyonge. Hahaha
@shemsasimba6204
5 жыл бұрын
very my bro Rajab
I don't understand anymore but just saying i Love them , Harmonize Lavalava, Rayvann, Diamond, Big up bro's
Daaaa harmo kazi bado unayo bhana kama uliweza kugawa pesa kalia koo jitaid badilisha mazigira ya ukoo wako pia history unaweza kuitunza ila mm naona ndugu zako bado wanaitaji msaada wako ata mpenzi wako wa kwanza msaidie bhana
Big up Harmonize......
How are you Harmonize keep the fire burning How is Da es Salaam today
@mhudinihassani5670
5 жыл бұрын
yooo upo vzr konde boy
@mhudinihassani5670
5 жыл бұрын
yooo upo vzr konde boy
HARMONiZE wewe ni msani tofauti hakuna kama baba hakuna kama mama llove so much Sarah mabruk enjoy
Hapa *Harmonize* umzungumza kwelii kuwa mademu *weusi* wanacomplain sana kwenye mapenzi tofauti na *Wazungu* mamaeh
Unaona sasa kile nimemanisha hmeona saraha amemgumbata mkono sasa hivi ndio wanataka na anaeza kukuekea ugomvi sana sababu ya vitu vidogo🤣
Harmonize you don't fake life....bigup en God bless you
@farhanaiqbal8803
4 жыл бұрын
Hi I'm mommy sarah
Never kuficha asiri huuu ni ujasiri sana kwa star kuonesha penye mahara ametoka gud broh konde NAQUBALI mkali wangu .....