GHETTO LA KWANZA LA HARMONIZE KIJIJINI KWAO / SIJAZALIWA TAREHE 3 OCTOBER

Ойын-сауық

@harmonize_tz Akituelezea Safari Nzima ya alivyokuwa akiishi kijiji kwao na nini amepanga kubadilisha kijijini kwao,amepiga story nyingi na @motown_sanya
#wasafi#motown_sanya

Пікірлер: 1 000

  • @saidahj2543
    @saidahj25435 жыл бұрын

    Real men never FAKE life...ako muwazi na familia yake ameweka ustar kando...mahusiano mazuri na wazazi majirani na marafiki...much love harmonize 😍😍😘😘😗😗😗

  • @owenijackson3421

    @owenijackson3421

    3 жыл бұрын

    XXX video

  • @azizamkindi1784
    @azizamkindi17845 жыл бұрын

    Bora anapeleka mpenz wake nyumba kwao sio wengine wanaongopa naomben like zen umefanya kitu kizuri

  • @ramsokhamis9262

    @ramsokhamis9262

    5 жыл бұрын

    Aaahh umetishaa saanaa ni kwelii kabisa best...

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    5 жыл бұрын

    Aziza Mkindi sanaaa

  • @yasiniselemani2412

    @yasiniselemani2412

    5 жыл бұрын

    Hajafunga ndoa hivo ni umalaya tu

  • @emanueljohanes4090

    @emanueljohanes4090

    5 жыл бұрын

    Sure

  • @azizamkindi1784

    @azizamkindi1784

    5 жыл бұрын

    Kila laher mfunge ndoaa sio mzin

  • @somoemmanu3513
    @somoemmanu35135 жыл бұрын

    Nimefurah kuona yupo happy na baba yake km rafiki yake hongera rajabu

  • @juniorbayyo9209

    @juniorbayyo9209

    5 жыл бұрын

    Somoe Mmanu @@xo kama bossi wake amby ni kama adui na baba ake

  • @maryammohd1826

    @maryammohd1826

    5 жыл бұрын

    Amshaur na mond amrudie babake

  • @navaanyuki4436

    @navaanyuki4436

    5 жыл бұрын

    Huyo sio bb yake mzaz

  • @somoemmanu3513

    @somoemmanu3513

    5 жыл бұрын

    @@navaanyuki4436 uyo baba yake mzazi

  • @paulmahila995

    @paulmahila995

    5 жыл бұрын

    R

  • @managermipango2843
    @managermipango28435 жыл бұрын

    Kitu ambacho nimekipenda huna fake life una really life, huna maisha ya kuigiza ni mkwel na muaz. Mastaa kbao wanaficha vijiji vyao,

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    5 жыл бұрын

    Abasi Makunguru kweli kabisa

  • @sylviemutwale9527

    @sylviemutwale9527

    5 жыл бұрын

    Kweli umeongea point

  • @pichunakichuna2111

    @pichunakichuna2111

    5 жыл бұрын

    Well said I really like that

  • @eventelias3566

    @eventelias3566

    5 жыл бұрын

    Nmemuelewa sana kwa kweli imeondoa fikra tofauti nlikuwa namchukulia

  • @managermipango2843

    @managermipango2843

    5 жыл бұрын

    @@eventelias3566 Dah, hata Mimi bro, nilivyokua namchikulia tofaut. Na naamin kafungua milango Kwa wasanii wanao ona haibu kujiweka wazi,wataona kumbe kawaida tu,wataiga

  • @gordonobado5359
    @gordonobado53595 жыл бұрын

    kuonyesha ulimwengu ulikotoka si suala rahisi.........it's grateful to appreciate your background

  • @ellenkamanzi3505

    @ellenkamanzi3505

    3 жыл бұрын

    Nahasa uwe umetokea sehem kama iyo kweli uyukaka kafanya jambo la busara

  • @Kobe_254
    @Kobe_2545 жыл бұрын

    Tokea Seattle, Washington... bado tuko na wwwe kijijini.. like what you doing bruh.. kipeth real forever.. happy birthday!!

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu61423 жыл бұрын

    Hongera sana Konde boy kwa kuenzi maisha ya kijamaa pia kwa kukumbuka nyumbani uliko toka, Hizo ni baraka brother.

  • @mwajumaally2918
    @mwajumaally29185 жыл бұрын

    Mashallaha rajabu🙏🙏mungu azidi kukupa ela usidi kujenga kwenu

  • @malaikaizegelle4428
    @malaikaizegelle44285 жыл бұрын

    Ivi wanaombaga like uwa mnazifanyiaga nini😩😩😩basi na Mimi naombeni like🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @deborapaschal3582

    @deborapaschal3582

    4 жыл бұрын

    😄😄😄

  • @gracejoseph3455

    @gracejoseph3455

    4 жыл бұрын

    Malaika Izegelle

  • @dadjustarboy2078

    @dadjustarboy2078

    4 жыл бұрын

    Zinamaanayake😀😀😀

  • @allyogen9173

    @allyogen9173

    4 жыл бұрын

    Mashalla hamonainzi uko vizuri bur

  • @iamkixankiller6973

    @iamkixankiller6973

    4 жыл бұрын

    daaaaaaah

  • @TheSudMedia
    @TheSudMedia3 жыл бұрын

    Sarah didn't react when Harmonize said I was born here...God bless my brother with a Queen!!!! Melbourne, Australia.

  • @skylarshebby8235
    @skylarshebby82355 жыл бұрын

    duuh good sanaaaa kaka harmonize Nimeipenda sanaaaa hiyoooo couple....kma na wewe umeipata hiiii gonga like

  • @fadhillawisoniadam7767
    @fadhillawisoniadam77674 жыл бұрын

    Baku kubali sana harmonize kama na ww upon miongoni mwa watu mnaomkubali tafdhali naomba LIKE yako

  • @omanoman-gs4zb
    @omanoman-gs4zb5 жыл бұрын

    Ni kweli wazungu Wa Realy love haswa na popote wao wataishi Alimradi Anakupenda. Ni kweli Raji Ulichokiongea.

  • @tumainimango8140

    @tumainimango8140

    5 жыл бұрын

    Mzungu kampenda hamornize hadi namwonea huruma

  • @georgematahimba5242

    @georgematahimba5242

    5 жыл бұрын

    Hana makuu. Safi sana

  • @georgematahimba5242

    @georgematahimba5242

    5 жыл бұрын

    Jamaa yuko simple sana. Nimempenda.

  • @mussahmanyehe267

    @mussahmanyehe267

    5 жыл бұрын

    Hahaha Huyo mbongo was lushoto

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    5 жыл бұрын

    oman1212 oman1212 Nikweli kabisa

  • @khadijaqatar9080
    @khadijaqatar90805 жыл бұрын

    Mashallah mungu akubarik uzid kutimiz ndoto zako inshallah

  • @samwelmahenge52

    @samwelmahenge52

    4 жыл бұрын

    Khadija Qatar konde boi mungu akupe wepesi ktk maisha yako

  • @madolovetanzani248
    @madolovetanzani2485 жыл бұрын

    Haaale nmekuwa watono kuko menti naomben like zangu

  • @kasimuallyakome1864

    @kasimuallyakome1864

    5 жыл бұрын

    Mado love Tanzani nc

  • @khadijamadry7822
    @khadijamadry78225 жыл бұрын

    HAMORNIZE uwe na moyo huo hup wa kuthamin wazaz wako muache mond alemee upande mmoja big ap sana kaka Allah atakulipa kheri mbona ukijenga hapo kweni hizo vila swawabu nying sana

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika74775 жыл бұрын

    Mzungu kwanza anapenda mazingira ya mwitu mwitu Allah awasimamie..nimempenda huyu baba..sara uvaege nguo ukienda kwa wakwe

  • @lipymuscat4779

    @lipymuscat4779

    5 жыл бұрын

    Huyu sara ndio nini kuvaa nguo za mjini...

  • @mbodzebemasika7477

    @mbodzebemasika7477

    5 жыл бұрын

    @@lipymuscat4779 yaani....siku.nyengine avae hata dress ya mikono mirefu angalau

  • @julianamaadam7375

    @julianamaadam7375

    5 жыл бұрын

    Afadhal umeongea😅😅😅😅

  • @lovenessdiva7132

    @lovenessdiva7132

    4 жыл бұрын

    Good point

  • @justawachawachezesinimtoto398

    @justawachawachezesinimtoto398

    4 жыл бұрын

    Apo sasa kwani hakuambiwa wa naenda wapi? Ndio avalie nguo unafunia uchi wake

  • @mrthreesix280
    @mrthreesix2805 жыл бұрын

    Big up bro..mshauri basi hata na boss wako...we mamako alikosana na babako ukiwa miaka miwili na unamuenzi babako na hizo ndo barraka kakangu vipi mond...mshauri bana aishi Kama wewe

  • @zulfamohamed4549

    @zulfamohamed4549

    5 жыл бұрын

    mama nababa kukosana nisiyo wazazi mumusishe mtoto kwenye ugov weni yan ikitokea mzazi mmoja wapo amemusisha mtt kwenye ugovu wawao wazazi bas itakuwa atali mtoto akisha ipokea ile sumu yamaneno yamzazi mmoja wapo ila mama mond amekosea mtoto kumlea kwakisasi chakumlipizia mama yake mzazi mgovi waliokuwa nao wao wawili

  • @bennyasseralfred3811

    @bennyasseralfred3811

    5 жыл бұрын

    Wellington Ndoro bro hilo niwazo nzuri ila inategemeana labda huo mama armo anadini sana nakueshimu allah sana. na yule mama wa mond labda ameshapekekwa na Dunia unakuta c mshauri muzuri kwa mond

  • @mevicesifuna2134
    @mevicesifuna21349 ай бұрын

    2023 watching this I love you harmonize❤❤❤❤

  • @edwardnjiuka7403
    @edwardnjiuka74035 жыл бұрын

    Dogo HARMONIZE upo sawa sana nyumbani ndiko kwenye baraka zote na wasanii wengine waonyeshe nyumba walizozaliwa huko vijijini kwao wengi hawawezi maana wanaogopa kudhalilika big up sana dogo

  • @allywally5799

    @allywally5799

    5 жыл бұрын

    mzee kichwa kinakribia kupasuka doooooh

  • @willymwanza8813

    @willymwanza8813

    4 жыл бұрын

    nice brother

  • @thomasponera6018
    @thomasponera60185 жыл бұрын

    konde boi you are amazing guy, uko real sana Mungu akubarki

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara54805 жыл бұрын

    Yani Harmonize utafika mbali zaidi Mungu hupenda tuwasaidie watu tunapofanikiwa, mpango wa kujenga villa ili ukoo ndugu zako wakae pamoja ni jambo kubwa sana, wasomi wakisoma wanatokomea peke yao ht kwao hawaendi, ninayo mifano take it from me!

  • @eznahsue5782
    @eznahsue57825 жыл бұрын

    Napenda kiswahili ya konde boy nakupenda....nipee likes Aki leo msininyime

  • @adreckmgombela8069

    @adreckmgombela8069

    3 жыл бұрын

    Iyo

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81145 жыл бұрын

    ila jitahidi uwabadilishie sipendi mutoe misaada kwa watu wakati ndugu zenu wanapata shida

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    5 жыл бұрын

    Zumbe Shauri huyu jamaa anasaudia sana ndugu pia tatizo mtwara nyumba zao hawapendi kukarabati nje sababu ya udongo wao na wanapenda still kuwe kam kijijini ile culture isipotee

  • @julianamaadam7375

    @julianamaadam7375

    5 жыл бұрын

    Kumbuka kasema kuanzia mwakan ataanza kuwajengea ndg zake sa cjui awabadilishe ngoz

  • @zakyahya4645
    @zakyahya46455 жыл бұрын

    Safa wewe mashallah uko na mapenzi ya kweli yani uko unaosha masufuria ya jiko la kuni mmmh honger

  • @maryamoman5926
    @maryamoman59265 жыл бұрын

    Masha shallah rajab ❤👍👍👍

  • @manuelhealth100channel7
    @manuelhealth100channel75 жыл бұрын

    Wekeni crip ndefu bwana wengine tunajifunza mengi kupitia harmoniz

  • @jennifermsungu8230

    @jennifermsungu8230

    5 жыл бұрын

    Loh nawe huwach

  • @nicholausmbilinyi3587

    @nicholausmbilinyi3587

    5 жыл бұрын

    Kabisa aisee

  • @pichunakichuna2111

    @pichunakichuna2111

    5 жыл бұрын

    True

  • @JosephMhecha

    @JosephMhecha

    5 жыл бұрын

    Jamaa yuko poa.

  • @zaynabali6109

    @zaynabali6109

    3 жыл бұрын

    Ukweli 🙏🙏

  • @laizsuke8265
    @laizsuke82655 жыл бұрын

    Huyu na shilole hawajivungi wapp social sana, big up home ni home tu

  • @samwelimoshi4442

    @samwelimoshi4442

    5 жыл бұрын

    Diamond jee

  • @samburuonlinetv
    @samburuonlinetv5 жыл бұрын

    Konde boi nashukuru unapenda sana baba yako hapo sawa kwa kumjali baba, bosi wako du !

  • @anthonyfaru9908
    @anthonyfaru99085 жыл бұрын

    Safi sana kukaa ukapatana na wazazi wako, wakafurahi hata kama mzazi alikufnyia sivyo, usiweke bifu bora ukanyamza utaonekan bora

  • @pendojohn7962

    @pendojohn7962

    5 жыл бұрын

    hbd Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele

  • @carolshiru4374
    @carolshiru43745 жыл бұрын

    Team kenya wapi likes za rajab 🙌🙌

  • @abuhermano8172

    @abuhermano8172

    4 жыл бұрын

    Owh sory

  • @ramagirik9785

    @ramagirik9785

    3 жыл бұрын

    Jamn wap apo kw kin harmonez

  • @hawata7614
    @hawata76145 жыл бұрын

    ma sha Allah hongera kaka ang mung akufikishe sana

  • @LK-dj6fw
    @LK-dj6fw5 жыл бұрын

    I really love what you did my brother........so sweet

  • @nancysubira8905
    @nancysubira89055 жыл бұрын

    Baba Harmonize anajiskia kwa vyienye ajatolea jasho😢 Harmonize nakupenda bure coz u are not like vijana wengine baba zao wakiwatelekeza hawaezi msaidia baba

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c5 жыл бұрын

    duuu uko vizuri km jina lako hongera sana sana

  • @mridanyadunia8540
    @mridanyadunia85405 жыл бұрын

    Huyo dadangu anaupendo thabit mana mazngra anayotembezw af haonesh chcht ila mbongo xx nae pangechimbka angeomb kurdshw mjin

  • @veronicacharles9197

    @veronicacharles9197

    5 жыл бұрын

    He he he

  • @missyabdull142

    @missyabdull142

    5 жыл бұрын

    hahaha

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    5 жыл бұрын

    Siyo upendo tu,asiri ya wazungu wengi wao wanapenda sana maisha ya uswazi wanakuwa wanajifunza vitu vingi.kwahiyo mm Sara simshangai ndivyo walivyo hawana ubaguzi wa mazingira

  • @yustinhhari5085

    @yustinhhari5085

    5 жыл бұрын

    mbogo angeact mbele ya kamera

  • @joycejohn7754

    @joycejohn7754

    5 жыл бұрын

    Au angejfanya awez kutembea

  • @antoinebakevya8911
    @antoinebakevya89115 жыл бұрын

    Congrats and HAPPY BIRTHDAY my favorite artist

  • @omanoman-gs4zb
    @omanoman-gs4zb5 жыл бұрын

    MashaaAllah. Raji Umefanya Jambo la mana. Allah Azid kukupa kheir zaid

  • @gambagumu6531

    @gambagumu6531

    5 жыл бұрын

    Acha kutumia maishalah Kwa jambo LA shali mziki ni haram

  • @wazirigorge366

    @wazirigorge366

    5 жыл бұрын

    @@gambagumu6531 kweli kabisa bro

  • @mudyiabas4812

    @mudyiabas4812

    5 жыл бұрын

    masha Allah unajuamaana yake inavotumik??????

  • @omanoman-gs4zb

    @omanoman-gs4zb

    5 жыл бұрын

    @@mudyiabas4812 labda weye Unajua mana yake. Na ndiye Uliye soma Mpk Ukahitim.

  • @felisterhaule7423

    @felisterhaule7423

    2 жыл бұрын

    Mashaallah kwa mamb ya kijinga, miziki yao inakufu disha nn Bali inakufundisha kuzini tu na I nashawishi zinas tu

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo1915 жыл бұрын

    Allahumma bareek Inshallah Mkataa kwao mjinga Home Sweet home Enjoy 👏👏👏

  • @aysherothman4447

    @aysherothman4447

    5 жыл бұрын

    Amiin

  • @joshuamakub4353

    @joshuamakub4353

    5 жыл бұрын

    katisha sn mwamba like kma unamkubl @kondeboy

  • @alghurabaa6884

    @alghurabaa6884

    5 жыл бұрын

    allahumma barik kwenye zinaa subhana llah ..wew wa wapi

  • @jazimuseremani947
    @jazimuseremani9475 жыл бұрын

    real love forever will stay in hart

  • @albertinemacimu1247
    @albertinemacimu12475 жыл бұрын

    Nani mwingine alivyoona mzee alivyokuwa anadunda kwa mwendo wa kujivunia...😄😄😄😄😄 naona tu coments ila sijaona mnatakia heri ya kuzaliwa HBH2UUUUU\UU

  • @carolineedwin867

    @carolineedwin867

    5 жыл бұрын

    Hahaha

  • @aggygenge1157

    @aggygenge1157

    5 жыл бұрын

    nimemuonaaaa hahaaa then akawa anapiga story na Sarah

  • @witnesschezue6794

    @witnesschezue6794

    5 жыл бұрын

    Hahahaa dingi na mwendo kabadil chezea ww

  • @sudaissoud3670

    @sudaissoud3670

    3 жыл бұрын

    Anajivunia huyo

  • @johnnyzilla6499
    @johnnyzilla64995 жыл бұрын

    we ni star wa kweli unakumbuka palipo kukuza big up chaliii

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma2352 жыл бұрын

    Very green street pazuri Sana Nice one

  • @zennakailo8106
    @zennakailo81065 жыл бұрын

    Kupendwa Raha kweli cheki Sarah 😘😘😘😍

  • @xaviersalimo6558

    @xaviersalimo6558

    2 жыл бұрын

    Wewe uja way kupedwa?

  • @cestlaviecestlavie4606
    @cestlaviecestlavie46065 жыл бұрын

    hmmm mzungu hacoki kutembeya dah!, hivi kwa kweli Mondi akiona haya haoni kuwa Condeboy amemzidi maarifa 😏

  • @nicholausmbilinyi3587

    @nicholausmbilinyi3587

    5 жыл бұрын

    Kama haoni bas hana macho kabisaa..dogo anampa ujumbe amsamehe baba yake.

  • @jamesmayunga5802

    @jamesmayunga5802

    5 жыл бұрын

    mimi mimi kabisa

  • @abubakarmbarouk9454

    @abubakarmbarouk9454

    4 жыл бұрын

    @@nicholausmbilinyi3587 nimeikubali Asili Yako unatakiwa uidumishe Hishima Yako Rajabu

  • @christianabelly6329
    @christianabelly63295 жыл бұрын

    Daaah harmonize big up sana broo kumbe hata mm nawez fanikiwa kua kama ww kweli maisha ni safari ndefu

  • @anetaaneta1216
    @anetaaneta12165 жыл бұрын

    Wow kwni tulisherekea pamoja na ww pia mm bathday yangu ilikua jana,nakukubali kaka yani hauringi kama wengine waaah mungu akujalie mafanikio mema am from 🇰🇪🇰🇪

  • @jazimuseremani947
    @jazimuseremani9475 жыл бұрын

    if you want to prove real love of white women which is harmo says.......back to the movie of white mmasai to prove it.....love you sarah

  • @bigbossmanbossman6946

    @bigbossmanbossman6946

    5 жыл бұрын

    The white Masai kweli yako

  • @mzee82

    @mzee82

    5 жыл бұрын

    You have no clue what you're talking about, she is setting her investment that's all

  • @paulkomba2264

    @paulkomba2264

    4 жыл бұрын

    Inapendeza sana mtu akijali kwao

  • @manyandacharles7244

    @manyandacharles7244

    2 жыл бұрын

    @@mzee82 @@

  • @hamedal-shruiqi2123
    @hamedal-shruiqi21235 жыл бұрын

    Mungu azidi kukubariki hongera Sana hormo

  • @Jolly_Jollyk
    @Jolly_Jollyk5 жыл бұрын

    Harmonize may God bless you . you are a real man

  • @emmanueloola3502
    @emmanueloola35025 жыл бұрын

    Walikuwepo watu maarufu sana na sasa hawapo Walikuwepo wenyesifa nasasa hawapo Dunia inapita kasi Na wewe utapita tu Niheri ukayaweka mambo yako sawa maana kuna kiyama Ila lipo tumaini jipya la maisha baada ya haya Kuna Mbinguni uzima wa milele au motoni kifo milele Chagua uzima Chagua Yesu Olewake atakaye simama upande wa shetani Olewake adharauye wokovu Ghadhabu ya Mungu inakuja

  • @gaudensiamganga8140

    @gaudensiamganga8140

    2 жыл бұрын

    Hakika Ubarikiwe maisha Mali bila wokovu Ni Buree

  • @mimah1547
    @mimah15475 жыл бұрын

    Hamonize umefanya nizid kukupenda yaan dah!!! Mungu akupe maisha maref na mafanikio tele inshaallah

  • @mussakassim299

    @mussakassim299

    5 жыл бұрын

    Ndo maana nakukubali mwana harmonize

  • @gg-fq4mf
    @gg-fq4mf5 жыл бұрын

    Wazungu wana true love, wangekuwa wale dada zangu wenye kidigree kamoja alikokapata duce wangetaka watembezwe na gari,

  • @dickchobs3026

    @dickchobs3026

    4 жыл бұрын

    Good job konde boy. You did something Great...!! Historian hutunzwa

  • @innocentguynizeyimana6088

    @innocentguynizeyimana6088

    3 жыл бұрын

    Kwel

  • @jordlynwoods9684
    @jordlynwoods96845 жыл бұрын

    I like this boy harmonise he is very open with his life he does not care keep it up boy ,diamond jifunze kwa hormo

  • @shambiraghasi2777

    @shambiraghasi2777

    5 жыл бұрын

    Mmh hukuona diamond kuna siku alienda home akapea watu zawadi mmm shem on you

  • @mwanahamisiabdi3320

    @mwanahamisiabdi3320

    4 жыл бұрын

    Iyo t shet ya baba ulinunulia karriakoo nzr

  • @joharajohara4355
    @joharajohara43555 жыл бұрын

    That's great Harmonize...being proudly of your village.

  • @user-mu4lk1ux1q
    @user-mu4lk1ux1q5 жыл бұрын

    Nice nimeipenda hy

  • @madolovetanzani248
    @madolovetanzani2485 жыл бұрын

    Mashallah safi sana mkataa kwao mtumwa hamonaiz ujakataa kwako very nice ila ujitahisi msaidie uyo mpenzi wako wa zamani

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu52204 жыл бұрын

    Kama unamwona ba, Harmonize,anaringa na mwanae,nipe likes kama zote ee

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki11005 жыл бұрын

    Hii safi sana Rajabu, na hata wazungu uwa wanapenda ile nature yetu.Sarah ana enjoy

  • @lulanatty8474
    @lulanatty84744 жыл бұрын

    Huyo ndio mume jeshii hajasahau mila za kwao mtu mwema 😍 tembo much lv 😍

  • @ricardodeazo2070
    @ricardodeazo20705 жыл бұрын

    big up boy, hongera sana kaka, much love for family

  • @jokhakhalef822
    @jokhakhalef8225 жыл бұрын

    Hongera baba kwa kweli umefanya jambo zuri saaana.

  • @nshimirimanafelix7493
    @nshimirimanafelix74935 жыл бұрын

    Harmonize kitu kizuri unataka kukifanya plz hio micungwa minazi isikatwi iwe sehemu nzuri kabisa weusi hawana love uliongea point

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili2415 жыл бұрын

    Uyo sara ungempa dera akawa na uwalicya wa nyumbani mashaallah rajab ivyo ndio inatakikana ikujuwa ulikotoka daima utakazana

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna21115 жыл бұрын

    Wow big up hammonize u don’t leave fake life ❤️💕💔💔💔

  • @andygreat1534
    @andygreat15345 жыл бұрын

    diamond inabidi ujifunze kutoka kwa harmonize, this guy is super humble and nice, anampenda baba yake sio wewe unayejifanya huwezi kumsamehe baba yako.

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram14055 жыл бұрын

    mashallah me nakuombea ujenge hizo nyumba lnshallah kumuezi babu yako

  • @alexndombondombotermo5841
    @alexndombondombotermo58415 жыл бұрын

    Konde boy big up I'm one of your supporters from beira mozambique💪💪💪🔥🔥🔥❤❤

  • @niitengozi6268

    @niitengozi6268

    2 жыл бұрын

    OK l

  • @avitrujweka2113
    @avitrujweka21135 жыл бұрын

    Sarah ana upendo wa kweli kwa Harmonize na yuko naye kila wakati, hakika ni wife material... 🙌

  • @emmypc8362
    @emmypc83624 жыл бұрын

    Wallah nimejikuta nafurahi tu Rajabu mungu akuongoze uzidi kunufaika nakuwanufaisha wazazi wako ,,,...eeh mungu nami niongoze niwe na afya nguvu uzima nipambane niwaflaishe wazazi wangu jmn baba Amo anajua kudundika

  • @estergodfrey4126
    @estergodfrey41264 жыл бұрын

    Kwa mara ya kumuona msanii wa bongo akionyesha kwao bila kuona aibu, hongera sana kwa kujiamini,

  • @manyaniinc3579
    @manyaniinc35795 жыл бұрын

    Nice this is documentary

  • @naslamgollowatuacheee9852
    @naslamgollowatuacheee98525 жыл бұрын

    Nimependa mazingira yenu hamo hadi raha mungu akusimamie kwailo kukuza familia natamin ningekua miongon mwa familia piya nifamilia ya heshima na dini mungu awabarki ila sara mvalishe madira kwanza kijijin

  • @babanjuru8738
    @babanjuru87385 жыл бұрын

    Safi Sana Harmonies sio diamond baba yake Amsaidii

  • @karimusindi8574
    @karimusindi85745 жыл бұрын

    Konde boy I'm appreciate Rajabu and all member from W.C.B ila umenikosha na singenge mzee baba

  • @bajunihilali95
    @bajunihilali955 жыл бұрын

    Unani nifanya niwe mshabiki wako sana harmo

  • @yusufahmed7393

    @yusufahmed7393

    5 жыл бұрын

    Bless up 🙌🙌🙌

  • @julianamaadam7375

    @julianamaadam7375

    5 жыл бұрын

    Me ameshanipata kwakwel kwenye ushabik

  • @tulivupaulo9914

    @tulivupaulo9914

    5 жыл бұрын

    noma ham

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63085 жыл бұрын

    Mm sio shabiki lkn umenifurahisha but ukienda home kama hivyo mwambie Sara avae dera 🤣🤣🤣🤣

  • @rosekhamis3511

    @rosekhamis3511

    4 жыл бұрын

    Halima Hassan kabisaa

  • @issaboytv8290

    @issaboytv8290

    4 жыл бұрын

    Da kweli

  • @justawachawachezesinimtoto398

    @justawachawachezesinimtoto398

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @nasrishemvuni3097

    @nasrishemvuni3097

    4 жыл бұрын

    maisha nisafari

  • @babailu2133
    @babailu21335 жыл бұрын

    Dah Harmonize umetisha sana Big up kwa ulichokifanya.

  • @zakaboy1305
    @zakaboy13055 жыл бұрын

    uko vizuri harmonize mwambie diamond nae aonyeshe asiri yake

  • @bizoojoh9145

    @bizoojoh9145

    5 жыл бұрын

    Ssa kakuria dar anaonesha nni tandale hajawai oneshaa

  • @deearacemarg450
    @deearacemarg4505 жыл бұрын

    Harmonize Chelsea Fun like me...I love your village big up bro

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36835 жыл бұрын

    Konde boy unatisha saana bro I love it unanipa hamasa 💪💪💪💪🙏

  • @lareinemere1329
    @lareinemere13295 жыл бұрын

    I very appreciate Harmonize you keep your dad company love you 😘

  • @tanzanianaturalt.n4846
    @tanzanianaturalt.n48465 жыл бұрын

    Kitu ulicho mfanyia sallah hajawahi.kukipata hata ukimuacha leo hatoweza kuisahau iyo ivent mzeee

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    5 жыл бұрын

    Official gatende Boy kabisa

  • @veronicakawawa7057

    @veronicakawawa7057

    5 жыл бұрын

    nikweli hata msahau, lakini hata Jack alimpeleka

  • @abubakarsley4390

    @abubakarsley4390

    5 жыл бұрын

    huo ndio uwanaume ukopowa konde

  • @faridabakari8511
    @faridabakari85115 жыл бұрын

    MashaAllah watu tanatoka mbali I say big up Rajab Hammond 🇰🇪❤👆👌

  • @alisterkaijage6517
    @alisterkaijage65172 жыл бұрын

    Nimeipenda iyo man upo fresh kabisa

  • @alexboniphace2410
    @alexboniphace24105 жыл бұрын

    Kam umesikia swagger za jonijoo kwa huyu mtangazaji..... Hahahahahaa wahuni si watu wazuri.....

  • @zenaamani371
    @zenaamani3715 жыл бұрын

    Safi sana,Home sweet Home.

  • @mongeramatondo416
    @mongeramatondo4165 жыл бұрын

    Yn huyu kaka jmn yuko vzr hanaga majivuno km wasanii wengine, big up nmekupenda bureee

  • @IsdoryDominic-dd8wg
    @IsdoryDominic-dd8wg Жыл бұрын

    Hongera cn we ni mwamba,,,kuna wengne hawayakubali maisha yao ya zaman

  • @eliaturinayo6375
    @eliaturinayo63755 жыл бұрын

    Happy birthday to you Brother Harmonize♥🙏🙏

  • @jescanyerere2068

    @jescanyerere2068

    5 жыл бұрын

    Safi bro happy Birthday

  • @salimudochi1315

    @salimudochi1315

    5 жыл бұрын

    Ndo uhalisia wake yeyeanajali sana kwao tafauti nawengine

  • @mountcholo7039
    @mountcholo70395 жыл бұрын

    Kumbe harmonize ni shabiki mwenzangu wa chelsea, wanaoona wivu wajinyonge. Hahaha

  • @shemsasimba6204

    @shemsasimba6204

    5 жыл бұрын

    very my bro Rajab

  • @daniellamaellysp.3448
    @daniellamaellysp.34485 жыл бұрын

    I don't understand anymore but just saying i Love them , Harmonize Lavalava, Rayvann, Diamond, Big up bro's

  • @johnsonwanyangachika1585
    @johnsonwanyangachika15855 жыл бұрын

    Daaaa harmo kazi bado unayo bhana kama uliweza kugawa pesa kalia koo jitaid badilisha mazigira ya ukoo wako pia history unaweza kuitunza ila mm naona ndugu zako bado wanaitaji msaada wako ata mpenzi wako wa kwanza msaidie bhana

  • @sschacha7122
    @sschacha71225 жыл бұрын

    Big up Harmonize......

  • @tawandanyamtuwa1000
    @tawandanyamtuwa10005 жыл бұрын

    How are you Harmonize keep the fire burning How is Da es Salaam today

  • @mhudinihassani5670

    @mhudinihassani5670

    5 жыл бұрын

    yooo upo vzr konde boy

  • @mhudinihassani5670

    @mhudinihassani5670

    5 жыл бұрын

    yooo upo vzr konde boy

  • @halloummasuod3722
    @halloummasuod37225 жыл бұрын

    HARMONiZE wewe ni msani tofauti hakuna kama baba hakuna kama mama llove so much Sarah mabruk enjoy

  • @leopodyagusti9658
    @leopodyagusti96585 жыл бұрын

    Hapa *Harmonize* umzungumza kwelii kuwa mademu *weusi* wanacomplain sana kwenye mapenzi tofauti na *Wazungu* mamaeh

  • @ifruitx2096
    @ifruitx20965 жыл бұрын

    Unaona sasa kile nimemanisha hmeona saraha amemgumbata mkono sasa hivi ndio wanataka na anaeza kukuekea ugomvi sana sababu ya vitu vidogo🤣

  • @faithnzilani651
    @faithnzilani6515 жыл бұрын

    Harmonize you don't fake life....bigup en God bless you

  • @farhanaiqbal8803

    @farhanaiqbal8803

    4 жыл бұрын

    Hi I'm mommy sarah

  • @ivydisaster6918
    @ivydisaster69184 жыл бұрын

    Never kuficha asiri huuu ni ujasiri sana kwa star kuonesha penye mahara ametoka gud broh konde NAQUBALI mkali wangu .....

Келесі