Msafara wa Diamond ukiwasili Hyatt na Ulinzi Mkali Ona Gari zake zote Rolls Royce,V8 na Cardilac
Ойын-сауық
Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Пікірлер: 37
Kwakweli Diamond Platnumz ametuheshimisha kimataifa kama Msanii....🙏💪👍🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇳🇬🇿🇦
Nmechoka kuona hii wheelbarrow ya blue
Tafuta pesa ndugu yangu mungu hajaumba masikin wala tajiri
Zimba kama kawa anaogopa kupoteza kofia
Simba msani munene mu africa niko shabiki yako mpakamwisha ❤
Tz huru, nashukuru kuzaliwa Tz
Kula bata kijana maisha ndo hayahaya ila usijisahau sana mkumbuke na mtoabaraka
@ebengapierre8826
3 ай бұрын
Kweli kabisa mahana unaye mtaja yy ndie fimbo ya wote
Mtoto mdogo msumbufu Africa
Duuuh mtu anatembea njian na bilion kma 7 hapo usafr tuu
@jumaamohamed2815
3 ай бұрын
Ila anaogopa kuibiwa kapelo ya buku7
@justinsamwel4946
3 ай бұрын
Billion sa7 ni gar Moja man
@jumaamohamed2815
3 ай бұрын
@@justinsamwel4946 🤭🤭😁😅😅
Duuu ulinzi kama tupo DRC Tz ni salama
Acha mjomba unasema ivyo sa7bu wew huNa ela acha mtyu aenjoy maisha
Mwamba nigawie kidogo. Duuh! PESA ina upendeleo ni balaa,
Ok
🔥🔥🔥🔥
Simbaa
hapa kuna ma bentley, escallade magari ya america...
@elinamilyatuu7337
3 ай бұрын
Hakuna Bentley apo
Simbaa nakukubali saana mzee baba nipo Arusha laki sitaki sikia mtu amekuzumzia vibaya ww ntamtoa rooooooo
@user-tf9ro4gc2d
3 ай бұрын
Hakujui bro usjisumbue😂😂🚮
utapata hizi gari kwa fedha ya kenya ni two hundred
@johnsilima1629
2 ай бұрын
Kisha muulize Willy pol anazongap Kisha jiulize tz hatutengenezi gari na yeye kanunulie kule mnako nunulia na nyinyi wakunya😂😂
Rosy roisy😂😂
Umerekani mwingi usio na maana.jamaa anacopy wamerekani sana😂
@johnnsembele4401
2 ай бұрын
mwache hela ya kwakee
Kaisha yajenga kitambo simba wengine bado wana jitafuta
Kawaida sn hakuna cha kushangaza hpa
@joycekaguo8476
3 ай бұрын
Nyoooo
@albertkadyanji9722
3 ай бұрын
K kweli wewe ata baiskeli umiliki alafu unajitoa ufahamu
@user-kb7hw7sw8d
3 ай бұрын
Daah hatari ukiwa nacho mtihani na usipokuw nacho ndo iinallalh waiinallah 😢😢😢
Hizi ni show off zisizo na maana kabisa yaani....kuna watu Tanzania wana shida sana halafu kuna wengine wanafanya show offs tu lets be humbe guys....maisha haya ni mafupi sana....
@gamdadkhalid7704
3 ай бұрын
Ukiwa Nazo enjoy, usipo kua Nazo tulia umshkuru mola usiwe na roho ya hasidi ni sawa awe na show off tangia hapo yupo kwenye biashara ya show business.
Maisha magumu sana usupastaa mzigo wa mwiba nig