Msafara wa Diamond ukiwasili Hyatt na Ulinzi Mkali Ona Gari zake zote Rolls Royce,V8 na Cardilac

Ойын-сауық

Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

Пікірлер: 37

  • @SimonBaraka-yv2cx
    @SimonBaraka-yv2cx3 ай бұрын

    Kwakweli Diamond Platnumz ametuheshimisha kimataifa kama Msanii....🙏💪👍🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇳🇬🇿🇦

  • @DANNIEPRINCE
    @DANNIEPRINCE3 ай бұрын

    Nmechoka kuona hii wheelbarrow ya blue

  • @Alexjoseph-cu4nb
    @Alexjoseph-cu4nb3 ай бұрын

    Tafuta pesa ndugu yangu mungu hajaumba masikin wala tajiri

  • @evansmumo3921
    @evansmumo39213 ай бұрын

    Zimba kama kawa anaogopa kupoteza kofia

  • @Dibenk
    @Dibenk3 ай бұрын

    Simba msani munene mu africa niko shabiki yako mpakamwisha ❤

  • @ennymajaliwa4486
    @ennymajaliwa44863 ай бұрын

    Tz huru, nashukuru kuzaliwa Tz

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu3 ай бұрын

    Kula bata kijana maisha ndo hayahaya ila usijisahau sana mkumbuke na mtoabaraka

  • @ebengapierre8826

    @ebengapierre8826

    3 ай бұрын

    Kweli kabisa mahana unaye mtaja yy ndie fimbo ya wote

  • @AwaziBange-yo1wq
    @AwaziBange-yo1wq3 ай бұрын

    Mtoto mdogo msumbufu Africa

  • @moseslimonga2337
    @moseslimonga23373 ай бұрын

    Duuuh mtu anatembea njian na bilion kma 7 hapo usafr tuu

  • @jumaamohamed2815

    @jumaamohamed2815

    3 ай бұрын

    Ila anaogopa kuibiwa kapelo ya buku7

  • @justinsamwel4946

    @justinsamwel4946

    3 ай бұрын

    Billion sa7 ni gar Moja man

  • @jumaamohamed2815

    @jumaamohamed2815

    3 ай бұрын

    @@justinsamwel4946 🤭🤭😁😅😅

  • @gabrielngonyani3829
    @gabrielngonyani38293 ай бұрын

    Duuu ulinzi kama tupo DRC Tz ni salama

  • @salimbuda4347
    @salimbuda43473 ай бұрын

    Acha mjomba unasema ivyo sa7bu wew huNa ela acha mtyu aenjoy maisha

  • @BenMahende
    @BenMahende3 ай бұрын

    Mwamba nigawie kidogo. Duuh! PESA ina upendeleo ni balaa,

  • @josepheriah5977
    @josepheriah59773 ай бұрын

    Ok

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge82223 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati2 ай бұрын

    Simbaa

  • @danielkullwa1613
    @danielkullwa16133 ай бұрын

    hapa kuna ma bentley, escallade magari ya america...

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    3 ай бұрын

    Hakuna Bentley apo

  • @MosessMaganga
    @MosessMaganga3 ай бұрын

    Simbaa nakukubali saana mzee baba nipo Arusha laki sitaki sikia mtu amekuzumzia vibaya ww ntamtoa rooooooo

  • @user-tf9ro4gc2d

    @user-tf9ro4gc2d

    3 ай бұрын

    Hakujui bro usjisumbue😂😂🚮

  • @user-it5vl8rh8n
    @user-it5vl8rh8n3 ай бұрын

    utapata hizi gari kwa fedha ya kenya ni two hundred

  • @johnsilima1629

    @johnsilima1629

    2 ай бұрын

    Kisha muulize Willy pol anazongap Kisha jiulize tz hatutengenezi gari na yeye kanunulie kule mnako nunulia na nyinyi wakunya😂😂

  • @michaelmwilumedia9185
    @michaelmwilumedia91853 ай бұрын

    Rosy roisy😂😂

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv48643 ай бұрын

    Umerekani mwingi usio na maana.jamaa anacopy wamerekani sana😂

  • @johnnsembele4401

    @johnnsembele4401

    2 ай бұрын

    mwache hela ya kwakee

  • @mtetezimbeki7539
    @mtetezimbeki75393 ай бұрын

    Kaisha yajenga kitambo simba wengine bado wana jitafuta

  • @amirjuma8020
    @amirjuma80203 ай бұрын

    Kawaida sn hakuna cha kushangaza hpa

  • @joycekaguo8476

    @joycekaguo8476

    3 ай бұрын

    Nyoooo

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 ай бұрын

    K kweli wewe ata baiskeli umiliki alafu unajitoa ufahamu

  • @user-kb7hw7sw8d

    @user-kb7hw7sw8d

    3 ай бұрын

    Daah hatari ukiwa nacho mtihani na usipokuw nacho ndo iinallalh waiinallah 😢😢😢

  • @gracyusoy9435
    @gracyusoy94353 ай бұрын

    Hizi ni show off zisizo na maana kabisa yaani....kuna watu Tanzania wana shida sana halafu kuna wengine wanafanya show offs tu lets be humbe guys....maisha haya ni mafupi sana....

  • @gamdadkhalid7704

    @gamdadkhalid7704

    3 ай бұрын

    Ukiwa Nazo enjoy, usipo kua Nazo tulia umshkuru mola usiwe na roho ya hasidi ni sawa awe na show off tangia hapo yupo kwenye biashara ya show business.

  • @nwntz
    @nwntz3 ай бұрын

    Maisha magumu sana usupastaa mzigo wa mwiba nig

Келесі