Tazama maisha ya Omar bakhresa Na Nyumba yake pamoja Na Magari anayomiliki
Жүктеу.....
Пікірлер: 140
@user-gu1lg2zr8s4 ай бұрын
MashaAlla tabaraqallah. Huyu ni mimi miaka mitatu ijayo insha'Allah. Taqabal ya rab. Mpe amani na mali zake ❤❤
@gamarmahsan82542 ай бұрын
Bismilahi mashallaa
@HusseinHaule-pr5ovАй бұрын
Allah atujahaliye na sisi japo hata vibanda vya kuishi na familia zetu Inshaallah
@alalwialalwiii81942 жыл бұрын
Maashallh I mungu tupe nasiee
@anjelinakasembe8452 жыл бұрын
Mashalah halafu yuko kimya da mungu aendelee kumpa kwasababu anasaidia sana Hamo ujakosea
@abdulrahimmohamed7066
2 жыл бұрын
Ana dini ni tajiri mwenye dini anajua hivi havitamzika
@florakaaya45592 жыл бұрын
Huyu ni mtu wa watu Mungu ampe maisha marefu yenye furaha na AMANI🙏🙏
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Ameen ameen kwa uwezo wa Allah my
@dulabori99223 жыл бұрын
Mungu amzidishie na amfanyie wepesi pia asisahau wenye uhitaji maalumu
@ahmedshahar7282 жыл бұрын
Masha'Allaah. Taba'rakallaah
@dullysavage59392 жыл бұрын
🤲 Mashalla mungu amuongoze ktk kheri,bali asijihau awasaidie mayatima na wenye mahitaji maalumu ili mungu akampe malipo mema kesha ahera.
@khalifanassor53494 жыл бұрын
Dini haijakataza kuishi vizuri duniani Mashallah
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Tabaraqaallah
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mungu awajalie maisha marefu sana hapa dunia mmejitolea kwa moyo thabiti kwa ajili ya watanzania wa lefo yote utakuta miwatu bahathi inapora mamilioni ya ela za masiki lakini anachofanyia amna zaidi sana ya kua laaaana kuuu
@moshielfesty79922 жыл бұрын
Tungekuwa akina Sisi wapenda misifa watu wasingelala mana kwenye mitandao kungekoma bakherese upo vizuri🔥🔥
@jimjam41482 жыл бұрын
MASHAA ALLAH pili tujifundishe kupitiya ndugu yetu bahresa uslamu sikushi Kwa ubahili .
@sumaiaomari6950
2 жыл бұрын
Good
@sumaiaomari6950
2 жыл бұрын
Good
@abdul-rahmanal-sis70972 жыл бұрын
Mashallah hadha min Fadhil Rabbi
@fatmakhanii16764 жыл бұрын
Mashallah ila yote nimapito subhanallah
@nadirmahfoudh18123 жыл бұрын
Masha'allaaaah!! Nooron alanoor!!
@maryabby79524 жыл бұрын
Allah amjaalie awe nimwenyekutoa zakka na kuwasaidia mayatima ili apate mwisho mwema
@Emedroadtocanada
Жыл бұрын
Allahumma aaamin
@ndukulusudikucho_4 жыл бұрын
Allah hufurahi pale anapomuona mja ameruzukiwa na anatumia mali hiyo kwenye kheri, Masha Allah
@issashabani345
3 жыл бұрын
Huyo ni muislam akifa atazikwa na sanda na atalala kwenye mchanga wala amnishitui wala
@omarbachu10743 жыл бұрын
MashaAllah!
@aljadiidualjadiidu68892 жыл бұрын
Maashaa Allah Tabaaraka'Allah
@gamarmahsan82542 ай бұрын
Amiin
@rugijofrey36852 жыл бұрын
Safi kabisa maisha poa mno hayo Kila mtu Mungu akimbaliki angependa kuishi vizuri safi kabisa
@estarwamboi2912 жыл бұрын
🎵Mfano was mtu mwenye pesa. Mtazame bharesa🎵 Harmonize song
@lirastanley390
2 жыл бұрын
🤣ni kweli kbs tena huyo ni mtoto tu
@athumanmkilindi62152 жыл бұрын
Mashallah Allah allah
@allysultan94412 жыл бұрын
Nimependa hiyo Quran ikisomwa kwa sauti nzuri
@paulinasemindu12924 жыл бұрын
binadam tuna wivu sana.kila.mtu.oh vinapita cjui sanda jmn.mungu anamakusudi yake kumpa!hata uwe maskini.sanda pia.inatungoja.hata tajir msi.muonee wivu kila.mtu.anadhambi.hata uwe maskini.hapo.tu.unavyomuonea wivu.nixhambi tosha kwa dini.yetu ss wakristo! mungu co.mjinga kwann.kakunyima.ww kampa yeye?
@badar37812 жыл бұрын
Mashalla mungu azidi kukupa
@gamarmahsan82542 ай бұрын
Alla ampenda mja wake ssiye kuwa na kibri na madharau
@carlitacelestinopedro71273 жыл бұрын
Mashaallah 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@fredmbossa2 жыл бұрын
Nilichogundua humu wanaponda wengi ni waisalmu,mara sanda mara utaviacha hapahapa duniani ,,,kwahiyo ukiwa duniani unatakiwa uwe maskini tu ,,,,wivu watu unawasumbua
hakuna neno usiishi vzr sija weka hpo nimesema haya maisha niyakupita nendeni muka wasaidie masikini vijijini nyinyi ndo mungu alo wapa uwezo na pia tuwa ombee dua kutoa hao walonacho.
@sundaymsuya1433
2 жыл бұрын
Atasaidia wangapi kwenye hii dunia ukiona hivi pambana naww angalau umkaribie usiongee kwa xababu hauna je ww ukipata pesa km hivo alivo utaweza saidia kweli au unaongea kwaxababu hauna
@amirimbwambo34632 жыл бұрын
Mashaa llah
@nassirhamis58482 жыл бұрын
Mashaallah
@medwho9592 жыл бұрын
Allah awahifadhi.
@shifaaal-baity4503 Жыл бұрын
Masha Allah
@badar37812 жыл бұрын
Mashalla mashalla vizuri sana
@rajvanymatuma59772 жыл бұрын
ongela yake mungu amzidishie
@jumamohammed5378 Жыл бұрын
MashaAllah
@manasadunia34582 жыл бұрын
Masha allah
@ezzyb25656 жыл бұрын
Jamani hii ni nyumba ama mall?
@ramabendera81834 жыл бұрын
Tabarakahllau
@hamidaala2832
2 жыл бұрын
MashaAlhaAlhaAkuzidishie
@user-bx1oz2ib1z Жыл бұрын
Nasikia sauti ya seikh Ali jaabir akisoma qur an
@omarsirleem7105 Жыл бұрын
Huyu hadi amejisalimia kwa kioo 😂😂
@shafiiakida45613 жыл бұрын
mashallah
@joshymalinyo60572 жыл бұрын
duuh mzebaba anaishi aise
@bahrujbaura80423 жыл бұрын
Alafu nimsikie mtu anitajie uchafu wa Diamond!angalien watu wanavyo ishi mwenye pesa hajisifu Wala kujitangaza ushamba tu!
@eliyanorobeth8567
2 жыл бұрын
Yani wewe ni mpumbafu kwelikweli!!!! Sa diamond kaingiaje kwenye hil Tafuta zako nawewe Basi uish bila kujisfu. Pia chakukuongezea tafta jibu la swali hil MSANII NI NINI?????? HUTOHANGAIKA
@ismailiamblosi2681 Жыл бұрын
Tajiri uza malizako zote na pesa uwape masikini
@nbwchannel49972 жыл бұрын
Inapendeza sana
@fahadfahmy6 жыл бұрын
Mpaka snema ndani
@nbwchannel49972 жыл бұрын
Tatizo tusichague watu kua uyu akionyesha mali zake mshamba mwengine Mungu amsaidie sio fresh.
@odeanmachaku37192 жыл бұрын
Hard work pays
@fatmasaid90742 жыл бұрын
utajir wa akhera tuuu mapitooo TU ayo kuwa tajir dunianii pia mtihan ndugu zanguu
@aboubakaryjuma83492 жыл бұрын
Kunawatu wanaishi Jamani!!
@sultannassor97564 жыл бұрын
wasedieni masikini vijijini dunia tunapita
@sasamjr2517
4 жыл бұрын
Ata ww unayohaki ya kisaidia masikin kwa Mungu alichokupa
@mustafamsati64623 жыл бұрын
Kweli chibu gari kaitoahapo
@juliusmassawe5974 жыл бұрын
Mmmmm!!!
@mrsnam68974 жыл бұрын
Nilicho kigundua kwa hizo comments duniani hapa hatutofanikiwa na akhera adhabu inatusubiri Watu wamejawa na wivu wa mali za mtu, unaona eti utakufa utaziacha, jaman jaman😋😋😋😋😋😋😋😋😋
Kuna comments hapa hata shetani atazikataa siku ya kiama kwamba hakuwa shauri ahao watu kuandika mtu anawazia mwenzake ahela ili hali yeye n mzinifu muongo na muuaji
@dinopaul2618
2 жыл бұрын
😂😂😂
@fdhjffdhjfsjdjfjfi94774 жыл бұрын
Mimi nakushauri ujenge pepo yako kwa Allah utaikuta kuliko kujenga kasri ukaliwacha na kila kilichomo huchukui ata sent 1 hivyo jitahidi kujenga akhera yako inshallah
@mrsnam6897
4 жыл бұрын
Sasa ingekua ni wewe na pesa unazo ungelifikiria hivyo kweli
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
4 жыл бұрын
@@mrsnam6897 sana 2 naomba mungu kila ck wallah
@noahvan6890
4 жыл бұрын
Umaskini dhambi, tafuta pesa uishi vizuri sio kulaumu kwanza ushatenda dhambi mpk hapo
@tugabiz4286
3 жыл бұрын
Una uhakika kuwa hasaidii wenye uhitaji au unataka hadi angekua ana rekodi wakati anatoa? Acheni akili za kimasikini hizo
@fikirimajila2897
2 жыл бұрын
Kwahiyo ulitaka aishi kwenye pagare ndourizike
@mohamedahmed-wc5te4 жыл бұрын
Leo juu ya mgongo wa dunia kesho sanda chini na ndani kwa tumbo la dunia.Allah atughafuru na atuongoze kwa duniani na kesho akhera.Amiiiin
@hallin9561
4 жыл бұрын
Kwaiyo kama kesho tutakufa basi leo tulale kwenye nyasi kisa kesho tutaiacha dunia.. Tuache mawazo ayo wabeba imani
@roggerssimon1222 жыл бұрын
🤣🤣🤣 nmeona ferar c aipoteze niikote jaman
@ommarymzee11616 жыл бұрын
wat na maisha yao
@fahadfahmy6 жыл бұрын
Huyu ameshapewa duniani hatujui akhera.
@mrsnam6897
4 жыл бұрын
Mungu Anjalie akhera yenye ubara kuliko wa hapa duniani
@nadirmahfoudh1812
3 жыл бұрын
Namuomba Allah ampe zaidi huko Akhera sababu Omar anajitahidi sana ktk kuekeza akhera kuliko duniani Masha'Allah
@wilemakunga10162 жыл бұрын
Hakika nimeskia Quran tukufu inasomwa
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Ingekua za daimond sijui ingekuaje
@ramadhanijuma88742 жыл бұрын
Hiyo ni israf.......
@ramadhanmasiku41052 жыл бұрын
Kwa sasa nipo Tandale nimepanga ila nahangaikia japo chumba ki1 ili nihamie kwangu ama kweli maisha hayana huruma🙈
@marryelasto15924 жыл бұрын
Dini kwanza ayo yote tutayaacha hapq
@dinopaul2618
2 жыл бұрын
Kwani huwezi fanya vyote kwa pamoja🤔
@tuntulusekelo41913 жыл бұрын
duhh chapaa nyoko
@ladsonmshana99203 жыл бұрын
Pesa kitu ingine
@mohdkhamis38572 жыл бұрын
Kama kuna haki za watu hpo ndio shida!!
@bakarialykitemwe92323 жыл бұрын
Mo hana chochote hawa ndio matajir dadadeki
@fadhilisamson4085
2 жыл бұрын
Kwani hao wanakusaidia nini kwenye maisha yako boss
@bakarialykitemwe9232
2 жыл бұрын
@@fadhilisamson4085 kwakweli wote wana nisaidia mana kila tajiri ana msaada ktk jamii yani mo ana nisaidia na bakhresa ananisaidia masada unaweza usione machoni lakini kupitia kodi zao serekali inafaidika na raia pia so nafaidika
@zalhathasaid2060
2 жыл бұрын
@@bakarialykitemwe9232 sasa mbona watu wanasem bakharesa mo tajir ni mo hvi ni kweli?
@bakarialykitemwe9232
2 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 inawezekana ikawa kweli kulingana na tafiti zao wanazo fanya lakini kwangu mimi nikiangalia vitu anavyo miliki bakhressa sikubali kuniambia mo tajir zaidi ya bakhressa
@zalhathasaid2060
2 жыл бұрын
@@bakarialykitemwe9232 na mimi ivoivo
@sultannassor97564 жыл бұрын
haki ninayo lkn uwezo sina uwezo wangu nikuwakumbusha walo nacho kutoa
@shaabanramadhan6770 Жыл бұрын
Tutafute pesa
@tareqhilal67503 жыл бұрын
Hili huenda likawa ni jengo la biashara
@touchgloves26132 жыл бұрын
Huwezi sema dini inapenda extravagants km hizi maana wakat ww una vyumba kumi na tano usivyovitumia kuna watu hawana pakulala ktk mitaa unayopita na unawaona
@nadiakarata8984
2 жыл бұрын
Dini haikatazi shekh kuishi vizuri na himkatazi shekh mtu kuhadisia neema mungu alizokujalia mandhari si kwa kebehi na majivuno. Mungu amzidishie na atujalie na sisi pia Inshallah.
@feristerjames45222 жыл бұрын
Sasa uyo domo ndo sone hapa watu hawajisifii itakua wancheka tu
@jpmanotaofficial639
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@feristerjames4522
2 жыл бұрын
@@jpmanotaofficial639 🌝🌚😜
@shafiiwise26384 жыл бұрын
Toa mal kwa wahusika xo maonyesho
@idduyusuph94084 жыл бұрын
Ila mwisho wa siku atakufa vyote ata viacha tu
@sasamjr2517
4 жыл бұрын
Uchaw huo?
@khadijayuba6065
4 жыл бұрын
Wivu tu haya ww utaishi milele utaenda kuchukua
@jonathankyandojr8345
3 жыл бұрын
Ndioo atawaachia watoto wake kwani shida iko wapi?
@mathanikibuti66762 жыл бұрын
Kila nafsiii itaonja umauti,
@abdulrahimmohamed70662 жыл бұрын
Na wala humuoni akijigamba sio wasanii wetu wa bongo
@stephanomoses76942 жыл бұрын
Baba ake hanaga izi. Yeye kapewa theluthi2 ashaanza mbwembwe wakati baba hata akitoa msaada hataki media
@sonko-13
2 жыл бұрын
😂 naww mwambie baba yako akupe,
@malota2138
2 жыл бұрын
@@sonko-13 😂😂😂
@rajabaliremtulla63695 жыл бұрын
to put such a video on the utube reveals the pride of the owner. I do not suite whilst the Quran is recited
@ahmedbahannan27546 жыл бұрын
Kama mali yako halali ni sawa kutumia pesa yako kufanya maisha yako kuwa mazuri, lakini sioni kama ni uzuri kuweka video kama hizi kwa youtube kuonyesha mambo yako ya kibinafsi hadharani. kama unaonyesha kiwanda chako ni sawa lakini nyumbani kwako bora usifanye.
@abdullaali6226
5 жыл бұрын
Ahmed Bahannan huyo alotuma hii video sio mwenyewe Omar Bakhressa, mwenyewe humkuti popote kutuma, hata hivyo alotuma hajatuma kwa lengo baya, just nasie tuone tu,
@mrsnam6897
4 жыл бұрын
Jamoni wivu jamon wivu unatutesa na umaskini hautotuacha
@mozaseif2812
3 жыл бұрын
Ah mtihan mashallah matajir wetu
@rukiaabdallah926 жыл бұрын
Ni vya dunia tu hatoki na kitu chochote isipokuwa sanda tu 😷
@kambugarakim4840
2 жыл бұрын
Uchawi huo
@abdul-rahmanal-sis70972 жыл бұрын
Mashallah hadha min Fadhil Rabbi
@asiakheir38466 жыл бұрын
Jitahidi kuwekeza kwa Allahpia. MashaaAllah wenyehusda wasivione.
@shamsahaji6202
4 жыл бұрын
Amin
@hamidaala2832
2 жыл бұрын
AaminaYaarabi😭😭😭
@paulinasteiner54173 жыл бұрын
Mashallah
@ismailiamblosi2681 Жыл бұрын
Tajiri uza malizako zote na pesa uwape masikini
@saifalrajhi50016 жыл бұрын
Sasa Omar na Salim Bakhresa yupi ni yupi
@abdullaali6226
5 жыл бұрын
Huyo Omar ni mtoto mmoja tu wa Bakhressa ndo anamiliki hiyo, wako na watoto wengine.
Пікірлер: 140
MashaAlla tabaraqallah. Huyu ni mimi miaka mitatu ijayo insha'Allah. Taqabal ya rab. Mpe amani na mali zake ❤❤
Bismilahi mashallaa
Allah atujahaliye na sisi japo hata vibanda vya kuishi na familia zetu Inshaallah
Maashallh I mungu tupe nasiee
Mashalah halafu yuko kimya da mungu aendelee kumpa kwasababu anasaidia sana Hamo ujakosea
@abdulrahimmohamed7066
2 жыл бұрын
Ana dini ni tajiri mwenye dini anajua hivi havitamzika
Huyu ni mtu wa watu Mungu ampe maisha marefu yenye furaha na AMANI🙏🙏
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Ameen ameen kwa uwezo wa Allah my
Mungu amzidishie na amfanyie wepesi pia asisahau wenye uhitaji maalumu
Masha'Allaah. Taba'rakallaah
🤲 Mashalla mungu amuongoze ktk kheri,bali asijihau awasaidie mayatima na wenye mahitaji maalumu ili mungu akampe malipo mema kesha ahera.
Dini haijakataza kuishi vizuri duniani Mashallah
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Tabaraqaallah
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mungu awajalie maisha marefu sana hapa dunia mmejitolea kwa moyo thabiti kwa ajili ya watanzania wa lefo yote utakuta miwatu bahathi inapora mamilioni ya ela za masiki lakini anachofanyia amna zaidi sana ya kua laaaana kuuu
Tungekuwa akina Sisi wapenda misifa watu wasingelala mana kwenye mitandao kungekoma bakherese upo vizuri🔥🔥
MASHAA ALLAH pili tujifundishe kupitiya ndugu yetu bahresa uslamu sikushi Kwa ubahili .
@sumaiaomari6950
2 жыл бұрын
Good
@sumaiaomari6950
2 жыл бұрын
Good
Mashallah hadha min Fadhil Rabbi
Mashallah ila yote nimapito subhanallah
Masha'allaaaah!! Nooron alanoor!!
Allah amjaalie awe nimwenyekutoa zakka na kuwasaidia mayatima ili apate mwisho mwema
@Emedroadtocanada
Жыл бұрын
Allahumma aaamin
Allah hufurahi pale anapomuona mja ameruzukiwa na anatumia mali hiyo kwenye kheri, Masha Allah
@issashabani345
3 жыл бұрын
Huyo ni muislam akifa atazikwa na sanda na atalala kwenye mchanga wala amnishitui wala
MashaAllah!
Maashaa Allah Tabaaraka'Allah
Amiin
Safi kabisa maisha poa mno hayo Kila mtu Mungu akimbaliki angependa kuishi vizuri safi kabisa
🎵Mfano was mtu mwenye pesa. Mtazame bharesa🎵 Harmonize song
@lirastanley390
2 жыл бұрын
🤣ni kweli kbs tena huyo ni mtoto tu
Mashallah Allah allah
Nimependa hiyo Quran ikisomwa kwa sauti nzuri
binadam tuna wivu sana.kila.mtu.oh vinapita cjui sanda jmn.mungu anamakusudi yake kumpa!hata uwe maskini.sanda pia.inatungoja.hata tajir msi.muonee wivu kila.mtu.anadhambi.hata uwe maskini.hapo.tu.unavyomuonea wivu.nixhambi tosha kwa dini.yetu ss wakristo! mungu co.mjinga kwann.kakunyima.ww kampa yeye?
Mashalla mungu azidi kukupa
Alla ampenda mja wake ssiye kuwa na kibri na madharau
Mashaallah 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nilichogundua humu wanaponda wengi ni waisalmu,mara sanda mara utaviacha hapahapa duniani ,,,kwahiyo ukiwa duniani unatakiwa uwe maskini tu ,,,,wivu watu unawasumbua
Mashaaallah....yakini......ukimtegemea.....ALLAH.....ktk....mali....zako....zinadumu.....daima....milele....🤲🙏
@letthedeadburythedead2148
2 жыл бұрын
Mali hazidumu milele wewe
Mashallah
Masha ALLAH...
hakuna neno usiishi vzr sija weka hpo nimesema haya maisha niyakupita nendeni muka wasaidie masikini vijijini nyinyi ndo mungu alo wapa uwezo na pia tuwa ombee dua kutoa hao walonacho.
@sundaymsuya1433
2 жыл бұрын
Atasaidia wangapi kwenye hii dunia ukiona hivi pambana naww angalau umkaribie usiongee kwa xababu hauna je ww ukipata pesa km hivo alivo utaweza saidia kweli au unaongea kwaxababu hauna
Mashaa llah
Mashaallah
Allah awahifadhi.
Masha Allah
Mashalla mashalla vizuri sana
ongela yake mungu amzidishie
MashaAllah
Masha allah
Jamani hii ni nyumba ama mall?
Tabarakahllau
@hamidaala2832
2 жыл бұрын
MashaAlhaAlhaAkuzidishie
Nasikia sauti ya seikh Ali jaabir akisoma qur an
Huyu hadi amejisalimia kwa kioo 😂😂
mashallah
duuh mzebaba anaishi aise
Alafu nimsikie mtu anitajie uchafu wa Diamond!angalien watu wanavyo ishi mwenye pesa hajisifu Wala kujitangaza ushamba tu!
@eliyanorobeth8567
2 жыл бұрын
Yani wewe ni mpumbafu kwelikweli!!!! Sa diamond kaingiaje kwenye hil Tafuta zako nawewe Basi uish bila kujisfu. Pia chakukuongezea tafta jibu la swali hil MSANII NI NINI?????? HUTOHANGAIKA
Tajiri uza malizako zote na pesa uwape masikini
Inapendeza sana
Mpaka snema ndani
Tatizo tusichague watu kua uyu akionyesha mali zake mshamba mwengine Mungu amsaidie sio fresh.
Hard work pays
utajir wa akhera tuuu mapitooo TU ayo kuwa tajir dunianii pia mtihan ndugu zanguu
Kunawatu wanaishi Jamani!!
wasedieni masikini vijijini dunia tunapita
@sasamjr2517
4 жыл бұрын
Ata ww unayohaki ya kisaidia masikin kwa Mungu alichokupa
Kweli chibu gari kaitoahapo
Mmmmm!!!
Nilicho kigundua kwa hizo comments duniani hapa hatutofanikiwa na akhera adhabu inatusubiri Watu wamejawa na wivu wa mali za mtu, unaona eti utakufa utaziacha, jaman jaman😋😋😋😋😋😋😋😋😋
@sasamjr2517
4 жыл бұрын
Umeona eenh waswahil tunaroho mbaya kimshinda sheitwan
@amospoti3766
3 жыл бұрын
Kuna comments hapa hata shetani atazikataa siku ya kiama kwamba hakuwa shauri ahao watu kuandika mtu anawazia mwenzake ahela ili hali yeye n mzinifu muongo na muuaji
@dinopaul2618
2 жыл бұрын
😂😂😂
Mimi nakushauri ujenge pepo yako kwa Allah utaikuta kuliko kujenga kasri ukaliwacha na kila kilichomo huchukui ata sent 1 hivyo jitahidi kujenga akhera yako inshallah
@mrsnam6897
4 жыл бұрын
Sasa ingekua ni wewe na pesa unazo ungelifikiria hivyo kweli
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
4 жыл бұрын
@@mrsnam6897 sana 2 naomba mungu kila ck wallah
@noahvan6890
4 жыл бұрын
Umaskini dhambi, tafuta pesa uishi vizuri sio kulaumu kwanza ushatenda dhambi mpk hapo
@tugabiz4286
3 жыл бұрын
Una uhakika kuwa hasaidii wenye uhitaji au unataka hadi angekua ana rekodi wakati anatoa? Acheni akili za kimasikini hizo
@fikirimajila2897
2 жыл бұрын
Kwahiyo ulitaka aishi kwenye pagare ndourizike
Leo juu ya mgongo wa dunia kesho sanda chini na ndani kwa tumbo la dunia.Allah atughafuru na atuongoze kwa duniani na kesho akhera.Amiiiin
@hallin9561
4 жыл бұрын
Kwaiyo kama kesho tutakufa basi leo tulale kwenye nyasi kisa kesho tutaiacha dunia.. Tuache mawazo ayo wabeba imani
🤣🤣🤣 nmeona ferar c aipoteze niikote jaman
wat na maisha yao
Huyu ameshapewa duniani hatujui akhera.
@mrsnam6897
4 жыл бұрын
Mungu Anjalie akhera yenye ubara kuliko wa hapa duniani
@nadirmahfoudh1812
3 жыл бұрын
Namuomba Allah ampe zaidi huko Akhera sababu Omar anajitahidi sana ktk kuekeza akhera kuliko duniani Masha'Allah
Hakika nimeskia Quran tukufu inasomwa
Ingekua za daimond sijui ingekuaje
Hiyo ni israf.......
Kwa sasa nipo Tandale nimepanga ila nahangaikia japo chumba ki1 ili nihamie kwangu ama kweli maisha hayana huruma🙈
Dini kwanza ayo yote tutayaacha hapq
@dinopaul2618
2 жыл бұрын
Kwani huwezi fanya vyote kwa pamoja🤔
duhh chapaa nyoko
Pesa kitu ingine
Kama kuna haki za watu hpo ndio shida!!
Mo hana chochote hawa ndio matajir dadadeki
@fadhilisamson4085
2 жыл бұрын
Kwani hao wanakusaidia nini kwenye maisha yako boss
@bakarialykitemwe9232
2 жыл бұрын
@@fadhilisamson4085 kwakweli wote wana nisaidia mana kila tajiri ana msaada ktk jamii yani mo ana nisaidia na bakhresa ananisaidia masada unaweza usione machoni lakini kupitia kodi zao serekali inafaidika na raia pia so nafaidika
@zalhathasaid2060
2 жыл бұрын
@@bakarialykitemwe9232 sasa mbona watu wanasem bakharesa mo tajir ni mo hvi ni kweli?
@bakarialykitemwe9232
2 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 inawezekana ikawa kweli kulingana na tafiti zao wanazo fanya lakini kwangu mimi nikiangalia vitu anavyo miliki bakhressa sikubali kuniambia mo tajir zaidi ya bakhressa
@zalhathasaid2060
2 жыл бұрын
@@bakarialykitemwe9232 na mimi ivoivo
haki ninayo lkn uwezo sina uwezo wangu nikuwakumbusha walo nacho kutoa
Tutafute pesa
Hili huenda likawa ni jengo la biashara
Huwezi sema dini inapenda extravagants km hizi maana wakat ww una vyumba kumi na tano usivyovitumia kuna watu hawana pakulala ktk mitaa unayopita na unawaona
@nadiakarata8984
2 жыл бұрын
Dini haikatazi shekh kuishi vizuri na himkatazi shekh mtu kuhadisia neema mungu alizokujalia mandhari si kwa kebehi na majivuno. Mungu amzidishie na atujalie na sisi pia Inshallah.
Sasa uyo domo ndo sone hapa watu hawajisifii itakua wancheka tu
@jpmanotaofficial639
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@feristerjames4522
2 жыл бұрын
@@jpmanotaofficial639 🌝🌚😜
Toa mal kwa wahusika xo maonyesho
Ila mwisho wa siku atakufa vyote ata viacha tu
@sasamjr2517
4 жыл бұрын
Uchaw huo?
@khadijayuba6065
4 жыл бұрын
Wivu tu haya ww utaishi milele utaenda kuchukua
@jonathankyandojr8345
3 жыл бұрын
Ndioo atawaachia watoto wake kwani shida iko wapi?
Kila nafsiii itaonja umauti,
Na wala humuoni akijigamba sio wasanii wetu wa bongo
Baba ake hanaga izi. Yeye kapewa theluthi2 ashaanza mbwembwe wakati baba hata akitoa msaada hataki media
@sonko-13
2 жыл бұрын
😂 naww mwambie baba yako akupe,
@malota2138
2 жыл бұрын
@@sonko-13 😂😂😂
to put such a video on the utube reveals the pride of the owner. I do not suite whilst the Quran is recited
Kama mali yako halali ni sawa kutumia pesa yako kufanya maisha yako kuwa mazuri, lakini sioni kama ni uzuri kuweka video kama hizi kwa youtube kuonyesha mambo yako ya kibinafsi hadharani. kama unaonyesha kiwanda chako ni sawa lakini nyumbani kwako bora usifanye.
@abdullaali6226
5 жыл бұрын
Ahmed Bahannan huyo alotuma hii video sio mwenyewe Omar Bakhressa, mwenyewe humkuti popote kutuma, hata hivyo alotuma hajatuma kwa lengo baya, just nasie tuone tu,
@mrsnam6897
4 жыл бұрын
Jamoni wivu jamon wivu unatutesa na umaskini hautotuacha
@mozaseif2812
3 жыл бұрын
Ah mtihan mashallah matajir wetu
Ni vya dunia tu hatoki na kitu chochote isipokuwa sanda tu 😷
@kambugarakim4840
2 жыл бұрын
Uchawi huo
Mashallah hadha min Fadhil Rabbi
Jitahidi kuwekeza kwa Allahpia. MashaaAllah wenyehusda wasivione.
@shamsahaji6202
4 жыл бұрын
Amin
@hamidaala2832
2 жыл бұрын
AaminaYaarabi😭😭😭
Mashallah
Tajiri uza malizako zote na pesa uwape masikini
Sasa Omar na Salim Bakhresa yupi ni yupi
@abdullaali6226
5 жыл бұрын
Huyo Omar ni mtoto mmoja tu wa Bakhressa ndo anamiliki hiyo, wako na watoto wengine.
Mashallah
Tajiri uza malizako zote na pesa uwape masikini