DR.SULLE 'BWAWA LILILOTOKANA NA KUDIDIMIA KWA ARDHI KWA DUA YA MCHA MUNGU/MAJI YAKE NI DAWA
#islaamic #drsulle #tanzania #health
Habari hiki ni kipindi cha ziara za Alhaj-Dr.Sulle katika kutembelea Nchi mbalimbali kuhakikisha unapata kitu cha kujifunza na leo tumekuja na Bwawa hili lililopo Nchini Comoro ambalo lina maajabu makubwa sana mtazamaji fuatilia kisa hiki kisha tuachie maoni yako hapa karibu.
Пікірлер: 381
ALLA akuzidisheye umri na kupe memakatika duniani na kesho akhera
Manshaallah Allah akutangulie sheikh wetu. Namuomba Allah akujalie uweze kufanya ziara Ya Jordan kuutembelea mti wa ajabu "The only living Swahab". maana ulitoa historia yake vizuri sana. Natamani ufike Sheikh.
@Fardadihd
4 ай бұрын
Huko ndio kuna stori ya kweli sio hio comorro
@lorelore2930
4 ай бұрын
@@Fardadihdacha ujinga kama hzo za uongo andaa channel yako ya ukweli
Mungu anakudrazake Kwakwelii sheikh allah akupeumri mrefu kwakutujuza ulichokiona atupe nia tufike kotehuko
Allahu Akbar kweli duniani kuna maajabu mengi shukran sheikh wetu tumepata faida bila kwenda huko Comoro
@user-om7ov3ji3r
4 ай бұрын
Hahaaa iyo kaaba imejengwa na wanadamu
@sabihaibrahim143
4 ай бұрын
@@user-om7ov3ji3rndio ni Nabii Ibrahim na mtoto wake
Amina yarabby atujaalie sote na sisi tuje tujionee
Mashaalah shehe wetu Kwa kutupatia elimu hiyo, mwenyezi Mungu akulipe heri zaidi,,,, naomba zawadi ya maji kutoka bwawa hilo la maajabu.
@safariismaillubinga540
4 ай бұрын
Mashaallah allah jalia umaty Muhammad ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
fanya kazi shekh kosowa dini ya Allah malipo yako iko kwake Allah ❤
ALLAH AKBAR,,,HII KUBWA SANA SHEIKH JAZAKALLAH KHEIR
@user-jm7mv6kf5g
4 ай бұрын
Ndugu huo sio uislam ,,yy aseme kama ameenda kutafuta dawa ila asitumie kigezo cha kini ,,hakuna ki lichoachwa kufundishwa kwenye dini yetu,, tena sure amche Mola wake mlez
Karibu Comoro …na hapo kuna maajabu sana nishawahi kwenda chini ….may Allah protect our continent nd the the rest of the world insh’Allah..🙏
Allah akuzidisheye Ameeena yarabi 🤲🤲🤲
Ma shaa Allah Jazakallahu khairah alhaj sule, kwa kutujuza hayo. Kwakwel tumepata faida
Mungu akujalie shekh wetu
Allahu akbar ❤Allah akup umri mlefu sheikh wangj
MashaAllah. nakuelewa sana
SubhanaAllah ALLAH nimjuzi wakila kitu
@zangzang1574
4 ай бұрын
Sio miujiza apo kuna mizimu
Kweli kuna maajabu Allah akulinde shekhe wetu
Ostazi dr sure mashalla kwa historia muku akupe maisha malefu
Subhanallah AllahuAkbar
Mashaallah sheikh wetu
Like zenu Leo nimekuwa wa kwanza
@user-sv6zy3hc8o
4 ай бұрын
Mpunguzage ujinga kwani kua wa kwanza ndio nin unaacha hata kumshujuru mungu na azid kumpa saha na afya Dr sulle unakumbilia wa kwanza kwaio tuku fanye nin
@saphinalutaha9077
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@RamadanPaul
4 ай бұрын
❤️❤️😂😆😆
@jojomdosi-ip4rg
4 ай бұрын
mungu mkubwa jamani
@zahraabdul9652
4 ай бұрын
Hawa watu wa like kumbe wako kila pahali mtu aniambie ni za kazi gani?
Allah ndie ajuwae.sio Allah na Mtume Swalah Allahu alayhi wasalam
Mwenyezi Mungu akuinuwe zaid nduguyang
ALLAH akufanyie wepesi sheikh, katika tafiti zako mbalimbali
Allah akubariki sana dr.sule ziara zako zinanipatia darasa kubwa sana
Alhamdhulillahi kupitia channel hii nimejifunza
Mashaallah Dr Sule kiukweli din yetu ni dini ya kwel Allah awajaalie wale ambao sio Waislam wabadilishe din na kua Waislam inshaalah
Mashallah sheikh unatufundisha mengi
Màashallah.... Allah azidi kukuzishia umri mrefu shekhe wetu uzidi kutupa elmu
Mashalla ndugu apo kuna mazingatio mm natia Nia inshallah nitafka apo
@ayshazambia6509
4 ай бұрын
Inshaallah na mimi mmoja wapo hatamani nifike comoro
Shukran sana sheikh
Allahu Akbar Dr sule Allah akulipe kheri
Shukrani sana sheikh.. I have learn a lot
DR sulee nakuoba ufikee mjinikwetuu unaitwa M'vouni babao hukoo utafurahi sanaa kwasababu kunavitu ambazo huwezi kuzipataa mahalaa popotee nahukoo nimjii abaoo ngazijaa zimaa wanapwajuaa kwamajabuu
@HassanShareef-fs5kb
4 ай бұрын
Hello
Maashaala tabaraka lah Amin Amin Amin yarabil ❤
Doctor Sule fanya mazoezi ndugu
@petro_Raphael
4 ай бұрын
Tulia wewe karuke ruke huk na karate zako
Mashallah Allah akulipe kila la kher shekh🎉
Yaani jamani, Dr Sulle kiukweli kutoka kwa ndani ya moyo wangu, Mungu wa kweli ktk Kristo Yesu, natamani kuona unamhubiri Yesu Kristo. Mungu afanye njia juu ya hili
@hassanjr5318
2 ай бұрын
Mbona ana muhubiri sana Yesu ..... fwatilia video zake za zamani amemuhubiri sana Yesu Kristo ....amehubiri Maryam Mama wa Yesu kuwa ndio Mwanamke Bora duniani kuliko wanawake wote duniani tangu kuumbwa ..... amehubiri sana habari za Yesu mfwatilie
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
karibu sanaa Comores 🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲 ❤
@ayshazambia6509
4 ай бұрын
Asalam akeykum hivi naomba nikulize kufika comoro nauli yake sh ngapi
@abdullazaqjuma7592
4 ай бұрын
I admire to go back home
@mtawakalitsimtsovou4074
4 ай бұрын
@@ayshazambia6509 inategemeaa kwasababu inapandaa inashikaa wakatii inakuaa million mojaa au lakii 9 ndio navokuaaa
@mtawakalitsimtsovou4074
4 ай бұрын
@@abdullazaqjuma7592 semakiswahilii
Allah akubarik❤
Masha'allah ila Utapingwa na wengi sana khaswa waislam wenzako,na wakristo
Shukran shekh wetu, tunaomba utuulizie huyo mtu mwema alikuja hapo mwaka gani kwa miaka hii ya kidunia au karne gani.
Mashaallah mungu akuluzuku
Masha Allah Al ustadh
Masha Allah
Pongezi Kwa kazi nzuri yenye mungu alitumia wwe Ili watu wawese kupona,,Nina swali Niki nikihitaji hayo maji naweza peta kweli ,juu mmi nko kenya
Subhana Allah .Allah akbar
Mungu nimwema sana
MashaAllah 💕
Subhanallah Allahu akbar
ماشاء الله 💫
Masha allah
Subhanallah ☝️ Allahu Akbar
Wewe Unautumia Uislamu kwa kuchumia Tumbo Yako baas but Fahamu kuna siku Utaulizwa mbele ya Allah
@zenaahmedi8857
4 ай бұрын
Innalillah wainna ilayh rajioun
@salimchimwaga8384
4 ай бұрын
kwa hiyo ulitaka atumie ukristo kujaza tumbo lake?
@MetrixJohn-cx5jb
4 ай бұрын
@@salimchimwaga8384 Unataka Kusema Uislam ulitumilizwa tujazie matumbo ...?
@ramadhanjuma610
4 ай бұрын
Acha ukicha sawa
@salimfaraj5509
4 ай бұрын
Acha chuki zako za kidini hii channel haikuhusu nenda channel zenu
Amina ❤❤
MA SHA ALLAH
Subhanallah
Subhanallah!!
Maashalah
Nimependa Hi
INSHAALLAH
Maashallah
Asante sana
Allhu hu Akbar 💖
Tuna kazi kubwa!
Mashaaalah
Allahu wakbar
Allah akupe afya na jannat Ila Mimi ninaumwa ninaomba Allah wangu allahu rahman arahim anipe AF ya na mwisho mwema
Shukran
Subhana’allah 🙏..
Mashallah
Inshaallah
Subhanallah allahu akbar
Sheikh nimepata kitu safi sanaa kwakuelimisha kwa kina MUNGU azid kukupa mwanga
Maashaallah ❤
Allah is great for all people ❤❤
Ustadh wangu wewe ni msomi mzuri na umesema kuwa ni volcanic lake na sifa hizo ni za volcanic lakes pote duniani. Cha kushangaza na uelewa wako wote, bado unataka Ku tap Imani za watu. subhanAllah sheikh, tumia elimu yako vizuri. Allah akupe mwisho mwema ustadh wangu.
@hassanjr5318
2 ай бұрын
Ku tap iman za watu ?
Allahu akbar
Nakupenda sana Dr Sulle
Allah akbar
Hakika Tunapata elim nyingi kupitia wewe shekhe sule,, allah azid kukupa umri mrefu
Allah is the greatest.
Allah akbaru
Asalaam aleykum warahamatullahi wabarakatu! hongera sana Doctor sure mwenyezimungu akupe unlike mrefu inshaallah, pia hapa kawe mzimuni liliwahi kutokea tukio kama hilo ila hapa msikiti na kijiji vyote vilizama na eneohilo kwa Sasa linatumika kuzikia walimnyima maji sharifu
Elimu ni muhimu sana...Dr wa Dini hawezi elewa what is Nature and Geography hapo basi amesimama bila kuelewa what is Volcanic force and Tectonic Forces.
@HassanShareef-fs5kb
4 ай бұрын
Yeah ni volcano
mashaallah
Siyo kweli maelezo yako yanakinzana nadharia za kutokea kwa maziwa Kama hayo, kwetu Rungwe Kuna ziwa Ngozi . Ni mabwawa au maziwa ya asili yanayotokana na mripuko wa magma kutoka chini kitendo hicho kinaitwa volcanism
@MgeniSaid-fp3wg
4 ай бұрын
Akili yako ni mgando sio kola kitu chanzo kinafanana na kingine hata sayansi ipo hivyo!
I (if not we) really need tangible evidence of all that you are saying. Written history😊
Tutembee tuone maajabu ya Allah SHW. Kwani Allah ametutaka tutembee ulimwenguni ili tuone dunia alivyoiumba.
ALLAHU AKBAR
Marshall
Subhuhanallah
Allahu akbary😢
Hiyo message sijui inamuhusu nani! Mimi ni muislamu ndugu yangu.
subhanallah 😢😢
Ungeanza na Bismillah halafu ndiyo urushe Hilo jiwe utapata majib sahihi
Amina
Allahuakbar
Allah Akbar
Subuhaanallah